Nimejaribu kumtoa mtu moyoni ila nimeshindwa na mda unaenda jmn, ni muislamu anajua sheria na masharti ya dini, ila kila nikiuliza yy hunijibu inshaallah.. Na sio kua twaonana, hupita ata miezi.3 ama 4. Ndio tuonane jmn naombeni ushauri...
Mimi nilisali mara moja tu nikaota siku ya harusi nimekimbia nimerudi harusi imeisha watu wameondoka na upande wa mume wanasema watanipeleka police nirudishe pesa yao ya mahari. Basi nikasema pengine ndoto tu nikaolewa kuolewa siku hiyo hiyo nimedai talaka sikua na furaha kabisa bwana harusi kweli akataka pesa yk nikamrudishi harusi yangu imedumu siku 3 tu 🙄😒
Assalaam alaykumu warahmatu llahi wabarakaatuh ndugu,,,,,pole na majukumu mengi ndugu,,,, siku izi sipati darsa za sheikh Dr Islam Mohammad,,,,, kuna shida gani?? Au baada ya ramadhaan hajafanya darsa ??
Amka usiku saa nane na nusu sali raka mbili na unuie unayo taka alafu rudi kulala utaota hp kama ujaota rudia tena mpaka Allah atakuonesha mimi nimesali mara moja tu na nikapata jibu
@@takyatupu6839Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh Ukhty haifai kwa mda wowote mpk iwe usiku baada ya kuamka kutoka usingiz? Tafadhl naomba unijuze na mm
Istikhara sio lazma uoto unaweza ukaona khafla tu moyo wko umerizk na kitu ama unaweza ukaon khafla tu kile ulichokiomba kinakutokezea lkn sio lazm uote
Allah aniwezesh siku moja niwe mwanafunzi wako sheikh
Nimejaribu kumtoa mtu moyoni ila nimeshindwa na mda unaenda jmn, ni muislamu anajua sheria na masharti ya dini, ila kila nikiuliza yy hunijibu inshaallah.. Na sio kua twaonana, hupita ata miezi.3 ama 4. Ndio tuonane jmn naombeni ushauri...
Swali hiyo sasa
Mwenyenzi Mungu akulinde na kila baya sheikh wetu
Maashaallah dr. Islam allah akupe umri mrefu
MashaAllah Allah akujaaliye kher InshaAllah 🙏🏽
MashaAllah
Allah Kareem shekh wng, natamn nikuon shkh inshalh
Inshaallah Allah atuitikie dua zetu
Mimi nilisali mara moja tu nikaota siku ya harusi nimekimbia nimerudi harusi imeisha watu wameondoka na upande wa mume wanasema watanipeleka police nirudishe pesa yao ya mahari. Basi nikasema pengine ndoto tu nikaolewa kuolewa siku hiyo hiyo nimedai talaka sikua na furaha kabisa bwana harusi kweli akataka pesa yk nikamrudishi harusi yangu imedumu siku 3 tu 🙄😒
Maa shaa Allah
pole mungu alikujibu...
Asante kabisa now nimeolewa na mwengine nipo na furaha alhmdulillah
Dah pole sana habbty
Uliomba kwa kiswahili ama kiarabu.
Allah akupe khery na afya nimeipenda sana Chanel hii
Assalaam alaykumu warahmatu llahi wabarakaatuh ndugu,,,,,pole na majukumu mengi ndugu,,,, siku izi sipati darsa za sheikh Dr Islam Mohammad,,,,, kuna shida gani?? Au baada ya ramadhaan hajafanya darsa ??
Ukumbusho masaallah allah akulipe kher
Jazakumllah khaira nilikuwa najjua ni mara 1 tu nimepata faida
جزاك الله خيرا يا شيخ
Hafidhuhullah
Naomba muongozo wasala ya istikhara
Amka usiku saa nane na nusu sali raka mbili na unuie unayo taka alafu rudi kulala utaota hp kama ujaota rudia tena mpaka Allah atakuonesha mimi nimesali mara moja tu na nikapata jibu
@@takyatupu6839Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh
Ukhty haifai kwa mda wowote mpk iwe usiku baada ya kuamka kutoka usingiz? Tafadhl naomba unijuze na mm
Ukilala ndio zuri usiku wa saa nane na nusu mpaka 9 alafu rudi kulala ndio utaoneshwa hp
@@takyatupu6839jazakallahu khayra
A.alykum samahan naomba kupata mawasiliano na shekh nasal sana istghara lkn majbu sielewi ndoto zangu
Kuna hii tv rasmi kwa kufasiri ndoto ingia mtavassy TV uliza ndoto zako .
Istikhara sio lazma uoto unaweza ukaona khafla tu moyo wko umerizk na kitu ama unaweza ukaon khafla tu kile ulichokiomba kinakutokezea lkn sio lazm uote
Mdaa sahihi wakuswal swala ya istikhara ni upi?