ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
ต่อไป
เล่นอัตโนมัติ
HOUSE GIRL EP 43 || love story💞💕BUSATI TV
มุมมอง 163K
HOUSE GIRL EP 15 | SEASON 2 | love story💞💕BUSATI TV
มุมมอง 57K
TAHADHARI, WADUDU hawa 6 Hutakiwi KUWAUA ukiwaona nyumbani kwakoIPM MEDIA
มุมมอง 342K
หงส์รุกคุยซูบีเมนดี้พร้อมจ่าย นักเตะมีแววเปิดใจ 2โจทย์ตีแตกได้ไหม? ข่าวลิเวอร์พูล 8/8/67โคตรแอ็ค KodAct ทันข่าวลิเวอร์พูล
มุมมอง 84K
นนท์เดอะซีรีส์ EP.22 ตอน ห่าก้อม โคตรปอบมนต์ดำ | หลอนไดอารี่หลอนไดอารี่
มุมมอง 773K
Smart Sigma Kid #funny #sigma #memesCRAZY GREAPA
มุมมอง 12M
BABA YANGU KIPOFU Full episode /21/ #loveBabaJoan
มุมมอง 529K
WANANGU SEHEMU YA KWANZAAkili Grapher
มุมมอง 168
HOUSE GIRL EP 39 || love story💞💕BUSATI TV
มุมมอง 168K
TRUE LOVE FULL MOVIEhemedy chande TV
มุมมอง 1.1M
BABA YANGU KIPOFU Full episode /24/ #loveBabaJoan
มุมมอง 250K
HOUSE GIRL EP 14 || SEASON 2 || Love Story💕💕BUSATI TV
มุมมอง 72K
HOUSE GIRL EP 41 || love story💞💕BUSATI TV
มุมมอง 152K
HOUSE GIRL EP 11 || SEASON 2 || Love Story💕💕BUSATI TV
มุมมอง 106K
LIVE : Barcelona vs AC Milan | Soccer Champions Tour 2024 | 07.08.24BG SPORTS
มุมมอง 185K
พิธา แถลงหลังศาลรัฐธรรมนูญ ยุบพรรคก้าวไกล | THE STANDARD (LIVE)THE STANDARD
มุมมอง 545K
นนท์เดอะซีรีส์ EP.22 ตอน ห่าก้อม โคตรปอบมนต์ดำ | หลอนไดอารี่หลอนไดอารี่
มุมมอง 773K
"โค้ชเช" ดีใจคว้าเหรียญทองได้ในฐานะคนไทยชื่นชมน้องเทนนิสใจสู้ ลั่นคนไทยทำได้แล้ว #โอลิมปิก2024Thairath Sport
มุมมอง 98K
Batman vs Superman vs Spiderman | Outplay and Won 9 | Marvel#6Socola Funny
มุมมอง 11M
ดีซะกว่า - COCKTAIL |Official MV|GeneLab
มุมมอง 492K
Turkey shooter Olympic 2032 #olympics #turkeyOVERACT
มุมมอง 550K
Kupata taarifa sahihi za episode zetu mpya, tembelea mitandao yetu ya Kijamii
Instagram @busatitv
Facebook @busatitv
TikTok @busatitv
Pia tuna Group la WhatsApp
Sawa
Chapu chapu basi
Mambo ayo
Yatoka saa ngpi
Jina la kawimbo jaman nmeupenda sanaaa🥳😋😋
Nawapenda wote mnafatilia house girl ❤ kama unanipenda py 😂gonga like hapa
Mapenzi yanatesa unayempenda anapenda mwingine uyo mwingine naye ana mwingine , mwingine kapatwa na mwingine 😢😢😢😢😢 daaaah nipeeni Tano ❤❤❤❤❤❤❤tusisahau kujifunza wanandoa wenzangu
Kai plz zuu mumependezana sana
Mr tasha nitafulai ukimpata mke wa chiko kudadeki mtoto anasauti laini uyuuu😂😂😂
😂😂achepuke tu apate mimba maana sio kwa kunyanyasika huko
@@elizabethmwafongo7829 yeye inaonesha ana shida tatizo ni chiko mwenyewe
Candy ana nifundisha kua mdomo sio kitu kizur eee mungu naomba niwe maneno mazur na kukaa kimya 😢😢
Jamani nimeinjoy mno nilizan aifiki epsod 40
Wanao amini kendi ni malay wanipe lakes kutoka mwanza
Tunao isubiri kwa hamu tujuane hapa 😂😂❤
Yaani move ijamaliza ata lisaaa tiarii matahiraa yashaomba like !! Ata kulike hamn wala kusubscribe
Atari shoga sijui like zina Hela 😮
umesema neno wana niudhi hatar
Nikwel wanaboa san haooo
Yan saii najiona mshindi kwa kila upande wa zuu ❤❤❤❤❤
Kheee kimeumana, mimba ya mkongo, chiko naye anaamin kua ataitwa baba,
uwiiiii makubwa cjui nn kitatokea😂😂😂
Neeeexxxxxttttttt
Nataman kay akutane na zuuu❤❤❤❤❤
Ndio ninachosubiri na mm😢😢
Mm nasubiri harusi ya zuu na kai ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉
Jmn Namm nipen like zangu nimekuwa wa kwanza na nimekuwa mfatiliaji Mzur tu
5/5
Nawafatiria
Nikiwa
Nairobi.kenya
Movie
Njema
Naomba like
Yaani mambo fire fire ukitoka hapa unaendelea na nyingine ewaaaah ndo maana tunawapenda na kuwasuport wanao enjoy kama mimi gonga like
Namba moja leo ❤🎉🎉🎉
Jaman mnatuacha patam hvyo tuongezeen dk
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Cendy ametiwa ka petii😂😂😂😂😂😂
Saniya. Umechezeya. Kipiqo. hiyo. Ndiyo. dawa. yamuonqo😂😂😂😂😂😂
Atapigw na nani ten maan bando limekatikia njian
Wale wa HOUSE GIRL GANG😅
Msiguse comment yangu sitaki😂😂😂 nawara sitaki Iikee 😂😂
Mumetupiga Leo nakitu kizito😂😂😂mbona aifunguki
Mbona mnachelewesha jamani 😊
Au ndio hao wachafuzi wako hadi kwenye busati wanakula futari 😅😅😅maana haifunguki imeingia nikaiplay hola 😅😅
Leo nimekuja tuu mapema nasubilia kwenye mlango😅.jameni na sisi watu wa Burundi tunawatizama sana na tunawapenda.nipeni basi like hata ngapi jameni 😂
Tunawapenda sana Watu wa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Waooo nasi tunawapenda sana wa Tanzanie
Waaah kumbe Candy kaz unayo mwanadada bado twasema mimba ni ya Chiko kumbe hata kuna mume wa Sania hapo then umsambaze mwenzako kua ni malaya😂😂😂😂
Candy wewe et sania malaya wewe jee chiko mume wako mchepuko wako 😂😂😂😂
Yaan kumoto kila kikicha yaan candy umeyatimbaaa leo Papaaa baba mutoto😅😅😅😅
Nami naombeni Lake kwa wale wanaowakubal busati tv
Kuomba like tuu kusema mme jifunza nini aaah😂😂😂😂😂
Comment yako moto 🎉🎉🎉🎉wanakera
Mke wa chiko n pisikalii pia mke wa kiramb ni motooo🥰🥰🥰
Umesahau bb pia nmkal ila nmekupa comment mana ujaomba
Jamani huku kila kipindi kinafika kwa muda...Chukueni ladole langu❤❤
Kumbe kendy kalala na papa na chiku asa mimba ni ya papa hii movie tamu..alafu chiku hazai mkewe ako sawa 😂😂😂😂😂najiendeleza wenyewe wapenzi😂😂😂
Makubwa kuliko yote kendi na papa hatari na nusu😅😅😅
Naombeni likeee jamani na mimi❤❤❤
Leo12naomba mwenye atakuja nyuma anipe like 🇧🇮🎉❤🎉❤
Ambao walikuwa wakifikiri kuwa house girl itaishia ep40 like hapa 😂😂😂
😂😂😂😂Yamenoga sasa
Yani ifike hata mia
Sitamani iishe kiukweli ❤
😂😂😂😂Jmn naona Kila mtu niwa kwanza Sasa wa mwisho nnan au n mm🙈❤❤🎉nam nipewe likes
Mambo yanazid kupamba Moto wapendwa
Kutoka 🇰🇪team Zuu team strong mko wapi tujuane kwa likes💪💪💪
Team strong tupo tuna enjoy house girl ila kendi pia wewe malaya usiseme mwenzio
@@user-qv1jx5nj2ukabisa yaani
Candy wewe mnafiki kweli lkni Mungu yupo plan zako ujue zitafeli zote
Chiko we na kujisifu kote kumbe mimba ni ya papa uweweeeee❤🎉
Nyie watu ht mwaboa wallahi mtu akiingia kwa comment aangalie vile movie yaenda ywaona like like tu si m comment vile movie yaenda jamnii achni sifaa
Wanakera mpka wanakera Tena 😏🙄
Kwel kendi nyani haon kundule 😂😂😂😂mm hamu yangu nasbr kai amuoe zuu😂
Basi team fulus mukija mupitie hapa❤❤🎉🎉🎉🎉
😂😂😂
Hahaaa sasa nimepata jibu hapa chiko hazai .....hii kimba ya candy niya huyu papaa afu chiko hazai mkewe ako sawa
Sania bana et hata yeye anamtaka ila msimamo tu😅😅😅😅husemi kama tayari kimekurama chuma😅😅😅😅
Nawapenda sana wanafatilia house girl dj leta vitu ausio nnakukumbali sana🥰
Kuna wachoyo wa like..cimtupee jameni...
Yan Sasa hv ubaya ubaya tu Iła marafiki 😅😅😅😂😂😂
Wakwanza mm Leo naomba like nyiing
Sania mi 5 tenaaa....😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Jaman na me like leo hata siku 1
Wanaoamin hii movie inakarbia final gonga likes hapaa🎉🎉🎉
Wakwanza leo nipeni like jameen
Kendy acha umalaya usikute na huyo ushamtamani😂😂
Nimecheka sanaa 😂😂😂😂 alinipiga kubwa nikawa naona wakinamariamu😂😂😂😂
Tunaisubiria Kwa hamu sana
Ila watu mnawahi
Walaki moja leo naombeni like ata sifur tuu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mana watu waako bize kuomba jamn kumbe busat mna gawaga like nahamsemi jamn
😂😂😂
Unapenda like ww😂😂😂😂
Acha ushamba kaombe kanisani mfyuuu
Nicee one❤
@@AllyShabany mm wala sihtaji like yamtu ndio mana nika malizia na kicheko
Kazi nzuri sana❤❤❤
Achen kuomba like 😮😮
Kumbe si mimba ya chiko ni ya papa daaaah candy kashindikana hongera yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂😂
Busati mnafanya kaz nzuri hongera
Atlest leo nmejarb nnewayi 🎉🎉🎉nipee hta like bas
Zuu tangu atoke mbio bado hajamfikia Kai jameni
Izo like mnapeleka wapi nyie 😂😂😂
Hodi humu ndani nimewakuta house gri naweza kupata laki namieee😂😂😂mana nina shida
Nategea chenye caddy atafanyiwa na sania
Huyo jamaa anaeish na baba yake Kai 🎉🎉🎉yuko vizur 😅😅
Yaani kilamba ukwaju katisha nime kubali kazi bg up sana
Candy bigup😂😂😂😂😂
😂😂kilamba ndio mimi sasa nikikuona nasepa sitaki shari
WA Mia moja leoo naomben like😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅
Haaa nasubiri zuuu mie sasa
Nyie watu wa likes mmeangalia movie wapi😂😂😂
Aki leo musininyime like😂😂❤❤❤nimesubiri kwa hamu sna
Ma mimi nimewah jamani naombeni like 5 tuu
Baa imezua baa kwa candy,haelewi mimba ya nani
Nilidhemma dhikudhemma mimba siya chiko jaman kendi 😅😅😅
Mr.Kilamba kwa hii Episode 41 amenichekesha kweli😅 Eti alipigwa kikumbo mpaka nrtwk ikamutoka mpaka akokosa kujielewa ni wa jinsia ngani🙆🤭 Cjui Mariam au Sakina 😂😂🙌
Wa Kwanza mim naomba like zangu kutoka Dodoma
Wakatikati leo naomba like zenu
Aki s pia leo nmewai mapema like ata moja tu😂😂😂
Sawsaw,, yaan candy yupo katikati ya baari na maji yamejaa yamemfikia shingon amebaki kutapatapa2,, kibaya zaidi ajui kuogelea,, alafu maji yenyewe kwa luga yetu ya wadigo twayaita maji ya msindizi yale yakutoa mwezi 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤ nawapenda sana from Kenya 🇰🇪
😅😅😅😅Wacha nipite tuu yauma lkn
Jameni nangoja kwa hamu na ghamu msichelewe please 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kma unampend Sania gonga like tukisong mbele
Naona maajabu kweli mwanamke mdangaji ni mdangaji tu
Atimae na yeye leo anambeba papaa
Jaman mimi sitaki like hata moja ila nauza pinetbutter
Nyie mnaroho mbaya hata like Moja jmn yaan tokea nmeanza kuangalia cjawahi kupata jmn wakenya wenzangu naombeni likes
Mpaka kai kawa mwembamba daaah wanaopenda kai ampate zuuu gonga like hapa
Jamn anaemkubali kalamba like hap maan mm anikosha jamn na nafahamu ww pia wa mkubala san 😅
Leo nimejaribu kuwahi ila tatizo sijazoea kuomba like 😌😌😜😜
Jmn siku ni nyingi ndipo twamis kumuona zuu
Bwana kiramba nakupend bure kbs yaani unovo igize kwny film ukiwa n roho nzuri n maisha y kawaid uwe ivo ivo
Nawapenda members wote wa busat tv❤❤❤❤
Wakuchelewa kuwatch say hi🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kiramba ukwaju 😂😂🙌