😳😳 Hivi Candy Anawadudu Kwa Head au khaa Jamani hebu Busati Tv, Fanyeni Adundie Pua kwa Miba 😂, Halafu nimeona Anasodolewa kuwa kikwapa Kinanuka Ndio maana Kai alipoingia Chumbani baada ya Candy Kuweka Urembo alitaka kuzimia , kumbe kikwapa bhana Bora akajilalie kule Kwa Zuu Wetu 😂😂
Watu sijui mpoje mwanzo mpaka hapa mnafukuziana like kama machizii vilee😪😪😪mnashindwa kutoa vit vya maana kaaaah mtulize makomwee au muanzishe vituo vyenu vyakuomba like
Weee kaii kazi unayo hapo sasa weeee candy nayee nacheke 😂😂😂😂😂 sanra nayee nacheke 😂😂😂😂 weee kikweli hii mvi inafunza kitu ama kweli weeee ongera sanaa kwa bsati tv🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu awabariki kiramba Na mke_ wako mzidishiwe mnapo punguza Kwa ajili ya baba.kai kinacho nyelewa Na mwana hakikatwi baba Amini atakusamea mana anajua haikuwa akili yako.fanya Hima ufike ufunguke zuu anakutafuta mapenzi wako ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Siku nyingine mkiangalia kama mmewahi mueleze kwenye comment kilichoendelea maana naangalia huku nasoma comment hyu madevu ya mbuzi simkubaligieata kidg
Kiramba mchuzi mke wako mzuri san wallah mashallah kiramba mchuzi pote ulipo kuna wageni wanakuja je kazi utaenda au np mwana kutoka 🇴🇲🇴🇲 aya ngoja nione
Wale wa kukimbila kucomment 😂😂😂 Tijuana hapa enjoying from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tupo live
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Leo sitaki mtu anipe like yake bali tu niwape pongezi kwa kazi nzuri wana BUSAT TV 📺
Sema unaomba chini ya maji😂😂😂
😂😂😂 hiyo nikwel Kaka hujakosea@@Mutugi-ik9tx
Ila Saivi Mmekua Mnachelewa Sana Nyie Sijui Kwakua Mmeona Watu wanawafatilia Sana ndio Maana Mnabadilika hivi
❤
Umeon eeenh
Jamani nami leo nimewahi naombeni Lake hat 3
Ndio kwanza movie Ina dakika nne mnadai like mmeangalia saa ngap
Banaweee,nawashangaa,nikama wanataka kuzipekeka bank
Wengine wafike tu wanadai like hat dakik 2 hazifiki
😂😂😂
Wagonjwa nae
Imagine😹😹
Kendi wewe unalaana ya mama kamwe huwezi fanikiwa jamani tusiwadharau wazazi wetuu maana wawo ndiyo nduzo yetu 😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Wow ❤❤❤ from USA wakwanza Leo Ni peni like nzangu ❤❤❤
Wa Kwanza leo uwiii nipeni like zangu 😂😂❤
Chukua ulipoziweka
Ushamba huo we jichekee kama zumbukuku tu hujui ila hata kipindi kimekuchoka like like na Huna maoni yoyote mpunguze upagal hapa
We noma
😂😂😂@@azizawaziri9190
Atimaye Leo WA kwanza ngoja nijilike mwenyewe 🎉🎉🎉
Leo nime jaribu nipeni like zangu❤❤❤❤❤❤😂
waliokua wanasubili kam mim like ap
Mbona mnapenda like jaman wapendwa
Waah,,😀😀 karibia nianguke 😂😂
Vz@@JanethHaule-vk2us
ila inaisha haraka jmn daah😢
Nikohapa 😂
Like zangu jamani leo nimewai naomba tanooo tu..😅❤
😳😳 Hivi Candy Anawadudu Kwa Head au khaa Jamani hebu Busati Tv, Fanyeni Adundie Pua kwa Miba 😂, Halafu nimeona Anasodolewa kuwa kikwapa Kinanuka Ndio maana Kai alipoingia Chumbani baada ya Candy Kuweka Urembo alitaka kuzimia , kumbe kikwapa bhana Bora akajilalie kule Kwa Zuu Wetu 😂😂
😂😂😂❤❤🎉🎉
𝐻𝑎𝑡𝑎 𝑚𝑖𝑚𝑖 𝑛𝑎𝑠ℎ𝑎𝑛𝑔𝑎 𝑡𝑢 𝑘𝑎𝑚𝑎 𝑤𝑒𝑤𝑒 𝑛𝑑𝑢𝑘𝑢 𝑦𝑎𝑛𝑔𝑢 𝑑𝑢𝑢𝑢ℎ
@@sifamaureen2792 😁😁😁🙌🙌
@@dorcaswandera8829 Yaani simwelewi Kwa kweli 😂😂
@@KiboxMedia😂 hatari nakupenda sana
Ba Congolais tuko yulu 😂😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Jaman mbon mm sijawah kupewa lake hat 10 naomben munipe jamn plz😜
Njoo byangu byakuhangalia wa mwisho 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🙌🙌
Waaa mwanaume anagongwa Kofi na mwanamke❤❤ likes hizo hapa
Ivii nyie izoo like mnazinyweq chai auu
Hii movie imechenzwa vizuri sana ila candy jamani kama wewe hyo tabia yako kiuhalusia uko hvyo daa dada nakuomba badilika jamani daah
Watu sijui mpoje mwanzo mpaka hapa mnafukuziana like kama machizii vilee😪😪😪mnashindwa kutoa vit vya maana kaaaah mtulize makomwee au muanzishe vituo vyenu vyakuomba like
Washamba hawa sijui hawajui mana comment ama vipi😢
Yani mpka kero mbuzi wale
@@FelisterBuhitu-xf9qv sjui izo like wanazipeleka wapi kwa kweli🤣🤣
Yaaan wanakera Sana.
Wanaboa sana wapo bizze na like tu
Ce que me retiens ici c'est eza nga Bana Congo Congo hakutoki yuma
Asante sana🙏
Duh watu mnalala TH-cam nn anyway nawapenda sana
wooh, pongenzi kwetu wa congo maana mmoja wetu kashiriki ndani ya series yetu hii kali, kama na wewe ni mkongomani tujuane kwa ku like comment hii
Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪
Nivile tu nimuvi ningempiga huyo Candi mpaka azae
Jamani Leo wakwanza nipeni like ata Mimi nifurahi, kutoka Kenya tujuane🎉
Wakenya yupo tunafatilia ak
❤❤❤
Wakenya sio washamba wa like jitafute uliko chimbuliwa wewe mana unakaa mhogo haswa😢
Gen z sasa ,,ama wewee ni millennial 😂😂
Candy eti aoni kosalake 😂
Mashallah congratulations kai really appreciate ❤❤❤🎉
you are doing great job, nawapenda sana,nipeni likes
😍😍
😊😊😊😊😊
you are doing great job nawapenda Sana nipeni likes
Dah hii move kila uchao inanogaa🎉🎉🎉🎉
Meitafuta San hii epsod no 41 daah😥
Yani kunawatu wanaomba like lakini kutoa wao aahhhh
Nice movie.... Peter from Kenya
Jamanai mbona watu mko bize na like Kuna nini🤔
❤❤nimewahi le mimi ❤❤❤
Kazi nzuri❤🎉🎉 busati tv, penda sana kwa kazi yenu🎉
Mulamba na mkeo ,love yenu iko 🔥 kweli ❤❤❤❤
13 minutes bsi comments kibao hamulali😂😂😂team oman kujeni
Mnatisha sana good work team❤❤❤❤
Aya sasa wa 457 naombn lik zang
Busat TV 📺 ni ❤️🔥❤️🔥💟💟💟💟💟
😂Mie wangapi jamani maana kila mtu wa kwanza 🎉🎉
Good job❤❤
Na mm like ndio kwanza dakika ya nne 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nawapenda sana kilamba na mkeo mnapendeza aki❤❤❤ naona candy anaendelea kufunzwa na ulimwengu
Mashaallah movie nzuri
Yamekufika candy 😂😂😂
Weee kaii kazi unayo hapo sasa weeee candy nayee nacheke 😂😂😂😂😂 sanra nayee nacheke 😂😂😂😂 weee kikweli hii mvi inafunza kitu ama kweli weeee ongera sanaa kwa bsati tv🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Haha haha sasa kendy wew namama yako nani nani kamfatilia mwennzake alafu shida ya kiburi unaona Kama wanakuonea kumbe ww ndio shida
Sana
Kai
Zuu
Malaika
N'a wengine pia mpewe 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Busati TV nasubkri movie mpya kutoka kwenu ❤
Cdy awo shida wenishida na umemzarau mama Yako mzazi ndio mana unapata matatizo kila bukicha na zambi unazo nyingi
Wangapii wanasema candy angejiua tuuu😂😂
DUH YAN HAINA HATU NUSU SAA VIEWS 10000 NOMA SANA❤❤❤❤
Uyu bwege anae himiza candy achukue hati naic km ana mpango kivyake
Pongez kwen busat kwa kaz nzuriiii mungu awatie nguvu Sana ❤❤❤❤
Karibu niangushwe na waomba like, jamani taratibu basi😂😂😂
😂😂😅
Wooyii Tasha ugeambia kai achukuwe sitakabathi za nyuma afiche uko kwa ju candy akipata we ndio.kwisha sasa😢😮
Yani iyi move huwa sipendi iishe kiukweli ❤ pongezi kwa mutunzi na wacezaji piya mungu awape kila lahery naawape itaji la moyo wenu
Kwan umelazimishwa kuifatilia
Mungu awabariki kiramba Na mke_ wako mzidishiwe mnapo punguza Kwa ajili ya baba.kai kinacho nyelewa Na mwana hakikatwi baba Amini atakusamea mana anajua haikuwa akili yako.fanya Hima ufike ufunguke zuu anakutafuta mapenzi wako ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Waooooooo❤❤❤ mbarikiwe sana
Yan candy hawez fanikiwa kwa lolote kwa laana aliyonayo🙄😉😉
Watu wako macho du😂😂
Sijawa kuomba like lkn Leo naomba msamaha kama niliwah kukoment vibaya😔
Mnatuboo mnatuletea kipande kimoja na mlikuwa mnatoa viwili kwa siku
Waliokua wakisubiria Episode 41 kama mimi ebu eka like❤
Tupo mpaka episode 43
Please hii series ni nzuri ila mnafupisha mno jamani mbona yani afadhali hata nyimbo inakawia hii hapana mmezidi hebu mtuongezee dakika bwana
Asante tutajitahidi
@@busatitv tutafurahi mkifanya hivyo
😂😂😂😂😂😂kumbe candy bado kinaendelea kumramba ebu acha tuone sania yuko na mpango gani
Daaaahh jaman mbona hata sielewi tenah hapa kweli Kuna ndoa ya Khai na Zuuh aaaahh
Kai pea wenzako ua kutoka kwngu🎉🎉🎉🎉🎉,,kazi nzri
Kazi nzuri BUSAT TV
Nipate wap lafiki km huyu wakutunza mzazi wangu km wake🎉❤🎉❤🎉❤😊
Np hapa
Mashallah moive tamu❤❤❤
Polepole jaman mnanikanyaga 😢
😅😅😅😅pole😮
Tupishe sasa
Kaz nzuri jmn mbarikiwe💟🥀💌
Next plz daah candy ulinishinda tabia😢😅😅😅
Jamani mbona hii ni fupi Sana kuliko hile 😢😢😂
Kai jitaid candy asiipate hati nitafrai sana
huyu naye apunguze kuongeya anaongeya sana sio poa
Hizo episode Ina maajabu noma sana❤
Mama ni mama atakuwe kicha ni mama
Yan huyu mwanamume amefanana na serengo hayo maringo 😂😂😂
Ila kiukwl candy au shida n mmbaya jaman Jaman, Mungu anisamehe
Leo nimewah namim like jaman hata tano
Anae jua km candy atafanikiwa kuchukua hati nani gonga like
Jamani eee mi nasubiri episode nyingine aise ❤❤❤❤ yani kendi kimemlamba
Very nice
Mwandishi umeweka mazungumzo marefu wazungumzaji hisia na uhalisia mdogo Ila nawapongeza kazi nzuri
Busati tv ooyee😂😂😂
Candy bola ungejiua akuna kitu umebakiza nenda kwa mwenye uryauzito chiku 😅😅😅😅yaani Sania na Candy mumevurugwa kinoma ❤❤❤❤❤
😍😍😍🙏🙏🙏
Pongezi kubwa jamani kwa team nzima ya Busati tv kwa kazi nzuri 🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮
Good work ❤❤
Huyu cendy mwamchekea 😂😂
Kazi nzuri Mungu awatangulie
Asante sana🙏
❤❤❤ Kazi nzuri sana 👍 ila shida anamakasiriko jamani ndo nn Sasa kumharibia Sania 😢
Mimi sipendi like zenu 🤣 Mimi na enjoy tuu Burudani 🥰
Kwani mwaraukaje jamani 😢😢😢😂😂😂😂😂😂
Nimefika mapemaa🎉🎉❤
Nimezani Mimi wakwanza kumbe mupo wengi😂😂
Wanaoungana na candy wote hawana maana
Siku nyingine mkiangalia kama mmewahi mueleze kwenye comment kilichoendelea maana naangalia huku nasoma comment hyu madevu ya mbuzi simkubaligieata kidg
🤣🤣🤣
Kiramba mchuzi mke wako mzuri san wallah mashallah kiramba mchuzi pote ulipo kuna wageni wanakuja je kazi utaenda au np mwana kutoka 🇴🇲🇴🇲 aya ngoja nione