Utukufu, kwa Mungu Mbinguni, Na amani dunaini (kwa watu) kwa watu wenye mapenzi mema Tunakusifu tunakuheshimu tunakuabudu tunakutukuza Tuankushukuru kwa ajili ya utukufu wako mkuu (ee Bwana) Ee Bwana Mungu mfalme wa Mbinguni (Mungu Baba) Mungu Baba Mwenyezi, Ee Bwana Yesu (Kristu) Mwana wa pekee Ee Bwana Mungu Mwanakondoo wa Mungu Mwana wa Baba (Mungu) wa Mungu Mwana wa Baba Mwenye kuondoa dhambi za dunia utuhurumie Ewe mwenye kuondoa dhambi za dunia (pokea) pokea ombi letu (ewe) Mwenye kuketi kuume kwa Baba Utuhurumie (Bwana) utuhurumie Kwa kuwa ndiwe uliye (peke) peke yako mtakatifu (Peke) peke yako Bwana (peke) peke yako mkuu (Yesu) Yesu Kristu, Pamoja na Roho Mtakatifu katika utukufu wa Mungu Baba Katika utukufu, katika utukufu wa Mungu Baba Katika utukufu wa Mungu Baba (katika) Utukufu wa Mungu amina amina Katika utukufu wa Mungu (Baba) Amina amina
Utukufu, kwa Mungu Mbinguni, Na amani dunaini (kwa watu) kwa watu wenye mapenzi mema Tunakusifu tunakuheshimu tunakuabudu tunakutukuza Tuankushukuru kwa ajili ya utukufu wako mkuu (ee Bwana) Ee Bwana Mungu mfalme wa Mbinguni (Mungu Baba) Mungu Baba Mwenyezi, Ee Bwana Yesu (Kristu) Mwana wa pekee Ee Bwana Mungu Mwanakondoo wa Mungu Mwana wa Baba (Mungu) wa Mungu Mwana wa Baba Mwenye kuondoa dhambi za dunia utuhurumie Ewe mwenye kuondoa dhambi za dunia (pokea) pokea ombi letu (ewe) Mwenye kuketi kuume kwa Baba Utuhurumie (Bwana) utuhurumie Kwa kuwa ndiwe uliye (peke) peke yako mtakatifu (Peke) peke yako Bwana (peke) peke yako mkuu (Yesu) Yesu Kristu, Pamoja na Roho Mtakatifu katika utukufu wa Mungu Baba Katika utukufu, katika utukufu wa Mungu Baba Katika utukufu wa Mungu Baba (katika) Utukufu wa Mungu amina amina Katika utukufu wa Mungu (Baba) Amina amina
Usisahau kusubscribe tafadhali
🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Mungu wetu wa kweli😂
Ariririririri 👏👏👏👏👏 safi
Santee
Masebene😁😁😁😁sina Cha kusema apa kwa kayeta nazan unajua❤️🔥
uhakika mkuu
kabisaa 🔥
Naam
❤❤❤❤❤🎉 hongereni kwa sauti nzuri iliyonyooka
asante sanaaa mkuu
Unyama 🎹🎹🎹🎹❤️❤️❤️
🥰
hongereni sanaaaa
asante sanaaa
Nitamu sana
@@josephkikuni9631 nakubali
Mko vzr
Amina
Utukufu, kwa Mungu Mbinguni,
Na amani dunaini (kwa watu) kwa watu wenye mapenzi mema
Tunakusifu tunakuheshimu tunakuabudu tunakutukuza
Tuankushukuru kwa ajili ya utukufu wako mkuu (ee Bwana)
Ee Bwana Mungu mfalme wa Mbinguni
(Mungu Baba) Mungu Baba Mwenyezi,
Ee Bwana Yesu (Kristu) Mwana wa pekee
Ee Bwana Mungu Mwanakondoo wa Mungu
Mwana wa Baba (Mungu) wa Mungu Mwana wa Baba
Mwenye kuondoa dhambi za dunia utuhurumie
Ewe mwenye kuondoa dhambi za dunia
(pokea) pokea ombi letu
(ewe) Mwenye kuketi kuume kwa Baba
Utuhurumie (Bwana) utuhurumie
Kwa kuwa ndiwe uliye (peke) peke yako mtakatifu
(Peke) peke yako Bwana (peke) peke yako mkuu
(Yesu) Yesu Kristu,
Pamoja na Roho Mtakatifu katika utukufu wa Mungu Baba
Katika utukufu, katika utukufu wa Mungu Baba
Katika utukufu wa Mungu Baba
(katika) Utukufu wa Mungu amina amina
Katika utukufu wa Mungu (Baba) Amina amina
😊
Utukufu, kwa Mungu Mbinguni,
Na amani dunaini (kwa watu) kwa watu wenye mapenzi mema
Tunakusifu tunakuheshimu tunakuabudu tunakutukuza
Tuankushukuru kwa ajili ya utukufu wako mkuu (ee Bwana)
Ee Bwana Mungu mfalme wa Mbinguni
(Mungu Baba) Mungu Baba Mwenyezi,
Ee Bwana Yesu (Kristu) Mwana wa pekee
Ee Bwana Mungu Mwanakondoo wa Mungu
Mwana wa Baba (Mungu) wa Mungu Mwana wa Baba
Mwenye kuondoa dhambi za dunia utuhurumie
Ewe mwenye kuondoa dhambi za dunia
(pokea) pokea ombi letu
(ewe) Mwenye kuketi kuume kwa Baba
Utuhurumie (Bwana) utuhurumie
Kwa kuwa ndiwe uliye (peke) peke yako mtakatifu
(Peke) peke yako Bwana (peke) peke yako mkuu
(Yesu) Yesu Kristu,
Pamoja na Roho Mtakatifu katika utukufu wa Mungu Baba
Katika utukufu, katika utukufu wa Mungu Baba
Katika utukufu wa Mungu Baba
(katika) Utukufu wa Mungu amina amina
Katika utukufu wa Mungu (Baba) Amina amina
Aminaaaa