Kiukweli jeshi la akiba watumika sana ila viongozi wahusika wamelisahau mno ata wakipewa kazi posho yao inakuwa changa moto adi wanajiisi sio asikari halali maana hawana mtetezi yeyote washauri wa jeshi la akiba wapo kimaslahi zaidi kuliko kutatua changa moto zilizopo kwa asikari hawa ningeomba bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania watunge sheria mpya itakayo kuwa na masrahi kwa asikari wa jeshi la akiba.
Uhakika jeshi imara pasipo shaka 🇹🇿 Tanzania yetu aman idum tuirinde pamoja wajibu wetu jeshi Ra ulinzi Mungu ibaliki aflica Mungu ibaliki Tanzania 🇹🇿
Asante Kwa Kutufuatilia
Saf mh rc kwa kutambua uwepo wa jesh la akiba
Asante Kwa Kutufuatilia
Tunaomba waandakiwe kambi zao nao wajitegemee
Asante Kwa Kutufuatilia
TUKO SALAMA KABISA
Asante Kwa Kutufuatilia
Kiukweli jeshi la akiba watumika sana ila viongozi wahusika wamelisahau mno ata wakipewa kazi posho yao inakuwa changa moto adi wanajiisi sio asikari halali maana hawana mtetezi yeyote washauri wa jeshi la akiba wapo kimaslahi zaidi kuliko kutatua changa moto zilizopo kwa asikari hawa ningeomba bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania watunge sheria mpya itakayo kuwa na masrahi kwa asikari wa jeshi la akiba.
Asante Kwa Kutufuatilia
Kalibukigoma kiongoz uskiechangamoto zetu
Asante Kwa Kutufuatilia