GIGY MONEY NA DIVA WARUSHIANA MANENO MAKALI STUDIO, UGOMVI MKUBWA...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2022
- GIGY Money kupitia kipindi cha Mashamsham ameibua tafrani baada ya kutoelewana na mtangazaji wa Lavidavi, Diva the Bawse.
GIGY MONEY NA DIVA WARUSHIANA MANENO MAKALI STUDIO, UGOMVI MKUBWA...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #gigymoney - บันเทิง
Gigy anampenda truly diva Yani Hadi alivyokuwa anapanick inaonesha truly walikuwa sisters wanapatana natamani kuwaona wapo cool again
th-cam.com/video/2apIro4o91s/w-d-xo.html
Hakuna lolote studio hapo ya wenda wazm
@@sayimadahachalres130 🤣🤣🤣
Uyo dada diva mpumbavu sana mtu mzima kipande lijibwa tu
Huyo gigy huwa anapanikigi katika kila jambo.. hiyo ndiyo hulka yake na inabidi abadilike!! hana busara kabisaa
Waliotazana hii interview 2024 gonga like tukisonga!!!
Diva uko wapi diva kipenzi changu, uvare so calm n composed❤
Kuna muda unajizuia sana usihamaki ila ukifikiria yale unayofanyiwa bas unakosa amani na unataman upatie haki yako gig yuko.swa ila diva anajifanya sioo mkosa ila ukitizama.hii vdeo kwa umakin bas unakuta gig anaumia kwa yale anayofanyiwa Big up gigi ILOVE YOU 🥰
Gigy nakupenda ila leo umeniangusha Yan umeshindwa kujicontroo 🙌🙌🙌🙌
Gigy yuko na drama nimependa jinsi Diva is so mature
I come from Zambia 🇿🇲 I love you diva ❤❤❤
Gigy is suffering from depression &the people that love her should get her help ASAP
Mashaaa m skuwezij ndoo unampepeaa apo amaa alafuu wee gigy mpuuzii Sanaa unaringishiaa mtotoo kamaa Mtoto nikituu chamanaa Sanaa kama mwenzakoo ajajaliwaa usimsimangiee
Mungu wangu dah asante kwa uliponiweka
Nakupenda sana Gg pole sana kwa uonevu siku zote ukionewa kuongea unashindwa kwa sababu unakuwa na uchungu mwingi sana
Uck mwem
@@vanlaikboy3091 😂😂
Gigy your reaction was uncalled for !You need to mature up!!uko mshamba sana dadaaaa
Masha Love 😘😘😘 umenifanya nimecheka kwa sauti ila nimemuonea huruma Gigy nampenda sana huyu dada mimi binafsi nikiwa na hasira nilie nikinyamaza na hasira zimeisha
Asila zisaidii jua ilo , na kulia Sana au KUTOA machozi sio suluu ya jambo Wala kuepuka tatizo unaweza ukalia na tatizo litabaki pale ,,kama busala zinatakiwa Ili KUSULUISHA jambo
@@rehemaathuman6669 mimi binafsi niko hivyo nikiongea nikiwa nimekwazika au nikisemwa niko lazima nilie ila nikishikana na ww kama upo karibu lazima nipigane hapo sitalia hasira zangu zitakuwa zimeisha kwa kupigana na muhusika na nikilia hasira zinazidi toka nipo mdogo hadi kufikia sasa miaka 48 nakuwa na jazba nikisha lia huku naongea nikishanyamaza nikitutulia hapo sasa naweza kukaa na ww nakuongea na ww sio mtu wakinyongo Mwenyeezi Mungu awanusuru watoto wangu nilikuwa napigana sana
@@rehemaathuman6669 hao watu wawili wanaoendana ila ndio hivyo kwenye maisha ipo siku mnaweza mkakwazana kama angekuwa hawana upendo Gigy asingesema kama nimekwanza nimuombe msamaha Diva kachukia kwa sababu anasema anasemwa mala mtt na Gigy nae kilichomkwanza hapo alipoambiwa na Diva kuna amemwambia achana nae huyo hajielewi pale ndipo kilichomkwanza akasema ninafamillia tuwaombea wapatane kujwazana kupo hata ndugu mnagombana
itakuwa kweli alimpeleka na mtoto asingelia hivyo kwa uchungu jamani wengine wanapenda gigy
Moja ya sifa mwanamke mpayukaji hasikilizi wengine
😂😂😂😂😂😂😂👉
😂😂😂😂😂jamani mpayukaji tena
Sawa niachie gg wangu
She shouts alot 🤣🤣🤣🤣
@@enizemwayingatv5196 🤣🤣watuachie
gigy mshamba sana, sas unapaniki nini mbona kama hujielewi, unapayuka af unazingua, mtoto ndio nini kila siku unafanya vituko kwa kisingizio cha mtoto.
Hpn usiseme mshamba gigy anachollmikia sbb ya yy kupelekwa police na mtot mgongo jmn uto diva hajui uchungu Wa mtt hajawah kwend leba ndo anchpniki diva hajakua em muangalie so kuta anapyuk kwa kituu gigy kamwmbia asem ukwelii Lkn diva hsem
@@linahyohana7876 useme hivo eti hajui uchungu wa mtoto kisa hana diva anashida ya uzazi bro sio kosa lake na sidhani kama aliwaambia police wamkamate na mtoto, alafu wakati anatukana watu huyo gigy alitegemea nini? I love her but sometimes she's overreacting very dramatically
Hpn bwana kampeleka na polisi na mtoto wak
Chapombe tatizo
@@linahyohana7876 asieke kisingizio cha mtoto kwenda nae police alitakiwa amuwache nyumbani kesi ni yake yy sio ya mtoto mbona akienda kwenye bata huwa anamuacha.??
Gigy ckindogo 👍 Nakupenda kabisa 👍💯💃😃 my phone
Wamwache gigy yupo really ❤️
That why I real appreciate Diva she so cool
Masha apana always a vibe
Kuna vitu vingi sana vimekua condensed kwa giggy. Kwa upendo tu giggy needs time and therapy ili awe healed anaonekana she is stressed kama sio depressed na vitu vingi sana. Angepata mwana saikologia mzuri ingemfaa she needs to pour out kila uchungu alionao.
Kabisa.. she needs to heal
Mapenzi yakuumize, Mtoto akuchanganye, Pesa iwe Ngumu na Marafiki wazingue hili ndio linalotokea
th-cam.com/video/lHojQ5p0DrE/w-d-xo.html
Na bado unameza vidonge🤣
Na bado unasikia Kuna korona
Na bado unasikia panyaroad
Hahahhaaaaaaaa kabisaaa
I love Diva she's so calm
Saaana, na baadhi hawamuelewi masikini wanamchukia sijui kwanini au ni jealous
What do you suppose to mean when you say she is calm?
@@fahadfaraj6474 she/he mean she's not arrogant and she's politely speaking
Naona nyote hamjui chokochoko ya Diva tulieni tu coz mmetanguliza mbele mahaba, ivi mtu anaweza kukutukana tu bila sababu?
@@SirKilaga yeah, hizo mbona zipo nyingi tu'
Diva is telling the truth, Gigy is the kind of person who will wake up today and decide to insult everyone and I think as a star she should choose her words wisely....
Yea
Yeah but on her protection defense?
Star gani , star wa nini
@@stevekdaniel🤣🤣🤣🤣🤣🤣 humfahamu kama star? 🤣🤣🤣 kila siku anajiita star sisi kama wakenya tukaamini ni star, ila ndo hivo hatujui anachofanya huko maana hana lolote zaidi ya kuwatukana wanaojiweza kimaisha🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nop
Ila bff Masha nimempenda buuure❤️❤️❤️❤️🤣🤣🤣🤣
Bff Masha😅😅😅😅😅🙌
Giggy nilikuwa nampenda sana. Ila hapa kuanzia leo basiiii. Kumbe mpumbavu sana huyu anajidai kutaja mtoto ili aonewe huruma
Kapuuzi sana haka katoto, sipendi mtu anayejiliza bila sbb za msingi kwa kigezo cha mtoto
Mmh huyu marsha uchawa
wake umezidi sasa khaaa
Hata mie kanikinai leo
Bora na ww ulione…yani anafanya upumbavu afu anamueka mtoto mbele ili watu wamuonee huruma…
Umeonaeee
I love Diva💓💓💓🥰
❤️❤️She is kind
Diva I like the matured you are❤️❤️❤️
i love diva❤❤❤❤❤❤❤
I love diva she is so calm girl...and I love gigy...too naamin IPO cku watapatana
Mungu awasaidie wapatane yaishe. Si vizuri kuona kila siku inakuwa hivi! Wote watumie hekima ya kiutu uzima wakae wa’sort mambo yao.
Nakupenda sana Gigy jameni,mbona wanapenda kukuchokora sana hao
Naumia juu yake😥😥😥😥
Gigy ni chiziiii fresh
Diva is real Diva. I love her
th-cam.com/video/lHojQ5p0DrE/w-d-xo.html
diva anaonekana ana asili ya ukorofi nakumbuka hata diamond walishakosana Tena live kwenye kipindi lakini pia gigy hatakiwi kupaniki anapotafuta suluhisho
Anapenda sana kupeleka watu polis kidogo polis diva
Binaadam tunatofautiana kuliakti
Asaivi anahangaika sana na Faiza Ally
Hats we we ukikosewa lazima ukasoriki huyu mtoto yupo katika kutafuta riziki lakini vita kibaooo wazee wazimaa mnahangaika na gigy yaaani
Mwingine akiwa na hasira lazima alie na sauti inakuwa juu lakin akishanyamaza na hana kinyongo tena
Gigy needs to grow up not every action deserves a reaction
100%
Fact girl she is overreacting
NO IT LOOK LIKE DIVA SHE DOING TO MUCH BEHANDE THE CAMERA AND THIS IS NOT GOOD DIVA EVEN YOU Have loyal immagine gigy asked her thta what is the reason you to go make report to police
@@scribemelody character and mannerism in the public is the first thing people observe so gigy should behave like a grown woman , she is ever complaining and insulting everyone, let her change her way
@@JUSTWANGUI u can’t tell lion to stop biting u sis because that only way of his protection Diva she doing to much
Gigy jamaniiiii pole mtoto ulee,pesa utafte,bado wanadam,pole mdogo wangu gigy ktk maisha uwez pendwa nawote,diva anaonekana anamatatizo
Wakati mwingine tafuteni wachonga VINYAGO...WASUSI....WAFINYANZI...WACHORAJI muwahoji, sio hizi TAKATAKA...!
Ilove you two Giggy
Nakupenda Sana Masha love
i love masha kwa kweli i need friends like them
Mm nampenda gigy sanaa sema watu wanamuona anapiga kelele ako na kitu kinamuumiza huyu dem ako na depression
Gigy sio mnafk naukiwa sio mnafk kila mtu atakuona mbaya utanuniwa bila sababu
Huyu gigy ni mm kabisa
Tatizo anapanik
Diva mkorofi sana.
Hapo ni kweli Dada Sophie sijui kwanini kama ww ndio uko innocent inaonekana ww ndio uko mbaya sijui kwanini
💯💯💯💯💯💯✌
Masha kumpepea mwenzie jmn
Whoever shows silence is matured gigy needs to grow up na usitumie kifua she has to respect diva ni kubwa wake jamani
In 🇧🇮 natamani kuwona kipindi kama iki caku unganisha wasani nama shabiki is a peaceful big up WSF media
Ki ukweliii umenisikitisha na mmenisikitisha sana hiyo media ni kubwa sanaa na Kuna mambo ya msingi sana yangepaswa kujadiliwa, respect muhimu sana, msanii ni kioo cha jamii, but Giggy not have respect, bado ni mtoto, hajapevuka, au anatumia vileo? Kwa mtu anayejitambua kamwe asingepayuka vile, she's show bad reaction to us as followers. Akue sasa aache utoto na ujinga. Yeye anapaswa atuombe radhi. Sitamfuatilia tenaa. Wasafi watch out mnajishushia respect
Giggy mgovi saaaana hana ustarabu kabisa🇰🇪🇰🇪
Mgonvi sio mgovi hilo ni tusi 😂😂😂
@@mcback4384😂😂😂😂😂jaman apelekwe polisi na mwenzie gigy
Gigy kuna muda uwe mpole na upotezee maisha ndio yalivo usije kupata presha Dada mengine hayataki hasira
Wasafi fm, bado wageni mjini, mnaendaje LIVE na GIGY
Media yoyote wanapenda content kama hvo,, bila hvo wasingekuwa ON TRENDING!!!
Kenyans should learn a thing or two in bongo show biz ...smart🇰🇪🇰🇪
Smart gani?
@@sharleenjj8548 caught your attention
Yaani hata kama ana haki na kaonewa ila Mtoto wakike hupashwi kuwa hivyo Giggy "Kuskia sana na kuongea Madogo ndo inatufikisha Mbali" We love you DIVA THE BOSS ♥️🙏🏾
Ttz bangi nyingi huwezi kuongea kama umefungiwa Mota bila kuvuta
Wee chawa Masha wee kazi unaiweza 😂😂😂
Anavyompepea boss wake sasa hahahahahhaaaaa
masha kanishinda jaman
😂😂😂😂
Hii bangi anayovuta Gigy sio ya kawaida aisee Hebu wamshauri aiache Daaaah
Content za wasafi !! 100%-105 kuanzia fm hadi tv
Wasafi FM should be very professional it's a very big shame to media fraternity #🇰🇪
Wanafanya mambo kiajabuajabu tu
It has full of mediocre journalists so what do u expect
No big deal
@@fahadfaraj6474 alipo ANZa hizo Kelele tuu alikua atolewe nje coz Hana heshima na kipindi
What did they do?? 😅😅😅
Mnazinguwa sana mjue mnakumbuka Gigi arisha waikusababisha wasafi tv ifungiwe au mnajisaurisha reo anaropoka studio je akimtukana diva watu wengine msiwe mnawaleta redioni inavyo fungiwa redio yetu tunayo ipenda tunaumia mashabiki Wawa safi
Kwani hivo vipqzq sauti/mic hazina sehemu ya kuzima km hamtaki mtu asikike km Bungeni basi kuwe na mabaunsa wakutoa watu nje
Masha anafanya kazi yake ya uchawa vizur
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mixa kupepea 😅😅
Gigi inaweza kufika mbali zaidi ya hapo ulipo ula jitahidi sana kushusha sauti na kuongea kwa nukta inawezekana kweli umeonewa kalini unavyopayuka unapoteza dhamani yako na kile unachokiongea
Exactly 👏
Sn ata kwenye kesi km una nukta una shindwa kesi
Gigy nimswahili sana mbona ua anagombana nakila mtu uswahili Adi kwenye media
Heloo< ukisema Gigy ana mambo ya kiswahili unakosea, afazari ungesema Gigy tabia yake si mzuri.
Watu wa pwani ni waswahili , si vyema kunena ya kwamba Giggy ana Tabia za kiswahili , Afadhwali ungenena hana akhlaq nzuri .
Gigy ni mpumbafuuuu.mwamnke mpayukajiii...mropokojai,,,sijui ji bangi...DIva the boss...mwaa
I love diva❤,ebu wamuache,huyu Malaya gigy akadange,anajikutaa muhunii,akutane na tom gal mm natwanga vitasa,
Gigy ni mswahili sana halafu hana displine,! Kama kichaa flan hv, anaboa
Hahahaha chizi sana hana heshima kabisa !
Nyie nae weuuu mmemsahau huyo diva sindo alikua anamuongelea vbaya na kumkashivu nassib... Ni anajipnaga mtu fulan mweny wadhifa kumbe mweuu
Mkomeee mashamsham uyo ndo giggy mtovu wa nidham
Yaani cjui kavuta bangi
Diva your so mature Safi sana
I need a friend like masha 😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣 huo ukorofi
Sasa na hapo mwishoni alivochukua simu so funny
😂😂😂😂
Hata mimi🤣🤣🤣
@@sophiemattaka8819 😂😂
I'm not Diva's fan,ila gigy hauna displine kbs.unapenda kutukana wenzako,what Diva did,you deserved it.
Straight up
Hivi havuti bangi huyuuu? Nauliza Tu cos matusi si style yangu, lakini anavyoongea mmmh!
Mimi ni fan wagigy 💯% ila for now anatakiwa kubadilika.
Thats why even unakuta gigy alikua mkorof ndo mana alipelekwa jela na mtoto ...she deserve kwa kweli ..napenda diva fata sheria
Anatengeneza kiki makusudi kujipanikisha coz she has a new song anataka kuachia kama si kesho keshokutwa
😃😃😃😃hii ni 🔥sanaa
Gigy kama sio unga basi yuko na depression mbaya sana 😢
Janamke payukaji kama hilo la kaz gan 😂😂😂
Life la street kawaidaa Sanaa
Lazma ni drugs hayupo normal
Nafikiri pia atakuwa na depression. Ila hajui, wasafi wamsaidie kwani ni mental health is real
Hovyo kabisa yan
Gigy nampendaga bure🔥🔥🔥🙌🙌🔥
Gigy Money hana ukomavu wa kuwasiliana na watu.
#HonMichaelDeusdedityKessy
Gigy nimekuelewa,Diva anakujiona Ana status kubwa sana! Wengine anawaona waswahili sana
Ndiooo hata Clouds hawampend Diva majivunoooo fyuuuuuuuu
Gigy yupo sawa
Basi alipaswa atulie wasikilizane,Kwa Hali hiyo ataendelea kuonekana mswahili tu.
Hapana Gigy ni mswahili asee,anastahili kubadilika kwa jinsi akivyofikia
Na msura wake kama uji wa wimbi uliochacha😂😂😂😂😂😂😂
Masha🙌🙌
Kwani mtu akiwa na mwanasheria wake ndo anafaa kuwakosesha amani watu wengine???kha!!!
Gigy kapanik hataki mchezo;
Diva muache tu dada wa watu amlee mwanae kwa amani..
I think diva is telling the truth..coz when she wants to speak her mind for what she was accused of Gigy started shouting for her not to reveal the truth..she makes sure interview imeharibika
Diva you are so good and mature
th-cam.com/video/lHojQ5p0DrE/w-d-xo.html
Gigy anahitaji msaada wa ki saikolojia Yuko kwenye depression Kali sana anaweza kua hata chizi
👏
Love you diva💕💕💕
Naipenda utube 😂😂😂
I wonder why these media is for crazy person,u can't find this in clouds or EFM
Unasukumwa
th-cam.com/video/lHojQ5p0DrE/w-d-xo.html
Gigy has a true and a big heart, when she acts crazy wanasema ooh she's drunk crazy etc but I see sense in whatever she speaks husipomchokoza Ako tu sawa
Uyu gigy mshamba sana cjui wa wapi uyu hana hadhi kuitwa star
Kweli aswaa
Tunagoja pati 2😂😂😅😂😆😄mlevi kamwagiwa pombe yake Gigy
😂😂 nyoko wew
Komaeni jamani...Kenya huwezi ona ivyo....
Gigy piere liquid
@@rosemakatia7377 who cares?
Mashaa anampepea shogga akee😂😂😂😂😂😂😂kesho anatukanwa yeye🤣🤣🤣🤣🤣🤣Gigy rafiki yake nguu la kitanda
I love me some masha😍😍😍she's very friendly 😂😂😂😂
😂😂
Wakenya kujeni muione the kind of people station za Tanzania wana ajiri😅😅😂😂
Media zikiendeshwa na matahila ndo shida hii
Hahahaha
I love masha love for her drama 😅
Gigi ni mwehu sana ana adabu
On trendi no 2, Tz nchi Yangu
Yaan leo ndo masham msham haswaaa
Hill ndo tatizo ya kuwaleta watu studio wakiwa wamelew
😂😂😂😂
Love you gigy.yeyote anae msema vibaya huyu dada basi hajielewi
Sasa hii inshu ya kupayuka studio hata km kweli yy ndio anaonewa jmn siyo sawa, artist mwenye kujitambua hawi hivi aisee. Daaaaaaah
Huwa nashangaa sana media zinazomualika gigy
Gigy as much i love you please ur better than that calm down .and i love saying the truth Diva ako right mature up my beste♥
Kweli chizi
Nakupenda gigy
Hivyi hii chaneli ni ya ledio au ni sehemu ya kuzungumzia maisha ya wasanii
Dah mtihani sana
Hakuna tatizo hiki sio kipindi cha dini by the way inaongeza chachu sana kipindi kinanoga, cha msingi hakuna tusi lililo sikika, Nimependa hii. Big up wasafi fm (uhalisia)🙌🏾🙌🏾🔥🔥🔥🔥🔥 shout out to giggy
mshenzi sio tusi mbona kataamka
Diva unajielewa sana hongera huyu gigy mmh kweli zinamtosha mwenyewe
Gigi msengelema sana itafika kipindi atagombana na watu wote
Huyo gigy ndo anaomba msamaha au ndo kachafuwa zaidi hali ya hewa?!