Wanaumwe wanaongwa mara nyingi wanakuwa na wanawake wanawaonga. Wanaume hawapendi kushushwa/ kushindwa. Ndio maana wanapenda kuhonga wanapoongwa. Yaani wanawake wengine huwa hawajielewi, hawajijui mwanaume sio mwaminifu mnamgombania huo ni msiba wa wanawake na msiba wa taifa. Hizo ni dalili za ujinga wa akili na dalili za umaskini na uchawi/ kuanza kuroga. Keep on moving ladies, acheni huo ujinga.
Jaman Mr uky unatuangisha na kiingereza chako,,,,,eti how long umefound 😂😂😂😂😂 au nimesikia vibaya jaman,,,,😂😂😂😂 grammar jaman grammar 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 heee anyway ndio media zetu tenah
Mwanaume wako we kma anakupenda kweli asingeweza kufanya UJINGA HUO unagombana na mwanamke mwenzio kisa mwanaume. Kwani huyo mwanamke yeye ndo kamtongoza au katongozwa Sasa Hilo swala yeye anakazi au Hana inamuhusu nini Sasa yeye kama kamwambia Yuko single hamn mke huyo mdada afenyeje. Na lazima amhudumie atajua yeye Hela katoa wapi. My dear sister we deal na Mume wako huyo utashinda lasivyo unahangaika bure Sema na mchumba wako. Achanana mwanamke mwenzio. Huko ni kujidalilisha jmn.
Hapo akili ni ndogo tu, huyo dada anae muhudumia mwanaume abane tu hizo pesa asimpe, alaf aone huyo dada anayehudumiwa kama ataendelea kuishi najamaa Otherwise, jamaa atafte kazi ili aendeleze huduma. Na swala la kazi sio la siku moja.mpaka aje apate, ameshaachwa.
Acha kumpa Hela huyo mwanaume Kwa muda alafu tuone huyu anaejifanya kuhudumiwa Kwa wakat asipopata hizo Hela km atampenda huyo anae muita boya gar bovu
Acha kumpa Hela huyo mwanaume Kwa muda alafu tuone huyu anaejifanya kuhudumiwa Kwa wakat asipo pewa Kwa wakat I'm atamtaka huyo anae muita boya gar bovu
Eh bipolar is real😂😂😂 ety achana na mwanaume wangu yan nakuhudumia alafu uwe na mwanamke mwingine nimfate uyo mwanamke nimwambie aachane na mwanaume wangu is it coming jamn😂😂
😂😂😂shiva lilikua linalala lala kwa kikao cha wadada na tresher aliandika ipasavyo notes sana sana rules no 5👌👌🤞shikilia apo apo tresha quuuumaammmakeeee weka weka weka 😂😂😂
Wengi wanalaumu huyo dada kumuhudumia mwanaume wake,,, sasa kama zamani alikuwa na kazi alafu tuko pamoja kaachishwa kazi na tunapendana je nitamwacha aende au nimfukuze,,, kumuhudumia mwanaume wako si kosa,,, kosa ni hilo anapewa nae anatoa
hata me kuna mtu namhudumia iila siku nikigundua ana mtu mwengine,nanua zangu shangazi kaja la 3500 namjazia kila kitu naweka kibarazani ,nafunga mlango naenda kwetu kukaa 2 week halafu nione😂😂😂
Wanawake tumekuwa wajing saaaaan saiv tunangombania wanaume hay ha ingekuwa mm nimetongozwa nakubal hainihus Kam ana mwanamke wak huy muhudum wakike apunguze kihereher ila wanawake sisi😅
Huyo dada mwenye bwana mjinga hana akili kabisa kwanza ndo angeenda kumwambia bwana yake awache kumchiti hahaha😂 bado anamuhudumia bwana na na bado anamsaliti maana hampendi kamwee pesa anachukua anampeleka wanawake wengine
HUYU MDADA ALIOISHI NA UYO KAKA MIAKA MITATU ANA AKILI MAANA YEYE NDO ANAMPA HUDUMA MWANAUME UYO MWANAUME HAMPENDI ANGEMPENDA ASINGE MSHITI NA KUMUDUMIA PESA ANAPELEKA KWA MWANAMKE MWINGINE YUPO SAHIHI HUYU MWENYE MIEZI 4
Huyu Shiva hajielewi oooh hooo mwanaume hapewi pesa jamani hamjifunzi? Sikatai kusaidiwa akishuka kimaisha lakini si mwanamke u take responsibilities kama we ndo mwanaume YANI hatokupenda tena atakudharau utakacho mpa ataenda chkua mwanamke mwingine a sponsor kila kitu kupitia pesa yake mwanamke. Ukihudumia mwanaume na akawa comfortable ujue uko ktk wrong relationship ujue mwanaume hapewi pesa na mchumba hasomeshwi.....utakuja kulia machozi debe
Huyu dada Shiva ni mwanamke mzuri tu Subira tu atapata mwanaume sahihi yani anaenda jidhalilisha bureee na mwanamke mwenye ma bwana 6...jamani gonjwa lipo kona tu. Yani tuombe stara dunia ishajiishia. Shiva aachane na huyo Chris ni msiba mwanaume kaa huyu pesa zake angenulia kiwanja akajenga au yangeenda hata China kufanya biashara na sio kua na kimeo ambacho haki alisha zalishi zaidi ya hasara na kupata cheap ticket ya mgonjwa yasiotibika
Hapo anakwambia hampendi mwanaume anapenda pesa zake istoshe pesa inatoka kwa mwanamke mwenzio anajiamin utazan mkiwa kaumiliki kumbe si wake mbwa wa kijani yule
Mmmh ety achana na mwanaume wangu wewe upo kwa kuudumia mke mwenzio na uyo bwana ila dada wa wanaume 6😂😂😂😂😂 noma sana
Kugombania wanaume tu kupunguza vitambi Aaaaaaaaaaaaaaaah😂😂
Kwann kitmbi lkn
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂
Wanaumwe wanaongwa mara nyingi wanakuwa na wanawake wanawaonga. Wanaume hawapendi kushushwa/ kushindwa. Ndio maana wanapenda kuhonga wanapoongwa. Yaani wanawake wengine huwa hawajielewi, hawajijui mwanaume sio mwaminifu mnamgombania huo ni msiba wa wanawake na msiba wa taifa. Hizo ni dalili za ujinga wa akili na dalili za umaskini na uchawi/ kuanza kuroga.
Keep on moving ladies, acheni huo ujinga.
Kazi kugombea wanaume tyu kuoga aaah😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂
😂😂😂😂😂
Huyu treasure hajielewi, hivi anawazazi kweliii😢
😂😂
😂😂😂😂 hii kali aise kuna wanaume hatujui nn tunataka
Kazi ya nini kazi haimhusu mtu kinachotakiwa atoe hela ya kodi basi
Jaman Mr uky unatuangisha na kiingereza chako,,,,,eti how long umefound 😂😂😂😂😂 au nimesikia vibaya jaman,,,,😂😂😂😂 grammar jaman grammar 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 heee anyway ndio media zetu tenah
Kwann aumalizi video mpaka mwisho tuelewe......?
Na nyie wanawake muda mwengine acheni ujinga mwanaume Hana kazi hakupi chochote wann
Ndo ushangae😂😂
@@Tanzaniayangu1 ndio hapo wanajifanya wanapenda kumbe wanatapeliwa tu
Nashangaa kapenda mkia🙌😂😂
Mwanaume wako we kma anakupenda kweli asingeweza kufanya UJINGA HUO unagombana na mwanamke mwenzio kisa mwanaume. Kwani huyo mwanamke yeye ndo kamtongoza au katongozwa Sasa Hilo swala yeye anakazi au Hana inamuhusu nini Sasa yeye kama kamwambia Yuko single hamn mke huyo mdada afenyeje. Na lazima amhudumie atajua yeye Hela katoa wapi. My dear sister we deal na Mume wako huyo utashinda lasivyo unahangaika bure
Sema na mchumba wako. Achanana mwanamke mwenzio. Huko ni kujidalilisha jmn.
Moneyless halafu uchaguliwe dada mweusi hujitambui wewe
Mr.uk unapenda kujua english..hata hvyo unavyo kwama kwama kila siku naamini sio kupenda kwako..jifunze utajua😊
Mr uky uyo dada mweusi anavyoonekana anaenda kumsimulia chris yote kbla kbl ata hujamtafuta 😂
Hapo akili ni ndogo tu, huyo dada anae muhudumia mwanaume abane tu hizo pesa asimpe, alaf aone huyo dada anayehudumiwa kama ataendelea kuishi najamaa Otherwise, jamaa atafte kazi ili aendeleze huduma. Na swala la kazi sio la siku moja.mpaka aje apate, ameshaachwa.
Unapata wapi ujasiri wa kuongea hivyo jamn ety namhudumia.. nampa hela 😮😮
Kwa majibu haya,wakitendwa wanaomba serikali iwasaidie na mtu kamwita kumweleza vizuri halafu anajibu utumbo,
Yanihuyu dada aloiba bwana wamtuh ingetakiwa kumtupia jini lauchizi avue nguo atembee uchi ili akitembeze vizurii
Acha kumpa Hela huyo mwanaume Kwa muda alafu tuone huyu anaejifanya kuhudumiwa Kwa wakat asipopata hizo Hela km atampenda huyo anae muita boya gar bovu
Wanaume siku hizi wamekuja juu sana, Sasa Kuna watu wapo single halafu dada anamiliki wanaume kama usafiri wa bajaji😅😅😅😅
😂😂😂 eti usafir wa bajaji
😅😅😅😂
😂😂😂😂😂 umetishaaa mtoni wanaume inatuhusu
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Wanawake mnaowapa pesa wanaume inakuaje?, mbona mimi siwezi?, utaambulia boxer za buku5 tu, na inategemea.
Sasa mipango mnapangaje na hela unatafuta ww mk""":nd hujielewi basi kwenu kuna njaa kazi kuhudumia mtoto wa mtu nyoko
Acha kumpa Hela huyo mwanaume Kwa muda alafu tuone huyu anaejifanya kuhudumiwa Kwa wakat asipo pewa Kwa wakat I'm atamtaka huyo anae muita boya gar bovu
Mmmh!! Kilicho baki tusome biblia na Quran tu.
That means akupendi 😂anachukua pesa kwako anampa mwenzako😂😂😂
Utamfanya nini wewe ungekuwa na chakumfanya ungemfanya usingehitaji msada
Kwako.studi.mm nipo na side chick mpka kieleweke😅😅😅😅😅😅
Sasa wewe dada si ni mpumbavu unamgombaniaje mwanaume ambae Hana hata kazi 😂😂😂 unamhudumia na bado hakuheshimi😂😂
Mm binafs siwez kuw na mmoja ni mwendo wa kucht ana tuuu😅😅😅😅
Eh bipolar is real😂😂😂 ety achana na mwanaume wangu yan nakuhudumia alafu uwe na mwanamke mwingine nimfate uyo mwanamke nimwambie aachane na mwanaume wangu is it coming jamn😂😂
Ila wanawake humu tunajizalilisha kweli, yaani it's disgusting kuona mnagombania wanaume uwiiiih eti 'unajua nmetoka nae waapi' hahahha
😂😂😂shiva lilikua linalala lala kwa kikao cha wadada na tresher aliandika ipasavyo notes sana sana rules no 5👌👌🤞shikilia apo apo tresha quuuumaammmakeeee weka weka weka 😂😂😂
Amkeni wanawake mwanaume haudumiwi Anahudumia ukijifanya unayaweza lazima yeye akatafute sehemu ahudumie hiyo ndio sifa yaoo
Ila dada black kasema ukweli ila wanaume 6 unatumia iphone 6 nyie kama idadi 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂bado watu wanagombania binadamu wenye mikia mbele,i wonder
Mdada malaya uyoo mamaae😅 kwahiyo apo utakachoongea anakuona mbuzi
Nyie mnatoa wap pesa😅😅😅kwan mwanamke tangu lini ana pesa😂😂😂😂
Wengi wanalaumu huyo dada kumuhudumia mwanaume wake,,, sasa kama zamani alikuwa na kazi alafu tuko pamoja kaachishwa kazi na tunapendana je nitamwacha aende au nimfukuze,,, kumuhudumia mwanaume wako si kosa,,, kosa ni hilo anapewa nae anatoa
Naitaji uyo dem mwenye ahatembeya na mume watu please mwenye hanawesa kuwa na number yake hanitumie
hata me kuna mtu namhudumia iila siku nikigundua ana mtu mwengine,nanua zangu shangazi kaja la 3500 namjazia kila kitu naweka kibarazani ,nafunga mlango naenda kwetu kukaa 2 week halafu nione😂😂😂
Hivi hela mnatoaga wapi za kulea watoto wa mamamkwe aiseee hio akili ni yakijinga ndo kupenda ama!
Wanawake tumekuwa wajing saaaaan saiv tunangombania wanaume hay ha ingekuwa mm nimetongozwa nakubal hainihus Kam ana mwanamke wak huy muhudum wakike apunguze kihereher ila wanawake sisi😅
Siwezi kumpa mwanaume helaaaa hata jeroo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ushalizwa ndio maana umeshuka😂
Ila unataka mwanaume akupe Sio?
Mimi kumpa mwanaume ela jamani siweziiiii jamani😂😂😂 mume wangu mwenyew akiwa nashida namkopesha naribaa juu pesa yangu aiendi bure😅😅
😂😂😂😂😂nakuungaaa mkono na miguu juu
@@fatumakomba9916kwanza wengine tunaumwa na degedegeeeee😅😅😅
Kwani ye ajui ana mwanamke wake ? Alienda kumtongoza mwenyewe mwambie asimpe pesa ndio atajua anapendwa au lah 😂
Ss mwanaume km uyo wann naww ht akichumuliwa unapata hasara gn si ndo utapungukiwa na mzigo
Huyo Tressure ni mdada wa aina gan kwenye huu ulimwengu?
Dada sitisha huduma kwa kriss ndio huyo dada atamuacha mumeo kwasababu ye kafata pesa
Wew unaishia nae sababu unampenda yeye kapenda kwingine na hela zako anakula na mwigine wew mzima dada??
Mchepuko kaongea point😂😂 afu mwanamke atakama unampa mwanaume wako hela hio iweke siri hujionei ata aibu
HILA SISI WANAUME NI NUKSI KWELI UNAPATA DEMU ANAKUPENDA ANAKUWEZESHA UNASHINDWA KUTULIZA MBUPU CHINI DA
Nguvu za kuwahudumia wanaume wenzatu mnazipqta wapi
Mr Uky utasababisha waganga walale njaa wallah 😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂
Ila wadada tuache ujinga uko ni kujizalilisha tu
Huyo dada mwenye bwana mjinga hana akili kabisa kwanza ndo angeenda kumwambia bwana yake awache kumchiti hahaha😂 bado anamuhudumia bwana na na bado anamsaliti maana hampendi kamwee pesa anachukua anampeleka wanawake wengine
oyoo nmependa huyu dad mweus anavyojiamn alitakiwa ampige kofi mtu unamlishaje mwanaume mimba anabeba yeye😅😅😅
😅😅😅😅😅
Yaan ata nikiwa nazo kwa kizazi hiki siwezj mwonga mwaume pesa yang nayye anahonga looh
Mchepuko kakasilika kwanini mwanamke anamhudumia mwanaume hapo nimemkubali😂😂
HUYU MDADA ALIOISHI NA UYO KAKA MIAKA MITATU ANA AKILI MAANA YEYE NDO ANAMPA HUDUMA MWANAUME UYO MWANAUME HAMPENDI ANGEMPENDA ASINGE MSHITI NA KUMUDUMIA PESA ANAPELEKA KWA MWANAMKE MWINGINE YUPO SAHIHI HUYU MWENYE MIEZI 4
Zinaaaaaaaazinaaaaaaaazinaaaaaaaaaaaa kwa watoto wetu eeeeMungu wafungue macho waone
Uyo dDa mweusi kama wakweny wrong hous au🙄
ndy yeye kweny dunia nyengine pya yupo michez ming wasanii ao😂😂
Duuh wanawake wanapenda jaman unamuhudumia mwanaume aloo!🤦
Anayetafuta Hela ana kipara, anaiba amesuka nywele ya hela
Hivi unamuudumia na yeye anahudumia pumbavu kweli
Hii ni drama mdada ana wanaume 6??? Mnatuigizia bhn😮😮
Malaya ww utakufa na ngoma, huoni aibu et nina wanaume 6 nyoko ww.
Mtu anajisifia uzinzi 😢😢 ety nina wanaume 6 Dah 🎉🎉
Hadi huruma nay 😢....dhamb imetawala Dunia😅
Uyu mdada mweusi cku y mwisho ata chomwa n moto wa gesi dah
Sasa huyo wanaume 6 si ukimwi njenje hapo
Kwani inakueje jamani mbona hamtuoni sisi
Punguza english bn mr uky
Kazi kumgombania Chris kuoga aaaaah 😂😂😂
solution ni ndogo aache kumpa ela huyo boy hili atulize komwe
Very sure kwakweli
Kweliii kabisaaaa
Umeona kwa nza huyo dada hana akili anafugaje umbwa ndani halafu umbwa mwenyewe habweki😂😂😂
😂😂😂😂😅
😅😅😅@@KisangaAnniyah
sasa wewe wanaume sita wote hao kuna wenzio hata mwanamume mmoja hana,na ndio maana ukmwi auushi
Huogopi Ata kusema eti wanaume sita
😏😏😏😏😏chapekeako kabuli acha kumlee
Nipo apa like apa Kwa uky
Wachen ujinga wanawake mnapatia nguvu wp ya kuudumia wanaume
Kama vip mr uky tuletee kris hapo
Inaelekea anapenda vibonge😂😂😂
Na hao wanaume 6 wameshasikia unavo wasambazia UTi,, 😁😁😁
Huyu Shiva hajielewi oooh hooo mwanaume hapewi pesa jamani hamjifunzi? Sikatai kusaidiwa akishuka kimaisha lakini si mwanamke u take responsibilities kama we ndo mwanaume YANI hatokupenda tena atakudharau utakacho mpa ataenda chkua mwanamke mwingine a sponsor kila kitu kupitia pesa yake mwanamke. Ukihudumia mwanaume na akawa comfortable ujue uko ktk wrong relationship ujue mwanaume hapewi pesa na mchumba hasomeshwi.....utakuja kulia machozi debe
Huyu dada Shiva ni mwanamke mzuri tu Subira tu atapata mwanaume sahihi yani anaenda jidhalilisha bureee na mwanamke mwenye ma bwana 6...jamani gonjwa lipo kona tu. Yani tuombe stara dunia ishajiishia.
Shiva aachane na huyo Chris ni msiba mwanaume kaa huyu pesa zake angenulia kiwanja akajenga au yangeenda hata China kufanya biashara na sio kua na kimeo ambacho haki alisha zalishi zaidi ya hasara na kupata cheap ticket ya mgonjwa yasiotibika
Siulitimuwe hilo limwanaume liende kwa huyo anaejiona anahudumiwa kwa wakati hamujielewi
Ah nmechekaa,wanaume sita like siriaz,anaongea comfortably like..hahahaha shenzii
Kazi kulea mwanaume kuolewa aaaah 🤣🤣🤣🤣
Daaaah
😅😅😅😅😅 wambiee kazi kupigania wanaumee😅 kufanya kazi aaaaah
Kwani criss mwenyewe anasemaje?
Mbona huyo mwizi anajiamini sana
Changudoa ww wanaume 6 ??kahaba
Acheni kujizalilisha, hakuna mwanaume wa pekeyako.
Kbxaaaa
Asa si atafute pesa mwanaume mzm anahongwa
Usikute anahonga ada ya chuo huyu😢😂
Kudanga tyu kuolewa aaah😂😂😂
Embu tuletee patr two chap😂 et unaakili yy nd ana akil unamuhudumiaje mwanume wkt ndo kaz ake kwako ss kam yy atak kuhudumiw kun wadada atatuhudumia😂
Dada anadhalau afu anajiamini akikataliwa mwambieni asinywe sumu anywe tu chai alale😂😂😂 watano watamtosha
Hapo anakwambia hampendi mwanaume anapenda pesa zake istoshe pesa inatoka kwa mwanamke mwenzio anajiamin utazan mkiwa kaumiliki kumbe si wake mbwa wa kijani yule
@@Mery-st4nu 😅😅😅😅😅😅😅😅
Uyo Chris anaweza asiwachague wote😂😂
😂😂😂😂
bora leo mmebadilisha waigizaji na sio kevoo kevoo kila siku..atleast leo Chriss😂😂
Hawa wanawake ndo wakirogwa mwisho wa siku watanzania tunaanza kusumbuliwa timchangie matibabu
😂😂😂😂😂😂
kumbe hupendwi ela zako ndo zinapendwa we mjinga
🤔🤔 it's is over ......
Mwaya bora uwe na hao6😂😂😂😂
Who is Chris?y??...😂😂😂😂funny
mnapenda kugombania dudu
Unahudumiwa sawa kununua sim nzuri aaah 😂😂😂
😂😂😂