Daaaaah wasaf nawapenda kwa ubunifu wenu kuna mda unaingia you tube unakosa cha kuangalia ila kwa staili hii uwezi kosa cha kuangalia 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 wasafiii 🙏🙏
I just feel loving Gigy, she is so Social and pure Loving, wachana na hao wengine wakujionyesha kila wafanyayo bado kujionyesha kwa choo tu wakiny,,,,, Big Love to you Gigy nikiwakilisha Kenya 🇰🇪 😍 ❤ ♥
Mashallah Mashallah Pendeza Mamiiiii 😍 😘 Na kukubariki sana Mwanangu M.mungu akubariki sana ktk kazi zako na akupe Uzima na Afya njema ulee mtt wako kwa amani
Waliomuona mtoto wa gigi mrembo tujuane hapa😘😘😘😘😘
Maila mzuri bahna
Salha mrisho Aish 😍😍😍😍
Yes her daughter is so cute Ma Sha Allah,Allah amuekee
@@mariachares6315 jahl physical hlhlhldkdksl
Sema ukweri tokea pindi limeaza Gigy money ameua...kila mwamba anamjua uyu ndo super star 💕💕
Amna anawahi kutoka na kujitaja jina
Yap
Ukipiga matukio lazma watu wakujuee
Nimecheka sana Interview nzuri Big up sana
Wamenichekesha sana😂😂
I love gigy she is so real and beautiful... Wasafi TV on top.
Ya but her behavior is ghetto.
Kama unakikubal hiki kipind cha HIVI NI KWEL gonga like twende Sawa
Asante
Asant
th-cam.com/video/ipgLjVSQHqM/w-d-xo.html
Asanteeh
Gonga like km unamkubali mo town sanya
kama Unatamani kumuona Diamond Platnumz (SIMBA) kwenye show hii Fnya ku like twende sawa
Wakimleta diamond huko mtaani hicho kipindi hakitafanyika.
@@moshkeily1864 ngumuu sanaaaa maan anafahamikaaa sanaaa kipind kitakuw fujo
Itakua sio show Yan itakua vita akitoka kwa mtu mmoja tuu watu buku watajaa
Balaaaaaaaaaaaaaaaa
Hapo itakuwa balaa zito watu watajaa
Daaaaah wasaf nawapenda kwa ubunifu wenu kuna mda unaingia you tube unakosa cha kuangalia ila kwa staili hii uwezi kosa cha kuangalia 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 wasafiii 🙏🙏
Sahihi
Real broo
Lol😂😂😂yaan hk ukiptapta mitaa ya comments 😳👌💥
TH-cam hukosi cha kuangalia bana
💪
Gigy mimi nataka kukutana naye 😖💕 gigy mimi nakupenda sana
I love the way giggy talks to people with respect and love
Firdaus sheikh right 🥰🥰🥰
Wow baby mayra jmn uko namamy ake mashaallah katot ketu ako 👌👌👌💞💞💞💓💓
Gonga beat leoo wamejitahidi sanaa mr blue king fire 🔥
Gigy jeshi la mtu mmoja wasafi itabaki kuwa juu maana wanaenda na mazingira na maisha yetu,
The story book + hivi ni kweli 💥💥💥💥
Kama unaipenda wasafi media basi like hii comment❤️
Mwaaaaaa
B
th-cam.com/video/ipgLjVSQHqM/w-d-xo.html
Nampenda gygy bure
Kula basi hiyo wasafi
Gigy Kama Gigy penda sana wewe Mama Mayra❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
th-cam.com/video/ipgLjVSQHqM/w-d-xo.html
Frankly speaking Gigy~Money she's a super talented amazing gorgeous lady I'm very much proud of her lots of love from Kenya 😍 😍 😍
From Kenya🇰🇪 Giggy always makes my day I love her madness😍❤❤❤❤
namb yko plz
Instablaster
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa kumfikishia ujumbe wa neema ya wokovu hata kama amepinga ili message sent and delivered.
kiukweli gigy money uko vizuri sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kipindi kizuri Sanaa hiki gigy ni Kiki unakubalika Sanaa alafu huna maringo big up wasafiiii✋✋✋❤️wcb4life
Gigy akisifiwa anawahi kutoka fasta Mana anaona huyo jamaa akiendelea kuongea Mara anaamkosoa ndomana anawah
Apa gigy umefeli
😁😁
Yap hapo nimeishik yaani akisifiw anajiskia happy.
Nakupenda gigy,, sauti yako naipendaaa hataree
Kiukwel ichi kipindi cha wasafi nikizuri sana jamn kama MTU hukipendi daaaaah utakuwa mchawi ambaye duuuuh apana aise
My favourite show ...from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥
th-cam.com/video/ipgLjVSQHqMf/w-d-xo.htmley
Gigy is so honest
Love her😘
Hadi raha love u gigy next tuekeeni na wema sepetu
Ila hii ya gigy irejewe bana😂😂😂😂 iko pw mpk inakera
Hivi ni KWELI!!!! Bonge la pindi la kjanja zaidiii 👊👊🇹🇿
I like your Job gigy
I love u so much❤💕
Gigy ujue wew n kazur sanaaa afu unajikubaliiii mm nakupendaaaa
I just feel loving Gigy, she is so Social and pure Loving, wachana na hao wengine wakujionyesha kila wafanyayo bado kujionyesha kwa choo tu wakiny,,,,,
Big Love to you Gigy nikiwakilisha Kenya 🇰🇪 😍 ❤ ♥
Alie ona gigy kabadilika sura sio ile ya mwwnzo gonga like twende sawa
Yaani kabisa sijui kawaje usoni labda ndio stress za kuachwa na midevu😜😜👀👀
Kabadilika sana sababu ya hayo meno aloweka
Kafanya sajali ya meno nahisi ndiyo imembalidisha
Kumbeee
Kaweka meno
Tujuane wasoma comment kwanza
Simple GIGY penda ww bure 💕💕💕💕💕💕
THIS IS MY BEST SHOW EVER ! I Really love wasafi MEDIA with your programs and shows. You are so creative indeed ! MOTOWN Sanya, safi sana kazi nzuri.
th-cam.com/video/ipgLjVSQHqMk/w-d-xo.htmly
35:11 huyo chalii ana vibe la Mr blue kabisa
Ichi kipindi wasanii wanaweza kukitumia kama takwimu kuona mashabiki wanawaelewa vp mtaani
Umetisha sana
Ni zaidi ya ukweli
Jmn like zangu kwa Gigy money😘😘😘😘
Kwa kweli mmenifurahisha Sana. Huu ni ubunifu was Hali ya juu sana
Giggy mtu wa watu, nimeikubali hii show
Mwana anasema bado ajatamba kama umesikia uwo mstari gonga like hapa twende sawa 🇶🇦
Aliyeona Gig kabadilika sura jmn kafanana na yule ding aliyecheza film ya GOD MUST BE CRIZEE gonga like
Unamatani nae gigy
Nawapenda sana Gigi money na Ms motown Sanyaa ❤❤❤❤❤❤❤❤
Bila kunionyesha nishakuona......... Amini ninavyo kwambia, msela namkubali kichizi
Bruh, I'm in love with this show
th-cam.com/video/ipgLjVSQHqMg/w-d-xo.htmle
Hii show ya GIG imevunja rekod na haitatokea km hii...
Gig yuko vzr!
Nakupenda sana Gigy akeee long life to you baby
Daah gig noumaaa sana sjui tutakutana lini
Mwenye Jez ya simba nmempenda😍 ila gigy anamashabik jaman 😊
GIGY uko VIZURI SANA,lakini punguza mapepe na hasira
Kipindi kizulisana
Unajua sana ivi nikwel bonge la pindi....
Nimempenda huyu kaka kasema hasikizi secular hongera kaka mtukuze mungu
But listening to secular ain't a bad thing at all👌
Only your actions will define yoou whether u belong to God or secular!👌🙏🇹🇿
@@musicapprentice6682 kifungu gani cha biblia kinasema hivyo?
@@husseinchea5524 ask your actions!👌🙏
@@musicapprentice6682 secular music ni nyimbo za shetani mkristo hafai kuskiza...isome bibilia upate ufahamu
@@musicapprentice6682 Mhubiri 7:5 "Heri kusikia laumu ya wenye hekima, kuliko kusikia wimbo wa wapumbavu"....wimbo wa wapumbavu ni secular music
Wooow! Nimeenjooy Sana'a mo town
I love Gigi anapenda mashabiki wake sanaa Hana maringo God bless you Gigi ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Yan hana nyimbo ingine ya mkumtambulisha mtu zaid ya Nampa papa
Giggy money the hustler
😂😂😂😂Dah nimecheka eti mdomo kama davido bc t maisha magumu gigy unanyota hawajakuponda wamekusifia sikutegemea kwa kweli
th-cam.com/video/ipgLjVSQHqMr/w-d-xo.htmleu
Yani sipati picha angetokea wa kuponda apo gigy angemchambaje😂😂
@@chumemarehema8328 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@chumemarehema8328 hahaaaaa hujakosea kabisa
@@chumemarehema8328 😂😂😂😂asingemuacha mtu salama
Katika watu ambao nina wakubali kibongo bongo na inter view zao siwezi kukosa bs gigy money na shilole
👍
Wanaongea kweli
Mi na baba levo
Baba levo baba lao
@@johnsilima1629 HALAF BABA LEVO INTAYVU ZAKE ANANYOOKA KWENYE MANENO HAPINDISHI MANENO
KIPINDI BORA 2020 , On fire !!!!
Kaz Makin big up San wasaf tv🙏sema tunatak mtufikie pande za chuga changamoto ni kwere 🤛
Gigy msenge sana eti nimlingie nani nakunya mie
😅😅😅😅😆
Who else anapenda 😍 #HiviNiKweli na #TheStoryBook as well????💥🔥🙌😇
Mwambaaa nimependaaa pamba zako kali kwery umetokerezeaa kupitiliza inapaswa uwee dizainaa mzee kila pamba unayo tupiaa inakukaa vizuli hongera yako kk
Nakukubali Msela ww Gigy👌🏾
#Gigy mnyamwez san
Na vision na mission🤣😂
22:34 Gigy baada ya kujua jamaa mchungaji kashusha kimini kidogo
nimeonaaa
Albert Material 😂😂😂😂
Mchawi namba tuuu😁😁😁
GIGY UNA KIHEREHERE WHY UNAWAHI KUTOKA NJE? KIPNDI KIKO FIREE🥰🤣🙌
Nami nimeliona hilo
.
Mashallah Mashallah Pendeza Mamiiiii 😍 😘
Na kukubariki sana Mwanangu M.mungu akubariki sana ktk kazi zako na akupe Uzima na Afya njema ulee mtt wako kwa amani
ivi ni kweli na story book vipindi vinatisha ile noma fire juu fire💥💥💥💥💥
I love this one y’all should drop more of this
Leo nimeipenda hii show, full of love
Nomaaa xanaaaa❤❤❤❤
Gigy nimecheka akiii noma
Kama unakubari wasafi ndo chama lawana gonga like amini
AYIIIH UYU JAMAA AME KUTANA GIGY KWELI 🤣🤣 🤣
Kitoto chake kina adabu 😂 hta hakijatoka njeeee big up to thattttt
Sema bigup to her na sio bigup to that
@@amanimanase5794 lol😂😂😂
Her baby is disciplined and obedient
@@amanimanase5794 kwa hiyo hiyo wewe ndo mwalimu nyambafu wewe
Huhuhuu
Nice sanya.. pia hii umetisha
Napenda sana hiki kipindi eti Hivi ni kwer nawakubali sana lakin mnatuangusha mwanza vip tunataka mavaibu kama haya ya ka kwa rock city mwanza mwanza
Love gigi man 💕🔥
Dah safi sanaaaa. Gigy nmekubali.. Show qal
Big up kwa kaka aliehubiri injili☺️
MO town big up braza
DuuH Hyu Mnyamwez Wa Pili Sio Kinyongeeeee...😂😂
😁😁😁😁htr
Jamaa katisha
th-cam.com/video/ipgLjVSQHqMf/w-d-xo.htmlt
Show kali
Gigy katisha sana katika show ya hivi ni kweli
jikase upo up sana
Ila Gigy M,, hatar kainogesha hii pro G,,,,,
Gigy ni 🔥🔥hatar uyu dada
Gigy upo pouwa sana hunaga makuu na watu❤❤
Wasafi mnatuburudisha sana,,like zenu kama muna wakubali WCB
😂😂😂😂😂Gigyyy I luv yah baby gal
Naomba mniulize mm niwape wasifu wa Gig.
Ungekimbia mbio uende eneo la tukio,
Iyo sajar ya Meno umechemka mdomo Kama ngiri
@@queenwinnie256 😂😂😂😂
🤗🙂big up sana money unajituma sana 😎😎
Mubashara oi mjuba tuko pmoko sana show love
Kitu ninachoamini wasafi mpo juu Sana🔥🔥🔥
Nani kaona comment zote zina like😎
Dah kumbe gigy yupo powa
Jaman yaani mb zangu hazijaenda bure
gig kapungua, but I love her💙💙