Hello ndugu zangu. kwanza nitangulize shukurani kutoka moyoni kwa kuendelea kunishika mkono kila ninapo toa nyimbo mpya. nimekuja kwenu kwa mara nyingine tena. tarehe 29 jumamosi hii tukutane hapa . kisha ku like ku shere na ku comment. Mungu awabariki sana 🙏🙏🙏
Sijui niseme nn yaan unajua tena unajua mwenyewe mungu aendelee kukupatia vyote maana unatuinua sana kupitia nyimbo zako nataman siku moja nionane na wewe
Mimi nlikwama kwa moyo wangu,na sina uende...I know poa hii itakuwa hit,napia itabariki moyo wangu, 🎉❤Mungu azidi kukuinua,unapoendelea kumtumikia..much love from 🇰🇪kenya
Sijawahi Choka kufuatilia nyimbo zako toka enzi za wimbo huu ufike enzini Pako Kila nyimbo ni bora hazichoshi masikio tunaburudika mno barikiwa Sana mtumishi tunakupenda sana
Unayemwegemea anaweza anguka pu Mwanadamu ni mwanadamu tu Msaada wetu unatoka juu Wakumwamini ni Mungu tu×2 Anatujuwa zaidi ya wanavyotujuwaa×2 Anatuelewa zaidi ya wanavyotuelewaa Huyu Yesu anatujua zaidi Binadamu hawanielewi hawanielewi
The message I have learnt from this song, God is my best friend, mwanadamu nimeachana naye. Msaada wangu u katika Bwana, aliyeumba mbingu na nchi. Congratulations bro
From tiktok Unaye mwegemea anaweza anguka pu,mwanadamu ni mwanadamu tu; Msaada wetu watoka juu,msaada wetu ni Mungu tu. Lets trust in the Lord brethrens.
I love this song wooow,wa kumuamini ni Mungu tu ,kweli wanadamu hawanielewi ,usijali watu wa Mungu huwa hawaeleweki.Even God is always mysterious in his works He can never be understood,that makes Him a mysterious God....#Msaada wetu unatoka juu ,AMEN#MARCH 2024 love your songs #love from Kenya.....
Hello ndugu zangu. kwanza nitangulize shukurani kutoka moyoni kwa kuendelea kunishika mkono kila ninapo toa nyimbo mpya. nimekuja kwenu kwa mara nyingine tena. tarehe 29 jumamosi hii tukutane hapa . kisha ku like ku shere na ku comment. Mungu awabariki sana 🙏🙏🙏
Amen. Tupo pamoja Mt 🙏🙏
@@gracekunambi7438 Amen 🙏
Niko nasubr brother
@@brotherhoodtz Ahsante 🙏
P1 San mkui
watu wa kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nimeanza kuwaelewa😃
Kabisa..
@@philipwachira9111 🙏🙏🙏
Hapo sasa ❤❤❤
Kenya twakupenda. More blessings
@@vainesmwacharo6484 Amen 🙏🙏🙏
Kenya 🇰🇪🇰🇪 tunakuelewa sana 🙏🙏 WAPI LIKES ZA WAKENYA WENZANGU ❤❤
Ahsante sana 🙏🙏🙏
th-cam.com/video/2zuzD2GPKfw/w-d-xo.htmlsi=zzECjZESshJwVZiX
🙏🇰🇪🇰🇪
tz 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 nione like zenu hapa 😃😃😃😃
Mungu akubariki kwa wimbo huu.Joyce from The Netherlands
hawapo lakini kenya yunakuelewa sana❤❤
Kama unamkubari @komandowayesu Kama mimi weka like hapa
Kenyans🇰🇪🇰🇪🇰🇪 in diaspora 🇶🇦🇶🇦🇶🇦tunakuelewa saaanah kaka congratulations 👏👏👏👏🎉🎉🎉🎉
🙏🙏🙏
From Kenya 🇰🇪 i love the song🙏
🙏🙏🙏🙏
Amina
Huu wimbo unaimba kwa akili yangu.❤❤❤ listing from 🇰🇪🇰🇪
Ahsante sana 🙏
Wanao subiri,kabla ya wimbo upostiwe tujuane ❤❤❤❤
Kesho mapema sana. jamani mnisamehe tu nimewasubiri shana 🙏
Sema kuingoja
@@komandowayesu3642 its worth the waitting, my number one song now, ubarikwe sana kwa massage hii nime upenda sana tu
Sijui niseme nn yaan unajua tena unajua mwenyewe mungu aendelee kukupatia vyote maana unatuinua sana kupitia nyimbo zako nataman siku moja nionane na wewe
Amen buro wimbo wako umenipedesa nimeuoeda
Kaka angu hii nyimbo imehusisha historia ya maisha ya familia yangu Mungu akubariki sana na daima tuko pamoja 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Waoooo hii ni Kali ya mwaka kaka ,, MUNGU akubariki sana mtumishi wa MUNGU
Amen 🙏
This song just came the right time, I'm passing through alot😢 but huu wimbo umenifunza kitu.Thanks alot, listening from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
May Almighty God see you thru your bitter tears and turn them into tears of happiness ☺️☺️☺️
Kenya tuonyeshe upendo wetu kwa ma likes
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
This song has gone viral in Kenya,more blessings komando
Amen
Wow I really like listening to your gospels songs they are really touching Amen love from Kenya blessed blessed 🎉🎉🎉🎉🎉🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🙏🙏🙏
Mimi nlikwama kwa moyo wangu,na sina uende...I know poa hii itakuwa hit,napia itabariki moyo wangu, 🎉❤Mungu azidi kukuinua,unapoendelea kumtumikia..much love from 🇰🇪kenya
Can't get enough of this song ooh my 🎧🎧🎧🎵🎵🎵 Love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nimebarikiwa Sana na wimbo umebeba majibu ya mtu mwenye maswali. Nitamtegemea MUNGU daima.🙏
Amen 🙌
Sijawahi Choka kufuatilia nyimbo zako toka enzi za wimbo huu ufike enzini Pako Kila nyimbo ni bora hazichoshi masikio tunaburudika mno barikiwa Sana mtumishi tunakupenda sana
Amen
Wanadamu hawanielewi🤔🤗😘
@ZablonMukungKenya 🇰🇪,,, kazi Maridhawa Komando💪💪, na ninachokijua Wakumwamini ni Mungu tu🙏🙏
🙏🙏🙏
@@komandowayesu3642 🙋♂️🙋♀️
Napenda sana nyimbo zako mungu akubariki na akuinue kihuduma
Amen 🙏
This song has a very strong massage..never relay on people trust and believe In God
Amen
Mungu akuinue Zaid ilinaeewwe uwainue waliochin yako 2:53
Amen sana
Hakika mwanadamu will always disappoint you,our God never fails ,he is ever there for his people
Amen
This Song makes me cries for sure Let God be God for sure🙏🏻❤️
Kaka upo vizuriii huo wimbo mpya nausubiriii
Amen 🙏. tukutane jumamosi
😫😫 anayetuelewa ni mungu pekeee......barikwa mnooo
Amen mtumishi 🙏
I declare this song an international hit❤❤❤❤❤
🙏🙏🙏🙏
So it is already in Jesus Name.🙏🙏👍👍❤️❤️
Hakika hawanielewi wimbo mtamu daaa Mungu akubariki swaiba
Amen ndugu yangu
Mungu akubariki ,tunasubiria Masaa tu .Machache tupate wimbo wetu tuzidi ma sisi kusikia raha na kuinuliwa kwa Mungu
Amen
Haki nimebarikiwa nahuu wimbo sanaaaaaaaa🤞
🙏🙏🙏
Natamani hata kuokoka nianze himba zangu gospel kwajili ya huyu jamaa komando❤️❤️🤞🙏
😃😃😃😃 itapendeza sana. Karibu sana katika ulimwengu wa amani 🙏
@@komandowayesu3642 amen🙏🙏❤️❤️❤️
Kweli hawanielewi,,, wewe God ndiye tu unaeza nielewa
Much love from kenya...napenda hii song ...inafanya natulia kwa mungu..ubarikiwe sana
Amen
@@komandowayesu3642 Asante kijana wangu kwa wumbo nzuri love from uk 🇬🇧
Mungu.azidikukuinu.uinuenawengine.kakanyimbo
Imenibarikisana🙏🙏
Amen 🙏
I look forward to be approved by God,for he is the one who chose me,.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ooh from Kenya,kweli na haitaelewa
Amen 🙏
I can't wait for this powerful song Ubarikiwe sana ❤
Amen 🙏🙏🙏
Unaemuengemea anaeza ...anguka puuu.God above all more grace
Human beings are difficult to understand. Only God who understands us better ❤️❤️❤️❤️❤️❤️ nice song
Msaada wetu unatoka juu tu 🙏🙏
Amen 🙏
Story of ma life...usimuegemee mwanadamu kwa lolote...our God is awesome.ukimuegemea Mungu unanawiri zaidi❤🙏thanks bro for this awesome song🥰
Enyewe hawakuelewi. Hit after hit
😃😃😃
Indeed only God can understand us, even though u try explaining urself, they don't understand
Amen
Barikiwa Sana Rafiki kazi yako njema Anayetuelewa Ni Mungu tu
Amen 🙏
Mi na family yng.tunapenda nyimbo zako kk.
Ahsante sana nashukuru Mungu ni mwema 🙏
Msaada wangu unatoka juu..asanti yesu kwa kuniekewa zaidi!
Wow, can't get enough of this 😊😊😊
Sending love from 254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
Wanadamu hawanielewi namtaka tu YESU
Amen 🙏
This song is really blessing me,,Dunia hainielewi❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤God knows me better❤
Amen
Unayemwegemea anaweza anguka pu
Mwanadamu ni mwanadamu tu
Msaada wetu unatoka juu
Wakumwamini ni Mungu tu×2
Anatujuwa zaidi ya wanavyotujuwaa×2
Anatuelewa zaidi ya wanavyotuelewaa
Huyu Yesu anatujua zaidi
Binadamu hawanielewi hawanielewi
Ila kwa kweli Mungu tuu peke yake ndiye anayetuelewa wanadamu hawawezi tuelewa kamwe, santiii kwa ujumbe huu mtumishi wa Mungu, God bless you 🙏🙏🙏
Amen
Hallelujah 🎉
Mungu pekee ndie anae kuelewa❤❤❤❤❤🙌🙌🙌
Amen 🙏🙏🙏
Kutoka Kenya... This is Clarice.. You truly have an angelic voice.. blessed music.. More grace komando...
Amen
Itoshe kusema asanteee MUNGU, Amen 🙏🙏🙏
Amen 🙏
Powerful song,much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen
Zambia🇿🇲🇿🇲🇿🇲 in the house people will never understand us only the one in heaven
🙏🙏🙏🙏
The message I have learnt from this song, God is my best friend, mwanadamu nimeachana naye. Msaada wangu u katika Bwana, aliyeumba mbingu na nchi. Congratulations bro
Barikiwa mnoo mtu wa MUNGU huu wimbo umekuja kwangu kwa wakati sahihi hawanielewi kabisa kila nikiwaelezea hawaelewi namaanisha nini
Amen 🙏🙏🙏
Barikiwa sana 🙏
Someone has spoken my heart out❤❤❤
🙏🙏🙏
Barikiwa sana Mkuu wimbo umetulia saana❤❤
Amen 🙏
Nothing is as beautiful as living with God's Grace,God's word of hope and prayer.. keep up the good work
Merican tunakuhelewa komando wa Yesu alleluia 😘😘😍
Amen 🙏🙏🙏🙏
You have done it again... Congrats and Big up.... Kenya enjoys and are blessed by your music....
Amen 🙏🙏
Kiukwel komando wanibarik na nyimbo zako..Mungu akubarik na akuzidishie ujuz na akufikishe kwa hatma yako..you are ma role model
Indeed there's nobody whom you can trust on this earth but only God. Human beings will never understand you.❤
Mi nakuelewa sana ndugu yangu🥰🥰🥰Kenya we love you
🙏🙏🙏
So touching🙏 your songs inspires me so much. You're such a blessing to us. Much love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen 🙏🙏🙏
jamani jamani jamani ni🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪💪
🙏🙏🙏
So powerful... indeed it's always been God 💪💪🙏🙏
Human changes anytime everytime..I atest to the greatness God has done me
From tiktok
Unaye mwegemea anaweza anguka pu,mwanadamu ni mwanadamu tu;
Msaada wetu watoka juu,msaada wetu ni Mungu tu.
Lets trust in the Lord brethrens.
🙏🙏🙏🙏😃
From Kenya , only God knows us..Hongera Komando wa Yesu
I love this song wooow,wa kumuamini ni Mungu tu ,kweli wanadamu hawanielewi ,usijali watu wa Mungu huwa hawaeleweki.Even God is always mysterious in his works He can never be understood,that makes Him a mysterious God....#Msaada wetu unatoka juu ,AMEN#MARCH 2024
love your songs
#love from Kenya.....
A wonderful song .....ujumbe mwafaka kwa wakristu❤
Amen 🙏
Hawaelewagi kamwe, Yesu akituelewa inatosha
Amen 🙏🙏🙏
Wow this is the best bongo gospel have ever heard....perfect message ❤❤❤love from kenya
Ubarikiwe sana mtumishi na uzidi kuwainua walio pondeka mioyo hipo siku watakuelewa tu.Amina
Amen 🙏🙏🙏
Glory to God much love from kenya 🇰🇪 🙏🏻
Uyumwimbo nukuzuri sana mungu akubariku akiagejeya maonyo mege ❤❤❤
Amen. Thank you for this timely message. Am blessed.
🙏🙏🙏
Mm kama mkenya nakuelewa zaidi nice song this is my daily dose natoa stress na hii nyimbo nakusikiza nikiwa Gulf keep going ❤❤❤
Ahsante sana 🙏🙏🙏
Nice song, thank you Lord for always understanding me, am blessed
Unaemwegemea anaweza akaanguka puuuh msaada wetu ni Mungu tu, wa kumtegemea ni Mungu tu
Nice and touching song brathee ,congrats from 254 ❤❤❤❤ May Almighty God Bless you🙏🙏🙏🙏🙏
🙏🙏🙏
Wanadamu wanaweza kosa kukuelewa lakini Mungu anakuelewa siku zote. Wimbo nzuri sn
Such touching song ...much love from Kenya 🇰🇪
🙏🙏🙏
Powerful message, hakuna siku wataniewa🙏🙏
Amen 🙏
🇰🇪🇰🇪Unapepea brother, africa hoyee
Such an inspiring song. You bless me man of God.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🙏🙏🙏🙏
Huu wimbo uko sawa kapsa,mwanadamu hawes kukwelewa
After along wait🎉Amazing work,God bless you always🙏
Amen
Team 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 this song should be a national song
I can't get enough of this dong🎉❤ I'm blessed
🙏🙏🙏
nikweli mwanadamu ni mwanadamu mungu njo wakumwamini sababu yeye njo Masada mukila jambo
This song is about what i go through the whole part of my life, but God has come through my life🙏
🙏🙏🙏🙏
We appreciate as Kenyans God bless you
🙏🙏🙏
Mwanadamu n mwanadamu tu,msaada wangu utoka kwa Mungu juu❤
Such inspiring song..much love from Kenya
🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
Barikiwa sana komando nimebarikiwa sana na uu wimbo
Amen 🙏🙏🙏
Finally inacheza
😃😃😃🙏🙏🙏
Kwa hakika huu wimbo unikuza sana.na nimeusikiliza mara mingi coz napitia magumu bt Mungu ndo ananielewa pekee.barikiwa Ndugu
Balikiwa sana nyimbo zako zina nibaliki sana
Amen 🙏🙏🙏