ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
ต่อไป
เล่นอัตโนมัติ
HOUSE GIRL EP 44 || love story💞💕BUSATI TV
มุมมอง 159K
HOUSE BOY /1/ 💔 Love StoryDONTA FAMILY
มุมมอง 130K
HOUSE GIRL EP 22 | S2 | love story💞💕BUSATI TV
มุมมอง 77K
สส. เพื่อไทย ประชุมเสนอชื่อนายกฯ คนใหม่ | THE STANDARD (LIVE)THE STANDARD
มุมมอง 544K
The Joker was dragged away by Harley Quinn!?#joker #shortsUntitled Joker
มุมมอง 2.1M
สาวน้อยเดอะซีรี่ส์ EP1. ตอน: ลักไก่ผู้ใหญ่บ้านสาวน้อยเพชรบ้านแพง
มุมมอง 143K
FORTUNE | ep 03 | Full EpisodeHajra Kidoti
มุมมอง 17K
PENZI LA FUNDI VIATU 💞 Love Story | DONTA TVTwizy Dady Tv
มุมมอง 22K
BABA YANGU KIPOFU Full episode /26/ #loveBabaJoan
มุมมอง 402K
MWAKATOBE na RINGO MCHAWI FULL MOVIE 4kJOJOHFACE films
มุมมอง 36K
SNAKE BOY | ep 31 | SEASON TWOCLAM VEVO
มุมมอง 549K
PLAY BOY ❤ | New Bongo Movie |Swahili Movie | Love StoryDONTA TV
มุมมอง 434K
MISSION IMPOSSIBLE [22]CHADO MASTA FILM
มุมมอง 71K
HOUSE GIRL EP 23 | S2 | love story💞💕BUSATI TV
มุมมอง 53K
นนท์เดอะซีรีส์ EP.23 ตอน ห่าก้อม โคตรปอบมนต์ดำ | หลอนไดอารี่หลอนไดอารี่
มุมมอง 782K
เปิดชื่อ เเคนดิเดต นายก หลัง เศรษฐา พ้นตำเเหน่ง | 14 ส.ค. 67 | เปิดปากกับภาคภูมิTHAIRATH TV Originals
มุมมอง 598K
When your BEST FRIEND is on the other team 😂Australian Open TV
มุมมอง 12M
The Joker was dragged away by Harley Quinn!?#joker #shortsUntitled Joker
มุมมอง 2.1M
เด็ก 11 เอาตัวรอดจากลิฟท์ตก จนไวรัล! #ดรไอซ์DR ICE
มุมมอง 1.1M
กินจนอิ่ม แล้วโวยขอเงินคืน ก่อนขอโทษวอนลบคลิป l ตลาดข่าว - ข่าวเช้าเวิร์คพอยท์ l 13 ส.ค.67ข่าวเวิร์คพอยท์ 23
มุมมอง 576K
JAEHYUN 재현 'Dandelion & Roses' MVSMTOWN
มุมมอง 1.2M
เปิดคำต่อคำ ช่อ-หมอวรงค์ ปมยุบพรรคประชาชน l STORY LIVE EP.43 (HIGHLIGHT)Spring News
มุมมอง 417K
Wanabusati tv plzzzzzz nawaomba msiwahi kumaliza hiiiiii tamthlia nawasihi muendele hivyo hivyo hdi itakapofika tamthlia ya 100 kwasababu ina mafunzo mazuri sana pamoja n mtiririko wa kueleweka watching from Saudi as a house girl tooo Much Love to Busati Family ❤❤❤
❤❤❤😍😍
Asante sana tutaifanyia kazi maoni yako
😅😅Saudi Niko hapa Jeddah, tukutane istaraha tukunywe kahawa😅
❤❤❤
@@anyona711nipo Abha c tupewe episode 44😅
jamn anae jisikia fraah kai kumuomb msamah baba ake like ap
Hakika inamafunzo sana hii movie mungu awabariki sana kwa kazi nzuri ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Ambao tunasubiria kwa hamu ndoa ya kai na zuuh tujuane kwa like zakutosha,,,,,,,,
😂😂😂❤❤❤❤
❤
❤❤
❤❤
@@PaulOjiambo-p1f❤❤❤
❤❤❤❤
Na mm Leo ndo wa mwisho hvyo naomben like zangu Ili nifahamu npo miongon mwenu Ili niwahi
Candy atapigwa na kitu kizito na huyo shemeji yake wa mchongo atauza nyumba na hatopata hata mia mbovu🤣🤣😂
Aisee nahisi mimi ni wa kwanza ambae sijaomba like 😂😂😂😂😂...nnachotaka kusema ni pongezi kwa busati TV kwanza wanatoa movie kwa muda pili vipande vinaeleweka jmnnn pongezi kwenu kazi nzuri sana 🎉🎉🎉🎉 nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉 msichoke kutupa vtu vitamu ❤❤❤❤❤
nakungana na ww ambae ujawahi kuomba like 😊
Lulumhapa nadhan Sisi ni ndungu
@@VivianeMhapa kwa kweli jamani ❤️
@@lulumhapa ok tujuane zaid
@@VivianeMhapa saww
Jamani wengine wanalia, wengine wanafukuzwa, wengine wanashereheka , wengine wanapiga magoti aki kudadek movie ni tama mno ebu gongeni like apa kama wew ni mkenya❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😊
@@salhatiddy 😂😂😂umeonaee
Wengine sio wakeny kwaiy tufanyaj
😂😂😂
@@AdamZainab-mb7qj 😂😂😂🤣just comment tuu
Hivi nyie like mnapelekaga wapi mnanikela na hizo like mnashindwa kufanya kazi iliyowaleta mpo tu mnaomba like
🙏🙏
Kweli kabisa
Wakwanza Leo Ni Mm nipeni like nzangu from USA ❤❤❤
Mimi sijawahi pata like hata moja tangu hii muvi ianze 😢
Sasa ww like unataka upeleke wap
Utaenda kununulia nn?
Ukisha uzaaa n tag plz
😂😂😂@@MayasaFatuma
😂😂😂😂@@salehHassan-rl8bd
Kumekucha,furaha iliyoje, na awapenda saana tear busat tv kwa kazi nzuri❤❤❤🎉🎉
BUSATI TV ON FIRE🔥🔥🔥🔥🔥ninachowakubali Ni kwamba hampoi Wala hamboi daily mnatoa kazi,,,, kiufupi mnatoa kazi kwa wakati CONGRATULATIONS 👏👏👏👏
Hebu nicoment chap chap bila yakuangalia from oman 🇴🇲 nazan mumeiyona coment yngu like napokea😂 😂😂
Wangap wanaamin zuu bado anakimbia had sasa mnipe like zangu
Mwee😂 hata like mbili tu kwa ajili ya kai na zuu❤❤❤❤
❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
Bila shaka wewe ni mtu mbeya
😅😅😅
😊😊
Muache ubanguzi😅bana like 10 tu nami leo naomba alafu team zuu NN tunasubiria kesho❤❤
Jamani kutoka kenya 🇰🇪🇰🇪team strong team zuu mko wapi halafu sania mgonganishi kweli 😂😂
Nlikua nadhani nmefika wa kwanza from Kenya but umeniwakilisha
Kenyan people oyeeee
@@mercypeter2864 karibu Sana
❤️❤️
@@Asharashid-s3n hoyeee
Kendy pamoja na akina masozi mnajidanganya mtapelekaje nyumba isiyo yenu kwa mnada atakaye weka sahihi n nan pumbavu zenu nyiye 😅😅😅😅😅😅team zuu,kai na baba ngojeeni tunaanda shereee❤❤❤🎉🎉
Wanajidanganya hawa wajinga hawaezi uza nyumba ya mtu bila kukubali acha aibu iwaponze tena😂
Naombeni like na mimi Niko on time jamani team zuli na team Kai mpo!? Natamani kuona zuli na Kai wakioana
Nikazan ntakuwa wa kwanza kumbe nmechelewa naomben hata like basi
😂😂😂😂mambo ya movie eheee kumbe zuu abado Alikuwa njuani anakimbia🏃🏼🏃🏼🏃🏼🏃🏼
Jaman mm naomba kuuliza hv hizi like kila mtu anaomba zinasaidia nn au zinakaz gan
Wakwanza leo nipeni like acheni uchoyo
Jaman vipenzi kwa leo tu mnipe ata like zenuu tu kila siku me nalike zenuu why me❤
Ee Mungu naomba utusaidie watu wote tulioko upande wa Khai,Zuuhh,Tasha,pamoja na baba yake ni kweli wameshasameheana lkn tunahuzunika Sana kwa kuwa Candy aneshachukua hatua ya nyumba jaman Mungu shuka tuokoe ktk hili
Ameen
Kitamuramba hapo kwa nyumba tuangalie
Samahani Busati ,,Mimi Huwa na download Nawatch baadae....❤❤❤
❤❤
❤❤
Tamaa mbele mauti nyumba, basi chisa anadhani kwamba basi ameshaomokq 😅na tamaa zake vile 😏😏😏
Kabisaaa
Kesho tunatoa full mpaka mwisho like kama unapenda tufanye ivoo
Ambao tupo bega kwa bega na busati TV mpaka kieleweke like kidogo tu 😂😂😂😂😂
Wapewe maua Yao 🎉🎉🎉
Wakwanza leo mimi naomba like
Leo wametufurahisha sana mashabiki like Kwa busat tv
Nimewahi ♌ kama unaipenda hii movie gonga like hapa🎉🎉🎉
Huyo juu na Kai waletwe kenya kunanyumba nitawapa juu mapenzi Yao Niya dhati I really love you guys
Wanao mpenda Kai naomben like jaman
Mimi wa kwanza leo nahomba like ata 10 please 🙏
Ushasamehewa kai hayo kimbia nyumbani nyumba yauzwa
Dakika ya pili oya wee nimewah nipeni like kwaajil ya kai na mr tashaa
Jaman jaman Leo mnetufurahisha like Kwangu wameofurah
Wakwanza naombeni like jamani
Nimefurahisha kwa kuachia vipande viwil leo
Wakusoma coment yangu msiipite mje polpole😂😢
Asanteni sana wana busati TV mungu akazidi kuwafafanulia hayo mafunza ndiposa pia nasi tuyapate Asanteni sana director wetu kwa jumla 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Busati Tv kazi nzuri sana🔥,likes zimiminike kwa busati Tv,Team zuu na team kai na rafiki yake mzuri✨
Kwn hizi like mnaomba zaliwa
😂😂
Waulize
Nawashangaa 😂 kila mtu like like like hawana kitu cha maana cha ku comment
Mapema sana leo like kidogo tuu!!
Mimi hapa
Hongereni BUSATI TV mpo vizuri Sana sifuatiliagi bongo movie ila hapa mmenikamata mnafanya kazi nzuri
Jaman siamin kuwa nimewai leo
Wakuu naombeni hata likes kumi❤❤
Jaman kutoka united state of msaranga tugengeee like❤❤❤❤❤❤
Leo wa kwaza😂❤❤😢
Ila nime mkubali sana lafiki ake kai ana usha uri sana kwa mwenzake 🎉🎉
Na mm Leo nimewahi jaman naomben like ata mbili😢
Chiko kua na kula naomba like mwenye atakuja nyuma 🎉❤🎉❤
Jamani mahali nimefikia naomba tu likes za kai na zuu❤❤❤❤❤
Mimi naona Leo ndo kwnza kutoka 🇰🇪🇸🇦nipeni hata kma likes mbili
Tujifunze kusamehea jameni ❤❤ movie nzuri sana congrats busati TV
Sitaki hata like moja mm nawasisitiza tu muchukue mafunzo haya muyafanyie kazi katika ndoa zetu
Wew ndo unatakiwa kupewa like big up sana
@@Victoriambalangu shukran busaty
Naskitika 😢😢😢 Candy kapata hati 😢😢ila sijui kitakacho tokea mbele napia nafurahi baba kumsamehe mwanae kai mke wa kilamba pongezi nyingi za dhati kwa mlivyo au unavyo mtunza baba kai❤❤❤❤❤
Wanaopenda zuu nipeni
Mko vizuri najifunza mengi kwa hii movie ❤❤❤❤jamani isiishe aky jamani haraka😢
Mimi wa kwanza tena wa mwisho nipeni like zenu
Wa 2 kutoka Gauteng Pretoria
❤❤
❤
Chiko bhana eti mto ruvu😂😂😂😂😂
😂😂😂😂candy nyumba niya kampuni mama rudisha hati utafeli hadi mm mpate ndoa😂😂😂
Bora Tu iweee hivyooo😢😢😢😢 maana inaniuma sana😢
Licha yakua nyumba ya kampuni bt haezi uza nyumba bila sign ya khai ju nyumba ya soma jila la khai si candy😂
Ni tamthlia nzuri love Kai na team yako ❤❤
Waaaaah na Sasa cendy ndie Ako na nyumba kutaenda aje woow kesho inakaa moto
Wapenzi wa busati mpo live muda wote❤❤❤❤
Napenda Sania anachoambiwa kamkonde 😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
Wakwanza jmn nip like zangu
Jamani ,sina huakika kuwa zile hati za nyumba candy amepata kama ni real ones ,au nani anafikira Moja na mm
🙏🙏
Hata mimi sitaki kuamini
@@busatitv aki Nina Imani kuwa ziwe fake maanake mwanamke mwenyewe sumu jamani hata kuachika kakataalia vipi akibahatika kupata hati za nyumba Khai Tena mtihani kwake
Aki chiko eti kamkonde tena😂😂😂😢
Hongeren jaman mnajua kufunza
Dakika moja comment 23 dah kweli watu mpo busy mtandaoni 😂😂😂😂
Hongereni sana yaan kitu kimetulia kabsa inamafunzo mazuri sana ❤❤❤🎉🎉🎉
Hawa watu nawapenda bure wallah yaan hawana baya n watujali sana mashabiki wao kwa kutochelewesha episode hongeren sana ❤❤
Jamani leo nimekuwa wa kwanza
Kazi nzuri sana kay❤❤❤❤❤❤
Candy mchezo utakugharimu uwo😢😢
Utamuponza na akae akijua haezi uza nyumba bila sign ya mwenye nyumba😂
Yani hii move aichoshi wala aiboi ni nzuri na inafundisha sana❤❤❤❤
Daaaah inafundisha sana nawapenda sana Mungu awajalie maisha marefu 🙏🙏
Jaman😢vipande fanyeni hata viwili Kwa siku moja jaman haaaaaaaaaaa yani aa tufayieni hivyo ban misiombi like naomba vipande viogwzewe jamani mtu hulali unawaza uliko ishia je itakuwaje ogezen
Jana tumepos EP 42 na 43
Jamaniiii muvi nzuri ila khai kanifanya nilie
Pia mm
Izo nyele za candy jamani abadili stail bs
Angalieni movie cyo kuomba like tu
Kweli yaani watu kil mtu like like tu
Waambie😂😂
Kama wapuuzi wanaacha kuandika vya maana like likes loooo
Bora umewaambia
Wenyee wanamarafiki wazuri kama wa kai wapi likes zenu❤❤
Kwani hizo like mnatafuna au mana kila mtu like eeeh like
Jitahidi tusione kibaza sauti au kivuli Cha wanaorikodi hii series lakini ipo vizuri ❤❤❤❤
😂😂😂kumechangamka huku begi la Sania latupwa nje 😅😅😅
Shukran sana house gerl femly nawaombea masha yafuraha
Nimewai 😂nipeni like jamani❤❤❤❤❤
Nimefurahi Kai kwenda kumuomba samahani baba ❤🎉🎉🎉🎉lkn upande wa pili Hati ya nyumba ishachukuliwa cjui itakuje😢
Ambassador wa kay na zuuh tujuane mapema
Jamani hamlali.
Kz nzuri sana 😢ohhh Kai shida kule kashachukua hati ya nyumba anaenda kuchukulia mkopoo 😮
Jamanii uyu shida ataki kujifunza tuu😅😅
Jamani me nafuatilia sanaaaaaaa ila ata like sipewi 😢😢😢
Wangapi wanaona movie inaelekea kuisha😂😂
Kazi nzuri lakiñ khai uchezi kama mtu anaetakiwa kucheza naomba ubadilike we ndo steering wa movie lakin umepoa upokeaji wako haupo kabisa
Sawa lakin umepoa
Macho ya kendy kaa mjusii