Ni hatuna nzuri,inabidi Sasa mg wapewe posho,matibabu,na kupitia briged Kila Kanda wawe wanakwenda kushiriki mazoezi, na kwakuwa ni sehemu ya jwtz,vitambulisho na mavazi wafanane
Kama kamandi nyingine Kila Moja Ina nembo yake lakini ya kofia ni Moja na Kila Ina share zake lakini wote wameruhusiwa kuvaa Kombat na wanaposho na Jeshi la akiba pamoja wanamavazi Yao na kwasababu vitani wataingia na Kombat basi waanze kuruhusiwa wazizoe sio vitani waanze kuhofu kuhusu adui na wahofu kuhusu Kombat,tumeanza vizuri kuimarisha na kurudisha heshima sifa kwa amiri Jeshi na makanda tuendelee kuiboresha
Nimependa sanaaa kuwepo kwa KAMBI YA KAMANDI YA JESHILETU LA AKIBA ila ninapenda sana namimi ningekuwa mmoja wa jwtz moja kwamoja napenda hata nisipolipwa jamani dah c.r.f oyeeee
Tanzania bado tunafeli saana inawezekana vipi linafunguliwa wakati wahusika hawapo au hiyo ni kambi ya jeshi la wanainchi tujue serikali inapaswa kubolesha jinsi ya kuwapa nafasi kubwa askari wa K.J.A tafadhali kama kjna wanao husika watambue kua kuna vijana wanaumia na wana mafunzo na wanazalaulika saana
Kwa kweli nimefurahi Sana kuona kukamilika kwa kamandi ya jeshi letu la akiba Kwan mmi piah no mmoja was Askari wa jeshi la akiba lakini nimehuzunishwa kutokuona askari wenzangu hapo wa jeshi la akiba/mgambo katika video picha hii haileti afya kwakua hatuwaoni wenzetu wanao tuwakilisha kwa hili mmetukosea Sana mnapaswa kutuomba msaha kwakweli
HAKUNA MGAMBO TZ NOW MBONA MMENG'ANG'ANIA MGAMBO... HEBU WAPENI HADHI WAPIGANAJI WETU BWANA.... MGAMBO NI ENZI HIZO ZSHAPITWA..... HILI NI JESHI LA AKIBA.... KAMANDI YA JESHI LA AKIBA CHINI YA WIZARA YA ULINZ NA JKT.... AMBAYO ZAMAN ILIKUWA CHIN YA WIZARA YA ULINZ NA MAMNO YA NDAN ILIITWA JESH LA MGAMBO....
Ni hatuna nzuri,inabidi Sasa mg wapewe posho,matibabu,na kupitia briged Kila Kanda wawe wanakwenda kushiriki mazoezi, na kwakuwa ni sehemu ya jwtz,vitambulisho na mavazi wafanane
Kama kamandi nyingine Kila Moja Ina nembo yake lakini ya kofia ni Moja na Kila Ina share zake lakini wote wameruhusiwa kuvaa Kombat na wanaposho na Jeshi la akiba pamoja wanamavazi Yao na kwasababu vitani wataingia na Kombat basi waanze kuruhusiwa wazizoe sio vitani waanze kuhofu kuhusu adui na wahofu kuhusu Kombat,tumeanza vizuri kuimarisha na kurudisha heshima sifa kwa amiri Jeshi na makanda tuendelee kuiboresha
Naung mkon
Wii MUNGU Libaliki jwtz MUNGU ibaliki Tanzania Amina
Hatimae kamandi imekamilika Kaz nzuli ahsanteeni tupo p1
Mpo vzr Allah awawekeee wepec
Hapo ingetakiwa wawepo wanajeshi wa hakiba mg
Sawa kabisa
Kwani kambi ya jeshi la akiba imejengwa lini sijawahi sikia
Nimependa sanaaa kuwepo kwa KAMBI YA KAMANDI YA JESHILETU LA AKIBA ila ninapenda sana namimi ningekuwa mmoja wa jwtz moja kwamoja napenda hata nisipolipwa jamani dah c.r.f oyeeee
Safi
Tanzania bado tunafeli saana inawezekana vipi linafunguliwa wakati wahusika hawapo au hiyo ni kambi ya jeshi la wanainchi tujue serikali inapaswa kubolesha jinsi ya kuwapa nafasi kubwa askari wa K.J.A tafadhali kama kjna wanao husika watambue kua kuna vijana wanaumia na wana mafunzo na wanazalaulika saana
Anae jua kambi iyo ina manufaa gani kwa mg anifahamishe maana sioni askari wenyewe kambini apo kama ilivyo kwa majeshi mengine
@@MgishaBoaz ni kutoa mafunzo kwa wakufunzi wa mgambo na mgambo wenyewe
Kwa kweli nimefurahi Sana kuona kukamilika kwa kamandi ya jeshi letu la akiba Kwan mmi piah no mmoja was Askari wa jeshi la akiba lakini nimehuzunishwa kutokuona askari wenzangu hapo wa jeshi la akiba/mgambo katika video picha hii haileti afya kwakua hatuwaoni wenzetu wanao tuwakilisha kwa hili mmetukosea Sana mnapaswa kutuomba msaha kwakweli
Tulieni hayawahusu.
Camera stabilizer bado kiongoz
Hvi hiyo Guard akuikagua au Mtandao bado unasumbua?
Pia tukumbuke katika kuimarisha kamandi tuwatumie mg wenyewe,wapo wasomi ktk mg tuwatumie italeta tija
ilitakiwa tuone mgambo nao wapo hapo
HAKUNA MGAMBO TZ NOW MBONA MMENG'ANG'ANIA MGAMBO... HEBU WAPENI HADHI WAPIGANAJI WETU BWANA.... MGAMBO NI ENZI HIZO ZSHAPITWA..... HILI NI JESHI LA AKIBA.... KAMANDI YA JESHI LA AKIBA CHINI YA WIZARA YA ULINZ NA JKT.... AMBAYO ZAMAN ILIKUWA CHIN YA WIZARA YA ULINZ NA MAMNO YA NDAN ILIITWA JESH LA MGAMBO....