Muhammad Bachu UONGO JUU YA WAZAZI WA MTUME ULIOMO KWENYE VITABU VYA MAULIDI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 พ.ย. 2021

ความคิดเห็น • 330

  • @is-hakaame
    @is-hakaame ปีที่แล้ว +7

    Dini ni dalili Mashaalah na umetupa dalili za wazi wazi.
    Na sisi tulikua wapenzi wa maulidi ila baada ya kupata elimu hiiii nimeachana na mambo ya maulidi.

    • @mohdhakim8216
      @mohdhakim8216 10 หลายเดือนก่อน +1

      😅

    • @mohdhakim8216
      @mohdhakim8216 10 หลายเดือนก่อน +2

      اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا ونبينا وحبيبنا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين ومن تبعهم بإحسان إلى يوم الدين

  • @IbrahimuSampa
    @IbrahimuSampa หลายเดือนก่อน

    Allah akupe umri mrefu wa kher ili tuendelee kupata elimu kutoka kwako shekh wetu.

  • @mohamedamiri4597
    @mohamedamiri4597 2 ปีที่แล้ว +5

    Maadam mtumi swalla Allahu alayhi wasallam ametuusia kuhusu nyama za wanazuoni nisumu twendeni tutafika

  • @user-ns4lc3yg2c
    @user-ns4lc3yg2c หลายเดือนก่อน

    Maasha Allah
    tupo pamoja kwa ajili ya .Allah Subhaanahu wataghala

  • @omarally6819
    @omarally6819 10 หลายเดือนก่อน +2

    Shekhe Muhammad watu wanadhani wazushi wakutukana tu burebure!!!
    Wanajua wewe unawaadhirisha, kwa ukweli na hoja nzito unazo zitoa kuthibitisha uongo wao.
    Allaah akupe umri mrefu na akuzidishie Elimu na Maarifa ktk Dini

    • @allybobsaith
      @allybobsaith 10 หลายเดือนก่อน

      Omar ally 🫡🫡🫡🫡🫡umeongea fantastik mm nipo na shekhe bachu, bachu anawapiga mkuki wa roho ndio maana wanamchukia😂😂😂😂😂😂ahlu bidaaa

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 9 หลายเดือนก่อน

      Bachu hamo na nyinyi hamumo mbona hasemi ukweli mawahabi tawhed tatu amezitoa wapi alafu aseme wazazi wa mtume yuko motoni mawahabi kasomeni aliengia motoni ni ami yake Coz mtume alitumilizwa ami yake akakataa kusilimu bachu wapoteze tu watu

  • @burhanisaidi9811
    @burhanisaidi9811 2 ปีที่แล้ว +9

    Hata waliopita kabla ya sisi hoja zao zilikua ni kusema tumeyakuta haya tokea mababu zetu wao walikua wakiyafanya,
    👉Tusomeni tuifahamu dini ya uislamu na sio kufata mambo ya kurithi toka kwa mababu na mabibi.

  • @safinamakoto5533
    @safinamakoto5533 ปีที่แล้ว +4

    Mungu awaswamee masheke nyinyi mulitajwa katika quruani

    • @KHALIDKIRAMA-iq6en
      @KHALIDKIRAMA-iq6en 8 หลายเดือนก่อน

      Sasa hizi hadithi anazo soma inamaana ni za uwongo?

  • @abubakarmohamed2845
    @abubakarmohamed2845 2 ปีที่แล้ว +5

    Ndio hawa waliopews funguo za pepo na moto na kuwatia motoni mpaka wazazi wa mtume S.A.W kijana waelekea pabaya sana

    • @habibuhalfani2038
      @habibuhalfani2038 ปีที่แล้ว +1

      ndugu yangu mimi ni mtu wa maulidi lakini asemayo huyo shekhe namsadikisha maana nimefatilia hadithi zote na baraanji vipengele vyote nikaona yupo sahihi ila ndoivo tutafanyaje ndugu tusibishe haki

    • @ibrahimmohamedmaalim5568
      @ibrahimmohamedmaalim5568 9 หลายเดือนก่อน

      Soma qurani wacha uswahili

    • @user-rk3cv3or8q
      @user-rk3cv3or8q 9 หลายเดือนก่อน

      SubhanaAllah.Wewe wataka uambiwe na Mtume Muhammad (S.A.W).Basi tafakari msg zimekufikia .Uamuzi ni wako.Hata Mimi nimemuelewa vizuri sana.Yuko sawa kabisa.

    • @abdulgadafi1922
      @abdulgadafi1922 2 หลายเดือนก่อน

      Hiyo Hadith ni sahihi bro

  • @abdurahmanabdallah2403
    @abdurahmanabdallah2403 2 ปีที่แล้ว +1

    SALAAAAAAALA UMEFIKIA HAPO MOHD BACHU KWANI WEWE NI MUHADITH WA KUTAFSIRI HADITHI UNAVO TAKA

  • @serengetishipping2196
    @serengetishipping2196 2 ปีที่แล้ว +6

    Sheikh unapotosha tafsiri kwa mawazo yako sio elimu , unawapotosha watu saanaaa
    Muogope allah sw

    • @alhajsazui3351
      @alhajsazui3351 2 ปีที่แล้ว

      sikiliza vizuri ndg yangu utaelewatu

    • @farruqali8879
      @farruqali8879 2 ปีที่แล้ว +4

      bas kama yeye ana potosha wewe rekebidha

    • @selemanmartin
      @selemanmartin ปีที่แล้ว

      Serengeti: kaa kimya, huna Ubongo ila Tope

  • @mohamedabu3268
    @mohamedabu3268 2 ปีที่แล้ว +5

    Masha ALLAH ndio maana umeambiwa huja baleghe ni kweli si kwamba ni kiumri kumbe ni kiilimu ndio huja baleghe

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 2 ปีที่แล้ว +1

      Haja balehee vip nyie wajinga hadis sahihi za mtume hizo anawasomea mtadanganywa mpaka lin na uzush

    • @hamisimuhammad3656
      @hamisimuhammad3656 ปีที่แล้ว +1

      @@awadhally1052 hawajielewi hawa

    • @allybobsaith
      @allybobsaith 10 หลายเดือนก่อน

      @@hamisimuhammad3656jiulize bachu adanganye watu apatefaidagani

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 9 หลายเดือนก่อน

      @@awadhally1052 ww kasome na bachu wako mpotoshaji hana ilimu sisi tutasoma tukutane siku ya kiyama

  • @hashimshariff8903
    @hashimshariff8903 2 ปีที่แล้ว +10

    Lakini wewe ambaye USO na Akili na upungufu WA elimu wamwita barzanji mrongo na kumpakia urongo kukifasiri kitabu cha barzanji Kwa fikra zako

    • @eidallyeidally5093
      @eidallyeidally5093 2 ปีที่แล้ว +2

      Km niuongo itakua anatafsir bibliaa

    • @abuyunusmohamed6961
      @abuyunusmohamed6961 2 ปีที่แล้ว +2

      Huyu mtoto ni jahil na anataka kuwafanya wanazuoni wetu waonekane majahil kama yeye.Allah atuhifadhi na shari zake yeye na mawahabi wenzake

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 2 ปีที่แล้ว +1

      Barzanji hakuwa mtu mwenye elimu ya dini, alikua ni mshairi tu kwahiyo nafasi ya kukosea ni kubwa

    • @abuyunusmohamed6961
      @abuyunusmohamed6961 2 ปีที่แล้ว +1

      @@mhogomchungu7168 acha ujahili wako.Hawa washairi wa kiarabu ni hodari sana kwa lugha ya kiarabu na wanazijua lugha za mafumbo .Tatizo mawahabi ndio wanatuharibia dini yetu.Barzanji ni mtaalamu wa lugha ya kiarabu hata wasaudi,mawahabi na mayahudi wanamuogopa kwa elimu yake.

    • @shariffjuma7974
      @shariffjuma7974 2 ปีที่แล้ว

      Ukweli hamuutaki mshazoea mziki ndio dini yenu

  • @mchagagaspar6649
    @mchagagaspar6649 ปีที่แล้ว

    NIME AMINI HUYU KIJANA HANA RADHI NA ANAZO CHENGA AKILINI MWAKE ,ALLAH MVUWE MARADHI ALONAYO NA UMTENGENEZE NDIMI YAKE ASIWE SABABU SISI KUKOSA REHMAZAKO NA KHERI ....

    • @abuibra
      @abuibra 10 หลายเดือนก่อน

      Anasema Kweli

  • @yusuphsaad4349
    @yusuphsaad4349 2 ปีที่แล้ว +4

    Kwa hakika vijogoo vinavyowika viko vingi....tuweni makini sana...Allah akusamehe mdogo wetu....

    • @alhajsazui3351
      @alhajsazui3351 2 ปีที่แล้ว

      mh pole yako

    • @abuunajat4450
      @abuunajat4450 ปีที่แล้ว

      Pole sana kaka yussuf

    • @selemanmartin
      @selemanmartin ปีที่แล้ว

      Yusuf: Ama kweli wewe Bongolala kabisa, hivi hata maelezo haya huelewi! Tulikuwa wote shule ya msingi ulikuwa hivihivi! POLE

    • @yusuphsaad4349
      @yusuphsaad4349 ปีที่แล้ว

      Sikujui!

  • @alimohamedahmedahmed1050
    @alimohamedahmedahmed1050 ปีที่แล้ว +1

    Ndiyo kama ulivyo sema baba wa Ibrahim na mke wa nuhu na mke wa lut wako motoni ni kwa sababu wali onywa wakakata maonyo but wazizi wa mtume nani aliwa onya wakakata na mingu mwenyewe ame sema hanga mizi mtu ila akikata ma onyo hata firauni haku anga miziwa ila baada ya yeye kupiga wajumbe wa mungu

  • @omariweldingfabrication7630
    @omariweldingfabrication7630 ปีที่แล้ว +1

    Mshaa Allah

  • @AhmedMohamed-po5vh
    @AhmedMohamed-po5vh 2 ปีที่แล้ว +2

    MaAshallah SHEIKH! THANKS SO MUCH!

  • @saidiabdallah-kv7bd
    @saidiabdallah-kv7bd ปีที่แล้ว +1

    Uyo babaako akipinga maulid lkn hakufikia kusema hayo daaaah

  • @omaryselemani6575
    @omaryselemani6575 2 ปีที่แล้ว +3

    Kichaa siokuvua nguo tu

  • @AsmaAli-je2zz
    @AsmaAli-je2zz หลายเดือนก่อน

    Naomba mawasiliano yako shekhe

  • @tamashamagoma2941
    @tamashamagoma2941 2 ปีที่แล้ว +3

    Allah akujaze kheri shekh Bachu, endelea kutuelimisha, wanaokasirika huwenda wanamanufaa na hayo. Allah atuongoze

  • @albaharyhaji8231
    @albaharyhaji8231 2 ปีที่แล้ว +2

    Nenda kazidi kutafuta elmu kwa wanavyuoni hicho unachokisema ni uwongo mtupu hasa shida ya sasa hivi mkishajuwa kusoma kiarab basi tayari mshakuwa wasomi wa dini

    • @selemanmartin
      @selemanmartin ปีที่แล้ว

      Wewe una elimu? Omba nafasi ktk mimbar tukusikie, acha chuki wakati huna ujuacho

  • @user-fb6dz4zh6e
    @user-fb6dz4zh6e 2 ปีที่แล้ว +1

    Ww kuwa na adabu na wazazi wa mtume
    Juzi tu Mohammad mafuta kamtaja babako kukosa usalafi ukajawa na jazba mpaka kuwakosea heshima kina kasim mafuta
    Keif hao wazazi wa mtume unawakufurisha

  • @saidiabdallah-kv7bd
    @saidiabdallah-kv7bd ปีที่แล้ว +2

    Yaani ww mpotoshaji sana mshenzi kama ww daah

    • @user-rk3cv3or8q
      @user-rk3cv3or8q 9 หลายเดือนก่อน

      SubhanAllah.haya amepotosha wapi?hebu tuelimishe.

  • @abdallahmkomboz2679
    @abdallahmkomboz2679 2 ปีที่แล้ว +3

    Hadithi kutoka kwa Annas:Mtume (SAW) anasema MIMI NIMETOKA KWENYE NDOA WALA SIKUTOKA KWENYE ZINAA KUANZIA ADAM MPAKA NILIPOFIKA KWA BABA YANGU NA MAMA YANGU. BASI MIMI NI MBORA WENU KINAFSI NA BABA YANGU NI MBORA KULIKO BABA ZENU!! Hio hadith unayoitoa hujaelewa mafuhumu yake coz neno Abii / Abuu hutumika hata kwa baba mdogo au mkubwa kwa lugha ya kiarabu!! Mtume hapo alimmaanisha Baba yake mdogo Abuu lahabi!!

    • @mafaza.tv.tz255
      @mafaza.tv.tz255 2 ปีที่แล้ว

      Katika aheria ya kiisalmu ndoa inatambulika hata ikifungwa kanisani au mila, ndomana mtu akisilimu na mkewe hawafungishwi ndoa upya... Bab yake na mama yake mtume walioana lakin haimanishi waliowana kwa sheria ya kiislamu.... Ni ndoa ya mila... Mtu kweli sio mtoto wa zinaa, hilo ni hakika... Lakn haimanishi wazee wake ni waislamu... Wallahi aalamu

    • @habibuhalfani2038
      @habibuhalfani2038 ปีที่แล้ว

      shekhe wewe hiyo hadithi yako bado kabisa haina upinzani hata mimi kama wazazai wangu wangekua waikristo kisha mimi nikasilimu ukubwani japo wazazi wangu ni makafiri ciwezi sema kuwa mimi ni mtoto wa zinaa eti kwa kuwa wazaz wangu hawakufungua ndoa ya kiislamu namaanisha kupitia ndoa walofunga tayari inahesabika ni ndoa hata mtume alimuo bikhadija kabla ya kupewa utume na bado ni ndoa halali

    • @MtapankunduLyowa
      @MtapankunduLyowa 4 หลายเดือนก่อน

      Kwani hakuna ndoa za ki mila???? tumia akili wapagani hawana wake?

  • @sameermilo2492
    @sameermilo2492 2 ปีที่แล้ว +3

    Hamna Elimu hapo , kuna chuki tu na kiburi

  • @hidayarashidi5484
    @hidayarashidi5484 ปีที่แล้ว +3

    Mashehe kama hawa ndio mimi nawafuata maashaallah

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 9 หลายเดือนก่อน

      Fuata upote wapotoshaji hawa bachu mpotofu

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 ปีที่แล้ว

    Bachu kasome baba wa mtume aingie motoni swali alifkiwa na ujumbe akaupinga mungu hamuadhbu mtu mpaka afkiwe na ujumbe

  • @salmaomar7979
    @salmaomar7979 ปีที่แล้ว

    Muhammad umeowa wake wawili umewaweka nyumba moja hata mtume hakufanya hivo kwa hiyo nawewe pia mnafik

  • @oldpoultry9341
    @oldpoultry9341 2 ปีที่แล้ว +3

    Masha’allaah tabaarakallah
    Allahumma baarik fyikum

  • @abubakarfaiz2401
    @abubakarfaiz2401 ปีที่แล้ว

    Sheikh Abdallah Humeid(Dilele) alivyokuwa akisema mulimwita maneno kibao na kusema ana matusi lakini sahii mwaona maneno mazito alokuwa akiyasema.

  • @hashimmzee9109
    @hashimmzee9109 2 ปีที่แล้ว +9

    Kwanini mnaoshabikia mawlid mnakuwa na jazba mnaponasihiwa ukweli? Kwani hiyo Barzanji maneno yake na ubora wake washinda Quran? Yeyote anaetafuta haki kwenye dini yampasa arudi kwenye mafundisho ya Quran na Sunnah.. vyenginevyo hatoifahamu haki na batil ikiwa atakuwa ni mwenye kushabikia itikadi walizofanya mababu zetu wakitakidi kuwa ni mambo ya dini...

    • @karimdaud3993
      @karimdaud3993 2 ปีที่แล้ว

      Kwani wewe maneno yako na quraan bora yepi ni muhim kufaham kwa hiyo quraan .ukiwa hujaifaham basi .utayumba bora tusali na fardhi tujitahidi .

    • @farruqali8879
      @farruqali8879 2 ปีที่แล้ว +1

      @@karimdaud3993 kwan Quran inaonyesha wapi kama maulid ni ibada

    • @abbasmabewa320
      @abbasmabewa320 ปีที่แล้ว

      Hashim mzee,nataka mimi na wewe tufundishane Qur'an na sunna,kisha tuje kumfundisha Mwamedi bachu,Wewe uje na tafsiri ya Qur'an nami In Shaa Allah nitakuja na Ta'awil ya Qur'an tujadiliane,tufundishane na tuelekezane kwa adabu na utaratibu mzuri kisha tuje kwa mwamedi bachu pia.

  • @abamohamed7092
    @abamohamed7092 2 ปีที่แล้ว +1

    Ukosefu wa elimu na kukosa adabu ndiko kunakokupelekea kuzua hayo unayoyazua,

    • @alhajsazui3351
      @alhajsazui3351 2 ปีที่แล้ว

      Sheik sikiliza vzr uwelewe upate faida

  • @ramadhanmakame1328
    @ramadhanmakame1328 2 ปีที่แล้ว +6

    Umma w Kiislamu unaandamwa kila kona na makafiri, sheria za Allah s.w.t hazitekelezwi duniani. Bado mpaka leo mada ni "MAWLID" ndo Uislamu wetu umeishia hapo?

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 2 ปีที่แล้ว

      Hizo sheria tekeleza ktk family yako huwezi waminisha watu unacho amini wewe

    • @ramadhanmakame1328
      @ramadhanmakame1328 2 ปีที่แล้ว

      @@michaelthobias9967 kufa kwa chuki zako

    • @mahamoudduchi3318
      @mahamoudduchi3318 2 ปีที่แล้ว

      @@michaelthobias9967 Huna ulijualo katika uislamu endelea na upuuzi tu ila maisha ya kweli yapo baada ya kufa.

  • @mickidadmiraji5949
    @mickidadmiraji5949 2 หลายเดือนก่อน

    Sheikh said Omary kijana kaanza tena fujo tunataraji afundishwe tena tangu.

  • @ElMafunzoTv770
    @ElMafunzoTv770 ปีที่แล้ว +1

    Daaaah we jamaa jahilia sana mpumbavu kabisa yani Allah akuongoze uijue dini Aaamin

  • @kukww2024
    @kukww2024 2 ปีที่แล้ว

    Asalam aleikum warhmatulah wabarakatu shukran sana sheikh nakukuba Allah akuweke akupe husnul hatima

    • @selemanmartin
      @selemanmartin ปีที่แล้ว

      Mtakoma watu wa Bid'aa, hamumuwezi huyo

  • @abdallahmwasiho1521
    @abdallahmwasiho1521 2 ปีที่แล้ว +1

    Mm sina elimu lakini siku zijazo makafiri watakuwa wakija kwny debet watakuwa wana uliza maswali khs maulid,kwny mihadhara itakuwa hvy hvy innahlillah wainnalillah rajuun!!!!!!!

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 2 ปีที่แล้ว +1

      Haina uzito hiyo hoja pale ni Quran na baibo . Sasa ajekuulza barzanje nikitabu cha mashairi sasa aulize vina au

  • @saidiabdallah-kv7bd
    @saidiabdallah-kv7bd ปีที่แล้ว +1

    We mfitnishaji tu na mvunjaji nakaziako kupotoa watu tu hauna jengne

  • @arjenarjen6718
    @arjenarjen6718 2 ปีที่แล้ว +3

    Wewe bado kielimu japo kua mtoto wa shekhe

  • @saidiabdallah-kv7bd
    @saidiabdallah-kv7bd ปีที่แล้ว +1

    Astaghfirullaaaah kwaio wamaanisha kwamba mamaetu bibi amina ataingia motoni daaah we jamaa hufai hata kdg yaani tena ww mshenzi tu sii sheikh

  • @omarykinolo3628
    @omarykinolo3628 2 ปีที่แล้ว

    Hana ilmu

    • @bwagizoselemani8434
      @bwagizoselemani8434 2 ปีที่แล้ว

      Wewe unaelimu kaka au waongea tu sikiliza hoja tu zakielimu sio unabisha alafu hujui kitu kama kunashekhe yoyote anajiamini kihoja za maulid azilete online mbn wapo kimya

    • @habibuhalfani2038
      @habibuhalfani2038 ปีที่แล้ว

      wewe una kichaa ndugu hana elimu haya wewe mwenye elimu njoo utuelimisha au kawatafute mashekhe wako wapiga madufu waje watuelimisha on line

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 2 ปีที่แล้ว +3

    Maashaallaah. Allaahu akubaariki.

  • @shafiisalim5481
    @shafiisalim5481 2 ปีที่แล้ว +1

    th-cam.com/video/CM7mX19MBM0/w-d-xo.html
    Raddi kwa Muhammad Bachu jee katika Barzanji kuna shirki (1)

  • @HashimMohd-wg3cy
    @HashimMohd-wg3cy ปีที่แล้ว

    Baadae utaelewa tu inshallah na upumbavuwako uwo

  • @fakijuma8713
    @fakijuma8713 10 หลายเดือนก่อน +1

    Sibitisha baba wa mtume kuwa ameabudia sanamu?

  • @hamadidodi5295
    @hamadidodi5295 11 หลายเดือนก่อน

    Huna adabu mtoto wa bachu

  • @SaidAli-rb2tp
    @SaidAli-rb2tp 2 ปีที่แล้ว +3

    Wazazi wa mtume Mohamad s.a.w wapo peponi tena janatul firdaus ww ni laaana zakusumbua

    • @kukww2024
      @kukww2024 2 ปีที่แล้ว +1

      Asalam aleikum warhmatulah wabarakatu angaliya kauli zako kaka

    • @sayman158
      @sayman158 2 ปีที่แล้ว

      @@kukww2024 soma dini kaka acha kukurupuka wewe

    • @mafaza.tv.tz255
      @mafaza.tv.tz255 2 ปีที่แล้ว +1

      Tupe hadithi inayosema hivo.... Maana hata sisi twatamani wangekuwa peponi..... So Tupe hadithi yaonekana umesoma sana ndg

    • @habibuhalfani2038
      @habibuhalfani2038 ปีที่แล้ว

      tuliza mshono kaka acha kukurupuka
      tumia hoja kasema mtume mwenyewe wewe nanai tukisikiliza wewe kajambe mbele

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 9 หลายเดือนก่อน

      @@kukww2024 mbona usimwambie bachu achunge na wanazuoni na mtume alikataza kuwatusi wanazuoni

  • @bakarhaj9214
    @bakarhaj9214 7 หลายเดือนก่อน

    Kwa kweli huyu bado anathibitisha ni mchache wa elimu kila siku anaharibu yeye.
    Kwani ukisema baba kwa kiarabu inakua baba mzazi?
    Kwa kweli mudi unawapotosha watu na utakwenda kujibu.
    Ami na babu pia unaweza kuita Abii.
    Aabaaukum mababa zenu

  • @Marwatv255
    @Marwatv255 2 ปีที่แล้ว +1

    Kunavitu kama huna elimu huwez kosoa Nahw uliyo nayo na Lugha Hsikutoshi kukosoa

    • @harounmussa846
      @harounmussa846 ปีที่แล้ว

      Naona umengangana kupotosha watu wewe nimchanga ktk elim kasome huna elim yakuzidi sayidinaa jaafari

  • @abdallahmkomboz2679
    @abdallahmkomboz2679 2 ปีที่แล้ว +19

    Innalillahi waina ilaih rajiuun!! Uchache wa elimu ndo unakufanya uongee usiyojua...nenda kaisome nasaba ya mtume (s.a.w) umjue Abdullah alikua nani kwa baba yake,,je ni hakua muislamu au alikua anafanya ibada ziliochwa na nabii Ibrahimu!! Nenda kamsome Abdull mutwalib (babu yake mtume) alikua vp,,Kamsome Hashim na jina lake halisi ni nani , na kwann ameitwa Hashim,kamsome Abdul manaf na jina iake halisi ni nani na kwann anaitwa Abdul-manafi!! kasome nasaba yake yote mpaka ya Adinani utawajua ubora wa kizazi cha mtume (s.a.w)

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 2 ปีที่แล้ว +2

      Kwahiyo hiyo hadithi bi yauongo? Mtume hajasema kua baba yake yupo huko motoni??? Naomba nijibu tafadhali

    • @abdallahmkomboz2679
      @abdallahmkomboz2679 2 ปีที่แล้ว +9

      @@suleymansalim5732 hadithi ni ya kweli lkn inataka mafuhumu sababu neno Abuu/ abi hutumika hata kwa baba mkubwa au mdogo! Na hapo mtume (s.a.w) amemmaanisha Abuu lahabi ambae alikua baba yake mkubwa!! Hadithi inayoonesha ubora wa baba yake mtume moja wapo ni hii kutoka kwa Annas kwa Mtume (s.a.w) amesema Na nimetoka kwenye ndoa wala sikutoka kwenye zinaa kuanzia kwa Adam mpaka Baba yangu na Mama yangu, basi mimi ni mbora wenu kinafsi na baba yangu ni mbora kuliko baba zenu!! Na ukisoma nasaba ya mtume mpaka kwa Ismaili(a.s) wote hawa walikua wanamuabudu Allah na kufuata mila za nabii Ibrahim (a.s) !! Nakushauri isome hii nasaba kwa undani..Zipo Hadithi za mtume zenye majaz na kinaya ndani yake mfano mtume alipomjibu yule kibibi kizee kwamba Peponi hawaingii wazee ,,, maaanake kuna kinaya sio kwamba wazee wataingia motoni bali pepon tutaingia kwa umbo la ujana!! Kufasiri Qur-an ,hadithi au beti kama hzo hitajiii tu kujua lugha na nahau!! Bali kuna fani za usuulu , Balagha , Mantwik na kujua kilichokusudiwa !! Huyo Barzanji anaemkosoa hapo alikua ni Mufti wa Madina katk Uhai wake na Alifundisha darsa zake katk Msikiti wa Mtume (s.a.w) sasa yeye anakurupuka kufasiri beti kwa kiarabu cha kawaida hvo vnampa tabu sana!! mfano mtu wa darasa la saba kumpa kitabu cha mashair ya wasaka tonge akute shairi la jiwe si mchi , Mvuja jasho au Mfereji maringo alafu atafsiri kwa kawaida bila kujua dhamira za tungo hzoo!! Tusomeni Dini , tupo kwenye zama za fitna!! Hivo kamsome Abdullah bin Abdul-mutwalib ambae alikua ni mtt wa mwisho wa Abdul-mutwalib

    • @sheikhabdallahabdulkarim2470
      @sheikhabdallahabdulkarim2470 2 ปีที่แล้ว +3

      Kweli

    • @karimdaud3993
      @karimdaud3993 2 ปีที่แล้ว +7

      @@abdallahmkomboz2679
      ALLAH AKUPE UMRI WENYE BARKA .
      NA MOYO ULIVO NIDUNDA .
      KUMSIKIA MTU ANASEMA MAMENO MAZITO JUU YA RASULULLAH. ALLWAAHUAKBAT.

    • @muhidinn5648
      @muhidinn5648 2 ปีที่แล้ว +2

      Huyu haha akili eti yeye ndo mkweli na hao walioifanya kazi yote mpaka wakatunufaisha kielimu kwa mijeledi ya vitabu ni waongo الجنون فنون والاحمق من المجنون

  • @HassanMohamed-pt2dy
    @HassanMohamed-pt2dy 2 ปีที่แล้ว +2

    Hii naona imeeleweka,hayakuwepo maulid na hakuyaacha Mtume wetu (SWA). So tujiepushe na bid'a. Ustadh naona wameelewa tufunze vitu vyengine In Shaa Allah.barakaAllah fiik

    • @adamsamata8754
      @adamsamata8754 2 ปีที่แล้ว

      Bas tusipande ndege wala basi maana ni kitu kulikua haipo unasema hapo

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf ปีที่แล้ว

      @@adamsamata8754 bado unaulizaga hayo maswali ndg yangu??? siku zote bidah zinazoongelewaga ni bidah ndani ya dini katika ibada

    • @adamsamata8754
      @adamsamata8754 ปีที่แล้ว

      @@Yu-jr9uf ahaa sawa Sasa somo la Nahau limezuka mtume halijui wala hakuna mtume aliyesoma na vilevile spika za msikitini mtume hakutumia ni bidaa hapo je vipi au navyo sio dini

    • @adamsamata8754
      @adamsamata8754 ปีที่แล้ว

      @@Yu-jr9uf kama hujatosheka nikuongeze

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf ปีที่แล้ว

      @@adamsamata8754 spika ni ibada??? unajua maana ya ibada lakini ndugu yangu??

  • @rashidabasi7940
    @rashidabasi7940 2 ปีที่แล้ว +1

    Masheikh tulobaki nao.... Kubwa ni kuzungumzia madhehebu .
    Ebu jikite kutoa elimu kama Ustadh Othman maalim watu waelimike wachague wenyewe.

    • @Miynuh_01
      @Miynuh_01 2 ปีที่แล้ว

      Kabisa, yaani badala kufindisha watu Tawhid na mengineyo yao huyu ni mrongo,huyu ni mzushi huyu ni hivi. Subhana Allah sijuwi twaelekea wapi ,mola atupe fahamu na Tawfiq tuweze kujuwa batil katika dini bila kutegema sheikh yeyote😢

    • @wignaspaschal38
      @wignaspaschal38 ปีที่แล้ว

      We nae masikio huna huoni kuwa Anaongea point

  • @user-tb5mc2wm1z
    @user-tb5mc2wm1z 10 หลายเดือนก่อน

    MAULIDI NI UWONGO KWELI WALA HAIFAI..ILA NASHANGAA MASHEKHE WOTE WANAMSEMA BACHU..KWANZA VP UTASHEREHEKEA SIKU YAKUFA

  • @hashimshariff8903
    @hashimshariff8903 2 ปีที่แล้ว +4

    hujatunga hata kitabu cha kurasa 10 Leo hii wamkosoa barzanji Kweli una upungufu WA elimu na Akili

    • @aliybecka5169
      @aliybecka5169 2 ปีที่แล้ว

      Kwa kweli ww ni mjinga dah pole sana zero brain

    • @shariffjuma7974
      @shariffjuma7974 2 ปีที่แล้ว

      Ww unakijua au ni kufuata tu bila kujua ulisemalo

    • @aliybecka5169
      @aliybecka5169 2 ปีที่แล้ว +1

      Jamani kumbe kuna watu wagonjwa kweli ee sasa wewe nani alikuambia kama mtu akitunga kitabu ndio yupo sawa, sasa mimi nakuambia barzanj ni kitabu kilichojaa shirki shirki shirki za waziiiii na uongo mkubwaa

  • @drchinamodi6373
    @drchinamodi6373 2 ปีที่แล้ว +2

    kibaleghee weee

  • @mohdmohd2550
    @mohdmohd2550 ปีที่แล้ว

    Tuseme ndio hujui kulingania au vipi, mbona kila sikua wasoma maulidi wanaongezeka tu tena hadi staili mpya za maulidi zinaanzishw, wallah ungekua hujikwezi na kujisifu bac watu wangekuelew

  • @ahmedhusseinshnoor1210
    @ahmedhusseinshnoor1210 2 ปีที่แล้ว +1

    Nilidhani yeyote anayepingana Mowlid ni salafi, kumbe mahizbi na maikhwani pia wanapinga mowlidi.. yaa hizbiyuun mwanzo jirakibisheni Na Biddah zenu ‘

  • @omarykinolo3628
    @omarykinolo3628 2 ปีที่แล้ว +2

    Innaa lillahi wainnaa ilaihi raajiuu ni msiba mzito sana

  • @majmaulbahraintv5535
    @majmaulbahraintv5535 ปีที่แล้ว

    Huna ELIM dogo ndo maana hujui kitu soma Kwanza chali

  • @hamhahamha9446
    @hamhahamha9446 2 ปีที่แล้ว +1

    We Muhammed Bachu Uchizi kama chizi wengine tu.

  • @HashimMohd-wg3cy
    @HashimMohd-wg3cy ปีที่แล้ว

    Nenda ukasome tena, usiropokwe mambo usiyoyajua.

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali7192 ปีที่แล้ว

    Hee mtihani kwa kweli mie kwa hapa sikubali

    • @selemanmartin
      @selemanmartin ปีที่แล้ว

      Hukubali lipi? Tueleze msimamo wako ni upi? na umesoma wapi maandiko tofauti na hayo?

  • @alijabz1204
    @alijabz1204 ปีที่แล้ว

    Ndugu zangu yauma kweli na nichungu sana lkn yabidi turidhike na tumize madamu dalili zimedhibiti

  • @omarmuhidin7261
    @omarmuhidin7261 2 ปีที่แล้ว

    Samhnn naomba niulize kwani Mzazi wa Nabii Ibrahim Baba wa iiman Babaake Ameingia wapi? Je alikua Muislamu au Mshirikina?

  • @athaum05
    @athaum05 2 ปีที่แล้ว +2

    فسئلوا أهل الذكر إن كنتم لا تعلمون
    Hili ndio tatizo la mtu kuacha kuuliza wajuzi wa jambo,
    Anaamua kujiuliza mwenyewe na kujijibu mwenyewe
    Kisha anajipongeza kwamba kapatia kujijibu!

  • @bythamtz8642
    @bythamtz8642 ปีที่แล้ว +1

    Hauna akili ivyo ulivyo elewa wewe jiulize maneno yako yana akili? Acha kutukana wanawazuoni nenda kasome uelewa wako mdogo sana, Kisha jifunze kuwaheshim Wana zuoni ili uelewe, ndo maana hujui na hutojua mpk kiama, maana wewe unawatukana wenyej kujua kwa umbumbumbu wako

  • @hashimshariff8903
    @hashimshariff8903 2 ปีที่แล้ว +1

    Mitume wengine walikuwa na dini gani kama watu walokufa kabla ya mtume kutumilizwa wataingia motoni ambao ni ahlu fitra

    • @eastzooadmin6416
      @eastzooadmin6416 2 ปีที่แล้ว

      Mbona upo kama bunju, yani bado tu hajaelewa, au ni kusudi tu. Ndo nyinyi watoto wa barzanji 😁

  • @hashimshariff8903
    @hashimshariff8903 2 ปีที่แล้ว +2

    Kwa hakika tumewaona mashekhe walokutangulia WA kiwahabi Vigo wakisawasawa hawajadhubutu hats siku moja kuwatukana swahib barzanji Wala waliotunga vitabu vingine

    • @alamoodyfauzi9658
      @alamoodyfauzi9658 2 ปีที่แล้ว +1

      Kwani huyu shekhe pia? Hata hana quality za mashekhe. Amejaza roho yako chuki kinyume cha mafundisho ya mtume..He is in a lot of pain..namuhurumia.

  • @anwarambar6141
    @anwarambar6141 2 ปีที่แล้ว

    mrongo wewe, kuwa na adabu, mashekhe wote ulimwenguni sijawasikia wakisema kuwa wazazi wa mtume wetu Muhammad wamekufa ilhali mushrikina, umevuka mipaka wewe, wewe ni kazi yako kubishana TU

  • @saidiabdallah-kv7bd
    @saidiabdallah-kv7bd ปีที่แล้ว +1

    Huo ukweli wako ww twambir

  • @yusufathman2478
    @yusufathman2478 2 ปีที่แล้ว +1

    Idhaa maata ibn aadha nkatwaa amaluhu ila man ay...

    • @mafaza.tv.tz255
      @mafaza.tv.tz255 2 ปีที่แล้ว +1

      Sharti la kufaiwa na mwanao ufe ukiwa muislamu....

  • @issajaha5162
    @issajaha5162 2 ปีที่แล้ว

    Kwakweli sijaelewa hoja zako za kupinga maulidi kwahiyo mama yake mtume hakuwa mwema

    • @mafaza.tv.tz255
      @mafaza.tv.tz255 2 ปีที่แล้ว

      Assalam Alykm, ndugu usitsfute hoja ya kupinga maulidi... Waulize wanaofanya wametumia hadithi gani, au aya gani, au swahaba gani au imamu gani shafi, hambal, maliki, hanifa... Nani alifundisha maulidi... Hao ndio maimamu wa kutegemewa... Kama ni mtu tu kaja nayo basi hiyo si ibada.. So usiulize kwanin haifai, uliza kwanin watu wafanye jambo ambalo si mtume, wala swahaba, wala taabin, wala maimamu wanne wakubwa amewahi kufanya hilo

    • @ashasalum4467
      @ashasalum4467 ปีที่แล้ว

      Mtihaaani kwa kweli.

  • @swabiralii140
    @swabiralii140 11 หลายเดือนก่อน

    Unawazimu bachu umeishiwa na darsa

  • @ashraf.e.o
    @ashraf.e.o ปีที่แล้ว

    Sabasibul Kubra... pwaguzi wako
    خالف تعرف ،

  • @abubakarfaiz2401
    @abubakarfaiz2401 ปีที่แล้ว

    Bidaah ni uzushi tu katika dini baaas hakuna lingine

  • @abdalhasaid8408
    @abdalhasaid8408 2 ปีที่แล้ว

    Ww kazi yakufanya huna unatafuta mashekhe wameteleza wapi upate ukosowe wachana na waislam wenzio kugombana nao ila nimekumbuka nimipango yenu malumu munalipwa kufanya hivo na viongozi wenu

  • @Ahmed-wj5md
    @Ahmed-wj5md 2 ปีที่แล้ว +1

    Please don't come to give wrong words you need to study

    • @selemanmartin
      @selemanmartin ปีที่แล้ว

      Colonial mentality, why don't you write in Kiswahili? Uonekane umesoma sana! Jinga

    • @selemanmartin
      @selemanmartin ปีที่แล้ว

      He has studied that's why he's speaking reality infront of you with no doubt with perfect references

  • @mrmuhammed8790
    @mrmuhammed8790 ปีที่แล้ว

    Eeee mwanawee vip kwani mbona unapotosha watu we kama hunakaz nenda kauze njugu darajani dahhh kaz

  • @yahyajunior6569
    @yahyajunior6569 ปีที่แล้ว

    Huyu jamaa ana akili duni hana busara hata kidogo.... Ajiandikishie kitabu chake asipuuze vitabu vya wenyewe

    • @IbraJuma-hm9vw
      @IbraJuma-hm9vw 9 หลายเดือนก่อน

      Huna akili we😂😂😂

  • @fahmisaid8998
    @fahmisaid8998 2 ปีที่แล้ว

    Huna mengine ya kuongea mtu wewe ni Mawlid tu? Kuna mengi yakuongea jamii imepotoka yahitaji kurekebishwa...nyinyi ni Mawlid tu utapasuka kundru angalia ya muhimu boss

  • @swabiralii140
    @swabiralii140 11 หลายเดือนก่อน

    Wewe ulimuona ama kumskia mtume ulisoma madrassa gni una kibri

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 ปีที่แล้ว +3

    Jazaakallahu haillah

  • @abunufilaabunufila2152
    @abunufilaabunufila2152 2 ปีที่แล้ว +1

    Wewe mjinga kweli kuna makahaba yanafanya yatakayo miziki aina tofauti tena yanaharibu watoto sibora upigevita hayo machafu wewe

  • @kaslali2039
    @kaslali2039 2 ปีที่แล้ว

    bonyeza picha yangu

  • @lukakyauke3258
    @lukakyauke3258 2 ปีที่แล้ว

    Apo Mmesema kweli Wazazi wa Muhammad walikuwa makafiri
    Na kwa mojibu wa Biblia kitu Kichafu akiwezi kutoa kitu kisafi
    Kwa msingi huwo Muhammad ni Nabii feki

  • @leilamuhammad1558
    @leilamuhammad1558 2 ปีที่แล้ว

    Asalamu alekum naomba number yako sheikh

  • @hashimshariff8903
    @hashimshariff8903 2 ปีที่แล้ว

    Mitume mengine walikuwa na dini gani mpaka useme mamake na babake hawakufa katika dini sahihi

    • @jolinkimaro9939
      @jolinkimaro9939 2 ปีที่แล้ว

      maquresh hawakuwa na dini shekh walikuwa makafiri wakiabudu samanam zaidi ya 360 katika alkahaba. huna hiyo habari hashim. mtume ndio alianzisha uislam na bi adija alikuwa wa kwanza kuslim. mtume hakuwahi kuwa na dini hata alipohusiwa asilimu aliepa katika aya 4:16 hakusilim mpaka anakufa.
      lakini pia ilimuumiza mtume kwa kuwa katika 49:6 alianza kuona makosa na akakiri hajui nini kitafuata. uchungu ulimshika akaanza kusema wajameni niswalieni niswalieni mtapata rehema. lakini mkisoma mkaacha kasumba na jaziba na hisia mtaona hayo yote. karibu katik ex imam tv utapata yote

    • @eastzooadmin6416
      @eastzooadmin6416 2 ปีที่แล้ว

      Kwahio mtume ilikua hana akili aliposema babake yuko motoni

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 2 ปีที่แล้ว

      @@jolinkimaro9939 acha upotovu wakijinga hujui unachoongea

  • @fikratulmuhibbonlinetvismail
    @fikratulmuhibbonlinetvismail ปีที่แล้ว

    Watumia hadithi zaifuu kuwaingiza motoni wazazi wa mtume

    • @selemanmartin
      @selemanmartin ปีที่แล้ว

      Kaa pembeni, hata maandishi yako makosa matupu--hujielewi

    • @fikratulmuhibbonlinetvismail
      @fikratulmuhibbonlinetvismail ปีที่แล้ว

      @@selemanmartin hadithi ya kuwa wazazi wa mtume ni wamotoni ni dhaifu shekh sasa huyuu au kisa iko sahihi muslim

  • @feisal6592
    @feisal6592 ปีที่แล้ว

    Sawa

  • @jumamnemo8383
    @jumamnemo8383 2 ปีที่แล้ว

    Unafanya hatari ya kuutia shaka uislam na akida .swali kwako Bacho je Mwenyezimungu huwaazibu watu bila kuwapelekea mjumbe je nimtume gani waluotakiwa kumfuata hao wazazi wa mtume je nabii iIssa alikua ni mtume wa watu wote?

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 2 ปีที่แล้ว +1

      We nadhani hujaelewa mada hayo maswali yko yote yamejibiwa humo.kuhusu kunfata nabii Ibrahim alayhsalaam....na kasema wapo walomfata nawapo walopindisha nawalokataa sikiliza tena

  • @swabiralii140
    @swabiralii140 11 หลายเดือนก่อน

    Huyu badchu jamaa yuwajua anachoongea

  • @luqmansadi3724
    @luqmansadi3724 2 ปีที่แล้ว +1

    Uwongo je wewe ulikuepo

  • @fatmaabdallah8471
    @fatmaabdallah8471 2 ปีที่แล้ว +1

    wewe bado tuu umekazana maulidi niuongo wajuao ilimu hawapingi maulidi athman maalim na ezdin huashidi kwa ilimu hawapingi maulidi una nini wewe kijana ama umepewa pesa upwa yukwe mtumi mungu amemsifu alianza mungu kumsifu mtumi usitusemeshe kijana tafuta ilimu kwanza wewe huna ilimu bachuuu wacha kusema maulidi niurongo wewe ndie mrongo huna ukweli kabisa

    • @criminal03mostwanted71
      @criminal03mostwanted71 2 ปีที่แล้ว +2

      Wewe Sasa unaakili kweli ❓❓❓❓❓Sasa Izuddin na othman maalim wameyapata wapiiii hayo maulidi na hayo maneno yaliopo kwenye hayo mabarazanje, na simtuddurari......... Pia hawana ilmu kumshinda mtume hat imaam shafiy hawamkuti

    • @criminal03mostwanted71
      @criminal03mostwanted71 2 ปีที่แล้ว +2

      Thibitisha uongo wa Muhammad Bachu maana upuuzi wenu wa vitabu vitabu vya kipuuuzi kama barazanji

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 2 ปีที่แล้ว +1

      Barzanji alikua mshairi na hakuwa mwanachuoni wa dini , soma quran 26.224
      وَالشُّعَرَاء يَتَّبِعُهُمُ الْغَاوُونَ
      224. Na watungaji mashairi (yasiokuwa na faida ) wanafuatwa na watu wapotofu (wenye akili zao hawafuati watu hao).
      Tafsiri ya Sheikh Abdallah Saleh Farsy
      Hivi unafikiri hiyo aya imeshuka kwa bahati mbaya ?

    • @fatmaabdallah8471
      @fatmaabdallah8471 ปีที่แล้ว

      wewe mwalimu wako haja kupa ilimu maulidi ni sera ya mtumi huna ilimu wewe tafuta ilimu kwa wasomi

  • @hashimshariff8903
    @hashimshariff8903 2 ปีที่แล้ว +3

    Mwanzo kamsome barzanji ni nani ndio alafu umkosoe

    • @user-rk3cv3or8q
      @user-rk3cv3or8q 9 หลายเดือนก่อน

      Akamsome kivipi?sisi tunatafuta ukweli tupate muongozo

  • @feisal6592
    @feisal6592 ปีที่แล้ว

    Sasa yakweli niyapi

  • @amyassyassin7909
    @amyassyassin7909 2 ปีที่แล้ว +1

    Umetukosesha utamu nataka niskilize mpaka mwisho. Allaah Akuhifadhi akhui

  • @hashimshariff8903
    @hashimshariff8903 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akuhifadhi lakini unapoelekea ni pabaya na yatadhihiri si mbali

    • @allysharifu9049
      @allysharifu9049 2 ปีที่แล้ว +2

      Sio kusoma tu ajifunze na adabu

    • @allysharifu9049
      @allysharifu9049 2 ปีที่แล้ว

      Anapenda sana kudhalilisha wazee anastahili kuwaita babu

    • @yussufisaack7436
      @yussufisaack7436 2 ปีที่แล้ว +1

      Mashekh walio na elimu wametulia hawasemi kuhusu maulidi,haswa baada ya kishki kuja juu akatulizwa na Muhammad Alhaadiy.lakini huyu debe tupu haachi ........lakini pia yy ni Muhaddith!!!!

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 2 ปีที่แล้ว +1

      @@yussufisaack7436 acha kuongea usoyajua!! Sikiliza clip utaelewa Muhaddith ninani? Usiongee bila ujuzi sio vzri ndugu yangu tafuta clip alozungumzia kuhusu Muhaddith .usiweke chuki chuki hufunga ufahamu

    • @abubakarmohamed2845
      @abubakarmohamed2845 2 ปีที่แล้ว

      Yaani mtu hata su chochote si lolote kusema ati wazazi wake mtume wako motoni! Audhu billah.

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 ปีที่แล้ว

    Bachu unatia kichefuchefu

  • @daudajamada3422
    @daudajamada3422 2 ปีที่แล้ว

    Why is this man so obsessed with Mawlid....??? Just asking????

    • @eastzooadmin6416
      @eastzooadmin6416 2 ปีที่แล้ว +1

      Kwasababu ni shirk iliokithiri tugu zetu wengi wataangamia kwasababu ya mawlid .

    • @ramadhanmakame1328
      @ramadhanmakame1328 2 ปีที่แล้ว

      Hana ajenda nyengine,