ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

UHARAMU WA NYIMBO NA MUZIKI. SHEIKH KISHK.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 พ.ย. 2020
  • Khutba ya Ijumaa iliyotolewa na Sheikh Nurdeen Kishk Masjid Ihsaan Maarufu Veternary Temeke Tarehe 1/2/2008. Mada hii inaelezea namna jamii ilivyopotoka kutokana na wimbi kubwa la waimbaji kuongezeka, Kutokana na ongezeko hilo ndipo Sheikh alipoamua kuelezea uharamu wa nyimbo na muziki, ni uharamu upi itazame hadi mwisho upate kuelimiaka, tunaomba usambaze kwa wingi ujumbe huu na Allah atawalipeni InshaAllah.

ความคิดเห็น • 84

  • @YusraynatAlly-mo7sq
    @YusraynatAlly-mo7sq หลายเดือนก่อน +1

    subuhana wwah,,,,ya Allah (sw) tusamehe makosa yetu na utujaalie tuache kusikiliza nyimbo,,,,,lkn pia Allah(sw) atujaalie tuingie katika pepo ya firdaus kwa rehma zake amiiiiin

  • @Mwanaume676
    @Mwanaume676 3 ปีที่แล้ว +24

    Kweli music ni haram jameni, nimeshuhudiya mwenyewe.
    Myaka 10 ilopita nilikuwa Dj lakin after kumskiya Sheikh akichambuwa uharamu wa music Alhamdulilah i stop listen to music.
    BEST CHOICES EVER IN MY LIFE
    - karibuni CD 300 na vyombo vyake nimetupa jalalani
    - break contacts za watowaji kazi
    - stop disco, clubs na Bar etc...
    MATUNDA AFTER TO STOP MUSIC
    - Imaan
    -Quran
    -Swala
    - rizki ya halal
    - ugonjwa wa kuanguka kifafa umepona
    -Marafiki katika Imaan
    -Utulivu wa moyo na akili
    -Amani nyumbani
    Etc...........

    • @sein.208
      @sein.208 3 ปีที่แล้ว

      Masha Allah

    • @nassrubushoot5750
      @nassrubushoot5750 3 ปีที่แล้ว

      MashaAllah brother

    • @hawamatuta1905
      @hawamatuta1905 3 ปีที่แล้ว

      Ma shaa Allah

    • @Awatee
      @Awatee 3 ปีที่แล้ว +1

      Mashallah allah azid kukuongoza ila namshkuru mung siupend mzik wal sin akil ya kuhifadh nyimb alhamdu lilah

    • @Mwanaume676
      @Mwanaume676 3 ปีที่แล้ว

      Allahumah Amin
      Allah Atunusuru sisi wote

  • @mussakatawila9408
    @mussakatawila9408 6 วันที่ผ่านมา

    Jazaakallah Khairan Sheikh!
    Allah akupe umri wenye baraka
    akupe mwisho mwema na akuingize jannatul firdaus yaumul qiyama.

  • @halimaramadhan2975
    @halimaramadhan2975 3 ปีที่แล้ว +6

    Allah atuongoze katika kheir tuweze kuifata na atuepushe na shar tuweze kuiepuka

    • @sakinat2527
      @sakinat2527 3 ปีที่แล้ว

      Ameen yaa Rabbil aalamiin

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 3 ปีที่แล้ว +6

    Alhamndulilah Allah akulipe kila kheri sheikh wetu tunakupenda kwa ajili ya Allah shukraan kwa ukumbusho Allah atujaalie mwisho mwema

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b 3 ปีที่แล้ว +6

    MaashaAllah sheikh Ni Hutba ya zamani lakn kukumbushana ndio sawa waislam..Shukran jazzillah

  • @asyahamaro7546
    @asyahamaro7546 3 ปีที่แล้ว +3

    Allah akupe umri mrefu shekh nurdeen kishk shukran kwa ukumhusho

  • @qudraismail6825
    @qudraismail6825 3 ปีที่แล้ว +7

    Kweli kabisa watu tumepinda sana ALLAH atufanyiye wepesi tuachi mabaya😭😭😭😭

    • @user-vg6gp3bz1f
      @user-vg6gp3bz1f 9 หลายเดือนก่อน

      Aaaamina ya Rabby 🤲 🤲 😔😔

  • @ashamhammed4708
    @ashamhammed4708 3 ปีที่แล้ว +7

    Ma shaa Allah, shukurani Jazzilla Yaa Raabby

  • @aishakinia4957
    @aishakinia4957 3 ปีที่แล้ว +4

    Shukran sheikh kwa kutuelimisha

  • @alqaasim_a_tz2412
    @alqaasim_a_tz2412 3 ปีที่แล้ว +4

    Maa shaa Allah,
    Nimeikumbuka Hii Khutba miaka imepita Tokea zama zile mwalim Ako kwenye ubora wake mpaka Leo maa Shaa Allah.
    Allah Amhufadhi zaidi

  • @saidomar6806
    @saidomar6806 3 ปีที่แล้ว +6

    Mashaallah hakika Allah Qareem

  • @zainabrashid385
    @zainabrashid385 3 ปีที่แล้ว +4

    Allah akujalie ishaallah

  • @user-ws9ek8dj5n
    @user-ws9ek8dj5n 3 ปีที่แล้ว +3

    Astaghfirullah Mwenyezi Mgu atuongoze katika njia iliyonyooka Amiin ya Rabbil Allamin shukraan jazzakah Allahu kheir sheikh barakallahu fik

  • @rahmanassoro814
    @rahmanassoro814 3 ปีที่แล้ว +4

    Alhamdulilah Allah akulipe

  • @sein.208
    @sein.208 3 ปีที่แล้ว +4

    Masha Allah
    Jazaakallah kheir

  • @umsoud3306
    @umsoud3306 ปีที่แล้ว +1

    Ya Rab, Atuhidi umati wa Nabii Muhammad Sallallahu Alayhiy Wa Ssalaam

  • @sittikibonge8066
    @sittikibonge8066 3 ปีที่แล้ว +2

    Maa Shaa Allah... Allah akupe siha njema.

  • @aminajaber9618
    @aminajaber9618 3 ปีที่แล้ว +4

    Allah akulipe kheri

  • @dffxfgg678
    @dffxfgg678 3 ปีที่แล้ว +2

    Allah atujaghalie kher

  • @wazirimwenevyale6361
    @wazirimwenevyale6361 3 ปีที่แล้ว +1

    Sheikh Kishik kuna jambo muhimu kuhusu uislam wetu naomba sana tuwasiliane tafadhari.

  • @rukiafaraj1400
    @rukiafaraj1400 3 ปีที่แล้ว +5

    Allah awalipe kheri Masheikh wetu..hakika Music inaharibu mioyo na Qur'an inaleta utulivu kwenye Mioyo yetu...Shukran Jaziyla Sheikh Kishq

  • @user412
    @user412 3 ปีที่แล้ว +2

    Kipindi icho ilikuwa shule nahiari nichlewe lkn darsa zake Kupitia Voice of Istqama nimskilize uyu sheikh.

  • @shabaniadam7015
    @shabaniadam7015 3 ปีที่แล้ว +5

    Mashallah

  • @Stanbul.Y
    @Stanbul.Y 3 ปีที่แล้ว +3

    MashaAllah Shukran

  • @halimaramadhan2975
    @halimaramadhan2975 3 ปีที่แล้ว +2

    Baraka llahu fik sheikh kishk

  • @RayaRashid-dc2hn
    @RayaRashid-dc2hn 3 หลายเดือนก่อน

    Allah a2fanyie wepec 2ache kuckiliza mambo ya ovyo

  • @alymussa1806
    @alymussa1806 3 ปีที่แล้ว +1

    Allah akupe kila la khery sheiykh wetu nurdin kishk

  • @rahmumohamedy1589
    @rahmumohamedy1589 3 ปีที่แล้ว +4

    Mashaallah

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 2 ปีที่แล้ว +1

    Shukran sheikh

  • @rajabunkya7721
    @rajabunkya7721 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashaalaa dawaa nzur

  • @rashidjumamohamed3437
    @rashidjumamohamed3437 3 ปีที่แล้ว +2

    Shukran

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 3 ปีที่แล้ว +2

    Yalllah tupemwusho mwwema yarab

  • @kamaltube6890
    @kamaltube6890 3 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah jkr

  • @iddkumchenga9298
    @iddkumchenga9298 2 ปีที่แล้ว +1

    The professional

  • @NkurunzizaAbdoulhamid-ef3ls
    @NkurunzizaAbdoulhamid-ef3ls 8 หลายเดือนก่อน

    Jazaqallah khailla.

  • @Elementmoteur26
    @Elementmoteur26 8 หลายเดือนก่อน

    Jazaakallah kheir

  • @mwalimmakame6273
    @mwalimmakame6273 ปีที่แล้ว +1

    Yana umuhim mkubwa sana haya maneno

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 3 ปีที่แล้ว

    mawaidha haya nayapenda sana Alhamdullillah Alhamdullillah kwa neema ya kuwa Muslim

  • @HalimaIssack-jj2xh
    @HalimaIssack-jj2xh 11 หลายเดือนก่อน

    Mashallah shukran

  • @KichkiMohamedKichki-wp3dp
    @KichkiMohamedKichki-wp3dp 9 หลายเดือนก่อน

    Ana ouhibou lillah Ana masrourou birou iyatihi

  • @abdullahyassin6895
    @abdullahyassin6895 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwa hakika mawaidha haya yanagusa wengi

  • @mimimoop2617
    @mimimoop2617 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashallaah

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 ปีที่แล้ว +1

    Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yangu hapo kama hautojal

  • @sadausen2608
    @sadausen2608 2 ปีที่แล้ว

    Quruani tikufu shekhe kishki

  • @user-ug8fq4kw3j
    @user-ug8fq4kw3j 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu atunusuru naayo

  • @rahmaally5128
    @rahmaally5128 3 ปีที่แล้ว

    Masha Allah
    Jazakum Allahu kheir

  • @nourambarak6297
    @nourambarak6297 3 ปีที่แล้ว +1

    niukwer

  • @zainabrashid385
    @zainabrashid385 3 ปีที่แล้ว +1

    Manshallaah

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 3 ปีที่แล้ว +2

    😭😭😭😭😭

  • @husnakh5136
    @husnakh5136 3 ปีที่แล้ว +1

    Astaghfirullah😢😢

  • @rabiawaziri2525
    @rabiawaziri2525 2 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲🤲

  • @amofesa8166
    @amofesa8166 2 ปีที่แล้ว

    Ya Allah utujaliye mwisho mwema

  • @ummuramadhan1842
    @ummuramadhan1842 2 ปีที่แล้ว

    Ma shaa Allah

  • @RashidKonga
    @RashidKonga 8 หลายเดือนก่อน

    Jaman mi Nina mchumba nikitaka kumuoa lakini wakwe zangu ndo tatizo nisaidieni mchango wa mawazo nifanyaje?

  • @aishamaulid2358
    @aishamaulid2358 3 ปีที่แล้ว

    Asalaam Aleikum....walai muziki ni msiba mkubwa kwa jamii haswa ya kiislamu...

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 ปีที่แล้ว +1

    Mtihan mkubwa(fitna kubwa) upo ktk Nyimbo na Miziki..Jamii imharibika kwa kuathirka na Miziki! Huu ni mpango (Mission) unaofanywa na Makafiri (Wamissiinary)/wanaopinga Uislam.
    Leo utakuta (kawaida) baadhi ya % kubwa za Radio na Tv (vyombo ya habari) hutangaza matangazo/habari huku ikiambatana/ikifuatiwa na Nyimbo/Mziki lengo kuwapoteza Waislam wapende Miziki.
    Utakuta kijana wa Kiislam anaimba Mziki (Mwanamziki) hujiita/huitwa msanii kioo cha jamii kumbe ni muharibifu wa maadili ya jamii . Wanadai mziki ni ajira, kiburudisho haha kama haram itabakia kuwa haram.

  • @presstv7700
    @presstv7700 3 ปีที่แล้ว +3

    Je ikiwa ngoma ni kharam dufu linaekwa nafasi gani?

  • @maiyaaliesry6192
    @maiyaaliesry6192 3 ปีที่แล้ว +1

    P

  • @hussenisalumu
    @hussenisalumu ปีที่แล้ว

    Astakafraallah

  • @bakarikihonga5717
    @bakarikihonga5717 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu Shekhe kwanza mnafiki tu

    • @AbdulKarim-be6su
      @AbdulKarim-be6su 3 ปีที่แล้ว +1

      Kwa hio unamaana kua mziki n halali ama

    • @shenjamamzingi7950
      @shenjamamzingi7950 3 ปีที่แล้ว

      Ndugu yangu Taqqllah,usiwe mwepesi kusema hayo kwa Muislam mwenzio

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 ปีที่แล้ว

      subhanallah unafiki wake ni nn

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 ปีที่แล้ว

      Wengine akili zao Sio nzuri jmn km hawa wapuuzeni tu

  • @MohdAli-sp2wq
    @MohdAli-sp2wq 4 หลายเดือนก่อน

    Mashallah

  • @ashirafuchazi896
    @ashirafuchazi896 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah