ALICHOKISEMA TUNDU LISSU MAHAKAMANI KUHUSU KESI YA URAIS TLS

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 51

  • @octavianijoseph403
    @octavianijoseph403 7 ปีที่แล้ว +1

    big up xana tundu lisu unajitaidi hongera mwanasheria wetu

  • @mottofoundationinc.3492
    @mottofoundationinc.3492 7 ปีที่แล้ว +3

    huyu mjamaaa mbali na hiyo elimu ya sheria he is very talented guy

  • @justinemgomi9561
    @justinemgomi9561 7 ปีที่แล้ว +2

    asante Lissu na imani na wewe rudisha utawala wa sheria

  • @joxeesetty1980
    @joxeesetty1980 7 ปีที่แล้ว +1

    Asante lissuuuuuu

  • @gervasmoses2464
    @gervasmoses2464 7 ปีที่แล้ว +3

    nakuamini sanaa ww ndiye mwanasheria unayejua kufuata sheria na taratibu zote za nchi na unajitahid sana kupigana kwaajili ya haki za watanzania

  • @EcoEssence_wellness
    @EcoEssence_wellness 7 ปีที่แล้ว

    Great move...

  • @yohanashombe916
    @yohanashombe916 7 ปีที่แล้ว +2

    Nakubali jembe langu lisu

  • @smataluqwertyu1i624
    @smataluqwertyu1i624 7 ปีที่แล้ว +1

    Rais wa Tanzaniaa miaka ijayooi Lema Godblesss

  • @marblebaswige614
    @marblebaswige614 7 ปีที่แล้ว

    Big up Lissu wenda utawala wa kisheria ukarejea Tanzania

  • @amoctheboy9649
    @amoctheboy9649 7 ปีที่แล้ว +2

    mtu anauliza et Lissu Lini utashughulikia Jimbo lako...Ama kweli Watanzania Tumefanywa Mazuzu sasa nayeye awe kama Makonda abebe miwaandishi ya Habar au apost Mitandaoni sasa Itakuwa uwajibukaji au Mauzo embu Watanzania Tujenge Hoja tumekua Wapuuzi kweli kweli Dah Inauma

  • @arodnjenje7633
    @arodnjenje7633 7 ปีที่แล้ว +1

    Nakuelewaga sana coz unajua unachokifanya

  • @mikebright6692
    @mikebright6692 7 ปีที่แล้ว

    Lisu uko vizuri sana

  • @jamesmgasa4012
    @jamesmgasa4012 7 ปีที่แล้ว

    Mimi lisu nakukubali sana...najua uko sahihi kwa kila unacho Fanya..Sheria ni tofaut na siasa

  • @tzommyoriginali9144
    @tzommyoriginali9144 7 ปีที่แล้ว

    haki sawa

  • @mhagamayohana6526
    @mhagamayohana6526 7 ปีที่แล้ว +1

    wanakuongopa wewe ni moto mkali sana
    TUNAKUSHUKULU KWA KUTUPIGANIA WATANZANIA MAHANA TUNAPATA SHIDA SANA BABA

  • @afikianosaid807
    @afikianosaid807 7 ปีที่แล้ว +1

    pamoja xana

  • @fayeezomar8283
    @fayeezomar8283 7 ปีที่แล้ว

    Respect u!

  • @mathayomkumbuchile2808
    @mathayomkumbuchile2808 7 ปีที่แล้ว +3

    Nikimaliza masters yangu ya linguistics nitaanza kusoma sheria ili niwe kama Lissu

  • @josephmwakabungu8385
    @josephmwakabungu8385 7 ปีที่แล้ว

    Isingekuwa ni maslahi ya chama na chama Tundu Lisu anafaa anafaa sana kuwa Rais cha cha wanasheria nchini.Kwa uelewa wa sheria alinao angekisaidia chama cha wanasheria na nchi pia,wanasheria ubanganeni pmj ili kuleta mageuzi na ustawi wa sheria kwa kumchagua Tundu Lisu kuwa Rais.Wekeni itikadi na maslahi ya kila upande mtokako ktk vyama vya siasi MBALI.Boresheni chama hili kipate kuwa HAI na kustawi nchi.Tundu Lisu anafaa sana.

  • @arodnjenje7633
    @arodnjenje7633 7 ปีที่แล้ว

    Viva lisu

  • @bregediatermboy2107
    @bregediatermboy2107 7 ปีที่แล้ว +1

    Siku moja nitakuw kama ww lissu ndo mwanasiasa pekee nnae kuangalia na kuku fuatilia

  • @janewacera7812
    @janewacera7812 7 ปีที่แล้ว +1

    Wazi

  • @abdallahnamahala8137
    @abdallahnamahala8137 7 ปีที่แล้ว

    mimi kosa matatizo ya kuongea (kigugu mizi) ningekuwa mwanasheria kam lissu na kibatala

  • @thobiascharles6973
    @thobiascharles6973 7 ปีที่แล้ว

    tunaelekea WAP?

  • @rukiarswidu834
    @rukiarswidu834 7 ปีที่แล้ว +2

    TLS (Tundu Lissu SINGIDA) yan hata majina yako yanaendana kabisa na kuwa Rais wa TLS

  • @rukiarswidu834
    @rukiarswidu834 7 ปีที่แล้ว

    TLS is abbreviation of Tundu Lissu Sheria.yan hata Nina lake linaendana kabisa na kuwa Rais wa TLS

  • @renatuskanunu8305
    @renatuskanunu8305 7 ปีที่แล้ว

    samahan mh. lissu hivi lini unashughulika na jimbo lako walau hata kusema tu kuhusu jimbo lako. I am so tired

    • @zaudatmakula3454
      @zaudatmakula3454 7 ปีที่แล้ว +2

      Renatus Kanunu hivi karibuni alikuwa huko
      ihanja fatlia au vile haikutangazwa vile yeye sio mbeba waandishi apatwe kuandikwa hapo tu vile walikuwa wanamsibiri jimbo lake alisema kuhusu njaa umesahau alikamatwa akiwa jimboni kwake akasafirishwa usiku kwa usiku mpaka dar??

    • @zaudatmakula3454
      @zaudatmakula3454 7 ปีที่แล้ว +5

      Renatus Kanunu kama watoka wilaya ya Ikungi karibu kwa group la wilaya ya ikungi utafaham mengi kuhusu lissu tuko naye pia hata maswali hujibu pia

  • @kafitoonline6296
    @kafitoonline6296 7 ปีที่แล้ว

    haya majitu bhn kila kitu yanajifanya majuaj nayapa dole la ..........ti

  • @festomamboleo2514
    @festomamboleo2514 7 ปีที่แล้ว +12

    Tundulisu wewe ni msomi mkubwa unayejua kutetea haki za watanzania cjui kwanini hii nchi haitaki kubaki kwenye ukweli ili wakuamini maana kama kusumbuana na serikali umeweza vzr na unajua kupangilia hoja vzr

    • @zaudatmakula3454
      @zaudatmakula3454 7 ปีที่แล้ว +2

      Festo Mamboleo tatizo ni sisi wananchi pia tunamuona Lissu ni mwehu kisa yupo chadema lissu anafanya kila kitu kwa mwenendo wa sheria
      hata siku ile aliwekwa ndani alilotoka alitoa taarifa kuna vijana wapo mahabusu miezi4 bila kupelekwa mahakamni wapate dhamana na kweli walipelekwa ila kuna watu walibaki kumwambia Lisu si chochote mropokaji
      hawajui na kumbe sheria mtu akikamatwa na polis akae masaa 24 tu apelekwe mahakamni ila watu hukaa hata mwezi hakika yafaa tumsikilize tutajifunza mengi

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 7 ปีที่แล้ว

      Zaudat Makula jamaa hawampendi kwa kuwa anatumia sana udhaifu wa sheria ya hii nchi. ila kwako very well said

    • @angelinamachui7643
      @angelinamachui7643 7 ปีที่แล้ว +2

      Festo Mamboleo yan huyu baba nizaidi yamchwa jmn

    • @angelinamachui7643
      @angelinamachui7643 7 ปีที่แล้ว +3

      Festo Mamboleo yani watatudanganya nn nasheri ipokichwan kwa jembe aliloshusha mungu baba .

    • @lamecknyaruga7374
      @lamecknyaruga7374 7 ปีที่แล้ว

      Y

  • @emmyleonard5939
    @emmyleonard5939 7 ปีที่แล้ว +4

    lissu kiboko yao

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk 7 ปีที่แล้ว

    Festo mamboleo mkubali wewe na umwamini wewe inatosha ili ikiwezekana umwombe aje akupangilie namna ya kuishi na mke wako pia maana ni msomi kwa mujibu wa kauli yako.

  • @masumbukosiyougomvi7900
    @masumbukosiyougomvi7900 7 ปีที่แล้ว

    msumbufu kwer du kila kaz unataka!! wasom hatuna? Migabe ipo shaz

    • @aftonisudi2778
      @aftonisudi2778 7 ปีที่แล้ว +1

      masumbuko joseph jenga hoja na ushahidi

  • @ayoubrogath4297
    @ayoubrogath4297 7 ปีที่แล้ว

    Hahahahaha we ni mwanasiasa tu hujawahi tetea haki yangu wala hujawahi tetea wanyonge hujawahi tetea masikini ila ni siasa tu maana ww sio masikini sio mnyonge kwa hiyo wadanganye hao ulioteka akili zao😏

    • @richardpondo5139
      @richardpondo5139 7 ปีที่แล้ว +1

      Ayub Rogath
      Kwani kuwa masikini ni kuonewa utetewe nawanasheria??? Fikiri vizuri kaka

    • @patricksanga5456
      @patricksanga5456 7 ปีที่แล้ว

      Ayub Rogath usipojielewa hutojijua ulifanya au unatachotaka kufanya hivyo boraunyaze hutaeleweka, kama samaki wa baharini asipotanua mdomo ndoano hainasi kawe