Jamani mwanangu Doto khaa unanimalizia data sichoki kukusikiliza unaniongezea siku ya kuishi mwanangu. Mwenye kunirushia pilipili kanipiga na biskuti yani ulikuwa mkorofi na mtukutu sana
Hyu jamaaa kusema ukwel katuangusha ss anataka kumpga tid vchwa ili iweje😂😂😂😂c amjibu Tu Na yy battle liendeleee kwel nimeamin kla mtu Na mbabe wake😂😂😂tid kashindikana muulize babalevo Yule jamaaa ana maneno ya shombo mnooo 😂😂Ila ucmpge vchwa we mjibu Tu mtt mdgo kma Yule hawez kukufanya ww upanic kias icho😂😂
Nakubali doto mungu azidi kuwezesha
Nakukubali sana Brother, utajili ni watu hakika, this is thimba bana❤
Dotto uko vizuri ulivyoona gari ya mchicha ukainuka fasta kwenye sit hahaha huna baya
jamaa anafurahisha sana. maneno ya kimtaa mtaa yamejaa
Mtoto wa kinondoni huyo
Jamani mwanangu Doto khaa unanimalizia data sichoki kukusikiliza unaniongezea siku ya kuishi mwanangu. Mwenye kunirushia pilipili kanipiga na biskuti yani ulikuwa mkorofi na mtukutu sana
there is no thief it just other way of serching new life trying put food on table for the family , i gree with you dotto keto
Kiingereza kinalipa na kinatoa kazi ingieni youtube yangu mkasome❤❤❤❤
Doto yuko vizuri sanaaa
Dotto nakusikiliza sana tena sana toka burundi
Kak nakubali
😂😂😂😂 daaah nakupenda aise wee nihatari kweli.
Viatu vimejaa Nini?😂😂😂
Anafanya interview huku akimkodolea macho mpita njia...nani kaona?
Mimi dotto ananchekeshaa. Akisema ivvvvo inacheka sanaa ivooooo
Kumbe jamaa ni noka kabsa duh! Nimekukubali mwamba
Dotto magari 💯💯💯💯
Inalillah na lilah na lajuni
😂😂
😅😅😅😅😅😅😂😂😂dah Nomaaaa sanaa atar😂😂😂😂😂😂
Nakukubali sana dotto magari
Dotto mwanetuuu, catalisimuu
Dotto uko vizuri
Dotto kwanini usishike maiki siku ya Simba day
Safi hiyo
Ety ww unaonaje sio uwizi ni ujanaa😢 maneno mazitoo
Duh
Jamaa akapagawa baad y kuon mzigo unapita pemben
Akaw bize na mzigo badala y camera
Mwanz wa video hii
😂😂😂 Hana baya kama Hana nyamwiga 😂😂😂
Kaka dotto hunanifuraisha sana wa ukae mwenzangu
Kweli utafutaji wana haraka ❤❤❤
Mtangazaji hujui kazi yako, sijui hukujipanga unakuja kuhoji nn!!!
Eti 10 kwa mwenyewe mbili NIFICHIE🤣🤣🤣
😂😂😂😂soko zima la kariakoo eti wew unaonaje
Mtu anapigwa na soko Zima la kariakoo ...muaminifu au ?😂😂😂
waukae nakukubali sana
Dotto ketto...jina maarufu kuliko Dotto magari...
💕💕💕👌
Dotto umeuwa, raba ina nn hahaaa jamaaa kwa mbali anacheka tu jinsi dotto anavyomchambua mwandishi
DOTTO KETTO......MWIZI MMOJA MIAKA HIYO.
Mwizi au we unaonaje🤣
etiii weeee unaonajeeee😅😅😅😅😅
Nakukubalisana we na ba levo mumeweza sana bigup niko kenya
Sio mwizi ni utafutaji mbadala 😂🎉
Doto Magari wewe ni influencer = mshawishi itamke influensa
Maisha ya katalism😊
HUYU MLA UNGA BADO HAJAPONA😢..
Umeongea VP vyenyeakiliasaa dotooo
May brother umenyooka
Hanabaya kama nyamwige
Ifolensa dotto magari
😂😂😂😂😂 doto??eti unamka asubuhi kama unauza chaii😅
jamaa anajua hatar
Hyu jamaaa kusema ukwel katuangusha ss anataka kumpga tid vchwa ili iweje😂😂😂😂c amjibu Tu Na yy battle liendeleee kwel nimeamin kla mtu Na mbabe wake😂😂😂tid kashindikana muulize babalevo Yule jamaaa ana maneno ya shombo mnooo 😂😂Ila ucmpge vchwa we mjibu Tu mtt mdgo kma Yule hawez kukufanya ww upanic kias icho😂😂
Infolesi influencer 😅😅 Huna baya
babu kubwa mdogo wangu saydo ujerumani kamanda piga kazi
Apo dot kwenye ufafanuzi wa mwiz nimekuelewa
Kamolea macho Uyo demu aliye pita
Una chekesha kinoma mzee unajua
Viongozi wangapi wanatupiga rasilimali zetu na hawaitwi wezi.. ukiacha wale wazee wa vituoni
majibu yake jmn😂😂😂😊
Nikikutazama nakufananisha mr misifa ni ndugu yako ?
Mwizi mwizi tuu
Mchicha makunyanzi
Sema influensa😂😂
Inflensa umeinyaka hiyoo
😅😅😅😅😅😅😅
Mchicha makunyanzi😂😂😂😂
Yes tunaokujua wa kinondoni wenzangu ulikua hatari 😂jambaz sugu na kile kimwili chako cha kichina miaka ile😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Kingwendu