ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

HOUSE GIRL EP 42 || love story💞💕

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ค. 2024
  • #bongomovie #housegirl

ความคิดเห็น • 574

  • @busatitv
    @busatitv  26 วันที่ผ่านมา +128

    Kupata taarifa sahihi za episode zetu mpya, tembelea mitandao yetu ya Kijamii
    Instagram @busatitv
    Facebook @busatitv
    TikTok @busatitv
    Pia tuna Group la WhatsApp

  • @marrytrance
    @marrytrance 26 วันที่ผ่านมา +83

    Nawapenda wote mnafatilia house girl ❤ kama unanipenda py 😂gonga like hapa

  • @DaisyNyabuto
    @DaisyNyabuto 26 วันที่ผ่านมา +10

    Mapenzi yanatesa unayempenda anapenda mwingine uyo mwingine naye ana mwingine , mwingine kapatwa na mwingine 😢😢😢😢😢 daaaah nipeeni Tano ❤❤❤❤❤❤❤tusisahau kujifunza wanandoa wenzangu

  • @KampalaKmfzn
    @KampalaKmfzn 26 วันที่ผ่านมา +18

    Kai plz zuu mumependezana sana

  • @Mrsmick712
    @Mrsmick712 26 วันที่ผ่านมา +18

    Mr tasha nitafulai ukimpata mke wa chiko kudadeki mtoto anasauti laini uyuuu😂😂😂

    • @elizabethmwafongo7829
      @elizabethmwafongo7829 26 วันที่ผ่านมา

      😂😂achepuke tu apate mimba maana sio kwa kunyanyasika huko

    • @Mrsmick712
      @Mrsmick712 26 วันที่ผ่านมา

      @@elizabethmwafongo7829 yeye inaonesha ana shida tatizo ni chiko mwenyewe

  • @FetrissJanni-lb5il
    @FetrissJanni-lb5il 26 วันที่ผ่านมา +29

    Candy ana nifundisha kua mdomo sio kitu kizur eee mungu naomba niwe maneno mazur na kukaa kimya 😢😢

  • @Rahmaomarymangosongo
    @Rahmaomarymangosongo 26 วันที่ผ่านมา +12

    Jamani nimeinjoy mno nilizan aifiki epsod 40

  • @AbdulazizMussa-sy2mz
    @AbdulazizMussa-sy2mz 26 วันที่ผ่านมา +13

    Wanao amini kendi ni malay wanipe lakes kutoka mwanza

  • @Cuteeeee477
    @Cuteeeee477 26 วันที่ผ่านมา +20

    Tunao isubiri kwa hamu tujuane hapa 😂😂❤

  • @estermpare4078
    @estermpare4078 26 วันที่ผ่านมา +49

    Yaani move ijamaliza ata lisaaa tiarii matahiraa yashaomba like !! Ata kulike hamn wala kusubscribe

    • @HopeMmbando-wb8ci
      @HopeMmbando-wb8ci 26 วันที่ผ่านมา +1

      Atari shoga sijui like zina Hela 😮

    • @KennethMAMBA
      @KennethMAMBA 26 วันที่ผ่านมา +1

      umesema neno wana niudhi hatar

    • @AwadhiMumbu
      @AwadhiMumbu 26 วันที่ผ่านมา

      Nikwel wanaboa san haooo

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j 26 วันที่ผ่านมา +11

    Yan saii najiona mshindi kwa kila upande wa zuu ❤❤❤❤❤

  • @zainaburamadhani2982
    @zainaburamadhani2982 26 วันที่ผ่านมา +15

    Kheee kimeumana, mimba ya mkongo, chiko naye anaamin kua ataitwa baba,
    uwiiiii makubwa cjui nn kitatokea😂😂😂
    Neeeexxxxxttttttt

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi 26 วันที่ผ่านมา +22

    Nataman kay akutane na zuuu❤❤❤❤❤

    • @SalvinJastin
      @SalvinJastin 26 วันที่ผ่านมา

      Ndio ninachosubiri na mm😢😢

  • @carowamakalo7993
    @carowamakalo7993 26 วันที่ผ่านมา +8

    Mm nasubiri harusi ya zuu na kai ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉

  • @aishaseif-zq6zx
    @aishaseif-zq6zx 26 วันที่ผ่านมา +12

    Jmn Namm nipen like zangu nimekuwa wa kwanza na nimekuwa mfatiliaji Mzur tu

  • @jedenecosta
    @jedenecosta 26 วันที่ผ่านมา +11

    5/5
    Nawafatiria
    Nikiwa
    Nairobi.kenya
    Movie
    Njema

  • @PriscaEmmanuel-fh4yn
    @PriscaEmmanuel-fh4yn 26 วันที่ผ่านมา +15

    Naomba like

  • @HillarySendeu-ht3lj
    @HillarySendeu-ht3lj 26 วันที่ผ่านมา +25

    Yaani mambo fire fire ukitoka hapa unaendelea na nyingine ewaaaah ndo maana tunawapenda na kuwasuport wanao enjoy kama mimi gonga like

  • @JustinJoseph-jf9xj
    @JustinJoseph-jf9xj 26 วันที่ผ่านมา +10

    Namba moja leo ❤🎉🎉🎉

  • @SalomeMhela
    @SalomeMhela 26 วันที่ผ่านมา +9

    Jaman mnatuacha patam hvyo tuongezeen dk

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 26 วันที่ผ่านมา +6

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Cendy ametiwa ka petii😂😂😂😂😂😂

  • @user-qm2kb1ln7p
    @user-qm2kb1ln7p 26 วันที่ผ่านมา +11

    Saniya. Umechezeya. Kipiqo. hiyo. Ndiyo. dawa. yamuonqo😂😂😂😂😂😂

    • @AminaNgumba
      @AminaNgumba 26 วันที่ผ่านมา

      Atapigw na nani ten maan bando limekatikia njian

  • @anfrashadvertiser4801
    @anfrashadvertiser4801 26 วันที่ผ่านมา +7

    Wale wa HOUSE GIRL GANG😅

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 26 วันที่ผ่านมา +10

    Msiguse comment yangu sitaki😂😂😂 nawara sitaki Iikee 😂😂

  • @privteemail4327
    @privteemail4327 26 วันที่ผ่านมา +7

    Mumetupiga Leo nakitu kizito😂😂😂mbona aifunguki

  • @user-zw9jg7ne8k
    @user-zw9jg7ne8k 26 วันที่ผ่านมา +11

    Mbona mnachelewesha jamani 😊

  • @MauaSaid-t4b
    @MauaSaid-t4b 26 วันที่ผ่านมา +10

    Au ndio hao wachafuzi wako hadi kwenye busati wanakula futari 😅😅😅maana haifunguki imeingia nikaiplay hola 😅😅

  • @terimberejaliajalia8284
    @terimberejaliajalia8284 26 วันที่ผ่านมา +43

    Leo nimekuja tuu mapema nasubilia kwenye mlango😅.jameni na sisi watu wa Burundi tunawatizama sana na tunawapenda.nipeni basi like hata ngapi jameni 😂

    • @busatitv
      @busatitv  26 วันที่ผ่านมา +3

      Tunawapenda sana Watu wa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @RizikiZiki
      @RizikiZiki 26 วันที่ผ่านมา +1

      Waooo nasi tunawapenda sana wa Tanzanie

    • @user-xo7ns7bc8c
      @user-xo7ns7bc8c 26 วันที่ผ่านมา

      Waaah kumbe Candy kaz unayo mwanadada bado twasema mimba ni ya Chiko kumbe hata kuna mume wa Sania hapo then umsambaze mwenzako kua ni malaya😂😂😂😂

  • @sumaya-q7i
    @sumaya-q7i 26 วันที่ผ่านมา +7

    Candy wewe et sania malaya wewe jee chiko mume wako mchepuko wako 😂😂😂😂

  • @Saumu254
    @Saumu254 26 วันที่ผ่านมา +7

    Yaan kumoto kila kikicha yaan candy umeyatimbaaa leo Papaaa baba mutoto😅😅😅😅

  • @AbdulazizMussa-sy2mz
    @AbdulazizMussa-sy2mz 26 วันที่ผ่านมา +10

    Nami naombeni Lake kwa wale wanaowakubal busati tv

  • @LydiaJeremiah-vg4vl
    @LydiaJeremiah-vg4vl 26 วันที่ผ่านมา +18

    Kuomba like tuu kusema mme jifunza nini aaah😂😂😂😂😂

    • @user-ii3rb6uj7g
      @user-ii3rb6uj7g 2 วันที่ผ่านมา

      Comment yako moto 🎉🎉🎉🎉wanakera

  • @mvinyo99
    @mvinyo99 26 วันที่ผ่านมา +25

    Mke wa chiko n pisikalii pia mke wa kiramb ni motooo🥰🥰🥰

    • @user-ii3rb6uj7g
      @user-ii3rb6uj7g 2 วันที่ผ่านมา +1

      Umesahau bb pia nmkal ila nmekupa comment mana ujaomba

  • @Vincent0piyo-dc1qw
    @Vincent0piyo-dc1qw 26 วันที่ผ่านมา +6

    Jamani huku kila kipindi kinafika kwa muda...Chukueni ladole langu❤❤

  • @MillyMjeni
    @MillyMjeni 26 วันที่ผ่านมา +4

    Kumbe kendy kalala na papa na chiku asa mimba ni ya papa hii movie tamu..alafu chiku hazai mkewe ako sawa 😂😂😂😂😂najiendeleza wenyewe wapenzi😂😂😂

  • @HalimaJafari-yv2th
    @HalimaJafari-yv2th 26 วันที่ผ่านมา +5

    Makubwa kuliko yote kendi na papa hatari na nusu😅😅😅

  • @user-fy4fo5yx2b
    @user-fy4fo5yx2b 26 วันที่ผ่านมา +7

    Naombeni likeee jamani na mimi❤❤❤

  • @user-mv6vi1gv6f
    @user-mv6vi1gv6f 26 วันที่ผ่านมา +36

    Leo12naomba mwenye atakuja nyuma anipe like 🇧🇮🎉❤🎉❤

  • @user-bb6oy5dl6y
    @user-bb6oy5dl6y 26 วันที่ผ่านมา +56

    Ambao walikuwa wakifikiri kuwa house girl itaishia ep40 like hapa 😂😂😂

    • @user-tj9gk6rr8w
      @user-tj9gk6rr8w 26 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂Yamenoga sasa

    • @adelinaomani9012
      @adelinaomani9012 26 วันที่ผ่านมา

      Yani ifike hata mia

    • @RizikiZiki
      @RizikiZiki 26 วันที่ผ่านมา

      Sitamani iishe kiukweli ❤

  • @user-yk5sl9bk3x
    @user-yk5sl9bk3x 26 วันที่ผ่านมา +5

    😂😂😂😂Jmn naona Kila mtu niwa kwanza Sasa wa mwisho nnan au n mm🙈❤❤🎉nam nipewe likes

  • @jackilinekaini8744
    @jackilinekaini8744 26 วันที่ผ่านมา +7

    Mambo yanazid kupamba Moto wapendwa

  • @user-sx6zw1pr1w
    @user-sx6zw1pr1w 26 วันที่ผ่านมา +36

    Kutoka 🇰🇪team Zuu team strong mko wapi tujuane kwa likes💪💪💪

    • @user-qv1jx5nj2u
      @user-qv1jx5nj2u 26 วันที่ผ่านมา

      Team strong tupo tuna enjoy house girl ila kendi pia wewe malaya usiseme mwenzio

    • @user-sx6zw1pr1w
      @user-sx6zw1pr1w 26 วันที่ผ่านมา

      @@user-qv1jx5nj2ukabisa yaani

  • @Kinyua-ye8kk
    @Kinyua-ye8kk 26 วันที่ผ่านมา +5

    Candy wewe mnafiki kweli lkni Mungu yupo plan zako ujue zitafeli zote

  • @IlhamShaban-vq3kx
    @IlhamShaban-vq3kx 26 วันที่ผ่านมา +3

    Chiko we na kujisifu kote kumbe mimba ni ya papa uweweeeee❤🎉

  • @user-pi4oi9np3z
    @user-pi4oi9np3z 26 วันที่ผ่านมา +5

    Nyie watu ht mwaboa wallahi mtu akiingia kwa comment aangalie vile movie yaenda ywaona like like tu si m comment vile movie yaenda jamnii achni sifaa

    • @jasminselemani62
      @jasminselemani62 26 วันที่ผ่านมา

      Wanakera mpka wanakera Tena 😏🙄

  • @user-le6xc6ei5x
    @user-le6xc6ei5x 26 วันที่ผ่านมา +4

    Kwel kendi nyani haon kundule 😂😂😂😂mm hamu yangu nasbr kai amuoe zuu😂

  • @blandinedusabe
    @blandinedusabe 26 วันที่ผ่านมา +8

    Basi team fulus mukija mupitie hapa❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @user-bf3ij2ie5k
    @user-bf3ij2ie5k 26 วันที่ผ่านมา +2

    Hahaaa sasa nimepata jibu hapa chiko hazai .....hii kimba ya candy niya huyu papaa afu chiko hazai mkewe ako sawa

  • @MauaSaid-t4b
    @MauaSaid-t4b 26 วันที่ผ่านมา +6

    Sania bana et hata yeye anamtaka ila msimamo tu😅😅😅😅husemi kama tayari kimekurama chuma😅😅😅😅

  • @user-xq5po1di7w
    @user-xq5po1di7w 26 วันที่ผ่านมา +3

    Nawapenda sana wanafatilia house girl dj leta vitu ausio nnakukumbali sana🥰

  • @axmedhussein5721
    @axmedhussein5721 26 วันที่ผ่านมา +27

    Kuna wachoyo wa like..cimtupee jameni...

  • @JacklineNamahala
    @JacklineNamahala 26 วันที่ผ่านมา +4

    Yan Sasa hv ubaya ubaya tu Iła marafiki 😅😅😅😂😂😂

  • @rashdmwikon
    @rashdmwikon 26 วันที่ผ่านมา +31

    Wakwanza mm Leo naomba like nyiing

  • @groryaidan7386
    @groryaidan7386 26 วันที่ผ่านมา +4

    Sania mi 5 tenaaa....😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @user-vd9cj5ro4u
    @user-vd9cj5ro4u 26 วันที่ผ่านมา +18

    Jaman na me like leo hata siku 1

  • @jacklineshayo3962
    @jacklineshayo3962 26 วันที่ผ่านมา +23

    Wanaoamin hii movie inakarbia final gonga likes hapaa🎉🎉🎉

  • @kenethmwasenga
    @kenethmwasenga 26 วันที่ผ่านมา +33

    Wakwanza leo nipeni like jameen

  • @user-bj1gu8cw3b
    @user-bj1gu8cw3b 26 วันที่ผ่านมา +4

    Kendy acha umalaya usikute na huyo ushamtamani😂😂

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu 26 วันที่ผ่านมา +3

    Nimecheka sanaa 😂😂😂😂 alinipiga kubwa nikawa naona wakinamariamu😂😂😂😂

  • @bethkendi5157
    @bethkendi5157 26 วันที่ผ่านมา +30

    Tunaisubiria Kwa hamu sana

  • @RahabuMwashilinde
    @RahabuMwashilinde 26 วันที่ผ่านมา +7

    Ila watu mnawahi

  • @LydiaJeremiah-vg4vl
    @LydiaJeremiah-vg4vl 26 วันที่ผ่านมา +97

    Walaki moja leo naombeni like ata sifur tuu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mana watu waako bize kuomba jamn kumbe busat mna gawaga like nahamsemi jamn

    • @LilianJoseph-nw3hq
      @LilianJoseph-nw3hq 26 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂

    • @safarimbawa-ri9lc
      @safarimbawa-ri9lc 26 วันที่ผ่านมา

      Unapenda like ww😂😂😂😂

    • @AllyShabany
      @AllyShabany 26 วันที่ผ่านมา

      Acha ushamba kaombe kanisani mfyuuu

    • @user-dw8eb4zf2e
      @user-dw8eb4zf2e 26 วันที่ผ่านมา

      Nicee one❤

    • @LydiaJeremiah-vg4vl
      @LydiaJeremiah-vg4vl 26 วันที่ผ่านมา

      @@AllyShabany mm wala sihtaji like yamtu ndio mana nika malizia na kicheko

  • @RachelJoseph-dy2jh
    @RachelJoseph-dy2jh 26 วันที่ผ่านมา +4

    Kazi nzuri sana❤❤❤

  • @Hilda-qp7gi
    @Hilda-qp7gi 26 วันที่ผ่านมา +6

    Achen kuomba like 😮😮

  • @melanianjau3244
    @melanianjau3244 26 วันที่ผ่านมา +3

    Kumbe si mimba ya chiko ni ya papa daaaah candy kashindikana hongera yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂😂

  • @fatuma6011
    @fatuma6011 26 วันที่ผ่านมา +3

    Busati mnafanya kaz nzuri hongera

  • @GladysOmwando
    @GladysOmwando 26 วันที่ผ่านมา +4

    Atlest leo nmejarb nnewayi 🎉🎉🎉nipee hta like bas

  • @LucyKhachiti
    @LucyKhachiti 26 วันที่ผ่านมา +4

    Zuu tangu atoke mbio bado hajamfikia Kai jameni

  • @twinkledestar4277
    @twinkledestar4277 26 วันที่ผ่านมา +4

    Izo like mnapeleka wapi nyie 😂😂😂

  • @user-wm7gu8os2i
    @user-wm7gu8os2i 26 วันที่ผ่านมา +1

    Hodi humu ndani nimewakuta house gri naweza kupata laki namieee😂😂😂mana nina shida

  • @user-qh3xy2hi4t
    @user-qh3xy2hi4t 26 วันที่ผ่านมา +15

    Nategea chenye caddy atafanyiwa na sania

  • @user-ro7sk9ic7z
    @user-ro7sk9ic7z 26 วันที่ผ่านมา +2

    Huyo jamaa anaeish na baba yake Kai 🎉🎉🎉yuko vizur 😅😅

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq 26 วันที่ผ่านมา +2

    Yaani kilamba ukwaju katisha nime kubali kazi bg up sana

  • @esterkulwa
    @esterkulwa 26 วันที่ผ่านมา +2

    Candy bigup😂😂😂😂😂

  • @salmamwakabutama
    @salmamwakabutama 26 วันที่ผ่านมา +3

    😂😂kilamba ndio mimi sasa nikikuona nasepa sitaki shari

  • @user-if7rb1su9j
    @user-if7rb1su9j 26 วันที่ผ่านมา +30

    WA Mia moja leoo naomben like😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅

  • @eunice1808
    @eunice1808 26 วันที่ผ่านมา +23

    Nyie watu wa likes mmeangalia movie wapi😂😂😂

  • @MaryChemnyetich
    @MaryChemnyetich 26 วันที่ผ่านมา +16

    Aki leo musininyime like😂😂❤❤❤nimesubiri kwa hamu sna

  • @GraceJulius-kv3rz
    @GraceJulius-kv3rz 26 วันที่ผ่านมา +24

    Ma mimi nimewah jamani naombeni like 5 tuu

  • @nurumwinyi796
    @nurumwinyi796 26 วันที่ผ่านมา +3

    Baa imezua baa kwa candy,haelewi mimba ya nani

  • @HudhaimaYussuf
    @HudhaimaYussuf 26 วันที่ผ่านมา +2

    Nilidhemma dhikudhemma mimba siya chiko jaman kendi 😅😅😅

  • @christinewanga7385
    @christinewanga7385 26 วันที่ผ่านมา +1

    Mr.Kilamba kwa hii Episode 41 amenichekesha kweli😅 Eti alipigwa kikumbo mpaka nrtwk ikamutoka mpaka akokosa kujielewa ni wa jinsia ngani🙆🤭 Cjui Mariam au Sakina 😂😂🙌

  • @VailethYusi
    @VailethYusi 26 วันที่ผ่านมา +18

    Wa Kwanza mim naomba like zangu kutoka Dodoma

  • @tausimct
    @tausimct 26 วันที่ผ่านมา +22

    Wakatikati leo naomba like zenu

  • @MetrineKhisa
    @MetrineKhisa 26 วันที่ผ่านมา +15

    Aki s pia leo nmewai mapema like ata moja tu😂😂😂

  • @user-ys3wz1sf7s
    @user-ys3wz1sf7s 26 วันที่ผ่านมา +17

    Sawsaw,, yaan candy yupo katikati ya baari na maji yamejaa yamemfikia shingon amebaki kutapatapa2,, kibaya zaidi ajui kuogelea,, alafu maji yenyewe kwa luga yetu ya wadigo twayaita maji ya msindizi yale yakutoa mwezi 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤ nawapenda sana from Kenya 🇰🇪

    • @Mwandegu
      @Mwandegu 26 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅😅Wacha nipite tuu yauma lkn

  • @Zainabu-xn3vd
    @Zainabu-xn3vd 26 วันที่ผ่านมา +18

    Jameni nangoja kwa hamu na ghamu msichelewe please 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-if4zn5vf5z
    @user-if4zn5vf5z 26 วันที่ผ่านมา +15

    Kma unampend Sania gonga like tukisong mbele

  • @Igra254
    @Igra254 26 วันที่ผ่านมา +1

    Naona maajabu kweli mwanamke mdangaji ni mdangaji tu

  • @janethmkumba8904
    @janethmkumba8904 26 วันที่ผ่านมา +2

    Atimae na yeye leo anambeba papaa

  • @user-jl3sy3zf9z
    @user-jl3sy3zf9z 26 วันที่ผ่านมา +1

    Jaman mimi sitaki like hata moja ila nauza pinetbutter

  • @LindaEDWARD-tu7ho
    @LindaEDWARD-tu7ho 26 วันที่ผ่านมา +23

    Nyie mnaroho mbaya hata like Moja jmn yaan tokea nmeanza kuangalia cjawahi kupata jmn wakenya wenzangu naombeni likes

  • @MarianeKibada
    @MarianeKibada 17 วันที่ผ่านมา

    Mpaka kai kawa mwembamba daaah wanaopenda kai ampate zuuu gonga like hapa

  • @AdamZainab-mb7qj
    @AdamZainab-mb7qj 26 วันที่ผ่านมา

    Jamn anaemkubali kalamba like hap maan mm anikosha jamn na nafahamu ww pia wa mkubala san 😅

  • @user-vi2gs5ie9m
    @user-vi2gs5ie9m 26 วันที่ผ่านมา +23

    Leo nimejaribu kuwahi ila tatizo sijazoea kuomba like 😌😌😜😜

  • @user-bq9zj5sm7i
    @user-bq9zj5sm7i 26 วันที่ผ่านมา +3

    Jmn siku ni nyingi ndipo twamis kumuona zuu

  • @user-mb8nc4oh2j
    @user-mb8nc4oh2j 25 วันที่ผ่านมา

    Bwana kiramba nakupend bure kbs yaani unovo igize kwny film ukiwa n roho nzuri n maisha y kawaid uwe ivo ivo

  • @user-up7uo8dw7o
    @user-up7uo8dw7o 26 วันที่ผ่านมา +1

    Nawapenda members wote wa busat tv❤❤❤❤

  • @VillaviaChemutai-if2ry
    @VillaviaChemutai-if2ry 24 วันที่ผ่านมา +1

    Wakuchelewa kuwatch say hi🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @salamamwazuma315
    @salamamwazuma315 26 วันที่ผ่านมา +1

    Kiramba ukwaju 😂😂🙌