DIVA NUSU ATOKWE NA MACHOZI AKISIMULIA MUME WAKE SHEIKH ABDUL ALIVYOMNYANYASA | NAITAKA TALAKA YANGU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 274

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 5 หลายเดือนก่อน +29

    Ebu acheni kuwaoji awo pipa na mfuniko kuna mambo ya msingi ya kuwaoji watu sio awo wote ni watoto bado

  • @mamii7935
    @mamii7935 5 หลายเดือนก่อน +19

    Uyu dada wanao mkashif hajawai kua na narcissist.I can feel her pain mi nilikaa na mtu kama uyo miaka tisa Kila ukitaka kutoka anaku love bomb unahisi amechange ukirudi ndo mwanzoo alafu family haswa mama wanakuja wanachangia tena narcissist wengi washirikina.Nilikiitia exactly kama yeye tu miaka mitatu sai nauguza maumivu.Cha muhimu ukubalinuumie lakini uwe mtu wa kuomva sana akipata supply mwengine atakuacha tu akiona humshughulikii na humtaki.Ila watu kama Hawa kukudhuru pia hawaoni issue wabaya sana Hawa narcissist.

    • @VeronicaGershomu
      @VeronicaGershomu 5 หลายเดือนก่อน

      me pia ninafeel maumivu yake diva😥

    • @pichunakichuna2111
      @pichunakichuna2111 5 หลายเดือนก่อน

      Soo true

    • @ZainabAbdallah-qf2jz
      @ZainabAbdallah-qf2jz 2 หลายเดือนก่อน

      Naam ambaye ajapitia kama haya awezi muelewe

    • @ibrahimfarha3853
      @ibrahimfarha3853 หลายเดือนก่อน

      Wanawake wengiii wanapitia hayaaa........na dunia hiyi wanaume wanapewa Sheria zooote 😢😢😢😢😢😢😢

  • @ElinaPoul
    @ElinaPoul 5 หลายเดือนก่อน +12

    Ukweli ni kwamba abdul hakukupenda kwa dhati alikubali kuwa naww for a reason na situation alokua nayo cha msingi ni kuachana nae tu utateseka miaka mingi na mwisho wa siku mtaachana tu hamna la mana ktk ayo maisha

    • @Maryc2G
      @Maryc2G 5 หลายเดือนก่อน

      Yaani Diva ushindi wa maisha yake ni kumuacha huyo mwanaume, inavyoonekana bado anampenda sana. Atamsumbua sana, angerudi kanisani angeshinda, mwanaume anatumia uchawi, kushinda uchawi ni kwa jina la yesu tu

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 5 หลายเดือนก่อน +18

    akufai uyo mganga ila umekosea kutaja watu wanaokushauri

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 5 หลายเดือนก่อน +8

    Ila ndoa za hivi nilishakutana na mwanaume wahivi.inauma sana

  • @mwananganzi
    @mwananganzi 5 หลายเดือนก่อน +4

    Dah! Unahitaji mwanasaikolojia haraka sana diva ili uokoe afya yako ya akili. Pia pole sana Mungu akusaidie.

  • @mabelmafaa2999
    @mabelmafaa2999 5 หลายเดือนก่อน +5

    Sasa kwanini unataja watu waliokushauri vizuri uoni kama unaweza leta uhasama na Abdul

  • @pillyolsen8377
    @pillyolsen8377 5 หลายเดือนก่อน +8

    Ulijuwa umepata kumbe umepatikana 🤣🤣🤣🤣sasa yamekukuta huyo mwanaume anakutumia 🤣🤣🤣🤣unajizalilisha tu kwenye mitandao😝😝😝😝😝

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 4 หลายเดือนก่อน +3

    Yaniii kwakweli mda mwingine hua nacheka malalamiko aliyonayo diva Kwa huyu mume Kwann asinyamaze na maisha kuendelea Yan akiulizwa 1 anajibu 11😂😂😂😂 Yan Hana hata kumstiria Mwenzie aibu jmniiiiiiiiii hata kama mapenz yameisha sisi ni binaadam ifike mahali ukiachana na mtu usimuongelee Kwa ubaya wake ikibid muongelee Kwa mazur tu ila mtu akiwa mbaya ubaya utajidhihirisha tu siku1 Mungu atamuumbua

  • @Tupena-ov7xq
    @Tupena-ov7xq 5 หลายเดือนก่อน +3

    Talaka unaipata bakwata au serikalini, stop deceiving yourself. Bado unampenda ungekua humpendi ungeitafuta talaka kwa nguvu zote na ungeipata

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 5 หลายเดือนก่อน +53

    Diva watu wanakushauri kwa siri unakuja kuwataja majina azarani !!! Kila mtu alijua hamna ndoa weye na kimburukutu mwenzio upuzi mtupu kusumbua watu kila uchao.......Kwani nyie ndio wanandoa wa kwanza Tanzanai nzima ?????????!!!!!!

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 5 หลายเดือนก่อน +1

      Sipendi anavyomsimanga mama mkwe wake hadharani😢

    • @angelalyimo2862
      @angelalyimo2862 5 หลายเดือนก่อน +2

      😢

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 4 หลายเดือนก่อน +1

      Yaniii kwakweli mda mwingine hua nacheka malalamiko aliyonayo diva Kwa huyu mume Kwann asinyamaze na maisha kuendelea Yan akiulizwa 1 anajibu 11😂😂😂😂 Yan Hana hata kumstiria Mwenzie aibu jmniiiiiiiiii hata kama mapenz yameisha sisi ni binaadam ifike mahali ukiachana na mtu usimuongelee Kwa ubaya wake ikibid muongelee Kwa mazur tu ila mtu akiwa mbaya ubaya utajidhihirisha tu siku1 Mungu atamuumbua

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 5 หลายเดือนก่อน +18

    Rudi kanisani Diva,Mungu atakupa desire ya moyo wako. Nakuombea sana Diva.

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kawafanyia hivyoooo....😂😂😂kawageuzaa kinyume duuuuu

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 5 หลายเดือนก่อน +4

    Wewe Dada akili yako kama mtoto mdogo kuna siku watu watakukimbia.kwa nini unataja majina ya washauri wako unatengeneza faraja kwa Abdul ambae hajawahi kujali maana kashajua madhaifu yako .Pambana na Abdul usiingize watu wa pembeni

  • @issamustafa1565
    @issamustafa1565 2 หลายเดือนก่อน

    Mshukuru mungu amekufumbua mapema ila kiukweli alifata umaarufu alitaka asafirie nyota yako uwo ndoukweli toa sadaka

  • @JulianaMushi-nq3kc
    @JulianaMushi-nq3kc 5 หลายเดือนก่อน +5

    endelea kukaa naye mpaka akuue

  • @mimahmimah1595
    @mimahmimah1595 5 หลายเดือนก่อน +3

    Ila diva ww una matatizo kwel yule queen masanja aliipata talaka na anaish maisha yke sai ww kutwa mitandao wadai talaka kidogo umerudi kwa abdul yan hueleweki wataka vipi

  • @biggievandar254
    @biggievandar254 5 หลายเดือนก่อน +7

    Drama shall never end

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 5 หลายเดือนก่อน +6

    Diva hapa uliingia kwenye mtumbwi wa vibwengo

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 5 หลายเดือนก่อน +9

    Leo ndiyo nimejua Diva she's not okay up stairs kweli watu wanaomshauri then kawataja humu 😂😂😂😂😂😂Khaa after this interview hata Zama atakaa naye mbali maaana kamtaja km kati ya mtu aliyemshauri kuvunja ndoa yake😮 which siyo sawa kumshauri mwenzake kutoka kwenye ndoa

    • @bhokesaid3264
      @bhokesaid3264 5 หลายเดือนก่อน

      Nilikuwa naitafuta hii

    • @salmabamba2751
      @salmabamba2751 5 หลายเดือนก่อน +2

      Nimecheka et she not okay upstairs 😂😂

    • @petronilamtei7470
      @petronilamtei7470 5 หลายเดือนก่อน +1

      Diva ni mpumbavu kuliko. unaeza je interview mtu then awe mume

    • @jadetoto
      @jadetoto 4 หลายเดือนก่อน

      Kill mtu mwenye akili lazima amshauri kuvunja huu ujinga

  • @Sam_me01
    @Sam_me01 3 หลายเดือนก่อน +1

    Diva darling it good you decide to live your life. Most men are narcissists, and that boy is one of them. Abdul is not a man he is a boy. Usikubali kupelekeshwa you are a Diva my dearest

  • @themaestro-24
    @themaestro-24 5 หลายเดือนก่อน +3

    HIVI UMETEKWA ILI TULIPOTI SERIKALI IKUOKOE???MBONA HAUACHANI NA HIYO NDOA MPAKA UMEKUA KITUKO???

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 5 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe mpka utakufa kwenye hiyo ndoa kwa stress. That guy doesn’t love you anakutumia tu

  • @asiaswedi8945
    @asiaswedi8945 5 หลายเดือนก่อน +8

    DIVA hana akili...anasema hamtaki, mbona alimpost wakati ule wa msiba wa Gadna

    • @SuzanIkwabe
      @SuzanIkwabe 5 หลายเดือนก่อน +2

      Wanajuana hawa au tuachane nao 😂😂

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 5 หลายเดือนก่อน

      Mambo ya wanandoa

    • @pichunakichuna2111
      @pichunakichuna2111 5 หลายเดือนก่อน +1

      Wanapendana ila kuna Ushirikina sio bure

    • @safiaimran6455
      @safiaimran6455 5 หลายเดือนก่อน

      @@pichunakichuna2111Ndio kweli

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ilove u diva😂😂 leooo mnajajwaa wotee ulipeleka maneno leooo kasheshee diva la madiva aweee kiboko kabisa malkia wa wasafi yaan divaa😂😂😂 open😂😂

  • @abubakerabubaker6180
    @abubakerabubaker6180 5 หลายเดือนก่อน +1

    Diva Bsi si udai talaka so that upate salama ya moyo wako “your mental health is more important

  • @HinduSaid-t4m
    @HinduSaid-t4m 5 หลายเดือนก่อน

    Jamani pole sana diva ila ungekumbuka siku unahoji studio ..hebu isikilize ile utapata jibu

  • @bas2823
    @bas2823 5 หลายเดือนก่อน

    IF!? U CAN CARRY HIS HABITS THEN STAY WITH HIM! OR IF!? U CANT!? STAY WITH HIM!? THEN ITS YR DECIONS TO DECIDE IT! SWEETIE" THIS MSG TO U! N HIM" ALSO👌 WISHING U BOTH A GOOD LUCK👍 N FOR ALL THE CREATIONS OF GOD" AMEEN🤲👌

  • @abdulghafur8612
    @abdulghafur8612 5 หลายเดือนก่อน +4

    Nenda kwa Masheikh au kwa kadhi bakwata kwajivue, inaitwa khuluu. Usilalamike kupewa talaka na mtu ambae hataki kukupa talaka.

    • @sabrinakamikazi2142
      @sabrinakamikazi2142 5 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa amurudishiye mahali kisha amujivuwe kwasababu akisubiri kupewa talaqa nahuyo mume wake atasubiri sana

  • @beauty2239
    @beauty2239 5 หลายเดือนก่อน +4

    Jamn fuatilieni interview za huyu dada zote tuseme ukweli diva ulianza kumsema mumeo mitandaon vibaya sana na hakuwahi kukujia juuu lakin kwa sasa sisi tupo na mabando yetu tunawaangalia wapendanao nyie weny kuchafuana kila kukicha mmeshindwana lakin bado mpo wote c muachane maana ww unasema unahela mzuri na yule naye anasema yuko vizur kwa achaneni ninyi mafahali hamuez ishi zizi moja

  • @oyay2821
    @oyay2821 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu nyanya anajisikia mkubwa sana, ajiona yeye ni brand, sura pana kama beseni.

  • @SaliminSwalehe
    @SaliminSwalehe หลายเดือนก่อน

    Inaonekana unampenda na sisi Abdul tunamkubali hapa nikoa2

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani hii sinindoa mpya jaman akaah sasa musiropokwe mambo ya ndani ktk mitandao

  • @beauty2239
    @beauty2239 5 หลายเดือนก่อน +2

    Wote mnaosoma comment mliopo kenye ndoa wanaume zenu mchepuko wanayo lakn muhimu kuelewana mwanaume haitwi malaya tujifunze heshima kwa wasio tuheshimu ili waone haya sasa diva endelea kujidharirisha huku ss tunakuangaliaaa tyu mwanamke hutakiwi kujiongelesha ovyo mitandaoni chungeni ndim zenu
    Kwan diva kungwi wako nani kwanza

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 5 หลายเดือนก่อน

    Pole diva

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mim ninachokiona abduli anakupenda diva ila anatamaa zakingono na pia hana uwezo wakifedha zakialali nandio mana anadanga kwa wanawake ili aweze kupata pesa zakumtunza diva

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 5 หลายเดือนก่อน +5

    Anampiga mama yake basi analaana huyu kwanza sio sheikh ni mganga pole Diva

  • @ruu6592
    @ruu6592 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sauti ya diva kama ya wastara juma

  • @SalhaIradukunda
    @SalhaIradukunda 5 หลายเดือนก่อน

    Kwanyota yipi we bibi 😅😅😅 mbaka nimecheka kwa sauti😅😅😅

  • @amamiss22
    @amamiss22 5 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂 Zama na Vunja bei mje uku mrudie mlio mwambia Kingangaa mtajuutaaa😅😅😅afu diva aki we fala sanaaa eti anamtaka Zari 😅😅😅 simba njoo uku mgangaa atamloga hadi Zuuuu 😅😅😅 mumuweke basi na wake zenu uyu mgangaaa😅😅😅

  • @NAYLASULTAN-td4ks
    @NAYLASULTAN-td4ks 5 หลายเดือนก่อน

    DIVA KAMA MUMEKULA AMIN MUMIACHANA LAZIMA UFANYE KAFARA TAFUTA SHEIKH ATAKUAMBIA KAFARA GANI UFANYE BAADA YA KUTOKU KEEP YOUR AMINI UTAKISHA MASIKINI 10 AU UFUNGE SIKU TATU ZAID TAFUTA SHEIKH ATAKUELEKEZA ILA CHINGA BORA MUSIACHANE HAKUNA MKAMILIFU ILA ALLAH NA MSTIRI MUMEO AIBU ZAKE PLEASE

    • @Bintimrembo-y1v
      @Bintimrembo-y1v 5 หลายเดือนก่อน

      Kwahiyo avumilie mpaka apatiwe UKIMWI 😂😂😂

    • @ashaabdalla924
      @ashaabdalla924 5 หลายเดือนก่อน

      Aluminium mpaka afe na wanaume wamejaa tele wee vp mzima lakini

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 5 หลายเดือนก่อน

      Weeeeee 🤭

    • @maryamsaid1307
      @maryamsaid1307 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

  • @midilastahans7188
    @midilastahans7188 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ninacho kiona hapa diva hakutegemea kuachika.kwanj kitendo cha MTU kukupa ushauri wakibinadamu Tu unakuja. Hapa unawataja huo nimsenge.mbwa kabisa diva.huyu Fred vunja bei wawatu unakuja Niongelea hapa unakisea mno mara Zama mara x mke hivi unakwama wapi dada???unachonganisha watu wewe mbwa.nasio Kwamba hujui simama wewe kama wewe.kwanj wewe wakwanza au wamwisho kuachika??Acha kubaha shenzi

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 5 หลายเดือนก่อน +2

    KUSEMA UKWELI UMECHELEWA KUJITOA KWENYE MIKONO YAKE

  • @SophiaShemhale
    @SophiaShemhale 5 หลายเดือนก่อน +1

    nimefurah sana abdul kumuoa diva mana ametuonesha ubongo wa diva ulivokaza..😢

    • @mwaget0815
      @mwaget0815 5 หลายเดือนก่อน

      Ni kulogwa bana sio kawaida

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 5 หลายเดือนก่อน

      Hapana nimapenzi 🤭

  • @ElinaPoul
    @ElinaPoul 5 หลายเดือนก่อน +5

    Hajarogwa yeye hakukupenda from heart ni ngumu kuwa na furaha ndio sbb bado anahangaika moyo wake haujapata tulizo mtu wa furaha yake au alishampata ila ikashindikana pia kutokana na mvurugano wa mambo so diva kubaliana tu na uhalisia nenda bakwata uandikiwe talaka zako endelea na safari yako utapata naww wako ataekupenda na kukuridhia

  • @sandrabahibitugu5267
    @sandrabahibitugu5267 5 หลายเดือนก่อน

    Izi mambo sizilisha pita toka last year??? Ao?

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 5 หลายเดือนก่อน

    Hii moja ya afya ya akili diva the power

  • @amamiss22
    @amamiss22 5 หลายเดือนก่อน

    Ila Abdul akirudiana na Diva na kamtukana mama yake duh mtihani wallah

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 4 หลายเดือนก่อน

      Mtihani kweli

  • @stellaMwakatulie
    @stellaMwakatulie 5 หลายเดือนก่อน +3

    Wewe acha kumsema mama wa watu kwenye mitandao ndoa yenu mmevunja wenyewe kwa ujinga wenu

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 5 หลายเดือนก่อน +1

      Mie kweli ckupenda 😢😢😢hata km ana makosa haitakiwi kumsema vibaya mama mkwe 😢

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 4 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa 😭

  • @Bintimrembo-y1v
    @Bintimrembo-y1v 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu naye kesho tu atarudisha majeshi😂😂😂

  • @Sam_me01
    @Sam_me01 3 หลายเดือนก่อน

    Ukisha isha alone without your husband for 3months kisheria ya dini sio mmeo tena hata kama akiwa hataki kukupa talaka. Diva darling you deserve better

  • @kamwagamwanjale1575
    @kamwagamwanjale1575 5 หลายเดือนก่อน

    Kwamba hakuna anayeweza kuacha KUYAANIKA mambo yao, sipendi kabisa hizi tabia

  • @Petitejollie
    @Petitejollie 5 หลายเดือนก่อน +1

    Dah huyu Diva mpaka anasikitisha 😮

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 5 หลายเดือนก่อน

      Anasikitisha sana🤐

    • @Petitejollie
      @Petitejollie 5 หลายเดือนก่อน

      @@AmanaHussein mnoo

  • @shakilaahmed5761
    @shakilaahmed5761 5 หลายเดือนก่อน +8

    Rudi kwa ukristo dada utafute mume wa kikristo huwezani na waislam

    • @priyahtz7255
      @priyahtz7255 5 หลายเดือนก่อน +1

      Sema hawezani na huyo abdul siyo waislamu

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 5 หลายเดือนก่อน

      Awezani na Abdul 😂😂😂

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 5 หลายเดือนก่อน

    Ila nimempenda mtangazaj hayupo upande wowote safi...ila diva muache uyo Abdul kama kama hamuwez kusovu mana unajichoresha diva

  • @FaridaFaridaseif
    @FaridaFaridaseif 5 หลายเดือนก่อน +7

    Uliwasema wenzio waliachika kwa kuwa hawakuweza kumstir mume wao. Hawakumfichia siri. Sasa wew unafanyaje?

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 5 หลายเดือนก่อน +1

      Diva ana akili zakitoto😂

  • @AlphanSamwi
    @AlphanSamwi หลายเดือนก่อน

    Nakshauri upotezee mitandao kwa muda then utulie kidogo kwa mda utakua sawa bila ivo unapoelekea si kizuri najua ni kwa asilimia ndogo sana utaweza kuona hii sms yangu ila nakuhurumia sana natamani ungenielewa, pia usiwataje watu wengine kivyovyote pls

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu nae ni mgonjwa wa akili kwakweli kama huyo tapeli wake

  • @sekikigosi8265
    @sekikigosi8265 5 หลายเดือนก่อน

    Maskini Diva umerogwa na umerogeka pole sana ila iko cku utaweza kutoka.Nilipitia huko najua unatamani kutoka lkn huwezi pole sana.😢

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 5 หลายเดือนก่อน +18

    Diva apelekwe Mirembe hospital

    • @rosehaule6765
      @rosehaule6765 5 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂😂kasheshee 😅😅😅

    • @Annalisejg2ur
      @Annalisejg2ur 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@rosehaule6765msemo huu mara ya mwisho kuusikia ni mwaka 1993

    • @zainababdullsadik1247
      @zainababdullsadik1247 5 หลายเดือนก่อน +1

      Tenaa si vidogoo mbona kinganfanizi zimerukaa daaa

    • @RoseeyRoseey
      @RoseeyRoseey 5 หลายเดือนก่อน +2

      @nahyialetomia9284:Hayajakukuta wewe omba Mungu yasikukute😢

    • @nahyialetomia9284
      @nahyialetomia9284 5 หลายเดือนก่อน

      @@RoseeyRoseey, yakukute wewe kwanza Ukiwa unamkwamia mwanaume 🤪🤪🤪

  • @HinduSaid-t4m
    @HinduSaid-t4m 5 หลายเดือนก่อน

    Sasa haulazimishwi..koukweli diva unampenda Mumewe mpaka basi...ungekuwa umechoka usiongea kwenye mitandao...onyesha vitendo

  • @jadetoto
    @jadetoto 4 หลายเดือนก่อน

    Divaaaa!! We kuruthumu dada yke Abdul ukibisha nina voice note yako Aiseee nyieeee

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 5 หลายเดือนก่อน +1

    Diva anaweza kawa anachosema ni ukweli lakini sasa kwanini kama anasema sehemu alipo sio salama anarogwa and all that, kwanini haondoki Yaan Kwanini bado anamganda mwanaume
    Mimi huyu dada simuelewi wallah..kuwa expensive or not hio haijalishi yaan kwanini anaongea yote haya af anaendelea kuwa sehemu ambayo mwenyewe anaona sio sahihi kwako?

  • @jadetoto
    @jadetoto 4 หลายเดือนก่อน

    Abdul anameza nini???😅😅😅 nyie Diva ni toa stress dawa za kaswende😅😅

  • @FajmaHilali
    @FajmaHilali 5 หลายเดือนก่อน +4

    Abdul kashaujua udhaifu wa diva atamtesa sana lamda akapigwe kisomo😂😂😂😂😂

    • @scholamodestus9386
      @scholamodestus9386 5 หลายเดือนก่อน +1

      Mpka anatia huruma aisee

    • @hopembeyu3376
      @hopembeyu3376 5 หลายเดือนก่อน

      Kama tahira aki. Wazungumza ubaya wa mzazi wa mwenzio wazi wazi badala akaeke kikao nyumbani. Hamna ndoa hapa

    • @ashaabdalla924
      @ashaabdalla924 5 หลายเดือนก่อน

      Ndio wakome wakwe wengi mafisadi sana na mawifi ​@@hopembeyu3376

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 5 หลายเดือนก่อน +4

    Diva kweli jamaa kakuroga San'a

    • @Bintimrembo-y1v
      @Bintimrembo-y1v 5 หลายเดือนก่อน +1

      Tena sana, yalinikuta ikabidi nizame kwenye maombi mbona alikimbia mwenyewe

  • @esthermramba9395
    @esthermramba9395 5 หลายเดือนก่อน

    Ndoa imekua ndoana weeeee!!!!!

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 5 หลายเดือนก่อน

    Sasa utalalamika mpaka linie???

  • @KeyMurad
    @KeyMurad 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu wangu unawataja watu wanaokushauri Diva tafuta mwanasaikolojia itakusaidia sikwambii kwa ubaya 😢

  • @DamarijohnsonAcyoo
    @DamarijohnsonAcyoo 5 หลายเดือนก่อน

    Achana nae anza maisha Yako mwenyewe ,huyo cyo binaadam

  • @HawaOmary-s2h
    @HawaOmary-s2h 4 หลายเดือนก่อน

    Wanaume wanapenda kutembelea nyota zawatu

  • @zeramohamed9672
    @zeramohamed9672 5 หลายเดือนก่อน

    Wewe vipi diva si condone yaani mwanamke unangangania naona hupatagi mwanaume utafikiria wewe ndio ndoa wenzako ulivyowaondoa ulionaje hahaha naona hijawahi kuona -------😅😂

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ila yote kwa yote DIVA MWEHU

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 5 หลายเดือนก่อน +2

    Sielewe diva mgombania nini dudu lake nini si ukaye kimya kufuata taratibu kuachana achana naye upoteza nguvu hiyo nguvu weka kwa biashara tena unampa promo kweli bila kulipa ujinga sana wewe wakwanza kuachana yaani siamini huyu wazimu kweli mnaonekana mko wote kundi moja lakini pole kwa yote omba sana

  • @Agath45
    @Agath45 5 หลายเดือนก่อน

    Hawa kwenye msiba tuliwaona pamoja hatariiiiiiii diva diva. Umelogwa

  • @zainababdullsadik1247
    @zainababdullsadik1247 5 หลายเดือนก่อน

    Kwani huondoki mpk utolewee rohoo akaaaa kilaaa siku mieee sikuelewi

  • @kihagazanzibar1200
    @kihagazanzibar1200 5 หลายเดือนก่อน

    Diva ukweli unampenda sana mshikaji nandiomaana unaendele kuteseka
    Homa ya mapenzi usiombe,haipwaswi kumkejeli huyu dada anateseka sana

  • @aprilrosaliapanda4895
    @aprilrosaliapanda4895 5 หลายเดือนก่อน +2

    Anaongea kama cherean afu kesho utamuona anasonga ugali😅😅😅😅😅😅😅

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri4940 5 หลายเดือนก่อน

    Diva ulishafanya makosa kulazimisha Ndoa na Mganga wako. Matusi Diva ya nini?. Kwanini hufanyi maisha yako? Kila siku Abdul Abdul tumekuchoka na makelele yako. Ukiachwa, achika Diva. Hayo mambo ya Ndoa ya hovyo tumechoka nayo. Diva kaa kimya fanya kazi uloomba Wasafi. Hatutaki matusi Diva, tutakupeleka Basata. Diva huhitaji Talaka, ukitaka utaipata tu lkn yaonyesha unamng'ang'ania Abdul. Nina wasiwasi na Dishi kama liko sawa au laaa!. Diva rudi Kanisani na Ndoa itakuwa imevunjika. Usituchoshe na kutumalizia mbs zetu kwa ushubwada wako Diva. Hujielewi kabisa Diva, hauko sawa, mara umsifu mara umponde Abdul. Diva tupishe, unatuchosha na mambo yasiyo na maana. 😃😃😃😃 Hili li Diva halijielewi kabisa.

  • @jadetoto
    @jadetoto 4 หลายเดือนก่อน

    Nyieeeeeee

  • @WINIFRIDAIGULU-bf1fh
    @WINIFRIDAIGULU-bf1fh 5 หลายเดือนก่อน +3

    Hiv si uachike kwan ndoa ilifungwa jehanamu

    • @Annalisejg2ur
      @Annalisejg2ur 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

    • @tauhidajumahamad1218
      @tauhidajumahamad1218 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @aj-gw1rl
      @aj-gw1rl 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😅 shangaa

    • @maryamsaid1307
      @maryamsaid1307 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 4 หลายเดือนก่อน

      😜🤪😜

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 4 หลายเดือนก่อน

    Diva usijishushe hadhi yako kwa huyu mshenzi wa adabu hadhi yako ni ya juu na kama unataka kuachana na huyu mpumbavu fuata njia halisi upate talaka yako la sivyo atakufanya uwe chini yake milele na utaharibu kazi na kukosana na marafiki na ndugu zako kwa ajili ya mjinga huyu
    Acha afanye ujinga wake kaa mbali na yeye au utajuta.

  • @jadetoto
    @jadetoto 4 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi wa habari naye hajambooo anashadadiaa

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 5 หลายเดือนก่อน

    Diva unajichoresha kipenzi... pole diva kwa maelezo yako inaonekana anakutumia... ulikuwa unatumika dia diva..muache diva uyo kaka atakuumiza zaid

    • @husna34562
      @husna34562 5 หลายเดือนก่อน

      Hawa wako hivyo pipa na mfuniko😅😅kiki tu watoto wakislam ujinga mtupu

  • @Marjeby
    @Marjeby 5 หลายเดือนก่อน +2

    Abdul wala hajakulia Magomeni amekuja Magomeni akiwa mtu mzima kabisa na tabia zake za kisenge senge kutoka huko kwao Arusha Magomeni haiwezi kutoa product yakishamba kama abdul Abdul na dada yake sharifa ni watu wenye njaa ya hatari so wako tayari kufanya lolote kwa ajili ya pesa

    • @beauty2239
      @beauty2239 5 หลายเดือนก่อน

      Hahaaa

    • @ashaabdalla924
      @ashaabdalla924 5 หลายเดือนก่อน

      Lol kama wana laana ya pesa vile

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 5 หลายเดือนก่อน

      Laana tena 😂😂😂

  • @saidizusan7446
    @saidizusan7446 5 หลายเดือนก่อน

    Nataman kupata namba ya diva nimshauri

  • @MisMona-oo6zk
    @MisMona-oo6zk 5 หลายเดือนก่อน +1

    Uo usupastaa wako hukai na mwanaume yoyote wanaumme hawapendi kujieleza sana uende tu milembe kweli

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 5 หลายเดือนก่อน

      Pia kumdharau mama wa mume haifai ht km hafai kaa kimya ukiona yamekufika shingon sepa nenda bakwata dai talaka km mume hataki kutoa talaka mrudishie mahari yake na talaka unampa

  • @FatmaRajab-ll8gw
    @FatmaRajab-ll8gw 5 หลายเดือนก่อน

    Ushauri mtu alafu akutaje kwenye media😂😂😂😂😂

  • @sophiajoseph136
    @sophiajoseph136 5 หลายเดือนก่อน

    Kha unawataja mpaka kina Chief na Zama. We akili huna.

  • @esthermbalale3075
    @esthermbalale3075 5 หลายเดือนก่อน

    Kka yangu hana mke akuoe diva ila ye ni maskini Zaidi ya Abdul ila upendo anao

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 5 หลายเดือนก่อน

    mhhh anamiaka 32 kachakaa hivyo

  • @saidizusan7446
    @saidizusan7446 5 หลายเดือนก่อน

    Diva move on

  • @faithreed861
    @faithreed861 5 หลายเดือนก่อน

    Nenda Bakwata usituchoshe kwani ww ni wa kwanza kuplewa ??Kama humtaki acha kulalamika

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 5 หลายเดือนก่อน +1

    Gari la taka mganga anastahili jina hilo?haahaha

  • @sophiajoseph136
    @sophiajoseph136 5 หลายเดือนก่อน

    Ilq huyu dadq sio mzima jamani! Akili hana kabisa.

  • @Dareaziz
    @Dareaziz 5 หลายเดือนก่อน

    Umeongea sahih kabisa akikuaza unyamaze ,ukmjibu utaitwa mkorofi

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 5 หลายเดือนก่อน

    Sasa acha kutaja watu kwenye mambo yenu hyo ni ugombanishi,,Kuna haja gan ya kutaja watu waliokushaur??si kuwasababishia watu vichomi wafe na hyo bwana Ako mganga,,shwain

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn 5 หลายเดือนก่อน

    Ishi nae kama hujamrudisha

  • @tonymwalanya3027
    @tonymwalanya3027 5 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe diva unaaibu kila siku wewe unaaibu wewe wongo umekuzidi Sana kwani walikulazimisha tumecho chwa na wewe mkosa akili

  • @pillyolsen8377
    @pillyolsen8377 5 หลายเดือนก่อน

    Nyiyi nao mmetuchosha hebu tuacheni tumechoka na hawa watu