MUNGU akulinde mana sio wote wanaokumbuka kuwa kila hatua wanayofika Kuna baraka zawazazi namkono wao pamoja namaombi yao barikiwa sana na maadui wandoa yako wakawe adui wa MUNGU amina
Hii ndoa ninjema na mungu ameibarik kwa bibi harus sina shaka ila kama bwana harus nichaguo la huyu dada labda watenganishwe mungu awalinde na awape furaha ya ndoa yenu amen
Hogera sana Dadangu kwa Wimbo mzuri Sana. Sema tatizo uliimba Wimbo kwenye sherehe iliyojaa Mafalisayo yaani Wana wa Wachungaji vipofu. Maana kama ungeimba Katika Kanisa la kiroho lenye mafunuo ya Kinabii aise ungeona utukufu wa Mungu. Ila nimependa wimbo wako.
Kwahiyo nyie ndiyo mmejiandikia utukufu?kitakachowaingiza motoni ni hivyo kujiona Bora kuliko wengine,nyie hamna tofauti na yule falisayo aliyejiona anatoa vema sadaka
Hakika MUNGU AKUBARIKI Dada nimelia Mimi huu sababu sikuwa na wazazi wa kuwaaga hongera kwa Sana kwa kukumbuka wimbo mzuri kwa wazazi ubarikiwe Sana ndoa yako ilindwe na Mungu
Great voice and message, it's good to appreciate your parents and remember where you came from......yes utamwacha Baba na mama uambatane na mumeo hayo ni maandiko......zidisha hiyo sauti Kwa maabudu God bless you.
Mungu nisaidie nifike huu kuu kwa ndoa wa amani......naomba njiyia yakufike kwako .....baba❤❤❤ nice song ....with continuous blessings in your marriage
Dada huu wimbo ulivunja recoding wimbo unahisia sana. Nigeria utahisi ni mimi. Dah! Hongera sana .Marshall mema
Amen mungu akubariki kwa nyimbo nzuri ambayo imegusa mioyo ya watu wengi.Mungu abariki ndoa yako .God bless you so much
Saaaaa
Nice song naomba jina la wimbo niupate
Ameen ubarikiwesanaaa
Congratulations good song god bless you
Hogera sana mungu akupe furaha kwenye ndioayko wimbo unagusa sana sana samani ya mzazi nikubwa kuliko
Jamn hongera san nyimbo nzur imenigusa sana moyo
MUNGU akulinde mana sio wote wanaokumbuka kuwa kila hatua wanayofika Kuna baraka zawazazi namkono wao pamoja namaombi yao barikiwa sana na maadui wandoa yako wakawe adui wa MUNGU amina
Hongera binti kwa wimbo mzuri sana nkutakia maisha yenye furaha ktkt ndoa yako
Nimejikuta machozi yananitoka, barikiwa sana kipenzi Mungu awe nawe ktk ndoa Yako
Aseeee nimejikuta nalia.
Ck yangu nitaomba huu wimbo.
Barikiwe sanaaaa
Hongera sana dada Mungu akulinde katika ndoa yako ,wimbo mzuri sana
Dah! Nimeupenda Sana mwimbo huu corgraturation🎉🎉 San dad
Hongera xanaaa mama niwengi wanataka kuwa kamawewe rakini wanaxhindwa
Hongera saana kipenzi umenigusa saaana !!!! zamu ijayo ni mm Mungu nifanikisheee
Hongera saana kwa wimbo mzuri pia nakuomba baraka na Neema za Mungu zitawale katika ndoa yako.
Ni wimbo Wa send off, siyo Arusi!!! Mdada yuko vizuri, mungu alinde ndoa yenuuu
Mungu awabaliki sana katika familia yenu pia hogela sab kwa kazi nzuli san kwa wimbo muzuli mungu akubaliki pia akuinue zaidi na zaidi
Nyimbo imenibarki sana mungu akujalie yaliyo mema yote
Naamini ipo siku moja tu
Edward manyama nkuba mkaaji wa kiloleli kishapu shinyanga anawatakia maisha marefu yenye mafanikio mema ya ndoa❤
Powerful song sweet wow nice, congratulations ♥️👍
Mungu akulinde uwe na ndoa nje
Daah mzur sanaa. Mungu atawale ndoa yenu👩❤️👨
Mungu ailinde ndoa ako dada ang iwi ya kher na bark
Hongera daa umeimba poa aki hata naeza tokwa namachoz
Hongera sana dada angu Kwa nyimbo nzur
Hii ndoa ninjema na mungu ameibarik kwa bibi harus sina shaka ila kama bwana harus nichaguo la huyu dada labda watenganishwe mungu awalinde na awape furaha ya ndoa yenu amen
Umenibariki sana mungu awape maisha marefu Wana ndoa wote mkawe na maisha mema yenye furaha na amani
Aeraaaa. 2 jkkkk
Hbhhhhbbbbbbb
Mungu akubariki bint uwe na maisha mema uendelee hivyohivyo na kwenye ndoa Yako
Dadaangu mungu ailinde ndoa yako naiwe paradiso ndogo
Mungu ni mwema
Hongera sana mungu akuongoze vema kwenye ndoa yako mama
Barikiwa sana na Mungu awahifadhi zaidi
Hogera sana Dadangu kwa Wimbo mzuri Sana. Sema tatizo uliimba Wimbo kwenye sherehe iliyojaa Mafalisayo yaani Wana wa Wachungaji vipofu. Maana kama ungeimba Katika Kanisa la kiroho lenye mafunuo ya Kinabii aise ungeona utukufu wa Mungu.
Ila nimependa wimbo wako.
Kwahiyo nyie ndiyo mmejiandikia utukufu?kitakachowaingiza motoni ni hivyo kujiona Bora kuliko wengine,nyie hamna tofauti na yule falisayo aliyejiona anatoa vema sadaka
❤❤❤ ubarikiwe kumtanguliza Mungu nina imani ndoa yenu itadumu
All the best dear.... BWANA YESU naomba nisaidie nifikie huku🙏🙏🙏
Aiseeeee nimebarikiwa kabisa kusikiliza hii ngoma mbarikiwe nanyi pia,nimefurahi sana mmefanyia kijijini huko nawao wamepata fraha kupata hii kitu
mungu akupe aman ya ndoa yako kipenzi.umenikumbusha mbali sana hadi nasikia machozi
Good song my sister mungu akulinde kwenye ndoa yako❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hongeren Dana mungu akujalie maisha mema to ndoa yako
❤❤❤❤❤hongera sana dada kwa nyimbo tamu
Mungu akupe Manisha Bora.
Honger san dada kwa wimbo mzuri sana Mungu akafanyike baraka kwenye maisha yako ya ndoa 🙏🙏🙏🙏🙏
ubarikiwe dada mungu akupambanie kwenye ndoa yako
What a great Song. Barikiwa katika ndoa Yako. Hakika umeinjilisha umma
Hongera sana dada Kwa nyimbo nzuri 🇰🇪
Kazi nzuri saaana,sauti nzuri saaaana ,Mbarikiwe saana
Wow Io nyimbo nmpendaa tu xna daa ndoa njema ❤❤❤❤❤
Wimbo nimeupenda hongera sana mungu akutangulie kwenye ndoa yako
So beautiful song❤️cant wait sing this in my marriage ceremony
Hongera dada wimbo mzuri unasisimua mioyo
Hongera Dada unaonekana mtiifi mno ubarikiwe
Wimbo upo vizuri sana....
th-cam.com/video/wVW9e3MI_gM/w-d-xo.html
Amina xanax mung awe nanyii daimaa
Nimependa sana jina la mwimbaji na wimbo unaitwaj jaman
Ndohuyohuyo
Ubarikiwe sana Dada kwa ujumbe mzuri sana kwa wazazi wako ni mfano mzuri kwa mabinti wengine Amina
Nataman na mm siku moja niwaimbie hiv wazaz wangu. Nimejikuta nalia wimbo mzr.. Mungu awatunze ktk ndoa yenu.
Mungu aendelee kukutia ngvu katika uimbaji
Insha-allah ubarikiwe SN"
Wimbo upo vizuli Mungu akulinde
Oooh jamani.Nimekosa la kusema mimi.Ni hekima kubwa itokayo juu kwa Bwana Wetu Yesu Kristo.Na ikawe heri kwenye Ndoa yako Amina.
Nice song God bless dadaa❤
Thanks for nice song,imefanya nikatamani kufanya harusi
Why am I cutting onions 🥲🥲may God guard your marriage sister ❤nice song
Hakika MUNGU AKUBARIKI Dada nimelia Mimi huu sababu sikuwa na wazazi wa kuwaaga hongera kwa Sana kwa kukumbuka wimbo mzuri kwa wazazi ubarikiwe Sana ndoa yako ilindwe na Mungu
Amen Mungu akulinde katika ndowa yako
Mungu akulinde dada sana akupe nguvu naupendo katika ndoa yako
Naitwa,Musa kutoka ngala nyamagoma nakupongeza sana dadaangu ila uwe mwamifu kwenye ndoa yako asante
Great voice and message, it's good to appreciate your parents and remember where you came from......yes utamwacha Baba na mama uambatane na mumeo hayo ni maandiko......zidisha hiyo sauti Kwa maabudu God bless you.
th-cam.com/video/wVW9e3MI_gM/w-d-xo.html
Karina nyimbo za ndoa basi mwimbo huu nimeupenda sana asant dada kwa wimbo wako
Duuuh aise umenigusa sana dada ang mung akulinde na macho mabaya ya wat
Hongera Dd mungu akawape amani kwenye ndoa yenu watt mkapakate
Mungu akubariki dada Kwa wimbo mzur
Mungu akubariki wimbo mzuri sana
Hongera mamy baraka nyingi na Neema za Mungu ziwe juu ya maisha Yako ya ndoa daima❤
Amen Amen,huu wimbo unaguza mno
Wedada kwakweli ulifikilia mmbali mungu akubaliki uwe amaisha mema
Hongera San kipenzii daah ctakii kuamni ujasilii huu umeuptaj mum angel honera
Hongera Sana dada mungu akutie nguvu kweny ndoa yako
Dada ongera kwa wimbo mzuri pia nikumbuke nikiwa Kenya naitwa karembo
Wimbo mzuri tunapmba jina jaman❤❤❤❤❤
Mungu nisaidie nifike huu kuu kwa ndoa wa amani......naomba njiyia yakufike kwako .....baba❤❤❤ nice song ....with continuous blessings in your marriage
❤❤❤❤
Asante dada nyimbo hii imenitoa machozi mungu akubariki
mungu akupe wepes uzidi kuinuliwa
Huu wimbo nibora nisinge usikiliza, nimè bubujika kutosha,
MUNGU akutangulie dada na bwana alusi,
Nimeipenda San namm Niko njiani kufunga ndowa man mungi akubaliki can Dada yangu
Hongera classmates wangu Hallelujah,Mungu akubariki mamy Engel.
Hongera sna dadang
MUNGU akubarikie sana❤❤
Good song good message more blessings my fellow gospel minister
Jamani kama nikuimba umeimba dad angu mungu akubaliki sana katika ndoa yako umeugusa sana moyo wang dad ang
Hongera kwa nyimbo mzuri
Hongera sana dada umenifanya na mm nitaman hiyo siku yangu ifike bwana yesu akubariki sana
Hongera kwa wimbo nzuri sana ,na ukafanyike baraka kwny ndoa yko❤❤❤❤🎉
Mungu akutunze rafiki angu kwenye ndoa ukawe mama Bora kipenz umeimba vizur kidogo nitokwe na machoz but baba kanifrahisha
Nice songs hakika ameimba kwa hisia 🥰🥰🥰🥰🥰, MUNGU ailinde ndoa yenu
Upate maisha mema ya ndoa yako ubarikiwe na mungu
Hongera dada❤❤❤❤
Wow ubarikiwe Sana mamaa Kwa wimbo wako mtamu muishi Maisha MEMA Na bwanako
Hapo ni kigoma Moja sjui kasuru or kibondo. Wimbo mzuri
Amen amen 🙏 🙌 👏 barikiwa sana mtumishi wa mungu wimbo safi sana amen amen 🙏 🙌 👏
Hongera Sana dada angu jaman umeimba vizur sana❤❤❤
Hongera dada karibu kwenye chama Cha wamama
Wimbo mzuri mno ,Mungu ailinde ndoa yako
Hongra San dad Angu.❤
Amen amen 🙏🏾 Ubarikiwe sana wimbo ni mzuri sana.
Mungu amlinde nmeguswa san
Ahsant kwa ujumbe wako mzur ashukuliwe mama alie kuzaa na kukutunza sku zote za maisha yak
Dada hongera kwa wimbo Safi . mungu yupo nasi