Sipendi sana Ambavyo Tunashoboka na wazungu? Hivi unadhani huyo dada katoka Calfonia kuja kufanya vichekesho tu Bongo!! Tuwe sereous Wabongo!! Ukienda kwao ni kwa Moto sana aiseee....unasakwa Kama muizi
Alama za kumjua kama ni CIA: 1.Hawezi kabisa kukubali/kuruhusu kuolewa au kuwa na mtoto mahala kwenye mission alikotumwa sababu kwao ana maisha yake mazuri tu. 2. Wazungu wanayaogopa sana kuyaishi MAISHA ya UMASIKINI. I'm just giving you heads-up only, maana ninaishi nao muda mrefu na ninawajua vizuri sana.
@@ezekieljacob5795 English 'n Swahili have left you..for sure!!😲😳😅did i directly say that she's a CIA? or even mentioned her name that she's a member of any security bureau? poor understanding 'n am not adoring Caucasians as you do!😏😏.
Ushauri kwa wageni wote ambao sio watanzania, ukija Tanzania kwa lengo la kuishi nenda kaishi uswahilini! Sio Sijui Masaki, Oysterbay huko hautapata flavour halisi ya bongo. Mimi nilikuwa na mzungu alikuwa anaishi uswahilini na majirani walikuwa wanampenda sana yani maisha yalikuwa very simple.
Sisi wote ni wamoja,Mungu wetu ni mmoja,aina haja ya kubaguwana,km wao wanabaguwana juwa sio wote wanafanya ivo,maana pako ata wa africa wana roho km zao!!wew ishi tu km gisi mungu anapenda tuishi,maana iyi sio dunia yetu bali ni ya Mungu
Elimu ni ujinga mwandishi anajisikia raha kuongea na mzungu.angekuwa na mweusi mwanzake angekuwa mkali sana.Wimbo aliochagua una maana sana usichukulie poa mwandishi
Hao watu wako free wewe .... Nchi zao ziliendelea miaka mingi sana thats why wako far kwa killa kitu ..... Huyo anataka kujifunza vitu tofauti na wanavyojua huko kwao ili akirudi huko kwao awe na kitu cha kipekee apige pesa .....
Anaka kisheria au kwawafrica tu vip vibari viyake vipo Sawa au wa Africa tu murizeni vibari manahake usipangishe mgeni kutoka Africa nikesi kubwa daa sijuwi tunakwenda wapi
Maisha noma huko kama una ndugu huoo au jamaa mwambie akupe habari tu kidogo ni noma marecan hata wa Egypt wamejaa wanauza vifaa wakitembeza mitaani hehehe watanzania mmelala
Mzungu anaweza kukaa miaka kumi mpaka 20 ukadhani mjinga kumbe akaunti yake amewekewa mabilion kwenye akaunti yake ili afanye research ya kitu flani
Yeah upo sahihi maneno yako umeona eeeh 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kabisa
Ukwel kabisa nilishawah kulishuhudia Hilo ,,, huyu kuna Jambo analitegemea
Kweli kabisa anaweza hata kuolewa hapa hapa kumbe anafanya research zake
Kichwa chako boxi
Mh
Sipendi sana Ambavyo Tunashoboka na wazungu?
Hivi unadhani huyo dada katoka Calfonia kuja kufanya vichekesho tu Bongo!!
Tuwe sereous Wabongo!!
Ukienda kwao ni kwa Moto sana aiseee....unasakwa Kama muizi
Yani mnachoshangaa yy kuongea kiswahili nn wakat hata ss tukienda kwao tunaongea kiingereza
Kwani si hata sisi tukiwa marekani lazima tuongee kiingereza? Sasa cha ajabu ni nini yeye akiongea kiswahili akiwa Tanzania? Sisi waajabu sana
Ww ni genius walahi kaka hahaha nimekukubali
Bado utumwa 😜😜😜
Bado utumwa haujaisha😂😂😂😂
Kuweni na akili .nyie waandishi mzungu hawezi toka marekani kuja kufanya vichekesho acheni hizo
Yeah yuko na mission
Hawa wajinga ukiend kwao ukahohiwa hivi bila wao kujua utashangaa asubuhi wako mlangoni kuuliza we nyani umefikaje hapa
kweli kabisa wamarekani wabaguzi sana
Woooii kwli walai kwanza ile ukijiintroduce unataka uholewe ndio unaeza kufia jela
Na wewe dada yangu hebu punguza kula kula ebu ona unavyo vimbiana maana mpaka unatisha
😂😂😂🙌🙌🙌
Alama za kumjua kama ni CIA: 1.Hawezi kabisa kukubali/kuruhusu kuolewa au kuwa na mtoto mahala kwenye mission alikotumwa sababu kwao ana maisha yake mazuri tu. 2. Wazungu wanayaogopa sana kuyaishi MAISHA ya UMASIKINI. I'm just giving you heads-up only, maana ninaishi nao muda mrefu na ninawajua vizuri sana.
So atakua ni cia
@@bukheytmohammad2831 🙂Siku zote utautambua mti kwa matunda yake.
Hopeless thinking....wacha njaa
Hopeless thinking...au wacha njaa
@@ezekieljacob5795 English 'n Swahili have left you..for sure!!😲😳😅did i directly say that she's a CIA? or even mentioned her name that she's a member of any security bureau? poor understanding 'n am not adoring Caucasians as you do!😏😏.
Africa yetu ina amani.pia utuvulivu upo tofauti na ughaibuni ni balaa tu.maisha yanatupeleka mbio lakin afica ndio kila kitu.
Umaskini ndio tatizo
@@mohamnedsalum2150 ummaskinii upo popote bruh kuna wazungu wanaishi vibaya sanaa
Hawa watu hawajagi huku bila sababu mnaweza kusema anaenjoy,kumbe ana lake jambo, muwage makini na hao, hawajuagi kutembea bure,ila ipo sababu
Umeonaee wengine wametuma na mabeberu wabongo wakiona ngozi nyeupe hivyo wanashoboka wangejua Hao rohozao
cc ndiyo wabaya uliwahi kufanya kizuri tunajijua tunavyoishi
Africa yetu ina amani.pia utuvulivu upo tofauti na ughaibuni ni balaa tu.maisha yanatupeleka mbio lakin afica ndio kila kitu.
Mmm mmarekani? Unadhani anakaa uswazi bure huyo? Katumwa huyo baada ya muda utakuta hayupo kaisha peleka aliyo tumwa.
😂😂😂😂😂☠️😂😂
Uyu mzungu mzur balaa,,naweza kumfanya mke na nikawa na aman kabixa hata kama ni mzungu,,
Mzungu akija Africa anaenjoy but ss tukienda kwao mamaaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Unaish kama mfungwa
hatari sana
Tena Kama mbwaaaaaa kichaaa
Maisha ni magum sana jamani
Kama umegundua familia yake haiko pamoja huko kwao.
Huyu mzungu kiboko anakula mpaka makande😆😆
Muangalieni huyo yawezekana kila anapokwenda anaonekana keshaizunguka moshi Sasa yupo dar akitoka dar mtwara dodoma NK anaonekana MSOMI mzuritu
Wa bongo wanataka kwenda marekani ,mzungu hataki kutoka bongo,daaah,kali
Mapenzi yke kufanya sanaa sasa sio. Mjadili eti kama anajambo lake mwenyewe hawa akifika miaka 18 wanaondoka kwao wanafuta maisha yao
Siwaamini
Sana Hawa viumbe Wana Mambo mengi Sanaaa,,
Ushauri kwa wageni wote ambao sio watanzania, ukija Tanzania kwa lengo la kuishi nenda kaishi uswahilini! Sio Sijui Masaki, Oysterbay huko hautapata flavour halisi ya bongo. Mimi nilikuwa na mzungu alikuwa anaishi uswahilini na majirani walikuwa wanampenda sana yani maisha yalikuwa very simple.
Acheni ujinga wezi watanzania Hao nyie hamjui watu weupe wanavyotudharau watu weusi nachukia kuona wanajiachia kwenye nchi yangu 😵😵
Sisi wote ni wamoja,Mungu wetu ni mmoja,aina haja ya kubaguwana,km wao wanabaguwana juwa sio wote wanafanya ivo,maana pako ata wa africa wana roho km zao!!wew ishi tu km gisi mungu anapenda tuishi,maana iyi sio dunia yetu bali ni ya Mungu
@@arynxbaba9091 nikweli japo inatia hasira
@@mwanaishamande8880 Hakuna Namna Mama
Jina
Huyu ni F.B.I.
Unachokisema kinawezekana pia sababu Wazungu wanaogopa sana kuishi maisha ya kimasikini.
Elimu ni ujinga mwandishi anajisikia raha kuongea na mzungu.angekuwa na mweusi mwanzake angekuwa mkali sana.Wimbo aliochagua una maana sana usichukulie poa mwandishi
Kwamba mzungu hataki kuondoka jamn🥰🥰🥰
Wapelelenzi hao
Mzungu
Nyie watanganyika musiseme kibari semeni kibali
Lita wew noma 😀😀
Jaman mzungu wa mwananyamala namtaka
Rita thank you for the laughter 💜💕
Karibu sana
Utakuta hata ni mpelelezi huyu,
hahahah
🤣🤣🤣kimoja chaliii acha uongo🤣🤣
Uyo analake jambo kwaher au shari tuye teyari kupokea vairas hai wezekani mtu ache nchi yake bule
Hao watu wako free wewe .... Nchi zao ziliendelea miaka mingi sana thats why wako far kwa killa kitu ..... Huyo anataka kujifunza vitu tofauti na wanavyojua huko kwao ili akirudi huko kwao awe na kitu cha kipekee apige pesa .....
Mzungu wetu mkarimu
Why are we so excited by wazungus yet they are never excited about us 😂😂🤔
😂😂 faf* That's fact 😂✊🏼
Mwambie aje njombe achukue palachichi na viazi
Umtie. Mimba
Ok
Mzungu kichaa,mzungu pori🤣🤣🤣🤣😂
Semeni tu Africa yetu Ina amani na utulivu, unajua ameijia nn? Yani sijui tutajitabua lini. Inasikitisha sana.
Kwan ameijia nn?
Kwaiyo Unatakaje afukuzwe nchini au
Anaka kisheria au kwawafrica tu vip vibari viyake vipo Sawa au wa Africa tu murizeni vibari manahake usipangishe mgeni kutoka Africa nikesi kubwa daa sijuwi tunakwenda wapi
Angekuwa mubongo angesema myaka anayo 19
Hawa wazungu wakija tz wanaishi vzr na tunawababaikia lkn nenda kwao km mfungwa na wanatunyanyapa sana magu angekuepo ujinga hu usingekueoo
KWANI MAGU ALIPOKUWEPO WAZUNGU WALIKUWA HAWAPO TZ???
sio wote bhn
😂😂😂😂😂 mzungu hataki kurudi kwao
Maisha noma huko kama una ndugu huoo au jamaa mwambie akupe habari tu kidogo ni noma marecan hata wa Egypt wamejaa wanauza vifaa wakitembeza mitaani hehehe watanzania mmelala
Nice❤️ you
Mbona unampa leading questions
Acheni.njaa
You are so happy in tanzania rita thank you for coming to tanzania
wazungu wajanja mnoo
Mzungu kishuka anampango
Yes girl tell them .we are same about fighting to get good life
Dadaake bongo zozo
Kibamia?? Hahhaahaaaaaa!!
Jicho la FBI
WAPEMBA NI WAZURI SANA ,MASHAALLAH NAWAPENDA SANA MM
Yuko kazin8
Huyu CIA
CIA agent
Waooo
Ngoja litanenepa hili!! Anakula chapati mamaaaa hahahahahaaaaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣fala wewe🤣🤣🤣🤣umenichekesha sana
Hatari
🤣🤣🤣🤣🤣🤣ati unakibamia
👍👍👏👏💯✅️
Yeyoooooh🤣😆😆
Sio kwa hayo macho yke akikodoa
😂😂😂😂😂😂😂😂
nonsense
😁😁😁😁
"Polepole acheni njaa siwapendi wote".
Pumbavu zake aondoke kwao mpuuzi huyu kwao wanaua sana watu weusi
Acha ubaguzi wewe
not all white ppl racist! sometimes black americans doesn’t listing at all.
Acha wauae nani anawambia waende huko 😂😂😂😂😆😆