Tazama wachawi wanavyo aibishwa (Fahamu ufalme wa giza)....Episode 1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 91

  • @robertmdage5254
    @robertmdage5254 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki mtumishi

  • @godfreyalex5319
    @godfreyalex5319 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu aliye hai Yesu kristo akuinue ufikie viwango vya Mtume Paul, yeye aliiongokea Imani ya Kikisto na akawa mhubiri wa kimataifa,; Mungu akulinde. Amen

    • @nuriagodana1568
      @nuriagodana1568 8 หลายเดือนก่อน

      Nauliza tu kama yesu ni mungu siku alikufa nani alishikilia utawala wa mbingu na ardhi

  • @alfonsekasengi
    @alfonsekasengi 3 ปีที่แล้ว +9

    Mwenyezi mungu na akulinde vya kutosha🇰🇪🇰🇪, mimi mwenyewe nakuelewa sana.. Ushuhuda wako niliufuatilia wote na yote uliozungumzia niliyasikua kwingine kwa hivyo hutanganyi. 🙏🏽

  • @NicholausNkumira-ue8fe
    @NicholausNkumira-ue8fe 2 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki Mtumishi, tunaomba Tu usiwe unanyoa denge au panki, niliwahi kumtuma Shed akuambie, nadhani alisahau. Acha kabisa denge, huduma YAKO NI MUHIMU Sana na inatubariki.

  • @tbwoy216
    @tbwoy216 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana mchungaji,mtafute mchungaji ndacha BIBILIA Nuru ya dunia

  • @efelikabage-cn1fo
    @efelikabage-cn1fo 28 วันที่ผ่านมา

    Barikiwa legendary wa Yesu

  • @kabarezephanie3573
    @kabarezephanie3573 2 ปีที่แล้ว +3

    Ubarikiwe ndugu kwa kutoka ndani ya giza , tunakufata hapa Rwanda Kigali

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 3 ปีที่แล้ว +4

    Laanatullah

    • @isayajerad
      @isayajerad ปีที่แล้ว

      roho ya mhamad toka kwa jina yesu majini mizim mapepo roho ya ugaid

  • @rahmamusa4484
    @rahmamusa4484 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu n mkuu aliye kuokoa

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante saana ila usiwe unanyoa Denge au pank nakuogopa maan ulikotoka ndiko kuna uchafu wote,Asante

  • @marymkumbimarymkumbi5153
    @marymkumbimarymkumbi5153 2 ปีที่แล้ว +2

    Meshaki endelea kufanya kazi ya mungu,na mungu amekuita kwa kazi yake atakama utaitwa kafiri ni mipango yao ktk kukutoa kwenye ukwer mungu akutunze na kumtumikia tuko nyuma yako kaka 🙏🙏🙏

  • @skeetergodwins2576
    @skeetergodwins2576 3 ปีที่แล้ว +2

    Tunakupenda mtumishi. Endelea kuuaibisha ufalme wa shetani ili watu waendelee kufunguliwa. Usijali kama wanakuchambua au wanakudhihaki. Wao hawajui ulichokibeba.

  • @JaphetLameck-kw4yq
    @JaphetLameck-kw4yq 5 หลายเดือนก่อน

    Nakuelewa sana mtumishi.

  • @Iragibarune1.
    @Iragibarune1. 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu azidi kukulinda ili utangazie mataifa ukuuu , upendo wa mungu , na uwongo wa shetan na kazi zake mimi huwa nabarikiwa sana hasa pale niki kusikiliza

  • @nyangiboke
    @nyangiboke 2 หลายเดือนก่อน

    Yesu amekufanya ungae nina Lake litukuzwe

  • @geraldsanzala8119
    @geraldsanzala8119 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe Mtumishi nilikuwa natafuta account zako huku youtube

  • @RichardSilvanus
    @RichardSilvanus หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe afya njema

  • @nyangiboke
    @nyangiboke 2 หลายเดือนก่อน

    Yesu ni mwema

  • @happynessantony2700
    @happynessantony2700 2 ปีที่แล้ว +1

    Kazi yako ni njema endelea usikate tamaa Jina la Yesu litukuzwe

  • @failaprince9250
    @failaprince9250 10 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi ubarikiwe sana kabisa mtumishi achana naiyo mitindo yakunyowanyele ivyo nyowa kikawa ida tu usije ukakose mbingu kwakitu kidogo amina amina ubarikiwe kabisa

  • @RichardSilvanus
    @RichardSilvanus หลายเดือนก่อน

    Balikiwa sana

  • @ToloMaji
    @ToloMaji 9 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi Mungu akuongoze naomba utafsiri yale majina 99

  • @emmanuelissack9402
    @emmanuelissack9402 2 ปีที่แล้ว +1

    U arikiwe mtushi tunaomba sku moja ulete neno la mungu tabora

  • @mocranaburugi3486
    @mocranaburugi3486 3 ปีที่แล้ว +3

    Mtumishi mimi nashauri ushuhuda wako ungeusimulia pia humu kwa mapana

  • @venanceselegebu8566
    @venanceselegebu8566 2 ปีที่แล้ว +1

    ubarikiwe sana

  • @jacksonkilonzo1439
    @jacksonkilonzo1439 ปีที่แล้ว

    aisee ule ushuhuda wako wa kutoa kafara watoto wachanga ulinifanya nivutiwe sana na wewe mungu akibariki sanaaa

  • @elisonphilipo5028
    @elisonphilipo5028 2 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe

  • @prospermsambazya6450
    @prospermsambazya6450 3 ปีที่แล้ว +2

    Imekaa vzr mtumishi

  • @mkulimatarimoamina8316
    @mkulimatarimoamina8316 3 ปีที่แล้ว +2

    Mch ubarikiwe.NAOMBA uwe unasema kwa kiarabu na kiswahili inalete ladha ya kusikia na kufikirisha

  • @sarahjacobs8814
    @sarahjacobs8814 3 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana mtumishi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @sebastianmwita9149
    @sebastianmwita9149 2 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana mtumishi, karibu sana kwa Yesu kristu

  • @maryamayitsa6181
    @maryamayitsa6181 2 ปีที่แล้ว +1

    Shalom mtumishi wa Mungu, mungu amekuleta nakusudi kupitia kwako mioyo mingi itapona nakutazama toka kenya 🇰🇪 ww nimti wenyewe matunda usiogope mawe niko pamoja na ww, glory to God 🙏.

  • @boldleader94
    @boldleader94 2 ปีที่แล้ว +2

    Acha danganya watu....malipo hapahapa subiri mwisho wako utautapa 🤣

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

      Kila mmoja anachagua njia yake ,nawe ulichagua hiyo ya kuongozwa Na Majini hongera

    • @isayajerad
      @isayajerad ปีที่แล้ว

      utaerewa Nini mizim ya mhamad umesha kufunga ufaham mungu Yuko rohoni hayuko mwirini Kama uriyvo fundishwa na masheh wa majini na waganga na wachawi na magaid dunian

  • @furahahappiness110
    @furahahappiness110 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏 ivi nitafwatilia neno la Mungu apa kwa Amani be blessed 🙌 😇

  • @frankbella4271
    @frankbella4271 ปีที่แล้ว

    Ameen

  • @zawadianagabriel9768
    @zawadianagabriel9768 3 ปีที่แล้ว +3

    Amen amen🙏

  • @davidwambura5915
    @davidwambura5915 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongera Sana mtumishi.

  • @mariamkasekwa8933
    @mariamkasekwa8933 3 ปีที่แล้ว +2

    Nimebarikiwa sanasana

  • @edwinkaris9602
    @edwinkaris9602 2 ปีที่แล้ว +1

    wah hii ni deep information..from kenya...testimony nzuri kabisa

  • @joycehaule9686
    @joycehaule9686 8 หลายเดือนก่อน

    Amina mtumishi Mungu akubariki

  • @barakamanu1514
    @barakamanu1514 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa kuachilia video hizi, maarifa haya ni muhimu maishani.

  • @WistonMlomo
    @WistonMlomo ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana

  • @romathosimfukwe4240
    @romathosimfukwe4240 ปีที่แล้ว

    Yesu akuinue Meshack your choosen since

  • @NeemaKapusi
    @NeemaKapusi ปีที่แล้ว

    YESU unatosha

  • @philipmbaabu6169
    @philipmbaabu6169 2 ปีที่แล้ว +1

    Am listening. Thank you.

  • @LovenesLejinandy
    @LovenesLejinandy 11 หลายเดือนก่อน

    Amin mtumishi wanungu

  • @tuntufyegwamaka2404
    @tuntufyegwamaka2404 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki

  • @SunguraShabani
    @SunguraShabani ปีที่แล้ว

    Mungu akutunze siku zote
    ISAYA 54
    17 Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa, huu ndio urithi wa watumishi wa Bwana, na haki yao inayotoka kwangu mimi asema Bwana.
    Amen !!!

  • @jamesoseko6245
    @jamesoseko6245 3 ปีที่แล้ว +1

    God bless you pastor

  • @elizabethmbugua7701
    @elizabethmbugua7701 3 ปีที่แล้ว +1

    Glory to God! God bless you and keep you.

  • @zawia3154
    @zawia3154 2 ปีที่แล้ว +1

    Ulitakiwa kutubu Toba ya kweli Kwa Allah na sio kukufuru lakini kwakua umechagua Dunia basi Allah atakulipa Dunia Yako lakini akhera huna Cha kurithi na wew unafahamu

    • @isayajerad
      @isayajerad ปีที่แล้ว

      Yani ufahamu wa rohoni hautokani na mawazo ya kimwiri Kama wewe uriyvo fundishwa kufuga majin na umganga na ugaid na matusi utaerewa Nini wakati mhamad wako arikufa jumura hakufufuka rakini yesu arifufuka mpaga majini tuyatoe msikitini muwe huru na masheh wa kichawi

    • @blackwarrior-animations593
      @blackwarrior-animations593 ปีที่แล้ว +1

      @@isayajerad shauri yenu huyo yesu mnao muamini ndo tumaini lenu atawakataa
      siku ya mwisho

    • @nuriagodana1568
      @nuriagodana1568 8 หลายเดือนก่อน

      Ama kweli angetubu tobah kwa Allah kwa kuuwa roho bila hatia lkn amejichanganya zaidi maana Yesu pia ni kiumbe cha Allah akaletwa kupitia kiumbe kigingine Marym bint Imran ingawa Allah kampatia sifa hizo za kufufua na kufanya wapofu waone ila ni nguvu za Allah

  • @vklhkhjji8070
    @vklhkhjji8070 2 ปีที่แล้ว +1

    Umechagu dunia kuliko akhera,lkn ujue dunia itaisha kaka.

  • @veronicaseiyo4057
    @veronicaseiyo4057 3 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @rehemabrighton3176
    @rehemabrighton3176 ปีที่แล้ว

    👏👏👏👏🙏🏾

  • @damarisnjeri7820
    @damarisnjeri7820 ปีที่แล้ว

    I've tried your number man of God but haiendi through

  • @josephnkwamino6509
    @josephnkwamino6509 2 ปีที่แล้ว

    Kwake yeye YESU KRISTO kila goti litapigwa jina la BWANA lihimidiwe

  • @luvmo04
    @luvmo04 2 ปีที่แล้ว +1

    Wadanganye wakupe sadaka kwa wingi

    • @isayajerad
      @isayajerad ปีที่แล้ว

      majini ya muhamadi yameaza kupata shida Mimi niwashauri Kama mnataka kuigia mbinguni mwaminini yesu muwe huru IRA Kama mnataka kumwamini shetani yupo mhamad na wafasi wake wenye majini wa ganga mahgaidi wagivi wenye mizim wafuga majini hii hjia ya piri Ni hatari

    • @frankbella4271
      @frankbella4271 ปีที่แล้ว

      yesu ni mshindi

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 3 ปีที่แล้ว +1

    "KAJICHAWI"

    • @abelmbata37
      @abelmbata37 3 ปีที่แล้ว

      Kwani unateseka

    • @isayajerad
      @isayajerad ปีที่แล้ว

      kwa jina ra yesu roho ya mhamad toka majini roho ya ugaidi roho za uganga roho jini maimuna makata wewe jini kishimba mtoka huyu

  • @joelyjoely7827
    @joelyjoely7827 3 ปีที่แล้ว +5

    MM NINABII NANIPO KIGOMA WEWE UMTUMISH WA MUNGU NA UTAWASAIDIA DUNIA UNACHOKITU KIKUU MUNGU AMEKULETA KWA KUSUD

  • @jhfgbn87hshswj17
    @jhfgbn87hshswj17 3 ปีที่แล้ว

    Wewe acha kwani wisiramu nibiasha au

  • @zawadianagabriel9768
    @zawadianagabriel9768 3 ปีที่แล้ว +1

    Mtumishi usisahau kuzungumzia aina za limbwata na namna gani utazijua na dalili zake

    • @blessed599
      @blessed599 ปีที่แล้ว

      Limbwata ni nini

  • @zawia3154
    @zawia3154 2 ปีที่แล้ว

    Meshack wew ulikua mchawi kwaiyo ulikufukuru tangu hujaingia kwenye ukristo kwaiyo ukaacha uchawi ukaja kukufukuru Kwa ukristo lakini hakuna Aya kwenye Quran inafundisha uchawi na wew unajua kwaiyo unazidi kuangamia

    • @yakobomkristo872
      @yakobomkristo872 2 ปีที่แล้ว

      Alifikiri Akiusoma Sana Uislamu Atakuwa Mcha Mungu, Alipogundua Kwamba Alikuwa Anaingia Choo Cha Kike Cha Ibilisi Akashtuka Na Kukimbilia Kwa Yesu.

    • @viddamgeneka-fo9fp
      @viddamgeneka-fo9fp ปีที่แล้ว

      ​@@yakobomkristo872 ameokolewa kwa neema

    • @isayajerad
      @isayajerad ปีที่แล้ว

      Mimi nikushauri kijana wewe Urie fugishwa majini na kufudisha kuwa gaidi wa mhamad kwa Nini usitumie mda vizuri badara ya kufuga majini ukamwamini yesu harafu ukafuga kuku

  • @repentjesusiscomingsoon8799
    @repentjesusiscomingsoon8799 3 ปีที่แล้ว +1

    Swali langu, wakati mwingi naamka najikuta nimechanjwa chale, zingne ata damu imetoka au wakati mwingne nikiwa nimetulia tu nashtukia nimechanjwa wa kunichanja simuoni, hii nayo ndio nini? Naomba unisaidie usinilenge kama wengne

    • @ministermeshack
      @ministermeshack  3 ปีที่แล้ว +1

      Ntumie ujumbe whatsapa nitakujibu zaidi mtu wa Mungu

    • @isayajerad
      @isayajerad ปีที่แล้ว

      @@ministermeshack mtumishi naomba mamba yako

  • @theblackandrew4119
    @theblackandrew4119 3 ปีที่แล้ว

    Kuna madhara gani kwa mkristo kutumia mimea ambayo haipatani na uchawi ilikujikinga na uchawi.
    Mfano nachukua majani ambayo yanatofautiana na uchawi nayaweka kwenye pembe za shamba au nachanganya majani na maji halafu nadekia ndani ya nyumba.Kisha nafanya na maombi

    • @ministermeshack
      @ministermeshack  3 ปีที่แล้ว

      Tuma msg whatsap nitakujibu

    • @ministermeshack
      @ministermeshack  หลายเดือนก่อน

      @@theblackandrew4119 Mmea wenye Kinga lazima uwe na nguvu ya kinga,nahiyo nguvu yenyewe ndo uchawi

  • @dr.sendeuonlinetv2916
    @dr.sendeuonlinetv2916 3 ปีที่แล้ว +3

    Unaongea nn kafiri mkubwa wewe umeuza dini ya Allah kwa kutafuta kula 2 huna lolote

    • @kabarezephanie3573
      @kabarezephanie3573 2 ปีที่แล้ว

      Tokeni ndani ya giza uzaliwe Malaya piri

    • @daviddavid-gq8zp
      @daviddavid-gq8zp 2 ปีที่แล้ว

      Allah azidi kukubariki kwa jina la Mohammed bin Abdallah...Takbiiiiiiiiiir.

    • @isayajerad
      @isayajerad ปีที่แล้ว

      Mimi nikushauri wewe mfuga majini kwanini msijiziirishe mkamwamini yesu badara ya kuwa taperi wa mhamad na mfuga majini na mchawi Kama masheh wezako na magaid na mwenye mizim kwanini mda wakufuga majini usimtafute mungu

  • @failaprince9250
    @failaprince9250 10 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi ubarikiwe sana kabisa mtumishi achana naiyo mitindo yakunyowanyele ivyo nyowa kikawa ida tu usije ukakose mbingu kwakitu kidogo amina amina ubarikiwe kabisa

    • @peterwairegi450
      @peterwairegi450 8 หลายเดือนก่อน

      Waisreali walikuwa na nywele ndefu.