@@NgengeMkeni-uo5hq, More, than him!!! For eg: Kila asubuhi nikiwa kaunta, nalazimika kutoa pesa taslimu zaidi ya milioni mia mbili ili kuwalipa wasafirishaji wa malori ya trela. Ni lazima iwe siri kubwa, iliyotunzwa vizuri na sio hiyo.
Wanaume watanzania wanaongea sana kuliko wanawake, hapa Kenya huwezi ongea vile huyu jamaa anajisifia utapigwa risasi mapema sanaa💔💔💔. Tajiri haonekani mtandaoni ama kwenye media , matajiri wanaogopa kuonekana, nashangaa vile watanzania wanapenda kujionesha wakijisifu vile wanavyo hela. Njoo hapa Nairobi uone matajiri, utajidharau kaka.
Asa nyi si mnatamaa Tz watafutaji ukiwa na pesa Yako ni Yako hakuna MTU ataitamani kikubwa kupambana Kila mtu awe na chake nyi Kenya piganen io mibunduki Kwa tamaa zenu
Gari ni Chombo cha usafiri sio cha starehe...ukipata ajali ndio utajua.... Zaidi ni comfortability tu ya Gari kwa kutegemea umbali wa safari na ndio maana raisi ana magari ya town caravans' cars na gari za masafa ya mbali
Dotto Kwa sababu yeye Ni dalali wa magari Sio ajabu....Ila Hao wengine wamezidi ulimbukeni na ushamba ....mzungu hana ujinga wa kumiliki magari mengi akiwa hata ana Pesa vipi na wasanii wa ulaya wao wanakua na magari mengi ili baadae iwe kama vintage Yard
Tatizo Doto watu wanampendea uongo wake tu na kujisifu hela lkn hamna chochote maigizo tu hayo ukimaliza interview unarudisha hela za watu hizo daaaah. Unasema Mazda gari lako lkn hakuna hata plate number mamyake
Doto Acha Tu unatisha mzazi unatufanya tujiskie good Always
Nakubal
Pesa haitaki kelele broo piga kazi mdomo achia Mke Wako boi
Doto ni mtu Wa kufurahisha watu
Tunajiskia faragha sana uwepo wako
Hapo kwa juma nime cheka eti Kama musabato 😅😅😅
Yan mpk waandishi wanashindwa kumhoji wajikuta wanachekaaaa to na kuskiliza😂😂😂😂😂
Anaendesha juma mosi na juma pili kama msabat0😂😂😂😂😂😂
Hupendi maendeleo ya wenzio kazi kuwaponda, hivi wewe unauza magari au kazi kukashifu wenzio? Hiyo ndo kazi unaisha familia yako? 😂 pole!
Mbona doto unakaa banda la uani misifa yote hiyo uliyonayo jamani mnaishi mai sha yakuigiza sana
Baba levo kwa doto tulia wenye jj lao huwawezi
Mburundiii babalevoo
Dotto njaaa2 uyoooo na sofa zimemjaaaa daimond hnaaa hiana na m2 bba levo chapa kazi🎉🎉🎉🎉
Matako ya Nyani.....Mapua
Doto unaongea Sana
Anaendesha kila jumapili kama msabato😅😅😅😅😅
Vibunju 😅😅😅😅😅
Mbwembwe nyingi, majigambo mengi kumbe anakaa chooni.
Kwan namba yagar inasemaje niileile au imebadirka
Inatakiwa uanze kuripa kofi
bora umewakomoa mana wambea hao 😏😏
Doto ndo kboko w machawa
Umeonaaa ehhhhhh hawavumiiiii tenaa wala hatuwaogopi tenaa
Matako ya nyani yamekua matako ya sungura😂😂 dotto kenge sana
Tqngazo la biashara hili
Duuu
🎉
Mbona sijaona sehemu ambayo b levo anamchana doto ?
Ukifungua macho utaona
Acheni ushamba wa magari nyie
Tukizichange kwenye dollars za Marekani, hamna kitu!!!! Ni ugari tu, na mboga za majani.
Ila zakwakweeeeee
We unazooo😂
Mtumwa wa mayahudi
Acha bwana wewe zake lkn
@@NgengeMkeni-uo5hq, More, than him!!! For eg: Kila asubuhi nikiwa kaunta, nalazimika kutoa pesa taslimu zaidi ya milioni mia mbili ili kuwalipa wasafirishaji wa malori ya trela. Ni lazima iwe siri kubwa, iliyotunzwa vizuri na sio hiyo.
Wanaume watanzania wanaongea sana kuliko wanawake, hapa Kenya huwezi ongea vile huyu jamaa anajisifia utapigwa risasi mapema sanaa💔💔💔. Tajiri haonekani mtandaoni ama kwenye media , matajiri wanaogopa kuonekana, nashangaa vile watanzania wanapenda kujionesha wakijisifu vile wanavyo hela. Njoo hapa Nairobi uone matajiri, utajidharau kaka.
Nchi yenu c haina aman
Ushasema huko kwenu Kenya ila tambua huku ni Tanzania nchi huru. Alafu huyu Doto magari wala sio tajiri au umepagawa na hicho kibunda kidogo cha hela
Million moja siyo utajiri.Hao unaowaona wanaongea sana riziki yao iko mdomoni.Hivyo lazima waongee sana.
Kenya wanaumehawana pesa Tanzania tulishazoeya kutumiya pesa mtanzania wahaliyachini hakosikumiliki MILIONI kwanziya 5 kwahio kwetu tunaona kwawaidatu
Asa nyi si mnatamaa Tz watafutaji ukiwa na pesa Yako ni Yako hakuna MTU ataitamani kikubwa kupambana Kila mtu awe na chake nyi Kenya piganen io mibunduki Kwa tamaa zenu
duu huyu mwamba hatar
Utani utani tupinge utani na doto magari?
😂😂❤❤
Mmezingua kwa mzawa mwenye dar yke
@babalevo waitwa huku
Dotto eeeeeeeh sijawahi kucomment leo acha nicheke2😂😂😂😂
Broo Dotto nakukubali sana unaongea ukweli
Kwani dotto una gari yaina gan? Maana unaponda wakati lakwako hatulioni na pikipiki huna😊😊
Tto kakaa nao chuoni Uganda
Doto acha uongo mbona hiyo gari haina namba kama kweli ni yako😅
Mzee wanondo Dotto maca
Kwa sisi watu wenye elimu.....😂😂
Doto ni halisi halisia hakuna kufake ❤❤❤
Kkkkk
doto mwamba upo juu kuriko mapua au mama levo
Yawezekana,kanunuliwa ,Ila wanakata kwenye mshahara
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
Dotto. Sasa sisi Wasabato tumeingiaje apo? Mbona ivyo?😅😅
😂😂😂
Kodi unalipa?
Gari ni Chombo cha usafiri sio cha starehe...ukipata ajali ndio utajua.... Zaidi ni comfortability tu ya Gari kwa kutegemea umbali wa safari na ndio maana raisi ana magari ya town caravans' cars na gari za masafa ya mbali
Dotto Kwa sababu yeye Ni dalali wa magari Sio ajabu....Ila Hao wengine wamezidi ulimbukeni na ushamba ....mzungu hana ujinga wa kumiliki magari mengi akiwa hata ana Pesa vipi na wasanii wa ulaya wao wanakua na magari mengi ili baadae iwe kama vintage Yard
Achani kuiga maigo yasiyo ya msingi Kuna mambo kibao yakufanyia hizo Pesa ukaweleza na kufahidika ....acheni kua na mindsets za ajabu
😂😂😂😂😂
Eti hapa ipo😊
Sema mnazingua nyie midia yenu jau iyo uso uso kwa uso baba levo yupo wapi ss acheni mamb ya kiwaki
😂😂😂
Kenya waoga wanaogapa kuuawa
Humuwez baba levo ww
Wee takataka fiche vihela vyako mshenzi nini
Tatizo Doto watu wanampendea uongo wake tu na kujisifu hela lkn hamna chochote maigizo tu hayo ukimaliza interview unarudisha hela za watu hizo daaaah. Unasema Mazda gari lako lkn hakuna hata plate number mamyake
Acha makasiriko. Tafuta Hela
@@Baron_Kigume Sema unataka shingap nikutumie
@@nasibuahmedy2438 Ninajitosheleza. Silalamiki hovyo na kuanza Ku-Diss hustle za wanaume wenzangu. Ninaheshimu wapambanaji
DOTO MAGARI NDO NAANI MBONA ANA KELELE SANA?
Doto achana na watu utajiharibia CV endelea kutufurahisha
Cha mama kipo apo 😂😂