MZUNGU NAMPENDA BABALEVO/ANAOGOPA KUOMBWA HELA/ANAPENDA KULA MAKANDE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 เม.ย. 2022
- Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
MZUNGU NAMPENDA BABALEVO/ANAOGOPA KUOMBWA HELA/ANAPENDA KULA MAKANDE
#Bonatv #Exclusive #BabaLevo - บันเทิง
Bi levo baa! Fundi manyumba kumbe unajulikana had na wazungu😂😂
🗣️🗣️🗣️we mtangazaji we.
Muongeleshe Swahili ivo ivo.
Tanzania pole pole ni kweli tabia inatuchelewesha mambo mengi
Nimependa kanavyoongea kiswahili, kweli kanajaribu
Nakupenda Sana Rita Frenzel 😍😍nataka niwe kama wewe ipo siku nitaweza
Baba Levo Mwali wa kuzungu Huyu mbona mrembo hivi.
Shikamoo wanaume wa bongo kwa kuomba ela😂😂😂😂
Sex ya wanawake
Noma sana😆😆😆
huyu mzungu anaijua shishi na baba levo na waimbaji na waigizaji tu 😂😂😂
Mwezi mmoja tu anaongea kiswahili vizuri sana... she is great
No anasema alikuja Tanga myaka ya nyuma, but kwa sasa ndo ana mwezi Tz
Itaum sana🤣🤣🤣
@@fatmasaleh9516 Msenge akati matiti yake yanaonekana ya Mwana Mama kbs, au kashatoaga mimba 😂😂😂😂😂
Jamani na nampenda huyo mzungu
Sioendi ving'asit wanaomba sena ela watanitoa roho😂😂😂😂😂😂 ila wanaume wa bongo wamezidi daaah 😀😂😂
🤣🤣🤣🤣
Who doesn't love Baba levo? I love him too.
Anamjua lakini baba Levo huyu. Au atakuwa kapandikizwa make baba Levo na shilole sio Wachache 🤣🤣🤣🤣
Mwijaku hata lala, Babalevo anapendwa na mzungu. Mwijaku anacho
Hahahahah kwakweli
😀😀😀mwijaku
Hahahahaha umenichekesha san
Mswahili akiongea kizungu kibovu nwamtukana lkn madamu mzungu anaongea kiswahili kibaovu munamsifia
Ongera Ritha.welcome in Africa especially there at Tanzania
akiaMungu mzungu hapendi ving'asti wanaomba hela lkn yuwampenda blue chawa mwenyewe 🤣🤣
Anaongea kiswahili halafu mwandishi anamuuliza unafahamu neno gani la kiswahili...daah. Anyway, nisicomment zaidi.
🤣😂
Nimecheka kwakweli hapendi vingasti wanaomba hela sana watamtoa roho.mzungu umejua kunichekesha kwakweli
Nimempenda sana, kweli anajitahidi kuongea Kiswahili
nimempenda mno Yuko vizuri
Mzungu safi sana kwa kumpenda mwanangu Shilole good
i like the guy the way he is direct..umeolewa? uko na mtoto hahahaha
Hivi kweli babalevoo na jitumbo lake like anajua kucheza ama ni boyaa tuu labda misthari
Safi sana unajitahidi sana
Aaasubutuuu uyo tabu sasa kma namuona 😃
Ati anampenda baba level na nyimbo zake😂😂😂😂
Baba Revo✨✨✨✨✨
unafahamu neno gani lakiswahili, 😂
anazungumza kiswahili😊
Hahaha uyu mzungu anawasanii wake anaowapenda daaah
😅🤣🤣😂😂😅😅Baba levo bilevobaaaaaaaa wapendwa jamani nihicho kipua chakooo wanao kutukana nawapa poleeeeee
Mimi kicheko chake tuu🤣🤣🤣
Madini yetu yanaenda hivi hivi jamani🤣🤣🤣wanakuja kujitongozesha kumbe wana inshu zao🤣🤣👌🏼ila tunaona sifa eti tunapendwa wapiii🤣🤣🤣
Babu ongea kiswahili tu we mtangazaji vipi..
Bro ongea Kiswahili. Kingereza kinakuchenga kiasi. Rita anaelewa Kiswahili
Kiswahili kizur dada mkarim na mchesh sana
Yy kaondka kalfonia kaja tz kutafuta maisha .. tutaona mengi mwaka huu
😂😂
Ukiwa mzungu Hata kama unaokota makopo, ukija Africa lazima usujudiwe.
Umesema kweli tunawathamini sana hawa viumbe.
Kawaida akija huku bado ni Tajiri kuliko uko kwabo
mwandishi unajua sana kuongea nae kulingana na uzito wa kuelewa kiswahili alionao
Ok huyu msanii nilimuona akicheza na watoto yukofiti
huy sio mzungu, hadi ving'ast anawajua😃😃😃
🤣🤣🤣🤣
Congratulations, karibu Kenya Rita
Eti vingasti watamtowa roho aaahaa
😁😁😁Eti sipendi ving, sti vinaomba hela
Ving'asti mtamtoa roho dada wa watu pesa waombe ving'asti aibu naona Mimi 😂😂😂
😀😀😀😀
Anajuwa kuongea vzr kiswahili big up
Hapendi ving'asti wanaomba hela watamtoa roho Mzungu huyu ni balaaa tupu😂🤣🤣
hapo ka baba levo anajua kuimba na kucheza,, umetudanganya
Kwahyo ulitaka aongee maoni yako hivi watu uwaga mkoje
Katupiga🤣🤣🤣🤣
Baba Levo ananyimbo zakupendwa nayeye😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 apendi vibenten vitamtoa roho
Sipendi vinyasti!!
Spy uyo mzunqu
Angalia watanzania Tulivyo na akili Mbovu Diamond Alivyo kosea tu Kusema kwamba I'm 31st watu walimcheka wakamuona hajaelimika ila mzungu wetu Anavyo koses kutamka maneno watu wanaona kawadia kwasbabu sio lugha yake. Aisee
Hio ni ndugu umegonga ndipo from 🇰🇪
Karibu mafia rita
Chawa,noma unapendwa jiko hilo🤣🤣🤣
Bona TV naomba number ya huyo dada wa kizungu yuko poa sana
Lita amesemaukweli, kuzaaaa siomchezo, 😁 😁 😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣eti baba levo anajua kuimba
itauma uwi wee mbona ulizaliwa 🤪🤪🤪🤪🤪
Mtangazaji anaongea kiswahili Cha kizungu mweeeee😆😆😆😆
🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mzungu
Afanye kazi na Mr bigi bigi
Watu wakiona mzungu wanajua anamihela wanaomba hela 😅😅😅😂😂😂😂😂😂 mtoto wa kiume nguvu ya kuomba hela mwanamke unaitoa wapi?
🤣🤣
Wanaume wa sasa hawana haya hata kidogo
Yani wanaomba hela wanaume sanaaa tu mimi mwenyewe nimeshaombwa kiukweli
@@suzanamwangingo2995 Msiwape wanatudhalilisha sana
Kwani kuombana ni kosa?
Mwandishi achaushambaa,,navingeleza wakati mzungu anataka kiswahilii
huon mzungu anachanganya
Huyu mtangazaji bhana 🤣🤣🤣 kwa hiyo anaongea kiswahili-kingereza
Anajitutumua saana😂
@@whitetigerprincy5882 😀😀😀
Camera man weka light sioni vizuri
Watakutoa roho kweli😀😀😀😀
What is the diff between Callifonia and Tz. 🤣
Saleh hapo itauma sana nahc ultaman kumwambia haiumi ww tuliaaa😂😂😂😂🤣
😹😹😹
Mtu mnahojiana kiswahili harafu unamuuliza unafahamu neno gani la kiswahili...🤣🤣🤣waandishi wengine madishi
Umeona eeeh dishi kweli
@@yusufumbasa2720 Kaniacha kinywa wazi aliopouliza swali hilo,,alipaswa kuuliza neno/maneno gani ya uswahilini unayajua..walau ingeleta maana Sasa anauliza neno gani la kiswahili mtu anaongea naye kiswahili ,hii ajabu kweli mpaka mdada wa watu kaduwaa🤣🤣
Inauma sana kuzaa kwa hyo sis tuliozaa hatuna maumivu au tuna roho za chuma
🤣
Pole Francis ulizaa kwa uchungu sana
Nyinyi mnahoji mzungu njaa, unapendaje vyakula vyote ivyo
🏃♂️😂😂😂😂 wabongo nomaAaa
Hahaha wanaume wa dar wanapenda kuomba hela hawana aibu
Yaani aibu
Watangazaji WA Tz bwana. Sasa maswali gani MTU unaongea nae Kiswahili halafu unamuuliza kama anajua Kiswahili.
Rita njoo kwangu, sitakutoa roho mimi nitakuonga
Mtangazaji anaongea kiswahili kama mzungu 😂😂😂 ila hayo maswahili ulio uliza kwa kuzungu umesoma
Yani huyu mzaramo mixer mruguru😂
😄😄😄😄
Huyu Mjamaa ni kutongoza anatongoza ki siri siri
Nipeni namba yake ya cm
Jamani Kama hajaolewa huyo mzungu fanyeni nimpate
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Kusema ukweli hizo sifa baba levo hana hata moja.
Ndugu mwandishi muda wote unatukumbusha jina!!😎
Makandee hahahahahah wee mzunguu jaman
Mzungu yuko poa nanimzuri sana
Heheheheh..... difference between California n Arusha?
Mmmh hakuna mzungu hapa
Asa ww kingereza cha nn natuko tz. ...acheni izo wabongo
kanyoa kapenfeza kweli yani
Kweli iyo nimzungu
Kanajua kiswahili
Hahah eti itauma🤣🤣
Hawa watu huwa wanatumwa kama majasusi kuchunguza mambo mbalimbali.
Unauhakika gani?
Khaaaaa huyu mzaramo uyu😂😂😂😂🙌
Huyu ni hatari
Acount yake you tube amesema inaitwaje?
Unafahamu neno lipi La kiswahili wakati anaongea kiswahili aisee? Mtangazaji hapo mmmm
Uyu wa mzungu wa mbagala
😃😃😃hii nchi jaman uhuru umezidii
KISIWA CHA AMANI🤣🤣🤣🤣
😀😂😂😂😂😂😂
She's very fun I like her
She is very fun