Ukisikia fungu la kukosa ndio hilo, hakuna kinacho sumbua hapo ni tamaa iliyopo ndani ya wadada wa siku hiz, uaminifu hakuna ukute mshikaji alijiweka hali ngumu ili aangalie upendo wa kweli upo wapi, ni bora ametumia njia hiyo japo inauma kwa Mwanamke ambaye ulikuwa unamuwazia kwenye future yako, lakini ni bora kujua uchafu wake mapema kulikoni maumivu ukiwa kwenye ndoa, Big up sana @kiredio kwa kufanya kazi kwa uaminifu,
Uko Sahihi kabisa kaka yani siku izi hakuna mapenzi ya kweli tena kama unavyosema jamaa kajimake kwa muda ili amnunulie demu wake gari lakin the end of the time mtu unategemea utatajwa kumbe dem anakuja mtaja mtu mwingine je kama angekurupuka na kumpa gari si ingekua ni pressure kila siku na ugomvi usioisha ndani ya nyumbaa dah ladies punguzeni tamaa jamani
sasa kama umlfanya nae challenge nashindwaje kumjua nyie msitifamye watoto sisi mmeskia..japo mm ndo ningekua mzazi wa huyo binti kaul ingekua n bora ache vyet uko lkn bira gar asirudi nyumban 😂😊😂😊😂
Yan hata mm nilijua naweza sn ivo ikiwa wanaume wameshamtumia sn alafu ameishiwa t kupata hela ya Chipsi leo kashaoata gari mtego umemnasa mame inakwambia asa ukija huku uje na gari laaa sivyo huku ucje umbwa ww😂
Kmmae dah aisee awa raia awa mwanangu Mungu aliiona akasema tuishi nao kwa akili, Mtu tunastruggle ili tuwe na pesa tupate kuwatunza lkn bado hawajui wanachokitaka, haloooo😢😢😢😢😂
Huyo ni Malaya mm ndyo maana wanawake weupe siwapendi coz wengi wao ni malaya siyo waaminifu rangi yao inawadanganya kwamba wao ni wazuri na hawanaga mtu mmoja yani ni malaya.
Daaaaah nimeumia sana kama mimi ndio nimekosa hiyo gari, unaweza ukafa wallah. Daaah wanawake tujifunze kutulia hujui nani atakuja kukutoa kimaso maso. Uksikia fungu lakukosa ndio hii jaman.
Hii ishu sio kiki huu ni uhalisia kabisa coz reaction za hawa watangazaji baada demu kuondoka is genuine, kwakweli hii mbini nimeipenda san ni rahisi kumjua gal anaekuchiti na asokua na mapenz kwako
Inauma Sana..lakn kapata funzo lake,,tulia na mpnz 1tu hayo mambo ya kuruka ruka tuwaachie wasio na malengo ya kuwa future wife💞,,jamen tuacheni ss wadada wa udsm sio sote vicheche jamen malaya wapo kila sehem huyo asituchafulie wengine kila mtu na tabia yake.......Ila dah! Kakosa gar😂 +💔
😂😂😂😂 kiredioo wewee n fundiiii, umeshajua mnashare na Benny tiyar huenda yupo na mwingine maana mdada mdada wa watu kajikanyaga kanyaga mnoo duuuuh aloooh hii dunia buanaa?!!
Jamani Kuna watu Wana bahati iv mm nipate mtu wa kunipa gali bdo nachet kama ameweza kununua gali ni bingo anampa ila Wanawake muwe na uruma na wanaume jaman
Hii video ni imepangwa ni fake huyo mdada anvyo kuita kiredio sio kama mtu asiye mfahamu ila ni good stunt video imeenda ila hakuna uharisia ni stage kila kitu
Hawa mabinti wa University wanakuwaga hivyo yani mahusiano kwao ni kama thamthilia anakuwaga na msururu wa wanaumwe lukuki kwa hiyo hakuna la ajabu hapo 😂😅
Inavoonekana huyo kaka alioileta hyo gar hpo anampenda huyo dada .. na huyo dada akipambana hyo gar inakuw yake 😂 xx ajifikirie hpo kwny kupamban na huyo sponsor wke😂😂😂
Pole mpenzi.nilichomuhurumia nikua maisha yalivyo magumu mtaan baada ya kuhitimu😢ukute alitoa Gali kisha apatiwe na kaajira maskini ona Sasa Binti mdogo kamaliza chuo na gundu maana huo ni mkosi mpenzi japo ningumu kunielewa kwa haraka
Tusiwakandie sana wadada uaminifu haupo kwa kila jinsia nani hapa jinsia ya kiume anamwanamke mmoja?hajawahi piga nje au kumchiti mpnz wake tuwe wakweli tuu
Ukisikia fungu la kukosa ndio hilo, hakuna kinacho sumbua hapo ni tamaa iliyopo ndani ya wadada wa siku hiz, uaminifu hakuna ukute mshikaji alijiweka hali ngumu ili aangalie upendo wa kweli upo wapi, ni bora ametumia njia hiyo japo inauma kwa Mwanamke ambaye ulikuwa unamuwazia kwenye future yako, lakini ni bora kujua uchafu wake mapema kulikoni maumivu ukiwa kwenye ndoa, Big up sana @kiredio kwa kufanya kazi kwa uaminifu,
Uko Sahihi kabisa kaka yani siku izi hakuna mapenzi ya kweli tena kama unavyosema jamaa kajimake kwa muda ili amnunulie demu wake gari lakin the end of the time mtu unategemea utatajwa kumbe dem anakuja mtaja mtu mwingine je kama angekurupuka na kumpa gari si ingekua ni pressure kila siku na ugomvi usioisha ndani ya nyumbaa dah ladies punguzeni tamaa jamani
Dah kweli Nimecheka sana yaani dem unashindwa kumjua boi wako mwenye hela
Hahaha huyo atakuwa nao wenye hela kibao....😅
Hakika ila Si wakumpa gari ila udsm 🙌🙌😂
Dah imekatika kama umeme!!??
daah huyo manzi anaweza kwenda kujinyonga ebu mfuatilieni 😂😂😂
Hahahahah
Afe kabisa
😂😂😂😂kwakwel apewe ulinzi
Malaya ajinyongi bado kuna sponsor mzee apo😂😂
Bora age mapema ili asituachie mbegu mbaya ya unafki wake,,
Dah na unakuta mwana alikua yeye ndo boom mpaka anamaliza Chuo aise nimesikitika kama kiredio aisee 😔 kiredio kabaki kujilaumu Tu maskini dah.
sasa kama umlfanya nae challenge nashindwaje kumjua nyie msitifamye watoto sisi mmeskia..japo mm ndo ningekua mzazi wa huyo binti kaul ingekua n bora ache vyet uko lkn bira gar asirudi nyumban 😂😊😂😊😂
😂😂😂😂😂
Ni uongo ni usanii
Yan hata mm nilijua naweza sn ivo ikiwa wanaume wameshamtumia sn alafu ameishiwa t kupata hela ya Chipsi leo kashaoata gari mtego umemnasa mame inakwambia asa ukija huku uje na gari laaa sivyo huku ucje umbwa ww😂
Haka kamalaya kanaongea... Aibu naona Mimi mamake 😂😂
Aaah kumamakee msenge huyo ukute uyo beny ni mpiga tofali anaacha ndinga
Ukute bro alkuwaga hajionyeshi anapesa mbele ya dem🤣🤣🤣kamtaja sponsor BEN ye hana huo mdaaa. Ndo ujifunze🙄
Good job kiredio 😂
Mimi tokea jana nilijua tu lazima atakosa tu ikifikia time unaona kabisa mpaka mwanaume anajitoa ivoo anajua kabisa kitacho tokea
Nimecheka ki KU###### "ETI KWENYE MA BOYFRIENDS ZAKO UNASHINDWA KUMJUA MTU MWENYE HELA MWANANGU"😂😂😂😂😂😂😂
Hiki kisa kifatilie vizuri unaambiwa huyo jamaa mwenyewe anaishi life la kawaida sana tu kama bwege halafu sio kwamba anamkwanjaa saaana
uhun mbay😂😂😂😂 kakos tako la nyani 😂
Au alikua na mabahasha wenye Hela wengi daah..😂
Usha haribu graduation ya mtu hapo😅
Uaminifu kitu cha msingi sna😂😂😂😂
Du! Hatari hapa uhakika wa wachumba umepatiwa dawa yake kiredio
Yaan mungu anipe mwanaume kama huyo ningemuheshimu San jmn
Basi anamabwana wenye hela wengi mpka hajui amtaje nani kakosa gari
Kmmae dah aisee awa raia awa mwanangu Mungu aliiona akasema tuishi nao kwa akili, Mtu tunastruggle ili tuwe na pesa tupate kuwatunza lkn bado hawajui wanachokitaka, haloooo😢😢😢😢😂
Akili yenyewe ndo hyo ss
Reality at it peak
Ben popote ulipo kumbe wew ndo unapendwa ungepeleka gar wajamen mdada ametoka amelooooowaaaa
Naomba na huku znz afike tu kwakweli
Eti kirediooo 😂😂😂😂 tamaaa mbaya sana
Wadada wa chuo😃😃😃😃
😀😀😀😀dah hii imeenda
Kabisa uwe na mpenz anasoma chuo ujue umekwisha
Hizo k tumeziskia😂😂
Huyo ni Malaya atataja mchimba chumvi anao wengi
He jaman umalaya huu kah ebu nipeni hilo gari jaman mnarudishaje kwamfano
yaan mnasema lazima muwe 2
Huyo aliyempa anajua kama sio kweli ndo maana akamjaribu kwa Gari tu ila huyo Hana uwezo wa gari
kwel au igizo
Hiyo kweli kaka
Ng'ombe wa masiki hazai huyo dada ateseka yake yote
Umalaya sio kitu kizuri kweli
AWEZA KUFANYA MKUBWA MTU USIE MDHANIA HAPO NDO UNAPO AIBIKA
Daaaaaaaaaaah wanawake jmn
Hy dada malaya afu ubongo wake unavuja
Dah sijui tutaoa wakina nani kwa hali hii
Inaonekana dem alikua anatumiwa sana na mshikaji mpaka mhuni kmnunulia gari basi alikua anampenda sema tu dem alikua danga sanaaa
I love this game😂 e😂😂
Yan wanangu kinachotakiwa sasa hv kuwa na mboo Nene kulanina, Ili wawe na mashimo 😬
Wanaume tujifunzekituapa
Ndo waachage umalaya
Daaah cku ake iliisha vibaya 🚶🚶🚶 kwa msoto wa UDSM af akoxe 🌝
Kiredio mm ni fun wako since hii clip
Kila mtu sku hzii ana cheat bhna😂, ila kuna grade kulaninaa 😂
Xema unachit wewe xio wote
😂😂😂😂😂😂😂 ben 😅😅😅
Yeeethuuuuuu,
Huyo ni Malaya mm ndyo maana wanawake weupe siwapendi coz wengi wao ni malaya siyo waaminifu rangi yao inawadanganya kwamba wao ni wazuri na hawanaga mtu mmoja yani ni malaya.
Daaaaah nimeumia sana kama mimi ndio nimekosa hiyo gari, unaweza ukafa wallah. Daaah wanawake tujifunze kutulia hujui nani atakuja kukutoa kimaso maso. Uksikia fungu lakukosa ndio hii jaman.
Pole sana kama ni wew kwer
Na hakuna atakae kuja kukununulia gari aiseee,
😂😂😂😂uyu mtangazaji eti kumamake daaaaa amejisahahu kama Kuna camera
Daaaaaaaah uyo mwanake hatari malaya uyo hafai kbs 😂😂😂😂😂😂😂😂😂, kiredio hongera sana unafanya kazi vzr sana
Umalaya umezidi kashajiona mzuri kila bwana wake akome😂😂😂😂😂
USIKUTE BENN NDO ANAMLETEAGA SANA AHADI ZA UWONGO ZA KUMNUNULIA GARI ILA HUYU DADA USHUHUDA HUU HADI KWA WAJUKUU😂😂😂
😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣 kwanza siku yake imeshaharibika dadeq zake
Fact.
Ben ni tapel maskini kamuaminisha dada wa watu😂
Nimehisi mm roho imeniuma😢😢😢😢😢😢 ndio maana mm nakuaga na wanaume mmoja Tu hata usingizini ukiniamsha namtaja 😢😢😢😢kakosa ndinga naumia mm😂😂😂😂😂
😂😂😂 Unakuaga na WANAUME MMOJA?.. NDIO NYINYI NYOTE
Elewa neno wanaume 😂😂😂😂
Hahahah mbona kama keyboard imekusaliti vile "wanaume mmoja" au sio😂
WANAUME MMOJA ..it's plural 😂😂
We ni walewale wakina ..irine magari😂
Yote Tisa inshallah kumi mapenzi shikamoooo
Katika kazi zako hiiii ndio nimeikubal sana 🎉
Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni jamaniiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Huyu demu anaachwa na wote
Kuna la kujifunza kwa wanawake wasiotaka kutulia na mwanaume mmojaa😢❤
Sio mara zote bwana 😂
Yaani ndiyo kamaliza chuo alafu akili ziro hatari
Hii imeenda, msisahau ku like tafadhali??
Udism malaya wakutosha sana,Hongera kiredio rudisha gari langu yard kaka! Vijana tunajitolea sana kisa hizi nguruwe lkn hawanaga akili kabisa
Mbona usinipe mm nifate tu iringa
Pole sana
Nipende mm kaka😂😂😂😂
Si ujege huku baba
Kama ni wewe seriously polee sanaa kaka but Kila kitu huwa ni mipango ya Mungu amini katika yeye na atakupa mwanamke anae kustahili🙏🙏
Kaka achana na content zako zote, shikilia hapa hapa unafanya kazi ya kijamii 😂
Ningekua mim najijua nnamabwana wengi ningeondoka ata singeotea
😂
😂😂😂 nmeipenda hiyo kwanza mapenzi shikamoo
Wanaume na wanawake wote malaya tuu sikuizi, ubahatishe saana kupata mwenzi atakaetulia kwenye mahusiano
maigizo yako mazuri kijana hongera unajua kuzipanga
Hii ishu sio kiki huu ni uhalisia kabisa coz reaction za hawa watangazaji baada demu kuondoka is genuine, kwakweli hii mbini nimeipenda san ni rahisi kumjua gal anaekuchiti na asokua na mapenz kwako
Yani kiredio kaumia utadhani yeye ndy alikuwa anapewa hilo gari😂😂😂
Hapana we kama mwanaume utahisi anachohisi mshua huko home au kazini anapambana kwa ajili ya huyo mwisho anadhihirsha alivhokua anamficha cku zote
Itakuwa mume wa mtu alafu awajazoeana we angemzoea asingebabaika
Inauma Sana..lakn kapata funzo lake,,tulia na mpnz 1tu hayo mambo ya kuruka ruka tuwaachie wasio na malengo ya kuwa future wife💞,,jamen tuacheni ss wadada wa udsm sio sote vicheche jamen malaya wapo kila sehem huyo asituchafulie wengine kila mtu na tabia yake.......Ila dah! Kakosa gar😂 +💔
Huyo msichana hamtaki huyo jamaa ndo maana kaacha kila kitu na yeye anampenda ben😂
Ben mwenyewe ametajwa kashaka na yeye yupo Rehan
Ben mwenyewe utakuta muuni zaid yake😂
#kiredio hii kityu sijawahi ona Kwene channel yoyote Toka niache kumiliki smart Leo ndo Kwa mara ya kwanza naona kwako big up broo
Ooh! Wana Fanya saana wa Nigeria mpendwa 😂😂😂
Kenya wamejaa kibao wakina kiredio wanavunja hadi ndoa za watu kiredio ameiga tu
😂😂😂😂 kiredioo wewee n fundiiii, umeshajua mnashare na Benny tiyar huenda yupo na mwingine maana mdada mdada wa watu kajikanyaga kanyaga mnoo duuuuh aloooh hii dunia buanaa?!!
Jamani Kuna watu Wana bahati iv mm nipate mtu wa kunipa gali bdo nachet kama ameweza kununua gali ni bingo anampa ila Wanawake muwe na uruma na wanaume jaman
Uskute ben ni mme wa mtu😅
Hii video ni imepangwa ni fake huyo mdada anvyo kuita kiredio sio kama mtu asiye mfahamu ila ni good stunt video imeenda ila hakuna uharisia ni stage kila kitu
Hivo videmu vya chuo vinazingua saana alafu vimalaya kishenzi kwanza videmu vyote vya mjini ndo maana haviolewagi sababu ya tamaa zao
Uyo dada alikuwa ataki iyo zawadi kutoka ka uyo mtu tyu ndo maana ajataka maelekezo mengi
😂😂😂 ndo ahenyeke vile. Aibu ndo imemfanya aondoke
Hawa mabinti wa University wanakuwaga hivyo yani mahusiano kwao ni kama thamthilia anakuwaga na msururu wa wanaumwe lukuki kwa hiyo hakuna la ajabu hapo 😂😅
Duh umekosa ivi ivi hahah benny popote ulipo mpo wengi kwa uyu dada😂😂😂
Inavoonekana huyo kaka alioileta hyo gar hpo anampenda huyo dada .. na huyo dada akipambana hyo gar inakuw yake 😂 xx ajifikirie hpo kwny kupamban na huyo sponsor wke😂😂😂
kazi yako njema kaka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mamee irudiwe kiredio naomba mwendelezo please yahurumisha jamani siuwe na mmoja jamani mambo gani sasa
Angekuwa na mmoja si angekuwa na ben ambae asingempa gari ko bado angekosa tu 😂
Kiredio msenge sana et Kumamae😂😂😂
Hiyo kiredio nimeipenda na ndo inatakiwa iwe ivyo bro👊👊, hata kama mwanamke ana act basi atleast aitambue thamani
Unaweza kuanguka kwa presha maana hata huyo aliyemtaja sijui nae atamchukuliaje duuuh
jamaa kalipwa afanye kazi kaitendea haki namimi ntafanya kama hivyo alafu naweka live
Et kiredio anachekelea Yuko sasa eeehh eheee kwaiyo daaah yeyeyeyee
Umalaya kuoitiliza😂😂 kiredio safi sana ni shabiki wako omani
Nimelia mwenzenu
Pole mpenzi.nilichomuhurumia nikua maisha yalivyo magumu mtaan baada ya kuhitimu😢ukute alitoa Gali kisha apatiwe na kaajira maskini ona Sasa Binti mdogo kamaliza chuo na gundu maana huo ni mkosi mpenzi japo ningumu kunielewa kwa haraka
Aaaa sas mbona hua zinaishia njian broo tunatak tuone mpak destiny
Tusiwakandie sana wadada uaminifu haupo kwa kila jinsia nani hapa jinsia ya kiume anamwanamke mmoja?hajawahi piga nje au kumchiti mpnz wake tuwe wakweli tuu
Mimi apa
Hamupendi ndo maana kataja jina lingine nakuondoka ❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂clip hiyi nipeipenda duuui wadada wadogo mambo makubwa
Kwani hawa wanaume wanaohonga magari huwa wanakutana na utamu wa aiana gani
Wanaume wawili kwa wakati moja hpo ndio niishindwa kwenye hii dunia
Wawil hapo ukute ana zaid ya wawil lkn huyo ben ndo anampenda sana hlf ukute hana maajabu yeyote huyo alomtaja
Usishindwe Tupo wanawake nunaoweza kulidhika na mwanaume mmoja ilahyu kauwa jaman😂😂
@@رضيهتنزانيا 😀😀😀 umala kiwango cha juu kashindwa kutofautisha baba na boyfriend 🙄😏
@@AngelAbbah-wc5un 😃😃😃😃 my na wewe hna kweli majabu yoyote yle
Ila kiredio wewe 😅😅😅😅
Daaaaa ndo maana halisi ya uaminifu, adi moyo umepasukaaaa 💔💔💔
Wadada wengi wanafail,sababu ya tamaa za kijingajinga tu..
Hio kmmk ya mwisho umesahau kuitoa mbonaa😅😅😅😅
Kiredio inakuwaje jamani account yako ya tiktok😭😭
😂😂msifanye hamjaskia kama kiredio katukana
Mazafaka koku saka bichi
Watoto wa chuo ni malaya malaya wa mwisho