Wow wow very sweet hii lazima itaheat 1m and above imenibariki sana 🎉🎉🎉Wacha niwache hii comment hapa nikihome ntashukuru na huu wimbo team Haman 2024 amefanya mungu nineema tu❤❤❤ 🎉🎉🎉😂🎉😂
Mimi sizaidi ya wale wengine ni neema na kwayale niliyopitia nisingekuepo pengine ni neema na ninavyokuaga mnyonge nisingetoboa😭 bila wewe baba nisingetoboa 😭 Nashukuru yesu wangu 🙏 asante sana kwa huu wimbo mungu azidi kukuinua ktk huduma yako
Honestly,The Lord Our GOD-Above All Has intervined into My life. He Has Truly Changed My Everything- It is by His Grace.He's an incomparable GOD... AMEN.
Hello ndugu zangu. nimewaletea tena wimbo huu mpya uitwao #AMEN naamini mtabarikia sana. Msikose kutazama na Mungu awabariki 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Booking +255679772248
Ubarikiwe kwa kutuletea wimbo wa kufungia mwaka 2024 🎉 Ni bonge moja la wimbo wa ushuhuda na mimi naungana na wewe Kumshukuru Mungu kwa yote aliyofanya kwangu AMENI
Mungu akuinuwe zaidi sana kwenye udumu Yako. Wimbo uhu unanipa nguvu yakuonesha kwamba ni Mambo mengi ambayo Mungu atanipa ktk maisha yng. Kweli amefanya
Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 let's show love 💕 to our brother @komando wa yes 💕💕💕💗💐
@@brianjohthebleesedone3375 🙏🙏🙏
😂@@komandowayesu3642
shallom be blessed brother
Wimbo Bora ulitoka wakati sahihi be blessed man of God 🙏🙏🙏🙏🙏
Amen
Am 30 years today never been on the hospital bed my whole life❤Amen lord🙏🙏
Serve him!!! Amen
Mm Kila siku nakasikiliza tu sichoki barikiwa mtumishi wa mungu❤
Jamani wimbo mtam balaaaa❤❤❤❤ naomba like kama umeludia zaidi ya mala moja🎉🎉
@@AngelMoses-pd3bo Barikiwa sana 🙏🙏🙏
@@komandowayesu3642 barikiwa pia mtumishi
Raiding ya mara ishirini
@@TwomainTumain 😃😃😃🙏🙏
Ulakozee chanee mwenee wachuu wikigomaa ulakozee chanee inyimboo ilinezaaaa❤❤🎉🎉
@@maliatabuerenesti6681 Amen 🙏🙏🙏
Amen amen. Mungu wetu ni mwaminifu. Neeama yake ni kubwa kwangu. Amen amen
@@Mafikiri-x9p Amen 🙏
Naungoja kwa Ham sana Brother Komando wa Yesu watanzania like apa
Nkajua pendael makoga
Wow wow very sweet hii lazima itaheat 1m and above imenibariki sana 🎉🎉🎉Wacha niwache hii comment hapa nikihome ntashukuru na huu wimbo team Haman 2024 amefanya mungu nineema tu❤❤❤ 🎉🎉🎉😂🎉😂
@@Deborahdepsy-qh4rj Amen 🙏🙏🙏
Kazi kubwa sana hii mtumishi wa MUNGU
wonderful song. Nashukuru Mungu kwa ile kidogo amenibariki nayo. Amen🙏🙏🙏
Moto sana❤ love from kenya🇰🇪💞
@@MercyKuria-g5f 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
Kweli tumshukuru kwa chcochote anachotubariki nacho..KOMANDO wimbo mzuri sana
Waaaaooo nyimbo nzuri mutumshi hap 🇧🇮mini nakupna snaa hi song 🙏🙏
@@joselynempawenimana6019 Barikiwa sana 🙏🙏🙏
Ndio mimj hapa uwii mbeya Raha
The gospel artist mistari za nyimbo utazielewa. Mungu Abarikiwe, anayemjua hatajuta
@@wycliffekadweya401 Amen
❤️❤️❤️❤️@@komandowayesu3642
Nakuku
Bali sana sarute kwako
Amen 🙏 Nashukuru amefanya kweli hii
Toka nimujue mimi si wa kulialia ...Amen komando...love all the way from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Woow, wimbo mzuri sana. Barikiwa sana mtumishi mungu azidi kukuinua kiwango hadi kiwango
Huyu Mtumishi wa Mungu ako na Kibali, na amekua akitoa nyimbo zenye baraka tele.....Mungu azidi kukuinua na kutubariki kwa nyimbo nzuri🙌🙏
Wimbo mzurii sana barikiwa kaka MUNGU aendelee kukupa utulivu
Wimbo Bora Sana ❤zaidi ya tote twashukuru mungu,keep up 🎉🎉🎉🎉hongera Sana keep the spirit of worship on higher ,may Almighty bless you more n more
I am running out of patience...this is a banger....
Amen ... Amen ... Amen. Baraka ķaka
Finally ❤❤❤this is my song
Kama wimbo ni mzuri ni mzuri...... Iam eagerly waiting for it nibarikiwe
What a beautiful song!!!! I have played it more than 5 times and still can't get enough of it. Barikiwa sana Komando🙏🙏🙏🙏🙏
Amen amenifanyia kweli ❤❤❤ barikiwa sana from 🇰🇪 ❤❤
Asante YESU hakika umefanya kweli🎉🎉
Mimi sizaidi ya wale wengine ni neema na kwayale niliyopitia nisingekuepo pengine ni neema na ninavyokuaga mnyonge nisingetoboa😭 bila wewe baba nisingetoboa 😭 Nashukuru yesu wangu 🙏 asante sana kwa huu wimbo mungu azidi kukuinua ktk huduma yako
Kakaangu hongera sana mm Sikujua kama nakwenye kucheza humo🎉🎉🎉🎉
Mtumishi wa MUNGU barikiwa Sana wimbo mzuri sanaa
@@NgoshaNgosha-o3n Amen
Hakika YESU ni mzur sana juu ya Maisha yetu
Kawimbo kazuuuriii jamennn...love it❤❤❤
All your songs inanifunza mambo mengi sana continue shinning komando wa Yesu
Amen unanibariki sana mungu akutunze
Hits song nyingine ukitoa mambo yamebadilika ft madam Martha, Kazi yako njeimaa ❤🎉
Amen barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Good news you❤❤🎉😊
Wow wow lovely songs wapi likes ya Kenya ❤❤
Amefanya kweli kwangu mimi ahadi zake kwangu zimetimia kweli nimwaminifu AMEN❤❤❤
Amina Amina. Nashukuru kwa ajili cha alichonijalia. Baraka.
Lots of love from Kenya
Sina kagari but am health.....Amen.Amen amefanya kweli
Binafsi nakukubali, iende mbele injili.🔥
My brother good evening love you sana bonge la song Mungu akulinde kweli ni neema tumepitia mengi
@@DenisMathias-vj4ht Amen 🙏🙏🙏
Hallelujah mungu akuzidishie mibaraka ya kuishi🎉🎉❤
Honestly,The Lord Our GOD-Above All Has intervined into My life.
He Has Truly Changed My Everything- It is by His Grace.He's an incomparable GOD... AMEN.
Amen and Amen. You will sing this song in HEAVEN.
Hello ndugu zangu. nimewaletea tena wimbo huu mpya uitwao #AMEN naamini mtabarikia sana. Msikose kutazama na Mungu awabariki 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Booking +255679772248
Amen Papa 🎉
Iam eagerly waiting for it
Merci kommando. Tunakupenda congo
Nimependa mlivocheza barikiw mtumishi mm napenda sana kucheza
🙏🙏🙏🙏kali
Ubarikiwe kwa kutuletea wimbo wa kufungia mwaka 2024 🎉
Ni bonge moja la wimbo wa ushuhuda na mimi naungana na wewe Kumshukuru Mungu kwa yote aliyofanya kwangu AMENI
@@jonasikigodi7345 Barikiwa
@@komandowayesu3642 🙏🙏
My favourite artist ❤
Indeed God has done it
Another banger 🎶💯 🔥🔥🔥🔥 much love ❤️❤️❤️
Always blessed man of God 🙏🙏🙏🙏
Hongera sana kwake, Bonge moja la truck! Ubarikiwe sana Mtumishi Komandoo wa YESU.
Hii tunaanguka nayo kama wakenya🎉
Nashukuru Mungu amefanya kweli Mungu alibariki sana
Yaani nyimbo zako huwa zinanibariki sn zinagusa maisha yngu, hata mm Mungu amenibariki nyumba na magari
Nabarikiwa sana na kazi zako mtumishi ni nzr kwa kweli mungu akusaidie usije acha kumtumikia yeye aliefanya kweli
Am waiting for it big up my brother ❤
Nashukuru amefanya kweli ❤ kwa ici kidogo
Nashukuru🙏🙏amefanya kweli
Mungu ni mwema,hata kwangu amefanya kweli
We listen to your songs all the way in Ghana, west Africa. We don't understand the language but we enjoy the songs anyway😅. God bless you Sir ❤❤❤
All the way from TikTok 🥰🥰🥰🥰🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Blessings blessings komando wa yesu, love from Jinja Uganda 🇺🇬
Kaka WIMBO mzr sana mungu akuinue zaidi
Jamaa anaimba aiseee❤😊
@@alexmwakikambako4743 Amen 🙏🙏🙏
Amen the song is more 🔥🔥🔥 be blessed kamando wa yesu
Have seen the blessings of God through team blessings I am here to say thank You God.Amen ❤
Very powerful hongera Sanaa Mdogo wangu wadamu nakupenda sanaaa
Mungu akubariki sana 🙏 wimbo umetoka kwa nyakati sahihi👏👏❤
I very nice song,may God bless you so much 🙏🙏
Kazi zako daima Ni nzur wema wa Mungu udumu kuwa nawe
❤❤❤❤❤❤❤Sikuwa nacho amefanya kweri mungu mubarikiwe
A goodly piece!!! This song deserves more likes!!!!
Haleluya,na mimi namshukuru mungu amefanya kweli kwangu
Na shukuru mungu amefanya kweli amen 🙏
Amen 🙏 amefanya mengi siezi taja yote amen amen
Akii akaa kawimbo kananibamba kumoyo, vile Mungu amenitendea ni kama ameniimbia Mimi🤗🤗🤗
The same to me
Love from kenya
Mungu apokee sifa na utukufu
Barikiwa sana kweli ni neema tyu💕💕💕
Asanti sana kwa wimbo mzuri mungu akubariki sana🙏🙏🙏🙏🙏
Hata mie Mungu amefanya kweli.
Nasikia furaha sana kwahuu wimbo❤❤❤❤❤
Mweshimiwa umenishik sana kwahuu wimbo
Amen,wimbo mtamu zaidi🙏🙏
Amen amen amen nashukuru amefanya kweli❤
Am here for waiting it😍😍
My number one favourite..now..barikiwa kaka,cant get enoough of this
Tujalie Mungu Baba tupate kuishi sababu ya wengine❤❤❤
for real uko na talent ya music keep on serving God,be blessed 🙏🙏
AMEN AMEN AMEN in the mighty name of JESUS Christ of Nazareth.
Finally is out I have been waiting nice song
Nashukuru 🙏amefanya kweli, kwangu mimi amefanya kweli🙏🙏
Si unaona kagari! Amen, mwanzoni sikuanako, Amen! Kasuti na tai, kale kanyumba kadogo dogo mwanzoni sikua nako, amen😂❤🎉
@@Beny_Daniel 😃😃🙏🙏
@@komandowayesu3642 😂🙏🤝
Amen
such a niiiiiiiice song
I really looove this ❤❤
it has really blessed me
Mungu akuinuwe zaidi sana kwenye udumu Yako. Wimbo uhu unanipa nguvu yakuonesha kwamba ni Mambo mengi ambayo Mungu atanipa ktk maisha yng. Kweli amefanya
Amina kubwa nimependa kazi nyimbo Zina tia nguvu
Wimbo ni mzuri sana kwa God' na Jesus ❤❤❤YA komando wa Yesu
LOOKING FORWARD IN ❤❤
Ubarikiwe Mungu akupe nguvu mtumishi wa Mungu
Finally,be blessed 🙏🙏🙏🙏🙏
Wimbo mzuri sana 🔥🔥
Kwa wale wa🇹🇿🇹🇿 nataka like zenu kama tumebarikiwa 🙏🏻🙏🏻
AMEN🔥🔥
Nime hupenda wimbo wako mungu akubariki uzidi kuhimba zingine nyingi