ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

HOUSE GIRL EP 43 || love story💞💕

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ค. 2024
  • #bongomovie #housegirl

ความคิดเห็น • 709

  • @roda254totolapwani-ur3ur
    @roda254totolapwani-ur3ur หลายเดือนก่อน +76

    Wanabusati tv plzzzzzz nawaomba msiwahi kumaliza hiiiiii tamthlia nawasihi muendele hivyo hivyo hdi itakapofika tamthlia ya 100 kwasababu ina mafunzo mazuri sana pamoja n mtiririko wa kueleweka watching from Saudi as a house girl tooo Much Love to Busati Family ❤❤❤

    • @busatitv
      @busatitv  หลายเดือนก่อน +5

      ❤❤❤😍😍

    • @busatitv
      @busatitv  หลายเดือนก่อน +4

      Asante sana tutaifanyia kazi maoni yako

    • @anyona711
      @anyona711 หลายเดือนก่อน +4

      😅😅Saudi Niko hapa Jeddah, tukutane istaraha tukunywe kahawa😅

    • @user-eb6ye8fi4y
      @user-eb6ye8fi4y หลายเดือนก่อน +2

      ❤❤❤

    • @RakhmaFosi
      @RakhmaFosi หลายเดือนก่อน +3

      ​@@anyona711nipo Abha c tupewe episode 44😅

  • @user-fw2zn2os8g
    @user-fw2zn2os8g หลายเดือนก่อน +28

    jamn anae jisikia fraah kai kumuomb msamah baba ake like ap

  • @halimahassan1930
    @halimahassan1930 หลายเดือนก่อน +11

    Hakika inamafunzo sana hii movie mungu awabariki sana kwa kazi nzuri ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 หลายเดือนก่อน +65

    Ambao tunasubiria kwa hamu ndoa ya kai na zuuh tujuane kwa like zakutosha,,,,,,,,
    😂😂😂❤❤❤❤

  • @HellenAlquin
    @HellenAlquin หลายเดือนก่อน +6

    Na mm Leo ndo wa mwisho hvyo naomben like zangu Ili nifahamu npo miongon mwenu Ili niwahi

  • @mercyassy5469
    @mercyassy5469 หลายเดือนก่อน +9

    Candy atapigwa na kitu kizito na huyo shemeji yake wa mchongo atauza nyumba na hatopata hata mia mbovu🤣🤣😂

  • @lulumhapa
    @lulumhapa หลายเดือนก่อน +42

    Aisee nahisi mimi ni wa kwanza ambae sijaomba like 😂😂😂😂😂...nnachotaka kusema ni pongezi kwa busati TV kwanza wanatoa movie kwa muda pili vipande vinaeleweka jmnnn pongezi kwenu kazi nzuri sana 🎉🎉🎉🎉 nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉 msichoke kutupa vtu vitamu ❤❤❤❤❤

    • @PillysalimSengo
      @PillysalimSengo หลายเดือนก่อน

      nakungana na ww ambae ujawahi kuomba like 😊

    • @VivianeMhapa
      @VivianeMhapa หลายเดือนก่อน

      Lulumhapa nadhan Sisi ni ndungu

    • @lulumhapa
      @lulumhapa หลายเดือนก่อน

      @@VivianeMhapa kwa kweli jamani ❤️

    • @VivianeMhapa
      @VivianeMhapa หลายเดือนก่อน

      @@lulumhapa ok tujuane zaid

    • @lulumhapa
      @lulumhapa หลายเดือนก่อน

      @@VivianeMhapa saww

  • @macrinafuraha-zg3mi
    @macrinafuraha-zg3mi หลายเดือนก่อน +25

    Jamani wengine wanalia, wengine wanafukuzwa, wengine wanashereheka , wengine wanapiga magoti aki kudadek movie ni tama mno ebu gongeni like apa kama wew ni mkenya❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @salhatiddy
      @salhatiddy หลายเดือนก่อน

      😂😂😊

    • @macrinafuraha-zg3mi
      @macrinafuraha-zg3mi หลายเดือนก่อน +1

      @@salhatiddy 😂😂😂umeonaee

    • @AdamZainab-mb7qj
      @AdamZainab-mb7qj หลายเดือนก่อน +2

      Wengine sio wakeny kwaiy tufanyaj

    • @user-xv4br7jo6b
      @user-xv4br7jo6b หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @macrinafuraha-zg3mi
      @macrinafuraha-zg3mi หลายเดือนก่อน

      @@AdamZainab-mb7qj 😂😂😂🤣just comment tuu

  • @user-st9hn2bx5g
    @user-st9hn2bx5g หลายเดือนก่อน +18

    Hivi nyie like mnapelekaga wapi mnanikela na hizo like mnashindwa kufanya kazi iliyowaleta mpo tu mnaomba like

    • @busatitv
      @busatitv  หลายเดือนก่อน

      🙏🙏

    • @user-im8pr5cj3n
      @user-im8pr5cj3n หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa

  • @user-jl8kp7gu7x
    @user-jl8kp7gu7x หลายเดือนก่อน +25

    Wakwanza Leo Ni Mm nipeni like nzangu from USA ❤❤❤

  • @Mr_Jones_Og
    @Mr_Jones_Og หลายเดือนก่อน +96

    Mimi sijawahi pata like hata moja tangu hii muvi ianze 😢

    • @MayasaFatuma
      @MayasaFatuma หลายเดือนก่อน +2

      Sasa ww like unataka upeleke wap

    • @SaraQueen-tm5dr
      @SaraQueen-tm5dr หลายเดือนก่อน +1

      Utaenda kununulia nn?

    • @salehHassan-rl8bd
      @salehHassan-rl8bd หลายเดือนก่อน +1

      Ukisha uzaaa n tag plz

    • @Mr_Jones_Og
      @Mr_Jones_Og หลายเดือนก่อน

      😂😂😂​@@MayasaFatuma

    • @DianaMuyoka
      @DianaMuyoka หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂​@@salehHassan-rl8bd

  • @sifamaureen2792
    @sifamaureen2792 หลายเดือนก่อน +16

    Kumekucha,furaha iliyoje, na awapenda saana tear busat tv kwa kazi nzuri❤❤❤🎉🎉

  • @PrinceAman20027
    @PrinceAman20027 หลายเดือนก่อน +4

    BUSATI TV ON FIRE🔥🔥🔥🔥🔥ninachowakubali Ni kwamba hampoi Wala hamboi daily mnatoa kazi,,,, kiufupi mnatoa kazi kwa wakati CONGRATULATIONS 👏👏👏👏

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 หลายเดือนก่อน +88

    Hebu nicoment chap chap bila yakuangalia from oman 🇴🇲 nazan mumeiyona coment yngu like napokea😂 😂😂

  • @AbdallahBonge-wb9dt
    @AbdallahBonge-wb9dt หลายเดือนก่อน +4

    Wangap wanaamin zuu bado anakimbia had sasa mnipe like zangu

  • @johariabdalla3099
    @johariabdalla3099 หลายเดือนก่อน +135

    Mwee😂 hata like mbili tu kwa ajili ya kai na zuu❤❤❤❤

  • @user-oe7xe1dv3w
    @user-oe7xe1dv3w หลายเดือนก่อน +5

    Muache ubanguzi😅bana like 10 tu nami leo naomba alafu team zuu NN tunasubiria kesho❤❤

  • @user-sx6zw1pr1w
    @user-sx6zw1pr1w หลายเดือนก่อน +24

    Jamani kutoka kenya 🇰🇪🇰🇪team strong team zuu mko wapi halafu sania mgonganishi kweli 😂😂

    • @mercypeter2864
      @mercypeter2864 หลายเดือนก่อน +1

      Nlikua nadhani nmefika wa kwanza from Kenya but umeniwakilisha

    • @Asharashid-s3n
      @Asharashid-s3n หลายเดือนก่อน

      Kenyan people oyeeee

    • @user-sx6zw1pr1w
      @user-sx6zw1pr1w หลายเดือนก่อน

      @@mercypeter2864 karibu Sana

    • @user-sx6zw1pr1w
      @user-sx6zw1pr1w หลายเดือนก่อน

      ❤️❤️

    • @user-sx6zw1pr1w
      @user-sx6zw1pr1w หลายเดือนก่อน

      @@Asharashid-s3n hoyeee

  • @JamillaWesonga
    @JamillaWesonga หลายเดือนก่อน +2

    Kendy pamoja na akina masozi mnajidanganya mtapelekaje nyumba isiyo yenu kwa mnada atakaye weka sahihi n nan pumbavu zenu nyiye 😅😅😅😅😅😅team zuu,kai na baba ngojeeni tunaanda shereee❤❤❤🎉🎉

    • @vxp5228
      @vxp5228 10 วันที่ผ่านมา +1

      Wanajidanganya hawa wajinga hawaezi uza nyumba ya mtu bila kukubali acha aibu iwaponze tena😂

  • @nurumgaya1620
    @nurumgaya1620 หลายเดือนก่อน +20

    Naombeni like na mimi Niko on time jamani team zuli na team Kai mpo!? Natamani kuona zuli na Kai wakioana

  • @emmanuelsylvester4329
    @emmanuelsylvester4329 หลายเดือนก่อน +18

    Nikazan ntakuwa wa kwanza kumbe nmechelewa naomben hata like basi

  • @user-wk5yv4um4m
    @user-wk5yv4um4m หลายเดือนก่อน +5

    😂😂😂😂mambo ya movie eheee kumbe zuu abado Alikuwa njuani anakimbia🏃🏼🏃🏼🏃🏼🏃🏼

  • @user-hb2nn6ud2d
    @user-hb2nn6ud2d หลายเดือนก่อน +3

    Jaman mm naomba kuuliza hv hizi like kila mtu anaomba zinasaidia nn au zinakaz gan

  • @Jackiline-kw3zq
    @Jackiline-kw3zq หลายเดือนก่อน +20

    Wakwanza leo nipeni like acheni uchoyo

  • @user-vg8ht5pm1i
    @user-vg8ht5pm1i หลายเดือนก่อน +12

    Jaman vipenzi kwa leo tu mnipe ata like zenuu tu kila siku me nalike zenuu why me❤

  • @NuruenezaJosephEnock
    @NuruenezaJosephEnock หลายเดือนก่อน +10

    Ee Mungu naomba utusaidie watu wote tulioko upande wa Khai,Zuuhh,Tasha,pamoja na baba yake ni kweli wameshasameheana lkn tunahuzunika Sana kwa kuwa Candy aneshachukua hatua ya nyumba jaman Mungu shuka tuokoe ktk hili

    • @LadenUssama
      @LadenUssama หลายเดือนก่อน +1

      Ameen

    • @user-ql7to3rm3p
      @user-ql7to3rm3p หลายเดือนก่อน

      Kitamuramba hapo kwa nyumba tuangalie

  • @Muchui_mj
    @Muchui_mj หลายเดือนก่อน +22

    Samahani Busati ,,Mimi Huwa na download Nawatch baadae....❤❤❤

  • @MwanamvuaNassoro
    @MwanamvuaNassoro หลายเดือนก่อน +12

    Tamaa mbele mauti nyumba, basi chisa anadhani kwamba basi ameshaomokq 😅na tamaa zake vile 😏😏😏

    • @busatitv
      @busatitv  หลายเดือนก่อน +1

      Kabisaaa

  • @eliewahamsophe9972
    @eliewahamsophe9972 หลายเดือนก่อน +4

    Kesho tunatoa full mpaka mwisho like kama unapenda tufanye ivoo

  • @user-sk7un6ls2t
    @user-sk7un6ls2t หลายเดือนก่อน +42

    Ambao tupo bega kwa bega na busati TV mpaka kieleweke like kidogo tu 😂😂😂😂😂

    • @user-uq4wt9dx9g
      @user-uq4wt9dx9g 12 วันที่ผ่านมา +1

      Wapewe maua Yao 🎉🎉🎉

  • @alfredofrancisconachituta8428
    @alfredofrancisconachituta8428 หลายเดือนก่อน +14

    Wakwanza leo mimi naomba like

  • @EliTimothy-nf1rm
    @EliTimothy-nf1rm หลายเดือนก่อน +8

    Leo wametufurahisha sana mashabiki like Kwa busat tv

  • @VeronicaIbrahim-wv4dg
    @VeronicaIbrahim-wv4dg หลายเดือนก่อน +58

    Nimewahi ♌ kama unaipenda hii movie gonga like hapa🎉🎉🎉

    • @JosephineJosephine-nn9sm
      @JosephineJosephine-nn9sm หลายเดือนก่อน

      Huyo juu na Kai waletwe kenya kunanyumba nitawapa juu mapenzi Yao Niya dhati I really love you guys

  • @nasmaramdhan-bf3bm
    @nasmaramdhan-bf3bm หลายเดือนก่อน +15

    Wanao mpenda Kai naomben like jaman

  • @user-th1vo9lz2h
    @user-th1vo9lz2h หลายเดือนก่อน +23

    Mimi wa kwanza leo nahomba like ata 10 please 🙏

  • @MwanamisiSuleiman
    @MwanamisiSuleiman หลายเดือนก่อน +5

    Ushasamehewa kai hayo kimbia nyumbani nyumba yauzwa

  • @pillymakambi9133
    @pillymakambi9133 หลายเดือนก่อน +29

    Dakika ya pili oya wee nimewah nipeni like kwaajil ya kai na mr tashaa

  • @KHANMOVIEZETU
    @KHANMOVIEZETU หลายเดือนก่อน +31

    Jaman jaman Leo mnetufurahisha like Kwangu wameofurah

  • @VeronicaIbrahim-wv4dg
    @VeronicaIbrahim-wv4dg หลายเดือนก่อน +9

    Wakwanza naombeni like jamani

  • @rudo_b_classic1131
    @rudo_b_classic1131 หลายเดือนก่อน +10

    Nimefurahisha kwa kuachia vipande viwil leo

  • @Saumu254
    @Saumu254 หลายเดือนก่อน +10

    Wakusoma coment yangu msiipite mje polpole😂😢

  • @Nailah736
    @Nailah736 หลายเดือนก่อน +1

    Asanteni sana wana busati TV mungu akazidi kuwafafanulia hayo mafunza ndiposa pia nasi tuyapate Asanteni sana director wetu kwa jumla 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-vw3mr7jd1i
    @user-vw3mr7jd1i หลายเดือนก่อน +2

    Busati Tv kazi nzuri sana🔥,likes zimiminike kwa busati Tv,Team zuu na team kai na rafiki yake mzuri✨

  • @MwanajumaMwinzi
    @MwanajumaMwinzi หลายเดือนก่อน +19

    Kwn hizi like mnaomba zaliwa

    • @user-qq6mv6vh3e
      @user-qq6mv6vh3e หลายเดือนก่อน

      😂😂

    • @LoyceJastine
      @LoyceJastine หลายเดือนก่อน

      Waulize

    • @Starlet836
      @Starlet836 หลายเดือนก่อน

      Nawashangaa 😂 kila mtu like like like hawana kitu cha maana cha ku comment

  • @hajimwendo
    @hajimwendo หลายเดือนก่อน +7

    Mapema sana leo like kidogo tuu!!

  • @NjoleZuma-ue9yo
    @NjoleZuma-ue9yo หลายเดือนก่อน +7

    Mimi hapa

  • @BABAJOAN1604
    @BABAJOAN1604 หลายเดือนก่อน +1

    Hongereni BUSATI TV mpo vizuri Sana sifuatiliagi bongo movie ila hapa mmenikamata mnafanya kazi nzuri

  • @user-ny8yk8fu2t
    @user-ny8yk8fu2t หลายเดือนก่อน +6

    Jaman siamin kuwa nimewai leo

  • @godfreyonderi5338
    @godfreyonderi5338 25 วันที่ผ่านมา +1

    Wakuu naombeni hata likes kumi❤❤

  • @melanianjau3244
    @melanianjau3244 หลายเดือนก่อน +6

    Jaman kutoka united state of msaranga tugengeee like❤❤❤❤❤❤

  • @user-lj3tc1xs5j
    @user-lj3tc1xs5j หลายเดือนก่อน +6

    Leo wa kwaza😂❤❤😢

  • @user-ho7vv4tx1y
    @user-ho7vv4tx1y หลายเดือนก่อน +3

    Ila nime mkubali sana lafiki ake kai ana usha uri sana kwa mwenzake 🎉🎉

  • @BahatiTarimo-yz7im
    @BahatiTarimo-yz7im หลายเดือนก่อน +5

    Na mm Leo nimewahi jaman naomben like ata mbili😢

  • @user-mv6vi1gv6f
    @user-mv6vi1gv6f หลายเดือนก่อน +4

    Chiko kua na kula naomba like mwenye atakuja nyuma 🎉❤🎉❤

  • @LennaAjiambo
    @LennaAjiambo 14 วันที่ผ่านมา

    Jamani mahali nimefikia naomba tu likes za kai na zuu❤❤❤❤❤

  • @Asha-xc1nc
    @Asha-xc1nc หลายเดือนก่อน +2

    Mimi naona Leo ndo kwnza kutoka 🇰🇪🇸🇦nipeni hata kma likes mbili

  • @KemmyMercy-my9uf
    @KemmyMercy-my9uf หลายเดือนก่อน

    Tujifunze kusamehea jameni ❤❤ movie nzuri sana congrats busati TV

  • @SalumMuhsin
    @SalumMuhsin หลายเดือนก่อน +3

    Sitaki hata like moja mm nawasisitiza tu muchukue mafunzo haya muyafanyie kazi katika ndoa zetu

    • @Victoriambalangu
      @Victoriambalangu หลายเดือนก่อน

      Wew ndo unatakiwa kupewa like big up sana

    • @SalumMuhsin
      @SalumMuhsin หลายเดือนก่อน

      @@Victoriambalangu shukran busaty

  • @hlimaa5182
    @hlimaa5182 หลายเดือนก่อน

    Naskitika 😢😢😢 Candy kapata hati 😢😢ila sijui kitakacho tokea mbele napia nafurahi baba kumsamehe mwanae kai mke wa kilamba pongezi nyingi za dhati kwa mlivyo au unavyo mtunza baba kai❤❤❤❤❤

  • @ShukraniNiyonsaba-ne2sx
    @ShukraniNiyonsaba-ne2sx หลายเดือนก่อน +5

    Wanaopenda zuu nipeni

  • @tabithanzisa9755
    @tabithanzisa9755 หลายเดือนก่อน +1

    Mko vizuri najifunza mengi kwa hii movie ❤❤❤❤jamani isiishe aky jamani haraka😢

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula หลายเดือนก่อน +3

    Mimi wa kwanza tena wa mwisho nipeni like zenu

  • @IsraelngoroKone-tm7te
    @IsraelngoroKone-tm7te หลายเดือนก่อน +8

    Wa 2 kutoka Gauteng Pretoria

  • @briellaqueen-lk1dc
    @briellaqueen-lk1dc หลายเดือนก่อน +7

    ❤❤

  • @peterphilipo5103
    @peterphilipo5103 หลายเดือนก่อน +3

    Chiko bhana eti mto ruvu😂😂😂😂😂

  • @janatmapenzi5264
    @janatmapenzi5264 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂😂candy nyumba niya kampuni mama rudisha hati utafeli hadi mm mpate ndoa😂😂😂

    • @HawaSadock
      @HawaSadock หลายเดือนก่อน

      Bora Tu iweee hivyooo😢😢😢😢 maana inaniuma sana😢

    • @vxp5228
      @vxp5228 10 วันที่ผ่านมา

      Licha yakua nyumba ya kampuni bt haezi uza nyumba bila sign ya khai ju nyumba ya soma jila la khai si candy😂

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf หลายเดือนก่อน +1

    Ni tamthlia nzuri love Kai na team yako ❤❤

  • @Mariamuthoni-kh9vv
    @Mariamuthoni-kh9vv หลายเดือนก่อน +1

    Waaaaah na Sasa cendy ndie Ako na nyumba kutaenda aje woow kesho inakaa moto

  • @chrismdawi3524
    @chrismdawi3524 หลายเดือนก่อน +5

    Wapenzi wa busati mpo live muda wote❤❤❤❤

  • @Emeraldlady16920
    @Emeraldlady16920 หลายเดือนก่อน +1

    Napenda Sania anachoambiwa kamkonde 😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉

  • @bayubaheallydelly-rn2zv
    @bayubaheallydelly-rn2zv หลายเดือนก่อน +4

    Wakwanza jmn nip like zangu

  • @WinnieNtoiti
    @WinnieNtoiti หลายเดือนก่อน +10

    Jamani ,sina huakika kuwa zile hati za nyumba candy amepata kama ni real ones ,au nani anafikira Moja na mm

    • @busatitv
      @busatitv  หลายเดือนก่อน

      🙏🙏

    • @LadenUssama
      @LadenUssama หลายเดือนก่อน

      Hata mimi sitaki kuamini

    • @WinnieNtoiti
      @WinnieNtoiti หลายเดือนก่อน

      @@busatitv aki Nina Imani kuwa ziwe fake maanake mwanamke mwenyewe sumu jamani hata kuachika kakataalia vipi akibahatika kupata hati za nyumba Khai Tena mtihani kwake

    • @emmahmoraa4884
      @emmahmoraa4884 หลายเดือนก่อน

      Aki chiko eti kamkonde tena😂😂😂😢

  • @AnnaMzava-yl1su
    @AnnaMzava-yl1su หลายเดือนก่อน +3

    Hongeren jaman mnajua kufunza

  • @irenemosha962
    @irenemosha962 หลายเดือนก่อน +6

    Dakika moja comment 23 dah kweli watu mpo busy mtandaoni 😂😂😂😂

  • @user-co5ed6xr5c
    @user-co5ed6xr5c หลายเดือนก่อน +1

    Hongereni sana yaan kitu kimetulia kabsa inamafunzo mazuri sana ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @Aishybeb
    @Aishybeb หลายเดือนก่อน +1

    Hawa watu nawapenda bure wallah yaan hawana baya n watujali sana mashabiki wao kwa kutochelewesha episode hongeren sana ❤❤

  • @NeemaRobina-bk7tm
    @NeemaRobina-bk7tm หลายเดือนก่อน +4

    Jamani leo nimekuwa wa kwanza

  • @LovelyCows-dq2uv
    @LovelyCows-dq2uv หลายเดือนก่อน +1

    Kazi nzuri sana kay❤❤❤❤❤❤

  • @mariamuhamisimwamrezi4832
    @mariamuhamisimwamrezi4832 หลายเดือนก่อน +3

    Candy mchezo utakugharimu uwo😢😢

    • @vxp5228
      @vxp5228 10 วันที่ผ่านมา

      Utamuponza na akae akijua haezi uza nyumba bila sign ya mwenye nyumba😂

  • @jennymali4368
    @jennymali4368 หลายเดือนก่อน

    Yani hii move aichoshi wala aiboi ni nzuri na inafundisha sana❤❤❤❤

  • @user-ro7sk9ic7z
    @user-ro7sk9ic7z หลายเดือนก่อน

    Daaaah inafundisha sana nawapenda sana Mungu awajalie maisha marefu 🙏🙏

  • @AshaRashid-hq1kr
    @AshaRashid-hq1kr หลายเดือนก่อน +1

    Jaman😢vipande fanyeni hata viwili Kwa siku moja jaman haaaaaaaaaaa yani aa tufayieni hivyo ban misiombi like naomba vipande viogwzewe jamani mtu hulali unawaza uliko ishia je itakuwaje ogezen

    • @busatitv
      @busatitv  หลายเดือนก่อน

      Jana tumepos EP 42 na 43

  • @LucyPeter-uh3gu
    @LucyPeter-uh3gu หลายเดือนก่อน +3

    Jamaniiii muvi nzuri ila khai kanifanya nilie

  • @MtabibuAsilia
    @MtabibuAsilia หลายเดือนก่อน +4

    Izo nyele za candy jamani abadili stail bs

  • @DamianoFisoo
    @DamianoFisoo หลายเดือนก่อน +19

    Angalieni movie cyo kuomba like tu

    • @JaneChaula
      @JaneChaula หลายเดือนก่อน

      Kweli yaani watu kil mtu like like tu

    • @Phoebenafula
      @Phoebenafula หลายเดือนก่อน

      Waambie😂😂

    • @salmamwakabutama
      @salmamwakabutama หลายเดือนก่อน +1

      Kama wapuuzi wanaacha kuandika vya maana like likes loooo

    • @NaahKijoj
      @NaahKijoj หลายเดือนก่อน

      Bora umewaambia

  • @SophyAkadikor
    @SophyAkadikor หลายเดือนก่อน +2

    Wenyee wanamarafiki wazuri kama wa kai wapi likes zenu❤❤

  • @mwanamkacally4248
    @mwanamkacally4248 หลายเดือนก่อน +2

    Kwani hizo like mnatafuna au mana kila mtu like eeeh like

  • @juma3473
    @juma3473 29 วันที่ผ่านมา

    Jitahidi tusione kibaza sauti au kivuli Cha wanaorikodi hii series lakini ipo vizuri ❤❤❤❤

  • @NasmaMoses
    @NasmaMoses หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂kumechangamka huku begi la Sania latupwa nje 😅😅😅

  • @user-wm7gu8os2i
    @user-wm7gu8os2i หลายเดือนก่อน +1

    Shukran sana house gerl femly nawaombea masha yafuraha

  • @MaryChemnyetich
    @MaryChemnyetich หลายเดือนก่อน +2

    Nimewai 😂nipeni like jamani❤❤❤❤❤

  • @SalhaAthmani
    @SalhaAthmani หลายเดือนก่อน

    Nimefurahi Kai kwenda kumuomba samahani baba ❤🎉🎉🎉🎉lkn upande wa pili Hati ya nyumba ishachukuliwa cjui itakuje😢

  • @LighySteven-gd8wo
    @LighySteven-gd8wo หลายเดือนก่อน +1

    Ambassador wa kay na zuuh tujuane mapema

  • @user-xz7mn9bn2n
    @user-xz7mn9bn2n หลายเดือนก่อน +6

    Jamani hamlali.

  • @user-yu9qn4oi3g
    @user-yu9qn4oi3g หลายเดือนก่อน

    Kz nzuri sana 😢ohhh Kai shida kule kashachukua hati ya nyumba anaenda kuchukulia mkopoo 😮

  • @ZainabuSalehe-hi2pw
    @ZainabuSalehe-hi2pw หลายเดือนก่อน +1

    Jamanii uyu shida ataki kujifunza tuu😅😅

  • @Rahmaomarymangosongo
    @Rahmaomarymangosongo หลายเดือนก่อน

    Jamani me nafuatilia sanaaaaaaa ila ata like sipewi 😢😢😢

  • @sbdennovevo-zoukstar
    @sbdennovevo-zoukstar หลายเดือนก่อน +1

    Wangapi wanaona movie inaelekea kuisha😂😂

  • @AbdulyRashidi
    @AbdulyRashidi หลายเดือนก่อน +2

    Kazi nzuri lakiñ khai uchezi kama mtu anaetakiwa kucheza naomba ubadilike we ndo steering wa movie lakin umepoa upokeaji wako haupo kabisa

    • @AbdulyRashidi
      @AbdulyRashidi หลายเดือนก่อน

      Sawa lakin umepoa

  • @PetronilaMtewa
    @PetronilaMtewa หลายเดือนก่อน +1

    Macho ya kendy kaa mjusii