SABABU YA ZOMPA KUMUACHA FAY MOMO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 415

  • @onesmongulo3770
    @onesmongulo3770 8 หลายเดือนก่อน +63

    Mwamba anaupendo wa dhati ndio maana kamuacha kuna muda unatakiwa umuache unaye mpenda ili aijue thamani yako respect ❤

    • @MarthaMoris-zg2bj
      @MarthaMoris-zg2bj 8 หลายเดือนก่อน +3

      Sujawahi kua naukalibu na x wangu hata mmoja kifupi sijawahi ludi nyuma

    • @SuzanA-up4pr
      @SuzanA-up4pr 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kwer kabisaa

    • @AlbinMsechu
      @AlbinMsechu 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@MarthaMoris-zg2bj akikutafuta je

  • @mkapakifoda8936
    @mkapakifoda8936 8 หลายเดือนก่อน +38

    Mwamba yupo sawa respect bro huo ndo wanaume 💪

  • @iddsomboko2619
    @iddsomboko2619 8 หลายเดือนก่อน +9

    Huyo demu mi Malaya mshikaji yupo sahihi
    Mwanangu big up sana

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 8 หลายเดือนก่อน +9

    Mtu anapokudanganya ni mbaya sana .Anakuonaje ..anakuchukuliaje!!!!Unasepa zako ubaki na Amani 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SafayaPlatnum-zz1dz
    @SafayaPlatnum-zz1dz 6 หลายเดือนก่อน +1

    Duh jamaaa anamaamuzi ya kibabe mtu pw sana zompaaaaaah 🔥 🔥

  • @wilsonmagogwa2428
    @wilsonmagogwa2428 8 หลายเดือนก่อน +6

    Oya mwamba kaua flani hiviii... Kinyamwezi sanaaa ... Same life style man😂

  • @shebynizertechnicallyskill3005
    @shebynizertechnicallyskill3005 8 หลายเดือนก่อน +16

    Nimekuappreciate sana mwanangu you are perfect man

  • @PeterEnosi
    @PeterEnosi 8 หลายเดือนก่อน +12

    Mchizi kama mm kabsa yan✊🏼... Gentlemen needs to be like that 💪🏼

  • @SuarezAmissi
    @SuarezAmissi 8 หลายเดือนก่อน +4

    Broo big up sana kbx kwa mahamuzi hayo

  • @Officialsamiahassan
    @Officialsamiahassan 6 หลายเดือนก่อน

    Hahahahaha hiyo sababu imeniamsha kwny usingzi maana hata me nlikua na tabia hiyo na nlikatazwa jmn uuuuwiiiii sinto ludia tena jameniii😅😅😅😅

  • @JamilaMbago-w4j
    @JamilaMbago-w4j 8 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂 ngoja kwanza nicheke😂😂😂😂 kumbe kweli sababu ipo 😂😂😂😂

  • @celinapatrick3856
    @celinapatrick3856 8 หลายเดือนก่อน

    😅😅😅😅😅😅dah Asante san hii ni tabia yangu 😂😂

  • @NawaalMallya
    @NawaalMallya 8 หลายเดือนก่อน

    Aaaaah zompaa kauwaa sanaa hayoo ndoo maamuzii ya kumee hakunaa kulazimishanaa asipoo epewaa kila mmojaa afanuee yakee😂😂

  • @ashazuber6548
    @ashazuber6548 8 หลายเดือนก่อน +17

    We kaka njoo tuyajenge mwaya niko single huu mwaka wa 5 😢❤❤😊😊

    • @FaridaKizenga
      @FaridaKizenga 8 หลายเดือนก่อน +2

      😅😅😅😅😅

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 8 หลายเดือนก่อน

      @@FaridaKizenga Nipen namba yake

    • @JudyLee-hf9cy
      @JudyLee-hf9cy 8 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 8 หลายเดือนก่อน +2

      @@JudyLee-hf9cy sasa mbon mwanicheka mwambien akuje

    • @engineerernest4425
      @engineerernest4425 8 หลายเดือนก่อน

      😂

  • @najmahhassan7853
    @najmahhassan7853 8 หลายเดือนก่อน +2

    Wanaume wote kuen kama zompa💪 safi sana, hakuna urafiki kati ya ex na ex.

  • @CherryEdward-r6s
    @CherryEdward-r6s 2 หลายเดือนก่อน

    Mdad mweu sana huy😅

  • @AnthoniaGeorge-tr7rd
    @AnthoniaGeorge-tr7rd 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka vizuri sana usije ukapata ukimwi bure

  • @Zengeni-gz8fe
    @Zengeni-gz8fe 8 หลายเดือนก่อน +1

    Yani ili jike xenge hili.broo saluti kwako hongera sana kwa maamuzi ya kiume 😂😂😂❤

  • @onesphorenkurunziza158
    @onesphorenkurunziza158 7 หลายเดือนก่อน +1

    Big up bro😊 usipelekeshwi wew nikidume,Good decision

  • @nurventnurvent
    @nurventnurvent 7 หลายเดือนก่อน

    Kwann uchart nae😂😂😂😂

  • @beatrcidavid3318
    @beatrcidavid3318 8 หลายเดือนก่อน +6

    Tumuombe Mungu sana saiv ukimw nje nje

  • @georgegeraz4557
    @georgegeraz4557 8 หลายเดือนก่อน +2

    Kama Zompa hamtaki atuachie tu tuishi nae😂😂😂

    • @mtotiimkwizu
      @mtotiimkwizu 8 หลายเดือนก่อน

      😂

    • @jaclinejohn332
      @jaclinejohn332 8 หลายเดือนก่อน

      bro sorry kwakupata mwanamke Malaya.

  • @fidonsostenes
    @fidonsostenes 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mwana kulitaka mwana kulipata 😅😅😅 demu kaumbuka mbele ya camera dadeki

  • @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
    @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 8 หลายเดือนก่อน

    😂😊😂😂😂mie huyooooo ,,,, siyo akil yake kuna ma x wako km wanga ata utake kuacha kuongea nae huwez😅😅😅😅.

  • @aminamaulid7371
    @aminamaulid7371 8 หลายเดือนก่อน

    Mwanamke mwingi huyu, mwamba yuko vizuri mnooh na anampenda sanaa ila upendo wa kweli ni kumuacha unayempenda aende kwa anayempenda 😂😂

  • @TasmiaDulla
    @TasmiaDulla 8 หลายเดือนก่อน +1

    Daah noma san bro umetisha unamaamuzi Makali san😂

  • @RanuFeisal-md4jb
    @RanuFeisal-md4jb 8 หลายเดือนก่อน

    Kaka uwamuzi ulofanya wa sawa kuachana naye❤❤hafai huyo dada

  • @johasaeed391
    @johasaeed391 8 หลายเดือนก่อน +19

    Tatizo wote mlienda kwa Mr right kutafuta mpenzi ndo hilo tatizo😅😅😅😅😅

    • @IRENEKOMANYA
      @IRENEKOMANYA 8 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅😅

    • @JENIPHAARON
      @JENIPHAARON 8 หลายเดือนก่อน +1

      Mbn uko kwa mr right uyu Dada anajiita Lisa af uku n faymomo duh

    • @johasaeed391
      @johasaeed391 8 หลายเดือนก่อน

      @@JENIPHAARON umeona mambo hayo yaani hawo wote ni malaya mtu kama unajielewa kabisa huwezi endajianika mbaya zaidi wanaume hawazaliliki anakuchukua anenda kukutumia nahata kama ataamua kuanza safari ya maisha juwa kabisa ipo siku atakutukana nilikutoa sehem fulani yaani kiufupi wanaume hawanaga msimamo maalum piga uwa galagaza 😄🤣

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@JENIPHAARON😂😂maigizo yale

    • @chax255
      @chax255 5 หลายเดือนก่อน

      nikadhani namfananisha

  • @Nelly-s3h
    @Nelly-s3h 7 หลายเดือนก่อน

    Dada jingaaa hili limetuanhushaloooh kaka bora umepiga chini

  • @rahimmbera6088
    @rahimmbera6088 8 หลายเดือนก่อน +2

    ila huyu demu jini aiseeeeeeeeee 🤣🤣🤣🤣🤣🏃🤣🏃🤣

  • @roseshonyera9929
    @roseshonyera9929 4 หลายเดือนก่อน

    Msichana mjinga uyooooo husije ata kumrudia broooo

  • @aznatfrida5577
    @aznatfrida5577 8 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa yupo sawa kabisaaa, kama alimununulia lain mpyaaa na bado akaendelea kuchat nae , aaaaah achana na huyu dada mapemaa kabisaa

  • @Elishalazaro-fr7cm
    @Elishalazaro-fr7cm 8 หลายเดือนก่อน +1

    jamaangu uko sawa sana 🎉
    😂

  • @Americabeautifulland
    @Americabeautifulland 8 หลายเดือนก่อน +15

    Nakubali mwamba yuko sawa uyo demu ni malaya tu anawataka wote mdagaji t

    • @RechaelEasily
      @RechaelEasily 8 หลายเดือนก่อน

      Unahasira

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@RechaelEasilyhii ndiyo ukweli huyo demu ni malaya tu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 8 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@RechaelEasilyHASIRA LAZIMA SABABU ANAIJUWA HALAFU ANASUMBIWA WATU.

  • @AgnesDavid-et3zn
    @AgnesDavid-et3zn 8 หลายเดือนก่อน +2

    Aibu naona mm😂😂

  • @jamesgeorge8279
    @jamesgeorge8279 8 หลายเดือนก่อน

    Wanazinguaga sana mm pia ndiyo mana nikizinguliwa napiga chini nacheki maisha yangu hao ukiwaendekeza utakuja kufa siku si zako aiseee

  • @IssaMkane
    @IssaMkane 6 หลายเดือนก่อน

    Role model wetu 😂😂

  • @elinapetro7136
    @elinapetro7136 8 หลายเดือนก่อน +2

    Wanawake wenye shepu tangulini wakawa na akili😂😂😂😂

    • @shaimaahashim4900
      @shaimaahashim4900 8 หลายเดือนก่อน

      Tutake radhi

    • @elinapetro7136
      @elinapetro7136 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@shaimaahashim4900 umemuona mwenzio alichokifanya lakini???nyie nokwaajili ya starehe tu lakini sio kuolewa

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 8 หลายเดือนก่อน +1

      SHEPU GANI UTAKUTA KAJA UKURUTU 😂😂😂😂

  • @AzizaShaik-v8o
    @AzizaShaik-v8o 9 วันที่ผ่านมา

    Uko sahihi kaka

  • @angeimruma
    @angeimruma 8 หลายเดือนก่อน +1

    Jina tu zompa muachoooo toshaaa🙄🙄🙄😃👌😝

  • @Denismayeye18
    @Denismayeye18 8 หลายเดือนก่อน +4

    Kabisa brother uko sawa kabisa

  • @essyrugomora4561
    @essyrugomora4561 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi n mama wa miaka minginsiwez kukubali kijana wa watu aumie n vizur aendelee na.maisha yake na kamwe usirudiane nae kwasababu mwanamke unatakia umpende mwenzako katika shida na raha kuchat na EX N TABIA MBAYA na kama mlikuwa hamjamalizana kwann uongee na mwingine.mwanangu hongera sana sana katika ushaur wako.alafu huna aibu unasema mlikuwa mnapemdana hapana hapana uamuz n mzur hata kuja hapo haukutakiwa uje uengeendelea na mambo yako

  • @DEBOLAZENDA
    @DEBOLAZENDA 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmmh mwanamke mwenzangu hayo cyo maish bint ukipendwa pendeka

  • @CosDanc9h
    @CosDanc9h 5 หลายเดือนก่อน

    Nimeipenda iii

  • @NahlaRashed
    @NahlaRashed 8 หลายเดือนก่อน +3

    Broo hataki stress ex ni ex tu hakuna ex mzuri Kam mzuri c ungbaki nae tu 😂😂😂😂😂

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 8 หลายเดือนก่อน

      Af kard kwa x wake tyr anampnzi wake yy nafas hana tena 😄😄et s kwa ubaya 😄😂x akuone unapndza afrai kasema nan Zaid atafanya akuharbie

  • @neykombe8831
    @neykombe8831 7 หลายเดือนก่อน

    Kuachwa tu unauliza watu wameachwa na mimba na awajauliza sembuse ww😂😂😂

    • @Zubaiba
      @Zubaiba 7 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli chukua maua yako 🎉🎉🎉🎉

  • @raphaelrwakimwaga7995
    @raphaelrwakimwaga7995 8 หลายเดือนก่อน

    Hv ndivyo mwanaume unatakiwa kuwa... ww fanya mazingira yako nifanye yangu kwsha 😂

  • @jafarysoahsoah8530
    @jafarysoahsoah8530 8 หลายเดือนก่อน

    Mr u unaweza my brother

  • @MariamAbuubakar-e5o
    @MariamAbuubakar-e5o 8 หลายเดือนก่อน

    Kweli ww dada hujielewi kabisa😅😅

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 8 หลายเดือนก่อน

    Zompa yupo sahiii sana kumbe dem ndio malaya huyoo

  • @iddykasabe84
    @iddykasabe84 7 หลายเดือนก่อน

    Wazee wa xba tumezopata code 😂😂😂😂 kumbe mnawapangaga 🤣🤣🤣🤣 piggy pori nyinyi

  • @InnocentJulius-pn1yj
    @InnocentJulius-pn1yj 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mwishoni umesemaje Mr uky😮😅😅

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 8 หลายเดือนก่อน +6

    X wako unawasiliana na unambaba Mwingine....upo sahihi kuondoka na usiludie nyuma tena🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
    @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 8 หลายเดือนก่อน

    😅😅😅😅 ndio ugeuke panya utafune line ya mwenzio dah

  • @BenisonInoccent
    @BenisonInoccent 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mie naona bro upo sawa kabisa kwa hayo maamuzi

  • @VeroMaketu
    @VeroMaketu 8 หลายเดือนก่อน +1

    X tang lini ukachat nae na mpenzi wako ajue alaf useme c kwa ubaya 😂😂😂

  • @mayasahassan5698
    @mayasahassan5698 8 หลายเดือนก่อน

    Mr right njoon muek right wapez went huku wameangukiq kwa Mr uk 😅😅ila kitu mtandaoni

  • @JoshuaMwakifuna
    @JoshuaMwakifuna 8 หลายเดือนก่อน

    Really gentleman big up bro

  • @NICOLAUSERASTO
    @NICOLAUSERASTO 3 หลายเดือนก่อน

    Zompa katuwakilisha vizuri

  • @yohanakipako7934
    @yohanakipako7934 8 หลายเดือนก่อน +7

    Mwamba yuko sahih kabisah awo watakumbushiana tu bro achana naye tu

  • @RechaelEasily
    @RechaelEasily 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mganga nipo apa😂😂😂

  • @MerinaMihayo
    @MerinaMihayo 8 หลายเดือนก่อน

    Bora leo umebadilisha nguo😂😂

  • @Ms.Shansha
    @Ms.Shansha 7 หลายเดือนก่อน

    Nyieeeee DEAR EX🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @racheljoseph9402
    @racheljoseph9402 8 หลายเดือนก่อน

    Mmamaaaaa 😂😂😂😂 kimekurambaaa shoga poleeee sana ww rud tu kwa ex wako mwache mwamb atfte akufanana nae Kila la kheri broo kunywa soda zompa nakuja kulipa 😂😂😂😂😂😂😂

  • @Amriisihaka-o4x
    @Amriisihaka-o4x 6 หลายเดือนก่อน

    Nakumbali sana maamuz ya mwana skuiz hatubembelez penz ukielekezwa huwelew pita ivii. Tulishaachaga iyo michongo*

  • @AgnesZephania-p5k
    @AgnesZephania-p5k 8 หลายเดือนก่อน +5

    Kizungu chako bana daahh Kenya Wana shanga iti Bola useme kiswahil

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 7 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂nawewe ongea kiingereza maana kiswahili amna

  • @Issaya-d3f
    @Issaya-d3f 7 หลายเดือนก่อน +2

    I like this man 😅

  • @sophykivuyo
    @sophykivuyo 8 หลายเดือนก่อน +1

    Zompa umepigaje apo😂😂😂😂

  • @userlizkenya
    @userlizkenya 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hii nimeielewa 😂😂😂

  • @NICOLAUSERASTO
    @NICOLAUSERASTO 3 หลายเดือนก่อน

    Mwamba yupo sahihi Uyo demu wakupiga chini tuu

  • @ElizabethMgeni-jo5vl
    @ElizabethMgeni-jo5vl 5 หลายเดือนก่อน

    Aliitafuna laini😅😅

  • @TreasureMagumba
    @TreasureMagumba 8 หลายเดือนก่อน +4

    Kaka zompa mm hapa niko singeli na ex nilishaaga block 😂😂😂

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 8 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂ulikubl ykaishaaa😄

    • @TreasureMagumba
      @TreasureMagumba 8 หลายเดือนก่อน +2

      @@eggysulle7988 ndio dia ex na andazi nachagua andazi 🤣🤣🤣

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@TreasureMagumba kabla ujaarb mipango 😄

  • @LloydsTech
    @LloydsTech 5 หลายเดือนก่อน

    bro ana mind set kubwa sana,thats how man should be

  • @MphilipinoFilmsTv-bs4mw
    @MphilipinoFilmsTv-bs4mw 6 หลายเดือนก่อน

    DAAA. ebhana ni kweliiii kabisaa,,mi mwenyewe MTU muongo simpendi hata robo

  • @luckfury9827
    @luckfury9827 6 หลายเดือนก่อน

    Em nipe hizo namba za Feimomo tumsitiri huku wauni😊

  • @angelmsalilwa517
    @angelmsalilwa517 8 หลายเดือนก่อน +1

    We zompaa weweh🙏
    Achana naee

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 8 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu momo kafanana na ngosha 😂😂😂

  • @AshirafAthumani
    @AshirafAthumani 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mwamba katisha kinyama🎉🎉🎉

  • @Thumaommy
    @Thumaommy 8 หลายเดือนก่อน +47

    Wa kwanza nimewah naomba like jaman ..team strong huyu😂😂🎉❤

    • @RoseIssaya
      @RoseIssaya 8 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kitafunio 😂😂

    • @AgnesDavid-et3zn
      @AgnesDavid-et3zn 8 หลายเดือนก่อน +1

      Aibu hauna unaomba like za nin kama mchawi

    • @JudyLee-hf9cy
      @JudyLee-hf9cy 8 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂😂​@@AgnesDavid-et3zn

    • @Thumaommy
      @Thumaommy 8 หลายเดือนก่อน

      @@AgnesDavid-et3zn mchawi ni mamaako ..nguruwe ww hvi comment section yote unaona mm tu..msenge sana ww....chefuuu😏😏

    • @AgnesDavid-et3zn
      @AgnesDavid-et3zn 8 หลายเดือนก่อน

      @@Thumaommy mmezidi sana waomba like paka mnakera boya wew

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 8 หลายเดือนก่อน

    Uko sahii kaka

  • @Heyumjunior119
    @Heyumjunior119 8 หลายเดือนก่อน

    Safi sana kaka 🤛🤛

  • @Promisenetwork
    @Promisenetwork 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mwamba nimemkubalibsana🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @devociltergoldwyne5651
    @devociltergoldwyne5651 8 หลายเดือนก่อน

    Hatuachana vibaya 😂😂😂😂😂😂😂ngombe kabisa sipendi kweliii

  • @ZeyanaKhamismashaka
    @ZeyanaKhamismashaka 8 หลายเดือนก่อน

    Alikuwa anajuwa uyoo 😅😅😅😅

  • @rozzymossesshayo6844
    @rozzymossesshayo6844 8 หลายเดือนก่อน

    Bora amekuacha ki roho safi watu wanauana ujue hongera kijana

  • @lydiajoshua9671
    @lydiajoshua9671 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nakukubali kaka uko sahihi

  • @rahimmbera6088
    @rahimmbera6088 8 หลายเดือนก่อน

    dahhhhhhhhh najiona Mimi kabisa

  • @NeemaIbrahimu-c2l
    @NeemaIbrahimu-c2l 6 หลายเดือนก่อน

    Dada Malaya anaonekana

  • @AloyceJuma-nc5vf
    @AloyceJuma-nc5vf 8 หลายเดือนก่อน

    hii ni ya moto sana jmn🔥🔥🔥🔥🔥

  • @SelestineKulwa
    @SelestineKulwa 8 หลายเดือนก่อน +3

    zompa respect sana

  • @francoisgloire
    @francoisgloire 7 หลายเดือนก่อน

    Vina tisha sana 😢😂

  • @pillyramadhani3726
    @pillyramadhani3726 8 หลายเดือนก่อน +1

    Imeisha iyooooo😂😂😂

  • @LubnaGeorge-re4yp
    @LubnaGeorge-re4yp 8 หลายเดือนก่อน

    Mamuzi sahihi😊😊😊😊

  • @KhadijaJacob
    @KhadijaJacob 8 หลายเดือนก่อน

    Uyu dada kajiharibia mwenyewe! Kaka songa mbele!

  • @Eddyx21
    @Eddyx21 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ur perfect than kiredio🔥🔥

  • @J.N837
    @J.N837 7 หลายเดือนก่อน

    Umekosea sana man, ilitakiwa umtanye awe single mother ndio umuache, awa mbwa nikiwateea ad kaburini

  • @Enocky-pv5ui
    @Enocky-pv5ui 8 หลายเดือนก่อน

    X arikua anakula 😅😅😅😅😅 kaka jikatae😅😅😅😅😂😂

  • @jescachandarua5898
    @jescachandarua5898 8 หลายเดือนก่อน

    Daaah ni mbaya kinouma congratulations man

  • @naomijulius4271
    @naomijulius4271 8 หลายเดือนก่อน

    Mim tu ndio nakupenda kweli😊

  • @LovelyRacingHelmet-iv6ti
    @LovelyRacingHelmet-iv6ti 7 หลายเดือนก่อน

    Daah mwamba kama mm vile sinaga kushangaa nikisha kujuwa demu ni mwongo then ni.esha kuambia husikii piga chini fasta