Big Up Mother Kendi Wewe Unabaya Na Mtu Ongera Kwa Ushujaa Wako... Shania Ongera Sanna Achatu Subiri Arusi Zenu Na Mimi Nataka Zichanganywe Pamoja Liwe Bongela Arusi ❤❤❤❤❤❤
Sijapenda kt kimoja apa kai na mwezie yan mnakaz zur atakama kai kapoteza kazi ila alikuwa na kazi mwazo na mnanyumba zuri yan niseme washua natembeaje na miguuu asa na izo sut na wakuchoma àaaaaaaa sijapenda 🙈
HOUSE GIRL FANS WHATSAPP
chat.whatsapp.com/CssprKjGJcP3Xcwj3Jlusl
Wow
From 🇰🇪
From JED
Safi sana kazi nzuri
🔥🔥🔥🔥🔥
Wanao ona maman kendy na bibi niwatu muhimu sana kwenye team zuu gongeni like hapa
Alipata Long time ago already
Mm wa kwanza hapa🎉🎉🎉🎉🎉
Nilikuwa naingoja imagine hadi sai😅🎉🎉mnipee like hata moja sijai omba😅
Ulisema lazima uone wa kwaza
@@user-pt6nl5vt2g kabisaa 😂😘😍
Team strong number one mnipe like
Mambo
Sisi ndo tuko usijali❤❤❤😊
@@zainabzwena3156 mamb upo Omani mi nipo Iraqi
Ila busatiiii umenipa moyo wa subira ila busatiiii nitashindwa vumilia 😢 # busati tv mpo vizuri 🎉🎉🎉🎉 👍
Asante sana
🎉🎉🎉🎉
Kama unahiman babake kai ata msamehe mwanae gonga like zakutosha,,,
😂😂😂❤❤❤😂😂😂l
😂
😂😂🎉🎉
@@mohamedlopa8410❤❤❤❤❤
@@mohamedlopa8410❤❤❤
❤❤❤❤ I like😍😍
😊jamani mimi Sipend ihi movie
Ihishe mapema nani mwengin anakubaliana na mimi❤❤👍
Kwani umelazimishwa kuangalia kwenda zako
Ulitumwa kuangalia
@@user-ky7jn3xq9gvp uko poa umeipenda hiyo❤❤😍😍😘
Me nakubaliana na wew🤝🤝👍
@@JanethMasima kwani ulitumwa
Kweli macho yngu daaa nyie ctaki kusikia mm wa mwanzo weken like za kutosha kma uko macho 😂😂😂 from Oman 🇴🇲
Wana omani oyeeeeee me npo
Jamani naomba watoe haraka movie hii haraka wanatukosha??????😢🤗🤔
Ila sania kama kaamua kubadilika abadilishe na mavazi kidog ❤❤❤
Wakwanza Leo Ni peni like nzangu from USA Leo ❤❤❤❤
Leo wa kwanza toka Africa kisini nipeni basi hata likes 10 tuu
Zimeisha
kumbe ni afrika kisini 😂😂mm nikajua ni afrika kusini😂😂😂
Mi WA kwanza jomon like Zang mhimu sana
Jamani ni Mimi tu nayimwa like ama tupo wengi😢
Nipeni like hebu sije nikapiga teke mfuko kama zuu halafu nikimbie Kwa kai 😊
Inamaaana kosa la kubakwa nila mama au mbakaji jaman kina mama tunaonea kama naww unaungana namm gonga like
Wengine zam yenu ni kesho mungu akipenda tulio kubali kuwa macho ndio tumewai
Wakwanza jamani nahomba like zangu namimi
Mnao ona Cendy atapata laana za Mama like apa
Yaan mpk hapo ni anazo
Huyu ashapata laana, na sio eti atapata
Tyr anazo za kutosha
😂😂@@AdamZainab-mb7qj
@fl😂😂😂😂😂😂oramacheva5855
waaaah hyu ss anambia mzazi hivo ghaiii!!!! hayo yasinikute Mungu wangu anyway nipe likes msisahau ep 40 mapema please ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Leo mnipe like jameni hâta 10
Tunafika mwisho wa lala salama weeeeeh
Eeeee
❤❤ jamaa Yuko vizuri mpen like zenu.
Nimekaa kwanz Leo naomba like
Nyie uyu candy nina wasiwasi nae ndo tabia ake kweli 😅😅 naombeni like zangu 😂😂
Kabisa hatakama nimaigizo lakini mmmmh
Yaan ukiach kaz hii tabia anayoo😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂kweli bhn siyo bure
Candy candy candy 😢😢😢 kuwanahofu yamungu hata kidogo tu hatakama nimaigizo ila daaa sikwahalihiyo 😢😢
Candy nadhani ni katabia a ako na dharau anazo
Kwanza jamani like zenu sije mkipita
Big Up Mother Kendi Wewe Unabaya Na Mtu Ongera Kwa Ushujaa Wako... Shania Ongera Sanna Achatu Subiri Arusi Zenu Na Mimi Nataka Zichanganywe Pamoja Liwe Bongela Arusi ❤❤❤❤❤❤
Jaman dunia ina mengi kwl kumb kuna watoto wanao fany wazazi wao ivo
Watatu leo jomn like kwangu
Watu Qmllali kwelki Busati tv Mnajuwa kutufurahisha kweli sisi mafansi. Wenu Asanteni sana mim nishaabikieenu kutokea swiden Nawapeenda saan❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤🥰🥰🥰
❤❤❤🎉🎉🎉
Wa2 a2lali jmn gonga like 2naoangalia movie kwa wakat 🎉🎉🎉
Candy candy candy nimekuita mara ngapi mama ni mama hata iwe nn utakuja jiuta maishani huu ni mwanzo team Zuu twangoja harusi 😍😍💪💪💪💪
Kai move yenu tamu sana na ina mafunzo na naipenda sana sitaki nipite mutafika mbali wapenzi 🎉🎉🎉
Mapema sana kweli wa kwanza kweli jaman🎉❤❤
Mapema ndio best❤️
@@ZamzamMusa-ve5tcyeah❤
Wa kwanza mie nipen like zangu 🎉🎉🎉🎉🎉
Nimeipenda sana sizoni namba 39 tafadhali naomba namba 40
Pole mama umetoa cri nzito mayoni wako .ndosabani kendi akaamua kukukataa jeiungeitoa mbimba hugeyapitia Haya polle sn❤❤❤❤❤❤❤ kend analana ataidhia kutafuna manyasi 😭😭😭😭😭
Asant nimekuw na subir San
Lete next tafadhar 40
Nawapenda sana kbs amchelew umpo vizur 🎉🎉🎉🎉
Wamwicho naomba like 🎉❤🇧🇮
Sasa kuna ulazima gani wa kwenda Kwa mama kendi mnaacha kwenda kumchukua zuu ndoa ipite
Acha halaka nawe chuzi bado halijakolea viungo
Yani nimeangalia Peke angu hadi mwisho😂😂😂😂😂 mumeniachia movie ekeangu guys❤❤🎉🎉🎉
🤣🤣
😂😂🎉🎉
😢😢😢😢 ohoooo pole sana mama ake candy hiyo ndo mitihani ya Dunia ❤❤kazi nzuri sana zuu kakolea kwa Kai
😭😭
Mimi naona nimeletwa dunian kwaajili ya kai ❤wapi zuuu weweee apewe maua yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Dah! Sema haka katamthilia kazur hadi raha nipeni like basi tuendelee kuifuatilia pamoja.
🙏🙏
Asanten sana sasa siunaona mambo mazuri ndio hayo part mbili kwampigo kaz nzuri sana Mashallah 🎉🎉🎉🎉🎉
Yaani watu awalali😂😂😂😂anyway hii movie ni tamu pia sijalala 😂😂🎉❤❤
Kila mtu anaomba like like haaaa badal mtoe support kwa busati mnaomba like tuu au mnatak kuzinywea chai au izo like
Duuuh nimeidaka kwa juu Sio poa Hay twende nalo ❤❤❤🎉🎉😅
Wako wap wale wanga waliozea kuwanga najua mshapita nayo hii 😂😂😂❤❤❤
Pôle mama kendy alakini na hawo marafiki hawafayi hâta kumshauri awe na adabu mbele ya mamake,kayi pole
Haya wale wa kula viporo kesho mkija mnipe likes zang nimewahi😂😂😂
❤😂woow thank you so much,nmengoja kwa hamu❤❤❤
Am the first ❤ & appreciate U guys big up
Something to note We need moooo
Asanten snaa n vyenye nlikua na jua mpka kesho but subra n njema,,hii movie n kma ndo kwanza mkoko walika maua,,,kazi nzur snaa
❤❤❤❤hii yaleo naiona kama tela picha lenyewe ni part 40 🎉🎉😂😂😂😂kai zuu kakimbilia kwako
😅😅😅😅😅nyie mko vizur nawapenda ❤❤❤❤❤ raha jaman
❤❤❤❤❤mnawahi kweli nawakubali kinoma 🎉❤🎉❤🎉🎉🎉nawafwatlia kutoka lamu kenya 🇰🇪 ♥ ❤ 👌
Kai kimbia nyumbani zuu anakutafuta huko ❤❤❤❤❤😂na amekimbia mbio nyingi nawakubali sana nyie watu
Aise kaka kai weee na zuuuu nawakubari sana move nzuri mwaaa😍😍😍😍😍😍😍😍😍
Sijachelewa sana hau vipi wenzangu😊😊😊😊
Jamani busati tv nawaombeni muwe munatoa vipindi viwili Kwa siku kazi nzuri❤❤❤
Good work much love 😍 najifunza mengi kwa hii movie😊😊
🎉
Hongereni Kwa kaz nzuri busati tv mna kitu mtafika mbali sana
Leo nimeangukia wa kwanza much love from 🇰🇪 🇰🇪 🇸🇦 tunawapenda sana 😊😊
Wakwanza leo ❤❤
Daaah kendi weee mtu daaa mama wa kumwambia maneno hayo kweli daaaah
Hongera nyingi kwa mama kend ❤💋 Yani hakutaka kupita Kona kona
Kazi nzuri endeleeni ivo ivo house girl on top 🔝🔥🔥🔥
Hongeren San Kwa Kaz nzur🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Nime mskia kocha aki elekeza. Sijapenda. 😅😅 na. kendi. Ni mtoto wawa baba wa 6. 😂😂😂😂😂
Jamani ata mimi pia yaniliza vile mama analia
Candy anaonyesh tu nimtu wa dharau mbali n ugizaji 😢😢 team kai tujuan ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Leo nimechelewa jaman ila hivyo hivyo sio mbaya ila jaman mwanamke kama huyu cand tumueke kund gani mama azalilishw jmn
Kazi nzuri Sana but pole Sana mama candy
Hongera Mama WW nimama Bora hakika mungu akupee maisha mema Na marefu hata kama nimuvi ila umefany vizr San
Nimemuelewa rafiki yake kai hana mpango na Sania ila tu ana taka afanikishe mambo ya rafiki yake kai umepata rafiki Aiseeey
Sana ni wachache
Kaiii tupunguziee adhabuu jmn sio kwa uzurii na ufundii kweny hii movie
Kichwani bibi cheupe akuna ata nywele nyeusi 😂😂😂
Oya weeeee jichengeeeee😂😂😂😂😂😂. Mnipe like bhasiiiii
Nawapend nyote ❤❤❤
Mma candy pol sana ila ongela maua yako 🎉🎉🎉🎉scene yako umei acte vizuri na bibi zuuuu ila muache kai😂awe na zuuuu niko nyuma yawo ❤❤❤❤
Jamani nawapenda sana munatuburudisha haraka iwezekanavyo nawapenda sana
Jaman nimwewahi leo like zangu please
Waa mambo ina zidi kuchemka kendy jipange na maisha sasa❤❤❤❤🎉🎉
Sijachelewa sana naomba like 🎉🎉❤
Kai baba huko wap jamani,,, 🎉🎉🎉uko Alafu nifupi San hii ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉jaribu tu San
Nawapenda sana timu zuu nipen like hata tano tu.
Msiweke slow motion inachukua muda wetu wakuona malavidavi weken mwishooo ikiisha
😂😂😂
Ivi hii move nyiee mnailewa Kwan jaman 😢wanatuwekea matukio Yanajirudia kila mala dah😢😢
Saa nane kamili ,mlijua tumelala alooooo
huyu Binti ni kichaa manen gn anamtakia mama yke hpn kwa kweli Dunia simama ni shuke 🙌🙌🙌
Kaz kuomba like tuu mijitu cjh ikoje
Nani kasikia sauti yamaelekezo kipande chamwisho,,,tunawapenda kuwekeni makin,kipindi mnashuti❤❤
Wah watu kumbe hawalali ,went tunal San gonga like👍
Oyaa kujeni kitu tayari😂😂❤❤
Sijapenda kt kimoja apa kai na mwezie yan mnakaz zur atakama kai kapoteza kazi ila alikuwa na kazi mwazo na mnanyumba zuri yan niseme washua natembeaje na miguuu asa na izo sut na wakuchoma àaaaaaaa sijapenda 🙈
Wa kwanza leoo lkn cwaombi like hata siringiii 😂😂napenda hii series mnoo🎉🎉❤❤❤
Alloooo i 🇧🇮 ♥️ ❤️ 💖 😍 🇹🇿
Sema rafiki wa kai ana IQ kubwa sana😂❤😂.