Aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa napokea Kwa jina la Yesu Kristo hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah ❤❤❤
Amina na Amini katika maombi aya nimefunguliwa Mungu naomba kaniondolee roho ya magonjwa ndani yangu na kwenye familia yetu na roho za kutushusha kiuchumi zikatoweke
Naomba msaada wa maombi kwa ajir ya familia yangu ikombolewe na maagano yote mabaya ya Giza Kaz yake iweze kuwa baraka pia uzao naomba mkono wa muumba ututendee kutupeleka sehemu sahih yenye utukufu wa mungu mwili wangu ukombolewe mtoto wangu appne ugonjwa tutengwe na kila giz kibiashara kiuchumi
Katika maombi aya mungu anikomboe katika maisha yangu piya niende viwango vingin vya juu maana nimepitia mateso menge na mapito magumu namini sasa miujiza inakuja kupitia maombi aya na mungu piya naamini ata nijibu kwa wakati mwepesi 😭😭😭🙏
Mchungaji MUNGU Akubariki sana naomba maombi uniombee
Yesu naomba unikumbuke pamoja na watoto wangu kila madhabahu yote yaliyo kinyume na maisha yetu yavunjike kwa damu ya yesu
Paster kazi mzuri sana uniombee nafamilia ya ngu
Naomba Kutendewa kumbolewa na Damu ya Yesu kristo nakataa laana mikosi kufeli katika jina la yesu kristo Amen 🙏
Maombi ni dawa, napoleya kwa njiya la yesu Amina🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏♥️
Najiunganisha na mathabau ya mungu naomba unifungue tumbo langu kizazi changu uzao wangu watoto wangu kirahisi katika jina la yesu cristo amen 🙏 🙌 👏
Oooooh Yesu unaweza yote mwokonzi wetu Kristo Yesu Kristo hallelujah hallelujah
Maombi ni dawa
Mchungaji ninaomba uniombee kichwa yangu inauma Kila wakati na tumbo mara nyingine na sikia kama nimechanganyikiwa pia nasikua kizunguzungu
Amen kupitia maombi yko imani yangu imepanda.
Amen napokea kufunguliwa kila kona kwenye maisha yangu na watoto wangu,na kuongezeka uzao wangu amen
Asante Mungu uwakomboe watoto wangu na madhabahu
Naomba maisha ya watoto wangu yabadilike
Askante sana mutumishi kwa maomaombi ya ukombozi mungu anikomboe nauzao wangu na familia yangu amen
Amen Amen baba mtumishi mungu azidi kukuweka dahima amin baba 🙏🏻🙏🏻
Maombi ni dawa
Ameen baba nimebarikiwa na maombi mungu akubariki sana unapoendelea kutufungua kutoka kwenye vifungo
Mchungaji nitakutafuta uniombee kuna vitu vinanisumbua kwenye mwili nyayo na kichwa mwili mzima na pesazangu hazikai
Mungu akubariki sana mchungaji. Nimekuwa nakufuatilia na napata mpenyo
Amen amen ubarikiwe Sana mumishi kwa hii huduma
Amen Amen Amen Amen baba napokea ukombozi wa mungu ndani ya maisha yangu kwa jina la yesu kristo 🔥🔥🔥🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa napokea Kwa jina la Yesu Kristo hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah ❤❤❤
ANN INGA BI Amen mm nabata maombi. Niki wa saudia. asante. Baba Ya ngu. Waroho Na shu kuru Amen 🙏🙏🏻🙏🙏🏻🇰🇪
Alelluyah alelluyah blessed barikiwa sanaaaana mutumishi wa Mungu sifa na utukufu simurudiye Mungu WA Mungu
Yesu ni msaada wangu maombi haya yanangu nyingi nimepokea uponyaji
Amen Amen 🙏🙏🙏,damu ya yesu kristo tukomboe mm na familia yangu
. mungu yumwema
Amina na Amina. Nimekombelewa kwa damu ya Yesu. Amina.
Asante sana Yesu nisaindie mwokonzi wetu nibungue Kwa jina lako Yesu Kristo wanasareti
Nakataa ufalme wa kizaa kusimama kwa maisha yangu katika jina la yesu cristo amen 🙏
U connect my kids to this prayers in Jesus name Amen
Amen Amen kupitia maombi yameniweka huru na pia nimekua mwepesi na fatilia sana maombi pst mungu akubariki sana
Mungu wangu simama na mmi nafamily yangu kwajina la yesu Amen
Ninahomba munisaidie katika maisha ya wabinti wangu wafunguriwe kwa jina rayesu ❤
Maombi ni dawa ninaombamunisaidie katika maisha yangu na watoto wangu wote na wajukuu wangu ninapitia maisha mangu sana pamoja na watoto wangu
Maombi ni dawa
Theresia naombaMaombi nidawa naomba mambi
Asante sana mchungaji kwa maombi na Mungu azidi kukutumia
Nashukuru sana kwa maombi yko mtumishi wa mungu
Amina ubalikiwe sana mtumishi
Amina hakika mbele ya mungu hakuna kinacho shindikana ❤ubarikiwi mchungungaji
Amina amina kupitia maombi haya familia yetu imefunguliwa
Mchungaji mimi naitwa felista nipo morogoro naomba uniombee nifungue kiuchumi
Ubarikiwe sana naomba uniombee nipone nanifunguliwe kila vifungo
Mungu wangu simama na family yangu kwa jina la yesu amen 🙏
Naomba Mungu akaniondolee hii roho ya hofu na kuota ndoto na kusaau na ninapo soma neno na ninasaau naomba Mungu akanifunguwe na akanirejeshee ufahamu
Amina mtumishi napokea ukombozi wangu kwanzia sasa
Kupitia Maombi haya naomba Mungu amfungue mtoto wangu maana ibilisi anamtesa ameni.
Amina na Amini katika maombi aya nimefunguliwa Mungu naomba kaniondolee roho ya magonjwa ndani yangu na kwenye familia yetu na roho za kutushusha kiuchumi zikatoweke
Ameen Pastor, wakati wakusali nimekohoa sanaa naamin nimekombolewa.Mungu wa mbinguni azid kukubariki 🙏
Asante mutumishi pasta godi naomba maombi kwenyi maisha yangu n'a kwenyi familia yangu yote
Amen 🙏 ushindi mungu amen 🙏❤
Nashukuru mchungaji kwa maombi Yako yananisaidia
Amen mungu afungue bilivyo fugwa ndani ya nyumba yangu
Nimefunguliwa kwa Jina kuu la Yesu Amen
Naomba msaada wa maombi kwa ajir ya familia yangu ikombolewe na maagano yote mabaya ya Giza Kaz yake iweze kuwa baraka pia uzao naomba mkono wa muumba ututendee kutupeleka sehemu sahih yenye utukufu wa mungu mwili wangu ukombolewe mtoto wangu appne ugonjwa tutengwe na kila giz kibiashara kiuchumi
Mchungaji mungu akubariki, nakuwa apa goma D.R. Congo.
Kupitia maombi haya naamini nitafunguliwa pamoja na watoto wangu amen.
Amen Amen, nakataa ndoto mbaya nasosiota kwa Familia yangu, waja damu ya yesu iliyo mwagika ikasingire Familia ygu, I command fire in Jesus name
Mombi ni silana kubwa kutoka Mbn guni🙏🙏🙏🙏
Katika maombi aya mungu anikomboe katika maisha yangu piya niende viwango vingin vya juu maana nimepitia mateso menge na mapito magumu namini sasa miujiza inakuja kupitia maombi aya na mungu piya naamini ata nijibu kwa wakati mwepesi 😭😭😭🙏
Amen🙏🙏🙏 Mungu akubariki kwa kazi unayo utumikia
Amen na amini Nita kombolewa kwa Jina la Yesu
Baba Asante Kwa maombi hakika damu ya Yesu imekata Kila mishale ya magonjwa na madhabahubzimevunjika kwangu nikumbuke
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Naomba maisha ya watoto wangu wakakombolewe kwa jina la Yesu Kristo alie hai🙏🏻
Maombi yako mchngajii Godwin Yana nguvu 🙏🙏🙏
Yesu n'a homba unikumbuke mimi na watoto wangu tukombowe
Amen amen 🙏🙏🙏 nimefunguliwa kwa jina la yesu
NIMEFUNGULIWA SASA KATIKA JINA LA YESU KRISTO🙏🙏🙌🙌🙌DAMU YA YESU IMENIWEKA HURU
Namuomba mungu mke wangu akapate ujauzito tukapate kizazi kilicho bola ameni
Wabariki watoto wangu mmoja apate kazi na mwingine afaulu vema mitihani yake
Asande sana mutumishi wa Mungu barikiwa sanaaaana
Amina baba kilaana itoke kwajina layesu🎉
Madhabahu yoyote ya nguvu za Giza kwenye maishani mwangu yavunjike kwa damu ya yesu.
Naomba mungu awakomboe watoto wangu kwenye madhabahu ya ukoo maroho ya kuridhi mungu akanipiganie
Ameen nimekombolewa na nimepona tumbo na miguu na nienda kupokeaa watoto mapacha kwa ukombozi huu amen
Ameen nijalie niwe nauzao wakukujua Mungu nakuku tumikia wewe milele
Amina napokea kukombolewa kwa jina la Yesu
Amen pastor uparikiwe nawe pia
Nadai ushindi kwenye maisha yangu amen
Amen
Nafunguliwa kwa jina la Yesu
Amen barikiwa sana mchungaji🙏🙏
Nimekombolewa na familia yangu kwa damu ya yesu amina
Ee mungu naomba ubadilishe maisha ya familia yangu🙏🙏🙏
Mungu naomba utemberee familia yangu 1:19
Naomba utemberee familia yamgu pomoja na Nazi zangu6
Praise be to God
Amina napokea uchumi wangu watoto wangu
Amen naskia vitu zikotembea tembea Kwa miguu
Amém
Amina nimekombolea naisi Amani moyoni mwangu
Amen 🙏🙏🙏🙏 barikiwa sana pastor
Asante sana Yesu Kwa uaminifu
Asante sana barikiwa saidi mutumishi wa Mungu
Nmekmblewa pamoja na familia yngu amen ubarkiwe mtumishi wa mungu.
Amen 🙏🙏🙏🙏 nime kombolewa Kwa jina la yesu kristo
Naamin naenda kukombolewa kaika maisha yangu
Mchungaji unanibariki sana Amen
Pastor amen niko na madui kazini tusindi kuomba washindwe kwa jina la yesu
Nakataa magonjwa ya kufanana kwenye family magonjwa ya kurizi vifo vya kufanana fanana kwa jina la Yesu
Mungu akubariki sana
Mungu ametenda
Amen nimepokea
Amen and Amen more blessings 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Amin mtumish wa mungu 🙏🙏🙏
Amen,pastor naomba uniombee ili niwese kukomaa kroho,Majina Ni Emmanuel
ubarikiwe mtumish
Mungu atatufungua amina
Amen Amen God bless baba
Ee Mungu nikomboe katika madhabahu zote za Giza poppet zilipowekwa na nilizoingia kwa kujua nakutokujua
Allelua napokeye uponyaji kwajina la yesu kristo
Amen servant of God be blessed