ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Zaonesha ni nzuri sana nitajaribu Leo nitafuata recipe hiyo ulotuonesha.Shukran Allah akujaalie Kila la kheri.
Nimejaribu mashallah sema mimi nimechanganya vipimo vya 1/2 na kilo 1 😊 ndio nimeona leo ila imekuwa nzuri
Mashallah zimependeza sana asante kwa recipe
Mashallah maziwa yamaji je unaeza tumia
Ahsante sanaa uko vizuri kwa mapishi
Masha Allah Allah akulipe dada yangu mm nimepika ni nzuri saana
Nimejaribu hapa nasubiria uumuke nione nitaleta mrejesho subirini ❤
Ma Sha Allah. Nimejaribu. Very soft na tamu sana kama ulivosema. 😋😋😋😋 Shukran
You make cooking seem soooooo easy, am definitely trying it this weekend
Asante sana, I just watched n subscribed immediately
Asaalam alykum my dear sister . Masha Allah tabaraka Allah. shukran jazaakaAllah kheir . Tamu na Mchuzi wa kuku au maharagwe ya Nazi 👌👌👌👌
Sanaaa
Waaleikum Salam. Yeah😋😋
Mashaalah tabarak Rahman. Nimejaribu mikate imetokea mashaalah. Shukran sana. God bless you
Masha Allah ❤❤❤❤ zimepikika tamuu❤❤❤❤. Shukran sana dada for sharing this.
Watumia maji baridi, warm or hot?
Vinger n milk powder I did not know thanks for sharing is caring
Mashallah kipenzi zury sana❤❤
shkran habbty kwa receip imetoka kama yakwak na yote imefra mizr snaaa
Hiya naenda kuifanya biashala Ahsante dada yangu
Asante sana napenda sana Video zako najifunza mengi!
Just done my dough using your recipe 👏🏽👏🏽👏🏽my boys and I have Naan for dinner we can’t wait 😋😋😋
Maashaallah nimezipenda nitajaribu jazaakillahu khaira
In sha Allah dear ❣❣
@@Mapishirahisi Assalaam alaykum warahmatullah nimejaribu mashaallah nitamu sana ajabu mume na watoto wamependa sanaa shukran sana kwa mapishi Allah akulipe
Asallaam alykum. Nimetengeneza mikate hii leo ni mizuri na mitamu sana mashaallaah Thank you for sharing 🌺
Ni lazima kueka siki?
@@zahrinamoha8100 hi! Niliweka kijiko kimoja, kama ni lazima hilo sijui.
Hongera Sana ni nzuri mno
MashAllah I tryd very nice thanks Dear
Jamani yours are so soft,umejaliwa❤
Uko vizuri xana dada jamani dah
I did this and gosh 🤭🤭they were sweet 🤪
It's good 😊 I will try inshallah like a pita bread for shawarma ❤️
In sha Allah❤
Sorry sijaelewa kidogo wakati wa kuchoma humii mafuta
Sorry sijaelewa hapo wakati wa kuchoma hutumii mafuta
@@aminajumaa697 nop hutumii mafuta
Mashaallah khobs izo tamu cna
tumefika sis 😋😋😋angalau tubadilishe mapishi nasii
loved your cooking skills
Nimejaribu MashaAllah
Nice mashaallah 👌
Thank u..its a must try👏Looks yummylicious 😋God bless 🙏
Good food and excellent job
Asante sana nmependa mapishi yko
Mashaallah hiyo na nyama kavu
😋😋
Masha Allah .ntajaribu leo
Asante kwa recipe nzuri jr hayo maji uliyotumia kuweka hamira ni vuguvugu na yakukandia je?
Asante saaana kindly advise on wich pan to use for the best result the heavy one or the light one. plz...
Assalamualaikum na kma huna maziwa ya unga jee uthatumia ya maji
Napenda San mikate hy mashaallah hbbty
Shukran💖
Assalaam alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Allah akubarikie.
Masha Allah nimezipenda sanaa dear
Asante💕💕
Mashaaallah❤
Tamu sana! 😋😋😋
Ma sha allah
Asallaam alykum jazzakkaallaah kheir Nataka kupika hili pishi Sina maziwa ya unga nawezakutumia maziwa ya majinataraji majibu shukran
Waaleikum Salam ndio unaweza.
Nazipenda sana kwa michomo but si lakini kama hizo Tutajaribu recipe yako habibty Shukran sana
In sha Allah dear❤
Maji yanafaa yawe moto au baridi?
Which camera did you use its so clear 😍
I see a lot of pple use yorgut in preparing it but you didn’t put it is it necessary to make it with yogurt or not thank you
InshaAllah nitajaribu
Safi sana dada!
Mashaallah very nice 😋😋😋😋😋
Thank you 💕
Kama nikikosa vinegar
Your food is amazing
Asalam Alaikum dear Mashallah so so nice 😍
MashAllah lovely
I love this recipe.will give it a try
Mashallah 👌👌👌
Mashalla
I like the video
Je waweza tumia mtindi au maziwa lala badala ya maziwa ya unga?
Yum yum
Je unaweza kubake kwenye oven?
MaashaAllah
Zapendeza masha allah
Shukran❤
Can you replace vinegar with plain yoghurt
You can skip it
@Mapishirahisi 👍
Hongera
Mashaallah shukraan
MashaAllah 💖💖💖
Mashaallah
Maashaallah
Very nice
Salam alaikum habibty vinegar yafanya nini kwa chapati za Naan mara yangu ya kwanza kuona zatiwa vinegar
Shukran Habibty... I Love it
Afwan🥰
Mashaallah 👌
Mashallah Mashallah naenda pika mida hii naomba number nukutumie wathsap ..
Hellow..mbona zangu hazifuri
Cool
What is unga? Is it plain flour, or all purpose flour. Can ata or wholemeal flour used.
Unga is all purpose flour
Hii mikate ni vizur na mitam mini napika hio hapa dubai wanaitamkate wa kimoroco
MashaAllah
Shukran 💕💕
Mashallah
Naona ingine kwa tiktok yako but haina maziwa ya unga
👍😋😋
Habar dada ikiwa hauna siki unaweza kuweka limau!
Mbona naan yangu haifuri kwa pan?
Na vipi ukitumia maziwa ya kawaida pasi kutumia powder?
Ukitumia maziwa ya kawaida usiweke ya powder
@@Mapishirahisi shukrani 🙏 🤗
Good
Nimependa video
mashalah my sister
💕💖
Aa.nasema ukieka kwa kitambara,hueki unga??maana hapo ndio nina mtihani zinashika zangu
Pia km unagroup naomba uniunge na mi
❤❤❤
can i use oven
Tutolee na miniZakaa whau.,kama vile nsla yaani
Wow I miss this ❤️👍🏾
Wooow thank you❤👌
MashaAllah tabarakallah
Badili ya milk powder na siki naweza tumia yogurt au mpaka hiyo siki na milkpowder
salàm alekum mashallaah
Zaonesha ni nzuri sana nitajaribu Leo nitafuata recipe hiyo ulotuonesha.Shukran Allah akujaalie Kila la kheri.
Nimejaribu mashallah sema mimi nimechanganya vipimo vya 1/2 na kilo 1 😊 ndio nimeona leo ila imekuwa nzuri
Mashallah zimependeza sana asante kwa recipe
Mashallah maziwa yamaji je unaeza tumia
Ahsante sanaa uko vizuri kwa mapishi
Masha Allah Allah akulipe dada yangu mm nimepika ni nzuri saana
Nimejaribu hapa nasubiria uumuke nione nitaleta mrejesho subirini ❤
Ma Sha Allah. Nimejaribu. Very soft na tamu sana kama ulivosema. 😋😋😋😋 Shukran
You make cooking seem soooooo easy, am definitely trying it this weekend
Asante sana, I just watched n subscribed immediately
Asaalam alykum my dear sister . Masha Allah tabaraka Allah. shukran jazaakaAllah kheir . Tamu na Mchuzi wa kuku au maharagwe ya Nazi 👌👌👌👌
Sanaaa
Waaleikum Salam. Yeah😋😋
Mashaalah tabarak Rahman. Nimejaribu mikate imetokea mashaalah. Shukran sana. God bless you
Masha Allah ❤❤❤❤ zimepikika tamuu❤❤❤❤. Shukran sana dada for sharing this.
Watumia maji baridi, warm or hot?
Vinger n milk powder I did not know thanks for sharing is caring
Mashallah kipenzi zury sana❤❤
shkran habbty kwa receip imetoka kama yakwak na yote imefra mizr snaaa
Hiya naenda kuifanya biashala Ahsante dada yangu
Asante sana napenda sana Video zako najifunza mengi!
Just done my dough using your recipe 👏🏽👏🏽👏🏽my boys and I have Naan for dinner we can’t wait 😋😋😋
Maashaallah nimezipenda nitajaribu jazaakillahu khaira
In sha Allah dear ❣❣
@@Mapishirahisi Assalaam alaykum warahmatullah nimejaribu mashaallah nitamu sana ajabu mume na watoto wamependa sanaa shukran sana kwa mapishi Allah akulipe
Asallaam alykum. Nimetengeneza mikate hii leo ni mizuri na mitamu sana mashaallaah
Thank you for sharing 🌺
Ni lazima kueka siki?
@@zahrinamoha8100 hi! Niliweka kijiko kimoja, kama ni lazima hilo sijui.
Hongera Sana ni nzuri mno
MashAllah I tryd very nice thanks Dear
Jamani yours are so soft,umejaliwa❤
Uko vizuri xana dada jamani dah
I did this and gosh 🤭🤭they were sweet 🤪
It's good 😊 I will try inshallah like a pita bread for shawarma ❤️
In sha Allah❤
Sorry sijaelewa kidogo wakati wa kuchoma humii mafuta
Sorry sijaelewa hapo wakati wa kuchoma hutumii mafuta
@@aminajumaa697 nop hutumii mafuta
Mashaallah khobs izo tamu cna
tumefika sis 😋😋😋angalau tubadilishe mapishi nasii
loved your cooking skills
Nimejaribu MashaAllah
Nice mashaallah 👌
Thank u..its a must try👏
Looks yummylicious 😋
God bless 🙏
Good food and excellent job
Asante sana nmependa mapishi yko
Mashaallah hiyo na nyama kavu
😋😋
Masha Allah .ntajaribu leo
Asante kwa recipe nzuri jr hayo maji uliyotumia kuweka hamira ni vuguvugu na yakukandia je
?
Asante saaana kindly advise on wich pan to use for the best result the heavy one or the light one. plz...
Assalamualaikum na kma huna maziwa ya unga jee uthatumia ya maji
Napenda San mikate hy mashaallah hbbty
Shukran💖
Assalaam alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Allah akubarikie.
Masha Allah nimezipenda sanaa dear
Asante💕💕
Mashaaallah❤
Tamu sana! 😋😋😋
Ma sha allah
Asallaam alykum jazzakkaallaah kheir
Nataka kupika hili pishi Sina maziwa ya unga nawezakutumia maziwa ya maji
nataraji majibu shukran
Waaleikum Salam ndio unaweza.
Nazipenda sana kwa michomo but si lakini kama hizo Tutajaribu recipe yako habibty Shukran sana
In sha Allah dear❤
Maji yanafaa yawe moto au baridi?
Which camera did you use its so clear 😍
I see a lot of pple use yorgut in preparing it but you didn’t put it is it necessary to make it with yogurt or not thank you
InshaAllah nitajaribu
Safi sana dada!
Mashaallah very nice 😋😋😋😋😋
Thank you 💕
Kama nikikosa vinegar
Your food is amazing
Asalam Alaikum dear
Mashallah so so nice 😍
MashAllah lovely
I love this recipe.will give it a try
Mashallah 👌👌👌
Mashalla
I like the video
Je waweza tumia mtindi au maziwa lala badala ya maziwa ya unga?
Yum yum
Je unaweza kubake kwenye oven?
MaashaAllah
Zapendeza masha allah
Shukran❤
Can you replace vinegar with plain yoghurt
You can skip it
@Mapishirahisi 👍
Hongera
Mashaallah shukraan
MashaAllah 💖💖💖
Mashaallah
Maashaallah
Very nice
Salam alaikum habibty vinegar yafanya nini kwa chapati za Naan mara yangu ya kwanza kuona zatiwa vinegar
Shukran Habibty... I Love it
Afwan🥰
Mashaallah 👌
Mashallah Mashallah naenda pika mida hii naomba number nukutumie wathsap ..
Hellow..mbona zangu hazifuri
Cool
What is unga? Is it plain flour, or all purpose flour. Can ata or wholemeal flour used.
Unga is all purpose flour
Hii mikate ni vizur na mitam mini napika hio hapa dubai wanaitamkate wa kimoroco
MashaAllah
Shukran 💕💕
Mashallah
Naona ingine kwa tiktok yako but haina maziwa ya unga
👍😋😋
Habar dada ikiwa hauna siki unaweza kuweka limau!
Mbona naan yangu haifuri kwa pan?
Na vipi ukitumia maziwa ya kawaida pasi kutumia powder?
Ukitumia maziwa ya kawaida usiweke ya powder
@@Mapishirahisi shukrani 🙏 🤗
Good
Nimependa video
mashalah my sister
💕💖
Aa.nasema ukieka kwa kitambara,hueki unga??maana hapo ndio nina mtihani zinashika zangu
Pia km unagroup naomba uniunge na mi
❤❤❤
can i use oven
Tutolee na mini
Zakaa whau.,kama vile nsla yaani
Wow I miss this ❤️👍🏾
Wooow thank you❤👌
MashaAllah tabarakallah
Badili ya milk powder na siki naweza tumia yogurt au mpaka hiyo siki na milkpowder
salàm alekum mashallaah