Kwanza ninavoipendaga litania ya watakatifu wote ikiimbwa..Daah 🤦🏽♂️ Jamaniii..Hadi Raha Yani ❤❤❤ Hongera sana Dada Despina na wenzako Kwa kazi nzuri.. Hakika Mungu azidi kutukuzwa ndani ya mioyo yetu sote, nasi tuzidi kutakatifuzwa Daima 🙏🏽❤️🙏🏽 ❤❤❤🎉🎁
Wow amazing sana, melody fulani hivi kutoka pande za sumbawanga, hongera sana da despina hongera sana kwa waimbaji wote. Hongera pia Ave Maria pro. Pamoja na Blessing studio. Keep on going 🙏🥰🎉
Hakika Jimbo la Sumbawanga lilikuwa na hazina kubwa ya Muziki mtakatifu ,Fr Songoro,Fr Malema,Fr Ntapambata,Fr Sangu ,Syote na wengine wengi,Mungu aendelee kuwabariki
❤kazi nzuri
Mungu awabariki sana kwa wimbo mzuri, watakatifu wote mtuombee
Asanteni sana Mkono wa Bwana uwatangulie wana wa Mungu.
Amina
Hongereni sanaaaaa, mzidi kumwimbia Bwana katika Roho na kweli
Amina
Congratulations lovely 😘
🙏🙏
Amina.... Watakatifu wa Mungu Mtuombeee...❤
🙏🙏
MUNGU azidi kuwainua❤❤❤🎉🎉🎉
Mungu awazidishie nguvu za kuzidi kumtumikia
Amina
Amin saana
🙏🙏
Kila siku nipo active nikiisubiri kazi yako Sister Despina ❤
Kazi zako zinanibariki 🎉
Asante sana karibu Ubarikiwe zaidi
Sweet litany of all saints hongera sana endelea kumsifu mungu na baraka ziwe juu yako
Asantee kwa Kaz nzuri na mungu akubariki 🙏🙏
Asante sana Tubarikiwe wote
Mungu azidi kumbariki sauti zenu zaidi nimebarikiwa
Amina Karibu sana😊
Kuimba ni kusali mara mbili, Akhsante Mungu kwa Watoto wako hawa, Mwenyezi Mungu Awabariki sana .
Amina👏👏
One good thing of you is that you're always intact when it comes to catholic way of singing.Keep it that way.
👏👏👏👏
Hongera sana My dear❤
🙏🙏🙏
More Congratulations to you Dada Despina for yr sweet soprano voice and the whole team for the work you have done. God bless you.
Thank you my sister Elizabeth🙏🙏
This is what we call angelic voice melodies 🎉
🙏🙏
Mungu akubariki sana Dada Mungu akutunze hongera kwa kazi nzuri
Amina🙏🙏
Reflectional indeed!
Kwanza ninavoipendaga litania ya watakatifu wote ikiimbwa..Daah 🤦🏽♂️ Jamaniii..Hadi Raha Yani ❤❤❤
Hongera sana Dada Despina na wenzako Kwa kazi nzuri.. Hakika Mungu azidi kutukuzwa ndani ya mioyo yetu sote, nasi tuzidi kutakatifuzwa Daima 🙏🏽❤️🙏🏽
❤❤❤🎉🎁
Asante sana 👏👏
Mungu azidi kuwabariki
Amina
Asante Kwa kazi nzuri barikiwa sana
Amina
Barikiwa Sana kazi nzuri
Amina 🙏🙏
Mungu azidi kukutunza Despina tuzidi kupata kazi nzuri kutoka kwako
Amina Karibu sana
Kazi nzuri sana
🙏🙏
Hongereni sn Mungu awainue zaidi
U deserve the best dears,,,, hongereniii
👏👏
Kazi safi
Asante kaka Karibu
Watakatifu wote mtuombee AMEN......kazi nzuriiii watu wa Mungu
Asante🙏🙏
Hongereni sana kwa litania ya watakatifu wa Mungu mmeimba vinzuri sana Hongera sana dada Despina na timu zima kwa ujumla 🙏
Amina Karibu sana kaka👏👏👏
Jamani hongeraa sanaa nimemuonaa mdogo anguu felisita
Karibu
A very angelic voices. Keep it up 🎉🎉🎉❤❤
Thank you
Hongereni sana kazi safii sana
🙏🙏🙏
kazi nzuri sana🥳🥳
👏👏
Na tuzidi barikiwa kupitia uimbaji🤍🙏
Amina👏👏
🙏🙏🙏
👏👏
Hongereni sana kwa kazi nzurii 🎉❤
Asante sana 🙏🙏
Watakatifu wote wa MUNGU mtuombee
🙏🙏
❤Lord have mercy on us🙏
Nice melody.......na Mungu apate kutukuzwa siku zote
Amina
Hongereni sana kwa kazi nzuri👏👏
Asante🙏🙏
Kazi Nzuri sana Hongereni sana
Asante sana kaka
Ahsant 🙏
👏👏
Wow amazing sana, melody fulani hivi kutoka pande za sumbawanga, hongera sana da despina hongera sana kwa waimbaji wote.
Hongera pia Ave Maria pro. Pamoja na Blessing studio. Keep on going 🙏🥰🎉
Asante sana 👏👏
Barikiwa sana, God bless you
Thank You🙏🙏
❤❤
🙏🙏
Safi despina Mungu akubariki kwa utume wako ❤
Amina🙏🙏
Hongereni sana ❤,,kazi nzuri🙏🏽
Amina
Kazi safi sana Dada❤️🔥🙏
🙏🙏🙏
Tumtukuze Bwana,,,Tumshukuru Mungu....Stay Blessed
Amina
The wait is over 😊😊
👏👏
Angelic voice hongereni sana👏
Asante😊
Despina na team yako ...napata amani sana ninapowasikiliza ...Tubarikiwe sote na Mwenyezi Mungu kwa ibada hizi za nyimbo.
Amina Mtumishi karibu sana
Hongera sana Dada kwa Uinjilishaji,Hakika tunabarikiwa sana na uimbaji wako🤝
Asante Kaka Emmanueli Mungu akubariki 👏👏
Sala nzuri sana imewasilishwa ipasavyo - Hongereni!
Asante
Hongereni sana nyote. Kwa namna ya pekee Dada Despina , una sauti nzuri sana endelea kumsifu Mungu .
Amina 👏👏👏
Mtakatifu Benedicto Baba wa manokai, utuombee
🙏🙏
Hongera dada Despina kwa kazi nzuri na sauti ya mbinguni🙏🙏🙏
Asante sana👏👏
Hakika Jimbo la Sumbawanga lilikuwa na hazina kubwa ya Muziki mtakatifu ,Fr Songoro,Fr Malema,Fr Ntapambata,Fr Sangu ,Syote na wengine wengi,Mungu aendelee kuwabariki
Sana sana
❤❤ Kaz nzuri sana
Barikiwa ....
Asante👏👏
Kazi nzur Dada. Naomba copi
Asante sana karibu😊
Hongera sana dada Despina 🎉❤🙏
Asante Sana Laurent
Nabarikiwa sana na Litania hizi za watakatifu na waimbaji pia
Amina
Hongereni despina na wenzako ❤watakatifu wote wa MBINGU watuombee
👏👏
Utusikie ee bwana 🙏🙏🙏
🙏🙏🙏
🎉🎉🎉🎉 Congrts alot, this is what we call MZIKI MTAKATIFU. Najivunia kuwa mkatoliki.😊
Karibu sana
UIMBAJI MZURI ❤
Asante
Family in Music👏
👏👏
🔥🔥🔥👏👏👏
🙏🙏🙏
Amina🙏🙏🙏.
👏👏
kazi safi❤
👏👏👏
Kazi nzuri my lovely sister...❤❤❤Hongereni sana❤❤
Asante Mdogo wangu 😘😘
Watakatifu wote wa mbinguni, MTUOMBEE.🙏🙏
Hongera sana Despina na timu yako.👏👏👏
Asante Anna👏👏
Hongereni sana🎉🎉🎉it's wonderful song❤❤
Asante sana
Nziri sana dada hongera sana
Asante👏👏
Asante sana
Hongereni sana 👏👏👏🎉 madam Despina ❤
Asante sana Regina
❤❤ BWANA UTUHURUMIE🙏🏽❤️❤️
🙏🙏
Hongera sana despina na timu yoteee
Asante 👏👏
Nice sister desipina.
Thank you so Much👏👏
Hongera sana
Asante sana
Hongera sana mungu awabariki
Asante Mama
Na mungu akutunze Ili tuendelee kumsifu Kwa sauti aliyo kujalia. Hongera🎉
Asante🙏🙏
Hongera sana dada Despina na timu yoteee 🔥🔥🔥🔥
Asante sana🙏🙏
Saaaaaaaaaaaaafiiii 🎉🎉
👏👏
👏👏👏👏
👏👏👏👏👏
Beautiful ❤ voices
Thanks👏👏
❤hongera sana
Asante
Hongera...!
👏👏👏
🎉hongera
Asante👏👏
Mt Rita utuombee
Mt yuda tadei utuombee
Mt philomena utuombee
Mt monica utuombee
Watakatifu wote wa mbinguni....................mtuombee 1:17
Amina👏👏
🙏🙏🙏🎉🎉🎉
🙏🙏
Angelic voice😊👏
Thank you👏👏
Waaaaaao beautiful voices,, watakatifu tuombee
Amina
Amina
Asante sana nimebarikiwa
Amina
Mbarikiwa sana jamani
Amina
Mtakatifu Benedicto WA abate utuombee
Mtakatifu Yohane WA MUngu utuombee,
Amina
Napenda sana very nice
🙏🙏🙏
Asanteni sana. Mbarikiwe daima
Well done well done!
👏👏👏
Keep shining dear ones ♥️
👏👏👏👏