''NILIPATA 'A' 5 - MFUATILIE na MATOKEO ya CHALAMILA'' - NAPE AMVUNJA MBAVU RAIS SAMIA...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 มิ.ย. 2024
- ''NILIPATA 'A' 5 - MFUATILIE na MATOKEO ya CHALAMILA'' - NAPE AMVUNJA MBAVU RAIS SAMIA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Nyinyi mbona ni wachache? Sisi wengi tunamkumbuka Magufuli
Nakubaliana na mh TULIPOKUA SIO TULIPO hongera mh Rais
Nape Acha unafiki
Unapalilia tumbo lako tuu
Bongo tunapenda kusifiwa tu. Ukisifiwa tu huku unapigwa ila ww unashangilia kusifiwa😫😫😢😮
Magufuli alikutumbua wwe sema umebebwa
Hii ni nini kwa kiongozi
Mengi yapi yataje plz
Na kituu ndo hesabu gani hiyo tuletee details za uhakika unataka kuiga na huwezi😂😂
Chawa
Mpiga porojo...haelewek anaongea nn
Nchi kuongozwa na viongozi wasio wakweli na wasiopenda kuutafuta ukweli ni umauti kwa taifa.
Unachekesha unataka serikali ndo iwavalishe suti hao waandishi wa habari hiyo ni kazi ya wenye vyombo vya habari !
Daah kweli degree makatatas yaan Nina degree tangu 2018 lakn maisha yangu magumu tu. Lakn nape abakula tu keki ya taifa af 2024 ndo anasoma degree ya kwanza
Watanzani asalam aleykum kikubwa maombi 2 asate
Huu ni uchizi uliopindukia kwa kweli!
Wachache ndiyo mnampongez a ila sisi wanyonge atuoni zaidi ya kuona mfumko ya bei
MR.0
Makufuli
Uzalendo wa waandishi wa Tanzania huonekana pale sifa na mapambio yanapoelekea watawala, hayo yote yakikosekana uzalendo huwekwa mfukoni.
Tunaomba na lema atoe matokeo yake ili tumalize ubishe
Lema ndiyo nani😮
Li Chawa
Chawa