Fanya maombi haya kila siku asubuhi unapoianza siku yako mpya. Yeremia 1:8 | Usiogope kwa sababu ya hao maana mimi nipo pamoja nawe nikuokoe, asema Bwana.
Ameni asante yesu kwa kuniamusha salama...siku hii ya leo naikabidi mikononi mwako kila silaha iliyo wekwe kinyume yangu naishidwe kwa jina la yesu Christo Ameni tuwe na siku yenye Amani 🙏🙏🙏
mungu nakushukuru kwakuniamsha kwasiku yaleo dam yayesu uwe ju yang katika roho mtakatifu nenda nami milele amina pia mungu akulindee naneema yamngu iwe juyako mchungaji wetu amina
Damu ya Yesu iliyomwagika Msalabani Inene Mema juu Yangu na Familia Yangu, Ameen and Ameen 🙏🙏 thank you Jesus thank you God for Everything Hallelujah 🙏🙏🙏
Mungu akubariki sanaaaa kwa maombi yako ninafanikiwa kwa kila sala ya asubuhi unaponisalisha ahsante pasta
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU. Maombi ya usiku kabla ya kulala yanapatikana kupitia link hii;
th-cam.com/video/8NSQxaKeB2A/w-d-xo.html
Mung u azidi kukupa nguvu na miugiza katika kuwaombea watu kwa jina LA yesu Ameen
AMEN 👏
Amina
Amen
Amen. Damu ya yesu inene mema juu yangu na Familia yangu. Amen and amen.
Ameen asante sana mtumish inifunike dam ya yesu mpka na watoto wangu
Damu ya YESU ikanene mema juu yangu na juu ya watoto Aminaaaa
Ameni asante yesu kwa kuniamusha salama...siku hii ya leo naikabidi mikononi mwako kila silaha iliyo wekwe kinyume yangu naishidwe kwa jina la yesu Christo Ameni tuwe na siku yenye Amani 🙏🙏🙏
Amina mtumishi ubarikiwe sana
Amen
Amen
Amina. Asante Yesu.
Ameen Damu ya Yesu inene mema juu yangu siku ya leio
Ameen Damu ya Yesu inene mema juu yangu siku ya leo
Aminaa haya maombi yametendeka mwangu kwa jina laYesu ubarikiwe Sana mtumishi was Mungu,
Asante Kwa Damu yako Yesu inilinde
na kunipigania!!!!!!!.
Amen Amen 🎉🎉🎉🎉
Amen asante yesu neema ya bwana inene mema juu ya maisha yetu na familia yangu kila minyololo ndoto Mbaya zianguke Kwa jina la yesu
Ameen , asanteee kwa kutuongoza Maombi yenye nguvu, Mungu akubariki Mtumishi wake
Asante yesu Kwa kuniamsha salama nikiwa mwenyew nguvu na afya amina
Ameen Mungu anishindie yote siku ya leo Damu ya Yesu inene mema juu yangu
Nimefarijika kwa maombi haya kwa jina la Yesu na damu yake. Nimeshinda kirahisi sana leo Amen !
Ameen Damu ya Yesu inene mema juu yangu siku ya leo Mungu wangu unilinde popote nitakapokuwa siku ya leo mimi na familia yangu
Ameen Mungu nakuomba unilinde siku ya leo na Damu ya Yesu inene mema juu yangu nafamilia yangu siku ya leo
Ubarikiwe mtumishi Kwa kuniongoza Kwa maombi ya alfajiri MWENYEZI MUNGU akuzidishe sanaaa
Asante mungu kwa kuniamsha salama siku hii ya leo,sifa na utukufu nakurudishia wewe,maana bila wewe Mimi siwezi peke yangu🙏
Naomba Mungu unitetee uwe pamoja na mimi siku ya leo Ameeen
mungu nakushukuru kwakuniamsha kwasiku yaleo dam yayesu uwe ju yang katika roho mtakatifu nenda nami milele amina pia mungu akulindee naneema yamngu iwe juyako mchungaji wetu amina
Amen Amen damu ya yesu inene mema juu ya maisha na familia yangu nakushuru mungu wa rehema amen
Amen asante Mungu kwa kuniamsha salama siku ya leo
Ameen Naomba Roho Mtakatifu unifunike kwa nguvu zako siku ya leo mimi na familia tazama Munguwangu mwanangu anakwenda kuingia mtihani ukamsmamie
Damu takatifu ya yesu ikanishindie vita dhidi ya maadui zangu wote ameeeniiii
Amen Amen Asante kwa maombi nashukuru asubui njema kwetu sote
Amen ubarikiwe Sana mtumishi Kwa maombi
Ameeen Damu ya Yesu inene mema juu yangu siku ya leo
Asante Mungu qwa kunipea siku nyingine,,damu ya yesu ikanene juu ya maisha yangu
Amen naaamini nimepona kwa damu ya yesu kristo
Baba katika jina la yesu naomba damu ya yesu mipango yangu ikafanikiwe,unilinde siku ya Lea🙏🙏
Ameen Mungu ninakuomba unilinde Damu ya Yesu inene mema juu yangu siku ya leo
Ongoza hatua zetu..Mimi na Familia yangu..Pia Watanzania wote.....Damu ya YESU I we nami Mimi niwajuuu.Nifanye wajuuu zaid Amen
Ameen Mungu naomba unilinde siiku nzima ya leo Damu ya Ya Yesu inene mema juu uangu
Amen mtumishi kwa.maombi.ya asubuhi ya Leo barikiwa sana
Nakushukuru baba kwakusikiya maombi yangu asubui hii amen
Ameen Damu ya Yesu inene mema juu yangu siku ya leo popote nitakapokuwa
Aminaa nitafanikiwa kwa jina la yesu, Nashukuru mungu kuiona Siku ya Leo
Amen nimebalikiwa Sana Asate yesu kwKuyakutaaombi Aya mana nimenisulika kifo kwenye ndoto Angu
Asante yesu Christo kutuamusha Salama nakupitia mapmbiyamutumishitunashukuru
Ameen Asante Munguwangu nakuomba unilinde kwa mkono wako ulio hodari siku ya leo
Amen asante yesu kwa kuniamsha salama mimi na familia yangu siku hii ikawe siku ya leo ikawe siku ya balaka ktk familia yangu
Amen mtumishi ubalikiwe kwa maombi ya asubuh
Ameen Roho Mtakatifu nifunike na nguvu zako
Amen ame asante YESU kwa zawadi ya uhai...siku yangu imebarikiwa
Asante Mungu umenipa kuioma siku yaleo tena ninakila sababu yakusema asante
Ameen Damu ya Yesu inene mema juu uangu siku ya leo
Amen asante mungu kwakuni onyesha asubihi yavreo amen
Amina Asante Yesu nashukuru kwa neema na rehema zako nyingi maishani mwangu.
Asante mtumishi kwa maombi ya asubuhi hakika ubarikiwe
Amen nimefunikwa kwa Damu YESU🙏🙏
Asante mungu kwa kuniamusha salama nakabize maisha yangu kwako na familia yangu iwe mkononi mwako amen
Ameen Mungu naomba uniongoze Roho Mtakatifu anitangulie
Amen, Asante Mungu Kwa siku ya Leo, Asante Kwa uzima
Âmen Amen Amen 🙏 nazipokeya kwa djina la Yesu
Ameen Damu ya.Yesu inene mema juu.yangu.silu ya leo
Asante kwaneno na kwa maombi Mungu akubariki mtumishi wa Munguu
Asante kwa maombi ya asubuhi yaniweka vyema siku nzima 🙏🙏🙏
Amen najifunika kwa damu ya yesu kuanzia utosi hadi unyayo
Amen, Amen and Amen ukabarikiwe sana mtumishi wa mungu.
Ameen Nakushukuru Mungu kwa kuniamsha salama roho Mtakatifu anifunike kwa nguvu zake
Ameen Mungu wangu naomba unitangulie soku ya leo
Aminaa damuya yesu inene mema juyangu nafamilia yangu
Ameen Mungu nakuomba unilinde siku ya leo RohoMtakatifu naomba unilinde krwa nguvu zako
Ameen Damu ya Yesu inene mema juu yangu sku ya leo
Amen barikiwa zaidi ya sana,maombi haya yamenifariji sana
Mungu asante kwa kunilinda kwenye kila nitakapo ingia na kutoka kwa damu ya yesu
Asanante mungu kwa kujiungamanisha na maombia ya asubuh ya leo
Asante Yesu kwa ulimzi Amen🙏
Mungu anene nami,,,pia anene nawe mchungaji wa Mungu
Aminaaa. Nnapokea kwa jina la Yesu
Amen na damu ya yesu inene ju maisha yangu siku
Amen ameni kwa moto ulao unene mema juu yangu katika kila mila fedha juu yangu
Ameen Mungu wangu naomba unilinde na kunitetea siku ya leo
Amee Mungu naomba unilinde siku ya iikwe ya baraka
Ameen ubarkiwe Mtumishi kwa maombi mazuri Ee Nungu siku leo nitetee iwe nzuri n9kauone mkono wako wa baraka
Amen Amen na Asante sana mtumishi wa mungu
Aminaa barikiwa napokea Kwa Jina la yesu
Ameen Naomba Roho Mtakatifu uniongoze siku ya leo
Amen Asante yesu kwa siku nyingine ten
AMINA ubalikiwe sana mtumishi wa MUNGU 🙏🙏
amen damu ya yesu inene siku ya leo na familia yangu amen 🙏
Ameen Nakuomba Mungu wangu siku ya leo iwe amani tele
Amen napokea katika Nina la yesu
Ameen Naomba Roho Mtakatifu anifunike kwa nguvu zake siku ya lee
Ameen Mungu nakuomba unitangulie ktk njia zangu siku ya leo Damu ya Yesu inene mema juu yangu popote nitakapokuwa leo mimi na familia yangu
Ameen Mungu wangu .nakuomba unilinde na kunitetea
Amen Asante yesu kwa siku ya leo
Asante mungu Kwa kunilinda usiku paka asubui hii niapuche na kila baya mbele yangu
Damu ya yesu inane mema juu yangu amina
Damu ya yesu iliyomwagika msalabani ikanene makuu juu yangu pamoja na familia yangu.🙏🙏🙏
Amen. MUNGU akubariki sanà Mtumishi
Ameeeeeeen katika jina la YESU christo
Damu ya Yesu iliyomwagika Msalabani Inene Mema juu Yangu na Familia Yangu, Ameen and Ameen 🙏🙏 thank you Jesus thank you God for Everything Hallelujah 🙏🙏🙏
Asante kwa maombi ya Siku ya Leo amen amen 🎉🎉
Ameen Mungu naomba unilinde.siku ya leo
Amen napokea kwa jina la Yesu
Asante mungu! Niokowe baba! Amen.
Asanteee mungu kwa kuiona siku ya leo niondole uovuwote kwa jina layesu
Ameen ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU kwa kutuongoza maombi mazuli ya asubuhi
Amen yesu uwe mlinzi wangu siku ya leo
Ameen Nakuomba Mungu unishindie ktk yote siku ya leo
Ameem Damu ya Ya Yesu inene mema juu yangu siku ya leo
Ameen Danu ya Yesu inene mena juu yangu siku ya leo