🔞SIZA MAZONGELA YAMKUTA MAMBO MAZITO KISA VIKUKU, AFUNGUKA MAZITO | KATIKATI ya KOKO...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 37

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  ปีที่แล้ว +1

    e​SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah hongereni wazazi wetu mwenyezi mungu azidi kuwatunza nikweli wari wasiku hizi macho yametuparama kikubwa ni kuporomoka kwa maadili

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 ปีที่แล้ว

    Mashallah nimepata kitu kizito sna hapa Maana ya mtungi, chungu na kujua ww uko NA nafasi gani kwa mume Shukran makungwi

  • @lailati6980
    @lailati6980 6 หลายเดือนก่อน

    Alhamdullilah nilipata mafundo lkn pia mama zangu mnatukumbusha asanteni sana

  • @aminaabdallahisa6827
    @aminaabdallahisa6827 ปีที่แล้ว

    Alhamdulillah hivo vyote nimeambiwa maana yake nikiwa mwali na manyakanga wangu,zamani mkoa wa mtwara kama ujawekwa jando utaimbwa wewe,kabla sijachezwa nilikuwa wananiimba

  • @lailati6980
    @lailati6980 6 หลายเดือนก่อน

    Wazaramo na Asili zetu rahaa sana unanikushusha apo shuka yeupe na upande wa kitenge asanteni wazazi Nawapenda

  • @عبداللهالعازمي-ع3ش
    @عبداللهالعازمي-ع3ش ปีที่แล้ว +1

    Asanteni

  • @genichenurdin409
    @genichenurdin409 ปีที่แล้ว

    Fiisabilillah mnafahamu maana yake au mnaropoka tu...

  • @najmaaa6548
    @najmaaa6548 ปีที่แล้ว

    Asante wazazi wangu

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 ปีที่แล้ว +1

    Ahsanteni jamani mtufundishe tunejisahau

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 9 หลายเดือนก่อน

    Najivunia kuwa mwali wazaman

  • @ziyadaahmed4168
    @ziyadaahmed4168 ปีที่แล้ว +1

    Mm ni Muha Lakin mafundo ya wazaram nayakubali Sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 9 หลายเดือนก่อน

      Ndio sisi lkn nilipauka nilivyokuwa kwenye ndoa wee mwanaume anijari

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 ปีที่แล้ว +1

    Ndowa za sasa nyingi biashara haohao wazazi husababisha matatizo ya ndowa

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 9 หลายเดือนก่อน

      Inategemea sio wote mm mwali wazaman lkn wanaume ndoa sinaham niliparara

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 ปีที่แล้ว

    Mashaallahu mwenyezi mungu azidi kuwatuzamama jeje naomba namba yako

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 ปีที่แล้ว

    Na zaman hakuna sim sijuwi sim gani unazo zisema ukitaja sim mambo ya juzi .

  • @فطومفاطمه-ش2و
    @فطومفاطمه-ش2و ปีที่แล้ว

    Kina mama mnaongea maneno kuntu sana napenda sana darasa leno

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว

    Mambo mazito 😍🔥

  • @nasreennashugosso9454
    @nasreennashugosso9454 ปีที่แล้ว +1

    Achante kungwiiiiii maneno kuntuuuu!

  • @عبداللهالعازمي-ع3ش
    @عبداللهالعازمي-ع3ش ปีที่แล้ว

    Nawapenda bure

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 ปีที่แล้ว +1

    😄🤣😂😆😄🤣ndoà zenye kutu

  • @faridamohamed3561
    @faridamohamed3561 ปีที่แล้ว

    hapo kwenye kusafisha nyumba sasa

  • @annahkyalo7045
    @annahkyalo7045 ปีที่แล้ว

    Kwani kuepua chungu cha mwenzako Iko na maana gani

    • @mariambintsaid3814
      @mariambintsaid3814 ปีที่แล้ว

      kumpik

    • @maryamthabiti
      @maryamthabiti ปีที่แล้ว

      @@mariambintsaid3814 Kumpikia ama kumpic jaman

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 9 หลายเดือนก่อน

      Ipo maana ss wazalam munazingatia mpakawaleo

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 9 หลายเดือนก่อน

      Ipo maana ss wazalam munazingatia mpakawaleo

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 ปีที่แล้ว +1

    fanya ufanyalo utakutana ty na matatixo ya wanaume mke c mfanyakazi dini imeshasema bwana haijaacha kitu mke akifanya kazi za nyumban anatakiwa alipwe akizaa akinyonyesha anatakiwa alipwe yote hayo hakuna mwanaume anayetekeleza majukum yao

    • @muhammadadam4769
      @muhammadadam4769 ปีที่แล้ว

      Hapana ,mwanamke atalipwa endapo atakuwa ameachika kisha ananyonyesha ila kufanya kazi za nyumbani tunafanya ihsani tunalipwa na Allah

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 ปีที่แล้ว

      @@muhammadadam4769 sio akiachwa na akawa anyonyseha laa hata vile yupo kwenye ndoa akimaliza ty anatakiwa alipwe isipokuwa tu wanaume na wanawake dini iko nyuma hakuna wanalolijua ndo maana wanafanya makosa mengi mengi kazi za nyumban ni huruma tu na mke akisema sipiki wala sifanyi chochote hatakiwa kuulizwa kinachofuata mume nunua msosi mke ale ashibe mambo mengine hayamhusu

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 ปีที่แล้ว

      @@muhammadadam4769 hakuna mwanamke anayeachika akalipwa mpka kiama kitasimama hatokei ndoo kwanza unaambiwa beba mitoto yako utadhan kaja na mitoto kutoka kwao tatixo dini mashee

    • @muhammadadam4769
      @muhammadadam4769 ปีที่แล้ว

      @@heyumi2340 ushahidi wa hayo kaangalie suuratut twalaaq Aya no 6 kama unajua tafseer utaelewa

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 ปีที่แล้ว

      @@muhammadadam4769 hakun cha kuachwa ndooo ulipwe usipoachwa je unabaki kuwa mtumwa asolipwa yy full kaxi tu kila siku mashekhe husema na aya juu