Wali Wangu (Episode 1) - Madebe Lidai (Official Bongo Movie 2020)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
- Wali Wangu |Ukurasa wa 1| - Madebe Lidai (Official Bongo Movie 2020) Madebe Lidai
Watch Part 2 Here: • Wali Wangu (Episode 2)...
CAST: Madebe Lidai, Ochu Kiota, Isiaka Ngokwe, Jumbe Safi, Rehema Chambuso, Pendo Ismail,
STORY/SCRIPT: Madebe Lidai
EDITOR: Master Lee
PRODUCER: LP Media, Madebe Lidai
DIRECTOR: Kayto Kae
Subscribe to Africa Movies on TH-cam here: bit.ly/AfrichaM...
Bongo Movies, Tanzania Movies, African Movies, Movie, Comedy, Bongo Comedy, comedy, film #AfrichaMovies #BongoMovies #SwahiliMovies
Wanao angalia hii movie baada ya interview ya madebe na chanuo tujuane hapa kwa like
Naona wote humu mmepata Like Ebu nipe na mm japo moja🤣🤣🤣🤣🤣
Kama una mukubal madebe ni king wa bongo movies nipe like
Ukinichana mwil wangu ni Madebe mtupuuu kwaiyo tunaye mkubal madebe like kwa saaana
Kampende sana medembe
Op
Lpo
L
L
O
Ploooo
Madebe
😆😆😆😆😆
Na mm nakumbal
Wanao angalia hii movie baada ya interview ya madebe na chanuo tujuane hapa kwa like
Tupo
Na mimi leo nakoment maana naongoza kwakusoma coment za watu,kama nawewe ni msoma coment za wengine harafu wewe hucoment kama mimi tujuane
Jamn ni miez 7 sasa imepita sasa tunao angalia hii mwezi wa huu wa. 7 had wa 12 tujuanee like 100 tu wapendwa
Mimi nakubali sanaaa madebe
Bibi ya katambuga mzuri Mashallah 🥰
Walioangalia baada ya kuridhishwa na maelezo ya comments tujuane,
👇👇👇👇👇👇
Sijaona mfano wa Madebe tamthilia zake zina mafunzo mengi sana na tena napenda methali unazozitumia nakukubali sana🙌
Katika movi ya madebe nampenda sana manyele napenda movi zenu sana
That's ma man Madebe nakukubali sn mtu wng, Asante sn kwa mafundisho haya, naangalia kutoka Qatar. Nxt part pls
Halima Omar Hujmb
Vipi
Wangapi wanaungana na Mimi kua madebe lidai akoseag Story ktk move Zake Gonga lake ili Tuendelee kujuana Hap🖕
Historia yake nzuri tatizo yeye arichidwa nawake watatu je tutamwerewa kivipi????🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Ramadhani Pachella exactly
Movie zake hazimalizi anaishia njian
Kweli
yuko vzr sana cha muhimu aongeze juhudi kwenye kazi zake
Wewe madebe uricha owa marangapi🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Wanao angalia hii movie baada ya interview ya madebe na chanuo tujuane kwa like.
YANI Sasa hvi nmetoka kuangalia interview ya madebe na chanuo
Tunaompenda madebe na tunao angalia muda huu tujuane🙌🙌
Tupo
Tupo
Safi sana madebe
Nakubali sana kazi zako
Io kali
Big up Kaka Lidai! Ila hapo kwa mafunzo ya Dini ya Kiislam kuna kitu ujagusia ulitakiwa umfunze huyo mkeo kujistiri kichwa chake
"KUJENGA NI RAHISI ILA KUBOA NI KAMA MZIGO ALIO TWISHWA PUNDA TU!"*BY Samir MSWAHILI
Unajuwa zamani ndoto niile unayo iyota usingizini lakini sasa ndoto niile inayo kunyima usingizi👌👌👌kama umeiyona hiyo tujuwane ili twende sawa 💋 💋 💋
Hii ilinifirahisha na pia kunifunza tena tu
hahahahaha
Ahsante kwa ujumbe mzuri
Kwel
Saumrajab Palomar hahaha mim umenihacha hoi
Wanao angalia huku wanasoma comment tujuane gonga like
Pamoja
Tupo
@@khatibumagambo6187 z🚮
Pamoja mr kalenge
Yuko vizuli
Jaman Madebe anajua respect bro👮
Kama na wewe unaangalia movie huku unacoment tujuane hapa
Tupo
Pamoja 🇰🇪🇸🇦
Og
Nc
Nc
Likes from +254 madebe tupo pamoja
Napenda movie zake kwasababu turikuw tusha coka magorofa na magari.wanao ikubali tujuwane
Madebe ishi miaka 1000000 maana unatuelimisha Sana sisi wadogo zako
Nampenda san madebe napenda movie zake
nawwe uwe unaweka episode zote mwanzo mwisho hapo ndohuwa unanikwazaga au unaanza kulewa sifa weka zote maana maisha yenyewe mafupi unataka tufe kabla hatujamalizana et!!!!!!!
😂😂😂😂😂😂
😆😆😆😆👌
Athumani Sigaye yaniii weee acha 2
Hahahahhahaa maisha mafupi kweli
Athumani sigaye hahahaa we noma yani umenichekesha sana...na kuna ukweli hapo made be miendelezo ije haraka tusife kabla ya kutazama weeee
unatufurahisha sana madebe mungu awe p1 na ww
Madebe hujawai kukosea bgp sana
😀😀😀😀😀Duhhhh wanaume wote wanavichwa viwili vyote vinatoka ubongo hatareeeeee
Madebe ww noma wapge bao wakina ray
Nabii mswahili kama unampenda tujuwaneee
Daaah nakubali sana madebe
Watching from saudia rabia madebe love u
"SAMIR ONE TV ON TH-cam " Naitwa samir MSWAHILI nampenda sana kaka angu NABII MSWAHILI TOKA NIKO MDOGO MPAKA SASA "MPENDE UMPENDAE USIJE PENDA USIPO PENDA""by Samir MSWAHILI
Kumbe kuna mkojoaji na kikojozi watu wawili tofauti😀😀😀
Hahahah
Cjafika apo mm bdo ila comente infanya ntzme
😂😂😂😂😂
Hahahaha
Japo kuauchache nieleze wariwangu😅😅😅😅
Huyu ndio staa wangu wa siku zooote kwenye bongo move
Mm mwenyew namkubal san
Reality to african culture napenda sana kazi yako
#vichwa vyote vya mwanaume vina UBONGO ila kichwa 1 uBONGO wake ukimwagika kina leta manufaa ktk TAIFA_daaaaaaaah cjui kichwa KIPIHICHO@wali_wangu@madebe_🙌🙌👍
Hahaa
Noma sana mzz @KICHWA...😀😀😀😀
Kichwa cha jicho moja😂😂😂😂😂
😁😁😁
Nimeikubali kinoma ina mafundisho kweli kweli
Madebe wanao kupinga waache wakupinge ila ukweli utabaki kuwa ukweli......
Mwana fasihi wa kupigiwa mfano, mtamaduni maigizoni na maisha halisi, hongera madene lidai na washirika wako kwa kazi na mwongozo mwema.
Kwanini hawa wasanii wakibongo hawajifunzi kiswahili wajue michezo yao inaonekana dunia nzima. Kwa mmfano hii filamu ya madebe anaita (wali wangu )badala ya wari wangu hujui kama wanaojifunza kisawahili utakuja kuwapoteza malengo.
kiukweli najiskia raha sana kuangalia movie za madebe nipende kutoa ushauri wa kujenga kidogo kwenye wahusika jitahidini sana kila mhusika awe na rafdhi yake maana kuna muda inasikika rafdhi ya aina moja kama ya mwalimu🙄 zaidi ya apo Madebe kwa upande wangu unafanya vizuri Tanzania nzima🙏 keep it bro
Kumbe wali tayari wachatuzame ndani tuone kama umekolea nazi ndotucoment🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Unajua.
Quality safi.
Epuka kutumia background sound wakati wakuongea, LADHA YA PICHA NI USIKIVU WA MANENO YA MUIGIZAJI NA MNG'AO WA PICHA.
Ggd
Inapendeza sana ebwana big up LIDAI
Mashallah mkija kenya muntafuta napenda kuigiza vilamu za tamaduni
Hahaa!Jamani katambuga anataka apeleke maombi ya uumbaji wa mtoto kwa mungu
Nami naja napendaa
Anataka apeleke maombi ya uumbaji wa mtoto kwa mungu 😂😂😂😂😂😂 akiri za K - Vant ukichnganya na bingwa kinye grass
I always read comment first before starting watching
safi sana madebe lidai bila kumsahau brother jumbe saphy.
Unafaa sana kuwa mwalimu wa kiswahili madebe lidai kwa kiswahili tu unacho manake unamisemo kama mchanga nakukubali sana bro
Duuuh kaka hatahuruma hauna only part 1? Please we need more
😂😂
Please part 2 jomon movie tam
Nakubaliana na Mr madebe kwa haya mafundisho. Representing +254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ambao tunaiangalia 2019 xmas tujuane kwa like
Yupo
Kama unakubal kunatabia zaki vulana na mwanaume
May the other episode come through so educative
Risqueen Rayans wakipemba
V
Twende sawaa hadi ep2
Hii movie nmekw nikiisubir kwa hamu jmn, sijawah ona movie mbaya ya madebe
Nzuri sana
Naanzaga kusoma coment kabla kuangalia
tupo pamoja
Nipe like tano tu
Hahahahhahhaha😀😀😀ZAMANI NDOTO NI ILE UNAYOIOTA UKIWA USINGIZINI.....ILA KWA SASA NDOTO NI ILE INAYOKUNYIMA USINGIZI
Nakubali sana muokozi wa bong mv naiangalia nikiwa saudia safi
Mmeendelea kuweka kitu cha maana mno hongereni sana,ila katambuga 🙌🙌kauvaa usika vilivyo
Mr.umenikosha sana hapo nanukuu"ukisoma katk kitabu kisicho na shaka ndani mstar wa...mpaka wa.......unaambiwa zungumza kwa upole ..........kama mtu akiwa si mwana kiswahili yaan atapata tabu sanaa nakubali kazi yako tupo pa1
Nzuli san kabisa dup mwendelez plz madebe
Good madebe uko vzr sana kweity moja
Jmn huyu jamaa anaitwa nani anayeimba huu wimbo wa wali wang plz anayejua
Mashallah hapo kwenye sura ya 31 aya 19 umepatia mungu akujaalie kher...hio ni surat luqmaaan
Madebe wewe ukoseyangi kaka
Tunaosubiri episode ya 2 tujuane
254🇰🇪
Imesha toka
Amani +255 🇹🇿mm
malkia
Tunaangalia madebe kwa Sana ndio msanii alibak
Napenda sana movie za madebe haki zina mafundisho sana
Penda sana madebe, big up kwa saana
Jamani nitumieni ilosongi madekakayangu nakukubali sogambele ushindi unakuja
Popote mukimuona madebe mwambieni nampenda buree
Aya
Ntamwambia
Bwana madebe unatisha
Movie nzurii ilaa tunaomba muendelezo usichelewe saana mpaka tukasahau maudhui mwalimuu madebw
Namkubalì sana madebe
Representing 254🇰🇪🇰🇪 wapili hapa
Basi msicheleweshe muendelezo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Xan mkali
Kwani muendelezo vipi bado haujatoka
Wnawake jitambueni sio mnaangalia huku mpo kufanya 😂
**Mimi ningetaka aje, Ningmsubirihapa hakuna mkutano*
Daaa, good movie Nakubali xana
Nzuri sana...tunaomba tujuzwe epsode inatoka kila baada ya muda gani...?
MAZINGAR
A YA WAPI HAYO MBN MATAMU SANA
Mwendelezo bn
oyaa madebe bona unatukatiziya utamu wa mafundisho
Mashallah vzr xn madebe
Daaa brother madebe big up wewe ni zaidi ya mwalimu mwendelezo plz
Mnao angaria mkiwa oman like zenu hapa
Mm nilicho kiona
Nikwamba madebe ni MTU wakipekee sana afu ana ubunifu wa tofauti sana
Jamani mm nilikua wapi naangalia Leo 2020
Movie hii jamani imetulia..🙏🙏
Asante madebe na misemo ya wali wako ukweli tu tuambizane
Nzuri sana
Nimeikubali kinoma ina mafundisho kweli kweli
Mi napenda movie za madebe uwa najifuza mengi kama za hayati kanumba raha ya movie utoke na chchote akili mashaallah pongezi kwenu nyote wadau na subiri muendelea
Safi sana
Hata mimi mwali wa madebe
Cjachelewa🇰🇪🇰🇪leo madebe nakubali mafunzo yko
Mashaallah mungu akujaze hekma na busara tele🤲
hi