Hongera sana JPM juhud zako zinaonekana sana japo huko uliko unakaa kwa aman na ujumbe mzito uliouacha wa tutakukumbuka kweli tunakukumbuka na tunatamani urudi uone Hali za maisha za watanzania masikini zilivyo maana unga ni bei ya mchele hakika tunakoelekea ni mlo m1 kwa siku tu, ila ahsante 🙏🙏 mama Samia japo wasaidizi wako wanakuangusha katika ujenz wa taifa hili
Juhudi Kubwa za viongozi Wetu Hayati Magufuli na uthubutu Wa Mama Yetu Mpendwa Samia Suluhu Hassan lakini wapumbavu hawatalitambua hilo.Allah azidi kukupa afya njema utumikie Taifa letu pendwa.
Tunampongeza Sana Mama Samia Kwa kuwa mzalendo wa kuendeleza miradi yote iliyoachwa na mtangulizi wake,Nyie mnaosema pongezi Kwa magufuli pekee tu je jiulizeni wangapi waliachiwa Mali za urithi za wazee wao walishindwa kuziendeleza?Hivyo pongezi nyingi tumpe mama Kwa kuachiwa miradi na kuendeleza vizuri Tena Kwa muda muafaka,Mungu akupe nguvu na umri mrefu zaidi Rais wetu Samia suluhu hassani.
Nimelia sana, baba JPM uliona mbali mpaka matumboni mwetu ulipaona tukanunua mchele 1300 leo ni 3000 hakuna mwenye huruma na sisi, staili iliyopo sasa ni kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake
@@florianruttahindurwa1189 sawa ila wakati mwingine nyie wenye hela na wasomi mnatudharau sana cc mnaotuita duni ila haipendez asee. We unafurahia upuuz mm nkujibuje? Usingekoment kwangu ungepita tu
Kaka nakuelewa maaana sio kuwa nina maisha mazuri, nina degree na sijawahi ajiliwa permanent ila naona mwanga kwa mlango wa kilimo ndo maana nkacomment kaka.
Walitawala na watawala Magu ndiye Bora zaidi ya kiongozi aliyekuwa na maamuzi ya kiongozi na maendeleo yenye kumaanisha maana ya maendeleo ya Ichi yetu, na wengine wavivu wakufikiri walikuwa wanahoji eti fedha atapata wapi na Sasa ndiyo hao hao kila kukicha wanapenda kukagua miradi hawaamini kinacho endelea bado wanaona Kama Ni ndiyo za alinacha,
Hakuna kitu hapo Kila siku ni maneno kwani JPM mbona kaacha njia wazi kilakitu Leo hii bei ya vyakula IPO juu na mpokimya ndani ya utawala wamamayenu mchele ,Unga nyama n.k .et.. ahsant ya nin...
Jpm alifanya kazi kubwaa sana nchini tena yenye maendeleo makubwa lakini akuwanyonya WANANCHI Kwa njia yeyote ile lakn huyu rais tozo nyingi lakn Amna chochote anafanya wizi mtupu izo shukrani apewe hayati
Stendi bado hazijaisha. Mkisema muanze kitumia kabla kilakitu hakijaisha, basi hamtamalizia Tena. Tungoje kila kitu kikamilike. Etesheni zote na Teli zake.
Kazi iendelee wakati rais wa wanyonge aliacha Mchele 1200 sasa hivi 3500 mbona yeye alikuwa anajenga hyo miundo mbinu bila kuumiza wananchi kwa kodi za dhuluma kwan Alikuwa anafenyeje yeye? Hebu jiulizeni
We mbunge kwani wewe Ni mchina, Mtanguri wa mama hampendi kumtamka juu ya hiyo mradi tunaomba Sana muweke kumbukumbu nzuri katika ndimi zenu watanzania tunajua vizuri hiyo miradi na hasa Aliye fanya misukumo mikubwa mpaka Sasa hiyo miradi inaipa heshima Tanzania, Sasa tunaona tunona mnajifanya hamnazo hampendi kumtamka kiugasaha Magu na kumpa kongore zake.
Wakimbizi 9 kutoka ETHIOPIA wakamatwa hapa nchini TANZANIA kwa taarifa hiyo na undani wa taarifa hii unaipata hapa media ya kuaminika na inatoa habari zenye ukweli na uhakika th-cam.com/video/bckBMBr6cIA/w-d-xo.html
We are really tired of your daily stories mr wallah. Wew ni mtalam but umekubali kutumiwa kisiasa. Please next time just kp cool usiongei maana WaTanzania wamechoka na porojo.
Anatumiwa kisiasa kivipi?! Au nyinyi na kundi lenu hilo ndio wenye porojo la kisiasa? Yaani mnataka wataalamu wasikilize miluzi yenu walipue tu kazi eti waambiwe wamekamilisha halafu baada siku tatu iharibike muaze kubweka kama kawaida yenu. Mmekaa mkisubiria tu hapo MAMA SAMIA afeli kukamilisha miradi ili mpate kusema. Let me tell you miradi yote itakamilika na SAMIA hatokuwa Rais wa maisha atamaliza muda wake na ataingia mwengine.
th-cam.com/video/Dn8saxAgIaE/w-d-xo.html FAHAMU PESA ZA MAJINI NA PETE ZA MAJINI ZENYE KUVUTA MALI NA UTAJIRI MKUBWA,,..*# th-cam.com/video/Dn8saxAgIaE/w-d-xo.html
Juhudi Kubwa viongozi Wetu Hayati Magufuli na uthubutu Wa Mama Yetu Mpendwa Samia Suluhu Hassan lakini wapumbavu hawatalitambua hilo.Allah azidi kukupa afya njema utumikie Taifa letu pendwa.
th-cam.com/video/Dn8saxAgIaE/w-d-xo.html FAHAMU PESA ZA MAJINI NA PETE ZA MAJINI ZENYE KUVUTA MALI NA UTAJIRI MKUBWA,,..*# th-cam.com/video/Dn8saxAgIaE/w-d-xo.html
Tutaendelea kusema ahsante Uncle JPM na ahsante Mama Samia... Mungu akubariki sana Mama President...
Hongera sana JPM juhud zako zinaonekana sana japo huko uliko unakaa kwa aman na ujumbe mzito uliouacha wa tutakukumbuka kweli tunakukumbuka na tunatamani urudi uone Hali za maisha za watanzania masikini zilivyo maana unga ni bei ya mchele hakika tunakoelekea ni mlo m1 kwa siku tu, ila ahsante 🙏🙏 mama Samia japo wasaidizi wako wanakuangusha katika ujenz wa taifa hili
hongera mama samia kwa kuendeleza kazi ya baba yetu mh magufuli
Asante hayat John pombe magufuli
Sasa kutoka Dar to dodoma itachukuwa masaa ngapi
Tunakushukuru JPM, mbeba maono. Tutakukumbuka daima.
Ongera sana mama Samia kwa kazi nzuri ya ndoto za JPM na watanzania
Mmmmmhhh ni Jpm
RIP jpm,kazi zako inaonekana na zitaishi siku zote
Hongeraa mama kwakushika kijiticha Baba hayati john pombe magufuli munguazidikukupa nguvu Katika mapambanoyako yakujenga taiga.. letu la Tanzania...
Hongera kadogosa umepambania hii leri mzee wa kazi
R.I.P JPM, matokeo ya juhudi zako tunazishuhudia
Magufuli hoyeee tutakukumbuka kwa hiki ulichoakinzisha japo wanakupiga madongo hawatafanikiwa
Asante baba MAGUFUR jina lako litaishi milele
JPM Always in Our Hearts 💕💕
RIP MZALENDO JPM
Juhudi Kubwa za viongozi Wetu Hayati Magufuli na uthubutu Wa Mama Yetu Mpendwa Samia Suluhu Hassan lakini wapumbavu hawatalitambua hilo.Allah azidi kukupa afya njema utumikie Taifa letu pendwa.
Hasante hayati magufuli
Tunampongeza Sana Mama Samia Kwa kuwa mzalendo wa kuendeleza miradi yote iliyoachwa na mtangulizi wake,Nyie mnaosema pongezi Kwa magufuli pekee tu je jiulizeni wangapi waliachiwa Mali za urithi za wazee wao walishindwa kuziendeleza?Hivyo pongezi nyingi tumpe mama Kwa kuachiwa miradi na kuendeleza vizuri Tena Kwa muda muafaka,Mungu akupe nguvu na umri mrefu zaidi Rais wetu Samia suluhu hassani.
Huna akili unalinganisha MAGUFULI bar med
JPM legacy
Nimelia sana, baba JPM uliona mbali mpaka matumboni mwetu ulipaona tukanunua mchele 1300 leo ni 3000 hakuna mwenye huruma na sisi, staili iliyopo sasa ni kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake
Usilie bali fulahi kuwa ndugu zetu wakulima nao wanatajilika hivyo tulio town turudi kijijini tukalime.
Kwa majibu yako tu inatosha kuona uwezo wako wa kufikiri!hoja ujibiwa kwa hoja sio hisia.
@@florianruttahindurwa1189 sawa ila wakati mwingine nyie wenye hela na wasomi mnatudharau sana cc mnaotuita duni ila haipendez asee. We unafurahia upuuz mm nkujibuje? Usingekoment kwangu ungepita tu
Kaka nakuelewa maaana sio kuwa nina maisha mazuri, nina degree na sijawahi ajiliwa permanent ila naona mwanga kwa mlango wa kilimo ndo maana nkacomment kaka.
@@florianruttahindurwa1189 sawa mkuu, samahan sana
Angekuwa kamanda xHz chuma tayarii
Magufuli lala salama baba yetu
Anha gharama zà usafirishaji zitapungua,kwani hii new mv Victoria hapa si meli ya serikali sasa nauli yake na basi vinatofautia na nini kwa sasa
Walitawala na watawala Magu ndiye Bora zaidi ya kiongozi aliyekuwa na maamuzi ya kiongozi na maendeleo yenye kumaanisha maana ya maendeleo ya Ichi yetu, na wengine wavivu wakufikiri walikuwa wanahoji eti fedha atapata wapi na Sasa ndiyo hao hao kila kukicha wanapenda kukagua miradi hawaamini kinacho endelea bado wanaona Kama Ni ndiyo za alinacha,
Maelezo hayo unawaeleza wabunge ama wananchi?
Daar Rais wetu Yuko vizuri sana, kwa kweli
Kama Yupo vizu ulizia bei ya mchele na Unga kwa kg 1
Hakuna kitu hapo Kila siku ni maneno kwani JPM mbona kaacha njia wazi kilakitu Leo hii bei ya vyakula IPO juu na mpokimya ndani ya utawala wamamayenu mchele ,Unga nyama n.k .et.. ahsant ya nin...
Jpm alifanya kazi kubwaa sana nchini tena yenye maendeleo makubwa lakini akuwanyonya WANANCHI Kwa njia yeyote ile lakn huyu rais tozo nyingi lakn Amna chochote anafanya wizi mtupu izo shukrani apewe hayati
Tunauwona msukule wake unaendesha nchi, wajinga siku zote ukiwaona nakuwasikia utawajua kwa kauli zao
Matajiri wamabasi wanaupiga vita huo mradi kazi #iendelee
Asante TOZO
Hongera. Sana. Late. Jpm. Pasipo.. Wewe. Haya. Yote. Yasingekuwepo
Yan Leo mpaka kuanza kuwe February 🙄
Raisi gani msenge tuu huyo mtu MAGUFULI bhana
J p m shujaa
Stendi bado hazijaisha. Mkisema muanze kitumia kabla kilakitu hakijaisha, basi hamtamalizia Tena. Tungoje kila kitu kikamilike. Etesheni zote na Teli zake.
ZIDUMU FIKRA NA UBUNIFU WA HAYATI RAIS JOHN POMBE MAGUFURI.
Magufuli oyeeeeee eeeeee,Tozooo hatumjui
Ungemfata aliko kama kweli unampenda
Kazi iendelee wakati rais wa wanyonge aliacha Mchele 1200 sasa hivi 3500 mbona yeye alikuwa anajenga hyo miundo mbinu bila kuumiza wananchi kwa kodi za dhuluma kwan Alikuwa anafenyeje yeye? Hebu jiulizeni
Una AKILI sana
Kwani mradi wa bwawa la umeme umefikia wapi? Mbona hatuon kinacho endelea!
M
Angalia channel ya elseworld
We mbunge kwani wewe Ni mchina, Mtanguri wa mama hampendi kumtamka juu ya hiyo mradi tunaomba Sana muweke kumbukumbu nzuri katika ndimi zenu watanzania tunajua vizuri hiyo miradi na hasa Aliye fanya misukumo mikubwa mpaka Sasa hiyo miradi inaipa heshima Tanzania, Sasa tunaona tunona mnajifanya hamnazo hampendi kumtamka kiugasaha Magu na kumpa kongore zake.
Mavichwa yenyewe mbona kama kambale, ni yakisasa kwel aya au madalali wameshawajibika
Ila uo mrad sio wa mama samia ni mradi toka kwa magufuli tusije sema ni tozo hzo itakuwa uongo
Nina RAI. Waweke radar na camera zenye nguvu ya kuvuta mbali. Wanga hawakosi kuvizia kurudisha nyuma mema yafanywayo!
Wanao mpongeza Shetani samia niwaisilamu wakosa akili wachache
Am proud of you Mama Samia...
For what
@@hamisimussa5238 Are you blind or deaf?!!
@@jambo3751 iam blind nothing at all .salute for the vision .
Wakimbizi 9 kutoka ETHIOPIA wakamatwa hapa nchini TANZANIA kwa taarifa hiyo na undani wa taarifa hii unaipata hapa media ya kuaminika na inatoa habari zenye ukweli na uhakika th-cam.com/video/bckBMBr6cIA/w-d-xo.html
😂😂😂😂😂
We are really tired of your daily stories mr wallah. Wew ni mtalam but umekubali kutumiwa kisiasa. Please next time just kp cool usiongei maana WaTanzania wamechoka na porojo.
Anatumiwa kisiasa kivipi?!
Au nyinyi na kundi lenu hilo ndio wenye porojo la kisiasa?
Yaani mnataka wataalamu wasikilize miluzi yenu walipue tu kazi eti waambiwe wamekamilisha halafu baada siku tatu iharibike muaze kubweka kama kawaida yenu.
Mmekaa mkisubiria tu hapo MAMA SAMIA afeli kukamilisha miradi ili mpate kusema. Let me tell you miradi yote itakamilika na SAMIA hatokuwa Rais wa maisha atamaliza muda wake na ataingia mwengine.
hii train mbona Ina sura kama panya road ,,, tofauti na zile za wenzetu,,au hii ya majaribio🤣🤣
th-cam.com/video/Dn8saxAgIaE/w-d-xo.html
FAHAMU PESA ZA MAJINI NA PETE ZA MAJINI ZENYE KUVUTA MALI NA UTAJIRI MKUBWA,,..*#
th-cam.com/video/Dn8saxAgIaE/w-d-xo.html
Juhudi Kubwa viongozi Wetu Hayati Magufuli na uthubutu Wa Mama Yetu Mpendwa Samia Suluhu Hassan lakini wapumbavu hawatalitambua hilo.Allah azidi kukupa afya njema utumikie Taifa letu pendwa.
th-cam.com/video/Dn8saxAgIaE/w-d-xo.html
FAHAMU PESA ZA MAJINI NA PETE ZA MAJINI ZENYE KUVUTA MALI NA UTAJIRI MKUBWA,,..*#
th-cam.com/video/Dn8saxAgIaE/w-d-xo.html