USHUHUDA WA SHEHE ALIYEOKOKA(Part 1)~Shehe Omary Mnyeshani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 161

  • @salimahlokoh9699
    @salimahlokoh9699 2 ปีที่แล้ว +54

    Mimi nmekuwa muislamu 42yea nimeokoka huu mwaka

  • @lilianmugyabuso8908
    @lilianmugyabuso8908 2 ปีที่แล้ว +6

    Ubarikiwe Kwa ushuhuda mzuri Mungu akutunze

  • @chancelinechuchu7333
    @chancelinechuchu7333 5 ปีที่แล้ว +15

    nimesubiri uyu ushuhuda kwahamu karibu kwake yesu utapata kila kitu

  • @goodlucklendey1722
    @goodlucklendey1722 3 ปีที่แล้ว +5

    Ubarikiwe mhombe mungu akujalie uzidi kumjua yesu na kujua mambo ya mpendezayo ili uweze kulithi ufalume wa mungu kaa kwenye maombi na mungu akulinde

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 4 ปีที่แล้ว +27

    Shuhuda hizi zinatufunulia mambo ya ulimwengu wa giza (uchawi, majini, kazi za shetani kwa ujumla wake)...zinatusaidia kukaa na Yesu mwokozi wetu wakati wote ili shetani asitupate. JINA LA YESU NI KUU na kiboko ya shetani.

    • @flavianimtewele5178
      @flavianimtewele5178 3 ปีที่แล้ว +4

      Jina la yesu ni kiboko Cha nguvu za giza

    • @mrsnzilomgisha2687
      @mrsnzilomgisha2687 3 ปีที่แล้ว +3

      Yesu ni mwema sana cd yake ninayo anamengi sana huyu ya kushuhudia

    • @mrsnzilomgisha2687
      @mrsnzilomgisha2687 3 ปีที่แล้ว +3

      Ubarikiwe promover tv

    • @mrsnzilomgisha2687
      @mrsnzilomgisha2687 3 ปีที่แล้ว +1

      Ameruka vitu vingi sana mpaka hapo msituni kuna mambo ambayo akihadithia itagharimu wiki3

    • @colinharper5147
      @colinharper5147 3 ปีที่แล้ว

      I guess it is kind of off topic but do anybody know of a good place to watch new movies online?

  • @masogangemasogange7835
    @masogangemasogange7835 4 ปีที่แล้ว +8

    Mungu akubariki Sana: kwa kua Na akili timamu : Tanzania vipindi nyingi vya maojiano Tanzania uwa wanaongea upuzi Na ujinga. Hawana akili ' Na kupenda kuvutilia watu , kuliko wangalie mambo muhimu

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 4 ปีที่แล้ว +6

    Mungu akubariki Mtumishi wapendwa tunapaswa kuombea watoto wetu kila wakati

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 ปีที่แล้ว +3

    Yesu nimzur sana Aisee

  • @sospetermasanja3224
    @sospetermasanja3224 5 ปีที่แล้ว +13

    Huyu jamaa yuko vzr sana!

  • @navokisembo
    @navokisembo 5 ปีที่แล้ว +7

    Barikiwa mtumishi kwa hii kazi ya ushuhuda

  • @raphaelkatanga5335
    @raphaelkatanga5335 3 ปีที่แล้ว +3

    Utukufu naheshima na nguvu na enzi unamunguwetu milele na milele amina

  • @mutonyipros1293
    @mutonyipros1293 3 ปีที่แล้ว +2

    I was married to amuslim 10yrs.what I learnt and I saw.what I went through, I will never leave Jesus Christ. Damu ya yesu almost 99 % of all shekhs Ni wachachawi.hao wanaohubiri..

  • @samuelnduati9792
    @samuelnduati9792 5 ปีที่แล้ว +19

    Yesu akikugusa huta baki kama ulivyo.

  • @barick
    @barick 5 ปีที่แล้ว +3

    Asante kwa kazi nzuri unazofanya

    • @verosanga4477
      @verosanga4477 2 ปีที่แล้ว +2

      Kwakweri nimejifunza mengi sana,kwa shuhuda hizi zimenifanya nijue YESU ni mzuri mmmmmmnnnnnoooo.utukufu kwa MUNGU yeye anaye tawala na kumiliki yote.

  • @richiedexter6302
    @richiedexter6302 4 ปีที่แล้ว +12

    Habari kaka...channel yako ni nzur mno. Ila tunaomba uwe unaweka VIDEO kabisa sio audio na picha tu. Lengo ni kuangalia expression ya uso ya mtoa ushuhuda. Jambo hili ni muhimu kulink emotions na feelings za mtoa ushuhuda na sisi watazamaji.
    Asante sana

    • @ramyramy3455
      @ramyramy3455 4 ปีที่แล้ว +1

      Nkweli kbsaa.

    • @marthamilaji9385
      @marthamilaji9385 2 ปีที่แล้ว

      Muhusika ndo kakataa asioneshwe siyo lazima kujionesha

  • @jersonmpeka4984
    @jersonmpeka4984 7 หลายเดือนก่อน +1

    Lulu wanasema ina majini 99 na majina ya Allah ni 99 hili linafikilisha sana

  • @juvenalymwanalyela4448
    @juvenalymwanalyela4448 4 ปีที่แล้ว +2

    Asante kwakumpa BwaYesu maisha

  • @masogangemasogange7835
    @masogangemasogange7835 4 ปีที่แล้ว +5

    God bless you' jacktan 'kwa hekima Na marifa' tunakueshimu'

  • @nyamogafamily4262
    @nyamogafamily4262 5 ปีที่แล้ว +4

    Mungu wetu Ainuliwe Mara dufu nilitamani unioe lakn bado Nina hofu.
    Barikiwa Sana umari

  • @benjaminkabebo6581
    @benjaminkabebo6581 2 ปีที่แล้ว +1

    Mtoto wa mwalimu nauliza huyu shehe omary yupo wapi kwa sasa na anafanya kazi gani kwa sasa.Pia naomba mawasiliano yake ikiwezekana mtu wa Mungu

  • @barakajuma2085
    @barakajuma2085 5 ปีที่แล้ว +5

    Yesu ni Bwana

  • @HadijaFunga
    @HadijaFunga 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ushuhuda,huonilishausikia,miakaishilini,iliopota,kumbendiowewe,mdogowangu,polesana,kwayesu,umefika,kilakitu,kilikwisha,pale,msalabani,Yesundionjiayakweli,nauzima,

  • @Summertm
    @Summertm 6 หลายเดือนก่อน +1

    1 John 3:8: Jesus came to destroy the works of the devil.

  • @gizzoforshizzo
    @gizzoforshizzo 5 ปีที่แล้ว +7

    Ushuhuda Mkubwa sana hongera sana Jacktan Msafiri

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  5 ปีที่แล้ว

      Asante

    • @salmamrisho3330
      @salmamrisho3330 5 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu mtumish kama anahudumu tabora naomba mawasiliano nae mimi nipo Tabora na natafuta kanisa zuri lenye nguvu za Mungu ili kuabudu kwa wakat huu ambao nipo huku

  • @charlesmavika2575
    @charlesmavika2575 5 ปีที่แล้ว +9

    Mungu akubariki ndugu msafiri, kuna Mengi binafsi najifunza na youtube channel za design kama yako ni chache.

  • @farajirashid8859
    @farajirashid8859 ปีที่แล้ว

    Wewe mwongo sana

  • @daudimpulumba6742
    @daudimpulumba6742 5 ปีที่แล้ว +5

    Nmeipenda hii stori

  • @abedichande2497
    @abedichande2497 5 ปีที่แล้ว +4

    zamn nilikuwa mpenz sana wa hiz shuuda baada ya kujua tu kuwa amuelezi vitu kwa uwazi nimekuwa mvivu sana wa kusikiliza..mtu umeokoka na umempokea yesu na ulinzi kwa mungu unachoficha nn mpaka napata hata mashaka kutaka kuamini kuwa hz shuuda ni kwel au la

    • @jovithashayo4197
      @jovithashayo4197 5 ปีที่แล้ว

      Abedi Chande i

    • @mussaabobakar7537
      @mussaabobakar7537 4 ปีที่แล้ว +1

      Hamna wanatengeza izo sio kwel et ww umesikia wap asa shehe kasoma kuruan anahofu ya mungu alf akaokoke hahahaha jan akamuabudu mtu jan yesu binaaadam

    • @mussaabobakar7537
      @mussaabobakar7537 4 ปีที่แล้ว

      Ww watu kama wanategeza viwete alf wanaombea nakanisan alf wananyuka watashindwa kutengeza iyo ya shehe

    • @MishiPapalan
      @MishiPapalan 3 ปีที่แล้ว +2

      Huyu jamaa muongo mimi nimesha mzalau siku nyingi kwanza uchawi tuu ndio ulomtawala hana ndini yoyote

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว +1

      Wewe kumbuka wako Duniani,Si vizuri kutaja majina ya watu au vitu vyoote waazi,Wewe kama huamini basi endelea na mambo yako,Sie tutamfuata,Tunajua mengi Duniani,Sikujua kama Waislamu ambao ni waganga wanakubalika ndani ya dini,Maana wakikujua ukiwa mkristo huruhusiwi tena,Sasaasingeshuhudia ningejuaje??na Muslamu kuokoka ni issue mpaka Nguvu fulani ije ndani ya mtu huyo

  • @costanciasimon2076
    @costanciasimon2076 2 ปีที่แล้ว +3

    TangA shikamoo tarafa ya MADANGA

  • @tedynotes6148
    @tedynotes6148 4 ปีที่แล้ว +2

    Ubalikiwe sana

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 5 ปีที่แล้ว +6

    Simulizi inasisimua.asante

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

      Okoka kama bado,kumbe majini yameenda chuo cha madrasa haa ila hayajui Wokovu tu

  • @pascalumira7271
    @pascalumira7271 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ina wezekana? Mtumishi wa MUNGU akitaka ajue utendaji waki shetani na malaika zake na wachawi wake aende shule za falaki azijue tu na arudi kumtumikia YESU KRISTO wake yawezekana?

    • @gms254
      @gms254 วันที่ผ่านมา

      Hapana, haiwezekani.

  • @MohamedMohamed-u3t1n
    @MohamedMohamed-u3t1n 9 หลายเดือนก่อน

    Makafiri wote wanadai ushahidi wao wa kuritadi watakwambia uchawi hawana ushahidi wa maandiko waongo sana hizi kuni za motoni

    • @evalinekitomary4307
      @evalinekitomary4307 4 หลายเดือนก่อน

      Hivi kwanini wapinga kristo na wafuga majininahasira sana Yesu kristo awaokoe

    • @MohamedMohamed-u3t1n
      @MohamedMohamed-u3t1n 4 หลายเดือนก่อน

      @evalinekitomary4307 tatizo makafiri wanatumia uongo wewe kila anaetaka Kiki anasema alikua sheikh sijawahi kuona sheikh alieritadi wengi elimu yao hata mimi hawanifikii na mimi sio hata mwalimu

    • @8pistons194
      @8pistons194 3 หลายเดือนก่อน

      Uislamu ni uchawi over!

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 ปีที่แล้ว

    Naomba nmba mishi

  • @sakisfidmasho6393
    @sakisfidmasho6393 5 ปีที่แล้ว +5

    yesu ni hatari wachawi wana sumbuka kufanya uchawi rakini yesu anaondoa uchawi huo mara moja tu

    • @sarahmichael7538
      @sarahmichael7538 4 ปีที่แล้ว +1

      Yesu haandikwi kwa kuanza na herufi ndogo, tfdhl sn

    • @magrethmollel1078
      @magrethmollel1078 2 ปีที่แล้ว +1

      Jitahidi kumuheshimu Mungu kwa kuandika kwa herufi kubwa Yesu,Mungu,Roho Mtakatifu

  • @samuelnduati9792
    @samuelnduati9792 5 ปีที่แล้ว +5

    Jamani ushuhuda wa nguvu, ulipitia mengi mtumishi lakini hakika hakuna kama Yesu.

    • @halfaniland3850
      @halfaniland3850 5 ปีที่แล้ว

      We acha kukufuru. Soma Luka 6:12,13) Huyo aliyekuwa akiomba Mungu kwenye mkesha ni nani? Maana we umesema hakuna kama Yesu. Halafu kingine, si bora ungesema; hakuna kama Mama wa Yesu. Maana Maryamu ndiye kamzaa huyo Yesu. Soma acha kuropoka ndugu. Luka 1:30,31)

    • @mussaabobakar7537
      @mussaabobakar7537 4 ปีที่แล้ว

      @@halfaniland3850 jaman naona kuulza mm mungu wa wakrsto ndojup asa plz nisaidie mana mm yesu najua binaadam hawez kuwa mungu mana kazaliwa et na maryam binaadam hawez kuwa mungu

    • @gladnesssidiu8945
      @gladnesssidiu8945 4 ปีที่แล้ว +5

      @@mussaabobakar7537 bakini na iman zenu ila Yesu ni Bwana hata mkatae ....af kimewaleta nini huku kusikiliza shuhuda za kikiristo kama haziwavutii

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

      @@halfaniland3850 hata Mama wa Yesu anamnyenyekea Yesu

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

      @@mussaabobakar7537 Yesu alizaliwa kama Binadamu tu ili tusimuogope,Lakini alikuja akitoka Mbinguni aligeuka tu kuwa binadamu ili tumsogelee bila woga,Nafikiri Unahitaji kufundishwa Biblia au kuisoma ili Uielewe vizuri na Kwa Nini tunasema Yesu ni Mwana wa Mungu au ni Mungu

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwani huyo mungu wa Waislamu asingekusaidia kuondokana na hiyo hali??mbona wanamuamini saana??

  • @lucasgasper5235
    @lucasgasper5235 5 ปีที่แล้ว +4

    Goood

  • @YahayaRashid-w2f
    @YahayaRashid-w2f 3 หลายเดือนก่อน

    Ebuachen uongo

  • @hamzayusuf1894
    @hamzayusuf1894 ปีที่แล้ว

    BAsi kama uli fundishwa uchawi huujuwi uslamu ndipo ukamfuwata pawulo ukawa mkiristo

  • @sukumaganga2613
    @sukumaganga2613 2 ปีที่แล้ว +2

    Huo ni uwongo mkubwa sana pia kama. Itakuwa kweli bc uislam hauruhusu mtu kuwa mchawi Wala wachawi kuwa ndo marafiki zetu wamelaaniwa wote wanafanya UCHAWI Ila sio dini ndio iinayoruhusu ni matakwa ya ya mtu binafs hata mm nilikuwa mkristo Leo mwislam nashukuru mungu kwa kuniongoa kila moja achek na nafs yake Ila awadanganye hao wa shetan wa mungu hatudanganyiki kwani mkristo akiwa mwizi ndo wakristo wote wezi? Tumieni akili

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว +1

      Nakuelewa ila Waislamu wengi wakiwa wachawi wanaruhusiwa kufunga na kufanya Ibada zote za uislamu,Mkristo ukijulikana ni mchawi huruhusiwi kuwa kiongozi wa Dini fulani ya kikiristo,Amka

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

      Hee pole saana umechagua fungu lako maana jehanamu inakusubiri

  • @benedictmango9561
    @benedictmango9561 4 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana

  • @edigamashauri7443
    @edigamashauri7443 3 ปีที่แล้ว

    kaka kuna watu wanafura iya uchawi mm ninaushuda kuna mwana mke uku niriko nimutu muzuri sana kwamaneno pena mucheshi rakini niatari sana kwauchawi namakafara

  • @fatmakhamis8605
    @fatmakhamis8605 4 ปีที่แล้ว +2

    Unajuwa wakristo munachekesha nyinyi munsema kwmba quran ni uchwi eti kwa kuw munziona kw waganga lkn leo ukiangalia gesti zote zimejaa bibilia hivi Ina maana mtu anapozini anapata ham ya kusoma

    • @ludovickharsonharson3564
      @ludovickharsonharson3564 4 ปีที่แล้ว +3

      Hahahaaaaaaaa mbavu zangu jamn hahahahaaaaa umekosa cha kuandika duuuuh,, umekuwa malaya mpaka gest zote unazijua

    • @jamesautomajorjimmy7895
      @jamesautomajorjimmy7895 4 ปีที่แล้ว +2

      Check mi nimetoka kenya saa si matusi au dharau wote hawa wanaotoa ushuhuda wengi ni waislamu na si vibaya lakini ukiangalia alishababu wote ni waislamu wanapigania Mungu wao badala Mungu wao awapiganie angalia kwa pande zote mbili yaani umbaya na uzuri wa kitu

    • @marselinadena7618
      @marselinadena7618 3 ปีที่แล้ว +7

      Gesti ziliwekwa kwa ajili ya nini? Ashukuriwe Mungu uliingia gesti na ukakuta biblia sasa kazi kwako siku ya hukumu hhuna namna ya kumwambia Mungu kwamba hukupata neno lake. Maana ushamaliza Gesti zote

    • @ramadhanwilbard8196
      @ramadhanwilbard8196 2 ปีที่แล้ว

      @@jamesautomajorjimmy7895 Shangaa kwanza wanaoabudia masanamu ya kuchonga heti ni mfano wa Mungu!

    • @lilianmugyabuso8908
      @lilianmugyabuso8908 2 ปีที่แล้ว +2

      @@marselinadena7618 Hahahaha umeongea vyema Siku ya hukumu asitoe sababu!umenichekesha sanaa

  • @wanyooshetv9987
    @wanyooshetv9987 2 ปีที่แล้ว +2

    ILI NI IGIZO TU HAKUNA MUISLAMU MWENYE MUONEKANO WA KIKAFIRI NAMNA HIYO

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 ปีที่แล้ว

    Naomb Namba z mtumsh

  • @paskalmichael6658
    @paskalmichael6658 3 ปีที่แล้ว +4

    Tuchukue ushuhuda huu tupate kutubu. Bwana apewe sofa.

  • @barakampunga8121
    @barakampunga8121 5 หลายเดือนก่อน

    Waislamu achen matus na makasrko nyie mnaslrimisha wakriso wa kawaida Sisi wanartadi mashehe Kimberly inawaume Eeeh

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 ปีที่แล้ว

    Naomb Namba mtumshi

  • @mamafloraofficial4315
    @mamafloraofficial4315 ปีที่แล้ว

    Nasikia huyu karudia uganga

    • @DIGNAJASTIN-dl8yj
      @DIGNAJASTIN-dl8yj 8 หลายเดือนก่อน

      Wew mama flora amekuambia kwamba amerudia uganga?

  • @nassorsalehsalum8852
    @nassorsalehsalum8852 3 ปีที่แล้ว +4

    😠😠😠 jinga sana

  • @MohamedMohamed-u3t1n
    @MohamedMohamed-u3t1n 9 หลายเดือนก่อน

    Huko upande wa pili nasikia papa kawaamuru waoane mpeni mume huo alikua na jini mahaba huyo

    • @evalinekitomary4307
      @evalinekitomary4307 4 หลายเดือนก่อน

      Nikwambie tu kuwa papa sio Yesu kristo na sio kila mkristo ni mkatoliki

    • @MohamedMohamed-u3t1n
      @MohamedMohamed-u3t1n 4 หลายเดือนก่อน

      @@evalinekitomary4307 wakristo wote wapo katika upotezvu ndio mana mpaka leo mungu hawamjui wengine wanakwambia baba wengine baba ndio huyo huyo yesu yani mgongano balaa maandiko ya bibilia yana migongano hasa hizi barua za paulo ndio zinapoteza balaa

  • @mwambakamata2030
    @mwambakamata2030 ปีที่แล้ว

    😅😅

  • @mwambakamata2030
    @mwambakamata2030 ปีที่แล้ว

    😅😅😅

  • @mussaabobakar7537
    @mussaabobakar7537 4 ปีที่แล้ว +3

    Ila nakwambia tena mnajitahid kutuga vzr mana mnavo wafanya watu wawe viwete alf unamuombea et anapoa hahahahahaha

    • @sambajohn5015
      @sambajohn5015 4 ปีที่แล้ว

      OK je yesu akumpa uhai ndege

    • @sarahmichael7538
      @sarahmichael7538 4 ปีที่แล้ว +1

      Yesu anakupenda ndg krb kwa Yesu!

    • @sarahmichael7538
      @sarahmichael7538 4 ปีที่แล้ว +1

      Ila hakuna watu wabishi kama hiki kizazi cha 6...mnabisha kwasababu hamumjui Mungu wala uweza wake. Mwapotea kwa sababu hamumjui Mungu wa kweli

    • @marselinadena7618
      @marselinadena7618 3 ปีที่แล้ว +1

      Yesu anakupenda

    • @bundamara8035
      @bundamara8035 3 ปีที่แล้ว +2

      hata mim nilikuwa mbishi na mgumu kuelew km ww mussa lkn ipo siku yesu atakupa neem ya kumjua kwa maan ni kw neem tuu kumjua yy haswa ukiwa huko ulikoooo.

  • @mahshamwidaawaonlinetv4261
    @mahshamwidaawaonlinetv4261 2 ปีที่แล้ว +3

    Ushuhuda fake, mbona anaficha sura yake? Anwani ya ushuhuda ni MCHAWI ALIYEOKOKA sio SHEHE ALIYEOKOKA

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 2 ปีที่แล้ว +2

      Ushuhuda sio feki ukitaka kumshuhudia vizuri huyu bwana mcheki kwenye channel ya Davista Mata utafuatilia mwanzo mwisho sio audio ni video

    • @shafymtupili1075
      @shafymtupili1075 2 ปีที่แล้ว

      Mchawi huyo

    • @patsonkyando1732
      @patsonkyando1732 ปีที่แล้ว

      Kwani kuwa sheikh maana yake Nini?

    • @mahshamwidaawaonlinetv4261
      @mahshamwidaawaonlinetv4261 ปีที่แล้ว

      @@patsonkyando1732 Bwana Patason natumai umesikiliza ushuhuda alotoa huyo bwana, kwa madai yake na majina aliyoyatoa yeye amezaliwa katika dini ya Kiislamu lakini alipokuwa mdogo aliidhi uchawi na mtu mwenye kupewa mikoba ya uchawi huyo si mwingine ila ni mchawi. Ikiwa kaokoka na kumpokea yesu itakuwa ni mchawi kaokoka na kumpokea yesu sio shekhe kama anuani ya video hii ilivyo nakiliwa, ushuhuda wake nikuwa amekuwa mchawi na akajifunza mengi kuhusu uchawi , mfano mkristo anapoitwa kwenda kanisani hutumia kengel, muislamu hutumia mwadhini na wachawi kama alivyosimulia jamaa huyu alifundishwa kutumia aina fulani ya sauti. la muhimu adai kuwa amemupokea Bwana yesu akaokoka bila ya kujua kuwa ujumbe alopewa bwana yesu haukuwa ujumbe kwa watu wote ila ilikuwa ni ujumbe kwa makabila kumi na mbili za wana wa israeli, adai anamfuata yesu lakini kwa bahati mbaya Yesu atamkana siku ya kiyama.

    • @patsonkyando1732
      @patsonkyando1732 ปีที่แล้ว

      @@mahshamwidaawaonlinetv4261Brother ,Muabudu Mungu wa mbinguni siyo Dini , Duniani Dini Ni nyingi sana,Wengi tunashika dini tukidhani tunampendeza Mungu , ukweli Dini zote Ni za shetani Wanadamu siyo Mungu,Watu leo wamefundishwa na kushika Mambo ya Dini zao,Moja ya Jambo shetani anafanya Ni kuufunga ufahamu wa watu ili wasimjue MunguSo kumuelewa Mungu Ni ngumu sana unahitaji Neema ya Mungu ili umuelewe na kumjua, ndio Mana wengine Ni wachawi washirikina waganga wa kienyeji,wafuga majini ,wanaoa wake wengi na walozi lakini wanaenda misikitini na makanisani na diniwanazo kwani Ni rahisi kuwa na dini

  • @abedichande2497
    @abedichande2497 5 ปีที่แล้ว

    hapo ndyo me uwa nachoka ..sa kwa nn msiwe wazi kabsa mnaogopa nn wakati mmeisha okoka jaman

    • @sakisfidmasho6393
      @sakisfidmasho6393 5 ปีที่แล้ว +3

      Abedi Chande anatumia hekima mana sio wote wana hekima na imani kama mimi na wewe na yeye .

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

      Ndugu Tumia hekima

  • @mussaabobakar7537
    @mussaabobakar7537 4 ปีที่แล้ว +1

    Tatzo lenu wakrsto jambo moja tu mnakosea mnapo tunga izo str zenu alokwambia uislam kufuga majini nan mana naona yote mmeshikilia ivo tu 🤣🤣🤣🤣 na awo wachugaji wanao fanya muijiza wao wann mashetan au hahahahaha

    • @hopedigitalmedia34
      @hopedigitalmedia34 4 ปีที่แล้ว +2

      Mbona unateseka

    • @jamesautomajorjimmy7895
      @jamesautomajorjimmy7895 4 ปีที่แล้ว +2

      Ukisikia ulizia ukisikia mara moja ya pili fikiria mara mbili juu ukiona wenzio anyolewa makasi yale yale ita kupitia mombasani hizo vitu ni kama kawaida kwa nini jiulize kwa nini dugu yangu sikiza ukaelewe

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว +1

      Pole saana mfuate nyumbani umkataze kuongea hayo

    • @patsonkyando1732
      @patsonkyando1732 ปีที่แล้ว +2

      Mungu Ni Mkuu sana, mpokeeni Yesu Kristo Waislam na Wakatoliki mnapotea sana,hammuabudu wa mbinguni mnaabudu Dini,Dini siyo njia ya kwenda mbinguni ,Yesu Ni NJIA na KWELI na UZIMA Hakuna awezaye kumcha MUNGU bilà Yesu Kristo

  • @salimahlokoh9699
    @salimahlokoh9699 2 ปีที่แล้ว +5

    Mimi nmekuwa muislamu 42yea nimeokoka huu mwaka

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  2 ปีที่แล้ว

      Barikiwa sana

    • @sukumaganga2613
      @sukumaganga2613 2 ปีที่แล้ว

      Yaan makafiri mnajitahidi sana kuua uislam ila hamtaweza Kwa sababu alieileta hiyo Dini ni Mungu mwenyewe sasa ww mwanadamu utawesaje kuuzima thubutu ndo kwanza ulaya wanasilim kama mvua na makanisa kugeuzwa kuwa misikiti hafu wale mnaosema.yesu anawajua dozi yangu Luka 13:25-30 zawadi yenu pitia hiyo Aya karibu ktk Islamic utaenjoy mwenyewe maana Kila mtu atabeba furushinlake mwenyewe hakuna Cha yesu kubeba dhambi zako Wala nn achani ujinga huo kama yesu amebeba dhambi Kila jumapili mnaendaga kulilia Nini makanisan mbona waajabu hivi nyie duh

    • @bamanyasalvius123
      @bamanyasalvius123 ปีที่แล้ว

      ​@@sukumaganga2613 Kaffir wa nyoko

    • @MohamedMohamed-u3t1n
      @MohamedMohamed-u3t1n 9 หลายเดือนก่อน

      Huyu anataka mume huko kwa papa ruhusa kuolewa mpeni mume huyo