SABABU YA ZOMPA KUMUACHA FAY MOMO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 พ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 344

  • @onesmongulo3770
    @onesmongulo3770 25 วันที่ผ่านมา +53

    Mwamba anaupendo wa dhati ndio maana kamuacha kuna muda unatakiwa umuache unaye mpenda ili aijue thamani yako respect ❤

    • @MarthaMoris-zg2bj
      @MarthaMoris-zg2bj 24 วันที่ผ่านมา +3

      Sujawahi kua naukalibu na x wangu hata mmoja kifupi sijawahi ludi nyuma

    • @SuzanA-up4pr
      @SuzanA-up4pr 23 วันที่ผ่านมา +1

      Kwer kabisaa

    • @user-vz4xv7lg3x
      @user-vz4xv7lg3x 12 วันที่ผ่านมา

      ​@@MarthaMoris-zg2bj akikutafuta je

  • @mkapakifoda8936
    @mkapakifoda8936 25 วันที่ผ่านมา +32

    Mwamba yupo sawa respect bro huo ndo wanaume 💪

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 25 วันที่ผ่านมา +9

    Mtu anapokudanganya ni mbaya sana .Anakuonaje ..anakuchukuliaje!!!!Unasepa zako ubaki na Amani 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @wilsonmagogwa2428
    @wilsonmagogwa2428 8 วันที่ผ่านมา +4

    Oya mwamba kaua flani hiviii... Kinyamwezi sanaaa ... Same life style man😂

  • @iddsomboko2619
    @iddsomboko2619 24 วันที่ผ่านมา +6

    Huyo demu mi Malaya mshikaji yupo sahihi
    Mwanangu big up sana

  • @PeterEnosi
    @PeterEnosi 25 วันที่ผ่านมา +10

    Mchizi kama mm kabsa yan✊🏼... Gentlemen needs to be like that 💪🏼

  • @shebynizertechnicallyskill3005
    @shebynizertechnicallyskill3005 25 วันที่ผ่านมา +13

    Nimekuappreciate sana mwanangu you are perfect man

  • @ashazuber6548
    @ashazuber6548 25 วันที่ผ่านมา +14

    We kaka njoo tuyajenge mwaya niko single huu mwaka wa 5 😢❤❤😊😊

    • @user-no7pz1bz4y
      @user-no7pz1bz4y 24 วันที่ผ่านมา +2

      😅😅😅😅😅

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 24 วันที่ผ่านมา

      @@user-no7pz1bz4y Nipen namba yake

    • @JudyLee-hf9cy
      @JudyLee-hf9cy 24 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 24 วันที่ผ่านมา +1

      @@JudyLee-hf9cy sasa mbon mwanicheka mwambien akuje

    • @engineerernest4425
      @engineerernest4425 24 วันที่ผ่านมา

      😂

  • @user-bf2bx3vh1h
    @user-bf2bx3vh1h 25 วันที่ผ่านมา +47

    Wa kwanza nimewah naomba like jaman ..team strong huyu😂😂🎉❤

    • @user-ys3kk5il2p
      @user-ys3kk5il2p 25 วันที่ผ่านมา +1

      Ni kitafunio 😂😂

    • @AgnesDavid-et3zn
      @AgnesDavid-et3zn 24 วันที่ผ่านมา +1

      Aibu hauna unaomba like za nin kama mchawi

    • @JudyLee-hf9cy
      @JudyLee-hf9cy 24 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂😂​@@AgnesDavid-et3zn

    • @user-bf2bx3vh1h
      @user-bf2bx3vh1h 24 วันที่ผ่านมา

      @@AgnesDavid-et3zn mchawi ni mamaako ..nguruwe ww hvi comment section yote unaona mm tu..msenge sana ww....chefuuu😏😏

    • @AgnesDavid-et3zn
      @AgnesDavid-et3zn 24 วันที่ผ่านมา

      @@user-bf2bx3vh1h mmezidi sana waomba like paka mnakera boya wew

  • @johasaeed391
    @johasaeed391 25 วันที่ผ่านมา +19

    Tatizo wote mlienda kwa Mr right kutafuta mpenzi ndo hilo tatizo😅😅😅😅😅

    • @user-di8hg8ri4h
      @user-di8hg8ri4h 24 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅😅😅😅

    • @user-rk7iw5mw8z
      @user-rk7iw5mw8z 23 วันที่ผ่านมา +1

      Mbn uko kwa mr right uyu Dada anajiita Lisa af uku n faymomo duh

    • @johasaeed391
      @johasaeed391 23 วันที่ผ่านมา

      @@user-rk7iw5mw8z umeona mambo hayo yaani hawo wote ni malaya mtu kama unajielewa kabisa huwezi endajianika mbaya zaidi wanaume hawazaliliki anakuchukua anenda kukutumia nahata kama ataamua kuanza safari ya maisha juwa kabisa ipo siku atakutukana nilikutoa sehem fulani yaani kiufupi wanaume hawanaga msimamo maalum piga uwa galagaza 😄🤣

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      ​@@user-rk7iw5mw8z😂😂maigizo yale

  • @user-mf2jf6dp7z
    @user-mf2jf6dp7z 25 วันที่ผ่านมา +15

    Nakubali mwamba yuko sawa uyo demu ni malaya tu anawataka wote mdagaji t

    • @user-fo8yc8xo8s
      @user-fo8yc8xo8s 25 วันที่ผ่านมา

      Unahasira

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 24 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-fo8yc8xo8shii ndiyo ukweli huyo demu ni malaya tu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 23 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@user-fo8yc8xo8sHASIRA LAZIMA SABABU ANAIJUWA HALAFU ANASUMBIWA WATU.

  • @SuarezAmissi
    @SuarezAmissi 24 วันที่ผ่านมา +4

    Broo big up sana kbx kwa mahamuzi hayo

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 25 วันที่ผ่านมา +6

    X wako unawasiliana na unambaba Mwingine....upo sahihi kuondoka na usiludie nyuma tena🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @yohanakipako7934
    @yohanakipako7934 25 วันที่ผ่านมา +7

    Mwamba yuko sahih kabisah awo watakumbushiana tu bro achana naye tu

  • @beatrcidavid3318
    @beatrcidavid3318 25 วันที่ผ่านมา +6

    Tumuombe Mungu sana saiv ukimw nje nje

  • @user-ul9kp8zq1k
    @user-ul9kp8zq1k วันที่ผ่านมา

    Dada jingaaa hili limetuanhushaloooh kaka bora umepiga chini

  • @aznatfrida5577
    @aznatfrida5577 25 วันที่ผ่านมา +2

    Jamaa yupo sawa kabisaaa, kama alimununulia lain mpyaaa na bado akaendelea kuchat nae , aaaaah achana na huyu dada mapemaa kabisaa

  • @najmahhassan7853
    @najmahhassan7853 22 วันที่ผ่านมา +1

    Wanaume wote kuen kama zompa💪 safi sana, hakuna urafiki kati ya ex na ex.

  • @user-ez2ng8xv5z
    @user-ez2ng8xv5z 24 วันที่ผ่านมา +5

    Kizungu chako bana daahh Kenya Wana shanga iti Bola useme kiswahil

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😂😂😂nawewe ongea kiingereza maana kiswahili amna

  • @jamesgeorge8279
    @jamesgeorge8279 23 วันที่ผ่านมา

    Wanazinguaga sana mm pia ndiyo mana nikizinguliwa napiga chini nacheki maisha yangu hao ukiwaendekeza utakuja kufa siku si zako aiseee

  • @Denismayeye18
    @Denismayeye18 25 วันที่ผ่านมา +4

    Kabisa brother uko sawa kabisa

  • @JoshuaMwakifuna
    @JoshuaMwakifuna 21 วันที่ผ่านมา

    Really gentleman big up bro

  • @Zengeni-gz8fe
    @Zengeni-gz8fe 24 วันที่ผ่านมา +1

    Yani ili jike xenge hili.broo saluti kwako hongera sana kwa maamuzi ya kiume 😂😂😂❤

  • @user-fx5hg9zb7u
    @user-fx5hg9zb7u 25 วันที่ผ่านมา +10

    Uyo maraya achana nae kaka angu rizik yako inakuja

  • @InnocentJulius-pn1yj
    @InnocentJulius-pn1yj 25 วันที่ผ่านมา +2

    Mwishoni umesemaje Mr uky😮😅😅

  • @TasmiaDulla
    @TasmiaDulla 25 วันที่ผ่านมา +1

    Daah noma san bro umetisha unamaamuzi Makali san😂

  • @user-wd6wh2cl8n
    @user-wd6wh2cl8n 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mie naona bro upo sawa kabisa kwa hayo maamuzi

  • @themanofgod7562
    @themanofgod7562 25 วันที่ผ่านมา +6

    Keep it up Mzee Baba too much fishies in the sea.

  • @user-pi8jr5jp4c
    @user-pi8jr5jp4c 25 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂 ngoja kwanza nicheke😂😂😂😂 kumbe kweli sababu ipo 😂😂😂😂

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 23 วันที่ผ่านมา +3

    HUYO MALAYA X WAKE MSHAMBA WA KUMA AKADHANI WANAUME WOTE WASHAMBA WA KUMA 😂😂😂😂😂😂

  • @essyrugomora4561
    @essyrugomora4561 23 วันที่ผ่านมา

    Mimi n mama wa miaka minginsiwez kukubali kijana wa watu aumie n vizur aendelee na.maisha yake na kamwe usirudiane nae kwasababu mwanamke unatakia umpende mwenzako katika shida na raha kuchat na EX N TABIA MBAYA na kama mlikuwa hamjamalizana kwann uongee na mwingine.mwanangu hongera sana sana katika ushaur wako.alafu huna aibu unasema mlikuwa mnapemdana hapana hapana uamuz n mzur hata kuja hapo haukutakiwa uje uengeendelea na mambo yako

  • @NahlaRashed
    @NahlaRashed 25 วันที่ผ่านมา +3

    Broo hataki stress ex ni ex tu hakuna ex mzuri Kam mzuri c ungbaki nae tu 😂😂😂😂😂

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 24 วันที่ผ่านมา

      Af kard kwa x wake tyr anampnzi wake yy nafas hana tena 😄😄et s kwa ubaya 😄😂x akuone unapndza afrai kasema nan Zaid atafanya akuharbie

  • @NawaalMallya
    @NawaalMallya 24 วันที่ผ่านมา

    Aaaaah zompaa kauwaa sanaa hayoo ndoo maamuzii ya kumee hakunaa kulazimishanaa asipoo epewaa kila mmojaa afanuee yakee😂😂

  • @celinapatrick3856
    @celinapatrick3856 24 วันที่ผ่านมา

    😅😅😅😅😅😅dah Asante san hii ni tabia yangu 😂😂

  • @AsteriaRaphael
    @AsteriaRaphael ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Dada jinga sana hata ningekuwa mimi ningekuacha umbwaaa

  • @user-ls2nq2eq3l
    @user-ls2nq2eq3l 24 วันที่ผ่านมา

    Uyu dada kajiharibia mwenyewe! Kaka songa mbele!

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d 23 วันที่ผ่านมา

    😂😊😂😂😂mie huyooooo ,,,, siyo akil yake kuna ma x wako km wanga ata utake kuacha kuongea nae huwez😅😅😅😅.

  • @jafarysoahsoah8530
    @jafarysoahsoah8530 24 วันที่ผ่านมา

    Mr u unaweza my brother

  • @user-ro7sk9ic7z
    @user-ro7sk9ic7z 24 วันที่ผ่านมา +1

    X tang lini ukachat nae na mpenzi wako ajue alaf useme c kwa ubaya 😂😂😂

  • @IbrahimHangira
    @IbrahimHangira 25 วันที่ผ่านมา +1

    He is right,jamaa kamaliza ..huonmtindo wanao wengi dawa ni kuoiga pembeni ,piga payday

  • @aziza9093
    @aziza9093 25 วันที่ผ่านมา +5

    Hanamana huyu mwnamke uko sahh kaka achanaya

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260 25 วันที่ผ่านมา +1

    The guy ana msimamo I like him

  • @jescachandarua5898
    @jescachandarua5898 24 วันที่ผ่านมา

    Daaah ni mbaya kinouma congratulations man

  • @rahimmbera6088
    @rahimmbera6088 24 วันที่ผ่านมา +2

    ila huyu demu jini aiseeeeeeeeee 🤣🤣🤣🤣🤣🏃🤣🏃🤣

  • @Elishalazaro-fr7cm
    @Elishalazaro-fr7cm 25 วันที่ผ่านมา +1

    jamaangu uko sawa sana 🎉
    😂

  • @ZediMichael
    @ZediMichael 24 วันที่ผ่านมา +1

    Hayo ndoo maamuzi ya kiume safi sana,huyo mwanamke hajatulia hata kidogo

  • @TreasureMagumba
    @TreasureMagumba 25 วันที่ผ่านมา +2

    Bora mwanaune akuache kuliko kukudanganya anakupenda huku anakucheat inauma 😭😭😭 we dada naww acha umalaya unawasilianaje na ex wako hee

    • @Aisha-vr5hb
      @Aisha-vr5hb 25 วันที่ผ่านมา +1

      Kweli

  • @Eddyx21
    @Eddyx21 25 วันที่ผ่านมา +1

    Ur perfect than kiredio🔥🔥

  • @RanuFeisal-md4jb
    @RanuFeisal-md4jb 10 วันที่ผ่านมา

    Kaka uwamuzi ulofanya wa sawa kuachana naye❤❤hafai huyo dada

  • @rozzymossesshayo6844
    @rozzymossesshayo6844 23 วันที่ผ่านมา

    Bora amekuacha ki roho safi watu wanauana ujue hongera kijana

  • @TreasureMagumba
    @TreasureMagumba 25 วันที่ผ่านมา +4

    Kaka zompa mm hapa niko singeli na ex nilishaaga block 😂😂😂

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 24 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂ulikubl ykaishaaa😄

    • @TreasureMagumba
      @TreasureMagumba 24 วันที่ผ่านมา +2

      @@eggysulle7988 ndio dia ex na andazi nachagua andazi 🤣🤣🤣

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 24 วันที่ผ่านมา +1

      @@TreasureMagumba kabla ujaarb mipango 😄

  • @memoryngambi7570
    @memoryngambi7570 25 วันที่ผ่านมา

    Kaka uko Sahihi,mwanamke lazima awe mtiifu kwa mwanaume,hujamuoa anakusumbua je ukimuoa?ulifanya maamuzi sahihi kabisa tena ya kiume

  • @AbdulMagembe
    @AbdulMagembe 5 วันที่ผ่านมา

    Yaani kama communication ya ex bado ipo, hapo anytime wanaenda ku re match wakumbushie enzi😂

  • @NeemaMsuya-kk6bs
    @NeemaMsuya-kk6bs 24 วันที่ผ่านมา +2

    Ex is passing around between the interview 😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 23 วันที่ผ่านมา +1

      INAWEZEKANA PIYA 😂😂😂😂😂 WATOMBAJI WANAMJUWA MTOMBEWAJWI 😂😂😂

  • @AloyceJuma-nc5vf
    @AloyceJuma-nc5vf 25 วันที่ผ่านมา

    hii ni ya moto sana jmn🔥🔥🔥🔥🔥

  • @lydiajoshua9671
    @lydiajoshua9671 24 วันที่ผ่านมา +1

    Nakukubali kaka uko sahihi

  • @angelmsalilwa517
    @angelmsalilwa517 21 วันที่ผ่านมา +1

    We zompaa weweh🙏
    Achana naee

  • @aminamaulid7371
    @aminamaulid7371 12 วันที่ผ่านมา

    Mwanamke mwingi huyu, mwamba yuko vizuri mnooh na anampenda sanaa ila upendo wa kweli ni kumuacha unayempenda aende kwa anayempenda 😂😂

  • @araphatwalibu1258
    @araphatwalibu1258 23 วันที่ผ่านมา

    Ila zompa na handsome 😂🥰

  • @Heyumjunior119
    @Heyumjunior119 25 วันที่ผ่านมา

    Safi sana kaka 🤛🤛

  • @angelGebra
    @angelGebra 17 วันที่ผ่านมา +1

    Jina tu zompa muachoooo toshaaa🙄🙄🙄😃👌😝

  • @user-mc6um1it1r
    @user-mc6um1it1r 24 วันที่ผ่านมา

    Kweli ww dada hujielewi kabisa😅😅

  • @J.N837
    @J.N837 4 วันที่ผ่านมา

    Umekosea sana man, ilitakiwa umtanye awe single mother ndio umuache, awa mbwa nikiwateea ad kaburini

  • @MerinaMihayo
    @MerinaMihayo 24 วันที่ผ่านมา

    Bora leo umebadilisha nguo😂😂

  • @rukaiyadickson6234
    @rukaiyadickson6234 25 วันที่ผ่านมา

    Pole san mpenz ndo ukuwe mtu ameshakwambia zaid ya mara 1 ukome

  • @salmahumud8126
    @salmahumud8126 25 วันที่ผ่านมา

    Safi Sana bro

  • @nuruabraham3769
    @nuruabraham3769 25 วันที่ผ่านมา

    jamanii mr and mrs right mmeachana, ila kwa tabia hiyo achana nae malaya tuu huyo.

  • @AgnesDavid-et3zn
    @AgnesDavid-et3zn 25 วันที่ผ่านมา +1

    Aibu naona mm😂😂

  • @devociltergoldwyne5651
    @devociltergoldwyne5651 25 วันที่ผ่านมา

    Hatuachana vibaya 😂😂😂😂😂😂😂ngombe kabisa sipendi kweliii

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    huyo kaka nilimuona kwenye mr right

  • @userlizkenya
    @userlizkenya 25 วันที่ผ่านมา +1

    Hii nimeielewa 😂😂😂

  • @raheemaamani6158
    @raheemaamani6158 25 วันที่ผ่านมา +2

    Wewe Kaka nimekuelewa Sana Una maamuz ya kiume Sana yaniiiii

  • @user-nc4ko3qz7t
    @user-nc4ko3qz7t 25 วันที่ผ่านมา

    Broo niwakujng nae maish yuko sw

  • @ellennkota6599
    @ellennkota6599 22 วันที่ผ่านมา +1

    This man is like my man

  • @user-ho8lh9ke2d
    @user-ho8lh9ke2d 25 วันที่ผ่านมา +1

    Kumbe broo yuko sahihi

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 25 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu momo kafanana na ngosha 😂😂😂

  • @user-fc7vm5lk7u
    @user-fc7vm5lk7u 25 วันที่ผ่านมา

    Huku Kaka Yuko Kama Mimi Kaka hajafanya vibya hongera sana Mimi mwenyew mume wangu anatabia chafu na nataka kuchana naye hata Leo lkn talak Tu ndio hataki kutoa kwahiyo Kaka muache Huy mwanamke na upumbavu wake atajifunza

  • @sophyliciouzmushi2952
    @sophyliciouzmushi2952 25 วันที่ผ่านมา +2

    Mr Uky naomba namba ya zompa jmn

  • @user-jp9dm2ys4m
    @user-jp9dm2ys4m 25 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona wanafanana na ms UK

  • @user-is2pj2vq3r
    @user-is2pj2vq3r 25 วันที่ผ่านมา

    Bro yupo sahihi

  • @aderickkelvine1016
    @aderickkelvine1016 24 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo demu msenge sana

  • @JenifaChaz
    @JenifaChaz 25 วันที่ผ่านมา

    Huyu Dada aikuwa Mr light jaman anaitwa Lina alikuwa anatafuta mume jaman😂🤣🤣🤣

    • @AalyahNassor
      @AalyahNassor 25 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅😅

  • @novatusmwakasaka3311
    @novatusmwakasaka3311 25 วันที่ผ่านมา

    Jamaa mshamba sana kwani ukiachana na mtu ndo msiwasiliane kwani kuachana ni ugomvi

  • @jordannelson2453
    @jordannelson2453 14 วันที่ผ่านมา

    Lose what you love sometimes appreciate broo

  • @jafarysoahsoah8530
    @jafarysoahsoah8530 24 วันที่ผ่านมา +1

    Sababu unaijua vzr tu

  • @mrwadata34
    @mrwadata34 22 วันที่ผ่านมา

    Muamba ako vizuri

  • @monicambarikiwa9532
    @monicambarikiwa9532 24 วันที่ผ่านมา

    Tunafeli sana mabinti kwenye hilo swala🥺💔….. MUNGU atusaidie

  • @user-fo8yc8xo8s
    @user-fo8yc8xo8s 25 วันที่ผ่านมา +1

    Mganga nipo apa😂😂😂

  • @thabitimkufi7388
    @thabitimkufi7388 24 วันที่ผ่านมา +1

    Upo sahihi kaka achana na huyo malaya

  • @AminaMohomi
    @AminaMohomi 24 วันที่ผ่านมา

    Dada hujielewi kabisa ex ni ex tu umebadilika nn hadi anakuharibia ex hajawahi kupenda mafanikio yako tena ukikukuta umependeza anataka tu kuharibu💔

  • @user-xm6hx6cr5l
    @user-xm6hx6cr5l 24 วันที่ผ่านมา +1

    Uko sawa mwamba

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d 23 วันที่ผ่านมา

    😅😅😅😅 ndio ugeuke panya utafune line ya mwenzio dah

  • @user-vz7pk7gr2s
    @user-vz7pk7gr2s 24 วันที่ผ่านมา

    Mr uk unakipindi kizur sana kimetulia. Syo kama kiridio mapepe meng

  • @angelmsalilwa517
    @angelmsalilwa517 21 วันที่ผ่านมา +2

    Hili dada kama jinga vilee😡😏

  • @Muhamedomary-hp4gn
    @Muhamedomary-hp4gn 17 วันที่ผ่านมา

    Uyu mwanaume kam bwana angu yn km umemkosea asemiii ana nunaa tuuu

  • @naomijulius4271
    @naomijulius4271 24 วันที่ผ่านมา

    Mim tu ndio nakupenda kweli😊

  • @FatumaNurdin-ob7br
    @FatumaNurdin-ob7br 25 วันที่ผ่านมา

    Mkaka mzuri jaman

  • @user-rc6ww6rx7n
    @user-rc6ww6rx7n 23 วันที่ผ่านมา

    Hy muuni mm kbs aisee co mda wakucheka na kima huu mamae akiwa kichwani butu unamuacha aende maa ndegeres na mitako yk km fuko la taka hl

  • @SelestineKulwa
    @SelestineKulwa 25 วันที่ผ่านมา +1

    zompa respect sana

  • @SamiraseifAlfan-ph4ke
    @SamiraseifAlfan-ph4ke 25 วันที่ผ่านมา

    Umekosea dd angu pole