MAJALIWA 'Amkaanga' KAMANDA "Amechoma Moto Ofisi, Huna Taarifa? / MKAMATE HUYU"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • MAJALIWA 'Amkaanga' KAMANDA "Amechoma Moto Ofisi, Huna Taarifa? / MKAMATE HUYU"
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 210

  • @vicentchuwa2687
    @vicentchuwa2687 2 ปีที่แล้ว +28

    Majaliwa namwelewa sana,Mungu ampe afya njema afanye ziara kwa nchi nzima,kuna madudu mengi sana kwenye halmashauri zetu

    • @thomastarimo
      @thomastarimo 2 ปีที่แล้ว

      Kaka majaliwa mungu akutunze sana

    • @leonardmwayeya13
      @leonardmwayeya13 2 ปีที่แล้ว

      Nawewe Hera urizo urizwa nambunge wamakete mbunge sanga zikowapi usijifanye unawabana wenzio

  • @johnpesambili4806
    @johnpesambili4806 2 ปีที่แล้ว +1

    Well said pm mungu awatie nguvu,kazi Bado ni ngumu katika kuiendeleza nchi yetu. Msivunjike mioyo pambane Hadi tone la mwisho mungu amekwisha watia mafuta hayupo mtu wa kuwapausha.

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 2 ปีที่แล้ว +4

    Waziri wangu nakupenda,nakuombea jembe la Taifa la Tanzania,Mungu Mlinde na maadui wote wanaomwangalia Kwa ubaya.

  • @alexjackson5960
    @alexjackson5960 2 ปีที่แล้ว +6

    Siku moja Bwana yesu jaalia huyu mheshimiwa awe namba moja

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 2 ปีที่แล้ว +4

    Big up 💪🏽 MH.KASIM MAJALIWA MAJALIWA Mungu aendelee kukujaalia simama2 imara Mkuu huku chini tunakuangalia viiiiiiiiiiiiiiiizuuuuuuuuuuuuuuuuri saaaaaaaaaaaaaaaaaana👍🌍Tukipata kama 20tu Tz iyooooooooooooooo nimekubali Sana 🙏🏼

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 ปีที่แล้ว +4

    Allhamdulillah ya Allah kwakutiletea kiongozi mwema Majaaliwa

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 2 ปีที่แล้ว +6

    Waziri mkuu tunakuamini baba we piga kazi tu tunajua sala zetu zinapokelewa kwa Mungu na siku moja utakuwa uongozi wa juu kabisa.
    Mungu akulinde

    • @thomastarimo
      @thomastarimo 2 ปีที่แล้ว

      Uyu ndiyo rais anapoongea kwelii watu wanakua na matumaini na yeye

    • @thomastarimo
      @thomastarimo 2 ปีที่แล้ว

      Asante kaka maliwa

  • @ramadhaniabdallah1477
    @ramadhaniabdallah1477 2 ปีที่แล้ว +9

    Mwamba huyu hapa tena Mungu ampe afya na maisha marefu yani namkubali sana

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 2 ปีที่แล้ว

    Waziri Mkuu (MB) Kassim Majaliwa.
    Nikiona ni kisikia sauti yako ya kazi ikipanda hewani ukitoa maelezo na maelekezo kwa Niaba ya Mh Rais.
    Songa mbere Mungu akulinde na maadui.

  • @Kidd11168
    @Kidd11168 2 ปีที่แล้ว +5

    Kweli mzee Majaliwa Una pambana .My compliments.

  • @nickdanny1550
    @nickdanny1550 2 ปีที่แล้ว

    Mungu msaidie sana waziri wetu kassimu majaliwa sasa hv watanzania wote ndo jicho limebaki pale tu tunamwangalia yeye napenda sana mamuzi yake ata unakuwa na ile hamu ya kuangalia tarifa zake hongera kiongozi wetu kwa hyo tunayo yaona unafanya mungu azidi kukulinda nakukupa afya tele tunae imani kubwaaaa sana na wewe

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 ปีที่แล้ว

    Mimi najua huyu ndiye rais afaaye kabisaaa hivi huyu akiwa rais ni zaidi ya magu mungu mtunze mpe nguvu na afya wabaya wasimwone mpe kibali ili baadae aje kuwa rais wa tanzania aminaaaa

  • @mapendomeela7166
    @mapendomeela7166 ปีที่แล้ว

    Waziri mkuu mungu akubariki utende haki gombea uraisi mweshimiwa

  • @esthersissamo1120
    @esthersissamo1120 2 ปีที่แล้ว +10

    Mungu ibariki Tanzania Mungu akupe afya njema na maisha marefu mkuu

    • @thomastarimo
      @thomastarimo 2 ปีที่แล้ว

      Majaliwa mungu akubariki sana

    • @robosia2915
      @robosia2915 ปีที่แล้ว

      Majaliwa wetu Mungu akupe afya njema akusimamie kila uendako nakupenda sana waziri wetu
      Kwa utendaji kazi wako

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 2 ปีที่แล้ว

    wamefanya ujanja hao.....
    washughulikiwe. Walipa kodi tumechoka kuibiwa na kudanganywa kama hatuna akili vile.
    Asante waziri mkuu wetu

  • @massjmalulu3862
    @massjmalulu3862 2 ปีที่แล้ว +2

    I love you my father majaliwa ukiwa raisi tutaishi kwaamani maana kwasasa maisha magum sana jamani

  • @charlesmihuwa6287
    @charlesmihuwa6287 2 ปีที่แล้ว

    Nyie mabwea wote ambao huwa mnacoment mambo kwenye humu mitandaoni na kuandika jina la Mungu na kuanza na herufi ndogo mnanikera sana Mungu sio sawa na chale mjue....

  • @iddiali8057
    @iddiali8057 2 ปีที่แล้ว +5

    CONGRATS PRIME MINISTER ON AN OUTSTANDING, AND AMAZING PERFORMANCE.

  • @kipepeo_Kitchen
    @kipepeo_Kitchen 2 ปีที่แล้ว +2

    Jamani Majawaliwa, mungu akuongoze na kukulinda. Majangili kila upande, yaani hata aibu hawana, hawana uchungu. Majawaliwa hawezi peke yake, watampoteza tu. Inasikitisha sana, ubinafsi na roho mbaya. Wauwawe tu!

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 ปีที่แล้ว +1

    Nakuelewa sana Muheshimiwa,,,,shikilia hicho kiwembe vizuri. Katakata takataka zote zinazojinufaisha peke yao

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 ปีที่แล้ว +3

    Subhanallah mh kiumbe mzito kaona kashafanya makosa huyo ndio akapoteza hizo kumbu kumbu kwa moto lahawla
    Kwakwel mh allah akusimamie yaarabbi

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 2 ปีที่แล้ว +2

    Fanya kazi yako baba tusaidie tunaumizwa. Wezi wanatuibia
    bila hata woga wala aibu wala huruma

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 2 ปีที่แล้ว

    UNA KILA SIFA YA KUWA RAISI MASHAALLAH HIVYO NDIVYO UONGOZI UNAVYOTAKA NA SIO KUONEANA HURUMA NCHI HAIWEZI KWENDA KAMA KUTAKUWA NA WAFANYAKAZI WACHACHE AMBAO HUWA MZIGO KWA UTENDA AJI

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 ปีที่แล้ว

    Nampenda sana uyu Baba yupo vizur aisee

  • @JoshuaMartin-qk3ev
    @JoshuaMartin-qk3ev 2 ปีที่แล้ว +6

    Kazi unapiga vizur kweli ila sizani kama mnafanya in team work yaweza kuwa viongoz wenzako wanakushangaa maana hamna kiongoz kwa utawala huu anayejituma kama wewe, ila naona wewe pekeyako ndo unauchungu na nchi hii, lakin pambana wala usikate tamaa kuwatumikia watanzania nawe Mungu atakuona na kukuinua

    • @jeremiahmakoye6340
      @jeremiahmakoye6340 2 ปีที่แล้ว

      Yaani inauma Sana pale mtu mmoja anapopambana Kwa ajili ya nchi,halafu wengine wametulia tu.
      RIP Hon.JPM

    • @jeremiahmakoye6340
      @jeremiahmakoye6340 2 ปีที่แล้ว

      Yaani inauma Sana pale mtu mmoja anapopambana Kwa ajili ya nchi,halafu wengine wametulia tu.
      RIP Hon.JPM

  • @edgerhaule505
    @edgerhaule505 2 ปีที่แล้ว +1

    Majaliwa nakupenda sana kutoka moyoni kwa stahili yako ya utandaji kazi Kila mtu atakuwa tayari kulipa kodi

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 2 ปีที่แล้ว +8

    Piga kazi baba msaidie mama yetu, kuna siku kazi nzuri itakulipa.
    Kuna siku utakuwa rais wa hii nchi tunakutabiria. Tunakukubali sana.
    Mungu akulinde akupe afya njema kwa ajili ya Tanzania

    • @neemaruhembe6360
      @neemaruhembe6360 2 ปีที่แล้ว +2

      Kwa kweli nampenda sana majaliwa

    • @habibnjowele7751
      @habibnjowele7751 2 ปีที่แล้ว +2

      @@neemaruhembe6360 tunakijua chama kile mtu wa namna hii hawampi kwa sababu atawabana

    • @fadhilimartin-o3h
      @fadhilimartin-o3h ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabisa

  • @habibnjowele7751
    @habibnjowele7751 2 ปีที่แล้ว +2

    MAJALIWA NI SHIIIIIIIIIIIIDA! ANAFAA KUWA RAIS , perfomance ya hali ya juu sana

  • @loshirotatekoriosoombe2187
    @loshirotatekoriosoombe2187 2 ปีที่แล้ว

    Waziri mkuu mungu akujalie nguvu kwenye kazi Yako

  • @sungijohn85
    @sungijohn85 ปีที่แล้ว +1

    Jamani watanzania nashukuru uwepo wa majaliwa naomba tumpe nafasi ya juu zaidi

  • @ramadhaniabdallah1477
    @ramadhaniabdallah1477 2 ปีที่แล้ว +13

    Tatizo letu tunashindwa kuelewa kati ya chama na kiongozi huyu ni kiongozi tena zaidi ya kiongozi

    • @prettymasha2430
      @prettymasha2430 2 ปีที่แล้ว +1

      Namuombea miaka ya mbele uwe raisi unafaa ww chimbuko la Anco Magufuli 💪

    • @salmasimai2375
      @salmasimai2375 2 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa

  • @husseinnkuna6401
    @husseinnkuna6401 2 ปีที่แล้ว +1

    Mheshimiwa Rais wetu mpya inshallah 🙏🙏

  • @sarahsimon8060
    @sarahsimon8060 2 ปีที่แล้ว

    Mm hua najiuliza sana kwann huyu majaliwa asipewe hii nchi aiongoze jaman mzee baba we ndo kiongozi uliebaki hapa TZ na mungu alisha andaa kiti chako kule peponi kinakusubilia.

  • @Amanredo
    @Amanredo ปีที่แล้ว +1

    Much respect

  • @erodeshayo123
    @erodeshayo123 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 2 ปีที่แล้ว

    Inaumiza sana kwa kweli.madam president Anazunguka kila kona kutafuta hela huku kunawapuuzi wanaziiba.inaumiza sana

  • @rahma6189
    @rahma6189 2 ปีที่แล้ว +3

    Hongera baba

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 ปีที่แล้ว +1

    Goood performance Majaliwa Mh

  • @mudikilamba5298
    @mudikilamba5298 2 ปีที่แล้ว +1

    Ondokaa nae yule tengeneza dah😅😅😅😅😅😅💯💯💯

  • @deogratiusmwanicheta8193
    @deogratiusmwanicheta8193 2 ปีที่แล้ว +23

    He deserves to be the president of this country

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 2 ปีที่แล้ว +1

      Mungu ndo anapanga ndomana akuwa raisi

    • @babalad983
      @babalad983 2 ปีที่แล้ว

      Yes

    • @godfreychipetachela9776
      @godfreychipetachela9776 2 ปีที่แล้ว +1

      Majaliwa tembeza mkeka kwa waganga wakuu wa wilaya zote hawasimamii kitu wengine wakipewa uhamisho wanagoma kuhama shauri ya maslahi hasa ars

    • @weekendservicechoir
      @weekendservicechoir 2 ปีที่แล้ว

      Kabisa

    • @kennywilliam2466
      @kennywilliam2466 2 ปีที่แล้ว +1

      @@hajjiomary2383 mipango ya utawala kwenye nchi hii ni ya watu wewe na sio mungu mfano kutoka mwinyi mzee hadi mwinyi mtoto kuwa rais Zanzibar nayo ni mungu kapanga uko wapii wewe ebu jitafutee!!

  • @adrianmwaimu33
    @adrianmwaimu33 2 ปีที่แล้ว +1

    Mh. Nakubali maamuzi yako tatizo lipo kwa walemavu na wagonjwa wa Afya ya Akili mh. Mfano tembelea Wilaya ya Handeni Mjini wananyimwa ata mkopo wa maendeleo ya Jamii hospital ya Wilaya aina dawa. Uku shida

  • @jacksonsabayi8672
    @jacksonsabayi8672 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri

  • @petercharles6607
    @petercharles6607 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akutangulie ktk majukumu ya Taifa letu

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds ปีที่แล้ว

    Ukweli nakubali sana mh

  • @josephfrances1447
    @josephfrances1447 2 ปีที่แล้ว +2

    Nakuona Majaliwa Kwa macho ya nyama ila macho ya roho namuona Magufuli

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 ปีที่แล้ว

    Ikitokea mh.majaliwa akawa Raisi wa nchi hii kenge wote watapotea hongera xana

  • @raymatunda5207
    @raymatunda5207 ปีที่แล้ว

    Mungu akupe nguvu mh khasim majaliwa ww ndio mzalendo wakweli

  • @mariamfrank9795
    @mariamfrank9795 2 ปีที่แล้ว

    Asante baba

  • @kaparajumanne7281
    @kaparajumanne7281 2 ปีที่แล้ว

    Napenda kiongozi wa namna hiyo,💪

  • @happymarchiusnjungani1138
    @happymarchiusnjungani1138 2 ปีที่แล้ว +1

    Wew unafaa Sana Majaliwa ..Kama tunamuona Mzee MAGU

  • @MohamedSleyim
    @MohamedSleyim ปีที่แล้ว

    Appreciation to the PM, sasa recovery ya pesa ifanyiwe kazi.

  • @amanionesmo-rk1yw
    @amanionesmo-rk1yw ปีที่แล้ว

    Good mheshimiwa

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 2 ปีที่แล้ว

    Mama anania nzuri sana na taifa tatizo watanzania walioaminiwa sio wazalendo na hili taifa.

  • @ebenezernnko8251
    @ebenezernnko8251 2 ปีที่แล้ว

    safi sana majaliwa wapo wengi sana

  • @barakanestory3521
    @barakanestory3521 2 ปีที่แล้ว

    Wahuni hawo,vyakula bei sana,maisha magumu sana,halafu wanaiba.

  • @mohamedkigwehe3561
    @mohamedkigwehe3561 2 ปีที่แล้ว

    Mh. Waziri mkuu madudu nimengi sana ndani ya inchi hii kama kwenye jeshi la police wallah haki zetu zinapoteya sana natamani siku moja upitiye kituo Cha police Cha mburati dar es salaam uliziye mwendeno wakesi mm nipo na kesi yangu pale ipo wazi lakini nazungushwa mpaka Leo hakuna majibu kila nikienda nambiwa upelelezi bado wakati chombo Cha moto wamekishikiliya nasasa hivi ntawapeleka kwenye media ili haki yangu niipate

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 2 ปีที่แล้ว

    Waziri mkuu anafanya kazi kubwa sana. Tumbua hao

  • @erneststephano1843
    @erneststephano1843 2 ปีที่แล้ว +1

    Much respect boss

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 2 ปีที่แล้ว +3

    Fanya Kazi Majaliwa

  • @innocentyusuph7762
    @innocentyusuph7762 2 ปีที่แล้ว

    Hatareeeeeeeee, Majaliwa ni chuma kuliko Mama Samia

  • @magdalenamaganga4791
    @magdalenamaganga4791 2 ปีที่แล้ว

    Aaaiiiiii!!! tatizo wasahaulifu Sana ai

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 2 ปีที่แล้ว +2

    Jamani alituambia mtanikumbuka kwa mazuri wala si kwa mabaya 🤣🤣🏃🏃 BABA BASHIRU TEGEMEO LA WATANZANIA POPOTE ULIPO JIANDAE KISAIKOLOJIA Kuwa RAISI WA TANZANIA 🇹🇿CHINI YA UMOJA PARTY kisha tupindue meza mchana kweupee wenye machungu kama mm #Bashiru2025 🇹🇿

    • @kiombokokiomboko5942
      @kiombokokiomboko5942 2 ปีที่แล้ว

      Mnafiki wewe na network yako ya bashiru.
      Hujui kuwa Rais ndiyo anayemtuma huyo waziri mkuu kikatiba kusimamia shughul za serikali?,Rais ndiyo mkuu na mwenye mamlaka zote

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 2 ปีที่แล้ว +1

    We majaliwa ubarikiwe

  • @Tariqxxtenations
    @Tariqxxtenations 2 ปีที่แล้ว +1

    Ya Moto SASA💪💪

  • @emmanuelbugabu115
    @emmanuelbugabu115 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu ni kama hayati JPM❤

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it ปีที่แล้ว

    Jamani Tanzania yangu du

  • @kichuyaanyelwisye5332
    @kichuyaanyelwisye5332 2 ปีที่แล้ว

    Kweli magufuri Yu hai nakuelewa waziri wangu

  • @swalehemchora3167
    @swalehemchora3167 ปีที่แล้ว

    🎉🎉🎉 ni tumaini letu uku ruangwa

  • @alexjacobndagile8708
    @alexjacobndagile8708 2 ปีที่แล้ว

    Yuko vizuri uongo mbaya

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 2 ปีที่แล้ว +2

    Ila sijaelwa Nyaraka zikichomwa Kwani mtandaoni Benk hazionekani Komputer je hapo kuna tatizo la kitaalamu Serikali rekebisheni mifumo ya hela.

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 2 ปีที่แล้ว

      Nyaraka ziko nyingi. Lkn pia Kuna nyaraka nyingine zinaanza kwenye makaratsi halafu ndio zinaingizwa kwenye COMPUTER,...Sasa inawezekana kabla hazijaingizwa zikachomwa Kwa makusudi Ili kuficha WIZI...!

    • @JoshuaMartin-qk3ev
      @JoshuaMartin-qk3ev 2 ปีที่แล้ว

      Hiyo ni point ya msingi

    • @JoshuaMartin-qk3ev
      @JoshuaMartin-qk3ev 2 ปีที่แล้ว

      Hiyo ni point ya msingi

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 2 ปีที่แล้ว

      @@ismailmasoud6001 hapo ni mifumo mibovu inayoruhusu mwanya wa wizi

    • @edithandunguru3405
      @edithandunguru3405 2 ปีที่แล้ว

      Kwa suala la pesa uko sahihi lakini kuna mambo mengine mengi yanategemea paper work mfano mikataba mbali mbali kama vile ya manunuzi, ujenzi nk. Ndio maana taasisi zetu nyingi bado zina masijala za makabati

  • @divaimafuru6844
    @divaimafuru6844 2 ปีที่แล้ว

    Majaliwa kuna wakati una umagufuli ndani yako congratulations

  • @makongoronyerere1564
    @makongoronyerere1564 2 ปีที่แล้ว

    Samia ndyo tatizo hayupo siliuse nakaz, anacheka sana, Sasa watendaj wadogo kama Hawa mawazili wanaonekana wanasifa kumbe Samia ndyo tatizo,,

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 ปีที่แล้ว +1

    Ingekuwa ofisi ya Chadema mngepita mtaa wa saba wakati wanaopata shida ni watanzania hao hao sasa hapa naona mzee umekomaa kweli kweli unajisafishia 2025

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 2 ปีที่แล้ว +1

    MUNGU akulinde waziri wangu mkuu,natiwa moyo namwona Magufuli ndani yk,njoo na kwenye umeme unakatika ovyo

    • @gulionigulioni3234
      @gulionigulioni3234 2 ปีที่แล้ว

      Usiwe mjinga wewe unamuona mwendazake dikteta Magu ili tuje kuuwawa na kutekwa kusikojulikana?

  • @biddii1972
    @biddii1972 2 ปีที่แล้ว +3

    Huyu waziri ananifanya nijivunie kua mtanzania

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du 2 ปีที่แล้ว

    Dalili za ufisadi zipo, lakini mhasibu hana hatia mpaka ithibitishwe otherwise. Tusubiri uchunguzi.

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 2 ปีที่แล้ว

    Je baraza lote la Jpm lingebaki, hivi vilio vya wa Tz visingekuwepo, mama angefanya kazi kwa urahisi sana...na 2025 njia ingekuwa nyeupeeee.....

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 2 ปีที่แล้ว

    Tumwogopeni basi hata Mungu jamani?
    kuiba mijasho na haki za watu wengine ili ujifaidishe mwenyewe ni wizi tu na hakuna baraka ni nuksi tupu jamani mbona hatuelewi? Hivi unathubutu hata kupiga goti na kusali kweli?
    Huyo Mungu unamwambiaje baada ya kuiba pesa za walipa kodi? Unampelekea sadaka? Mungu hahongeki jamani tujitafakari sana.

  • @khadejarajab844
    @khadejarajab844 2 ปีที่แล้ว

    Nakukubali maja endelea hivyovyo

  • @alexjacobndagile8708
    @alexjacobndagile8708 2 ปีที่แล้ว +2

    Nimemkubali akitoka Samia aingie huyu

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 2 ปีที่แล้ว

    Hivi kwanini wasitumie technology kuhifadhi nyaraka? Hata computer zikiungua zote bado nyazaka zote utazipata zote. Technology ipo na siyo gharama kubwa kuliko hiyo mipesa yetu inayoibiwa.

  • @mimimoop2617
    @mimimoop2617 ปีที่แล้ว

    Magufuli wa pili hongera sana

  • @wilsonkaseha2034
    @wilsonkaseha2034 2 ปีที่แล้ว

    Takukuru, polis, wakurugenzi wa eneo hilo yaani iwe hawajui na wako kimya mpaka PM anafika!!duh

  • @mwandisimfukwe326
    @mwandisimfukwe326 2 ปีที่แล้ว +2

    Cant wait who's next🤸🤸🤸

  • @sabratally7688
    @sabratally7688 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa

  • @josephjacka3270
    @josephjacka3270 2 ปีที่แล้ว

    Najisikia raha sana na Amani kubwa ninapo muona Waziri wangu Mkuu Akiongea. Raha sana kwangu.

  • @magdalenamaganga4791
    @magdalenamaganga4791 2 ปีที่แล้ว

    Ninakuunga mkono Kings wanakuwa weusiweusi tatizo uwelewa nakusahau yaliyopita ndiyoshida yaanikama bendelavile

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 ปีที่แล้ว

    hapa watu tutathimini kwanini Hadi afike ndo azungumuzie na Jao waliompa taarifa kwanini hawakumpa zamani na na kama walilimpa kwanini asingechukua hatua hats bila kufika kule mapema na kama amepewa Sasa basi hao walio mpa taarifa anapasa kuwawajibisha maana ni ucheleweshaji na kama walimpa zamani basi kunajambo kama sio kutaka kupata political influence mtendaji mzuri ni kutenda hata bila media results itaongea

  • @mutalemwamarcelventure.mae2058
    @mutalemwamarcelventure.mae2058 2 ปีที่แล้ว +1

    Jamaniiii haya mambooo ni kasheshe wanaoniamini ni Tuwe wengi hivi ili kazi iendelee hee po

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 10 หลายเดือนก่อน

    Halafu baada ya hapo, hakuna anaefungwa😂😂

  • @gspofficial7977
    @gspofficial7977 2 ปีที่แล้ว

    Raisi wangu uyooo

  • @semvuamsuya3427
    @semvuamsuya3427 2 ปีที่แล้ว

    Huyu ndio kamanda hana cha baadae

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 ปีที่แล้ว

    Huyu Angefaa kuwa Rais

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 2 ปีที่แล้ว

    Tatizo viongozi wa naongea sana, kama ingekuwa wevi wa Mali za uma wanafungwa na kutaifishwa Mali zao na wake zao, hakika Kungekuwa na amani ya Mali za walipa kodi

  • @mwanahamisinyenzi-vo6mj
    @mwanahamisinyenzi-vo6mj ปีที่แล้ว

    Huwa napenda kukusikiliza Mzee weee jamani

  • @wistonkiango5124
    @wistonkiango5124 2 ปีที่แล้ว

    Huyu lazima awe Rais wangu anifute machozo ya Magufuli maana bado namlilia

  • @nicksonmhanga2160
    @nicksonmhanga2160 2 ปีที่แล้ว

    Tunàmtaka agombeeee nafasi ya urais mwaka 2025,,,atàtufikisha pale tulipoishia mh:Kassim....

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 2 ปีที่แล้ว

    Kwann aswe Rais jamani anafaa sana

  • @timothymoshi5800
    @timothymoshi5800 2 ปีที่แล้ว

    MUNGU, tunaomba mlinde Huyu Mkuu. Yasije yakamkuta kama yaliyomkuta aliyekuwa....(.) Anatugusa wadogo. Tunampongeza

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 ปีที่แล้ว

    Majaliwa uzid kujaaliwa,
    Kuna upuuz mwingi sana unaibuka cku hiz