Huyu hafundishi chochote zaidi ya kupanda mbegu za chuki....kumbuka njaa zako ndo zilikupeleka KKKT, mafundisho yako yote ni comedy, huna fundisho lolote la kujenga washarika, leo una mtetea muajiriwa kakosana na muajiri, nani kakuomba nani kakutuma..azisha kanisalako umuajiri.
Kiyakili unajua kma ukirsto ni taasisi sio dini uwisalamu hakuna iyo
One of my best influencer
Safi sana mtumishi
Staring wa kihindi Hamita Bachan haaaaaaa
Eti unapenda ugomvi yaani wewe Mchungaji kiboko yaani nimecheka
Huyu hafundishi chochote zaidi ya kupanda mbegu za chuki....kumbuka njaa zako ndo zilikupeleka KKKT, mafundisho yako yote ni comedy, huna fundisho lolote la kujenga washarika, leo una mtetea muajiriwa kakosana na muajiri, nani kakuomba nani kakutuma..azisha kanisalako umuajiri.
Na Eliona kimaro lazima ataenda kuhubiri kimataifa 🙏 uko ulaya
Kwaiyo hapa napata picha rasmin kama ukiristo ni biashara kama zilivo kampuni nyengine 2
Ndio biashara yetu
Ila Hananja 🤣🤣🤣
Kuna watu wanajikuta Mungu watu.
Ukweli uwekwe wazi. Huwezi nifukuza bila kunipatia sababu ya msingi. Tutaelewana. Enzi za giza zimepita
Yan nacheka kama mwehu
Kwani kafanyeje mtumishi wa Mungu Kimaro?