MAMBO MOTO! PENZI LA WHOZU na WEMA SEPETU AKIFURAHIA KWENYE BIRTHDAY PARTY
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2022
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
🤣🤣🤣🤣🤣🤣wasaf wana vipindi vya kisenge sanaa
Juma 🤣🤣🤣🤣😂 hujui hesabu...1988 mpka 2022 nisawa kwli
34😂
Huyu juma ni crazy eti 43🤣🤣
Juma hajui hesabu kiruuuu
Kweli
Kazaliwa mwaka 1988 mpk sasa 2022 miaka 43 jmn juma....iweje mzaliwe mwaka mmoja ww uwe na miaka 34 alafu wema awe na miaka 43
Hiloo juma limezowea kuongea huongo 🤣🤣🤣🤣
Na kweli😂😂
Yan mtu akiwa mnafiki yeye anasema kazaliwa 88 ana34halafu wema88awe na43😏
Duhuduhu juma mwongo kabisaaaaa wema mdogo sana
Ukitaka kujua diamond kaajiri vilaza ndo usikilize kwa makini,juma anakazia wema kazaliwa 1988, na anakazia kabisa eti wema ana miaka 43,sasa angalieni hii kitu aisee, watu wanaajiri bogus,maboga kichwani,ata media haziwezi endelea kwa style hii,hesabu ya uongo aliousema tuu tabu,tuache ukweli😂😂😂
😂😂😂
Chukua vyeti vyako ili ukaachiliwe
Huyu alikua anatania juma baada ya kusema 34 kabadili 43
Maana yeye amezaliwa 1988 so anajua wema anamiaka 34 alitaka tu kucheza na akili za watu
Juma muongo kupita kiasi kheeeeee
🔥🔥
Mambo moto
Juma lokole hata hesab hajui eti 1988 ana miaka 43 kha
Amegeuza haaaa
Chibaba and chimama yakeee
Dida kazaliwa 82
770
🤣🤣🤣🤣wewe Juma wewe hiyo 43 na ya kwako.au
Tulio zaliwa 88 tupo shule kipindi icho .uyo wema tayali ni miss 2005 ssa cjui alisoma muda gani mbaka leo i awe na miaka 34.awe sawa na cc .nawwe juma ni mkubwa auna miaka 34 ni uongo
Fuatilia vizuri dada! Kwanza wema ni miss 2006 sio na 5,,alafu ukumbuke ni mtoto wa kishua wenzetu wanaanza std one hata wakiwa na miaka 4! Sio wa kujifananisha na sisi,,kuanzia miaka 18 mtu anaruhusiwa kugombea na ndo alikuwa anatimiza 18 mwaka huo 2006, hamna Cha ajabu
Ukijua umbeaaa!!!!! Ujueee na mahesabuuuu
Jumaaa😂😂😂😂😂 sasa umesema mwenyewe ni wa 88, atakua na miaka mingapi saivi? maths imekuchanganya au vipi??🤣🤣
Wallah nimecheka mbaka mwaka 88 awe na miaka 43 huyu mwehu🤣🤣🤣🤣🤣😂😂
Kweli juma lokole choko
Elimu nayo muhimu sana
Djuma quel est votre objectif dans la carrière musicale puisque tu n'es ni chaud ni froid
34
Mimi meenyewe Nina kiji mama wngu
Juma ww 😂😂😂
Good job
Jumalokole
Downgrade from Simba to Whozu. You should upgrade not downgrade. Afadhali hamisa is upgrading
Mbona nlmsikia wema kasema 32🤣🤣
Hahaah uwii
Et 43 kah😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wema ana 38
Lokole 🙋♀️🙌😂😂😂😂😂😂😂
Juma😅😅
43 jamani 🤣🤣🤣🤣🤣
Juma muongo mkubwa sana juma wewe
Juma towa hapa udaku 😂🤣🤣
😂😂😂
🤣🤣
😂😂😂😂 ilaaa jumaaaa
🙄🙄
Juma mpumbavu ww
watanzania hahhaha
🤣🤣🤣🤣
34 yrs cyo 43😂😂😂
😂😂😂😂
43😆😆😆😆😆😆😆😆🙌
Ila juma wewe
Hahaha
32
😂😂😂
😂😂😂