Niseme Nini - By Bernard Mukasa, JBC Choir - Bukoba Parish

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 282

  • @rosemoile1632
    @rosemoile1632 13 วันที่ผ่านมา +2

    I sang this song after I lost my son back in 2022 I want to Thank God blessed me with a son 2023..Niseme tu bwana Mungu Wangu Asante Nakushukuru

  • @manyorifrancis8348
    @manyorifrancis8348 ปีที่แล้ว +25

    Nilifunzwa kuwa mkatoliki na mama yangu mkubwa na ndiye aliyenileya nikiwa mdogo. Aliupenda sana huu wimbo nikiwa na miaka mitano. Mpaka sasa nina miaka 34. Nimeukumbuka juzi tarehe 4 mwezi huu. Sikujuwa kama kumbukumbu zangu zilikuwa namshukuru kwa maisha yake kwangu na pia kwa maisha yake hapa duniani. Tarehe 8 ameaga dunia na leo tumempumzisha kwenye nyumba yake ya milele.
    Asante Mungu kwa maisha yake kwa kunikuza kimwili na kiroho 😤😤

    • @josephlango5591
      @josephlango5591 ปีที่แล้ว

      Pole sana. Astarehe kwa amani
      Tumshukuru Mungu kwa kila jambo

    • @aurorabenedicto3197
      @aurorabenedicto3197 ปีที่แล้ว

      Pole sana dear, Mungu ampokee katika utukufu wake mbinguni ❤

    • @user-ex5yk2oz5o
      @user-ex5yk2oz5o 10 หลายเดือนก่อน

      6:11 ❤😢😢

  • @nassorotryphonenassoro2542
    @nassorotryphonenassoro2542 ปีที่แล้ว +36

    Asante sana kwa wimbo huu mm niliuimba nilipotoka ulinzi wa amani kongo mt mikael kawe

  • @jeremiahjahulula7868
    @jeremiahjahulula7868 ปีที่แล้ว +13

    Kadri ninavyousikiliza mwili unasisimka❤
    Mungu ambariki mtunzi na kwaya hii bila kumsahau Baba Askofu Kilaini

  • @josephkulija293
    @josephkulija293 ปีที่แล้ว +20

    Benard Mkasa kazi unayoifanya ya uinjilishaji malipo yako mikononi mwa Mungu, hakika Mungu akubariki na uzao wako. Wimbo una maudhui mazito sana.

  • @geofreynyakana
    @geofreynyakana 11 หลายเดือนก่อน +3

    Daima nitaiishia imani KATOLIKI milele na milele

  • @bestamsumange9289
    @bestamsumange9289 ปีที่แล้ว +14

    hakika bernard mukasa.,mungu akuweke miaka mingimingi, hakika wewe ni hazina kubwa kwa kanisa katoliki,tunakuomba kwa uwezo wako tengeneza au ibua warithi wako kuendeleza karama hiii kubwa. mungu awabariki wanabukoba.🎉

  • @scholasticanikata5477
    @scholasticanikata5477 2 ปีที่แล้ว +31

    Wimbo mzuri sana, naweza sikiliza hata mara 10 kwa siku. Mhashamu askofu Kilain umeuvaa uhusika vilivyo. Mbarikiwe wote mliohusika kuanzia mtunzi, mpiga kinanda , ngoma , wanakwaya nk

    • @jovanafidelis2802
      @jovanafidelis2802 ปีที่แล้ว

      Mm nikiingia tu you tube lazima niwepo huku.kwasiku labda mara 30 inafika,afu usiku nauweka nakesha na huu wimbo

    • @juliusdanson225
      @juliusdanson225 ปีที่แล้ว

      Tunabarikiwa sana🔥🔥🔥🔥

    • @godfreymbame9592
      @godfreymbame9592 ปีที่แล้ว

      Hongereni sana na mungu awabariki

    • @wilbroadfredrick5630
      @wilbroadfredrick5630 ปีที่แล้ว

      Huu wimbo unagusa mioyo ya watu, safi sana mtunzi na wanakwaya wote,bila kumsahau Askofu wetu Baba Methodius Kilaini.

    • @adelinandahani949
      @adelinandahani949 ปีที่แล้ว +1

      Wimbo mzuri nasikiliza natafakari mpaka machozi yananitoka,Mungu awabariki Kwa kutufikishia ujumbe mzuri wa tafakari,Askofu kilaini🙌🙌

  • @solanuskomba82
    @solanuskomba82 10 หลายเดือนก่อน +9

    ...Proud of being catholic ...wimbo mzuri sana kwakweli jaman, be blessed ...ila nataman sku moja nikutane na mukasa nipige nae hata picha tu

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 2 ปีที่แล้ว +6

    Wimbo huu unabeba ujumbe wa shukrani Kwa zawadi ya maisha ya Mhashamu Baba Askofu Kilaini anayeimba kwa hisia kali katika maadhimisho ya Jubilee yake ya miaka 50 ya upadre. Hongera sana Baba.. na hasa ubeti wa "changamoto nilizopitia" namwona Baba anashika kichwa....inanikumbusha uhalisia wake. Hongera sana Baba, hongera sana Bwana Bernad Mukasa na wanakwaya wote!

  • @graceandrew3988
    @graceandrew3988 10 หลายเดือนก่อน +5

    Asante Mungu kwa kipaji cha Mukasa..Askofu Kilaini you're the best..nakumbuka utoto wangu ukiwa askofu mkuu msaidizi jimbo kuu la DSM late 90's..ulifanya kazi kubwa mno katika jimbo..umeuvaa uhusika katika huu wimbo.Mungu azidi kukutunza..Hongereni wanakwaya Bukoba mpo juu mmeutendea haki wimbo...kuanzia mavazi,sauti,mandhari..So proud of you all..God bless❤

    • @alexngovi
      @alexngovi 5 หลายเดือนก่อน

      WE,,,,Kiswahili

  • @roseasimwe827
    @roseasimwe827 ปีที่แล้ว +10

    Proud to be a Catholic Bernard Mukasa Mungu azidi kukulinda kazi yako ni njema

  • @user-vj5mo1xf6r
    @user-vj5mo1xf6r 2 หลายเดือนก่อน +2

    The bit hits differently ❤️It both touches the heart 🎉

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 11 หลายเดือนก่อน +4

    Benard Mkasa,hekima ya wazazi wako Mzee Wlllia na Mama Revina Mkasa,wanavyoipenda dini.Benard ubarikiwe na familia yako.Mungu aeatunze,wimbo mzuri sana.

  • @devidkingu2439
    @devidkingu2439 2 ปีที่แล้ว +10

    Nasadiki kwa kanisa moja takatifu katoriki la mitume..
    Niseme nini ee Bwana?🤲

  • @ConcessaNyamwiz-uk5xm
    @ConcessaNyamwiz-uk5xm วันที่ผ่านมา

    Wimbo mzuli sana, ingawa umebeba ujumbe kwa ajili ya kumbukizi ya Askofu Kilaini, ila umenigusa saaaaaaana mtunzi na waimbaji yooote M. Mungu awabaliki.

  • @frankmhoja2460
    @frankmhoja2460 3 หลายเดือนก่อน +2

    HAKIKA BENARD MUKASA... Kipaji mungu kampa...n tunu ya kanisa katolik... Hongereni wana kwaya.. Hongera ake kwa miaka 50 ya upadre

  • @furahajames4085
    @furahajames4085 ปีที่แล้ว +6

    Hàkika wimbo huu unatuongoza hata sisi kumwambia Mungu asante. At 58, I really appreciate the unrestricted love from My good God.

  • @theresiapatrick7860
    @theresiapatrick7860 3 หลายเดือนก่อน +4

    TYKRISTU. NAMI NAUNGANA NA WIMBO HUU KWA MATENDO MAKUU ALIYONITENDEA MUNGU TRH 10.5 MAANA NILIPATA MTIHANI MGUMU SN LKN MUNGU KANIVUSHA NISEME NINI EEE BWANA. UBARIKIWE SN MKASA WA WIMBO HUU UMENIGUSA MOJA KWA MOJA KBSA.

  • @JoyceMkeka
    @JoyceMkeka 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hakika tuseme nini kwa mungu mapito nimengi lakini anatuvusha tunashukuru Sana 🙏🙏🙏🙏😢

  • @AngelMassawe-nz9sk
    @AngelMassawe-nz9sk ปีที่แล้ว +1

    Hakika nyimbo nyimbo hii imegusa watu wengi kwa jinsi ilivyopigwa vizuri na ilivyodansiwa vyema kwa Kiutukufu sana wa wa KIMUNGU umegusa wengi hasa mimi naomba uendelee kufunguliwa ktk douwiloding tukiwa popote unatupatia kutafakari leo nakuta umezuiliwa nimeuzunika ponyeni Roho kwa tenzi Kama hii Asante Mungu katika sifa Unashuka na kutuponya mbarikiwe sana

  • @claudekalimbirirontabaza7467
    @claudekalimbirirontabaza7467 11 หลายเดือนก่อน +4

    Kiukweli nimemwaga machozi ya furaha. Hongera sana mwalimu Bernard Mukasa, Mungu akuongezeye nguvu tele. Hongereni pia kwa wana kwaya wote. Kazi nzuri sana

  • @ConsolathaUpendo-po5tf
    @ConsolathaUpendo-po5tf ปีที่แล้ว +7

    So proudly to be CATHOLIC

  • @GaudenciaKija-ji9qs
    @GaudenciaKija-ji9qs ปีที่แล้ว +4

    Nimeguswa Sana na huu wimbo kulinga na mapito niliyopitia

    • @KAPOTIVE
      @KAPOTIVE  ปีที่แล้ว

      Ubarikiwe sana 🙏🙏🙏

  • @paulmutoro2687
    @paulmutoro2687 ปีที่แล้ว +4

    Wow! Sauti zimepangwa zikapangikwa.Mungu awape afya nzuli mzidi tena na tena

  • @SanyagiKulwa
    @SanyagiKulwa หลายเดือนก่อน

    Mi maneno yameniishia ila mukasa we mwamba sana nataka sana nikuone kwa macho yangu we king bless you boy and you family much respect brother mukasa

  • @BetraminoJulius
    @BetraminoJulius 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nahuyu mzee kwa unyenyekevu wa kukubali ajimwage hivi mbele na wanakwaya ni muujiza. Nitaomba wimbo huu ùwe maalumu kwa waimbaji wetu na wtu woke

  • @evancefesto
    @evancefesto 3 หลายเดือนก่อน +2

    Bernad Mukasa na kapotive nzima mnafanya kazi nzuri ya utume Mungu awabaliki sana wimbo mzuri I a'm proud to be roman Catholic ☺️☺️

  • @velonicacharles-6124
    @velonicacharles-6124 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asanteni mbarikiwe wimbo mzuri sana

  • @RuesFedrick
    @RuesFedrick หลายเดือนก่อน +1

    Ahsant mungu mapito mengi sana umenilinda na kunisaidia

  • @kirighawilberd6351
    @kirighawilberd6351 2 ปีที่แล้ว +9

    Nice to hear from you niseme Nini bwana thank you may God bless u mniombee pia Mimi Niko chuo Cha mziki arusha

  • @BahatiAdam-lo6xx
    @BahatiAdam-lo6xx 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nakumbuka mwaka 2020 nikiwa chuoni tukiwa ktk mashindano ya kwaya 16

  • @geofreynyakana
    @geofreynyakana 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mukasa mukasa mukasa nimekuita mara 3 hakika mbinguni malaika wanakusubiri ukaongoze waimbaji

  • @gracefeldinandi838
    @gracefeldinandi838 2 ปีที่แล้ว +5

    Nawapa vyema wanyumbani nikiwa kenya jirani yangu kalaudi w kyelima nakuona

  • @josephkulija293
    @josephkulija293 ปีที่แล้ว +8

    Hongera Baba Askofu Kilaini Mungu azidi kukubariki kwa kazi yako ya kutuongoza sisi kondoo wa Mungu. Pia pongezi sana ndugu Benard Mukasa kwa kipaji ulichopewa na Mungu uzidi kutuinjilisha.

  • @victorishengoma5724
    @victorishengoma5724 ปีที่แล้ว +4

    Napenda Baba wimbo huu umemjaa hkika umeibeba safari yke ya wito

  • @michaelmwembezi5998
    @michaelmwembezi5998 ปีที่แล้ว +4

    Hakika am proud to be catholic,,ujumbe mzur kwe

  • @josephelias7364
    @josephelias7364 2 ปีที่แล้ว +15

    Asanteni Sana wanakwaya kwa utume wenu. IAM proud to be a Catholic

  • @OnnisyChuwa-tr9rh
    @OnnisyChuwa-tr9rh 23 วันที่ผ่านมา

    Mungu akutunze daima kwaajili ya utukufu wake 🤲 uendelee kumtumikia Mungu zaidi Mwl Benard Mukasa

  • @AvelineKiria-np9mn
    @AvelineKiria-np9mn ปีที่แล้ว +2

    Asante ubarikiwe umeniokoa Sana jaman mungu amfikishe mbali zaid my dear friend neema umesharudi

  • @petrobenson2932
    @petrobenson2932 11 หลายเดือนก่อน +2

    Smart song,inanipa nguvu hasa hapa Mandera mpakani mwa Somalia

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwakweli niseme nini, Mungu wangu sina cha kusema bali Mungu wangu nakushukuru kwa ukarimu wote ulio nitendea. Na Barikiwa sana na huu wimbo 🙏

  • @ceciliaotwane3906
    @ceciliaotwane3906 ปีที่แล้ว +10

    The bishop! wow! he must be in charge of liturgy. The song itself, wah, for real, asante mungu nakushukuru!

  • @Nduku2
    @Nduku2 2 วันที่ผ่านมา +1

    This song really blessed me❤❤❤

  • @jsifuna
    @jsifuna 11 หลายเดือนก่อน +12

    My daily song!! The Bishop is amazing I tell you!!

  • @jenifadaniel7752
    @jenifadaniel7752 ปีที่แล้ว +4

    Kati ya nyimbo za kushukuru ninazozipenda huu wimbo ni wa kwanza, maana naweza kuusikiliza huu wimbo siku nzima bila kubadilisha wimbo mwingine. Mbarikiwe sana wanakwaya pamoja na mtunzi hakika mmeutendea haki

    • @eliudi
      @eliudi 11 หลายเดือนก่อน

      Nimependezewa nawimbo naommba notazake

  • @oliversangawe-cn2jj
    @oliversangawe-cn2jj ปีที่แล้ว +6

    Hzi nyimbo hatuwez zipata kupitia boomplay music

  • @paulinalusazi3560
    @paulinalusazi3560 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu awabariki sana KMK kwa kutuinjilisha

  • @marytairo4981
    @marytairo4981 ปีที่แล้ว +7

    Proud to be a Catholic! Nice song Mungu awabariki sana

  • @jamesnyamwaya1841
    @jamesnyamwaya1841 ปีที่แล้ว +2

    Kazi nzuri mwalimu mkasa pongezi wote na baba askofu kwa wimbo huu bora

  • @glorypeter1194
    @glorypeter1194 ปีที่แล้ว +3

    Nyimbo inabariki na kusisimua mbarikiwe wainjilist wote muendee kutupatia nyimbo nzur zaidi

  • @JASSONEVARISTER-sz2bi
    @JASSONEVARISTER-sz2bi 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hatunabudi kusema asante mungu kila wakati

  • @mariemeni5939
    @mariemeni5939 5 หลายเดือนก่อน +3

    Aksante waimbaji.Nimebariki kupitia hii nyimbo. Bwana awabariki.

  • @BetraminoJulius
    @BetraminoJulius 4 หลายเดือนก่อน +1

    Namba niandike Barua rasmi kwa Idara ya Katekes utunukiwe cheti cha Doctor of catholic miusic

  • @marylyimo6519
    @marylyimo6519 ปีที่แล้ว +3

    Hongereni sanaa Wanakwaya kutoka Bukoba

  • @prospervedasto4366
    @prospervedasto4366 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante Baba Askofu Kilaini kwa umahiri wako

  • @user-ge4gy6ly5l
    @user-ge4gy6ly5l ปีที่แล้ว +3

    Safi sana mungu awalinde zaidi mzidi kutuinjirisha Kwa nyimbo nzuri kama huu

  • @yohanadeus1292
    @yohanadeus1292 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nimeneemeka na baraka kusikiliza wimbo huu

  • @sarahambajo2873
    @sarahambajo2873 ปีที่แล้ว +15

    Your bishop is having a blast, well done

    • @lucaskioko6387
      @lucaskioko6387 ปีที่แล้ว +1

      good staff. God bless you guys

  • @josephinekessy1994
    @josephinekessy1994 2 ปีที่แล้ว +8

    Nyimbo nzuri sana jamani nimesikiliza zaidi ya mara kumi...nimebarikiwa sana na nyimbo hii. Kati kati ya safari changamoto kubwa nilipitia,lakini kwa wema wako ukanivusha nikavuka salama🙏🙏🙏

  • @benmbwilinge2816
    @benmbwilinge2816 ปีที่แล้ว +5

    Hongera Sana kwa wimbo mzuri wajina wangu

  • @user-qm7ff7he4g
    @user-qm7ff7he4g 10 หลายเดือนก่อน +3

    Moja ya tungo bora kabisa za Mukasa. Safi sana

    • @alexngovi
      @alexngovi 5 หลายเดือนก่อน +1

      Benard ni mtunzi hodari

  • @wilsonngumbuke4482
    @wilsonngumbuke4482 หลายเดือนก่อน

    I'm clocking 50 yrs now..... Niseme nini basi kwa Mungu? Nami nimepita milima na mabonde ya kutosha tu. Niseme tu Bwana Mungu Asante nakushukuru.

  • @ATANASCHOBARIKO
    @ATANASCHOBARIKO 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera Sana mtunzi wawimbo huo naupenda sana

  • @user-dt2tc2gb4l
    @user-dt2tc2gb4l 7 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana kwa wimbo wenye mguso ndani ya moyo asante sana

  • @user-wy7md3kg7q
    @user-wy7md3kg7q 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsant San jaman nakupenda San hii nyimbo

  • @alphoncerutumo1644
    @alphoncerutumo1644 6 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana mbarikiwe wimbo Mzuri sana .

  • @godfreymasawe4778
    @godfreymasawe4778 14 วันที่ผ่านมา

    Waoooh am proud to be a Christian

  • @user-qn7ug6pz6p
    @user-qn7ug6pz6p 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nafarijika Sana nikisikia wimbo huu

  • @user-ix8qr4bn9z
    @user-ix8qr4bn9z 7 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana kwa wimbo nzuri, niseme Nini

  • @joycengolly547
    @joycengolly547 2 ปีที่แล้ว +7

    Hongereni sana Wana Mt. Don Bosco Kwa kazi nxurii😍😍😍Mungu awabariki sana.🙏🙏🙏

  • @judithkerengi5517
    @judithkerengi5517 7 หลายเดือนก่อน +1

    PROUD TO BE A CATHOLIC

  • @user-ix8qr4bn9z
    @user-ix8qr4bn9z 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana kwa wimbo nzuri sana hongera sana

  • @ranveelkamsanga745
    @ranveelkamsanga745 8 หลายเดือนก่อน +1

    8:47 9:48 9:48 ahsnteni mbarikiwe sana watu wa mungu mwimbo mzuri sna na mungu awape nguvu aman na baraka za kumtumikia yeye daima

  • @DenisMwechi
    @DenisMwechi 29 วันที่ผ่านมา

    Namshukuru mungu Sana kwa wimbo mzuri mungu awajalie

  • @simongathuragichuki5052
    @simongathuragichuki5052 10 หลายเดือนก่อน +2

    Great, really great. This choir never disappoints. God bless you all

  • @marylyimo6519
    @marylyimo6519 ปีที่แล้ว +3

    Wimbo nzuri sanaaa Mungu awabariki Sanaaa... Nimepata ujumbe nzuri kutoka kwenu

  • @sadiguillaumesadi7345
    @sadiguillaumesadi7345 ปีที่แล้ว +1

    Kweli huwa nabarikiwa sana nawimbo huo mahalum wa jubile ya baba kilaini

  • @mosesokeyo2824
    @mosesokeyo2824 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nisemee ninj.ewe.bwanaaa❤🎉

  • @renatusjoachim8876
    @renatusjoachim8876 2 ปีที่แล้ว +8

    Mungu awabariki sana kwa wimbo mzuri,Mungu aendelee kukubariki Benard Mukasa kwa kazi nzuri

  • @user-pb3db2rl7d
    @user-pb3db2rl7d ปีที่แล้ว +1

    Amina wimbo huu umenibariki sans mpaka nimetokwa na machozi ya furaha

  • @pondapapa8371
    @pondapapa8371 ปีที่แล้ว +4

    Nicely done! Asante ndugu Mkasa. Hongera Bab Askofu Kilaini!

  • @user-lq2be9sb7q
    @user-lq2be9sb7q ปีที่แล้ว +5

    The song elevates me every time I listen to it. This is God given straight from heaven. God bless you all.

  • @johnmwakipongo3536
    @johnmwakipongo3536 2 หลายเดือนก่อน

    Nyimbo nzuri sema kuna sehemu wameingiza maneno yao

  • @okrasamson4137
    @okrasamson4137 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nimeguswa sana na mapito ninayo pitia

  • @EudosiaTango-pu7jg
    @EudosiaTango-pu7jg ปีที่แล้ว +2

    Jaman imenibarik Sana mungu aendelee kuwalinda nakuwabariki waimbaji Hawa..

  • @user-qn4tx8do4g
    @user-qn4tx8do4g ปีที่แล้ว +2

    Utume mama. By macha
    8:27 8:28 8:29

  • @annamushi7758
    @annamushi7758 ปีที่แล้ว +3

    SO WONDERFUL BE BLERSSED ALL

  • @eustadiusfidelis3895
    @eustadiusfidelis3895 ปีที่แล้ว +2

    Askofu anayefikika kabisa.

    • @ibrahimmeresho797
      @ibrahimmeresho797 ปีที่แล้ว

      Hakika Mungu ni mwema kila wakati yatupasa kushukuru bila kuchoka.
      Wimbo umebeba ujumbe mzito sana

  • @bibianarugaimukamu4095
    @bibianarugaimukamu4095 10 หลายเดือนก่อน +2

    We really all of us need to thank God together with our Bishop Kilaini for his mercy

  • @henrykimani1664
    @henrykimani1664 ปีที่แล้ว +3

    Roho yangu imefurahishwa na uimbaji wenyu zaidi, nyimbo tamu na zenye uinjilishaji mkubwa. Proud to be catholic

  • @marthauisso5803
    @marthauisso5803 ปีที่แล้ว +2

    hongereni sana jaman kwa kumuimbia Askofu wetu vizuri sana

  • @alphoncempiti9505
    @alphoncempiti9505 ปีที่แล้ว +1

    Askofu kilaini,man of the match,
    Kiufupi hongereni sana waimbaji ,mmeimba vizuri sana

  • @gracewamaitha7382
    @gracewamaitha7382 11 หลายเดือนก่อน +1

    I love this song to the moon and back 💕 ❤️ 💛 💖 💓

  • @fatumamaiga8496
    @fatumamaiga8496 ปีที่แล้ว +2

    Baba Askofu ubarikiwe Sana. Ujaliwe utume mwema baba

  • @paskaziayaheze962
    @paskaziayaheze962 2 ปีที่แล้ว +6

    Wimbo mzuri Sana. Hongereni👏👏👏👏👏

  • @tinomasangia5511
    @tinomasangia5511 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nlifukuzwa seminary form 3 kuingia form iv! Wala sikuonewa nlikua mtundu. Nkaenda makumira sec kumalizia form iv. Nlipomaliza mtian wa form iv mwaka 2003 nliiimba huu. Wimbo pamoja na ule wa mwendo nimeumaliza vita nimevishinda

  • @carolnderi5004
    @carolnderi5004 ปีที่แล้ว +2

    Get addiction to this song najipata nikiimba zaidi ya mara 10 kwa siku mbarikiweni sana kwa kazi nzuri👏👏👏

  • @akwelinamassawe3655
    @akwelinamassawe3655 ปีที่แล้ว +1

    This is my best song

  • @nurdinmzuzuri757
    @nurdinmzuzuri757 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mwamba Mukasa ndio nani hasa mana anaonekana fundi sana!