Shuhuda hizi zinatufunulia mambo ya ulimwengu wa giza (uchawi, majini, kazi za shetani kwa ujumla wake)...zinatusaidia kukaa na Yesu mwokozi wetu wakati wote ili shetani asitupate. JINA LA YESU NI KUU na kiboko ya shetani.
Mungu akubariki Sana: kwa kua Na akili timamu : Tanzania vipindi nyingi vya maojiano Tanzania uwa wanaongea upuzi Na ujinga. Hawana akili ' Na kupenda kuvutilia watu , kuliko wangalie mambo muhimu
I was married to amuslim 10yrs.what I learnt and I saw.what I went through, I will never leave Jesus Christ. Damu ya yesu almost 99 % of all shekhs Ni wachachawi.hao wanaohubiri..
Habari kaka...channel yako ni nzur mno. Ila tunaomba uwe unaweka VIDEO kabisa sio audio na picha tu. Lengo ni kuangalia expression ya uso ya mtoa ushuhuda. Jambo hili ni muhimu kulink emotions na feelings za mtoa ushuhuda na sisi watazamaji. Asante sana
Huyu mtumish kama anahudumu tabora naomba mawasiliano nae mimi nipo Tabora na natafuta kanisa zuri lenye nguvu za Mungu ili kuabudu kwa wakat huu ambao nipo huku
zamn nilikuwa mpenz sana wa hiz shuuda baada ya kujua tu kuwa amuelezi vitu kwa uwazi nimekuwa mvivu sana wa kusikiliza..mtu umeokoka na umempokea yesu na ulinzi kwa mungu unachoficha nn mpaka napata hata mashaka kutaka kuamini kuwa hz shuuda ni kwel au la
Wewe kumbuka wako Duniani,Si vizuri kutaja majina ya watu au vitu vyoote waazi,Wewe kama huamini basi endelea na mambo yako,Sie tutamfuata,Tunajua mengi Duniani,Sikujua kama Waislamu ambao ni waganga wanakubalika ndani ya dini,Maana wakikujua ukiwa mkristo huruhusiwi tena,Sasaasingeshuhudia ningejuaje??na Muslamu kuokoka ni issue mpaka Nguvu fulani ije ndani ya mtu huyo
Ina wezekana? Mtumishi wa MUNGU akitaka ajue utendaji waki shetani na malaika zake na wachawi wake aende shule za falaki azijue tu na arudi kumtumikia YESU KRISTO wake yawezekana?
@evalinekitomary4307 tatizo makafiri wanatumia uongo wewe kila anaetaka Kiki anasema alikua sheikh sijawahi kuona sheikh alieritadi wengi elimu yao hata mimi hawanifikii na mimi sio hata mwalimu
We acha kukufuru. Soma Luka 6:12,13) Huyo aliyekuwa akiomba Mungu kwenye mkesha ni nani? Maana we umesema hakuna kama Yesu. Halafu kingine, si bora ungesema; hakuna kama Mama wa Yesu. Maana Maryamu ndiye kamzaa huyo Yesu. Soma acha kuropoka ndugu. Luka 1:30,31)
@@halfaniland3850 jaman naona kuulza mm mungu wa wakrsto ndojup asa plz nisaidie mana mm yesu najua binaadam hawez kuwa mungu mana kazaliwa et na maryam binaadam hawez kuwa mungu
@@mussaabobakar7537 Yesu alizaliwa kama Binadamu tu ili tusimuogope,Lakini alikuja akitoka Mbinguni aligeuka tu kuwa binadamu ili tumsogelee bila woga,Nafikiri Unahitaji kufundishwa Biblia au kuisoma ili Uielewe vizuri na Kwa Nini tunasema Yesu ni Mwana wa Mungu au ni Mungu
Huo ni uwongo mkubwa sana pia kama. Itakuwa kweli bc uislam hauruhusu mtu kuwa mchawi Wala wachawi kuwa ndo marafiki zetu wamelaaniwa wote wanafanya UCHAWI Ila sio dini ndio iinayoruhusu ni matakwa ya ya mtu binafs hata mm nilikuwa mkristo Leo mwislam nashukuru mungu kwa kuniongoa kila moja achek na nafs yake Ila awadanganye hao wa shetan wa mungu hatudanganyiki kwani mkristo akiwa mwizi ndo wakristo wote wezi? Tumieni akili
Nakuelewa ila Waislamu wengi wakiwa wachawi wanaruhusiwa kufunga na kufanya Ibada zote za uislamu,Mkristo ukijulikana ni mchawi huruhusiwi kuwa kiongozi wa Dini fulani ya kikiristo,Amka
kaka kuna watu wanafura iya uchawi mm ninaushuda kuna mwana mke uku niriko nimutu muzuri sana kwamaneno pena mucheshi rakini niatari sana kwauchawi namakafara
Unajuwa wakristo munachekesha nyinyi munsema kwmba quran ni uchwi eti kwa kuw munziona kw waganga lkn leo ukiangalia gesti zote zimejaa bibilia hivi Ina maana mtu anapozini anapata ham ya kusoma
Check mi nimetoka kenya saa si matusi au dharau wote hawa wanaotoa ushuhuda wengi ni waislamu na si vibaya lakini ukiangalia alishababu wote ni waislamu wanapigania Mungu wao badala Mungu wao awapiganie angalia kwa pande zote mbili yaani umbaya na uzuri wa kitu
Gesti ziliwekwa kwa ajili ya nini? Ashukuriwe Mungu uliingia gesti na ukakuta biblia sasa kazi kwako siku ya hukumu hhuna namna ya kumwambia Mungu kwamba hukupata neno lake. Maana ushamaliza Gesti zote
@@evalinekitomary4307 wakristo wote wapo katika upotezvu ndio mana mpaka leo mungu hawamjui wengine wanakwambia baba wengine baba ndio huyo huyo yesu yani mgongano balaa maandiko ya bibilia yana migongano hasa hizi barua za paulo ndio zinapoteza balaa
hata mim nilikuwa mbishi na mgumu kuelew km ww mussa lkn ipo siku yesu atakupa neem ya kumjua kwa maan ni kw neem tuu kumjua yy haswa ukiwa huko ulikoooo.
@@patsonkyando1732 Bwana Patason natumai umesikiliza ushuhuda alotoa huyo bwana, kwa madai yake na majina aliyoyatoa yeye amezaliwa katika dini ya Kiislamu lakini alipokuwa mdogo aliidhi uchawi na mtu mwenye kupewa mikoba ya uchawi huyo si mwingine ila ni mchawi. Ikiwa kaokoka na kumpokea yesu itakuwa ni mchawi kaokoka na kumpokea yesu sio shekhe kama anuani ya video hii ilivyo nakiliwa, ushuhuda wake nikuwa amekuwa mchawi na akajifunza mengi kuhusu uchawi , mfano mkristo anapoitwa kwenda kanisani hutumia kengel, muislamu hutumia mwadhini na wachawi kama alivyosimulia jamaa huyu alifundishwa kutumia aina fulani ya sauti. la muhimu adai kuwa amemupokea Bwana yesu akaokoka bila ya kujua kuwa ujumbe alopewa bwana yesu haukuwa ujumbe kwa watu wote ila ilikuwa ni ujumbe kwa makabila kumi na mbili za wana wa israeli, adai anamfuata yesu lakini kwa bahati mbaya Yesu atamkana siku ya kiyama.
@@mahshamwidaawaonlinetv4261Brother ,Muabudu Mungu wa mbinguni siyo Dini , Duniani Dini Ni nyingi sana,Wengi tunashika dini tukidhani tunampendeza Mungu , ukweli Dini zote Ni za shetani Wanadamu siyo Mungu,Watu leo wamefundishwa na kushika Mambo ya Dini zao,Moja ya Jambo shetani anafanya Ni kuufunga ufahamu wa watu ili wasimjue MunguSo kumuelewa Mungu Ni ngumu sana unahitaji Neema ya Mungu ili umuelewe na kumjua, ndio Mana wengine Ni wachawi washirikina waganga wa kienyeji,wafuga majini ,wanaoa wake wengi na walozi lakini wanaenda misikitini na makanisani na diniwanazo kwani Ni rahisi kuwa na dini
Tatzo lenu wakrsto jambo moja tu mnakosea mnapo tunga izo str zenu alokwambia uislam kufuga majini nan mana naona yote mmeshikilia ivo tu 🤣🤣🤣🤣 na awo wachugaji wanao fanya muijiza wao wann mashetan au hahahahaha
Ukisikia ulizia ukisikia mara moja ya pili fikiria mara mbili juu ukiona wenzio anyolewa makasi yale yale ita kupitia mombasani hizo vitu ni kama kawaida kwa nini jiulize kwa nini dugu yangu sikiza ukaelewe
Mungu Ni Mkuu sana, mpokeeni Yesu Kristo Waislam na Wakatoliki mnapotea sana,hammuabudu wa mbinguni mnaabudu Dini,Dini siyo njia ya kwenda mbinguni ,Yesu Ni NJIA na KWELI na UZIMA Hakuna awezaye kumcha MUNGU bilà Yesu Kristo
Yaan makafiri mnajitahidi sana kuua uislam ila hamtaweza Kwa sababu alieileta hiyo Dini ni Mungu mwenyewe sasa ww mwanadamu utawesaje kuuzima thubutu ndo kwanza ulaya wanasilim kama mvua na makanisa kugeuzwa kuwa misikiti hafu wale mnaosema.yesu anawajua dozi yangu Luka 13:25-30 zawadi yenu pitia hiyo Aya karibu ktk Islamic utaenjoy mwenyewe maana Kila mtu atabeba furushinlake mwenyewe hakuna Cha yesu kubeba dhambi zako Wala nn achani ujinga huo kama yesu amebeba dhambi Kila jumapili mnaendaga kulilia Nini makanisan mbona waajabu hivi nyie duh
Mimi nmekuwa muislamu 42yea nimeokoka huu mwaka
Amen
Amen
Aminaaaaaa,karibu kwa bwana wetu n'a mokozi wetu yesu christu
Wow Yesu ahimidiwe,Na wewe ulikuwa na majini??
🙏🥰❤
Ubarikiwe Kwa ushuhuda mzuri Mungu akutunze
nimesubiri uyu ushuhuda kwahamu karibu kwake yesu utapata kila kitu
Ubarikiwe mhombe mungu akujalie uzidi kumjua yesu na kujua mambo ya mpendezayo ili uweze kulithi ufalume wa mungu kaa kwenye maombi na mungu akulinde
Shuhuda hizi zinatufunulia mambo ya ulimwengu wa giza (uchawi, majini, kazi za shetani kwa ujumla wake)...zinatusaidia kukaa na Yesu mwokozi wetu wakati wote ili shetani asitupate. JINA LA YESU NI KUU na kiboko ya shetani.
Jina la yesu ni kiboko Cha nguvu za giza
Yesu ni mwema sana cd yake ninayo anamengi sana huyu ya kushuhudia
Ubarikiwe promover tv
Ameruka vitu vingi sana mpaka hapo msituni kuna mambo ambayo akihadithia itagharimu wiki3
I guess it is kind of off topic but do anybody know of a good place to watch new movies online?
Mungu akubariki Sana: kwa kua Na akili timamu : Tanzania vipindi nyingi vya maojiano Tanzania uwa wanaongea upuzi Na ujinga. Hawana akili ' Na kupenda kuvutilia watu , kuliko wangalie mambo muhimu
akika mungu uwa ana makusudi nasa namwana damu
Hakika
Mungu akubariki Mtumishi wapendwa tunapaswa kuombea watoto wetu kila wakati
Saana
Yesu nimzur sana Aisee
Huyu jamaa yuko vzr sana!
Barikiwa mtumishi kwa hii kazi ya ushuhuda
Ameen
Utukufu naheshima na nguvu na enzi unamunguwetu milele na milele amina
I was married to amuslim 10yrs.what I learnt and I saw.what I went through, I will never leave Jesus Christ. Damu ya yesu almost 99 % of all shekhs Ni wachachawi.hao wanaohubiri..
Amen,speak out all
Asante saana eti ndio wanaoongoza
Asilimia 100 ya sheikhs Ni wachawi wa kusomea majini na kuyatumia
EXACTLY, Kweli kabisa
Yesu akikugusa huta baki kama ulivyo.
Amen
Asante kwa kazi nzuri unazofanya
Kwakweri nimejifunza mengi sana,kwa shuhuda hizi zimenifanya nijue YESU ni mzuri mmmmmmnnnnnoooo.utukufu kwa MUNGU yeye anaye tawala na kumiliki yote.
Habari kaka...channel yako ni nzur mno. Ila tunaomba uwe unaweka VIDEO kabisa sio audio na picha tu. Lengo ni kuangalia expression ya uso ya mtoa ushuhuda. Jambo hili ni muhimu kulink emotions na feelings za mtoa ushuhuda na sisi watazamaji.
Asante sana
Nkweli kbsaa.
Muhusika ndo kakataa asioneshwe siyo lazima kujionesha
Lulu wanasema ina majini 99 na majina ya Allah ni 99 hili linafikilisha sana
Asante kwakumpa BwaYesu maisha
God bless you' jacktan 'kwa hekima Na marifa' tunakueshimu'
Mungu wetu Ainuliwe Mara dufu nilitamani unioe lakn bado Nina hofu.
Barikiwa Sana umari
Are you sure Nyamoga
😀😀😀😀
@@messimessi7255 Yes dear
@@nyamogafamily4262 ooh thats good🙏
😄😄😄😄
Mtoto wa mwalimu nauliza huyu shehe omary yupo wapi kwa sasa na anafanya kazi gani kwa sasa.Pia naomba mawasiliano yake ikiwezekana mtu wa Mungu
Yesu ni Bwana
Ushuhuda,huonilishausikia,miakaishilini,iliopota,kumbendiowewe,mdogowangu,polesana,kwayesu,umefika,kilakitu,kilikwisha,pale,msalabani,Yesundionjiayakweli,nauzima,
1 John 3:8: Jesus came to destroy the works of the devil.
Ushuhuda Mkubwa sana hongera sana Jacktan Msafiri
Asante
Huyu mtumish kama anahudumu tabora naomba mawasiliano nae mimi nipo Tabora na natafuta kanisa zuri lenye nguvu za Mungu ili kuabudu kwa wakat huu ambao nipo huku
Mungu akubariki ndugu msafiri, kuna Mengi binafsi najifunza na youtube channel za design kama yako ni chache.
Ameen
Wewe mwongo sana
Nmeipenda hii stori
zamn nilikuwa mpenz sana wa hiz shuuda baada ya kujua tu kuwa amuelezi vitu kwa uwazi nimekuwa mvivu sana wa kusikiliza..mtu umeokoka na umempokea yesu na ulinzi kwa mungu unachoficha nn mpaka napata hata mashaka kutaka kuamini kuwa hz shuuda ni kwel au la
Abedi Chande i
Hamna wanatengeza izo sio kwel et ww umesikia wap asa shehe kasoma kuruan anahofu ya mungu alf akaokoke hahahaha jan akamuabudu mtu jan yesu binaaadam
Ww watu kama wanategeza viwete alf wanaombea nakanisan alf wananyuka watashindwa kutengeza iyo ya shehe
Huyu jamaa muongo mimi nimesha mzalau siku nyingi kwanza uchawi tuu ndio ulomtawala hana ndini yoyote
Wewe kumbuka wako Duniani,Si vizuri kutaja majina ya watu au vitu vyoote waazi,Wewe kama huamini basi endelea na mambo yako,Sie tutamfuata,Tunajua mengi Duniani,Sikujua kama Waislamu ambao ni waganga wanakubalika ndani ya dini,Maana wakikujua ukiwa mkristo huruhusiwi tena,Sasaasingeshuhudia ningejuaje??na Muslamu kuokoka ni issue mpaka Nguvu fulani ije ndani ya mtu huyo
TangA shikamoo tarafa ya MADANGA
Hahahaaaa nimekuelewa
Ubalikiwe sana
Simulizi inasisimua.asante
Okoka kama bado,kumbe majini yameenda chuo cha madrasa haa ila hayajui Wokovu tu
Ina wezekana? Mtumishi wa MUNGU akitaka ajue utendaji waki shetani na malaika zake na wachawi wake aende shule za falaki azijue tu na arudi kumtumikia YESU KRISTO wake yawezekana?
Hapana, haiwezekani.
Makafiri wote wanadai ushahidi wao wa kuritadi watakwambia uchawi hawana ushahidi wa maandiko waongo sana hizi kuni za motoni
Hivi kwanini wapinga kristo na wafuga majininahasira sana Yesu kristo awaokoe
@evalinekitomary4307 tatizo makafiri wanatumia uongo wewe kila anaetaka Kiki anasema alikua sheikh sijawahi kuona sheikh alieritadi wengi elimu yao hata mimi hawanifikii na mimi sio hata mwalimu
Uislamu ni uchawi over!
Naomba nmba mishi
yesu ni hatari wachawi wana sumbuka kufanya uchawi rakini yesu anaondoa uchawi huo mara moja tu
Yesu haandikwi kwa kuanza na herufi ndogo, tfdhl sn
Jitahidi kumuheshimu Mungu kwa kuandika kwa herufi kubwa Yesu,Mungu,Roho Mtakatifu
Jamani ushuhuda wa nguvu, ulipitia mengi mtumishi lakini hakika hakuna kama Yesu.
We acha kukufuru. Soma Luka 6:12,13) Huyo aliyekuwa akiomba Mungu kwenye mkesha ni nani? Maana we umesema hakuna kama Yesu. Halafu kingine, si bora ungesema; hakuna kama Mama wa Yesu. Maana Maryamu ndiye kamzaa huyo Yesu. Soma acha kuropoka ndugu. Luka 1:30,31)
@@halfaniland3850 jaman naona kuulza mm mungu wa wakrsto ndojup asa plz nisaidie mana mm yesu najua binaadam hawez kuwa mungu mana kazaliwa et na maryam binaadam hawez kuwa mungu
@@mussaabobakar7537 bakini na iman zenu ila Yesu ni Bwana hata mkatae ....af kimewaleta nini huku kusikiliza shuhuda za kikiristo kama haziwavutii
@@halfaniland3850 hata Mama wa Yesu anamnyenyekea Yesu
@@mussaabobakar7537 Yesu alizaliwa kama Binadamu tu ili tusimuogope,Lakini alikuja akitoka Mbinguni aligeuka tu kuwa binadamu ili tumsogelee bila woga,Nafikiri Unahitaji kufundishwa Biblia au kuisoma ili Uielewe vizuri na Kwa Nini tunasema Yesu ni Mwana wa Mungu au ni Mungu
Kwani huyo mungu wa Waislamu asingekusaidia kuondokana na hiyo hali??mbona wanamuamini saana??
Mungu hakai katika dini
Goood
Ebuachen uongo
BAsi kama uli fundishwa uchawi huujuwi uslamu ndipo ukamfuwata pawulo ukawa mkiristo
Huo ni uwongo mkubwa sana pia kama. Itakuwa kweli bc uislam hauruhusu mtu kuwa mchawi Wala wachawi kuwa ndo marafiki zetu wamelaaniwa wote wanafanya UCHAWI Ila sio dini ndio iinayoruhusu ni matakwa ya ya mtu binafs hata mm nilikuwa mkristo Leo mwislam nashukuru mungu kwa kuniongoa kila moja achek na nafs yake Ila awadanganye hao wa shetan wa mungu hatudanganyiki kwani mkristo akiwa mwizi ndo wakristo wote wezi? Tumieni akili
Nakuelewa ila Waislamu wengi wakiwa wachawi wanaruhusiwa kufunga na kufanya Ibada zote za uislamu,Mkristo ukijulikana ni mchawi huruhusiwi kuwa kiongozi wa Dini fulani ya kikiristo,Amka
Hee pole saana umechagua fungu lako maana jehanamu inakusubiri
Safi sana
kaka kuna watu wanafura iya uchawi mm ninaushuda kuna mwana mke uku niriko nimutu muzuri sana kwamaneno pena mucheshi rakini niatari sana kwauchawi namakafara
Unajuwa wakristo munachekesha nyinyi munsema kwmba quran ni uchwi eti kwa kuw munziona kw waganga lkn leo ukiangalia gesti zote zimejaa bibilia hivi Ina maana mtu anapozini anapata ham ya kusoma
Hahahaaaaaaaa mbavu zangu jamn hahahahaaaaa umekosa cha kuandika duuuuh,, umekuwa malaya mpaka gest zote unazijua
Check mi nimetoka kenya saa si matusi au dharau wote hawa wanaotoa ushuhuda wengi ni waislamu na si vibaya lakini ukiangalia alishababu wote ni waislamu wanapigania Mungu wao badala Mungu wao awapiganie angalia kwa pande zote mbili yaani umbaya na uzuri wa kitu
Gesti ziliwekwa kwa ajili ya nini? Ashukuriwe Mungu uliingia gesti na ukakuta biblia sasa kazi kwako siku ya hukumu hhuna namna ya kumwambia Mungu kwamba hukupata neno lake. Maana ushamaliza Gesti zote
@@jamesautomajorjimmy7895 Shangaa kwanza wanaoabudia masanamu ya kuchonga heti ni mfano wa Mungu!
@@marselinadena7618 Hahahaha umeongea vyema Siku ya hukumu asitoe sababu!umenichekesha sanaa
ILI NI IGIZO TU HAKUNA MUISLAMU MWENYE MUONEKANO WA KIKAFIRI NAMNA HIYO
Naomb Namba z mtumsh
Tuchukue ushuhuda huu tupate kutubu. Bwana apewe sofa.
Waislamu achen matus na makasrko nyie mnaslrimisha wakriso wa kawaida Sisi wanartadi mashehe Kimberly inawaume Eeeh
Naomb Namba mtumshi
Nasikia huyu karudia uganga
Wew mama flora amekuambia kwamba amerudia uganga?
😠😠😠 jinga sana
Huko upande wa pili nasikia papa kawaamuru waoane mpeni mume huo alikua na jini mahaba huyo
Nikwambie tu kuwa papa sio Yesu kristo na sio kila mkristo ni mkatoliki
@@evalinekitomary4307 wakristo wote wapo katika upotezvu ndio mana mpaka leo mungu hawamjui wengine wanakwambia baba wengine baba ndio huyo huyo yesu yani mgongano balaa maandiko ya bibilia yana migongano hasa hizi barua za paulo ndio zinapoteza balaa
😅😅
😅😅😅
Ila nakwambia tena mnajitahid kutuga vzr mana mnavo wafanya watu wawe viwete alf unamuombea et anapoa hahahahahaha
OK je yesu akumpa uhai ndege
Yesu anakupenda ndg krb kwa Yesu!
Ila hakuna watu wabishi kama hiki kizazi cha 6...mnabisha kwasababu hamumjui Mungu wala uweza wake. Mwapotea kwa sababu hamumjui Mungu wa kweli
Yesu anakupenda
hata mim nilikuwa mbishi na mgumu kuelew km ww mussa lkn ipo siku yesu atakupa neem ya kumjua kwa maan ni kw neem tuu kumjua yy haswa ukiwa huko ulikoooo.
Ushuhuda fake, mbona anaficha sura yake? Anwani ya ushuhuda ni MCHAWI ALIYEOKOKA sio SHEHE ALIYEOKOKA
Ushuhuda sio feki ukitaka kumshuhudia vizuri huyu bwana mcheki kwenye channel ya Davista Mata utafuatilia mwanzo mwisho sio audio ni video
Mchawi huyo
Kwani kuwa sheikh maana yake Nini?
@@patsonkyando1732 Bwana Patason natumai umesikiliza ushuhuda alotoa huyo bwana, kwa madai yake na majina aliyoyatoa yeye amezaliwa katika dini ya Kiislamu lakini alipokuwa mdogo aliidhi uchawi na mtu mwenye kupewa mikoba ya uchawi huyo si mwingine ila ni mchawi. Ikiwa kaokoka na kumpokea yesu itakuwa ni mchawi kaokoka na kumpokea yesu sio shekhe kama anuani ya video hii ilivyo nakiliwa, ushuhuda wake nikuwa amekuwa mchawi na akajifunza mengi kuhusu uchawi , mfano mkristo anapoitwa kwenda kanisani hutumia kengel, muislamu hutumia mwadhini na wachawi kama alivyosimulia jamaa huyu alifundishwa kutumia aina fulani ya sauti. la muhimu adai kuwa amemupokea Bwana yesu akaokoka bila ya kujua kuwa ujumbe alopewa bwana yesu haukuwa ujumbe kwa watu wote ila ilikuwa ni ujumbe kwa makabila kumi na mbili za wana wa israeli, adai anamfuata yesu lakini kwa bahati mbaya Yesu atamkana siku ya kiyama.
@@mahshamwidaawaonlinetv4261Brother ,Muabudu Mungu wa mbinguni siyo Dini , Duniani Dini Ni nyingi sana,Wengi tunashika dini tukidhani tunampendeza Mungu , ukweli Dini zote Ni za shetani Wanadamu siyo Mungu,Watu leo wamefundishwa na kushika Mambo ya Dini zao,Moja ya Jambo shetani anafanya Ni kuufunga ufahamu wa watu ili wasimjue MunguSo kumuelewa Mungu Ni ngumu sana unahitaji Neema ya Mungu ili umuelewe na kumjua, ndio Mana wengine Ni wachawi washirikina waganga wa kienyeji,wafuga majini ,wanaoa wake wengi na walozi lakini wanaenda misikitini na makanisani na diniwanazo kwani Ni rahisi kuwa na dini
hapo ndyo me uwa nachoka ..sa kwa nn msiwe wazi kabsa mnaogopa nn wakati mmeisha okoka jaman
Abedi Chande anatumia hekima mana sio wote wana hekima na imani kama mimi na wewe na yeye .
Ndugu Tumia hekima
Tatzo lenu wakrsto jambo moja tu mnakosea mnapo tunga izo str zenu alokwambia uislam kufuga majini nan mana naona yote mmeshikilia ivo tu 🤣🤣🤣🤣 na awo wachugaji wanao fanya muijiza wao wann mashetan au hahahahaha
Mbona unateseka
Ukisikia ulizia ukisikia mara moja ya pili fikiria mara mbili juu ukiona wenzio anyolewa makasi yale yale ita kupitia mombasani hizo vitu ni kama kawaida kwa nini jiulize kwa nini dugu yangu sikiza ukaelewe
Pole saana mfuate nyumbani umkataze kuongea hayo
Mungu Ni Mkuu sana, mpokeeni Yesu Kristo Waislam na Wakatoliki mnapotea sana,hammuabudu wa mbinguni mnaabudu Dini,Dini siyo njia ya kwenda mbinguni ,Yesu Ni NJIA na KWELI na UZIMA Hakuna awezaye kumcha MUNGU bilà Yesu Kristo
Mimi nmekuwa muislamu 42yea nimeokoka huu mwaka
Barikiwa sana
Yaan makafiri mnajitahidi sana kuua uislam ila hamtaweza Kwa sababu alieileta hiyo Dini ni Mungu mwenyewe sasa ww mwanadamu utawesaje kuuzima thubutu ndo kwanza ulaya wanasilim kama mvua na makanisa kugeuzwa kuwa misikiti hafu wale mnaosema.yesu anawajua dozi yangu Luka 13:25-30 zawadi yenu pitia hiyo Aya karibu ktk Islamic utaenjoy mwenyewe maana Kila mtu atabeba furushinlake mwenyewe hakuna Cha yesu kubeba dhambi zako Wala nn achani ujinga huo kama yesu amebeba dhambi Kila jumapili mnaendaga kulilia Nini makanisan mbona waajabu hivi nyie duh
@@sukumaganga2613 Kaffir wa nyoko
Huyu anataka mume huko kwa papa ruhusa kuolewa mpeni mume huyo