DOTTO MAGARI AMUWASHIA MOTO BABA LEVO, USO KWA USO, CHANZO GARI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 96

  • @MansurAmour-b1o
    @MansurAmour-b1o 10 หลายเดือนก่อน +6

    Doto Acha Tu unatisha mzazi unatufanya tujiskie good Always

  • @FranklineMazera
    @FranklineMazera 10 หลายเดือนก่อน +2

    Pesa haitaki kelele broo piga kazi mdomo achia Mke Wako boi

  • @salehkejje8786
    @salehkejje8786 10 หลายเดือนก่อน +4

    Doto ni mtu Wa kufurahisha watu
    Tunajiskia faragha sana uwepo wako

  • @katsuvakamatedaniel7893
    @katsuvakamatedaniel7893 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo kwa juma nime cheka eti Kama musabato 😅😅😅

  • @SharifuAlbughul-ls4mw
    @SharifuAlbughul-ls4mw 10 หลายเดือนก่อน +2

    Yan mpk waandishi wanashindwa kumhoji wajikuta wanachekaaaa to na kuskiliza😂😂😂😂😂

    • @elizajoseph7209
      @elizajoseph7209 10 หลายเดือนก่อน

      Anaendesha juma mosi na juma pili kama msabat0😂😂😂😂😂😂

  • @haroldkayanda7092
    @haroldkayanda7092 10 หลายเดือนก่อน +6

    Hupendi maendeleo ya wenzio kazi kuwaponda, hivi wewe unauza magari au kazi kukashifu wenzio? Hiyo ndo kazi unaisha familia yako? 😂 pole!

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 10 หลายเดือนก่อน

    Mbona doto unakaa banda la uani misifa yote hiyo uliyonayo jamani mnaishi mai sha yakuigiza sana

  • @bugabyarugaba3771
    @bugabyarugaba3771 10 หลายเดือนก่อน +1

    Baba levo kwa doto tulia wenye jj lao huwawezi

    • @eldaddyofficial
      @eldaddyofficial 9 หลายเดือนก่อน

      Mburundiii babalevoo

  • @JamesMwandoje
    @JamesMwandoje 10 หลายเดือนก่อน

    Dotto njaaa2 uyoooo na sofa zimemjaaaa daimond hnaaa hiana na m2 bba levo chapa kazi🎉🎉🎉🎉

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 10 หลายเดือนก่อน +1

    Matako ya Nyani.....Mapua

  • @sorwasoudy6256
    @sorwasoudy6256 10 หลายเดือนก่อน +3

    Doto unaongea Sana

  • @HappyGreenTea-fo8lz
    @HappyGreenTea-fo8lz 7 หลายเดือนก่อน

    Anaendesha kila jumapili kama msabato😅😅😅😅😅

  • @arafatkasu
    @arafatkasu 4 หลายเดือนก่อน

    Vibunju 😅😅😅😅😅

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo6236 10 หลายเดือนก่อน

    Mbwembwe nyingi, majigambo mengi kumbe anakaa chooni.

  • @salumDion3175
    @salumDion3175 10 หลายเดือนก่อน

    Kwan namba yagar inasemaje niileile au imebadirka

  • @gadafsalum8042
    @gadafsalum8042 10 หลายเดือนก่อน +2

    Inatakiwa uanze kuripa kofi

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 10 หลายเดือนก่อน +1

    bora umewakomoa mana wambea hao 😏😏

  • @sorwasoudy6256
    @sorwasoudy6256 10 หลายเดือนก่อน +2

    Doto ndo kboko w machawa

    • @eldaddyofficial
      @eldaddyofficial 9 หลายเดือนก่อน

      Umeonaaa ehhhhhh hawavumiiiii tenaa wala hatuwaogopi tenaa

  • @westcijosh
    @westcijosh 10 หลายเดือนก่อน

    Matako ya nyani yamekua matako ya sungura😂😂 dotto kenge sana

  • @Josephkp629
    @Josephkp629 10 หลายเดือนก่อน

    Tqngazo la biashara hili

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 10 หลายเดือนก่อน

    Duuu

  • @SamwelKuray
    @SamwelKuray 10 หลายเดือนก่อน

    🎉

  • @mkanulamajid500
    @mkanulamajid500 10 หลายเดือนก่อน

    Mbona sijaona sehemu ambayo b levo anamchana doto ?

    • @westcijosh
      @westcijosh 10 หลายเดือนก่อน +1

      Ukifungua macho utaona

  • @HansonShaaban
    @HansonShaaban 6 หลายเดือนก่อน

    Acheni ushamba wa magari nyie

  • @laurentmupira1280
    @laurentmupira1280 10 หลายเดือนก่อน +2

    Tukizichange kwenye dollars za Marekani, hamna kitu!!!! Ni ugari tu, na mboga za majani.

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 10 หลายเดือนก่อน +3

      Ila zakwakweeeeee

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 10 หลายเดือนก่อน +3

      We unazooo😂

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 10 หลายเดือนก่อน +2

      Mtumwa wa mayahudi

    • @davcodavid8651
      @davcodavid8651 10 หลายเดือนก่อน +2

      Acha bwana wewe zake lkn

    • @laurentmupira1280
      @laurentmupira1280 10 หลายเดือนก่อน +1

      @@NgengeMkeni-uo5hq, More, than him!!! For eg: Kila asubuhi nikiwa kaunta, nalazimika kutoa pesa taslimu zaidi ya milioni mia mbili ili kuwalipa wasafirishaji wa malori ya trela. Ni lazima iwe siri kubwa, iliyotunzwa vizuri na sio hiyo.

  • @KingSillah-gx5nv
    @KingSillah-gx5nv 10 หลายเดือนก่อน +10

    Wanaume watanzania wanaongea sana kuliko wanawake, hapa Kenya huwezi ongea vile huyu jamaa anajisifia utapigwa risasi mapema sanaa💔💔💔. Tajiri haonekani mtandaoni ama kwenye media , matajiri wanaogopa kuonekana, nashangaa vile watanzania wanapenda kujionesha wakijisifu vile wanavyo hela. Njoo hapa Nairobi uone matajiri, utajidharau kaka.

    • @wilsonthomas9176
      @wilsonthomas9176 10 หลายเดือนก่อน +1

      Nchi yenu c haina aman

    • @nasibuahmedy2438
      @nasibuahmedy2438 10 หลายเดือนก่อน +2

      Ushasema huko kwenu Kenya ila tambua huku ni Tanzania nchi huru. Alafu huyu Doto magari wala sio tajiri au umepagawa na hicho kibunda kidogo cha hela

    • @MCNgakungaJunior
      @MCNgakungaJunior 10 หลายเดือนก่อน +1

      Million moja siyo utajiri.Hao unaowaona wanaongea sana riziki yao iko mdomoni.Hivyo lazima waongee sana.

    • @zakariadesha2707
      @zakariadesha2707 10 หลายเดือนก่อน +2

      Kenya wanaumehawana pesa Tanzania tulishazoeya kutumiya pesa mtanzania wahaliyachini hakosikumiliki MILIONI kwanziya 5 kwahio kwetu tunaona kwawaidatu

    • @allendaniel3172
      @allendaniel3172 10 หลายเดือนก่อน

      Asa nyi si mnatamaa Tz watafutaji ukiwa na pesa Yako ni Yako hakuna MTU ataitamani kikubwa kupambana Kila mtu awe na chake nyi Kenya piganen io mibunduki Kwa tamaa zenu

  • @JacobMwakalinga-n7e
    @JacobMwakalinga-n7e 10 หลายเดือนก่อน

    duu huyu mwamba hatar

  • @roseannandambo8695
    @roseannandambo8695 10 หลายเดือนก่อน

    Utani utani tupinge utani na doto magari?

  • @KIPUDA2021
    @KIPUDA2021 10 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂❤❤

  • @georgeboniface-r9e
    @georgeboniface-r9e 9 หลายเดือนก่อน

    Mmezingua kwa mzawa mwenye dar yke

  • @oyay2821
    @oyay2821 10 หลายเดือนก่อน

    @babalevo waitwa huku

  • @udizungwahimalaya5213
    @udizungwahimalaya5213 10 หลายเดือนก่อน +4

    Dotto eeeeeeeh sijawahi kucomment leo acha nicheke2😂😂😂😂

  • @frankmganda2424
    @frankmganda2424 10 หลายเดือนก่อน +3

    Broo Dotto nakukubali sana unaongea ukweli

  • @danreckgodfrey4663
    @danreckgodfrey4663 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani dotto una gari yaina gan? Maana unaponda wakati lakwako hatulioni na pikipiki huna😊😊

  • @eldaddyofficial
    @eldaddyofficial 9 หลายเดือนก่อน +1

    Tto kakaa nao chuoni Uganda

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 10 หลายเดือนก่อน +1

    Doto acha uongo mbona hiyo gari haina namba kama kweli ni yako😅

  • @ASALABOY
    @ASALABOY 10 หลายเดือนก่อน +3

    Mzee wanondo Dotto maca

  • @angedizzle1
    @angedizzle1 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa sisi watu wenye elimu.....😂😂

  • @humphreyleodgar9434
    @humphreyleodgar9434 9 หลายเดือนก่อน +1

    Doto ni halisi halisia hakuna kufake ❤❤❤

  • @fanitofaustino4108
    @fanitofaustino4108 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kkkkk

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 10 หลายเดือนก่อน +1

    doto mwamba upo juu kuriko mapua au mama levo

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 10 หลายเดือนก่อน +1

    Yawezekana,kanunuliwa ,Ila wanakata kwenye mshahara

  • @YustoMlay-cv4zb
    @YustoMlay-cv4zb 10 หลายเดือนก่อน +3

    🤣🤣🤣🤣

  • @andrewmmbaga1665
    @andrewmmbaga1665 10 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂

  • @roberttagaya9098
    @roberttagaya9098 10 หลายเดือนก่อน +1

    Dotto. Sasa sisi Wasabato tumeingiaje apo? Mbona ivyo?😅😅

  • @ReginaJoseph-cm3cx
    @ReginaJoseph-cm3cx 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kodi unalipa?

  • @HansonShaaban
    @HansonShaaban 6 หลายเดือนก่อน

    Gari ni Chombo cha usafiri sio cha starehe...ukipata ajali ndio utajua.... Zaidi ni comfortability tu ya Gari kwa kutegemea umbali wa safari na ndio maana raisi ana magari ya town caravans' cars na gari za masafa ya mbali

    • @HansonShaaban
      @HansonShaaban 6 หลายเดือนก่อน

      Dotto Kwa sababu yeye Ni dalali wa magari Sio ajabu....Ila Hao wengine wamezidi ulimbukeni na ushamba ....mzungu hana ujinga wa kumiliki magari mengi akiwa hata ana Pesa vipi na wasanii wa ulaya wao wanakua na magari mengi ili baadae iwe kama vintage Yard

    • @HansonShaaban
      @HansonShaaban 6 หลายเดือนก่อน

      Achani kuiga maigo yasiyo ya msingi Kuna mambo kibao yakufanyia hizo Pesa ukaweleza na kufahidika ....acheni kua na mindsets za ajabu

  • @JacobMwakalinga-n7e
    @JacobMwakalinga-n7e 10 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂

  • @abisaimuhanji3687
    @abisaimuhanji3687 10 หลายเดือนก่อน +1

    Eti hapa ipo😊

  • @ShabaniSuleiman-y3g
    @ShabaniSuleiman-y3g 10 หลายเดือนก่อน

    Sema mnazingua nyie midia yenu jau iyo uso uso kwa uso baba levo yupo wapi ss acheni mamb ya kiwaki

  • @TwalibIssa-x9j
    @TwalibIssa-x9j 10 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂

  • @EmmanuelMandela-f7k
    @EmmanuelMandela-f7k 10 หลายเดือนก่อน

    Kenya waoga wanaogapa kuuawa

  • @benitokibwaa4251
    @benitokibwaa4251 10 หลายเดือนก่อน +3

    Humuwez baba levo ww

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria9476 10 หลายเดือนก่อน +2

    Wee takataka fiche vihela vyako mshenzi nini

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 10 หลายเดือนก่อน

    Tatizo Doto watu wanampendea uongo wake tu na kujisifu hela lkn hamna chochote maigizo tu hayo ukimaliza interview unarudisha hela za watu hizo daaaah. Unasema Mazda gari lako lkn hakuna hata plate number mamyake

    • @Baron_Kigume
      @Baron_Kigume 10 หลายเดือนก่อน

      Acha makasiriko. Tafuta Hela

    • @nasibuahmedy2438
      @nasibuahmedy2438 10 หลายเดือนก่อน

      @@Baron_Kigume Sema unataka shingap nikutumie

    • @Baron_Kigume
      @Baron_Kigume 10 หลายเดือนก่อน

      @@nasibuahmedy2438 Ninajitosheleza. Silalamiki hovyo na kuanza Ku-Diss hustle za wanaume wenzangu. Ninaheshimu wapambanaji

  • @Kimanzi001
    @Kimanzi001 10 หลายเดือนก่อน +2

    DOTO MAGARI NDO NAANI MBONA ANA KELELE SANA?

  • @salehkejje8786
    @salehkejje8786 10 หลายเดือนก่อน +1

    Doto achana na watu utajiharibia CV endelea kutufurahisha
    Cha mama kipo apo 😂😂