Bwana Yesu asifiwe tunashukuru sana kwa huduma nzuri mbarikiwe mno ila mngeondoa delay kwenye hizo microphones ingekuwa vzr maana wakichanganyia kuongea tu hatuwasikii inakuwa kama kelele flan mbarikiwe watumishi.
Nashauri muweke caption badala ya kuongea maana kuskliza sauti mbili kwa pamoja inachosha maskio na inakuwa kelele. Tumsklize mmoja na asielewa kiswahili asome caption ambayo itakuwa inapita hapo
Ubarikiwe mtumishi
Bwana Yesu asifiwe tunashukuru sana kwa huduma nzuri mbarikiwe mno ila mngeondoa delay kwenye hizo microphones ingekuwa vzr maana wakichanganyia kuongea tu hatuwasikii inakuwa kama kelele flan mbarikiwe watumishi.
Nashauri muweke caption badala ya kuongea maana kuskliza sauti mbili kwa pamoja inachosha maskio na inakuwa kelele. Tumsklize mmoja na asielewa kiswahili asome caption ambayo itakuwa inapita hapo
😂kweli kabisa
Uyo anaye tafsiri. Anachanganya kwenye kuskia unachosema maana sauti yake ni kubwa kuliko yako
Ameen Ameen
Yafaa thimble Sana, Ee Mungu tuhurumie kwa Juma la Yesu Kristin.
Amen 🙏
Amen
Ameeen
Amen ❤
Amen
Amen 🙏
Amen