Amen yesu alifufuka hayumo kaburini tena *we ngine walikufa bado wako kaburini yesu yuaja tena kunyakua walio wake *asiye mpokea yesu okoka usiachwe na yesu 🙏🙏
Amen,damu ya Yesu Ina nguvu na uzima,Yesu azidi kukulinda na kukupaka mafuta zaidi,nguvu za Roho mtakatifu zikujaze upya katika kina kuu la Yesu Kristo,Asante Yesu Kwa kumwokoa huyu kaka
@@mshanaakbar3687 MPK MAKAFIRI PIA WASHIRIKINA KAKA WANAMUITA YESU MUNGU WENGINE MWANA WA MUNGU NK WENGINE KTK IBADA ZAO AZIFANYIKI MPK MBELE WAEKE SANAMU YA MARIAM AU YA YESU
Wapi imani kwa Yesu acheni usharati nyie. Kujidai kumpenda Yesu na kumsifu saana, na hakuna hata kimoja alichokifanya Yesu wakiristo wanalifata. Yesu hakuwa mkiristo wala hajafunza ukiristo wala haujui ukiristo. Mnafikiria Yesu anapokea Rushwa ya maneno?. Bila kufata sheria za Mungu, hakuna uokovu. Ni kujidanganya nafsi. Bibilia yako inasema wanaoabudu masanamu (kama Sanam la Yesu na Maria) na walevi, wazinzi, hawaingii ufalme wa Mungu (peponi). Soma: [ 1Wakorintho 6:9-10] " Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, 10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi. Kama kuabudu sanamu na kunywa ulevi unakwenda motoni, vipi utadai wewe uko katika njia ya kweli?. ONDOKA HUKO KUNAHATARI UKIFA UTAJUTIA MAISHA YAKO UMEYATUMIA BILA FAIDA. Kanisa ni kwenye kiti cha Enzi cha Shetani. Soma bibilia yako. [Ufunuo wa Yohana 2:12-13] " Na kwa malaika wa kanisa lililoko Pergamo andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye na huo upanga mkali, wenye makali kuwili (msalaba). 13 Napajua ukaapo, ndipo penye kiti cha enzi cha Shetani; nawe walishika sana jina langu, wala hukuikana imani yangu, hata katika siku za Antipa shahidi wangu, mwaminifu wangu, aliyeuawa kati yenu, hapo akaapo Shetani. Mapepo wachafu (mashetani) ndio walioleta itikadi ya kumwita Yesu ni mtoto wa Mungu. Soma Bibilia : [Marko 3:11] " Na pepo wachafu (mashetani) , kila walipomwona (Yesu), walianguka mbele yake, wakalia wakisema, Wewe ndiwe Mwana wa Mungu. Sasa wewe vipi utamfuata Shetani na Shetani ni Muongo mkubwa?.
@@wazirikhamisi4828 wewe haujui yesu ni roho Wa mungu mungu ni moja yesu ni njia kila maali uwendako lazima ufate njia hivo yesu ni njia na sio mwanadamu karibu uwokoke
Sawaaa mungu akujalie muombe mungu akusaidi umjue yesu na uombe na kufunga umpokee roho mtakatifu ili umuabudu mungu kwa roho na kweli uta yashinda yote na akuna nguvu za kukushinda na mwisho urithi ufarume wa mungu
Kumufuata Yesu Kristo kuna faida kubwa mno ISAYA 54 17 Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa, huu ndio urithi wa watumishi wa Bwana, na haki yao inayotoka kwangu mimi, asema Bwana Amen !!!
Mungu akubari sana ndugu . wewe ni shujaa,kwani kutoka utumwani ni ushindi mkubwa.Ukimtumikia Mungu aliye hai ambaye sisi tunamwamini utashinda kila ubaya na hila za shetani na wafuasi wake woote.Jina la Yesu ni kubwa kupita majina yote kwa kila nguvu za giza liite ni zaidi ya chochote na utakombolewa.Amina
Al Quran: 10:77 --- قَالَ مُوسَىٰ أَتَقُولُونَ لِلْحَقِّ لَمَّا جَاءَكُمْ ۖ أَسِحْرٌ هَٰذَا وَلَا يُفْلِحُ السَّاحِرُونَ Translations: --- Akasema Musa: Mnasema hivi juu ya Haki ilipo kujieni? Huu ni uchawi? Na wachawi hawafanikiwi! -- Ali Muhsin Al-Barwani ---
omwoyo onchweri acha unafki ulisoma kitabu vzl Kwanni uliacha Qoroani tukufu ukafata mambomaovu yakuzurumu nafsi zawatu wengi mungu hakuagiza hivyo wwe ulimfata shetan maana mlikua wanafuz weng lakn ulichaguliwa wwe naulikubali pasipo kujiuliza kitabugan chamungu kinachagua mtu wakumfundisha hicho si kitabu chamungu omba msamaha wakweli lakin wwe unaendelea kupotosha watu angalia kesho kuna jaanam maana mungu ni1 tu
@@neemasabure9061 kama unajua ni mwana wa mungu mbn usimsifie mungu kwa kazi yake unasifia yesu ...yesu ni nabii wala si mungu ...mungu n mmja na afananishi n kitu chochote akuzaa na wala hakuzalia sasa niulize yesu alizaliwa au laah
Inna lilahi waina ilaahi rajioun ww mtu hujui ata unachokisema yaani ww ni kama umepitia hayo mambo hivi hujaona dini ya kuipiga vita isipokua Uislaam? lakini si shangai haya yote yalishaandikwa ndani ya Quran tukufu kuwa watu watakuja na mikakati tofauti ya kuipoteza dini ya kiislam lkn watashindwa na hatimae watazidi watu kuingia katika dini ya kiislam makundi kwa makundu. Takbiri ....Allah Hu Akbar... Mtashidwa na mtaangamizwa kuanzia hapa dunia hadi Akhera .... Ya Rabbi tuongezee Imani katika Dini yetu ya kiisalm na tuongeze Elimu na nguvu zidi ya hawa viumbe vyako hivyo vibaya na ndo tunajua miongoni mwa mitahani uliyotuwekea na In shaa Allah tutafaulu. Hasbiya Allah wa neima wakil ... Ya Rab Rab husnul hatima Ameen
Mngepambana kwanza na Waganga wasifanye kazi zao kwa jina la dini yenu ikiwezekana mngekua mnawatenga kabisa lkn tuchoona hao waganga wanaheshimika kwelkweli kwenye jamii kisa wanapiga visomo kwa kitabu chenu
Kwani kwa Yesu wapi na Kuna nini huko?. Kwani Yesu alikuwa Mkiristo au kafundisha ukiristo?. Huyo ni mkiristo toka mwanzo unamkaribisha nini? Alama za ukiristo anazo wala uisilamu haujui anazungumza yasikuwemo katika Uisilamu. Acheni kutengeneza Waislamu Fake kama mnavyotengeneza vilema fake ili muonyeshe maajabu. Nyingi ndio wale aliotabili Yesu mwenyewe akasema. (Mathayo 24:24) " Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule (Waislamu). Acheni uongo Dini haisambazwi kwa kupitia khila za uongo. UKIRISTO ingelikuwa Dini ya Mungu basi sheria za Mungu mngelizifuata. Wangelikwisha walevi, wezi wazinifu, ulawati, unyang'anyi. Watu wangliishi kwa Amani kabisa. Kwanza vipi Mwenyezi Mungu kakuumbeni ili mumwabudu yeye halafu Mnaabudu Sanam la Mariya na Sanam la Yesu?. Bibilia yenyewe inasema watu kama Hao hawaingii PEPO (Ufalme wa Mungu).. Soma: [1 Wakorintho 6:9-10] " Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala WAABUDU SANAMU , wala WAZINZI , wala WAFIRAJI, wala WALAWITI, 10 wala WEVI, wala WATAMANIO, wala WALEVI , wala WATUKANAJI, wala WANYANG'ANYI. NA HAYO YOTE YAMEJAA HATA KANISANI. Endeleeni ndio mnafichua njama za ukiristo kubomoa Uisilam. Wala sio kitu kimpa lakini matokeo Uisilamu unazidi kuenea. Hamuwezi kumshinda Allah (Mwenyezi Mungu) aliekuumbeni. (Qur'an 61:8) " Wanataka kuizima nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao. Na Mwenyezi Mungu atakamilisha nuru yake ijapo kuwa MAKAFIRI WATACHUKIA.
Wapi hiyo ahadi ukiwa mkiristo inakuwa umesamehewa madhambi na umekuwa mpya?. Mnakopia Ya Uisilamu. Hayo hakuna katika Ukiristo. Ukitoka kwenye uisilam basi unakwenda kwenye madhambi sio kuondosha madhambi. Kwani kwenda kuabudu Sanam la Mariya na Sanam la Yesu ndio kufutiwa madhambi?.
Wewe Abudu Dini Yako, Nauwache Kuhukumu ya Wenzio. Mwenye Hukumu Ni Mungu, Sisi Tuwaachie Imani Yetu Tuilinde Wewe. Amini Yako. Siku Ya Hukumu Tutajua Haki Ilopo.
@@twobrothers8228 : Ina maana ndugu uliezaliwa nae kwa baba na mama. Akimuasi mama yako au baba yako wewe utamuachia MBALI maana wewe haikushu?. Mbona bibilia yako huisomi inavyosema. [Luka 17:3] " Kwa hiyo, jihadharini. Ndugu yako akikukosea mwonye; akiomba msamaha, msamehe. Mimi nakuonya ndugu yangu Acha kuabudu Sanam la Mariya na sanamu la Yesu. Yesu sio Mungu. unamwabudu asiekuwa Mungu. Yesu kazaliwa na mama yake mwanadam. Na mwanadam hazai Mungu. Njoo huku umwabudu Allah alikuumba kwenye tumbo la mama katika mifuko mitatu na step Tatu. (Qur'an 16:78) " Na ALLAH (Mwenyezi MUNGU) amekutoeni matumboni mwa mama zenu, hali ya kuwa hamjui kitu, na amekujaalieni masikio na macho na nyoyo ili mpate kushukuru. (Qur'an 39:6)" Amekuumbeni kutokana na nafsi moja. Kisha akamfanya mwenziwe katika nafsi ile ile. Na akakuleteeni wanyama wa mifugo jozi nane. Anakuumbeni katika matumbo ya mama zenu, umbo baada ya umbo, katika viza vitatu. Huyu ndiye Mwenyezi Mungu Mola wenu Mlezi. Ufalme ni wake. Hapana mungu isipo kuwa Yeye. Basi nyinyi mnageuzwa wapi?. ALLAH ndio anestahili kuabudiwa. Acha nakuonya ndugu yangu kwa ubinadamu.
Mm napenda nikwambie tu ww kijana tangu mwanzo hukua na imani ya dini ulikua mshirikina nasasa umeacha dini ya kweli ya Mungu sasa unaenda kwenye dini ya wataliano aibu yako mana umejifichulia siri mwenyeo kua pande za wazee wako wote mama na baba muna mambo ya mizimu je uislamu unawakubali waislamu kama nyinyi jibu ni hapana nyinyi muko mbali sana na uislamu kwamaana Mungu anasema katika Qur'an waislamu wakweli hawana kuamini mizimu hawana kuomba katika makaburi na mapango Mungu alijua kama mtakuako watu kama nyinyi ndomana akaiweka mbali dini yake nahayo mambo wewe ni mshirikina mpenda pesa mwenye pupa na dunia kwahio ndomana hao wakaamua kukununua ili wakakutie motoni vizuri tena umesema wazi kua ulikua ukichukua watoto wa watu mahospitalini kama serikali munanipata chonde chonde huyu mtu katili akamatwe afunguliwe mashtaka
Hakika Yesu Kristo ni yeye yule Jana leo na hata milele Jina la Bwana libalikiwe Ndugu zangu waislam Njooni Kwa YESU KRISTO Ili muokolewe na siku ya mwisho tuingie wote ktk ufalme wake wa Mbinguni.
@@prettylove5295 HAHAHAHAHAHAH UJINGA MZIGO ALLAH AKUONGEZE KTK HAKI. KTK UISLAMU kaka yangu UISLAMU na ushirikina ni Maghreb na mashariki. Angalia ktk Suratl annisaa sura ya 4 Aya ya 116 yani msitali 116 pia angalia pia sura ya 5 ktk Suratl maida Aya ya 72 angalia tena sura ya 98 Aya ya 6 ANGALIA MUNGU ANASEMAJE KUUSU SHIRIKI NAJE MTU ATAKAE KUFA HALI YAKUWA MSHIRIKINA MAFIKIO YAKE YATAKUWA WAPI CC TUNA MPINGA HUYO KIJANA KWASABABU CC TUNASOMA MPK KESHO NA TUNAUJUA UISLAMU VILIVYO WW INGIA Goggle KAKA DANLOD QUR'AN ILIYO TAFSILIWA KISWAHILI YANI KIARABU NA KISWAHILI ALAFU WW MWENYEWE UTATUAMBIA HUYO QUR'AN GANI ALIYO ISOMA YEYE YENYE KUFUNDISHA UCHAWI HIZO MBINU ZA WAKRISTO KUTAKA KUU CHAFUA UISLAMU 0718020252 NAMBA ZANGU HIZO IKIWA UONGO AYA NILIZO KUAMBIA UANGALIE NIPIGIE NA UNIOJI VZR
Well done Songambele mwamba! Najua ushauona ushujaa wa YESU Upo mahali sahihi sana sana huku Sinaga shaka na mageuzi ya Yesu hata mimi nimeyaona mageuzi ya YESU, anidanganyi mtu kwa habari ya uwezo wa YESU KRISTO. 2008 mpaka now 2020 najua umeshakomaa kabisa Mtu akitaka aamini au asipotaka asiamini YESU hajawahi mlazimisha mtu kuingia kwenye neema hii ya WOKOVU ni suala la muda tu na wakati sahihi.
Amina. Asante kwakuijuwa kweli. Maana yesu ndie njia ya kweli na uzima amwaminie yesu hapotei wala ahukumiwi bali atakuwa na uzima wa milele, kijana piga injili tupe u kweli huo
ENDELEA kuusema Ukweli na Yesu akutie Nguvu nakukuepusha na Adui zako Bwana Ate na wanaoteta nawe Mtumishi Zaburi 35 Intense Kazi KWA Maisha yako yote na Zaburi 23 na Mungu akubariki Sana kujitia MHANGA KWA AJILI ya Kirsto tupo Pamoja Mtumishi wa Bwna
Innallah wainnallah rajun Allah akuongoze kabla roho yako haijatoka kurudi kwa mola wako maana utakuja kujuta milele kama hukurudi ikiwa bado hai ya rabbi tuongoze waja wako
Kijana unapaswa kufanya toba kubwa sna na usiweke hasira kichwani mwako mana mtu akikuudhi unaweza kurudi tena huko na kumfanyia kitu kibaya kwhy utubu kwa toba ya kweli na Mungu akufungue kweny hicho kifungo na damu ya Yesu ikufungue na kukuweka huru kabisa watu wengi tunateseka kwasababu ya watu wenye vitendo kama hivyo wanatesa snaa maisha yetu.
Kijana yupo pale anapaswa kuwepo, kwenye nguvu za giza, na ndipo anapostahili kuepo, kwa yale alioyafanya, anaelezea kwa ustadi na kwa mapambo, kama vile abaelezea vipi kupika chakula, Mungu atunusuru kwa majanga hayo.
Mwenyezi Mungu nimuweza wakilakitu namuomba akutowe ktk hiyo imani ya kikafiri aliyokuingiza na akurejeshee imani yako ya kiislam kabla hujakata roho.....nayoyote atakae chagua dini isiyokuwa wa kiislam haitokubaliwa na Allah na siku ya kiama atakuwa nimwenye kuhadirika...Allah akuongowe pamoja nasisi.
I am the light and the peace of the world and you should believe I love you jesus thank you for making me understand your love is so abundant and no one can take it away from me
ckia wewe nikuambie ukristo sio dini hakuna dini inaitwa ukristo nyinyi kama sio tamaa za dunia msingepotea huyo ni muongo hua walokole niwaongo huo ushuhuda niwauongo huyo alikua kafiri kaenda kusoma kiarabu ili aje awahadae wakristo ambao hamjui huo niuongo
@@rachelevarist70 Mbona wapo wengi mashekh wanaoushuhudia uchawi kwenye uislam..kama shekh anapaa ,anaua,anafuga majini sindo uchawi wenyewe huo ..Wachawi ata makanisani wapo utofauti wakanisani tamaa za pesa lkn Biblia haijafundisha hayo..Ila kwa wwnzetu mtu anafungua kabisa kitabu anamusomea dua upatwe na jambo baya hapo ndo sipaelewagi Mungu wetu anatuwazia mema iweje wewe uniwazie mabaya kwa kutumia kitabu unachosema cha Mungu ..Huyu anaweza kua muongo kwa sababu simfahamu lkn wapo nnaowaamin wametoka kwenye ushetani nawaona na wanashuhudia mengi tu ..kila shekh anafuga majini loooh huku sie twayaombea yatoke nyie mwayatafutia chumba yakae..Yesu ndie njia ya kweli na uzima tunafika kwa Mungu kupitia yeye....
Inasikitisha sana huyu kijana kwakweli kashakufa tuseme tu innalillahi wainna ilayhi rajiuna ni msiba mzito allah amuhidi yeye na wengine yaarabbi awajaaliye watubiye toba yakweli kumbe wanafiq wanaishi mpaka leo jamani subhanallah
I just love how waislamu wana tetea dini yao. They are trying their best. Kila muslamu aliokoka wanasema hakua muslamu. But mchristo akienda kwa waislamu inakua ni mungu amemuonyesha njia. Woooiye. Heri kwa Yesu. Yesu anakutetea.
Yohana 14:6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli na uzima; MTU haji kwa Baba, ila kwa njia ya Mimi. Mungu akubariki kwa kuichagua njia ya kweli na uzima.
Omary mnola Neno LA Bwana katika kitabu cha Isaya 42:22 Lakini watu hawa ni watu walioibiwa na kutekwa ; wote wamenaswa katika mashimo , wamefichwa katika magereza ; wamekuwa mawindo ,wala hapana aokoaye , wamekuwa mateka , wala hapana asemaye Rudisha..Mungu alie hai katika Kristo Yesu anakupenda na kumbuka kila goti litapigwa kwake na kila kinywa kitakiri kuwa Yesu ni mfalme anayetawala milele. Yesu anakupenda kwake yeye hakuna lisilowezekana kwake , mpokee leo abadilishe historia ya maisha yako.
Jesus is the Way, the Truth and the Life. Mtafuteni Mungu. God bless u brother for the testimony.
Hakuwa muslam
Amen yesu alifufuka hayumo kaburini tena *we ngine walikufa bado wako kaburini yesu yuaja tena kunyakua walio wake *asiye mpokea yesu okoka usiachwe na yesu 🙏🙏
Amen,damu ya Yesu Ina nguvu na uzima,Yesu azidi kukulinda na kukupaka mafuta zaidi,nguvu za Roho mtakatifu zikujaze upya katika kina kuu la Yesu Kristo,Asante Yesu Kwa kumwokoa huyu kaka
Kila siku huwa namshukuru mungu kuzaliwa mkirsto nampenda sana YESU mwana wa mungu
Kabisaaaa
Pole
Tumenusurika Kuwa Wachawi Wa Kiimani, Asante Bwana Yesu.
@@yakobomkristo872 soma bibilia 3, 11 marko
@@abduomar8438 Soma Quran 72 : 1 - 3
God BLESS you Brother of mine🙏
Welcome to JESUS.
KWA YESU KUNA RAHA-AMANI- NA UTULIVU.
I NEVER REGRET BEING A CHRISTIAN 👌❤❤
Amen.Barikiwa sana ndugu,asanta kwa ushuhuda.Bwana Yesu akulinde daima,ushuhuda huu ubadili wengi.
Waaaa ,majabu haya ,,kweli Jehovah anaweza ,and sisi WA kristo we save a living God 🔥🔥🔥🔥🙏
Praise the Lord, Mungu wetu ni mwaminifu sana. Asante Yesu kwa wokovu mkuu namna hii.
Amen JAMANI NIME JENGEKA KWA YESU KUNA AMANI
I'm team JESUS
ONE Mission
One Church Glory to JESUS
Alikuwa mshirikina leo amekuwa kafiri aishie huko huko
@@mshanaakbar3687 MPK MAKAFIRI PIA WASHIRIKINA KAKA WANAMUITA YESU MUNGU WENGINE MWANA WA MUNGU NK WENGINE KTK IBADA ZAO AZIFANYIKI MPK MBELE WAEKE SANAMU YA MARIAM AU YA YESU
Wapi imani kwa Yesu acheni usharati nyie.
Kujidai kumpenda Yesu na kumsifu saana, na hakuna hata kimoja alichokifanya Yesu wakiristo wanalifata.
Yesu hakuwa mkiristo wala hajafunza ukiristo wala haujui ukiristo.
Mnafikiria Yesu anapokea Rushwa ya maneno?.
Bila kufata sheria za Mungu, hakuna uokovu. Ni kujidanganya nafsi.
Bibilia yako inasema wanaoabudu masanamu (kama Sanam la Yesu na Maria) na walevi, wazinzi, hawaingii ufalme wa Mungu (peponi).
Soma:
[ 1Wakorintho 6:9-10] " Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Kama kuabudu sanamu na kunywa ulevi unakwenda motoni, vipi utadai wewe uko katika njia ya kweli?.
ONDOKA HUKO KUNAHATARI UKIFA UTAJUTIA MAISHA YAKO UMEYATUMIA BILA FAIDA.
Kanisa ni kwenye kiti cha Enzi cha Shetani.
Soma bibilia yako.
[Ufunuo wa Yohana 2:12-13] " Na kwa malaika wa kanisa lililoko Pergamo andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye na huo upanga mkali, wenye makali kuwili (msalaba).
13 Napajua ukaapo, ndipo penye kiti cha enzi cha Shetani; nawe walishika sana jina langu, wala hukuikana imani yangu, hata katika siku za Antipa shahidi wangu, mwaminifu wangu, aliyeuawa kati yenu, hapo akaapo Shetani.
Mapepo wachafu (mashetani) ndio walioleta itikadi ya kumwita Yesu ni mtoto wa Mungu.
Soma Bibilia :
[Marko 3:11] " Na pepo wachafu (mashetani) , kila walipomwona (Yesu), walianguka mbele yake, wakalia wakisema, Wewe ndiwe Mwana wa Mungu.
Sasa wewe vipi utamfuata Shetani na Shetani ni Muongo mkubwa?.
Hakika bro amani tele milele
@@wazirikhamisi4828 wewe haujui yesu ni roho Wa mungu mungu ni moja yesu ni njia kila maali uwendako lazima ufate njia hivo yesu ni njia na sio mwanadamu karibu uwokoke
Sawaaa mungu akujalie muombe mungu akusaidi umjue yesu na uombe na kufunga umpokee roho mtakatifu ili umuabudu mungu kwa roho na kweli uta yashinda yote na akuna nguvu za kukushinda na mwisho urithi ufarume wa mungu
There is contentment in serving the true yahwe in Jesus name we overcome..I love you jesus
Amen🙏🙏their is power in name Jesus
In sha allah mungu atusame waja wake,,,,,nashindwa ata kuchangia nahisi kama nitamkufuru mungu tu
Kuna watu watasema kanunuliwa.
Hakuna namna zaidi ya kutoka kwenye ushetani kama aliyekuwa kiongoz wako tena msomi wa hayo mambo kaondoka kuko
Every knee shall bow before Him and every tongue shall confess Jesus is Lord, praise Jesus
Violine Nyakara Amen Amen Amen
Amen
Singii iyodini
Amen amen
Labda washirikina
Kiswahili kizuri bwana! Watched from Kenya.
Maaskof wenyewe wanaamini mungu ni moja na uislam ndy njia pekee atakayokubaliwa na mungu na tayar washaclim sasa ww uciejielewa cjui uko wap
Yesu ndiye njia
Ameen Mungu aendelee kuwa mlinzi wako, na damu ya mwanaye Yesu Kristo ikufunike
Kumufuata Yesu Kristo kuna faida kubwa mno
ISAYA 54
17 Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa, huu ndio urithi wa watumishi wa Bwana, na haki yao inayotoka kwangu mimi, asema Bwana
Amen !!!
Mungu akupe umri mrefu Inshallah huenda ukaja zinduka...Shukran
@Somali Bajun99 nikwasababu anatoa silizenu ndomaana unasema ivo
Alishazinduka na kumjua Yesu
Kweli kabisa anaweza zinduka . Mmmh Mwenyezi Mungu amsaidie kwa kweli
Allah atupe mwisho mwema
@cdramacovers
Pumbavu wewe alie kwambia Allah ni jini ni nani?
Mungu akubari sana ndugu .
wewe ni shujaa,kwani kutoka utumwani ni ushindi mkubwa.Ukimtumikia Mungu aliye hai ambaye sisi tunamwamini utashinda kila ubaya na hila za shetani na wafuasi wake woote.Jina la Yesu ni kubwa kupita majina yote kwa kila nguvu za giza liite ni zaidi ya chochote na utakombolewa.Amina
Amen God bless you
From Mozambique ubalikie kwa jina la Yesu..! Amen
ivi nyinyi wakristo imani mnatoa wapi? minashindwa kuelewa ivi dalili mnaitoa wapi? ujasiri huo mnautoa wapi yakusema yesu yesu mnatoa wapi
Upumbavu tuuumewajaa mfyuuu
Glory be to God.Amen
Yan kaka sula yako tu inaonesha wew ni mteule fanya kaz ya mungu ubalikiwe kaka
Karibu sana ndugu wetu,Yesu Kristo anakupenda sana.
SUBHANA ALLAH ALLAH AKUHDI KIJANA KABLA HUJAFA ATUBIE
Huyu jamaa kasomea uchawi. Katoka kwenye dini kaingia kwenye uchawi.
@@RamadanPaulhuyu kasomea uganga na sio Uisilamu
@@abuuhafswamunsheedu5790 umeona ...
Uchawi si Haram kabisa QUR'AN ipo wazi kabisa 😅
Al Quran: 10:77
---
قَالَ مُوسَىٰ أَتَقُولُونَ لِلْحَقِّ لَمَّا جَاءَكُمْ ۖ أَسِحْرٌ هَٰذَا وَلَا يُفْلِحُ السَّاحِرُونَ
Translations:
---
Akasema Musa: Mnasema hivi juu ya Haki ilipo kujieni? Huu ni uchawi? Na wachawi hawafanikiwi!
-- Ali Muhsin Al-Barwani
---
@@abuuhafswamunsheedu5790ndio nimeandika hata mimi yaani huyu pamoja na familia yao yote na huyo mwalimu walisomea uchawi sio uislamu
Amen and Amen Jina la Yesu lenye nguvu🙏🙏🙏🇰🇪
Mungu akulinde, kwa hapo ulipo fikia ni pagumu mno, ukitaka kuona majaribu okoka, mungu akulinde akutete, akufunike,
Yesu ndio njia ya kipekee ya kuenda Kwa Mungu 🙏
Da ujumbe mzuri sana mwalimu kasinah watu waujue pamoja na waislamu nahisi wata badilika nime amini yesu ni mkuu
Amen
Mungu akusmamie skuzoteeeeee!!
Amen
Great message!There is Great victory in Jesus Christ......Amen.
Exactly brother
omwoyo onchweri acha unafki ulisoma kitabu vzl Kwanni uliacha Qoroani tukufu ukafata mambomaovu yakuzurumu nafsi zawatu wengi mungu hakuagiza hivyo wwe ulimfata shetan maana mlikua wanafuz weng lakn ulichaguliwa wwe naulikubali pasipo kujiuliza kitabugan chamungu kinachagua mtu wakumfundisha hicho si kitabu chamungu omba msamaha wakweli lakin wwe unaendelea kupotosha watu angalia kesho kuna jaanam maana mungu ni1 tu
@@salmakiame9864, Inaonekana kwao wna mila za kishirikina hakuna mwalimu wala nani mshirikina huyo Allah amemrejesha panapostahili
Kajambe mbele huko imani yako zibala tu. Tena usijifanye unaijua qr aan. Punye weeee. Kila aliye hai anajichagulia makazi yake akifa.
Eti mkakutana msikitini, mnaenda kuchafua wiislam wachafu nyie.
Asante yesu kwa uzao wako huu mtunze mtumishi wako akutumaini ww ktk maisha yake yote
poleni sana nawahurumia sana lkn ndio ni mipango ya الله ﷻ
Amen Ashukuriwe Yesu Kristo kwa ukombozi wake.
Amen Mungu azidi kukubariki kijana wetu
Ameen...wapendwa huyu Yesu wetu ni mkubwa! Jamani Yesu yupooo tumeziona kazi zake
Jah is great
Amina
Acha kumshitikisha yesu ambae ni Issa kwa mambo yasio na maana
@@mariamathuman2639 mmmmh embu yesu ni Mwana wa Mungu
@@neemasabure9061 kama unajua ni mwana wa mungu mbn usimsifie mungu kwa kazi yake unasifia yesu ...yesu ni nabii wala si mungu ...mungu n mmja na afananishi n kitu chochote akuzaa na wala hakuzalia sasa niulize yesu alizaliwa au laah
Praise the Lord God, the truth has set you free in Jesus Christ. Amen
Amen naisi kulia kwajili ya furaha utapata amani brother neema ya bwana iwe nawe
AMEN ,OH GOD ,POWERFUL TESTIMONY .
WHAT TESTIMONY ? THIS GUY IS JUST WITCHCRAFT ,THERE IS NO VERSES IN WHOLE QURAN SUPPORT WHAT HE SAYS.
God bless u
Kaseana Mungu awarinde maana mnapigwa sn vita sbb mnaifunua dini ya majini na imewateka wengi.
Amen
Neema ya Bwana iwe juu yenyu
Glory be to God
Inna lilahi waina ilaahi rajioun ww mtu hujui ata unachokisema yaani ww ni kama umepitia hayo mambo hivi hujaona dini ya kuipiga vita isipokua Uislaam? lakini si shangai haya yote yalishaandikwa ndani ya Quran tukufu kuwa watu watakuja na mikakati tofauti ya kuipoteza dini ya kiislam lkn watashindwa na hatimae watazidi watu kuingia katika dini ya kiislam makundi kwa makundu. Takbiri ....Allah Hu Akbar... Mtashidwa na mtaangamizwa kuanzia hapa dunia hadi Akhera .... Ya Rabbi tuongezee Imani katika Dini yetu ya kiisalm na tuongeze Elimu na nguvu zidi ya hawa viumbe vyako hivyo vibaya na ndo tunajua miongoni mwa mitahani uliyotuwekea na In shaa Allah tutafaulu. Hasbiya Allah wa neima wakil ... Ya Rab Rab husnul hatima Ameen
Innalilah waina ilah rajiun
Mngepambana kwanza na Waganga wasifanye kazi zao kwa jina la dini yenu ikiwezekana mngekua mnawatenga kabisa lkn tuchoona hao waganga wanaheshimika kwelkweli kwenye jamii kisa wanapiga visomo kwa kitabu chenu
naomba umohoji tena kaka nimeupenda sana ushuhuda wake aelezee vitu vyote bila haraka
Sana
Sifa Nautukufu Zikurudie Wewe. Karibu Ndungu Ndani Ya Yesu Yoote Yanawezekana, Tazama yakale yamipita yamekuwa Mapya🙏🏿
Kwani kwa Yesu wapi na Kuna nini huko?.
Kwani Yesu alikuwa Mkiristo au kafundisha ukiristo?.
Huyo ni mkiristo toka mwanzo unamkaribisha nini?
Alama za ukiristo anazo wala uisilamu haujui anazungumza yasikuwemo katika Uisilamu.
Acheni kutengeneza Waislamu Fake kama mnavyotengeneza vilema fake ili muonyeshe maajabu.
Nyingi ndio wale aliotabili Yesu mwenyewe akasema.
(Mathayo 24:24) " Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule (Waislamu).
Acheni uongo Dini haisambazwi kwa kupitia khila za uongo.
UKIRISTO ingelikuwa Dini ya Mungu basi sheria za Mungu mngelizifuata.
Wangelikwisha walevi, wezi wazinifu, ulawati, unyang'anyi.
Watu wangliishi kwa Amani kabisa.
Kwanza vipi Mwenyezi Mungu kakuumbeni ili mumwabudu yeye halafu Mnaabudu Sanam la Mariya na Sanam la Yesu?.
Bibilia yenyewe inasema watu kama Hao hawaingii PEPO (Ufalme wa Mungu)..
Soma:
[1 Wakorintho 6:9-10] " Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala WAABUDU SANAMU , wala WAZINZI , wala WAFIRAJI, wala WALAWITI,
10 wala WEVI, wala WATAMANIO, wala WALEVI , wala WATUKANAJI, wala WANYANG'ANYI.
NA HAYO YOTE YAMEJAA HATA KANISANI.
Endeleeni ndio mnafichua njama za ukiristo kubomoa Uisilam.
Wala sio kitu kimpa lakini matokeo Uisilamu unazidi kuenea.
Hamuwezi kumshinda Allah (Mwenyezi Mungu) aliekuumbeni.
(Qur'an 61:8) " Wanataka kuizima nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao. Na Mwenyezi Mungu atakamilisha nuru yake ijapo kuwa MAKAFIRI WATACHUKIA.
Wapi hiyo ahadi ukiwa mkiristo inakuwa umesamehewa madhambi na umekuwa mpya?.
Mnakopia Ya Uisilamu. Hayo hakuna katika Ukiristo.
Ukitoka kwenye uisilam basi unakwenda kwenye madhambi sio kuondosha madhambi.
Kwani kwenda kuabudu Sanam la Mariya na Sanam la Yesu ndio kufutiwa madhambi?.
Wewe Abudu Dini Yako, Nauwache Kuhukumu ya Wenzio. Mwenye Hukumu Ni Mungu, Sisi Tuwaachie Imani Yetu Tuilinde Wewe. Amini Yako. Siku Ya Hukumu Tutajua Haki Ilopo.
@@twobrothers8228 : Ina maana ndugu uliezaliwa nae kwa baba na mama.
Akimuasi mama yako au baba yako wewe utamuachia MBALI maana wewe haikushu?.
Mbona bibilia yako huisomi inavyosema.
[Luka 17:3] " Kwa hiyo, jihadharini. Ndugu yako akikukosea mwonye; akiomba msamaha, msamehe.
Mimi nakuonya ndugu yangu Acha kuabudu Sanam la Mariya na sanamu la Yesu.
Yesu sio Mungu.
unamwabudu asiekuwa Mungu.
Yesu kazaliwa na mama yake mwanadam.
Na mwanadam hazai Mungu.
Njoo huku umwabudu Allah alikuumba kwenye tumbo la mama katika mifuko mitatu na step Tatu.
(Qur'an 16:78) " Na ALLAH (Mwenyezi MUNGU) amekutoeni matumboni mwa mama zenu, hali ya kuwa hamjui kitu, na amekujaalieni masikio na macho na nyoyo ili mpate kushukuru.
(Qur'an 39:6)" Amekuumbeni kutokana na nafsi moja. Kisha akamfanya mwenziwe katika nafsi ile ile. Na akakuleteeni wanyama wa mifugo jozi nane. Anakuumbeni katika matumbo ya mama zenu, umbo baada ya umbo, katika viza vitatu. Huyu ndiye Mwenyezi Mungu Mola wenu Mlezi. Ufalme ni wake. Hapana mungu isipo kuwa Yeye. Basi nyinyi mnageuzwa wapi?.
ALLAH ndio anestahili kuabudiwa.
Acha nakuonya ndugu yangu kwa ubinadamu.
Yesu ndiyo msaada wetu ktk maisha yetu, wanaompinga yesu wanahitaji msaada wa maombi.
Yesu ni Bwana wa ma Bwana.. Mm nampenda sana. Mwamba hyu haaaaa!!
Yesu ni msaada wako wewe sio wengine
Kwani yuko mtu ana mpinga yesu kwani
Mm napenda nikwambie tu ww kijana tangu mwanzo hukua na imani ya dini ulikua mshirikina nasasa umeacha dini ya kweli ya Mungu sasa unaenda kwenye dini ya wataliano aibu yako mana umejifichulia siri mwenyeo kua pande za wazee wako wote mama na baba muna mambo ya mizimu je uislamu unawakubali waislamu kama nyinyi jibu ni hapana nyinyi muko mbali sana na uislamu kwamaana Mungu anasema katika Qur'an waislamu wakweli hawana kuamini mizimu hawana kuomba katika makaburi na mapango Mungu alijua kama mtakuako watu kama nyinyi ndomana akaiweka mbali dini yake nahayo mambo wewe ni mshirikina mpenda pesa mwenye pupa na dunia kwahio ndomana hao wakaamua kukununua ili wakakutie motoni vizuri tena umesema wazi kua ulikua ukichukua watoto wa watu mahospitalini kama serikali munanipata chonde chonde huyu mtu katili akamatwe afunguliwe mashtaka
Kuumbe eehh?🙄🙄🙄
Hakika Yesu Kristo ni yeye yule Jana leo na hata milele Jina la Bwana libalikiwe Ndugu zangu waislam Njooni Kwa YESU KRISTO Ili muokolewe na siku ya mwisho tuingie wote ktk ufalme wake wa Mbinguni.
A living testimony, God bless you Brother, hakika Yesu Bwana, Amen
Bwana Yesu hajawahi kushindwa kamwe. Asante Yesu kwa kumtoa utumwani. Hakika ndo tunapata mwanga kumbe upande wa pili Kuna Mambo mengi.
Inna lillah wainna ilayhi raajiuun
Ya Rabbi tuhifadhi na utuepeshe na mambo km haya ss na vizazi vyetu
Ameen ya Rabbi
Hallelujah...yuko Mungu mmoja na kila jicho litamuona,Amina.
Hakika stareh za dunia ni fupi mno usihadalike na dunia inna lillah wa inna illaih rajiun
Uko sahihi baarakallahu fiyka
Swali moja. Je kale ka-aya ka mwisho alokasema umekasoma ukakaelewa na kufanyia kazi?
Jahanamu ni wewe uliyekataa kumwamini Yesu kama Mwokozi
Shida yenu waislam ndo hiyo mnapenda kuhukumu acha afichue mambo yenu nyie ndo mashetan wakubwa
@@prettylove5295 HAHAHAHAHAHAH UJINGA MZIGO ALLAH AKUONGEZE KTK HAKI. KTK UISLAMU kaka yangu UISLAMU na ushirikina ni Maghreb na mashariki. Angalia ktk Suratl annisaa sura ya 4 Aya ya 116 yani msitali 116 pia angalia pia sura ya 5 ktk Suratl maida Aya ya 72 angalia tena sura ya 98 Aya ya 6 ANGALIA MUNGU ANASEMAJE KUUSU SHIRIKI NAJE MTU ATAKAE KUFA HALI YAKUWA MSHIRIKINA MAFIKIO YAKE YATAKUWA WAPI CC TUNA MPINGA HUYO KIJANA KWASABABU CC TUNASOMA MPK KESHO NA TUNAUJUA UISLAMU VILIVYO WW INGIA Goggle KAKA DANLOD QUR'AN ILIYO TAFSILIWA KISWAHILI YANI KIARABU NA KISWAHILI ALAFU WW MWENYEWE UTATUAMBIA HUYO QUR'AN GANI ALIYO ISOMA YEYE YENYE KUFUNDISHA UCHAWI HIZO MBINU ZA WAKRISTO KUTAKA KUU CHAFUA UISLAMU 0718020252 NAMBA ZANGU HIZO IKIWA UONGO AYA NILIZO KUAMBIA UANGALIE NIPIGIE NA UNIOJI VZR
Hallelujah, Yesu jiwe lisilotigizika
Well done
Songambele mwamba!
Najua ushauona ushujaa wa YESU
Upo mahali sahihi sana sana huku
Sinaga shaka na mageuzi ya Yesu hata mimi nimeyaona mageuzi ya YESU, anidanganyi mtu kwa habari ya uwezo wa YESU KRISTO.
2008 mpaka now 2020 najua umeshakomaa kabisa
Mtu akitaka aamini au asipotaka asiamini YESU hajawahi mlazimisha mtu kuingia kwenye neema hii ya WOKOVU ni suala la muda tu na wakati sahihi.
Mungu akubaliki
Welcome to Jesus for salvation of ur soul in Jesus mighty name Amen
Amen
Utakufa na ukafiri wako ukachomwe moto kama ni mvivu wa kutafuta ukweli mwenyewe
@@alhamdulillah5796 nani kakuzuia kuamin unachokiamini? Acha kuponda dini za watu wewe
Mm ctamani nife hali ya kuwa mkristo (KAFIRI )
Hakika Uislamu ni raha sana
Huyo jamaa HATA KIARABU HAJUI NA KWA WAKRISTO NDO ANAWADANGANYA KABISAA
@@omarymnola1011 masha Allah
Glory to God for giving this soul another chance.
Amen... Mungu azidi kukutetea mtumishi....songa mbele
Karibu kwa Yesu
YESU ASIFIWE TAMBAAA KOTE UJAE JILA ENEO, YESU NDIO HABARI GEUKENI LEO MKAPINE. AMEN
Jesus is great all the time
Una Sema ww ume wacha uislam lakini bado una vaa cazuu
Amina MUNGU akujaalie ufike mbinguni
Amina. Asante kwakuijuwa kweli. Maana yesu ndie njia ya kweli na uzima amwaminie yesu hapotei wala ahukumiwi bali atakuwa na uzima wa milele, kijana piga injili tupe u kweli huo
ENDELEA kuusema Ukweli na Yesu akutie Nguvu nakukuepusha na Adui zako Bwana Ate na wanaoteta nawe Mtumishi Zaburi 35 Intense Kazi KWA Maisha yako yote na Zaburi 23 na Mungu akubariki Sana kujitia MHANGA KWA AJILI ya Kirsto tupo Pamoja Mtumishi wa Bwna
ENDELEENI KUPEANA UJINGA MPAKA YAWAFIKIE MAUTI ,MUTMJUWA MUUME WA BIBIZENU HUKO AKHERA
There's power in the name of Jesus to beak every chain glory to God
Dont go ibeg u the name of GOD BE BLESSED ALOT KEEP IT UP
Innallah wainnallah rajun Allah akuongoze kabla roho yako haijatoka kurudi kwa mola wako maana utakuja kujuta milele kama hukurudi ikiwa bado hai ya rabbi tuongoze waja wako
ahaaa uislamu dini ya shetani
Tatizo Wanaobaki Huko Wanakosa Msaada Wa Kuachana Na Uchafu Huo Ndiyo Maana Wanakimbilia Kwenye UKRISTO Ili Wapone.
Yesu Baba yangu unaishi mile na mile mwanzo mwisho Mimi nasema ni YESU TU.
Yesu diye njia ya kweli 🙏
Innalilahi Was Inna Laihi Rajiun
Jesus you are too too awesome!!!
Bwana Yesu apewe sifa.Haleluyaa
Unapendeza sana kaka yangu ndani ya Yesu kuna raha.
Sio Raha tu, Na Uzima Wa Milele.
@@twobrothers8228 Kwa kweli na uzima tele. Nimeipenda hiyo nyongeza.
@@twobrothers8228 amen
Kijana unapaswa kufanya toba kubwa sna na usiweke hasira kichwani mwako mana mtu akikuudhi unaweza kurudi tena huko na kumfanyia kitu kibaya kwhy utubu kwa toba ya kweli na Mungu akufungue kweny hicho kifungo na damu ya Yesu ikufungue na kukuweka huru kabisa watu wengi tunateseka kwasababu ya watu wenye vitendo kama hivyo wanatesa snaa maisha yetu.
Kijana kapotea
@@khalifahmtata8659 JESUS KING OF KING
Kijana yupo pale anapaswa kuwepo, kwenye nguvu za giza, na ndipo anapostahili kuepo, kwa yale alioyafanya, anaelezea kwa ustadi na kwa mapambo, kama vile abaelezea vipi kupika chakula, Mungu atunusuru kwa majanga hayo.
@@happynicholaus6474 na MUNGU NI NANI
KAMA UYO JISUS NI KING. ACHA UJINGA WW
@@mariamjumamariamjuma4331 hayo ndio maoni yangu
Innalilah wainnailaih rajiun
Mwenyezi Mungu nimuweza wakilakitu namuomba akutowe ktk hiyo imani ya kikafiri aliyokuingiza na akurejeshee imani yako ya kiislam kabla hujakata roho.....nayoyote atakae chagua dini isiyokuwa wa kiislam haitokubaliwa na Allah na siku ya kiama atakuwa nimwenye kuhadirika...Allah akuongowe pamoja nasisi.
Mungu ni mungu tu na atabaki kuw mungu, ubarkiwe san kakaangu ieneze injili
Laaanatullwah
Ndugu amini
@Somali Bajun99 Hama huko! Unashangaa! Ndo usikie sasa!
Subuhanallah subuhanallah hata aya za Allah huzitaji inavyopaswa so inaonyesha kuruan hukuisoma vizuri mtihani wallah
Yesu anakupenda
I am the light and the peace of the world and you should believe I love you jesus thank you for making me understand your love is so abundant and no one can take it away from me
Yesu ni njia ya kweli na ya uzima
Inna lilah wainna ilahi lajihun
Ubarikiwe Kwa kujua ukweli wa Yesu Kristo Mungu akuongoze
Be blessed my brother ju ulikubali kubadilika
Ameen yesu ndie njia ya ukweli na unzima
Yesu Kristo Ni njia kweli na uzima watu wote tumfuate yeye
ckia wewe nikuambie ukristo sio dini hakuna dini inaitwa ukristo nyinyi kama sio tamaa za dunia msingepotea huyo ni muongo hua walokole niwaongo huo ushuhuda niwauongo huyo alikua kafiri kaenda kusoma kiarabu ili aje awahadae wakristo ambao hamjui huo niuongo
@@rachelevarist70 Mbona wapo wengi mashekh wanaoushuhudia uchawi kwenye uislam..kama shekh anapaa ,anaua,anafuga majini sindo uchawi wenyewe huo ..Wachawi ata makanisani wapo utofauti wakanisani tamaa za pesa lkn Biblia haijafundisha hayo..Ila kwa wwnzetu mtu anafungua kabisa kitabu anamusomea dua upatwe na jambo baya hapo ndo sipaelewagi Mungu wetu anatuwazia mema iweje wewe uniwazie mabaya kwa kutumia kitabu unachosema cha Mungu ..Huyu anaweza kua muongo kwa sababu simfahamu lkn wapo nnaowaamin wametoka kwenye ushetani nawaona na wanashuhudia mengi tu ..kila shekh anafuga majini loooh huku sie twayaombea yatoke nyie mwayatafutia chumba yakae..Yesu ndie njia ya kweli na uzima tunafika kwa Mungu kupitia yeye....
Aminaaaaaaa
God bless you my friend 🙏.
Amen brother God bless you.
Sura 2 - Aya 14
وَإِذَا لَقُواْ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ قَالُوٓاْ ءَامَنَّا وَإِذَا خَلَوْاْ إِلَىٰ شَيَـٰطِينِهِمْ قَالُوٓاْ إِنَّا مَعَكُمْ إِنَّمَا نَحْنُ مُسْتَهْزِءُونَ
Swadaqallah alaliyyul adhiiim
@@fauzatisospita5053 manshaAllah
Inasikitisha sana huyu kijana kwakweli kashakufa tuseme tu innalillahi wainna ilayhi rajiuna ni msiba mzito allah amuhidi yeye na wengine yaarabbi awajaaliye watubiye toba yakweli kumbe wanafiq wanaishi mpaka leo jamani subhanallah
@@yasalaam590 ACHA KIBURI MPOKEE YESU.
KUUKATAA UKWELI HAIBADILISHI UKWELI ANAUONGELEA KUHUSU UISLAM KAMA SIO KWELI TUAMBIE UKWELI HIVYO VITU HAVIPO KWA QURAN?
@@yasalaam590 Acha taarabu jifuze ndugu Usiamini Majini
Wewe Mungu atakufedhehesha Mungu atakushinda
Amen. God bless You
Nampenda huyu Yesu
Ila hakujui
Laanatullahi allayk
Allah akusamhe kwa mamb unayoyafanya na kudhalilisha uislam haliya kuwa haupo hvyo,acha uongo kaka
Wew nimchaw nasio mganga
Kudadadek umekimbia kuuliwa pumbav
Innalilahi wainna ilaih rajiun
I just love how waislamu wana tetea dini yao. They are trying their best. Kila muslamu aliokoka wanasema hakua muslamu. But mchristo akienda kwa waislamu inakua ni mungu amemuonyesha njia. Woooiye. Heri kwa Yesu. Yesu anakutetea.
Subuhana llah
Yohana 14:6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli na uzima; MTU haji kwa Baba, ila kwa njia ya Mimi. Mungu akubariki kwa kuichagua njia ya kweli na uzima.
Hiyo ndiyo kweri, alipo yesu ndipo mungu alipo,
Kwenu nyie yesu sio njia bali ni jina la dini yenu Maana baada yake ndo mmejiita Wakristo sasa kabla mlikuwa akina nani
Omary mnola Neno LA Bwana katika kitabu cha Isaya 42:22 Lakini watu hawa ni watu walioibiwa na kutekwa ; wote wamenaswa katika mashimo , wamefichwa katika magereza ; wamekuwa mawindo ,wala hapana aokoaye , wamekuwa mateka , wala hapana asemaye Rudisha..Mungu alie hai katika Kristo Yesu anakupenda na kumbuka kila goti litapigwa kwake na kila kinywa kitakiri kuwa Yesu ni mfalme anayetawala milele. Yesu anakupenda kwake yeye hakuna lisilowezekana kwake , mpokee leo abadilishe historia ya maisha yako.
@@ambokileboniface3691 wamepofushwa, hawawez kuona yesu ndie njia yakwer nauzima wamilele sema amen
@@omarymnola1011 , kama kwetu si si wewe kinakukera Nini ama kukuuma Nini ?
#@Jesus Christ Amen welcome bro to the truth
Waislamu msimtukane huyu kijana ameamua kupotea muombeeni maana hakuujua uislamu vizuri
Glory to Almighty Jesus who saved us on the cross....you matter to God
Thank you God for showing me the way..I was confused in which religion to be...now I know
Scha uwongo
Safi sana kwa ushuhuda Mungu ni mwema
Amina
Karibuni kwa YESU
Karibu kwa Yesu?.
Kwani Yesu nyumbani kwake wapi?
Hongera sana ndugu nimejifunza mengi kupitia ww ubarikiwe sana
Yesu ndiye njia kweli na uzima hakuna atakaye fika kwa mungu Bila kupitia kwake(yesu)
Ushirikina ndio ndio ulio kusumbua na sio dini ulipenda sana uchawi na sio kumjua allah