🔴

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2024
  • 🔴#Live: NAZI HAIKUNWI HIVYO, NDIYO MAANA UNAACHWA, MIRIAM MIGOMBA AFUNGUKA | KATIKATI ya KOKO..
    KWENYE UTAMU WA KOKO ya Global TV tumetembelewa na malkia wa mipasho na mtangazaji nguli wa habari za burudani hasa taarab Miriam Migomba ambaye amefunguka mengi juu ya maisha ya ndoa na wapenda nao..
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

ความคิดเห็น • 113

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  ปีที่แล้ว +4

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

    • @rabiasuleiyma
      @rabiasuleiyma ปีที่แล้ว

      Masha Allah udumu maelezo yk ni mazuri kama mwenyewe

  • @LeanaJohn-v2c
    @LeanaJohn-v2c 27 วันที่ผ่านมา

    Mashalah mungu awajalie maisha malefu mnatufundisha

  • @adijahmdosi5863
    @adijahmdosi5863 ปีที่แล้ว +1

    Jazzaka Allah kheri Mashallah tabarakallah Mwenyezi Mungu atawalipa Inshallah na Mwenyezi Mungu atujalie wepesi kwa hilo

  • @begamnafaj8743
    @begamnafaj8743 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana mada ni tamu sana ina utamu wa shira , ni kweli wanaume wengi wanatoka ktk ndoa zao kwa kifuata maneno matamu kwa wanawake wa nje

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah mwenyezi mungu awabariki piya awape umri mrefu. Muzidi. Kutufundisha

  • @user-vg2sh8pb3y
    @user-vg2sh8pb3y ปีที่แล้ว +4

    Mubarikiwe sana kina mamaa kwa darasa lenu nimeelimika sana ama kweli mwanaume nikam mtoto na mwanamke uchokozi jamani

  • @nufairahalex9010
    @nufairahalex9010 ปีที่แล้ว +3

    Kazi nzur mom,love you

  • @neemamzande8547
    @neemamzande8547 ปีที่แล้ว +1

    Nimependa hii mada mashallhhh mashallhhh 🥰🥰❤️❤️ mubarikiwe

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 ปีที่แล้ว +1

    Haswaaaa mariamu wa migomba uko vizuri mi nakupenda sana

  • @user-lr8lh3jx3z
    @user-lr8lh3jx3z 8 หลายเดือนก่อน

    Mashallah mariamu na mama jj hongereni

  • @dottohami
    @dottohami ปีที่แล้ว +1

    Masha Allha maryam wamigomba nakupenda sana 🌹🔥

  • @aishavogelmann5021
    @aishavogelmann5021 ปีที่แล้ว +1

    Shukran sana mola awape umri mrefu

  • @user-uk9cx2ol1s
    @user-uk9cx2ol1s ปีที่แล้ว

    Ahsante kwa mada nzuri

  • @halimamvungi1
    @halimamvungi1 ปีที่แล้ว +27

    Mwanaume kazi zake ni za kurudi saa Saba, uanze kumfagilia sebleni na wanaume hawahawa Si atasema unamloga ,hebu mtuache ,Tunafanya zaidi ya hivo ndugu , changamoto ni tunao wafanyia wengi hata hawajui maana ,Nguvu za kufunda zihamie Kwa wanaume Sasa na Ndoa zitanoga hamtaamini

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 ปีที่แล้ว +2

    Nawapenda

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 ปีที่แล้ว

    Penda sana Mariam Migomba,
    Hongera mama jj kwa kipindi

  • @batulimabewa6953
    @batulimabewa6953 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah 💞

  • @SamidahNamas
    @SamidahNamas 6 หลายเดือนก่อน

    Mashallah. ❤️❤️❤️💕

  • @user-td3py9cv6m
    @user-td3py9cv6m 4 หลายเดือนก่อน

    Jamani tunashukuru mnatusaidia sana kujenga nyumba zetu

  • @ekrammay8471
    @ekrammay8471 ปีที่แล้ว

    Shukran daMariam naMamajj darasa mjarabu

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 ปีที่แล้ว

    Bismillah mashallah
    Asant sna mama zangu kwa somo

  • @user-zo3oq5ty6g
    @user-zo3oq5ty6g 10 หลายเดือนก่อน

    Helloooo Jamani nawapenda sana

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 ปีที่แล้ว +10

    Asiniangaishe ,asinitie presha Mimi nataka MAPESA.Wanaume hawatosheki na kichapati kimoja, mtuambie tu tuwavumilie tumwombe MUNGU.

    • @user-us6ze8bz3u
      @user-us6ze8bz3u ปีที่แล้ว

      Mie nacheka mbavu sina jemeni! Hapo kweli umenena..

    • @maswamills3161
      @maswamills3161 ปีที่แล้ว +2

      @@user-us6ze8bz3u cheka tu mwaya lakini ndivyo ilivyo,uiname wee mpaka utembee kwa kichwa hafugiki mpaka Mungu aingilie Kati.

    • @user-us6ze8bz3u
      @user-us6ze8bz3u ปีที่แล้ว

      @@maswamills3161 santa mwaya..umenimaliza Sina kauli.langu jito tu.

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx ปีที่แล้ว +1

      Yaani umeongea maneno sahihi

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 ปีที่แล้ว +1

      @@maswamills3161 😂😂😂😂

  • @mariamashale6691
    @mariamashale6691 ปีที่แล้ว

    ahsante kwa tafsida kiswahili kimetulia

  • @fatumahamadi1379
    @fatumahamadi1379 ปีที่แล้ว +5

    Kw kweli hayo mafunzo yanajitajik pande zote 2 kw Mke m Mume ili ndoa zipate kudumu unajua wanaume wengi wanajibweteka mambo yote afanye mke ss hiyo sipendez inabid Mume nae amfanyie Mke ili mahana yazid

  • @zakhiamsuya4922
    @zakhiamsuya4922 ปีที่แล้ว

    Mashaalah ila kunamakungwi wanafundsha na kunawanaoharbu kwakweli

  • @zuhuracaleb6283
    @zuhuracaleb6283 8 หลายเดือนก่อน

    Hongereni sana kwa darasa Allah awajalie maisha marefu Inshallah

  • @fadiahshamekhatib3701
    @fadiahshamekhatib3701 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah 🙏🙏🙏

  • @magrethchalamila1005
    @magrethchalamila1005 ปีที่แล้ว

    Jamani da Mamu na bi mkubwa hapo nitawatafuta Mimi mwenyewe,asante

  • @sherykilongo7794
    @sherykilongo7794 ปีที่แล้ว +1

    Masha a Allah dada Mariam SoMo darsa zuri sana

  • @RashidOmar-t5q
    @RashidOmar-t5q ปีที่แล้ว +1

    Yeye mwenyewe minyewele wazi tena muislam,sasa anafunda nini.

  • @halimashaban811
    @halimashaban811 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah mashaallah 🥰 🥰🥰🥰🥰👏🙏🙏

  • @hagarbills4023
    @hagarbills4023 ปีที่แล้ว +1

    Bismillah Mansha'Allah ❤ ❤

  • @zainabuhamisi576
    @zainabuhamisi576 ปีที่แล้ว +1

    Safi

    • @djulfadjuma9073
      @djulfadjuma9073 ปีที่แล้ว

      Nashukuru sanaaaa.Allah SW Awabariki zaidi

  • @user-oh1ee3sy2z
    @user-oh1ee3sy2z ปีที่แล้ว

    Kwioooo👌 jamn shat na soks kweli😂 mwengin na sdiria🏃‍♀️

  • @mwajumakilobwa6237
    @mwajumakilobwa6237 ปีที่แล้ว +2

    Jamani ntawezaje kumpata maliam migomba mama jiji nisaidie kumpata🙏

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 ปีที่แล้ว +2

    😆😆😆😆 Swadaktaaaaa Sana Wa Mama Mnaeleweka,Tujitahidi Jamani 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️.

  • @hawaabdalla6616
    @hawaabdalla6616 ปีที่แล้ว +1

    🥰🥰🥰🥰

  • @mwanasiti3109
    @mwanasiti3109 10 หลายเดือนก่อน

    mm naomba tu namba yenu niwatafute❤❤❤❤

  • @Linda-lr1lu
    @Linda-lr1lu ปีที่แล้ว +3

    Shida ndio hiyo sasa mmezidisha wanawake fanyaeni hivi hivi lakini bora mngehamia kwa wanaume hawaoni hawaaikii bora wapewe kitchen party imetosha

    • @zena6203
      @zena6203 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣

  • @sioniamohammed6522
    @sioniamohammed6522 ปีที่แล้ว +4

    Nmependa mafunzo yenu, swadakta

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 ปีที่แล้ว +3

    Jamani hadi soksi🤔🤔🤔

  • @johariasud7691
    @johariasud7691 ปีที่แล้ว

    Dada mariamu naomba nikutafute mpendwa wangu

  • @esthermigire
    @esthermigire 10 หลายเดือนก่อน

    Dada asnte ila wanaume hawakai nyumbani.....

  • @johariasud7691
    @johariasud7691 ปีที่แล้ว

    Naomba namba yako dada mamu unifundie mdogo wangu

  • @pendoreginald6752
    @pendoreginald6752 ปีที่แล้ว

    Kwa Nini kwa Sasa msihamie kwa wanaume .maana talaka sikuizi zimekuwa nyingi ..Kila siku mwanamke fanya ivi fanya ivi

  • @irenesilayo1073
    @irenesilayo1073 ปีที่แล้ว +1

    Unamfanyiaje usafi

  • @rehemachipwaza5907
    @rehemachipwaza5907 ปีที่แล้ว +4

    Mmmmhhh Hawa binadamu hawana shukurani watatutoa roho mwishowe hata utembeleee kichwa kazi bure wasituchoshe kwa kweli

  • @joharijj2164
    @joharijj2164 ปีที่แล้ว +2

    Mimi yote nitamfanyia lakini akichepuka tu sipo tena wala siongezi ndio nagoma kabisa,na aende huko kabisa 😂😂

  • @djgabbychitanda1434
    @djgabbychitanda1434 ปีที่แล้ว +5

    Unaupiga mwingi ulipo nipo

  • @user-wd2uk9qh7f
    @user-wd2uk9qh7f ปีที่แล้ว

    Wakina mama tinashukuru kwa mafunzo yunu ni mazuri lakini, hawapo nyumbani je utayafanya atayaona wapi, mama akitoka asubuhi akirudi usiku. Mnatusaidiaje hapo jamani. 😢😢😢😢

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 ปีที่แล้ว +2

    Haaaaaaa shati tena au sokisi. Kwani vitambaa hamna

  • @mohammedibimkubwa4947
    @mohammedibimkubwa4947 ปีที่แล้ว +1

    Mh

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 ปีที่แล้ว

    Number ya da Mamu napata vip jmn

  • @marianamsuha3899
    @marianamsuha3899 ปีที่แล้ว

    Shati na soksi 🤣🙌

  • @khadijaamrani6282
    @khadijaamrani6282 ปีที่แล้ว

    Hapo hapo mume apenda taratibu katika mapenzi

  • @abdallahjuma7439
    @abdallahjuma7439 ปีที่แล้ว +1

    Unasema kwer kbsa , lkn kwa ss , hakuna mwanamke , anaweza kufangia , kwa kuinama , ,

    • @elizabethkweji7304
      @elizabethkweji7304 ปีที่แล้ว +1

      Watafute hela waache kelele😂

    • @batulimabewa6953
      @batulimabewa6953 ปีที่แล้ว +1

      @@elizabethkweji7304 Hahahaaa umeonaee tupo ila njaa nayo mimi nna njaa waniambia niiname

    • @myunaniniahmad6463
      @myunaniniahmad6463 ปีที่แล้ว +1

      Mgongo wenyewe unauma, tena ukainame.

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 ปีที่แล้ว

      @@batulimabewa6953 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 ปีที่แล้ว

      @@elizabethkweji7304 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nkurunzizaabdul-aziz7211
    @nkurunzizaabdul-aziz7211 ปีที่แล้ว

    Kwasasa tunava vikohi

  • @salmachonga
    @salmachonga ปีที่แล้ว +1

    Bhahaha jamaan soksi

  • @zuuMedia601
    @zuuMedia601 ปีที่แล้ว +1

    Somo zuli jomn

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 ปีที่แล้ว

    😂😂😂eti tunakunakuna nazi km gwaride la vetinamu 😂

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 ปีที่แล้ว

    Hahaha wanaongea matusi ni tafsida ni wanaongea kutombana 😅😅😅

  • @diddahjay2185
    @diddahjay2185 ปีที่แล้ว +1

    Ingekuwa kuolewa ni maufundi bc makungwi wengi wasingekuwa watalaka .. hata iweje wanaume ni jadi yao kichepuka tu msijihangaishe nakujikosoa

  • @user-uk9cx2ol1s
    @user-uk9cx2ol1s ปีที่แล้ว

    Ahsante kwa mada nzuri

  • @marianamsuha3899
    @marianamsuha3899 ปีที่แล้ว

    Shati na soksi 🤣🙌

    • @sifariziki1282
      @sifariziki1282 ปีที่แล้ว

      Huuuuuh kabisa wa maman zangu munaongelea mambo kwa usahii na wa penda Sana bure

  • @user-uk9cx2ol1s
    @user-uk9cx2ol1s ปีที่แล้ว

    Ahsante kwa mada nzuri

  • @user-uk9cx2ol1s
    @user-uk9cx2ol1s ปีที่แล้ว

    Ahsante kwa mada nzuri