DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA SANKARA/ RAIS ALIYELALA GEREZANI NA KUAMKIA IKULU/KIFO CHAKE CHATISHA!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2024
- DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA SANKARA/ RAIS ALIYELALA GEREZANI NA KUAMKIA IKULU/KIFO CHAKE CHATISHA!
Thomas Sankara alizaliwa katika familia ya kishua, Baba yake alikuwa Miltary Police. Hakukulia kwenye zile nyumba za kulala na kuku,mbuzi na viroboto. Alikulia kwenye nyumba ya tofali labda ndo maana alikubali kufa kwa ajili ya maskini. Hakuwa limbukeni wa maisha kama Kamuzu Banda na Mobutu Sese Seko. Sijui kwa nini watu wengi waliokulia kwenye maisha ya kimaskini huwa hawana huruma? Angalia wazazi wengi waliosoma kwa shida kama baba yako mkubwa wanavyotamani watoto wao wasome kwa shida na wakati Mungu kawabariki utajiri wa kutupa. Ndo hawa wanamilikia magari lakini mwiko mtoto kuligusa na mke hajui kuendesha. Ndiyo maana mjomba wangu alipenda kusema umaskini siyo mzuri. Umaskini unashambulia ubongo wa upendo na kupandikiza chuki. Maskini akipata matajiri jiandaeni!
JE,UNATAKA KUTANGAZA NA ANANIAS EDGAR TV?
WASILIANA NASI KUPITIA: +255659982764 /+255629977724
EMAIL: ananiasedgartv@gmail.com
Follow Us On Instagram
/ ananiasedgartz
/ ananiasedgartv
SUBSCRIBE
bit.ly/2ZWGBXo
Copyright Disclaimer: Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research.
______________________________________________________________________________________________
SIMULIZI ZA MATUKIO: bit.ly/2XlNCzg
HISTORIA ZA VIONGOZI: bit.ly/3ezWg2X
ELIMU ZA UKOMBOZI: bit.ly/3eCOK7m
Mpagaze you are so inspirational. Tafadhali tungefurahia ifanye historia ya Putin wa Urusi
Fanya historia ya Rais Uhuru kenyatta wa Kenya na jinsi anavyo tuzamisha sisi wakenya kwenye lindi la madeni...🤐🤐
Yahni
From Congo Kinshasa watching now
Thank GOD You Are Back Ananias...........Dont Ever Left us Hanging Again With all due respect The Guy you left us with he was Cool but not as Good us You.......You Are The King in your Own Channel. You have a Million Dollar African Voice That am Proud to Listen to .Lots Of Love From Your Kenyan Fan in Braamfontein, Johannesburg, South Africa. Keep it Up Dude!
I totally agree, he has a oerfecr narration voice,,, ma Allah guides him, he is given a rare talent, love from Muscat🇴🇲♥️👍
Please tuandalie ya Kim wa North Korea ..mimi fan wako kutoka Kenya
Thomas sankara was a real hearo
Ananias waambie watu vizuri someni historia, Nyerere ilimshinda na hata mwinyi hakuwa na namna zaidi ya kukubaliana tu wale, hali ya watanzania ilikuwa mbaya mno maisha kipindi cha miaka ya 1975s ilikuwa mbaya mno
Ata kenya 2na watch iki2 tupunguze advert plizz..
Outstanding,mpagaze
Asante sana
My president forever Captain Sankara
I too
Pumzika kwa Amani Thomas Sinkala 😭😭😭
JAMBO NDUGU FROM GUYANA S, AMERICA.SANKARA, SANKARA. SANKARA YOUR BLOOD CRIES OUT FOR JUSTICE .
Dah ! Watu wachache ndio wanatuaibisha sisi Wa Afrika R.I.P. Sankara
Thomas Sankara the Legend RIP
Thomas Sankara kubali sana
Ukweli rest in peace.
Out of point brother
Africa is our continent , but we don't have a good leaders . We still in colonies. But when we are united Africa will be a good place to live.
Gretest of all time rip
Mfano Bora kwa viongozi wetu wasfisadi tena wabaguzi wa sasa .....R.I.P Thomas Sankara
You and your team are the best brother Ananias
R.I.P Thomas Sankara 😭😭😭ulikuja Tanzania na kumuita Mwalimu Nyerere Baba dah!maana ulikuwa unamkubali sana..
Very sad
@@mpagazedenis8395 Story ya Laurent Nkunda broo story yake
@@sindabahabwoyaanacret660 umeongea bro
R I P Thomas Sankara
Baada ya JPM kuodoka nikaja hapa kumsoma huyu mwamba
Nakubal
Nakupata vyema kaka
channel inauzwa ina 50k subscribers na ipo monetized kwa bei ya milion 2 maelewano yapo just replay comment hii
Waaah!!! wazungu Kweli ndio maana Mungu akaweka bahari ndio tusikutane nao lkñ kiburu chetu kinatukula Legends sankra and magu
Napenda sn mungu amlinde
Nakubali sana
Rais wa ukweli kama tulonae sasa tumtunze na Kumuombea sana Amina
Sankala alitoa ajila alifundisha watu wafanye nn yeye mwenyewe akawa front line husimulinganishe
nitanunua kitabu broo,but story ya laurent nkunda tunaihitaji
Nais sn
Hakika alikuwa mtu muhimu sana Africa
Mungu awape nguvu
Iko good sanaa
Okay
Tuletee history ya mapinduzi ya kisoviet na kichina
kiongoz shujaa sana daima tutamkumbuka
Alikuwa noma kbs
Wazungu ni watu wabaya Sana wameuwa miamba yetu ya
Afrika wakaacha vibaraka wao tu ila ipo siku wa
Afrika tutakomboka kifikira
Kweli nawachukia sana wazungu sana
Navyenye wametawala uku afrika, wameuziwa viwanja,wamejenga makampuni nakibaya zaidi wanaendelea Kuoa mabinti wakiafrika kila siku🤔 wachina, wahindi, waarabu kila mahali wapo🙆♀️
Daaaaa jmn watu kma Sankara tupo wachache SIASA NI KILIMO lkn saiz ona wanachofnya wajinga huko
Loh kweli Hayati Hon. John P. Magufuli angeifufua shilingi ya baba wa Taifa na tungefika Nchi ya ahadi
Historia🖤🌍
Kazi poa bro
Nasubiri historia ya black panther
You are the best My Brother 👏👏👏👏👏
Broo unajua kupangialia simuliz zko
R i p simba
Thomas Sankara 🙏🙏🙏🙏 RIP
Thomas sankara kiongoz bora kuwahi kutokea Africa
Hakika
R I P pumzika salaam
Wish you really
Napenda sana kufatilia simulizi zako ila tatizo mimi sifahamu Kiswahili kwaio sielewi unachosimulia
Pole sana broo
How do you write in Swahili?just asking
@@gitaumugo9111 different speaking and writing
Bro nmekubali saana
Jamaa nimemsoma Kwny kitabu Cha major events of African leaders
🌹👉Inaumiza Sana Pale Unapo Gundua Kuwa Uliwakataa Wengi Kwa Sababu Ya Mtu Mmoja Ambaye Amekupotezea Muda Wako,,Mbaya Zaidi Ulikuwa Mwaminifu Kwa Mtu Ambaye Hana Hata Fadhila,Hii Kitu Inauma Sana👈🌹
Sana
Siku ipo Africa itasimama ila sio Enzi Hii ya Karne ya ishirini Simulizi Konki Sana
Yani sijui lini Africa tutaamka na kujitegemea tuache kuomba kwa wazungu
Nahitaji hicho kitabu lakini siko tz
Naweza kukipata je
Unaweza kukipata ktk PDF
Mpagaze Denis nikutumie hela na zakupost kitanifikia?
Kama utakua ready just Nitumie namba yako ya mpesa na uniambie garama yakukitowa hapo mpaka hap
Rip shujaa
🙏🙏🙏🙏
Na wamepindua tena dha jaman
Tuna penda story ya black panther tafazari
Good work kaka mkubwaa
Wengi hawatasikiza hii juu hawatakangi kuongea ukweli
Safi ananiasi ediga
Wajina.
R I p thomas sankara the world wide
Hakika huyu bingwa sankara alikuwa mzalendo. wangekuwepo kumi hapa Africa tungeuna na tungekuwa Africa moja
Jeshi kuota kitambi duuh! Nalo neno
Andika kuusu Agaton Rwasa mwanasiasa kutoka Burundi
JOHN JOSEPH MAGUFULI
THOMAS SANKARA
TRUE LEADERS MASHUJAA WA AFRIKA
MUNGU ALAZE ROHO ZENU
MAHALI PEMA PEPONI.
ALUTA CONTINUA
MAPAMBANO BADO YANAENDELEA
Laaah kuna watu na viatu nikweli ao wasaliti walianza toka enzi za mababu
Huku jeshi kwa ajili ya chama na si wananchi
piga sasa story ya hugo chavez rais wa venezuela
Blaza tunaisubiri historia ya karume
Ananias huyu ni magufuli wa tanzanini magufuli kama sankala r i p sankara
Hivi akili ipo wapi sankala amekaa jela kwa 7babu ya kukataa ufisadi,sankala aliruhusu mabinti wanao pata Mimba kuendelea na shule, sankala aliingia shambani kulima kwa vitendo mwenyewe alishinda shambani nakuwapa watu pembejeo bure na alitumia baiskeli na hakua na walinzi sasa unamulinganisha na nani tumia akili
U back bro
Alikuwa kiongozi huyu Wala haikuwa mwanasiasa,
Ivi viongoz wa afrika uwa hawasomi hizi makala!!!
💪
Mbn km magufuli alimuiga hyu asee
No African leader can match Tomas Sankara, Who?
John JOSEPH MAGUFULI
2lioskiliza kwa umakn tumegundua unapinga binti kuludi shule baada ya kujifungua😀😀
😀😀😀
Hiyo sala ya kisela nimecheka tu
Ili upate mkopo baba ako ni lazima awe peasant
Ibrahim traore ndio Sankara wa Sasa,tumpe ushirikiano na kumuunga mkono
Kwa movie zilizo tafsiliwa KISWAHILI na dj mack pamoja na dj afro gusa link usisahaukulike kusubscribe na kwa muendelezo th-cam.com/video/4njom0ay54E/w-d-xo.html
Uyo chuma ananiingia sana hadi ubongoni. ni l'anima nifanya kitu angalau cha kufanana udo Mwamba.
kutoka USA
Ndiyo maana huwa napata shida na hao wataka madaraka, maana hawasomi historia za viongozi kama hawa wakajua mbinu walizotumia kuletea wananchi wao na nchi maendeleo, bali wao nikutuletea historia za Belgium na maendeleo yao. Wajinga nyinyi
🤣🤣🤣🤣🤣hayo maombi surely 🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂 hata malaika wanacheka
R.I.P Sankara😭😭😭🫶
Waafrica ni nani Alie tuloga?wanapo tokea viongozi wazuri hawadumu kwenye madaraka tunauwana sisi kwa sisi hii ni laana kubwa sana
Broo eti Mandela wa kweli alikufa 1985
Yeah I heard that story but am I sure if it is true
Andele kupumzika kwa mani
Wee n simba
Naaam
Morogoro mkuu umetusahahu
sj