Nilifunzwa kuwa mkatoliki na mama yangu mkubwa na ndiye aliyenileya nikiwa mdogo. Aliupenda sana huu wimbo nikiwa na miaka mitano. Mpaka sasa nina miaka 34. Nimeukumbuka juzi tarehe 4 mwezi huu. Sikujuwa kama kumbukumbu zangu zilikuwa namshukuru kwa maisha yake kwangu na pia kwa maisha yake hapa duniani. Tarehe 8 ameaga dunia na leo tumempumzisha kwenye nyumba yake ya milele. Asante Mungu kwa maisha yake kwa kunikuza kimwili na kiroho 😤😤
hakika bernard mukasa.,mungu akuweke miaka mingimingi, hakika wewe ni hazina kubwa kwa kanisa katoliki,tunakuomba kwa uwezo wako tengeneza au ibua warithi wako kuendeleza karama hiii kubwa. mungu awabariki wanabukoba.🎉
Wimbo mzuri sana, naweza sikiliza hata mara 10 kwa siku. Mhashamu askofu Kilain umeuvaa uhusika vilivyo. Mbarikiwe wote mliohusika kuanzia mtunzi, mpiga kinanda , ngoma , wanakwaya nk
Wimbo huu unabeba ujumbe wa shukrani Kwa zawadi ya maisha ya Mhashamu Baba Askofu Kilaini anayeimba kwa hisia kali katika maadhimisho ya Jubilee yake ya miaka 50 ya upadre. Hongera sana Baba.. na hasa ubeti wa "changamoto nilizopitia" namwona Baba anashika kichwa....inanikumbusha uhalisia wake. Hongera sana Baba, hongera sana Bwana Bernad Mukasa na wanakwaya wote!
Asante Mungu kwa kipaji cha Mukasa..Askofu Kilaini you're the best..nakumbuka utoto wangu ukiwa askofu mkuu msaidizi jimbo kuu la DSM late 90's..ulifanya kazi kubwa mno katika jimbo..umeuvaa uhusika katika huu wimbo.Mungu azidi kukutunza..Hongereni wanakwaya Bukoba mpo juu mmeutendea haki wimbo...kuanzia mavazi,sauti,mandhari..So proud of you all..God bless❤
Benard Mkasa,hekima ya wazazi wako Mzee Wlllia na Mama Revina Mkasa,wanavyoipenda dini.Benard ubarikiwe na familia yako.Mungu aeatunze,wimbo mzuri sana.
Wimbo mzuli sana, ingawa umebeba ujumbe kwa ajili ya kumbukizi ya Askofu Kilaini, ila umenigusa saaaaaaana mtunzi na waimbaji yooote M. Mungu awabaliki.
TYKRISTU. NAMI NAUNGANA NA WIMBO HUU KWA MATENDO MAKUU ALIYONITENDEA MUNGU TRH 10.5 MAANA NILIPATA MTIHANI MGUMU SN LKN MUNGU KANIVUSHA NISEME NINI EEE BWANA. UBARIKIWE SN MKASA WA WIMBO HUU UMENIGUSA MOJA KWA MOJA KBSA.
Hakika nyimbo nyimbo hii imegusa watu wengi kwa jinsi ilivyopigwa vizuri na ilivyodansiwa vyema kwa Kiutukufu sana wa wa KIMUNGU umegusa wengi hasa mimi naomba uendelee kufunguliwa ktk douwiloding tukiwa popote unatupatia kutafakari leo nakuta umezuiliwa nimeuzunika ponyeni Roho kwa tenzi Kama hii Asante Mungu katika sifa Unashuka na kutuponya mbarikiwe sana
Kiukweli nimemwaga machozi ya furaha. Hongera sana mwalimu Bernard Mukasa, Mungu akuongezeye nguvu tele. Hongereni pia kwa wana kwaya wote. Kazi nzuri sana
Hongera Baba Askofu Kilaini Mungu azidi kukubariki kwa kazi yako ya kutuongoza sisi kondoo wa Mungu. Pia pongezi sana ndugu Benard Mukasa kwa kipaji ulichopewa na Mungu uzidi kutuinjilisha.
Kati ya nyimbo za kushukuru ninazozipenda huu wimbo ni wa kwanza, maana naweza kuusikiliza huu wimbo siku nzima bila kubadilisha wimbo mwingine. Mbarikiwe sana wanakwaya pamoja na mtunzi hakika mmeutendea haki
Nyimbo nzuri sana jamani nimesikiliza zaidi ya mara kumi...nimebarikiwa sana na nyimbo hii. Kati kati ya safari changamoto kubwa nilipitia,lakini kwa wema wako ukanivusha nikavuka salama🙏🙏🙏
Nlifukuzwa seminary form 3 kuingia form iv! Wala sikuonewa nlikua mtundu. Nkaenda makumira sec kumalizia form iv. Nlipomaliza mtian wa form iv mwaka 2003 nliiimba huu. Wimbo pamoja na ule wa mwendo nimeumaliza vita nimevishinda
I sang this song after I lost my son back in 2022 I want to Thank God blessed me with a son 2023..Niseme tu bwana Mungu Wangu Asante Nakushukuru
Nilifunzwa kuwa mkatoliki na mama yangu mkubwa na ndiye aliyenileya nikiwa mdogo. Aliupenda sana huu wimbo nikiwa na miaka mitano. Mpaka sasa nina miaka 34. Nimeukumbuka juzi tarehe 4 mwezi huu. Sikujuwa kama kumbukumbu zangu zilikuwa namshukuru kwa maisha yake kwangu na pia kwa maisha yake hapa duniani. Tarehe 8 ameaga dunia na leo tumempumzisha kwenye nyumba yake ya milele.
Asante Mungu kwa maisha yake kwa kunikuza kimwili na kiroho 😤😤
Pole sana. Astarehe kwa amani
Tumshukuru Mungu kwa kila jambo
Pole sana dear, Mungu ampokee katika utukufu wake mbinguni ❤
6:11 ❤😢😢
Asante sana kwa wimbo huu mm niliuimba nilipotoka ulinzi wa amani kongo mt mikael kawe
Mungu akupe amani ipitayo amani
Nakumbuka sana Ile siku na gwanda zenu
🔥🔥
Barikiwa Nassoro
Kadri ninavyousikiliza mwili unasisimka❤
Mungu ambariki mtunzi na kwaya hii bila kumsahau Baba Askofu Kilaini
Benard Mkasa kazi unayoifanya ya uinjilishaji malipo yako mikononi mwa Mungu, hakika Mungu akubariki na uzao wako. Wimbo una maudhui mazito sana.
Daima nitaiishia imani KATOLIKI milele na milele
hakika bernard mukasa.,mungu akuweke miaka mingimingi, hakika wewe ni hazina kubwa kwa kanisa katoliki,tunakuomba kwa uwezo wako tengeneza au ibua warithi wako kuendeleza karama hiii kubwa. mungu awabariki wanabukoba.🎉
Wimbo mzuri sana, naweza sikiliza hata mara 10 kwa siku. Mhashamu askofu Kilain umeuvaa uhusika vilivyo. Mbarikiwe wote mliohusika kuanzia mtunzi, mpiga kinanda , ngoma , wanakwaya nk
Mm nikiingia tu you tube lazima niwepo huku.kwasiku labda mara 30 inafika,afu usiku nauweka nakesha na huu wimbo
Tunabarikiwa sana🔥🔥🔥🔥
Hongereni sana na mungu awabariki
Huu wimbo unagusa mioyo ya watu, safi sana mtunzi na wanakwaya wote,bila kumsahau Askofu wetu Baba Methodius Kilaini.
Wimbo mzuri nasikiliza natafakari mpaka machozi yananitoka,Mungu awabariki Kwa kutufikishia ujumbe mzuri wa tafakari,Askofu kilaini🙌🙌
...Proud of being catholic ...wimbo mzuri sana kwakweli jaman, be blessed ...ila nataman sku moja nikutane na mukasa nipige nae hata picha tu
Wimbo huu unabeba ujumbe wa shukrani Kwa zawadi ya maisha ya Mhashamu Baba Askofu Kilaini anayeimba kwa hisia kali katika maadhimisho ya Jubilee yake ya miaka 50 ya upadre. Hongera sana Baba.. na hasa ubeti wa "changamoto nilizopitia" namwona Baba anashika kichwa....inanikumbusha uhalisia wake. Hongera sana Baba, hongera sana Bwana Bernad Mukasa na wanakwaya wote!
Asante Mungu kwa kipaji cha Mukasa..Askofu Kilaini you're the best..nakumbuka utoto wangu ukiwa askofu mkuu msaidizi jimbo kuu la DSM late 90's..ulifanya kazi kubwa mno katika jimbo..umeuvaa uhusika katika huu wimbo.Mungu azidi kukutunza..Hongereni wanakwaya Bukoba mpo juu mmeutendea haki wimbo...kuanzia mavazi,sauti,mandhari..So proud of you all..God bless❤
WE,,,,Kiswahili
Proud to be a Catholic Bernard Mukasa Mungu azidi kukulinda kazi yako ni njema
The bit hits differently ❤️It both touches the heart 🎉
Benard Mkasa,hekima ya wazazi wako Mzee Wlllia na Mama Revina Mkasa,wanavyoipenda dini.Benard ubarikiwe na familia yako.Mungu aeatunze,wimbo mzuri sana.
Nasadiki kwa kanisa moja takatifu katoriki la mitume..
Niseme nini ee Bwana?🤲
Wimbo mzuli sana, ingawa umebeba ujumbe kwa ajili ya kumbukizi ya Askofu Kilaini, ila umenigusa saaaaaaana mtunzi na waimbaji yooote M. Mungu awabaliki.
HAKIKA BENARD MUKASA... Kipaji mungu kampa...n tunu ya kanisa katolik... Hongereni wana kwaya.. Hongera ake kwa miaka 50 ya upadre
Hàkika wimbo huu unatuongoza hata sisi kumwambia Mungu asante. At 58, I really appreciate the unrestricted love from My good God.
TYKRISTU. NAMI NAUNGANA NA WIMBO HUU KWA MATENDO MAKUU ALIYONITENDEA MUNGU TRH 10.5 MAANA NILIPATA MTIHANI MGUMU SN LKN MUNGU KANIVUSHA NISEME NINI EEE BWANA. UBARIKIWE SN MKASA WA WIMBO HUU UMENIGUSA MOJA KWA MOJA KBSA.
Hakika tuseme nini kwa mungu mapito nimengi lakini anatuvusha tunashukuru Sana 🙏🙏🙏🙏😢
Hakika nyimbo nyimbo hii imegusa watu wengi kwa jinsi ilivyopigwa vizuri na ilivyodansiwa vyema kwa Kiutukufu sana wa wa KIMUNGU umegusa wengi hasa mimi naomba uendelee kufunguliwa ktk douwiloding tukiwa popote unatupatia kutafakari leo nakuta umezuiliwa nimeuzunika ponyeni Roho kwa tenzi Kama hii Asante Mungu katika sifa Unashuka na kutuponya mbarikiwe sana
Kiukweli nimemwaga machozi ya furaha. Hongera sana mwalimu Bernard Mukasa, Mungu akuongezeye nguvu tele. Hongereni pia kwa wana kwaya wote. Kazi nzuri sana
So proudly to be CATHOLIC
Nimeguswa Sana na huu wimbo kulinga na mapito niliyopitia
Ubarikiwe sana 🙏🙏🙏
Wow! Sauti zimepangwa zikapangikwa.Mungu awape afya nzuli mzidi tena na tena
Mi maneno yameniishia ila mukasa we mwamba sana nataka sana nikuone kwa macho yangu we king bless you boy and you family much respect brother mukasa
Nahuyu mzee kwa unyenyekevu wa kukubali ajimwage hivi mbele na wanakwaya ni muujiza. Nitaomba wimbo huu ùwe maalumu kwa waimbaji wetu na wtu woke
Bernad Mukasa na kapotive nzima mnafanya kazi nzuri ya utume Mungu awabaliki sana wimbo mzuri I a'm proud to be roman Catholic ☺️☺️
Asanteni mbarikiwe wimbo mzuri sana
Ahsant mungu mapito mengi sana umenilinda na kunisaidia
Nice to hear from you niseme Nini bwana thank you may God bless u mniombee pia Mimi Niko chuo Cha mziki arusha
Nakumbuka mwaka 2020 nikiwa chuoni tukiwa ktk mashindano ya kwaya 16
Mukasa mukasa mukasa nimekuita mara 3 hakika mbinguni malaika wanakusubiri ukaongoze waimbaji
Nawapa vyema wanyumbani nikiwa kenya jirani yangu kalaudi w kyelima nakuona
Hongera Baba Askofu Kilaini Mungu azidi kukubariki kwa kazi yako ya kutuongoza sisi kondoo wa Mungu. Pia pongezi sana ndugu Benard Mukasa kwa kipaji ulichopewa na Mungu uzidi kutuinjilisha.
Napenda Baba wimbo huu umemjaa hkika umeibeba safari yke ya wito
Hakika am proud to be catholic,,ujumbe mzur kwe
Asanteni Sana wanakwaya kwa utume wenu. IAM proud to be a Catholic
Mungu akutunze daima kwaajili ya utukufu wake 🤲 uendelee kumtumikia Mungu zaidi Mwl Benard Mukasa
Asante ubarikiwe umeniokoa Sana jaman mungu amfikishe mbali zaid my dear friend neema umesharudi
Smart song,inanipa nguvu hasa hapa Mandera mpakani mwa Somalia
Kwakweli niseme nini, Mungu wangu sina cha kusema bali Mungu wangu nakushukuru kwa ukarimu wote ulio nitendea. Na Barikiwa sana na huu wimbo 🙏
The bishop! wow! he must be in charge of liturgy. The song itself, wah, for real, asante mungu nakushukuru!
This song really blessed me❤❤❤
My daily song!! The Bishop is amazing I tell you!!
Kati ya nyimbo za kushukuru ninazozipenda huu wimbo ni wa kwanza, maana naweza kuusikiliza huu wimbo siku nzima bila kubadilisha wimbo mwingine. Mbarikiwe sana wanakwaya pamoja na mtunzi hakika mmeutendea haki
Nimependezewa nawimbo naommba notazake
Hzi nyimbo hatuwez zipata kupitia boomplay music
Mungu awabariki sana KMK kwa kutuinjilisha
Proud to be a Catholic! Nice song Mungu awabariki sana
Really
Kazi nzuri mwalimu mkasa pongezi wote na baba askofu kwa wimbo huu bora
Nyimbo inabariki na kusisimua mbarikiwe wainjilist wote muendee kutupatia nyimbo nzur zaidi
Hatunabudi kusema asante mungu kila wakati
Aksante waimbaji.Nimebariki kupitia hii nyimbo. Bwana awabariki.
Namba niandike Barua rasmi kwa Idara ya Katekes utunukiwe cheti cha Doctor of catholic miusic
Hongereni sanaa Wanakwaya kutoka Bukoba
Ahsante Baba Askofu Kilaini kwa umahiri wako
Safi sana mungu awalinde zaidi mzidi kutuinjirisha Kwa nyimbo nzuri kama huu
Nimeneemeka na baraka kusikiliza wimbo huu
Your bishop is having a blast, well done
good staff. God bless you guys
Nyimbo nzuri sana jamani nimesikiliza zaidi ya mara kumi...nimebarikiwa sana na nyimbo hii. Kati kati ya safari changamoto kubwa nilipitia,lakini kwa wema wako ukanivusha nikavuka salama🙏🙏🙏
Hongera Sana kwa wimbo mzuri wajina wangu
Moja ya tungo bora kabisa za Mukasa. Safi sana
Benard ni mtunzi hodari
I'm clocking 50 yrs now..... Niseme nini basi kwa Mungu? Nami nimepita milima na mabonde ya kutosha tu. Niseme tu Bwana Mungu Asante nakushukuru.
Hongera Sana mtunzi wawimbo huo naupenda sana
Asante sana kwa wimbo wenye mguso ndani ya moyo asante sana
Ahsant San jaman nakupenda San hii nyimbo
Safi sana mbarikiwe wimbo Mzuri sana .
Waoooh am proud to be a Christian
Nafarijika Sana nikisikia wimbo huu
Asante sana kwa wimbo nzuri, niseme Nini
Hongereni sana Wana Mt. Don Bosco Kwa kazi nxurii😍😍😍Mungu awabariki sana.🙏🙏🙏
PROUD TO BE A CATHOLIC
Asante sana kwa wimbo nzuri sana hongera sana
8:47 9:48 9:48 ahsnteni mbarikiwe sana watu wa mungu mwimbo mzuri sna na mungu awape nguvu aman na baraka za kumtumikia yeye daima
Namshukuru mungu Sana kwa wimbo mzuri mungu awajalie
Great, really great. This choir never disappoints. God bless you all
Wimbo nzuri sanaaa Mungu awabariki Sanaaa... Nimepata ujumbe nzuri kutoka kwenu
Kweli huwa nabarikiwa sana nawimbo huo mahalum wa jubile ya baba kilaini
Nisemee ninj.ewe.bwanaaa❤🎉
Mungu awabariki sana kwa wimbo mzuri,Mungu aendelee kukubariki Benard Mukasa kwa kazi nzuri
Amina wimbo huu umenibariki sans mpaka nimetokwa na machozi ya furaha
Nicely done! Asante ndugu Mkasa. Hongera Bab Askofu Kilaini!
The song elevates me every time I listen to it. This is God given straight from heaven. God bless you all.
Nyimbo nzuri sema kuna sehemu wameingiza maneno yao
Nimeguswa sana na mapito ninayo pitia
Jaman imenibarik Sana mungu aendelee kuwalinda nakuwabariki waimbaji Hawa..
Utume mama. By macha
8:27 8:28 8:29
SO WONDERFUL BE BLERSSED ALL
Askofu anayefikika kabisa.
Hakika Mungu ni mwema kila wakati yatupasa kushukuru bila kuchoka.
Wimbo umebeba ujumbe mzito sana
We really all of us need to thank God together with our Bishop Kilaini for his mercy
Roho yangu imefurahishwa na uimbaji wenyu zaidi, nyimbo tamu na zenye uinjilishaji mkubwa. Proud to be catholic
hongereni sana jaman kwa kumuimbia Askofu wetu vizuri sana
Askofu kilaini,man of the match,
Kiufupi hongereni sana waimbaji ,mmeimba vizuri sana
I love this song to the moon and back 💕 ❤️ 💛 💖 💓
Baba Askofu ubarikiwe Sana. Ujaliwe utume mwema baba
Wimbo mzuri Sana. Hongereni👏👏👏👏👏
Nlifukuzwa seminary form 3 kuingia form iv! Wala sikuonewa nlikua mtundu. Nkaenda makumira sec kumalizia form iv. Nlipomaliza mtian wa form iv mwaka 2003 nliiimba huu. Wimbo pamoja na ule wa mwendo nimeumaliza vita nimevishinda
Get addiction to this song najipata nikiimba zaidi ya mara 10 kwa siku mbarikiweni sana kwa kazi nzuri👏👏👏
This is my best song
Huyu mwamba Mukasa ndio nani hasa mana anaonekana fundi sana!
Roman Catholic icon and composer of catholic songs