DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA SANKARA/ RAIS ALIYELALA GEREZANI NA KUAMKIA IKULU/KIFO CHAKE CHATISHA!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2024
  • DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA SANKARA/ RAIS ALIYELALA GEREZANI NA KUAMKIA IKULU/KIFO CHAKE CHATISHA!
    Thomas Sankara alizaliwa katika familia ya kishua, Baba yake alikuwa Miltary Police. Hakukulia kwenye zile nyumba za kulala na kuku,mbuzi na viroboto. Alikulia kwenye nyumba ya tofali labda ndo maana alikubali kufa kwa ajili ya maskini. Hakuwa limbukeni wa maisha kama Kamuzu Banda na Mobutu Sese Seko. Sijui kwa nini watu wengi waliokulia kwenye maisha ya kimaskini huwa hawana huruma? Angalia wazazi wengi waliosoma kwa shida kama baba yako mkubwa wanavyotamani watoto wao wasome kwa shida na wakati Mungu kawabariki utajiri wa kutupa. Ndo hawa wanamilikia magari lakini mwiko mtoto kuligusa na mke hajui kuendesha. Ndiyo maana mjomba wangu alipenda kusema umaskini siyo mzuri. Umaskini unashambulia ubongo wa upendo na kupandikiza chuki. Maskini akipata matajiri jiandaeni!
    JE,UNATAKA KUTANGAZA NA ANANIAS EDGAR TV?
    WASILIANA NASI KUPITIA: +255659982764 /+255629977724
    EMAIL: ananiasedgartv@gmail.com
    Follow Us On Instagram
    / ananiasedgartz
    / ananiasedgartv
    SUBSCRIBE
    bit.ly/2ZWGBXo
    Copyright Disclaimer: Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research.
    ______________________________________________________________________________________________
    SIMULIZI ZA MATUKIO: bit.ly/2XlNCzg
    HISTORIA ZA VIONGOZI: bit.ly/3ezWg2X
    ELIMU ZA UKOMBOZI: bit.ly/3eCOK7m

ความคิดเห็น • 123

  • @apostlesamuelkiariemuthoni7754
    @apostlesamuelkiariemuthoni7754 2 ปีที่แล้ว +6

    Mpagaze you are so inspirational. Tafadhali tungefurahia ifanye historia ya Putin wa Urusi

  • @mwakawangu9780
    @mwakawangu9780 4 ปีที่แล้ว +18

    Fanya historia ya Rais Uhuru kenyatta wa Kenya na jinsi anavyo tuzamisha sisi wakenya kwenye lindi la madeni...🤐🤐

  • @aguerowakujidai5275
    @aguerowakujidai5275 4 ปีที่แล้ว +13

    From Congo Kinshasa watching now

  • @zuberilusweka7696
    @zuberilusweka7696 4 ปีที่แล้ว +17

    Thank GOD You Are Back Ananias...........Dont Ever Left us Hanging Again With all due respect The Guy you left us with he was Cool but not as Good us You.......You Are The King in your Own Channel. You have a Million Dollar African Voice That am Proud to Listen to .Lots Of Love From Your Kenyan Fan in Braamfontein, Johannesburg, South Africa. Keep it Up Dude!

    • @azzaalnaamani76
      @azzaalnaamani76 ปีที่แล้ว +1

      I totally agree, he has a oerfecr narration voice,,, ma Allah guides him, he is given a rare talent, love from Muscat🇴🇲♥️👍

  • @omurwasolomon5131
    @omurwasolomon5131 4 ปีที่แล้ว +7

    Please tuandalie ya Kim wa North Korea ..mimi fan wako kutoka Kenya

  • @hanningtonedagwa8636
    @hanningtonedagwa8636 3 ปีที่แล้ว +2

    Thomas sankara was a real hearo

  • @mwinamilapaul352
    @mwinamilapaul352 4 ปีที่แล้ว +4

    Ananias waambie watu vizuri someni historia, Nyerere ilimshinda na hata mwinyi hakuwa na namna zaidi ya kukubaliana tu wale, hali ya watanzania ilikuwa mbaya mno maisha kipindi cha miaka ya 1975s ilikuwa mbaya mno

  • @johnmungai830
    @johnmungai830 4 ปีที่แล้ว +8

    Ata kenya 2na watch iki2 tupunguze advert plizz..

  • @VictorEden-mk9mk
    @VictorEden-mk9mk ปีที่แล้ว +1

    Outstanding,mpagaze

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 4 ปีที่แล้ว +2

    My president forever Captain Sankara

  • @sofialinus8241
    @sofialinus8241 3 ปีที่แล้ว +7

    Pumzika kwa Amani Thomas Sinkala 😭😭😭

  • @equalrights5278
    @equalrights5278 4 ปีที่แล้ว +3

    JAMBO NDUGU FROM GUYANA S, AMERICA.SANKARA, SANKARA. SANKARA YOUR BLOOD CRIES OUT FOR JUSTICE .

  • @hassanshunda3159
    @hassanshunda3159 4 ปีที่แล้ว +8

    Dah ! Watu wachache ndio wanatuaibisha sisi Wa Afrika R.I.P. Sankara

  • @jaffersandi8048
    @jaffersandi8048 3 ปีที่แล้ว +3

    Thomas Sankara the Legend RIP

  • @madetetv6576
    @madetetv6576 4 ปีที่แล้ว +2

    Thomas Sankara kubali sana

  • @evanstum5032
    @evanstum5032 3 ปีที่แล้ว +3

    Ukweli rest in peace.

  • @jonbaggy5926
    @jonbaggy5926 4 ปีที่แล้ว +1

    Out of point brother

  • @destindjumbe8023
    @destindjumbe8023 2 ปีที่แล้ว +1

    Africa is our continent , but we don't have a good leaders . We still in colonies. But when we are united Africa will be a good place to live.

  • @noordinabdi3374
    @noordinabdi3374 3 ปีที่แล้ว +1

    Gretest of all time rip

  • @washingtonleckiemilongo5501
    @washingtonleckiemilongo5501 4 ปีที่แล้ว +8

    Mfano Bora kwa viongozi wetu wasfisadi tena wabaguzi wa sasa .....R.I.P Thomas Sankara

  • @funnymoments1213
    @funnymoments1213 8 หลายเดือนก่อน

    You and your team are the best brother Ananias

  • @abdulzackawami7780
    @abdulzackawami7780 4 ปีที่แล้ว +9

    R.I.P Thomas Sankara 😭😭😭ulikuja Tanzania na kumuita Mwalimu Nyerere Baba dah!maana ulikuwa unamkubali sana..

  • @rafaelikimati4276
    @rafaelikimati4276 4 ปีที่แล้ว +4

    R I P Thomas Sankara

  • @ukweli255
    @ukweli255 3 ปีที่แล้ว +6

    Baada ya JPM kuodoka nikaja hapa kumsoma huyu mwamba

  • @BabaBabalili
    @BabaBabalili หลายเดือนก่อน

    Nakubal

  • @omariochumu935
    @omariochumu935 4 ปีที่แล้ว +2

    Nakupata vyema kaka

  • @AFRiCANKiDOnline
    @AFRiCANKiDOnline 4 ปีที่แล้ว +3

    channel inauzwa ina 50k subscribers na ipo monetized kwa bei ya milion 2 maelewano yapo just replay comment hii

  • @chriskarani7179
    @chriskarani7179 3 ปีที่แล้ว

    Waaah!!! wazungu Kweli ndio maana Mungu akaweka bahari ndio tusikutane nao lkñ kiburu chetu kinatukula Legends sankra and magu

  • @selinalukwembe7363
    @selinalukwembe7363 4 ปีที่แล้ว +1

    Napenda sn mungu amlinde

  • @rafaelikimati4276
    @rafaelikimati4276 4 ปีที่แล้ว +2

    Rais wa ukweli kama tulonae sasa tumtunze na Kumuombea sana Amina

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 3 ปีที่แล้ว

      Sankala alitoa ajila alifundisha watu wafanye nn yeye mwenyewe akawa front line husimulinganishe

  • @sindabahabwoyaanacret660
    @sindabahabwoyaanacret660 4 ปีที่แล้ว +2

    nitanunua kitabu broo,but story ya laurent nkunda tunaihitaji

  • @mamskiumbe4057
    @mamskiumbe4057 4 ปีที่แล้ว +1

    Nais sn

  • @frankbutati8343
    @frankbutati8343 2 ปีที่แล้ว +1

    Hakika alikuwa mtu muhimu sana Africa

  • @anthonykavishe8868
    @anthonykavishe8868 4 ปีที่แล้ว +2

    Mungu awape nguvu

  • @albertojoel5337
    @albertojoel5337 10 หลายเดือนก่อน

    Iko good sanaa

  • @damianmalley8675
    @damianmalley8675 ปีที่แล้ว

    Okay

  • @stephenkisambo6356
    @stephenkisambo6356 3 ปีที่แล้ว +2

    Tuletee history ya mapinduzi ya kisoviet na kichina

  • @chapaadon6117
    @chapaadon6117 4 ปีที่แล้ว +1

    kiongoz shujaa sana daima tutamkumbuka

  • @Dismance
    @Dismance 6 หลายเดือนก่อน

    Alikuwa noma kbs

  • @nyakichamzury7606
    @nyakichamzury7606 4 ปีที่แล้ว +8

    Wazungu ni watu wabaya Sana wameuwa miamba yetu ya
    Afrika wakaacha vibaraka wao tu ila ipo siku wa
    Afrika tutakomboka kifikira

    • @marklekasango9300
      @marklekasango9300 4 ปีที่แล้ว +1

      Kweli nawachukia sana wazungu sana

    • @nurukiingu9012
      @nurukiingu9012 3 ปีที่แล้ว

      Navyenye wametawala uku afrika, wameuziwa viwanja,wamejenga makampuni nakibaya zaidi wanaendelea Kuoa mabinti wakiafrika kila siku🤔 wachina, wahindi, waarabu kila mahali wapo🙆‍♀️

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 4 ปีที่แล้ว +9

    Daaaaa jmn watu kma Sankara tupo wachache SIASA NI KILIMO lkn saiz ona wanachofnya wajinga huko

  • @amidumselle5659
    @amidumselle5659 8 วันที่ผ่านมา

    Loh kweli Hayati Hon. John P. Magufuli angeifufua shilingi ya baba wa Taifa na tungefika Nchi ya ahadi

  • @kiprotichkelvin6626
    @kiprotichkelvin6626 3 ปีที่แล้ว

    Historia🖤🌍

  • @francisomondi5805
    @francisomondi5805 2 ปีที่แล้ว

    Kazi poa bro

  • @agapemushi3085
    @agapemushi3085 4 ปีที่แล้ว +1

    Nasubiri historia ya black panther

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 4 ปีที่แล้ว +1

    You are the best My Brother 👏👏👏👏👏

  • @britishboytz3576
    @britishboytz3576 4 ปีที่แล้ว +3

    Broo unajua kupangialia simuliz zko

  • @hancepopessau2527
    @hancepopessau2527 4 ปีที่แล้ว +3

    R i p simba

  • @phanuelemmanuel4743
    @phanuelemmanuel4743 ปีที่แล้ว +1

    Thomas Sankara 🙏🙏🙏🙏 RIP

  • @rogasianshayo1925
    @rogasianshayo1925 4 ปีที่แล้ว +1

    Thomas sankara kiongoz bora kuwahi kutokea Africa

  • @loomoniolesasi6123
    @loomoniolesasi6123 2 ปีที่แล้ว +1

    R I P pumzika salaam

  • @samsonsimba6812
    @samsonsimba6812 2 ปีที่แล้ว

    Wish you really

  • @hubertanthony7846
    @hubertanthony7846 4 ปีที่แล้ว

    Napenda sana kufatilia simulizi zako ila tatizo mimi sifahamu Kiswahili kwaio sielewi unachosimulia

  • @reaganpatrick3323
    @reaganpatrick3323 4 ปีที่แล้ว

    Bro nmekubali saana

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 4 ปีที่แล้ว

    Jamaa nimemsoma Kwny kitabu Cha major events of African leaders

  • @kingfocustzog
    @kingfocustzog 4 ปีที่แล้ว +3

    🌹👉Inaumiza Sana Pale Unapo Gundua Kuwa Uliwakataa Wengi Kwa Sababu Ya Mtu Mmoja Ambaye Amekupotezea Muda Wako,,Mbaya Zaidi Ulikuwa Mwaminifu Kwa Mtu Ambaye Hana Hata Fadhila,Hii Kitu Inauma Sana👈🌹

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao 4 ปีที่แล้ว +1

    Siku ipo Africa itasimama ila sio Enzi Hii ya Karne ya ishirini Simulizi Konki Sana

  • @jimmygiliad6222
    @jimmygiliad6222 4 ปีที่แล้ว +1

    Yani sijui lini Africa tutaamka na kujitegemea tuache kuomba kwa wazungu

  • @barwaniamani6148
    @barwaniamani6148 4 ปีที่แล้ว +2

    Nahitaji hicho kitabu lakini siko tz
    Naweza kukipata je

    • @mpagazedenis8395
      @mpagazedenis8395 4 ปีที่แล้ว +1

      Unaweza kukipata ktk PDF

    • @barwaniamani6148
      @barwaniamani6148 4 ปีที่แล้ว

      Mpagaze Denis nikutumie hela na zakupost kitanifikia?
      Kama utakua ready just Nitumie namba yako ya mpesa na uniambie garama yakukitowa hapo mpaka hap

  • @leonardleonard6164
    @leonardleonard6164 3 ปีที่แล้ว

    Rip shujaa

  • @kimarostephano2231
    @kimarostephano2231 3 ปีที่แล้ว +1

    🙏🙏🙏🙏

  • @anisetiswai4711
    @anisetiswai4711 2 ปีที่แล้ว

    Na wamepindua tena dha jaman

  • @ebokoamisi9246
    @ebokoamisi9246 4 ปีที่แล้ว +1

    Tuna penda story ya black panther tafazari

  • @fredrickkundy2455
    @fredrickkundy2455 2 ปีที่แล้ว

    Good work kaka mkubwaa

  • @jamesautomajorjimmy7895
    @jamesautomajorjimmy7895 11 หลายเดือนก่อน

    Wengi hawatasikiza hii juu hawatakangi kuongea ukweli

  • @bedatv5634
    @bedatv5634 ปีที่แล้ว

    Safi ananiasi ediga

  • @thomasnachenga795
    @thomasnachenga795 4 ปีที่แล้ว

    Wajina.

  • @DeusdedethShijalungenji
    @DeusdedethShijalungenji หลายเดือนก่อน

    R I p thomas sankara the world wide

  • @faisalhassam3721
    @faisalhassam3721 ปีที่แล้ว +1

    Hakika huyu bingwa sankara alikuwa mzalendo. wangekuwepo kumi hapa Africa tungeuna na tungekuwa Africa moja

  • @simaiabeidussi8138
    @simaiabeidussi8138 4 ปีที่แล้ว

    Jeshi kuota kitambi duuh! Nalo neno

  • @nkurunzizaalexis6144
    @nkurunzizaalexis6144 ปีที่แล้ว

    Andika kuusu Agaton Rwasa mwanasiasa kutoka Burundi

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 2 ปีที่แล้ว

    JOHN JOSEPH MAGUFULI
    THOMAS SANKARA
    TRUE LEADERS MASHUJAA WA AFRIKA
    MUNGU ALAZE ROHO ZENU
    MAHALI PEMA PEPONI.
    ALUTA CONTINUA
    MAPAMBANO BADO YANAENDELEA

  • @hamzanasry8011
    @hamzanasry8011 4 ปีที่แล้ว +1

    Laaah kuna watu na viatu nikweli ao wasaliti walianza toka enzi za mababu

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 ปีที่แล้ว

    Huku jeshi kwa ajili ya chama na si wananchi

  • @architectelandemauriac6292
    @architectelandemauriac6292 3 ปีที่แล้ว

    piga sasa story ya hugo chavez rais wa venezuela

  • @lizzor2053
    @lizzor2053 4 ปีที่แล้ว

    Blaza tunaisubiri historia ya karume

  • @innocentmatara1445
    @innocentmatara1445 4 ปีที่แล้ว +1

    Ananias huyu ni magufuli wa tanzanini magufuli kama sankala r i p sankara

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 3 ปีที่แล้ว +1

      Hivi akili ipo wapi sankala amekaa jela kwa 7babu ya kukataa ufisadi,sankala aliruhusu mabinti wanao pata Mimba kuendelea na shule, sankala aliingia shambani kulima kwa vitendo mwenyewe alishinda shambani nakuwapa watu pembejeo bure na alitumia baiskeli na hakua na walinzi sasa unamulinganisha na nani tumia akili

  • @severinembembati5347
    @severinembembati5347 4 ปีที่แล้ว

    U back bro

  • @mdee4196
    @mdee4196 3 ปีที่แล้ว

    Alikuwa kiongozi huyu Wala haikuwa mwanasiasa,

  • @mwijagenelsoni357
    @mwijagenelsoni357 หลายเดือนก่อน

    Ivi viongoz wa afrika uwa hawasomi hizi makala!!!

  • @jumaedward4638
    @jumaedward4638 4 ปีที่แล้ว

    💪

  • @moodyramadhan336
    @moodyramadhan336 3 ปีที่แล้ว +1

    Mbn km magufuli alimuiga hyu asee

  • @mathew.m.m9137
    @mathew.m.m9137 3 ปีที่แล้ว

    No African leader can match Tomas Sankara, Who?

    • @kawiche4911
      @kawiche4911 2 ปีที่แล้ว

      John JOSEPH MAGUFULI

  • @danielmkama24
    @danielmkama24 4 ปีที่แล้ว +1

    2lioskiliza kwa umakn tumegundua unapinga binti kuludi shule baada ya kujifungua😀😀

  • @gamc773
    @gamc773 4 ปีที่แล้ว +1

    Hiyo sala ya kisela nimecheka tu

  • @hilaryfabian1484
    @hilaryfabian1484 4 ปีที่แล้ว

    Ili upate mkopo baba ako ni lazima awe peasant

  • @onesmostephen7799
    @onesmostephen7799 4 หลายเดือนก่อน

    Ibrahim traore ndio Sankara wa Sasa,tumpe ushirikiano na kumuunga mkono

  • @worldchanneltv1809
    @worldchanneltv1809 4 ปีที่แล้ว

    Kwa movie zilizo tafsiliwa KISWAHILI na dj mack pamoja na dj afro gusa link usisahaukulike kusubscribe na kwa muendelezo th-cam.com/video/4njom0ay54E/w-d-xo.html

  • @jacquesabungwe5522
    @jacquesabungwe5522 2 ปีที่แล้ว

    Uyo chuma ananiingia sana hadi ubongoni. ni l'anima nifanya kitu angalau cha kufanana udo Mwamba.
    kutoka USA

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 4 ปีที่แล้ว +2

    Ndiyo maana huwa napata shida na hao wataka madaraka, maana hawasomi historia za viongozi kama hawa wakajua mbinu walizotumia kuletea wananchi wao na nchi maendeleo, bali wao nikutuletea historia za Belgium na maendeleo yao. Wajinga nyinyi

  • @hanningtonedagwa8636
    @hanningtonedagwa8636 3 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣🤣hayo maombi surely 🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂 hata malaika wanacheka

  • @DaudRashid-h9j
    @DaudRashid-h9j 13 วันที่ผ่านมา

    R.I.P Sankara😭😭😭🫶

  • @listerelieza56
    @listerelieza56 3 ปีที่แล้ว

    Waafrica ni nani Alie tuloga?wanapo tokea viongozi wazuri hawadumu kwenye madaraka tunauwana sisi kwa sisi hii ni laana kubwa sana

  • @kendrickyando6320
    @kendrickyando6320 4 ปีที่แล้ว

    Broo eti Mandela wa kweli alikufa 1985

    • @shabantseria
      @shabantseria 4 ปีที่แล้ว

      Yeah I heard that story but am I sure if it is true

  • @simbagerard-zx2st
    @simbagerard-zx2st ปีที่แล้ว

    Andele kupumzika kwa mani

  • @jamalsaid5102
    @jamalsaid5102 2 ปีที่แล้ว

    Wee n simba

  • @abuukajembe85
    @abuukajembe85 3 ปีที่แล้ว

    Naaam

  • @franciskayombo1499
    @franciskayombo1499 4 ปีที่แล้ว

    Morogoro mkuu umetusahahu

  • @goodlcknko6804
    @goodlcknko6804 4 ปีที่แล้ว

    sj