FAKII LULANDALA | MEDANI ZA SIASA NA CHIEF ODEMBA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 มี.ค. 2024
- Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
Star TV Brightens Your Day !
Odemba umealika kichaa studio? Unaharibu sana heshima ya studio yetu ya star tv.
AsANTE sana odemba Kwa kukamata sana huyu msaliti
Jana Odemba mmepoteza muda mwingi bure
Chief Odemba funga kipindi brother ukalale. Mbona huyo mtu maswali unayomuuliza yamemzidi uwezo. Jitahidi kutafuta watu wenye uwezo.
Ndg. Fakii amekuwa na hisia sanaa. Yaani Ng. ODEMBA amejitahidi kuwa mvumilivu. Mfano suala la sukari lilishaongelewa na Waziri mkuu huko nyuma lakini bado limeendelea kuwa mwiba. Hakuna suluhisho la kudumu pengine 2028 tena likatokea tena.
Chief Odemba funga kipindi brother.
Odemba umealika mtu mjinga sana aisee 😁
Odemba tunaomba umwambiye huyo jamaa asome comment kwenye hii Post yako please 😂😂
Huyu ni zwazwa hajui anacho ongea zaidi ya katanga njaa yake
Kweri Tanzania badosana
Huyo fisadi wa ccm anaropoka hovyo sawa na mchawi aliekutwa na laana
Democrasia nimfumo sahihi wakuongoza nchi za kiafrika hususani Tanzania?
Odemba kwa hali hii tutafika kweli
Kiufupi huyu jamaa hana uwezo. 😅
Huyu jamaa fala kweli yani hanaongea mbumba alfu hanaomba MTU hakupigie makofi kwalimpi
Huyu jamaa takataka kweli wewe ujawai kusafari kweli
Humo Studio hamna AIR CONDITION MBONA JAMAA JASHO LINAMTOKA?😅😅😅
😂😂😂😂😂😂
Yani huyu jamaa ukimsikiliza nikilaza kabisa
yaani hoja dhaifu mmno ccm imebaki jina hatuna viongozi
hahahahahahaaaaa dah kweri kurukaruka kwa maharage ndio kuiva kwake ccm cheki mnavyo jichangana nyie kilakitu sera sera hata hatekelezi mnatekeleza moja kati ya mia
Chief Odemba some time uwe unafanya utafit kabla hujamuita mtu wakuongea naye hapo studio. Star tv ni kituo kikubwa sana na chenye heshima kubwa. Sasa usikishushie heshima kwa kualika vichaa studio. Odemba usiifanye studio kama kijiwe cha walevi. Pia Odemba usifikiri kila anayevaa koti jeupe ni doctor wengine wauza nyama buchani.
😂😂😂😂😂
Anatualibia vijana
Kiukweli ukimsikiliza vinzuri Amna anacho ongea atamki kitu chochote bila Kila CCM toa point ya msingi
Star tv mmealika mhubiri studio
Jamaa akili ndogo kweli anabwabwaja Tu hajui hata anachoongea
Hahahahaha takataka ghasia😢
😅😅 hataki kuulizwa😅
Wew ni msaliti tu una umpya
Odemba nakukubali sana kwa maswali huyo jamaa hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi
Kelele nying hakuna kitu hajibu
Anatetea kz tu
Huyo ndiyo kiongozi wa vijana CCM wameuza viwanja nyote nya michezo nchini
Odemba Leo una mpayukaji siyo mchambuzi uccm uko ndani yake kimasilahi sana Hana ajenda
Huyu jaamaaa ni pumba tu hana chochote sijui kapataje hiii nafasi 😂😂😂😂
Inamaana vijana wengine hawana uelewa zaidi ya CCM
Hawa jamaa sijuwi ni mapagani ani hayana hta hofu ya Mungu ni maongo matupu wote mabasheti hii nchi chini ya ccm ni janga kma ukoma
Pumpavu.kijana.mjinga.ccm.vilaza.katiba.mpya.tume.huru.tutoe.majanga.kwenye.nchi.yetu
Chief Odemba funga kipindi ukalale mbona mnatumalizia MB bila sababu zamsingiiiiii??
tatizo sio kubadilisha kiongozi tatizo ni kiongozi anafanyaje majukumu yake
Mwanzo mwisho huyu jamaa haelewi maswali anapiga kelele tuu
Hoja aliyoongea hapo ni kumpamba rais ili apate cheo tu hana jipya kabisa, na inaonekana amekariri majibu ndiyo maana hasikilizi swali la mtangazaji bali anajibu ya kwake
C jawahi kuona mjinga kama ww toka dunia imeumbwa
Machizi wengi sana, eti nayeye ni kiongozi wa chama… eti wakulima ni ajira… anapigwa mti
Zezeta wa ccm kweli ameshikwa nyeti
Nani kasikia papapapaa kutoka kwa katibu 😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅SaidiBakari umenichekesha sana
Huyu NI Kiongozi wa nchi gani? Jamani ,na hivi anajua anachokisema?
Takataka ww mjinga,anachoongea haka kajinga ka ccm ni sawa na kufukia uharo Kwa uharo mpumbavu kweli
Odemba , mbona huyo hakubari kuhojiwa anatiririka tu?
Huyo msaliti akitoka hapo presha yake itapanda juu Hadi 250 maana yake hapo alipo anaropoka hovyo Kwa kubanwa na maswali anayokosa majibu
huyo jamaa ni mzima kweli?yaani wapiga kura wengi ni Vijana katoa wapi hizo takwimu?
Hebu muone zezeta wa ccm anavyojamba Jamba Kwa kushindwa kujibu maswali ya msingi
We ropoka tuu kwani nani asiekua kuwa ccm ni mabingwa wa kushindwa kuongoza nchi ndo maana wanatumia nguvu ya Dola kuumiza na kuwa watu wanawaambia ukweli
Odemba huyu ccm umemtowa wapi pumva tupu
Jibu hoja acha jasba
Hujitambui ww mchumia tumbo
kaka uwe unaweka n maji ya kunywa..kuna watu watakupasua
😂😂😂Kabisa. Jamaa haweki hata glass
Acha uwongo wewe fisadi wa ccm watoto wetu mashuleni rundo matokeo mabaya ya mtihani Kwa upungudu ya walimu
👎👎👎👎👎000000000000000000%
The guy is unable to talk as professinal politician. Not an enjoyable interview