HOUSE GIRL EP 39 || love story💞💕

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 607

  • @busatitv
    @busatitv  21 วันที่ผ่านมา +83

    HOUSE GIRL FANS WHATSAPP
    chat.whatsapp.com/CssprKjGJcP3Xcwj3Jlusl

  • @FATMARAHMARahma
    @FATMARAHMARahma 21 วันที่ผ่านมา +99

    Wanao ona maman kendy na bibi niwatu muhimu sana kwenye team zuu gongeni like hapa

    • @ABIGAIL67-tria
      @ABIGAIL67-tria 21 วันที่ผ่านมา +1

      Alipata Long time ago already

    • @lucyrif-np8ik
      @lucyrif-np8ik 20 วันที่ผ่านมา

      Mm wa kwanza hapa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @isabellahchuma
    @isabellahchuma 21 วันที่ผ่านมา +82

    Nilikuwa naingoja imagine hadi sai😅🎉🎉mnipee like hata moja sijai omba😅

    • @user-pt6nl5vt2g
      @user-pt6nl5vt2g 21 วันที่ผ่านมา +2

      Ulisema lazima uone wa kwaza

    • @isabellahchuma
      @isabellahchuma 21 วันที่ผ่านมา

      @@user-pt6nl5vt2g kabisaa 😂😘😍

  • @susana7645
    @susana7645 21 วันที่ผ่านมา +103

    Team strong number one mnipe like

    • @Husna-dj1zq
      @Husna-dj1zq 21 วันที่ผ่านมา +2

      Mambo

    • @zainabzwena3156
      @zainabzwena3156 18 วันที่ผ่านมา +1

      Sisi ndo tuko usijali❤❤❤😊

    • @Husna-dj1zq
      @Husna-dj1zq 18 วันที่ผ่านมา

      @@zainabzwena3156 mamb upo Omani mi nipo Iraqi

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 21 วันที่ผ่านมา +34

    Ila busatiiii umenipa moyo wa subira ila busatiiii nitashindwa vumilia 😢 # busati tv mpo vizuri 🎉🎉🎉🎉 👍

    • @busatitv
      @busatitv  21 วันที่ผ่านมา +1

      Asante sana

    • @SunGod-i4b
      @SunGod-i4b 21 วันที่ผ่านมา +1

      🎉🎉🎉🎉

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 21 วันที่ผ่านมา +56

    Kama unahiman babake kai ata msamehe mwanae gonga like zakutosha,,,
    😂😂😂❤❤❤😂😂😂l

    • @mohamedlopa8410
      @mohamedlopa8410 21 วันที่ผ่านมา

      😂

    • @SunGod-i4b
      @SunGod-i4b 21 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂🎉🎉

    • @JanethMasima
      @JanethMasima 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@mohamedlopa8410❤❤❤❤❤

    • @JanethMasima
      @JanethMasima 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@mohamedlopa8410❤❤❤

    • @JanethMasima
      @JanethMasima 20 วันที่ผ่านมา +1

      ❤❤❤❤ I like😍😍

  • @PeninaQueen
    @PeninaQueen 21 วันที่ผ่านมา +22

    😊jamani mimi Sipend ihi movie
    Ihishe mapema nani mwengin anakubaliana na mimi❤❤👍

    • @user-ky7jn3xq9g
      @user-ky7jn3xq9g 21 วันที่ผ่านมา +2

      Kwani umelazimishwa kuangalia kwenda zako

    • @fatumabakari2640
      @fatumabakari2640 21 วันที่ผ่านมา

      Ulitumwa kuangalia

    • @JanethMasima
      @JanethMasima 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-ky7jn3xq9gvp uko poa umeipenda hiyo❤❤😍😍😘

    • @JanethMasima
      @JanethMasima 20 วันที่ผ่านมา

      Me nakubaliana na wew🤝🤝👍

    • @user-ky7jn3xq9g
      @user-ky7jn3xq9g 20 วันที่ผ่านมา

      @@JanethMasima kwani ulitumwa

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 21 วันที่ผ่านมา +45

    Kweli macho yngu daaa nyie ctaki kusikia mm wa mwanzo weken like za kutosha kma uko macho 😂😂😂 from Oman 🇴🇲

    • @user-oj5sb8dk1m
      @user-oj5sb8dk1m 20 วันที่ผ่านมา +1

      Wana omani oyeeeeee me npo

    • @JanethMasima
      @JanethMasima 20 วันที่ผ่านมา

      Jamani naomba watoe haraka movie hii haraka wanatukosha??????😢🤗🤔

  • @sumayyahmanyasi453
    @sumayyahmanyasi453 21 วันที่ผ่านมา +22

    Ila sania kama kaamua kubadilika abadilishe na mavazi kidog ❤❤❤

  • @user-jl8kp7gu7x
    @user-jl8kp7gu7x 21 วันที่ผ่านมา +23

    Wakwanza Leo Ni peni like nzangu from USA Leo ❤❤❤❤

  • @OmbeniShendwaDaniel
    @OmbeniShendwaDaniel 21 วันที่ผ่านมา +31

    Leo wa kwanza toka Africa kisini nipeni basi hata likes 10 tuu

    • @JoyceAndrea-yt1vg
      @JoyceAndrea-yt1vg 21 วันที่ผ่านมา +1

      Zimeisha

    • @UmmyZakiah
      @UmmyZakiah 21 วันที่ผ่านมา

      kumbe ni afrika kisini 😂😂mm nikajua ni afrika kusini😂😂😂

  • @StevenMatimba
    @StevenMatimba 21 วันที่ผ่านมา +19

    Mi WA kwanza jomon like Zang mhimu sana

  • @zeynab7617
    @zeynab7617 21 วันที่ผ่านมา +9

    Jamani ni Mimi tu nayimwa like ama tupo wengi😢

  • @tumafreedom6kenya375
    @tumafreedom6kenya375 21 วันที่ผ่านมา +23

    Nipeni like hebu sije nikapiga teke mfuko kama zuu halafu nikimbie Kwa kai 😊

  • @NasraKingazi
    @NasraKingazi 21 วันที่ผ่านมา +12

    Inamaaana kosa la kubakwa nila mama au mbakaji jaman kina mama tunaonea kama naww unaungana namm gonga like

  • @mapesaomary-ip3vf
    @mapesaomary-ip3vf 21 วันที่ผ่านมา +18

    Wengine zam yenu ni kesho mungu akipenda tulio kubali kuwa macho ndio tumewai

  • @MawazoJustin-fw2ws
    @MawazoJustin-fw2ws 21 วันที่ผ่านมา +22

    Wakwanza jamani nahomba like zangu namimi

  • @ministerlightnessrobert5342
    @ministerlightnessrobert5342 21 วันที่ผ่านมา +52

    Mnao ona Cendy atapata laana za Mama like apa

  • @Zainabu-xn3vd
    @Zainabu-xn3vd 21 วันที่ผ่านมา +10

    waaaah hyu ss anambia mzazi hivo ghaiii!!!! hayo yasinikute Mungu wangu anyway nipe likes msisahau ep 40 mapema please ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @fammamourchy2164
    @fammamourchy2164 21 วันที่ผ่านมา +26

    Leo mnipe like jameni hâta 10
    Tunafika mwisho wa lala salama weeeeeh

  • @Precious-j3l
    @Precious-j3l 21 วันที่ผ่านมา +24

    Nimekaa kwanz Leo naomba like

  • @FetrissJanni-lb5il
    @FetrissJanni-lb5il 21 วันที่ผ่านมา +13

    Nyie uyu candy nina wasiwasi nae ndo tabia ake kweli 😅😅 naombeni like zangu 😂😂

    • @adelinaomani9012
      @adelinaomani9012 20 วันที่ผ่านมา

      Kabisa hatakama nimaigizo lakini mmmmh

    • @user-kn8bm3kt1j
      @user-kn8bm3kt1j 7 วันที่ผ่านมา

      Yaan ukiach kaz hii tabia anayoo😂😂😂😂😂😂

    • @FraidSamata
      @FraidSamata 4 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂kweli bhn siyo bure

  • @estherezzy136
    @estherezzy136 21 วันที่ผ่านมา +20

    Candy candy candy 😢😢😢 kuwanahofu yamungu hata kidogo tu hatakama nimaigizo ila daaa sikwahalihiyo 😢😢

    • @adelinaomani9012
      @adelinaomani9012 20 วันที่ผ่านมา

      Candy nadhani ni katabia a ako na dharau anazo

  • @lavenderokunani
    @lavenderokunani 21 วันที่ผ่านมา +18

    Kwanza jamani like zenu sije mkipita

  • @KhamisJuma-ni1vk
    @KhamisJuma-ni1vk 21 วันที่ผ่านมา +8

    Big Up Mother Kendi Wewe Unabaya Na Mtu Ongera Kwa Ushujaa Wako... Shania Ongera Sanna Achatu Subiri Arusi Zenu Na Mimi Nataka Zichanganywe Pamoja Liwe Bongela Arusi ❤❤❤❤❤❤

  • @user-mb8nc4oh2j
    @user-mb8nc4oh2j 21 วันที่ผ่านมา +11

    Jaman dunia ina mengi kwl kumb kuna watoto wanao fany wazazi wao ivo

  • @AkimanaVely-gq9cu
    @AkimanaVely-gq9cu 21 วันที่ผ่านมา +19

    Watatu leo jomn like kwangu

  • @annayambayamba8614
    @annayambayamba8614 21 วันที่ผ่านมา +12

    Watu Qmllali kwelki Busati tv Mnajuwa kutufurahisha kweli sisi mafansi. Wenu Asanteni sana mim nishaabikieenu kutokea swiden Nawapeenda saan❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @busatitv
      @busatitv  21 วันที่ผ่านมา

      ❤❤❤🥰🥰🥰

    • @SunGod-i4b
      @SunGod-i4b 21 วันที่ผ่านมา

      ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @jacklineshayo3962
    @jacklineshayo3962 21 วันที่ผ่านมา +23

    Wa2 a2lali jmn gonga like 2naoangalia movie kwa wakat 🎉🎉🎉

  • @user-sx6zw1pr1w
    @user-sx6zw1pr1w 21 วันที่ผ่านมา +4

    Candy candy candy nimekuita mara ngapi mama ni mama hata iwe nn utakuja jiuta maishani huu ni mwanzo team Zuu twangoja harusi 😍😍💪💪💪💪

  • @user-ge3tn7zs8r
    @user-ge3tn7zs8r 21 วันที่ผ่านมา +5

    Kai move yenu tamu sana na ina mafunzo na naipenda sana sitaki nipite mutafika mbali wapenzi 🎉🎉🎉

  • @Jennysolange8989
    @Jennysolange8989 21 วันที่ผ่านมา +10

    Mapema sana kweli wa kwanza kweli jaman🎉❤❤

  • @mikidadihassan8307
    @mikidadihassan8307 21 วันที่ผ่านมา +10

    Wa kwanza mie nipen like zangu 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @saidyussuf-my8ew
    @saidyussuf-my8ew 21 วันที่ผ่านมา +6

    Nimeipenda sana sizoni namba 39 tafadhali naomba namba 40

  • @Marlenapilikitsao-gk9je
    @Marlenapilikitsao-gk9je 21 วันที่ผ่านมา +7

    Pole mama umetoa cri nzito mayoni wako .ndosabani kendi akaamua kukukataa jeiungeitoa mbimba hugeyapitia Haya polle sn❤❤❤❤❤❤❤ kend analana ataidhia kutafuna manyasi 😭😭😭😭😭

  • @Zilfarama
    @Zilfarama 21 วันที่ผ่านมา +16

    Asant nimekuw na subir San

  • @user-dl4fs9yk9j
    @user-dl4fs9yk9j 21 วันที่ผ่านมา +11

    Lete next tafadhar 40

  • @user-ii1ym5fe7j
    @user-ii1ym5fe7j 21 วันที่ผ่านมา +5

    Nawapenda sana kbs amchelew umpo vizur 🎉🎉🎉🎉

  • @user-mv6vi1gv6f
    @user-mv6vi1gv6f 21 วันที่ผ่านมา +5

    Wamwicho naomba like 🎉❤🇧🇮

  • @Nailaty564
    @Nailaty564 21 วันที่ผ่านมา +9

    Sasa kuna ulazima gani wa kwenda Kwa mama kendi mnaacha kwenda kumchukua zuu ndoa ipite

    • @Rsilk192
      @Rsilk192 20 วันที่ผ่านมา

      Acha halaka nawe chuzi bado halijakolea viungo

  • @sifamaureen2792
    @sifamaureen2792 21 วันที่ผ่านมา +5

    Yani nimeangalia Peke angu hadi mwisho😂😂😂😂😂 mumeniachia movie ekeangu guys❤❤🎉🎉🎉

    • @busatitv
      @busatitv  21 วันที่ผ่านมา +1

      🤣🤣

    • @SunGod-i4b
      @SunGod-i4b 21 วันที่ผ่านมา

      😂😂🎉🎉

  • @user-yu9qn4oi3g
    @user-yu9qn4oi3g 21 วันที่ผ่านมา +3

    😢😢😢😢 ohoooo pole sana mama ake candy hiyo ndo mitihani ya Dunia ❤❤kazi nzuri sana zuu kakolea kwa Kai

    • @busatitv
      @busatitv  21 วันที่ผ่านมา

      😭😭

  • @IlhamShaban-vq3kx
    @IlhamShaban-vq3kx 21 วันที่ผ่านมา +2

    Mimi naona nimeletwa dunian kwaajili ya kai ❤wapi zuuu weweee apewe maua yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @paulmohamed649
    @paulmohamed649 20 วันที่ผ่านมา +2

    Dah! Sema haka katamthilia kazur hadi raha nipeni like basi tuendelee kuifuatilia pamoja.

    • @busatitv
      @busatitv  20 วันที่ผ่านมา

      🙏🙏

  • @user-ie8cu9vm6p
    @user-ie8cu9vm6p 21 วันที่ผ่านมา +2

    Asanten sana sasa siunaona mambo mazuri ndio hayo part mbili kwampigo kaz nzuri sana Mashallah 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @DamarisNyaboke254
    @DamarisNyaboke254 21 วันที่ผ่านมา +4

    Yaani watu awalali😂😂😂😂anyway hii movie ni tamu pia sijalala 😂😂🎉❤❤

  • @LeonSerjio
    @LeonSerjio 20 วันที่ผ่านมา +1

    Kila mtu anaomba like like haaaa badal mtoe support kwa busati mnaomba like tuu au mnatak kuzinywea chai au izo like

  • @sumayyahmanyasi453
    @sumayyahmanyasi453 21 วันที่ผ่านมา +4

    Duuuh nimeidaka kwa juu Sio poa Hay twende nalo ❤❤❤🎉🎉😅

  • @AshaNzara
    @AshaNzara 21 วันที่ผ่านมา +4

    Wako wap wale wanga waliozea kuwanga najua mshapita nayo hii 😂😂😂❤❤❤

  • @FurahaNishishikare-ks4zn
    @FurahaNishishikare-ks4zn 20 วันที่ผ่านมา +1

    Pôle mama kendy alakini na hawo marafiki hawafayi hâta kumshauri awe na adabu mbele ya mamake,kayi pole

  • @Tumasalo99
    @Tumasalo99 21 วันที่ผ่านมา +3

    Haya wale wa kula viporo kesho mkija mnipe likes zang nimewahi😂😂😂

  • @daphinekemto3094
    @daphinekemto3094 21 วันที่ผ่านมา +4

    ❤😂woow thank you so much,nmengoja kwa hamu❤❤❤

  • @musomahomeland-ry9uo
    @musomahomeland-ry9uo 21 วันที่ผ่านมา +2

    Am the first ❤ & appreciate U guys big up
    Something to note We need moooo

  • @user-gu2yu2wp1z
    @user-gu2yu2wp1z 21 วันที่ผ่านมา +3

    Asanten snaa n vyenye nlikua na jua mpka kesho but subra n njema,,hii movie n kma ndo kwanza mkoko walika maua,,,kazi nzur snaa

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j 20 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤hii yaleo naiona kama tela picha lenyewe ni part 40 🎉🎉😂😂😂😂kai zuu kakimbilia kwako

  • @user-wb2wp5pe9p
    @user-wb2wp5pe9p 21 วันที่ผ่านมา +4

    😅😅😅😅😅nyie mko vizur nawapenda ❤❤❤❤❤ raha jaman

  • @estherezzy136
    @estherezzy136 21 วันที่ผ่านมา +4

    ❤❤❤❤❤mnawahi kweli nawakubali kinoma 🎉❤🎉❤🎉🎉🎉nawafwatlia kutoka lamu kenya 🇰🇪 ♥ ❤ 👌

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j 20 วันที่ผ่านมา +1

    Kai kimbia nyumbani zuu anakutafuta huko ❤❤❤❤❤😂na amekimbia mbio nyingi nawakubali sana nyie watu

  • @MalaikaBrighton
    @MalaikaBrighton 20 วันที่ผ่านมา

    Aise kaka kai weee na zuuuu nawakubari sana move nzuri mwaaa😍😍😍😍😍😍😍😍😍

  • @rinciakhasoah
    @rinciakhasoah 21 วันที่ผ่านมา +5

    Sijachelewa sana hau vipi wenzangu😊😊😊😊

  • @SamsonCharo-g1j
    @SamsonCharo-g1j 20 วันที่ผ่านมา

    Jamani busati tv nawaombeni muwe munatoa vipindi viwili Kwa siku kazi nzuri❤❤❤

  • @tabithanzisa9755
    @tabithanzisa9755 21 วันที่ผ่านมา

    Good work much love 😍 najifunza mengi kwa hii movie😊😊

  • @ZaituniSmati
    @ZaituniSmati 21 วันที่ผ่านมา +8

    🎉

  • @MwajombeWitness
    @MwajombeWitness 21 วันที่ผ่านมา

    Hongereni Kwa kaz nzuri busati tv mna kitu mtafika mbali sana

  • @metrinenyakoe1764
    @metrinenyakoe1764 21 วันที่ผ่านมา +2

    Leo nimeangukia wa kwanza much love from 🇰🇪 🇰🇪 🇸🇦 tunawapenda sana 😊😊

  • @MariamSalim-vk6dw
    @MariamSalim-vk6dw 21 วันที่ผ่านมา +7

    Wakwanza leo ❤❤

  • @SalimaMussa-pr7hb
    @SalimaMussa-pr7hb วันที่ผ่านมา +1

    Daaah kendi weee mtu daaa mama wa kumwambia maneno hayo kweli daaaah

  • @meryorotha671
    @meryorotha671 20 วันที่ผ่านมา

    Hongera nyingi kwa mama kend ❤💋 Yani hakutaka kupita Kona kona

  • @sundaymarwa9322
    @sundaymarwa9322 20 วันที่ผ่านมา

    Kazi nzuri endeleeni ivo ivo house girl on top 🔝🔥🔥🔥

  • @rosemarenga832
    @rosemarenga832 21 วันที่ผ่านมา +2

    Hongeren San Kwa Kaz nzur🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @LilijohariLilijohari
    @LilijohariLilijohari 21 วันที่ผ่านมา +3

    Nime mskia kocha aki elekeza. Sijapenda. 😅😅 na. kendi. Ni mtoto wawa baba wa 6. 😂😂😂😂😂

  • @a7sasa7sas23
    @a7sasa7sas23 21 วันที่ผ่านมา +4

    Jamani ata mimi pia yaniliza vile mama analia

  • @Asma-hn1jk
    @Asma-hn1jk 20 วันที่ผ่านมา

    Candy anaonyesh tu nimtu wa dharau mbali n ugizaji 😢😢 team kai tujuan ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @NasraKingazi
    @NasraKingazi 21 วันที่ผ่านมา +1

    Leo nimechelewa jaman ila hivyo hivyo sio mbaya ila jaman mwanamke kama huyu cand tumueke kund gani mama azalilishw jmn

  • @Zulfa-j1r
    @Zulfa-j1r 21 วันที่ผ่านมา +4

    Kazi nzuri Sana but pole Sana mama candy

  • @MankaMeski-o5k
    @MankaMeski-o5k 21 วันที่ผ่านมา

    Hongera Mama WW nimama Bora hakika mungu akupee maisha mema Na marefu hata kama nimuvi ila umefany vizr San

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 21 วันที่ผ่านมา +3

    Nimemuelewa rafiki yake kai hana mpango na Sania ila tu ana taka afanikishe mambo ya rafiki yake kai umepata rafiki Aiseeey

    • @Saada-g4j
      @Saada-g4j 20 วันที่ผ่านมา

      Sana ni wachache

  • @RubbyMatunda
    @RubbyMatunda 20 วันที่ผ่านมา

    Kaiii tupunguziee adhabuu jmn sio kwa uzurii na ufundii kweny hii movie

  • @AyshaSalumu
    @AyshaSalumu 21 วันที่ผ่านมา +3

    Kichwani bibi cheupe akuna ata nywele nyeusi 😂😂😂

  • @LaizerChionda-de6ul
    @LaizerChionda-de6ul 21 วันที่ผ่านมา +1

    Oya weeeee jichengeeeee😂😂😂😂😂😂. Mnipe like bhasiiiii

  • @user-jp3dr9nt8t
    @user-jp3dr9nt8t 21 วันที่ผ่านมา +5

    Nawapend nyote ❤❤❤

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 21 วันที่ผ่านมา

    Mma candy pol sana ila ongela maua yako 🎉🎉🎉🎉scene yako umei acte vizuri na bibi zuuuu ila muache kai😂awe na zuuuu niko nyuma yawo ❤❤❤❤

  • @SolangeBorndy
    @SolangeBorndy 21 วันที่ผ่านมา +2

    Jamani nawapenda sana munatuburudisha haraka iwezekanavyo nawapenda sana

  • @carlynemgonja-2004
    @carlynemgonja-2004 21 วันที่ผ่านมา +4

    Jaman nimwewahi leo like zangu please

  • @user-dp3fv2kh4l
    @user-dp3fv2kh4l 20 วันที่ผ่านมา

    Waa mambo ina zidi kuchemka kendy jipange na maisha sasa❤❤❤❤🎉🎉

  • @MwanalimaAbdallahkea
    @MwanalimaAbdallahkea 21 วันที่ผ่านมา +4

    Sijachelewa sana naomba like 🎉🎉❤

  • @AminaKavuo-gj3oc
    @AminaKavuo-gj3oc 20 วันที่ผ่านมา

    Kai baba huko wap jamani,,, 🎉🎉🎉uko Alafu nifupi San hii ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉jaribu tu San

  • @estheroscar4440
    @estheroscar4440 20 วันที่ผ่านมา +1

    Nawapenda sana timu zuu nipen like hata tano tu.

  • @jamilahussein1071
    @jamilahussein1071 20 วันที่ผ่านมา +1

    Msiweke slow motion inachukua muda wetu wakuona malavidavi weken mwishooo ikiisha
    😂😂😂

  • @UniceMsomi
    @UniceMsomi 21 วันที่ผ่านมา +1

    Ivi hii move nyiee mnailewa Kwan jaman 😢wanatuwekea matukio Yanajirudia kila mala dah😢😢

  • @angelmauja1846
    @angelmauja1846 21 วันที่ผ่านมา +2

    Saa nane kamili ,mlijua tumelala alooooo

  • @PillysalimSengo
    @PillysalimSengo 20 วันที่ผ่านมา

    huyu Binti ni kichaa manen gn anamtakia mama yke hpn kwa kweli Dunia simama ni shuke 🙌🙌🙌

  • @user-fc7gg2ul1w
    @user-fc7gg2ul1w 20 วันที่ผ่านมา +1

    Kaz kuomba like tuu mijitu cjh ikoje

  • @NasraJuma-b4v
    @NasraJuma-b4v 20 วันที่ผ่านมา

    Nani kasikia sauti yamaelekezo kipande chamwisho,,,tunawapenda kuwekeni makin,kipindi mnashuti❤❤

  • @RozinahBhoke
    @RozinahBhoke 20 วันที่ผ่านมา

    Wah watu kumbe hawalali ,went tunal San gonga like👍

  • @HidayaMbodze
    @HidayaMbodze 21 วันที่ผ่านมา +3

    Oyaa kujeni kitu tayari😂😂❤❤

  • @linnahmshama
    @linnahmshama 20 วันที่ผ่านมา

    Sijapenda kt kimoja apa kai na mwezie yan mnakaz zur atakama kai kapoteza kazi ila alikuwa na kazi mwazo na mnanyumba zuri yan niseme washua natembeaje na miguuu asa na izo sut na wakuchoma àaaaaaaa sijapenda 🙈

  • @DianaRumbanisa
    @DianaRumbanisa 21 วันที่ผ่านมา +7

    Wa kwanza leoo lkn cwaombi like hata siringiii 😂😂napenda hii series mnoo🎉🎉❤❤❤

  • @EmmyNassor885
    @EmmyNassor885 21 วันที่ผ่านมา +4

    Alloooo i 🇧🇮 ♥️ ❤️ 💖 😍 🇹🇿

  • @Urgrlnut18
    @Urgrlnut18 21 วันที่ผ่านมา

    Sema rafiki wa kai ana IQ kubwa sana😂❤😂.