Zatiti na tasha tayar wako kwnye msafara wao wa mapenz....mungu awaongoze..lakin mamake tasha ndio changamoto ya kikwel....atamkana zatiti mbele ya sania...huzuni na simanzi...😢😢😢
Hapa kuna ndoa ambayo watu tunategemea kuiona ya mr tasha vs zatiti pigakelel kama unapenda itokeeeeeee hiyo ndoa ili apate mimba chiko aone aibu pam1 na dad ake ciko
Bibi safi San nimependa hyoo bibi zuuu ❤❤ upo vizur San Malika una jambao ww muche bibi azuwe b harusi ndani ww kiramba mchuzi upingaje hap ww uwogopiiii wap msr Tasha n dada yetu kipenz zatiti upo vizur sana wallah zatiti jisikiye raha umepata bonge la bwana chiko utamjutia zatiti San zatiti saf San kumsau bwenge chiko imeshaaa hyoo zatiti jiamini my upo vizur ❤❤❤❤❤
Nyie uku kumewaka chisa na masozi yaan hadi raha ,busati ni utamu juu ya utamu ,team strong au wale tunao acha kazi za waarabu tuangalie house girl tujuane jaman😂😂😂
Huyu sania ana jifanya mwema ila sio mwema 😂 ila hawa mpumbavu mwenzangu wananifurahisha Sana nawapenda yani bure mwengine ni kibendu pia nampenda ata kama ndugu zako ni wabaya lakini ina tupasa tuwakuli mimi naangalia kutoka Kenya jamani❤❤❤
Waoo ❤❤❤❤ nimependa San unavyo tabasam naona leo.pia nitakula nishibe wallah Tena kumekucha Tena Kwa masuzii na madefuu mdagaji tu akiwa Kwa d yake chiko ana cm simu ww uwogopiiiiii
Eeeh jamn tasha wow naomb amuoe zatiti. An ukiwa ukiwa na mume kama tasha daaah dunia yote unaweza ukaiona dunia yako pekee ako, lakin tasha naomb haya matendo unayoonesh humu yake kwer kwenye uhalisia wako
Kibendu muhun ila ana akili kichwan 😊😊😊nmempenda bure... Baraka za mzaz ni muhimu kuliko vitu vyote dunian
Zatiti na tasha tayar wako kwnye msafara wao wa mapenz....mungu awaongoze..lakin mamake tasha ndio changamoto ya kikwel....atamkana zatiti mbele ya sania...huzuni na simanzi...😢😢😢
Furaha yangu imerudi nilipomuona zatiti akitabasamu...Allah awajalie urafiki wenu udumu na pamoja na hayo naona noa inapiga hodi💃💃
Kwakweli mimi nimefurahi wakati nimemuona zatiti anafuraha nani amefurahi kama mimi❤❤❤❤🎉🎉 yani nawapenda🇰🇪🇰🇪
❤❤😍😍😍🥰🥰
Jaman sare yakijorayaharusi ya tasha na zatiti inabidi tujipange kiwe pambeee 🤟👌👌👌🤗
Tna
Wakwanza kutoka saudia,,team strong,,,,acheni mjengo njoeni k2 tiyari uku❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉nawapenda
Waiguru atupate 😂😂😂lakini tuko
Niko hapa Riyadh KSA ❤
Oyoo wakwanza Leo nawapenda San na naomba like jap 10 two jaman
Oyooo favorite movie❤
Zatiti akitabasam najikuta nimetabasam
zatiti mzuri bwana😘
@@halimahonello-rt4np kwakweli na ukweli usemwe tu 🥰
Kwa hakika
Hapa kuna ndoa ambayo watu tunategemea kuiona ya mr tasha vs zatiti pigakelel kama unapenda itokeeeeeee hiyo ndoa ili apate mimba chiko aone aibu pam1 na dad ake ciko
mm natamani sana zatiti aolewe na Mr tasha
🎉❤inshallah
itatokea inshaAllah zatiti atakuwa Mrs Tasha🥳🥳🥳🥳🥳
hata mm natamani sana zatiti aolewe na Mr tasha
Nataman zatit aolew na tasha❤ 🎉8:50
Jamani leo nataka watazania nipea like hata mia mwezenu hapa tutoka keny
Nimefurahi kuona zatiti akitabasamu nakupenda sana dadangu zatiti 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Oyooooooo leo nimekuwa wakwanza kwenye movie ambayo imetamba sana mtandaon yenye ujumbe mzito
Wenye tunaomba zatiti aolewe na mr. Tasha na apate mimba tuko wapi ?tujuane na likes kutoka kenya
✋✋✋
@@Franciscah-ks5zq tuko apa tayari ashapewa biscuit ya kutuliza roho
Uhakika
Na uli mtu wakutafutia Kai nyumba anakaa mwenzangu kutoka nyamira😊
Niko hapa siyo kwa likes nimekuja na comment pia kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Who else was cutting onions 😢 when Candy was asking her mother forgiveness?? No one is like mother.
Jamani wangapi wamependezwa kukutana Tasha na zatiti
Zatiti amepata furaha
Mm hapa na nimefurah pia kwa furaha ya zatiti kwa hakika
Hata mm
Mimi apa😂
Ole wako Sonia Mr Tasha kashajishindia Zatiti 😂😂good job busaliti tv 👍👍👍
Namkubali sana Mr tasha
Hahaha Mr kilamba kama unamkubal gonga like
Najua mme kimbilia kucomment kwa sababu ya vocha me nimechelewa ila nimefika mnipe like to nawapenda kwa ajili ya Allah ❤❤❤❤❤❤
Atimaye leo nimekuwa wakwanza like zangu plz💓🙏
Leo nimekuwa wa 302 nipen like 3
Mmmmh ivi me ni wangapi jaman😢😢😢😢
Wangap tumesmile n zatiti😊😊😊😊
Akuna kitu kizuri kama mtu anaekupq faraja kama unakubali maneno matamu ya Tasha weka like
Jameni mm Leo kwanza ,,,wanao mpenda Zatiti like tujuane ❤❤
Jamani ❤ wale tulositisha kazi kwa ajili ya house grill tujuane🎉🎉
Kila siku nakuwa wamwisho tu nipen like ata 10 wadau
👍👍
Inapedeza zatt aolewe na Ms tashaa
kend abadili rabda atafanikiwa
Kumbe kibendu anakuwa na mawazo mazul wanaomkubali gonga like😂😂
Mhun hakosag ushaur
Hadi nahisi kumpenda kibendu😂😂
Jaman kpande cha leo cha zatiti na Mr Tasha, kiko pw had raha ,daaah au bas tu
Jaman Zatiti na Tashaa💪💪
😂😂😂😂alafu Hawa wa pumbavu wawili mtu na mke wake yani kilamba na mke wake Wana nipaburudani sana 😂😂😂😂❤❤❤❤❤nawapenda sana nkiwa Kenya 🇰🇪
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kabsa pumbavu mwenzangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wanachekesha ajabu
@@Farthun 😀😀😀
Kwakweli wananogesha move
Furaha inaniua baada ya zatiti na mr tasha kuwa marafiki yaani nimejihisi kama ni mimi niwatakia urafiki wa kudumu❤❤🎉
Ubaya ubwela naomben like🎉❤
❤
Weee huogopi 😂😂
Ubaya ubwelaaaaaaaa❤❤❤❤❤
Wow I like the way mr Tasha's acting I'm grateful for him❤😮🎉
Wana busat woyeeeeee❤❤
Kwanza big up kwa mr Tasha
Bibi safi San nimependa hyoo bibi zuuu ❤❤ upo vizur San Malika una jambao ww muche bibi azuwe b harusi ndani ww kiramba mchuzi upingaje hap ww uwogopiiii wap msr Tasha n dada yetu kipenz zatiti upo vizur sana wallah zatiti jisikiye raha umepata bonge la bwana chiko utamjutia zatiti San zatiti saf San kumsau bwenge chiko imeshaaa hyoo zatiti jiamini my upo vizur ❤❤❤❤❤
Tupo na kibendu na candy
Mm nasbry san ndowa y zatiti n Mr tash km n ww unasbry gonga like
kila mtu yuwasema niwakwanza....kojoeni mulale😂😂
😂😂😂😂usivunje mbavu
😅😅😅tunasubiri Sasa ndoaa ya zatiti na mr tashaaa mweeeeeeeee🎉🎉🎉
congracts candy kwq kuomba msamaha hatimaye mambo yko yataenda sawaaa❤❤❤
Kwenye party ya msamaha kwa kendy nmejpata nalia japo n movie 😢😢😢ameharibikiwa na kila ktu ndo ywasamehewa jaman radhi s nzur hongeren busat tv
Waoooo jaman hatimae naon tabasam la zatit
Jamani naona Mimi sasa SHIDA atamiliki nyumba Yake jmn km uta amini ilo gonga apa like
🙏🙏
Design nmefurahia Leo angalau yatima wa mapenzi zatiti amecheka😂😂
Amina pia mm naona zatiti ataolewa na Mr tasha
🥰🥰
Hii move kwakweli inatufundisha mengi lkn tuache kuomb like kwan zinakaz gani😊😮
Ivi izo like venye mnaomba mnalibwa wezetu tumewachoke jaman
❤❤❤❤𝐍𝐟𝐮𝐫𝐚𝐡𝐢𝐚 𝐳𝐚𝐭𝐢𝐭𝐢 𝐚𝐧𝐚𝐯𝐲𝐨 𝐜𝐡𝐞𝐤𝐚 𝐣𝐦𝐧❤❤❤
Woooow naona mambo yanajipa sasa kwa zatiti na mr tasha ❤❤❤❤I love housegirl I love busati tv 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Aya mm wa mwisho kabisa nipen like zangu 🎉🎉🎉🎉🎉
Harusi ya Mr Tasha na zatiti tunayo hatuna!!🎉
Itanoga zaidi zatiti kuolewa na tasha
Team strong oyeeeeeh ❤❤❤
Yaaah oyeeeeh
Onyeeeeee 🥱🥱🥱🥱
Walai nimefirahi sana vile nimeona mr tasha na zatiti wamekuwa marafiki hdi zatiti amerudi normal ❤❤❤❤nimefirahi sana
Tasha kaka apo umefika kwenyewe😂😂❤❤
Mr Tasha n zatiti lzma wafunge ndoa 😂❤❤❤❤ nipeni like n mmi
Ila nyie zatiti ni mzuri sana 😊
Atimae leo candy kasamehewa na mamake haya tulia mwaya baraka za mamake zifanye kazi.❤❤❤❤
Jaman zatiti ni mremboo Jaman, kwani ameolewa? Busati naomba namba ya za titi kama yupo single please ❤🎉
Naombeni like hata 2 japo nimechelewa
🙏🙏
😮😅😮❤❤❤
Wanao penda mr tasha na zatiti wafunge ndoa acha like
wakwaza mim
Zatiti uko mrembo mamaa,umependezana na Mr Tasha.Kai nawe na zuu harusi tunayoooo🎉❤🎉🎉🎉
Kumb zatiti akichk ni mremb ivo mashaallah❤❤❤
Mashallah ❤❤❤❤❤
Nawapenda sana mnavyowahiii
Jamni wa kwanza naombeni like Leo vipenzi
Wow kazi nzur snaa nawapenda nyte waigizaji n mashabiki maupendo kibao asei❤❤
Mbona raha endapo zatiti na tasha wataoana❤❤🎉🎉
Wa Kwanza naomba like jmn
Yaan maisha ya kilamba ukwaju na mkewe km maisha yangu na mume wangu yaani nainjoi kwa sasa napambana oman ila tunapendana sana
Nyie uku kumewaka chisa na masozi yaan hadi raha ,busati ni utamu juu ya utamu ,team strong au wale tunao acha kazi za waarabu tuangalie house girl tujuane jaman😂😂😂
MIMI NAMPENDA SANA MR: KILAMBA
Wallahi wapi kelele kwa house girl ni pambe mashallah namuona zatiti kajishindia mume mwenye faraja mr tasha …wanendana sana 🎉🎉😂
House girl ni kama wimbo wa yanga bingwa ya mjeshiii kila kona balaaaaaaaaaaaa❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉bombo clat
Kuomba like tuuh kutoa ushaur aaah 😊😊😊
wapumbavu wenzangu🙌🏻 wasio mpenda kilamba na mkewake gonga like apa ❤🎉🤭🥴🥴
Wa kwanza like tanokwa Zuri jamani
Amina naomba mungu atende jamn kw zatiti na tasha
Ila Mr Tasha kiukweli wameendana na zatiti❤❤❤❤❤
Wawoo, Natamani Isiishe . Burudani Na Mafunzo Telle
Hamboi Wal hamkeri
,Love so much ❤❤❤❤❤
Nakupenda zatiti❤
Huyu sania ana jifanya mwema ila sio mwema 😂 ila hawa mpumbavu mwenzangu wananifurahisha Sana nawapenda yani bure mwengine ni kibendu pia nampenda ata kama ndugu zako ni wabaya lakini ina tupasa tuwakuli mimi naangalia kutoka Kenya jamani❤❤❤
nice❤❤❤
Kazi nzuri sana zatiti sa hii ako na furaha sana 👍❤
Waoo ❤❤❤❤ nimependa San unavyo tabasam naona leo.pia nitakula nishibe wallah Tena kumekucha Tena Kwa masuzii na madefuu mdagaji tu akiwa Kwa d yake chiko ana cm simu ww uwogopiiiiii
Mimi nacheka na zatiti😂😂😂😂
Jamani naipenda sana hii mve
Wakwanza chiko mm😂😂
Kusema kweli hii nimeipenda sababu narudiarudia mahaba ya zatiti na mr tasha
Pole sn sania😂, huku ni mautamu to Tasha na zatiti❤❤❤❤, mnipe like 10 pls
Jamani mmeuona urafiki kama mm nilivyoona au 💃💃💃💃
Mungu habagui hauchangui vyote Ni Mali yake.kend Leo ameokoka yesu Ni bwana Wacha tusubiri ya nayo kuja
wanao ipenda house girl tujuane Kwa like
Eeeh jamn tasha wow naomb amuoe zatiti. An ukiwa ukiwa na mume kama tasha daaah dunia yote unaweza ukaiona dunia yako pekee ako, lakin tasha naomb haya matendo unayoonesh humu yake kwer kwenye uhalisia wako
🙏🙏🙏
Jaman Tasha ulikuwa wap mfarij zatiti
Mr Tasha umetisha na pamenoga sana
wow❤❤ safi sana naipenda🎉🎉🎉
Bibi nakupend kwa msimamo🎉🎉