ALAMA YA MNYAMA - MCHUNGAJI PAUL SEMBA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 51

  • @stefanomganga8463
    @stefanomganga8463 3 ปีที่แล้ว +2

    Pr. Semba nakusalimu, ubarikiwe Sana kwa kumbukizi na ufafanuzi wa kina.

  • @estherkusaga9181
    @estherkusaga9181 3 ปีที่แล้ว +3

    Nashukuru mlefi,nimekusoma kwa habari ya udanganyifu Mungu asante kumtumia mja wako

  • @emmanueltunduru7470
    @emmanueltunduru7470 3 ปีที่แล้ว +3

    Mungu wa mbinguni akubariki sana Pastor, Mungu wa mbinguni amebadilisha sana maisha yang kupitia wewe.🙏

  • @estherkusaga9181
    @estherkusaga9181 3 ปีที่แล้ว +3

    Mungu naomba tabia yako iwe katika maisha yangu.

  • @jeanefelix70
    @jeanefelix70 3 ปีที่แล้ว +4

    Ubarikiwe sana Mchungaji 👏

  • @lugembezenzele6555
    @lugembezenzele6555 2 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa na BWANA mtumishi,mwenye akili na azidi kuyafahamu maneno ya unabii huu.

  • @tinomusic2904
    @tinomusic2904 ปีที่แล้ว

    Unanibariki Sana pastor kwa mafundisho ya biblia nazid kuielewa

  • @ellenmbota1241
    @ellenmbota1241 3 ปีที่แล้ว

    amen pr ubarikiwe yani Mungu atusaidie tupate kusoma na kufahamu andiko lake takatifu Mungu nisaidie nipate kufahamu

  • @rizikimanamaua9216
    @rizikimanamaua9216 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe Pastor Semba kwa mafundisho. Inanisaidia kujua kweli ya neno la Mungu na kuleta mabadiliko. Mungu akubariki na kukujazia hekima na maarifa ili uendelee kulitoa kwa uaminifu. Asante

    • @paulsemba_TV
      @paulsemba_TV  2 ปีที่แล้ว

      Amina, Bwana azidi kukubariki

  • @comeletsreasonisaacmuriuki5816
    @comeletsreasonisaacmuriuki5816 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana mchungaji. I've been following your sermons for a time now. What amazes me is that every time I listen to your sermon, i feel renewed in Faith, being brought nearer to my saviour. May you continue in that great spirit.
    Mungu atulinde kwa hali zote tuzidi kusimamia imani ya kweli. Hii ya leo imekuwa ya kutulinda namna ya kuomba mungu na kutii njia yake.
    Barikiweni sana waadvebtista

    • @paulsemba_TV
      @paulsemba_TV  2 ปีที่แล้ว

      May our good Lord bless you

  • @linetkerubo9945
    @linetkerubo9945 3 ปีที่แล้ว +1

    Wapi mtiririko wa kwanzia siku ya kwanza tafadhali!

  • @NestoryBudeba-vc2cb
    @NestoryBudeba-vc2cb ปีที่แล้ว

    Amen, Ubarikiwe pastor

  • @cosmassamon9723
    @cosmassamon9723 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante Sana kwa somo pastor

  • @marthanakhungu8370
    @marthanakhungu8370 3 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @charlesladislaus407
    @charlesladislaus407 3 ปีที่แล้ว +1

    🙏🙏

  • @samuelmussa4809
    @samuelmussa4809 3 ปีที่แล้ว

    Natamani siku moja nikuone pastor

    • @paulsemba_TV
      @paulsemba_TV  3 ปีที่แล้ว

      BWANA ATATUJALIA NEEMA YAKE SIKU MOJA TUTAONANA

  • @bravolerttv7720
    @bravolerttv7720 3 ปีที่แล้ว

    duh hili hubiri ni moto

  • @denismugisha2
    @denismugisha2 2 ปีที่แล้ว

    Yani kwakweli kwa hili somo ninamshukuru MUNGU kwa ajili yako mchungaji na mimi sijui nitakupataje nisaidike ktk mafumbo ya biblia

  • @linetkerubo9945
    @linetkerubo9945 3 ปีที่แล้ว

    Naomba mafundisho haya kwanzia mwanzo tafadhali!

    • @jamesmgonda
      @jamesmgonda 3 ปีที่แล้ว

      Alijibu ,hakufanikiwa kurekodi tangu mwanzoo

  • @alphoncearmony9116
    @alphoncearmony9116 3 ปีที่แล้ว +1

    POSTOR NABARIKIWA NA MUNGU KUPITIA WEWE NEEMA YA MUNGU IZIDI KUWA NAWE

  • @msalaba6768
    @msalaba6768 2 ปีที่แล้ว

    Nashukuru sana Ps. Nina haja kubwa ya mawasiliano na wewe, Jaribu kunipa au Watsp au mail ili unisaidie zaidi.

  • @yudaseleman8320
    @yudaseleman8320 8 หลายเดือนก่อน

    Mbona hujafafanua 666 n nn?

    • @OnesmoJoseph-e4c
      @OnesmoJoseph-e4c 7 หลายเดือนก่อน

      Kaelezea vizuri maana ya 666 labda hukuelewa mr yuda

  • @johnjulius6986
    @johnjulius6986 3 ปีที่แล้ว

    Acha kuwapotesha waumini.....!

    • @charlesjanuary1798
      @charlesjanuary1798 3 ปีที่แล้ว +1

      Amepotosha nini?

    • @johnjulius6986
      @johnjulius6986 3 ปีที่แล้ว

      Juu ya mnyama na alama yake....,
      Yuko na bias nyingi, pili haelewi vizuri kuhusu mnyama aliyetokea kwenye maji na nchi kavu...
      -Hivyo, maana zote atakazotoa mbeleni, hazitokuwa na maana kamili, ikiwemo malaika aliyeweka mguu wake baharini na nchi kavu akiwa ameshika kitabu kidogo.
      - hayuko relevant na uhalisia wa maisha, akijihisi yeye atakuwa salama.....
      Jambo la kumshauri ni mawili, Usimchukulie shetani kwa kawaida sana...,
      Kuwa makini kwa yale unayoyanukuu, na yale uliyorithishwa na watawala walio pita....utawatupa motoni waumini wako

    • @charlesjanuary1798
      @charlesjanuary1798 3 ปีที่แล้ว +1

      Kwani mnyama bahari au upepo, kiunabii huwakilisha nini kwa mujibu wa maandiko?

    • @johnjulius6986
      @johnjulius6986 3 ปีที่แล้ว

      Hey, kujua maana ya hivyo, haikufanyi ukaielewa chap na ujumbe wake...
      Nipe mawasiliano yako ya telegram, nikupe maana kamili

    • @johnjulius6986
      @johnjulius6986 3 ปีที่แล้ว

      Siku ukiujua ukwel..
      Utachukiwa na wengi.
      Ukiutangaza ukwel utauwawa

  • @kanyata217
    @kanyata217 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @NestoryBudeba-vc2cb
    @NestoryBudeba-vc2cb ปีที่แล้ว

    Amen