SAULI ALIPOONA MAMBO HAYAENDI AKAGEUKIA WACHAWI. WATU WENGI LEO HUGEUKIA WACHAWI BILA KUJUA MADHARA YAKE. USISAHAU KU BONYEZA SUBSCRIBE KWENYE CHANEL HII PIA PAKUA MAOMBI APP KWENYE SIM YAKO
Nashukuru mutumishi na nabii wamungu kunipa imani kuhusu kuja kwa YESU kilajicho litamuona nikweli nami nitamuona sababu ninatamani sana uzima wa milele.
naijua sehemu ya fraha yangu ni kiduchu tuu kwenye maisha ya ulimwengu habali gan wakati napo patwa na hofu je mahubiri yako hayani fariji? katika safar ya imani nasii tudumu katika maombi huku tukiombeana
Asante mchungaji kwa maana umenipa funzo
God bless you I have been inspired
Unanibariki Sana Pr mmbaga mahubiri ya neno la Mungu, Mungu asikuache daima,aamin
Amina mtumishi wa Mungu barikiwa Sana nami nimebarikiwa Sana kwakuwa nimejifunza mengi kutoka kwako kwakuwa Roho wa Mungu anakutumia vema
Amina
Asante Mch. Mungu akubarik zaid mafundisho yako yananihamasisha kusoma neno ka Mungu.Asante sana!
Barikiwa saana nikati ya mahubiri ambayo sitachoka kuyasikiliza
Mungu akubariki na akupe nguvu ili uzidi kutufunza mengi
Nashukuru sana Pr.Mbaga kila siku naendelea kufanyika upya, from Sweden
Sweeden kuzurii
Nitumie no yako
Amen mchungaji mumebarikiwa Sana mchungaji
Am here 2020 can't stop listening to Ur inspiring words
ubarikiwe sana mchungaji najifunza mengi kupitia mahubir yako.
Bwana Yesu asifiwe
ubalikiwe mchungaji
Amen 🙏🙏🙏🙏 be blessed Soo much pastor I have been blessed Soo much
Amen 🙏
Mungu akubariki niko saudi Arabie nakufata vizuri sana
Barikiwa mtumishi
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
Ubarikiwe sana nakupata vizuri nikiwa hapa Iraq Baghdad
asante PR.
Ana Shadrak
Barikiwe pastor,,,, endelea kufunua ukweli
Ameen
Nimebalikiwa na ujumbe
hakika daima napenda sana mahubili yako.
Barikiwa mtumishi wa Mungu
Amen mtumishi
amina yesu ndiye nguvu na ufufuo
Asanten sana
amina
Amina Mungu ni mwema
Nashukuru mutumishi na nabii wamungu kunipa imani kuhusu kuja kwa YESU kilajicho litamuona nikweli nami nitamuona sababu ninatamani sana uzima wa milele.
Amee
Amen
naijua sehemu ya fraha yangu ni kiduchu tuu kwenye maisha ya ulimwengu habali gan
wakati napo patwa na hofu je mahubiri yako hayani fariji? katika safar ya imani
nasii tudumu katika maombi huku tukiombeana
Full maupako
😁
amina ni kweli kiburi hakina maana
Mungu akubariki sana pastor
Ubarikiwe pt
Barikiwa kwakufundisha kweliiii
nabalikiwa sana mtumishi Mungu akuweke,
Barikiwa mtumishi wa mungu,nashukuru kwa mafundisho mazuri yananibariki sana
Ila mutumishi na nabii wa MUNGU naomba sana shauri kwako ninahitaji tafadhari niko inje ya Tanzania nitakupata namna ganini?naomba jamani.
Mchungaji nakushukuru kwa mafundisho mazuri ikiwezekana uwe unanitumia mafundisho kwa njia ya whatssap 0766209256
jeremia misango ubarikiwe. Ni hapa tu TH-cam
Amen
Bwansa
ubarikiwe sana mchungaji najifunza mengi kupitia mahubir yako.
asante PR.