ULIPOFIKIA MRADI WA UMEME RUSUMO WA DOLA MILIONI 340 "KAMATI YA AMANI YAUTEMBELEA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 99

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 3 ปีที่แล้ว +11

    Rwanda ni trade partners wetu wakubwa sana na wanatutegemea sana. Kuwa na switch Rwanda wala haina maana tumeliwa, maana infrastructure kubwa iko Tanzania hivyo hapa hatujaliwa chochote kama watu wanavyodhania. Wananchi tujifikirie sana na wala siyo kuhukumu bila kuangalia ni nini hasa kinaendelea na dhima yake ni ipi.

    • @francishaule81
      @francishaule81 3 ปีที่แล้ว +2

      Bro yawezekana upo sahihi, labda sie wengine hatujui yanayoendelea na mantiki ya mradi...kwa mtazamo wa nje inaonekana haijakaa sawa...labda ungetuelewesha zaidi mantiki ya switch kuwa nchi nyengine wakati bwawa lipo nchi nyengine? Hiyo ya Rwanda kuwa trade partners pekee yake haitoshi...na hawa hawa trade partners ndio walifunga mpaka kuzuia malori yetu yasiende kwao...inawezekana hatuwajui vyema mnaowaita trade partners, we need to be careful

  • @teacherd
    @teacherd 3 ปีที่แล้ว +1

    Uchambuzi Wa Riwaya Ya TAKADINI👇
    th-cam.com/video/-LiyGQkqczA/w-d-xo.html

  • @kasumilikamilius1338
    @kasumilikamilius1338 3 ปีที่แล้ว +10

    Kwanin huo mradi usitumbuliwe Mana sisi watanzania hatuitaji hata mradi wenyewe Mana tunaonekana viraza haiwezekani mradi uwe tz switch iwekwe Rwanda, WHY?

    • @kamanda007
      @kamanda007 3 ปีที่แล้ว +5

      Acha ujinga wako na next time uliza kwanza? Sababu ni mradi wa nchi tatu na kila nchi imepewa some way of control, TZ ndio running machines zote zilipo, Rwanda control switch na Burundi not sure Ila wana some equal control rights kama wengine

    • @baltazarierro1575
      @baltazarierro1575 3 ปีที่แล้ว

      Hapa nyie hamjaelewa bukoba kagera huwa hawaitakii mazuri ndo maana switch imepelekwa kule

    • @sundayandrew1787
      @sundayandrew1787 3 ปีที่แล้ว

      Mradi upo Ngara alietembelea ni mkuu wa wilaya ya Bukoba je? Mkuu wetu wa wilaya ya Ngara atatembelea lini?

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 3 ปีที่แล้ว +3

    Ahhh mi sijapenda hii!!! Switch iko huko kwa jirani, sisi hatuna hiyo switch. Nasema sitaki hiyo.

  • @mohamnedsalum2150
    @mohamnedsalum2150 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana serekali ya awamu ya tano kwa miradi mikubwa mikubwa

  • @Bayothomusic
    @Bayothomusic 3 ปีที่แล้ว

    Isikilize hii hapa👇
    th-cam.com/video/8N_SlrDolOw/w-d-xo.html
    Usiache ku_subscribe, like, comment

  • @gadsonndato2941
    @gadsonndato2941 3 ปีที่แล้ว +3

    Kwahiyo rwanda ina maendeleo mazuri sana

  • @pamelauwera3830
    @pamelauwera3830 3 ปีที่แล้ว +3

    Kwioooo imekuakua je mpaka Switch ikaenda Rwanda

  • @kasumilikamilius1338
    @kasumilikamilius1338 3 ปีที่แล้ว +5

    Alafu nyinyi mbona wa ajabu sana inakuwaje mradi wa umeme uwe tz switch ya kuwashia umeme muweke Rwanda. Kweli Kama alivyo sema rais nani sisi katuroga Mana hayo maajabu ya dunia

    • @SimbaM2kufu
      @SimbaM2kufu 3 ปีที่แล้ว +5

      Pay attention, mradi sio wa Tanzania pekeyake, ni wa Tanzania, Rwanda na Burundi and wote wamechanga pesa sawa kukamilisha mradi na watagawana umeme sawa. Watu hamuelewi kiswahili au?

    • @mybrevisai2508
      @mybrevisai2508 3 ปีที่แล้ว +2

      King Kinjikitile Nani kasaini huo ushenzi? Kwamba Tanzania sisi tulikosa pesa ya kununulia switch? Huu ni ufisadi kama ufisadi mwingine tu, Switch tunajenga hapo hapo bwawa lilipo, na umeme wetu tutawauzia, huo mchango wao warudishiwe , ujinga huu!!!!

    • @mybrevisai2508
      @mybrevisai2508 3 ปีที่แล้ว

      Na wataendelea kuchukua umeme wetu hadi lini!? Miaka 10? 20? 50? 100? No way!!!

    • @straitnews3441
      @straitnews3441 3 ปีที่แล้ว +1

      @@mybrevisai2508 eti Tanzania tulikosa pesa yakununulia switch hahaaaas

    • @SimbaM2kufu
      @SimbaM2kufu 3 ปีที่แล้ว +1

      @@mybrevisai2508 Pole sana bro; kuelewa uchumi sio lelemama. Tanzania itachukua 60% ya mafuta ya Uganda. Wachumi wanaelewa 😀😀😀😀😀

  • @onlinetv2269
    @onlinetv2269 3 ปีที่แล้ว +3

    Jpm ilo ni jipu tunakuomba ulitumhue atushindwi kuweka swichi huku tz maeneo tunayo tunakuomba utumbue harala kama tumekopa 100% inamaana tunaweza kujenga wenyewe sasa warejeshe swichi kisha tutswauzia umeme kama wakitaka sina imani na rais kagame si umeona anacho wafanyia wakongo

  • @nzumielectronic504
    @nzumielectronic504 3 ปีที่แล้ว +4

    Huyu jamaa hata sijamuelewa ya kwamba Tanzania imekopa 100% ya mradi na Rwanda 50% Bado sijamuelewa halafu switch iko rwanda

    • @hamzamwilaphy2902
      @hamzamwilaphy2902 3 ปีที่แล้ว +2

      Anamaanisha Tanzania imekopa asilimia 100 ya gharama za mradi, Rwanda 50 na 50 ni kodi zao, na Burudi wamepewe msaada kwenye gharama za huo mradi. Ikumbuke wameshare nchi tatu

    • @edisonpeter3894
      @edisonpeter3894 3 ปีที่แล้ว

      Huwezi kuelewa kabisa maana unaroho ta UKAWA

    • @sumadesigner7036
      @sumadesigner7036 3 ปีที่แล้ว

      Alivyomanisha Kwa mfano kama gharama ya mradi wote 150 kuna nchi Tatu so,kila nchi itachangia 50 manayake kwenye 50 Tanzania 100% ni mkopo,Rwanda 50% mkopo na 50%fedha zao zandani

  • @jafetiwilson8092
    @jafetiwilson8092 3 ปีที่แล้ว +1

    Nahitaji hiyo switch iludishwe haraka iwezekanavyo ,,,how come

  • @gadsonndato2941
    @gadsonndato2941 3 ปีที่แล้ว +2

    Ivi aliekopa na alisaidiwa na yupo sawa kwenye huo mradi yan umeme utengenezwe tz afu swich iwe rwanda

    • @onlinetv2269
      @onlinetv2269 3 ปีที่แล้ว +1

      Yani sio kukopa tu yani sisi tumekopa 100/rwanda 50% burundi 00% alafu tunagawana sawa jpm watumbue sasaivi

    • @straitnews3441
      @straitnews3441 3 ปีที่แล้ว

      @@onlinetv2269 INA maana Rwanda kuna pesa zake imeweka ndo maana imekopa kwa 50℅

  • @mybrevisai2508
    @mybrevisai2508 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwamba bwawa linajengwa ndani ya Ardhi ya Tanzania ilikuwa ni mchango tosha, na hatukupaswa kulipa hata 100, tena ingebodi watulipe, huu ni ufisadi mkubwa sana

  • @delsonandrew9330
    @delsonandrew9330 3 ปีที่แล้ว +2

    Hapo so bure japo kua watu wamepata utajili kwa hizo Hiyo switch kwann Ikae upande wa pili

  • @baltazarierro1575
    @baltazarierro1575 3 ปีที่แล้ว +1

    Tatizo la kuweka switch Rwanda nikwasababu bukoba huwa inatengwaga kwanamna flani

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 3 ปีที่แล้ว

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI

  • @aminasaif7274
    @aminasaif7274 3 ปีที่แล้ว

    Hapa aiseee sijapeda mladi wa Tanzania swich iwe ruwada hapana aiseee

  • @francishaule81
    @francishaule81 3 ปีที่แล้ว +2

    Yaani sisi Tz tutoe 100% ya fedha za mradi, Rwanda watoe 50% na Burundi kiasi kisichojulikana, halafu mgawo wa umeme uwe sawa 27% kwa kila nchi? tumerogwa au?

    • @ptElimu1234
      @ptElimu1234 3 ปีที่แล้ว

      Yawezekana TZ ita accumulate Profit kubwa

    • @mybrevisai2508
      @mybrevisai2508 3 ปีที่แล้ว

      Bila shaka tumerogwa aiseee

    • @husseinibrahim530
      @husseinibrahim530 3 ปีที่แล้ว +1

      Tz kichwa cha mwendawazimu. Kuna kitu hapa. Huenda shea furan itaingia akaunti binafsi

  • @yubimakame9034
    @yubimakame9034 3 ปีที่แล้ว

    Duh hizi shelia zinanichanganya

  • @yubimakame9034
    @yubimakame9034 3 ปีที่แล้ว

    Kwa kweli nahitaji elimu mwenzenu kuhusu haya mambo

  • @bundaman8542
    @bundaman8542 3 ปีที่แล้ว +1

    Siyo kila Jambo lazima tu comment. Kitu hukifahamu basi ulizia kwa wanaokifahamu. Elimu haina mwisho. Humu kuna vijana wadogo tu ambapo alitakiwa awe na elimu ya kuelewa mambo na haonyeshi jitihada za kuhitaji kufahamu Mambo asiyoyajua anaamua tu ku comment chochote kinachokuja vidoleni siyo kichwani.

  • @mybrevisai2508
    @mybrevisai2508 3 ปีที่แล้ว +1

    Wakiamua kutuhujumu na kuzima switch je?

    • @cosmasdaud9088
      @cosmasdaud9088 3 ปีที่แล้ว

      Hawawezi sehem kubwa ya mitambo si ipo kwetu

  • @davidcurtis8556
    @davidcurtis8556 3 ปีที่แล้ว

    Sisi Tanzania ndio tunaonufaika zaidi hiyo ni kumvutia mteja na kwavile mitambo hiyo ipo kwetu maana yake hata gharama kwetu ni nafuuu kuliko kwao, na hata kama itakuwa sawa lkn wafanyakazi asilimia watakuwa ni wazawa halafu huo mbona pia ni mdogo watanzania wenzangu??? Mgw 80 tu!! Wakati hv karibuni tu mradi wetu wa umeme wa rufiji ukikamilika utazalisha mgw 2115 ne huo utaingia mara ngapi kuufikia mradi wetu!?

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 3 ปีที่แล้ว +1

    Uchumi wa Viwanda kanda ya Ziwa hasa Bukoba uko wazi... Ukiangalia hiyo mitambo ya kufua umeme tulizoea kuiona kwenye channel za Discovery za nchi matajiri duniani

  • @gregorychogelo2013
    @gregorychogelo2013 3 ปีที่แล้ว

    #TanzaniaMpya
    #VivaJPM

  • @hashimshaban4675
    @hashimshaban4675 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwahyo bila kusema awamu ya tano mradi haunogi?

    • @edisonpeter3894
      @edisonpeter3894 3 ปีที่แล้ว

      Haunogi. Lazima waseme ili 2023 tumwongezee JPM muhula mwingine

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 3 ปีที่แล้ว

      Kwani akisema ni uongo? Au akisema inapunguza nini? Au inakuuma nini? Me naona hyo ni minor thing. Aseme asiseme issue ni ileile😂😂😂

  • @abelchuche4484
    @abelchuche4484 3 ปีที่แล้ว

    Wizi mtupuuuuuuu watumbuliweeeeee.

  • @maruhe1958
    @maruhe1958 3 ปีที่แล้ว

    Fidia zinalipwa lini

  • @husseinnyagongo6679
    @husseinnyagongo6679 3 ปีที่แล้ว

    Yaani akili ni nywele.... basi tufafanulieni apo kwanza.... kwa nini switch iwe Rwanda.... ndio kama yale ya Congo.... wanavifua umeme vikubwa zaidi ya icho apo ila switch iko Rwanda kisha wacongo wanalalia makoroboi mpaka leo

  • @kamanda007
    @kamanda007 3 ปีที่แล้ว

    Huyu jamaa anaitaja Bukoba as if ni mradi wa Bukoba peke yake na ukweli mradi wenyewe upo wilaya ya ngara kea upande wa Tanzania

  • @christianlutare6309
    @christianlutare6309 3 ปีที่แล้ว

    Huu mradi kama una harufu ya rushwa bilioni 700 zinazalisha megawatt 80???? Wakati kinyerezi 1 mradi wa bilioni 400 una zaidi ya megawatt 200 kuna wizi hapa

  • @michaeleustarch3236
    @michaeleustarch3236 3 ปีที่แล้ว

    Duuuu

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed1294 3 ปีที่แล้ว +1

    Upuuzi huu, yaani ardhi ya Tanzania izalishe umeme halafu switch na mitambo iwekwe Rwanda?
    Hapa tumechemsha! Haiingii akilini.

    • @baltazarierro1575
      @baltazarierro1575 3 ปีที่แล้ว

      Hujasikia tumekopa asilimia 💯 Rwanda 50 asilimia Burundi Ni msaada

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 3 ปีที่แล้ว

    Mnaopiga kelele kua Switch kwanin ipo Rwanda kwani mnadhan Mjomba hajui hilo?? Je kama ni nakubaliano nyie mtajuaje??

    • @michaelsiweya6500
      @michaelsiweya6500 3 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa umenena..kwani sisi shida yetu ni nini?..watu wasiwe wanaongea tu bila mpangilio...suala msingi hapa ni mgawanyo sawa wa megawatt....Na isitoshe sisi tuna bwawa la Nyerere litakalo toa umeme na kuzidi matumizi...shida iko wapi

  • @Mike-fv5lv
    @Mike-fv5lv 3 ปีที่แล้ว

    Tusiwe wabinafsi......huu ni mradi wakikanda na ndo maana unaona financing imefanyika kote

    • @mybrevisai2508
      @mybrevisai2508 3 ปีที่แล้ว

      Michael Hatibu Kikanda ndio nini? Huu ni ufisadi, Tanzania tulikosa pesa ya kununua Switch sisi hadi tukaombe mchango wa Rwanda?

  • @letsgobacktoafricafoundati1322
    @letsgobacktoafricafoundati1322 3 ปีที่แล้ว +2

    Kwanini Rwanda jaman 😐😐

  • @mybrevisai2508
    @mybrevisai2508 3 ปีที่แล้ว +1

    Bwawa liko kwetu, sasa makubaliano ya nchi tatu yanatoka wapi? Au ndio yale yale kama ya wamisri na Ethiopia?

    • @shumbusho8579
      @shumbusho8579 3 ปีที่แล้ว

      Unauhakika na unachoandika????

    • @mybrevisai2508
      @mybrevisai2508 3 ปีที่แล้ว +1

      Eric Badala ya kupoteza muda kunihoji, sema liko wapi mjadala uendelee, sio kuleta maswali ya nyodonyodo hapa

  • @mybrevisai2508
    @mybrevisai2508 3 ปีที่แล้ว +2

    Na kwanini hiyo Switch ikawekwe Rwanda? Why?

    • @francishaule81
      @francishaule81 3 ปีที่แล้ว +1

      Hata mimi nimejiuliza, hawa wa Rwanda wametufanyaje?

    • @letsgobacktoafricafoundati1322
      @letsgobacktoafricafoundati1322 3 ปีที่แล้ว +1

      Wajinga sn pumbavu kwani rwanda ni wanani pumbavu zao

    • @Planet_Zong
      @Planet_Zong 3 ปีที่แล้ว

      Mradi ni ushirikiano wa mchi tatu,radi.uko mpakani so ni mgawanyo tu kuepuka yale ya 1977

    • @mybrevisai2508
      @mybrevisai2508 3 ปีที่แล้ว

      Thomas Majuto Mpakani maana yake nini? Mbona hiyo Switch haijawekwa mpakani wameenda kuiweka Rwanda? Why??!

    • @ngwanafabian9668
      @ngwanafabian9668 3 ปีที่แล้ว

      @@mybrevisai2508 Pengine hujawahi hata kufika Rusumo. Swich kuwa Rwanda au Burundi kuna tatizo gani wakati mradi huu ni wa nchi 3!? Unachotakiwa kuelewa kila nchi itapata 27 mwtt

  • @uknown7690
    @uknown7690 3 ปีที่แล้ว

    𝐁𝐢𝐠 𝐮𝐩 @𝐦𝐢𝐥𝐥𝐚𝐫𝐝 𝐚𝐲𝐨👊👊

  • @drgeofreykupaza7707
    @drgeofreykupaza7707 3 ปีที่แล้ว

    Kaproject kadogo ivo kanachukuwa mda mrefu ivyo 80wat miaka zaidi ya minne apo mkandarasi hayupo serious

  • @mrtricks3742
    @mrtricks3742 3 ปีที่แล้ว

    .

  • @mtemipesatvonline9993
    @mtemipesatvonline9993 3 ปีที่แล้ว

    huyu jamaa atakuwa amekosea kuongea maana mradi huu unaendeshwa kwa cod au pesa za wananch sasa yeye kiulain tu anakwambia swich itakuwa rwanda hahaha kama vipi tumegair huo umeme hatuutaki kwani hata tulionao unatutosha tena sikuiz haukatiki hovyo umefika kila kijiji pia sola zipo za kutosha mpaka za mkopo zipo nyie vipi msituchanganye kwanza

  • @rashidkambi3070
    @rashidkambi3070 3 ปีที่แล้ว +4

    Bora wajiliwe darasa la saba kwa muonekano huu vichwa vyote haviko poa we yan switch iwekwe Rwanda alafu mrad uwekwe Tz hahahhaa

    • @SimbaM2kufu
      @SimbaM2kufu 3 ปีที่แล้ว +1

      Mradi sio wa Tanzania, ni wa nchi 3, ulitaka kila kitu kiwe Tanzania? Lakini sikulaumu, lasaba wengi hawaelewi multinational projects zinavyo fanyika.

    • @charlessalehe1286
      @charlessalehe1286 3 ปีที่แล้ว +1

      ngoja niku fafanulie, huuu mradi upo mpakani mwa inchi tatu maraisi wa inchi mbili, Burundi na rwanda wameomba msaaada wa umeme Tanzania kuputia chanzo cha maji kilichopo hapo mpakani, sasaaa, Rwanda na Burundi eneo la kutega mitambo hawana eneo hilo linapatikana tanzania, hivyo katika makubaliano Tanzania ikasema wekeni lakini tugawane sawa kwa sawa. ndio hivyo ilivyo kwaiyo haina haja ya kugombea swichi sisi tume uza kiwanja cha kutega mitambo tuu

    • @mtemipesatvonline9993
      @mtemipesatvonline9993 3 ปีที่แล้ว

      @@charlessalehe1286 wewe inawezekana msomi ila umesahau kauli za viongozi hapo awali walisema wanatengeneza chanzo kipya ambacho kitazalisha mgwt 2500 ambazo ni zaid ya matumiz ye hvyo tutanufaika kwa kuuza umemw nnje ya nnch ina maana walimaanisha mradi huo hautokuwa na share sasa leo hii uje ujenge alafu useme mradi huu tunadaiwa 100% alafu swetch ikae nnje ya nch hyo inakuwa sio kweli yani yaleyale ya iringa wanazalisha nguzo za umeme ila ukihitaji kuletewa umeme unaambiwa mpaka nguzo zitoke dar wakat ulipo ndo zinapotoka muda huo

    • @straitnews3441
      @straitnews3441 3 ปีที่แล้ว

      @@SimbaM2kufu aisee naona hz comments najiuliza inakuwaje watu wanakuwa na uelewa mdogo kias hiki ? Alafu MTU amekomalia switch tu na kigezo cha tz kukopa 100℅ bila kujiuliza kama Rwanda wamekopa 50% INA maana wameweka hela zao?

    • @maishacenter-eastafricatv3976
      @maishacenter-eastafricatv3976 3 ปีที่แล้ว

      Tanzania mnaonekana wabinafsi sana

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 3 ปีที่แล้ว

    Hao yote LISSU .Hana Tarifa kuwa TZ nawatanzania wanatunza sana nchi yao maendeleo makubwa yanazidi kusambaa kwa kasi mungu yaibariki TZ pamoja na watanzania wote pamoja na MH rais magufuli ubarikiwe

  • @CyimSky
    @CyimSky 3 ปีที่แล้ว

    Bill Gates Utajili wake kuisha baada ya miaka 279 matumizi ya siku Tsh. 2.3 bilioni
    th-cam.com/video/qEpQQCqIFKA/w-d-xo.html

  • @ngwanafabian9668
    @ngwanafabian9668 3 ปีที่แล้ว

    Nyie mnaosema Tz tumepigwa ni wapumbavu. Mradi huu siyo wa Tanzania pekee sababu maji yanayotumika kuzalisha umeme yanatokana na mto Kagera unaohusisha nchi 3 sasa iweje kila kitu kiwe Tanzania.

    • @mybrevisai2508
      @mybrevisai2508 3 ปีที่แล้ว

      Ng'wana Fabian Misri alimuomba nani ruhusa kujenga Aswan Dam, kama suala ni mto kuhusisha nchi tatu basi kila mtu ajenge bwawa lake kwake na atumie switch zake

    • @mathewtwimanye92
      @mathewtwimanye92 3 ปีที่แล้ว

      Ni shida ya ufahamu mbongo bwana duuuu

  • @mybrevisai2508
    @mybrevisai2508 3 ปีที่แล้ว

    Huu mradi usitishwe mara moja!!!!! Hatuutaki kabisa, yaani umeme uzalishwe Tanzania halafu switch mkaweke Rwanda?????! Kajengeni bwawa huko huko Rwanda ndio mtumie switch zao, hili bwawa switch zake zitafungwa hapo hapo lilipo !!!! Liwalo na liwe, mshenxi gani kasaini huo upumbavu dadadeki zake??!!!

  • @elibaricksadock9562
    @elibaricksadock9562 3 ปีที่แล้ว

    Utoporo mtupu

  • @mrtricks3742
    @mrtricks3742 3 ปีที่แล้ว

    .