TARIMBA AMWAGA LAWAMA NYINGI KWA MAREFA/ AWACHANA MAKAVU HAUWEZI AMINI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 46

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 ปีที่แล้ว

    umekandwaasaaaa ukubali Tuuu

  • @aminaami1103
    @aminaami1103 ปีที่แล้ว

    Wadada.awajuyi
    Kuchezesha.watoke

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 ปีที่แล้ว

    Thanks ila abas tarimba hafai kuwa mdhamini mdhamini hafai kuwa shabiki kwa sababu unawaza ukatoa maagizo timu yako ishinde

  • @JumaJux-fn3ff
    @JumaJux-fn3ff ปีที่แล้ว +1

    Talimba kama shabalala mzee na kapombe nenda kacheze na ww uone hhhhh sisi haoo yanga mwenye akili wawili tu lkn Talimba Haji hawamo so Hana akili talimba

  • @GodwinMtungi-py1cu
    @GodwinMtungi-py1cu ปีที่แล้ว

    Karia anarib mpira magoli 2 yote kataliwa ranzimen tu lets ujinga jitos

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 10 หลายเดือนก่อน

    Nyie ni watoa rushwa pumbavu yanga mbovu

  • @ashurachamwana5748
    @ashurachamwana5748 ปีที่แล้ว +1

    Hunatimu timuyakombovu

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 ปีที่แล้ว

    Mheshimiwa kulalamika! Daaah haiji

  • @ivankakooza1765
    @ivankakooza1765 2 ปีที่แล้ว +2

    Ukiangalia kiongozi mkubwa mwenye experience anaongea ujinga Kama huo mpira wa Tanzania Bado safari ndefu.

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali8849 2 ปีที่แล้ว

    Wewe Tarimba acha uwongo. Mbona goli aleio funga Bocco siku Simba ilipo cheza na yanga goli halali. Mbona husemi. Refa ali beba yanga. Mbona penalty waleio pata yanga wakati wamecheza na yanga. Lile lilikwa seio halali. Mbona husemi. Acha uwongo wako tarimba. Wewe hujuwi mpira.

  • @ramadhanikwalo8457
    @ramadhanikwalo8457 10 หลายเดือนก่อน

    yani marefa wa Bongo hawafai kwakua kafumgwa Yanga. penati za faulo ya nje ya box mlichekelea na mkaona haki yenu

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 2 ปีที่แล้ว

    Uko sahihi kabisaa.tarimba

  • @linuskyando4155
    @linuskyando4155 2 ปีที่แล้ว +3

    GOLI HALALI LA YANGA linakataliwa bila sababu

    • @kakorejrboyz6447
      @kakorejrboyz6447 2 ปีที่แล้ว

      Basi Kama umeliona hivyo puliza filimbi peleka mpira katikati wewe wesiunajua mpira Kuliko refa

  • @mngindoonlinetv4851
    @mngindoonlinetv4851 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana Kitenge

  • @ridhiwanikhalifa9036
    @ridhiwanikhalifa9036 2 ปีที่แล้ว +3

    acha kuzingua wewe leo refa kachezesha vizuri sana

  • @mashauriitambe9880
    @mashauriitambe9880 2 ปีที่แล้ว +1

    He he he. Mheshimiwa hapo kwenye this is my perception…UMEKANYAGA….anyway lugha nyingi Kiswahili,kihindi,na kiarabu lazima uchanganye maneno kigogo

  • @lucasmombo-di4zr
    @lucasmombo-di4zr 11 หลายเดือนก่อน

    Tarimba nikweli marefa wa bongo ni wengine ni shida !

  • @khatibuswalehe4996
    @khatibuswalehe4996 ปีที่แล้ว

    ila pamoja na hayo makocha wetu tamaaa nyingi na makocha wananunua malefa kutokana nauwezo wa team zao kutojiweza huwa inaleta shida kwet

  • @omarihamadumetishasanalava4725
    @omarihamadumetishasanalava4725 ปีที่แล้ว

    Nice

  • @mrikongosi3151
    @mrikongosi3151 10 หลายเดือนก่อน

    Hii ndio yanga ambayo haijatembea na bahasha

  • @hamadshembago7647
    @hamadshembago7647 2 ปีที่แล้ว +1

    hawa viongoz wengine machoko sana eti anadai kama mpira utachezwa vizur yanga atakuwa bingwa,amesahau kuwa hao wenyew yanga ndo wanaharib mpira mara nyingi huwa wanatoa pesa kuhitaj matokeo😁😁baadhi ya mashabiki na viongoz wa simba hawajielew

  • @frankurio469
    @frankurio469 10 หลายเดือนก่อน

    Kisa utopolo limefungwa, kaa kimya, wameikataa bahasha zenu mnabaki kutupigia kelele, wwe tarimba ni utopolo org, kimya tafadhali, tulia hivyo hivyo

  • @jumamaturanga9719
    @jumamaturanga9719 2 ปีที่แล้ว

    Tatizo marefa posho zinatoka kidogo sana

  • @suleimanbadru819
    @suleimanbadru819 2 ปีที่แล้ว

    Tarimba nahisi hujielewi ondoa sportspesa simba baking na Utopolo wako ulipaswa kuwa neutral kibiashara c kiupenzi

  • @suleimanmwenyemvua995
    @suleimanmwenyemvua995 2 ปีที่แล้ว

    Hata majumbani mwetu.ukitaka kumsema mgeni tumia mtoto kutoa maneno mgeni akijijua Basi atajielewa.hapo Tarimba haisemi YANGA Bali yapo Mambo mengi Sana Timu nyingi zinafanyiwa Mambo yasiyo mazuri.lkn kule mwingine wao lolote Ni POA viporo Kama kawa.

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 2 ปีที่แล้ว +1

    Kweli abasi unasema ukweli kabisa waamuzi wanachangia kuangusha ubora wa ligi yetu kwakweli penati ile siyo kabisa

    • @NellyWaKidato
      @NellyWaKidato 2 ปีที่แล้ว +3

      Ndugu Mteja Umejishindia Zawadi Nono Ya Kuchomwa Kidole Gumba Mkunduni Mwako 😎🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕

    • @rhodaerasto6151
      @rhodaerasto6151 2 ปีที่แล้ว

      @@NellyWaKidato 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @rhodaerasto6151
      @rhodaerasto6151 2 ปีที่แล้ว

      @ SAID SALUM iv w unaakili kwel ww yan penalt umeiona af unaongea upumbavu

  • @AhmedSaid-mk7qs
    @AhmedSaid-mk7qs ปีที่แล้ว

    Hawa utopolo kazi yao ni kulalamika tu mbona hamusemi penalt alizonyimwa simba mbona hawasemi walivikua wakisaidiwa wao kazi yao ni kulalamika tu

  • @lovenesskalenge2683
    @lovenesskalenge2683 2 ปีที่แล้ว

    Bila shak Ni lile goli la makambo

  • @ivankakooza1765
    @ivankakooza1765 2 ปีที่แล้ว

    Hawa ndo wanaharibu mpira wa Tanzania.

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 2 ปีที่แล้ว

    Mwenye akili atachments vizuri na sio matusi

  • @michaelmoro4801
    @michaelmoro4801 2 ปีที่แล้ว

    Umesema kweli kabisa

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 ปีที่แล้ว

    HIVI SIKU HIZI WANACHEZESHA VIDADA!!
    HAKUNA WANAUME WA KUCHEZESHA MPIRA?
    AU NDIYO KILA MAHALI NI FREE MASON NA UCHAFUZI WA MAADILI DUNIANI!!

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 ปีที่แล้ว

    Aibu yenu😂😂😂😂

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 2 ปีที่แล้ว

    Ndio kaka ndio

  • @fredtango7908
    @fredtango7908 2 ปีที่แล้ว

    Acha unafiki

  • @mohamedikaboza2488
    @mohamedikaboza2488 2 ปีที่แล้ว

    Umeshindwa kuisema Tim yako

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 2 ปีที่แล้ว

    Tarimba ni shabiki mpumbavu. Mdhamini halafu unashibikia. Inabidi ujionyeshe kuwa ni neutral hata kujionyesha tu kama mtu mwenye akili timamu.

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 2 ปีที่แล้ว

      Tulia Wewe Huyo Nae Nibinadamu Kama Nahayo Nimaoni Yake Tu.

  • @beckasalum2620
    @beckasalum2620 2 ปีที่แล้ว +1

    Refa yuko sahii

  • @matashobyajosia2109
    @matashobyajosia2109 2 ปีที่แล้ว +1

    wewe akuna jitu unaongea wewe karare una jipya

  • @abdalajuma8163
    @abdalajuma8163 2 ปีที่แล้ว

    Sasa mbona husem kosa liko wapi huna point kwendaaaa

  • @odenlwila8390
    @odenlwila8390 2 ปีที่แล้ว

    Wewe mpumbavu sana na sport pesa na GSM mnadhamini vilabu tena mnaleta ushabiki wa mama kuku unajikanyaga sana wewe toka udhamini wk kinafiki