ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Mashallah very nicely explained video, except background noise nt good..
OK.. Thank you
Mashallah nimependq sqnq sana upishi wako ntajaribu nikujibu
Nimejaribu unetokq mzuri mashallah
Shoukran
In'Shaa'ALLAH
Wow
Thanks
Mashaallah. Mungu akuweke na akujalie mkate mzuri nitajali
Mkate wavutia hadi raha 😋👌
Shoukran sis ❤❤
Mashallah mashallah 😋 😋 👌 looks soo tasty and soft
Thnx sis ❤❤
Mashaallah
Ma Shaa Allah spongy & definite tasty
I got a perfect teacher... thank u so much for teaching me ❤❤
Na chai ya rangi
Mzuri mashallah
Like👍Nice super tasty😍
Thanx love 💘
Mashallah very nice
Jazakallah khayran
MashaaAllah MashaaAllah ❤
❤❤
Mashallah tabarakallah
Hongera mkate mzuri.Unaweza tumia sukari ya kawaida?
Ni Sukari ya kawaida ila nyeupe tu inasaidia mkate kuzidi kuwa mweupe ila Kama huna hata ya kawaida
Samahani ilo tui umetumia nitui lanini?
Nimetumia tui zito la bakhresa
Ikiwa sina coconut cream naweza tumia samli??
Kwenye kupakaza kwa juu?
@@Villagelife2024-g3r juu na chini pia
Unaweza kupakaza mafuta kama huna tui Zito
@@Villagelife2024-g3rnimeipenda technique ya kupaka kwa juu mkate 😅😅 nitajaribu pia
@bawla90 Insha'ALLAH inakuwa na harufu ya tui na inakuwa na rangi nzur
Habibty huwez kuchoma kwenye oven mwanzo mpaka mwisho
Unaweza kuchoma direct
@@Villagelife2024-g3rkama nikieka kwenye oven moja kwa moja napaswa nitumie muda gani na kwa moto wa centigrade ngapi???
Kikweli mie natumia oven la gas moto wake unakuwa mkali la umeme nimesahau miaka mingi
Mchele mug 3 unawrka tui vipi?
Unaweza kuweka kama magi 2½
Kwa vitumbua na chila je,,,unawrkaje tui?
Vitumbua mie mara nyingi natumia kipimo hicho hicho kila kitu
Shukran inamaana chila, vitumbua na mkate wa sinia unatumia same vipimo c ndio?
Enhe .. ila wengine chila wanafanya kdg mzito ila mie ndo hicho hicho sema vitumbua na chila unakoroga unga ukishaumuka wakat wa kupika
Kama huna tui bubu kama ilo utapakaa nini mana sisi tunatmia nazi fresh au ilo ilo
Hata Hilo Hilo Tui la Nazi fresh au hata mafuta kidg hio inapelekea kupata rangi nzuri zaid kwa juu
Mchele wowote unawez tumia kun mchele special
Yeah mchele unaokunywa maji usonata
Mag 1 inakua ni kilo moja mydia au vp
Hapana ile magi ya chai ntajaribi kupima kwa kikombe cha kupimia nipate uhakika au ntapima kwa Gram tutajua exactly ok
Robo kilo
mchele wowote wa local au kama huna vip je
Mapembe. Ikram sio basmat na v.i.p mara nyingi basmat zinakuwa zinanata kwa dar sijui Michele mengine
@@Villagelife2024-g3r nasisi tupo kenya sijui kama inapatikana
Kenya mchele gani mnaotumia ulokuwa haunati? Ngoja ntajaribu kuwauliza wanaokaa kenye kisha nitakujibu ok
Naskia mchele wa pishori ndo mzur na rahisi
Pishori Kenya Waitwa hivoKuna mzima na chengachenga.
Mashallah very nicely explained video, except background noise nt good..
OK..
Thank you
Mashallah nimependq sqnq sana upishi wako ntajaribu nikujibu
Nimejaribu unetokq mzuri mashallah
Shoukran
In'Shaa'ALLAH
Wow
Thanks
Mashaallah. Mungu akuweke na akujalie mkate mzuri nitajali
Mkate wavutia hadi raha 😋👌
Shoukran sis ❤❤
Mashallah mashallah 😋 😋 👌 looks soo tasty and soft
Thnx sis ❤❤
Mashaallah
Ma Shaa Allah spongy & definite tasty
I got a perfect teacher... thank u so much for teaching me ❤❤
Na chai ya rangi
Mzuri mashallah
Like👍Nice super tasty😍
Thanx love 💘
Mashallah very nice
Jazakallah khayran
MashaaAllah MashaaAllah ❤
❤❤
Mashallah tabarakallah
Hongera mkate mzuri.Unaweza tumia sukari ya kawaida?
Ni Sukari ya kawaida ila nyeupe tu inasaidia mkate kuzidi kuwa mweupe ila Kama huna hata ya kawaida
Samahani ilo tui umetumia nitui lanini?
Nimetumia tui zito la bakhresa
Ikiwa sina coconut cream naweza tumia samli??
Kwenye kupakaza kwa juu?
@@Villagelife2024-g3r juu na chini pia
Unaweza kupakaza mafuta kama huna tui Zito
@@Villagelife2024-g3rnimeipenda technique ya kupaka kwa juu mkate 😅😅 nitajaribu pia
@bawla90 Insha'ALLAH inakuwa na harufu ya tui na inakuwa na rangi nzur
Habibty huwez kuchoma kwenye oven mwanzo mpaka mwisho
Unaweza kuchoma direct
@@Villagelife2024-g3rkama nikieka kwenye oven moja kwa moja napaswa nitumie muda gani na kwa moto wa centigrade ngapi???
Kikweli mie natumia oven la gas moto wake unakuwa mkali la umeme nimesahau miaka mingi
Mchele mug 3 unawrka tui vipi?
Unaweza kuweka kama magi 2½
Kwa vitumbua na chila je,,,unawrkaje tui?
Vitumbua mie mara nyingi natumia kipimo hicho hicho kila kitu
Shukran inamaana chila, vitumbua na mkate wa sinia unatumia same vipimo c ndio?
Enhe .. ila wengine chila wanafanya kdg mzito ila mie ndo hicho hicho sema vitumbua na chila unakoroga unga ukishaumuka wakat wa kupika
Kama huna tui bubu kama ilo utapakaa nini mana sisi tunatmia nazi fresh au ilo ilo
Hata Hilo Hilo Tui la Nazi fresh au hata mafuta kidg hio inapelekea kupata rangi nzuri zaid kwa juu
Mchele wowote unawez tumia kun mchele special
Yeah mchele unaokunywa maji usonata
Mag 1 inakua ni kilo moja mydia au vp
Hapana ile magi ya chai ntajaribi kupima kwa kikombe cha kupimia nipate uhakika au ntapima kwa Gram tutajua exactly ok
Robo kilo
mchele wowote wa local au kama huna vip je
Mapembe. Ikram sio basmat na v.i.p mara nyingi basmat zinakuwa zinanata kwa dar sijui Michele mengine
@@Villagelife2024-g3r nasisi tupo kenya sijui kama inapatikana
Kenya mchele gani mnaotumia ulokuwa haunati? Ngoja ntajaribu kuwauliza wanaokaa kenye kisha nitakujibu ok
Naskia mchele wa pishori ndo mzur na rahisi
Pishori Kenya
Waitwa hivo
Kuna mzima na chengachenga.