KIPYENGA CHA MWISHO | Osman Kazi achambua matukio tata Derby ya Kariakoo, aigusa Azam - 15/08/2024

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 146

  • @AminaShawa
    @AminaShawa 2 หลายเดือนก่อน +3

    Osmani kazi umezingua tukio la azizi ki ww ulita azizi asiruke avunjwe mguu ile ni penait alali kabisa

  • @bubelwaishengoma6649
    @bubelwaishengoma6649 2 หลายเดือนก่อน +2

    Tukio la Aziz Ki lilikuwa penati tusipepese.

  • @HusseinBakar-k8n
    @HusseinBakar-k8n 5 วันที่ผ่านมา

    Hapo kwa macho yangu hakuguswa

  • @Rukaka_jr
    @Rukaka_jr 2 หลายเดือนก่อน +4

    Ah kumamake huyu mzee muongo nilikuwa sijawahi kumfuatiliaga ila kwenye kipindi chake cha kipyenge katk kujadili matukio tata ya michezo yote ya ngao ndo nimegundua kuwa huyu mzee ni muongo na kama sio kuendeshwa na hisia basi mpira hajui, 😂😂😂😂😂😂

    • @jaylosalphonce9659
      @jaylosalphonce9659 2 หลายเดือนก่อน +1

      We unataka kusemaje

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 2 หลายเดือนก่อน

      @@Rukaka_jr ...yeye na wewe nani asiyejua mpira..??..yeye fifa wanamjua wewe tfff hawakujua😂😂..na kuonyesha kwamba hujui mpira hujaelewaw chochote alicho,ungumza 🤣🤣🤣

  • @gonnetheboss1708
    @gonnetheboss1708 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hii ya mwisho haiwezi kua penat coz uyo kijili kaingia kwenye njia ya boka sio boka kuingia kwenye njia ya kijili

  • @paulshija7632
    @paulshija7632 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu Kazi mnafiki kweli.

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop4572 2 หลายเดือนก่อน

    Nawakubali sana ile inaonesha leo hamkujiandaa vizuri

  • @munongomeshili7612
    @munongomeshili7612 2 หลายเดือนก่อน

    Uchambuzi nzuri sana !!!

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani wew othuman sijawahi kukukubali toka ukuwa mwamzi maana ujinga anaofanywa na elisasi na jonesia wew ushawafa yia zaidi yanga

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 2 หลายเดือนก่อน

      @@AlfredRutaguza ..utakuwa unaendeshwa na ushabiki zaidi...,😂😂😂...hata mwisho wa siku utasema VAR inawaonea Yanga

  • @MalikiKavindi
    @MalikiKavindi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Aziza hakuguswa kabisa na che

  • @AbubaMuhamedAbuba
    @AbubaMuhamedAbuba 2 หลายเดือนก่อน +1

    Othman kazi huko sawa ktk hio Redcar ya ngoma unaongopa balaa kisha hutoi hukumu unahadithia wakati sote tumeona...mnaleta fitna kubwa baada ya game.tafuta la kufanya baba.

  • @kizakizapetro6205
    @kizakizapetro6205 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli nimekubali kama kaze Simba Lia lia kuanzia sasa kutoka SOUTH AFRICA siangalii tena

    • @christopherndenga2645
      @christopherndenga2645 2 หลายเดือนก่อน

      Yanga huwa mnalalamika sana hata kwenye vitu vinavyohitaji wataalamu

    • @christopherndenga2645
      @christopherndenga2645 2 หลายเดือนก่อน

      Yanga huwa mnalalamika sana hata kwenye vitu vinavyohitaji wataalamu

  • @SOPHIASALUMU-u3b
    @SOPHIASALUMU-u3b 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ingewezekana mashabiki tuachane na hiki kipindi wanafki

  • @HenryCastuli-jz3cx
    @HenryCastuli-jz3cx 2 หลายเดือนก่อน

    Asumani kazi ww nimnafiki sana kumbuka hujaanzia leo kawaidayako utetee simba sijawahi kuona ukiongea kasoro za simba

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 2 หลายเดือนก่อน

    Osman kaz we ni simba tuna kujua mzee wa maokoto

  • @jumamakuri9176
    @jumamakuri9176 2 หลายเดือนก่อน

    Kabla ya kuanza kutuambia uchambuzi hakikisheni mna uhakika wa matukio yote kuliko kutuambia hamukuwezi kuona vizuri. Mara angle haionekani vizuri boresheni hizo angle muzione na kutuonesha nasi tuzione ili utata ujulikane

  • @YohanaJelemia
    @YohanaJelemia 2 หลายเดือนก่อน +15

    Asumani kaze hawezi hata siku Moja aseme yanga imeonewa ila Simba sehemu nyingi utasikia Simba walikuwa sahihi wameonewa

    • @zuhurajabiri3900
      @zuhurajabiri3900 2 หลายเดือนก่อน

      Ukweli unauma utooo wanabebwa Sana na marefa

    • @MungeJr-u7x
      @MungeJr-u7x 2 หลายเดือนก่อน +1

      Asumani kazi nd nani tena

    • @EvoniSanga
      @EvoniSanga 2 หลายเดือนก่อน

      huyu nikolo kama kolo wengine

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂..wacha upimbi...Fifa wanamjua Kazi je wewe??..wewe ni shabiki maandazi tu

    • @NiceshemyaEzekiel
      @NiceshemyaEzekiel 2 หลายเดือนก่อน

      ​❤

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 2 หลายเดือนก่อน

    Unaniudhi sana othuman kaz

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 2 หลายเดือนก่อน

    Na sisi tunajua Sheria na macho tunayo kaze na ushabiki Kwa Simba na Azam
    Sometimes mnaegemea upande mmoja sikuizi sio kama zamani

  • @chandembikitu4081
    @chandembikitu4081 2 หลายเดือนก่อน

    Yanga Moja(1)-(0)Simba kazi iendelee ,Ila VAR akikabidhiwa huyo itakua shida

  • @Philipopetro-oj9ph
    @Philipopetro-oj9ph 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @nasskidy5471
    @nasskidy5471 2 หลายเดือนก่อน

    😅😅😅ya max kumrudishia diara ipo sawa ya azizi ki kufunga na kukataliwa ni yakawaida mnoooo😅😅😅

  • @gonnetheboss1708
    @gonnetheboss1708 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kijili ajawin mpira buti alienda kwenye njia ya boka

  • @SOPHIASALUMU-u3b
    @SOPHIASALUMU-u3b 2 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe mzee uchambuzi wa kpyenga umekushinda ingia kwenye I ada uache unafki kabombe achana na huyo mzee mnafki sana hajielewi Ana mapenzi na simba

  • @SteveJaguar
    @SteveJaguar 2 หลายเดือนก่อน

    Aina shid 2 young 1simba

  • @JustinMachuba
    @JustinMachuba หลายเดือนก่อน

    Kipindi nikizuri ila kinatuumiza na akina msaada kwa tim iliyopoteza omben ata kiwe kitengo maalum kwenye kila mech ili iwe var

  • @prospermbwambo2265
    @prospermbwambo2265 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kaze hujaona mguu wa kulia wa azizi kuguswa au uzee unanakusumbua

    • @malietamaliet
      @malietamaliet 2 หลายเดือนก่อน

      nikolo uyu mambo ya yanga aonagi wanaonewa ila Azam na Simba ndo wanaoonewa

  • @pinielloilole4340
    @pinielloilole4340 2 หลายเดือนก่อน

    Moja ya vipindi vilivyopoteza mvuto Azam tv ni kipenga cha mwisho. Kazi hawezi kuisemea Yanga vizuri ndio maana aliwahi kuchezea kichapo kwa wachezaji. Mnapoteza muda kumfuatilia

    • @PaulSengo
      @PaulSengo 2 หลายเดือนก่อน

      yanga uongo uongo mwingi huwezi tetea uongo man

  • @AyubuThobias-ud8xm
    @AyubuThobias-ud8xm 2 หลายเดือนก่อน

    Fact

  • @mwajuma4437
    @mwajuma4437 2 หลายเดือนก่อน

    Kipyenga Cha mwisho ndio sehemu pekee ambayo waamuzi Huwa wanaumbuka

  • @BenjaminWiliam-v5k
    @BenjaminWiliam-v5k 2 หลายเดือนก่อน +1

    MECHI YA FAINAL YA YANGA VS USM ALGER MSODA ILIKUWAJE

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 2 หลายเดือนก่อน +1

    Halafu VAR ISHAFIKA NA IPO YA MOBILE VAN KWA NINI HAMKUWEKA KWENYE NGAO NA IMELETWA KWA LIGI NA NGAO NI UFUNGUZI WA LIGI NDO MAANA MCHEZAJI AKIPATA RED CARD KWENYE NGAO ITATUMIKA, MPAKA KWENYE LIGI.

  • @YusufMbarouk-j3r
    @YusufMbarouk-j3r 5 วันที่ผ่านมา

    Sio bahati mbaya koyoko anafanya kwa kujua asenge cheka baada ya goli

  • @robertktembah3090
    @robertktembah3090 2 หลายเดือนก่อน

    Wew mnakitu Oman kaz

  • @ExecutiveHouseKeeperElewana
    @ExecutiveHouseKeeperElewana 2 หลายเดือนก่อน

    Othman Kazi na mwenzio hamkitendei hski hiki kipindi
    Mnafanya uchambuzi kwa ushqbiki. Chenille hizo,bora VAR zifanye mbski uzandiki went hamna maana kbs

  • @minicooper9642
    @minicooper9642 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu chizi
    Sasa refa apige filimbi faulo ndani ya boxi alafu isiwe penalti kweli
    Huyu kweli kazi

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 2 หลายเดือนก่อน

    Hiyi Natowa Chaleng Ni Ni Penant Ya Aziza...Othman Kazi Ondosha Uprnzi

  • @gidionbarabojick3080
    @gidionbarabojick3080 2 หลายเดือนก่อน

    Indirect free cick ndani ya box inaitwaje?

  • @shukuruiddi82
    @shukuruiddi82 2 หลายเดือนก่อน

    var ulaya wanaangalia mkono usitupange boss

  • @omaraliomar1671
    @omaraliomar1671 2 หลายเดือนก่อน

    Kazi ww ni Simba ni Chemalone umejua ni penalt ila ukasema ni indirect freekick kwa vile hakukuwa na body contact wakati Chemalone alikusudia hasa kufanya faulo lkn Boka ambae hakukusudia kufanya faulo bali kagongana na Kijili kwa bahati mbaya umesema penalt sasa alikusudia kufanya faulo unasema indirect lkn ambae hakukusudia eti ni penalt duh! Kweli Kazi.

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 2 หลายเดือนก่อน

    Prince Dube hakusukumwa, ila alivutwa akashindwa kukimbilia mpira.

  • @SamsonMwambope
    @SamsonMwambope 2 หลายเดือนก่อน

    Nyie yanga mnapenda kulialia sana Sasa mmepumzika kumtukana kalia kisa mnashinda tff mmepotea na mwaka mtararamika sana

  • @chrissantkaunda9958
    @chrissantkaunda9958 2 หลายเดือนก่อน +1

    Othman kazi sijawahi kumuelewa kabisa,yeye anateteaga makolo tu,kwake ni mara chache sana sheria kusimama upande wa Yanga

    • @PaulSengo
      @PaulSengo 2 หลายเดือนก่อน

      yanga uongo uongo mwingi huwezi tetea uongo man

  • @HappyClogShoes-hp9ho
    @HappyClogShoes-hp9ho 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu mzee simba wa kufugwa 😢😢😢😢

  • @samsoncheyo9275
    @samsoncheyo9275 2 หลายเดือนก่อน

    Ingependeza iwapo na marefa husika mngekuwa mnawapa nafasi na wao ya kujitetea kuliko kuwakosoa tu

  • @kingwerason7319
    @kingwerason7319 2 หลายเดือนก่อน

    hamjui kuchambua match kama vile hamjasoma

  • @paulwambura5857
    @paulwambura5857 หลายเดือนก่อน

    Othman Boka alikua kanyanyua mguu kupiga mpira...kaukosa mpira Kijiri ndio kaingia kwenye paja la Boko na kujifanya kuzuiwa...upo very bias Othman na hichi kipindi itakua unaangalia ww na Wana simba siku zijazo😂

  • @paulwambura5857
    @paulwambura5857 หลายเดือนก่อน

    Hilo tukio la Diara kurudishiwa halina uhalali maana kapombe alikua off side na hamtaki kujadili hiyo offside kwa sababu za kishabiki....Othman acha ushabiki utapoteza credibility...tunakuamini

  • @Sugal67
    @Sugal67 2 หลายเดือนก่อน

    nimwwasikiliza #KipengaChaMwisho game ya Yanga v Simba ni 2-1 .....

  • @issarahe8416
    @issarahe8416 2 หลายเดือนก่อน

    Hamna mtu hapa kipenga Cha mwisho

  • @kagetaabdallah3712
    @kagetaabdallah3712 2 หลายเดือนก่อน

    Wamuzi wa mechi ya yanga walipewa magizo yanga ifungwe kina karia na tff yake sema wameikuta yanga ipo vizuri alafu yanga kubwa kuliko wao. Kazi ni shabiki mkubwa wa simba hapo anaongea unazi tu

  • @mussadaudi-dx9xj
    @mussadaudi-dx9xj 2 หลายเดือนก่อน

    Hakuna kitu hapa

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 2 หลายเดือนก่อน

    Kaze ukiacha unafiki kwa baadhi ya timu utafanya vizuri ila raaa sivyo utakua unafanya vizuri

  • @khamissalim2132
    @khamissalim2132 2 หลายเดือนก่อน

    Mnamsema sana osman kazi lkn huyo mtangazaji mnajua kuwa na yeye ni yanga?

  • @AllyKhamis-xr9cs
    @AllyKhamis-xr9cs 2 หลายเดือนก่อน

    ii aliochezew kijil n clear penalty ila n ile aliofnyiw Aziz ki n penalty

  • @donatusalfred582
    @donatusalfred582 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa hali hii VAR ataiongoza nani,maana kazi ndo hivo unavurunda

  • @sendeumwipi8872
    @sendeumwipi8872 2 หลายเดือนก่อน

    Hiyo indirect free-kick ya Aziz Ki kuchezewa faulo unayosema mchambuzi mpira utawekwa wapi? Na Wachezaji Simba wangesimama wapi?

  • @ChristopherKisarika
    @ChristopherKisarika 2 หลายเดือนก่อน

    Kazi anaichukia YANGA

  • @dunstankihaa2383
    @dunstankihaa2383 2 หลายเดือนก่อน

    Huy Mzee fala sn hakuna kitu hapo

  • @jumamakuri9176
    @jumamakuri9176 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dube kavutwa na kuachiwa sio kusukumwa msiyumbishe ukweli wa matukio.

    • @khamisihussein8777
      @khamisihussein8777 2 หลายเดือนก่อน

      hawajielwi nao hawa dube alikuwa ana win ule mpira na kashivutwa ila kipenga eti akushikwa shem on

    • @jumamakuri9176
      @jumamakuri9176 2 หลายเดือนก่อน

      @@khamisihussein8777
      Mchezaji mkubwa anayejitsmbua hawezi kushika na kung'ang'ania kishamba alafu ndani ya 18, lazima dube angeanguka unless ange win mpira

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu OSMAN KAZI Azam wameleta VAR Tunashukuru ila waendeshaji wa VAR huyu mtu OSMAN HAFAI KUWA KTK CHUMBA CHA VAR MAANA ITAKUA YALE YALE REFA ATAIUA YANGA AU HUYU ATAIUA YANGA HAFAI KABISAAAAAAA HATA KULUMAGIA

  • @AllyKhamis-xr9cs
    @AllyKhamis-xr9cs 2 หลายเดือนก่อน

    Wew asuman kazi ni simba damu, ila ile aliofanyiw Aziz ki n clear penaltly apo umechemka

  • @shijamakoye6013
    @shijamakoye6013 2 หลายเดือนก่อน

    Rudini mkaangalie tukio la mzinze kipindi cha pili dakika kama ya tano hivi ile ni clear penalty kafanyiwa ndani ya penalty area

  • @VLADDYNDANZI
    @VLADDYNDANZI 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo Kazi ni shabiki wa Simba na uchambuzi wake Young-Africans anakosea kilasiku na mechi alizochezesha alipokuwa mwamuzi kama ni mechi za Yanga basi itakuwa ngumu ikiwezekana anapoteza kabisa anajulikana Jangwani huyo

  • @shukuruiddi82
    @shukuruiddi82 2 หลายเดือนก่อน

    hapo kapombe anapiga v=pass na wakati kipa ameacha uwazi mengine anatuletea mjadala kipa kaacha goli mukwala yupo hapo funga linatoa pass

  • @deokibona2835
    @deokibona2835 2 หลายเดือนก่อน

    Mashabiki wa Simba furaha yao ni kutafuta offside kwenye magoli ya Yanga. Na kwa staili hii mtapata tabu sana.

    • @BisekoDaudi
      @BisekoDaudi 2 หลายเดือนก่อน

      Usilazimishe,acheni mazoea.

  • @mogzugunda3872
    @mogzugunda3872 หลายเดือนก่อน

    kuna watu wanakuminya kiunoni pasipo kukusukuma mlijue na hilo

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu nikibaraka wa Simba pia mwanachama lazima aisemee timu yake yanga acha kuhangaika naye huyu ni adui namba Moja wa yanga Bora hata mangungu kuliko huyu

  • @paulshija7632
    @paulshija7632 2 หลายเดือนก่อน

    Ila kumbe huyu jamaa ni mnafiki kweli kweli, dube kasukumwa kabisa, afu mnasema hakusukumwa au macho yenu mabovu

  • @GoodluckDaud
    @GoodluckDaud 2 หลายเดือนก่อน

    Simba damu hao

  • @saidingumbo-is2oe
    @saidingumbo-is2oe 2 หลายเดือนก่อน

    ACHA kupenda

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 2 หลายเดือนก่อน

    Wacheni hadith mnaharibu kipindi

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 2 หลายเดือนก่อน +1

    VAR haina mtumiaji

  • @nickbrown8350
    @nickbrown8350 2 หลายเดือนก่อน

    Kuna clip dube anasukumwa

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 2 หลายเดือนก่อน

    Staki kuangalia tena kipindi hiki hakisemi ukweli

  • @chiengwalu6312
    @chiengwalu6312 2 หลายเดือนก่อน

    Kijili ndiye alimfanyia madhambi Boka sababu Boka alikuwa mbele na kijili amekuta tukio limefanyika sasa alitakiwa kumkwepa.

  • @MwedadiMwedamsangi
    @MwedadiMwedamsangi 2 หลายเดือนก่อน

    Kikubwa kolo alifungwa

  • @saidingumbo-is2oe
    @saidingumbo-is2oe 2 หลายเดือนก่อน

    Kwanza kabla ya hili koblani alimpanda baka

  • @saidingumbo-is2oe
    @saidingumbo-is2oe 2 หลายเดือนก่อน

    Hiyo penati amesukumwa

  • @shukuruiddi82
    @shukuruiddi82 2 หลายเดือนก่อน

    kayoko siku zote anajiona colina akitoa macho yake makubwa anaona yupo sahihi, refa wa hovyo sana, game nyingi anawahi kufanya maamuzi ya hovyo haraka mno. virefa km hivi ni hapa hapa tu

  • @robertjohn9375
    @robertjohn9375 2 หลายเดือนก่อน

    Faul ipo kwa Fred karuka huku anamwekea mikono defender asiruke

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 2 หลายเดือนก่อน

    Hili zeee ni simba mbona

  • @allysaidi-uy9rm
    @allysaidi-uy9rm 2 หลายเดือนก่อน

    Kijili hajauwin mpira ni 50 kwa 50

  • @dennismayunga9845
    @dennismayunga9845 2 หลายเดือนก่อน

    Wachambuzi mmekosea ni penalty hiyo. Nani alikuwa krb na mpira kt ya Mutale na mlinzi wa Coastal?

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 2 หลายเดือนก่อน

    Ngoja nitoke wanasimba na Azam hao hawana lolote.

  • @aloycesimon1371
    @aloycesimon1371 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona Mwamnyeto alivyoangushwa amjazungumzia???

  • @StanleyJuma-t5z
    @StanleyJuma-t5z 2 หลายเดือนก่อน

    Kabombe apo ujielewi ssispia tunamacho tumeona acha uyanga bro

  • @AllyKhamis-xr9cs
    @AllyKhamis-xr9cs 2 หลายเดือนก่อน

    Asum kazi huna uchambuz wowot

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 2 หลายเดือนก่อน

    Hovyo

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 2 หลายเดือนก่อน

    Paschal unakosea mwache mtaalamu aongee siyo wewe kuwa sehemu ya mtaalamu

  • @kagetaabdallah3712
    @kagetaabdallah3712 2 หลายเดือนก่อน

    Uyu jamaa ni shabiki mkubwa wa simba awezi kusema kweli

  • @sallumlugoma
    @sallumlugoma 2 หลายเดือนก่อน

    washabiki wa yanga mbona unatukana sana kwani ni lamia uangalie si uache

  • @BamdoOthman
    @BamdoOthman 2 หลายเดือนก่อน

    Khaaaaa! Fred kamzuia baca asiende juu kuucheza mpira alafu wewe unaongea utumbo et ya azii k sio ya kijili penart akili huna naziona chuki tuu

  • @billshine_
    @billshine_ 2 หลายเดือนก่อน

    Kumbe!!

  • @MzansiDiski27
    @MzansiDiski27 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂
    Mbona comments makasiriko mengi

  • @nashirkamugisha9425
    @nashirkamugisha9425 2 หลายเดือนก่อน

    Acheni wataalam waongelee mpira. Sisi shabiki tunatumia mihemuko zaidi

    • @KajunaJovinary
      @KajunaJovinary 25 วันที่ผ่านมา

      Uko sahihi😅😅😅

  • @simonnjovu586
    @simonnjovu586 2 หลายเดือนก่อน

    Dube hapo kasukumwa makusudi.

  • @BamdoOthman
    @BamdoOthman 2 หลายเดือนก่อน

    Wasenge kweli hamna lolote mbwa nyinyi azizi kii mguu wa kulia umeguswa alafu mnakataa tafuteni vya kufanya ujinga mtupu

  • @Robert-p7c1k
    @Robert-p7c1k 2 หลายเดือนก่อน

    Acheni porojo, nendeni kwenye kutafsiri sheria moja Kwa moja

  • @mvinjemwakivaha3927
    @mvinjemwakivaha3927 2 หลายเดือนก่อน

    Mi ntakua siwaamin Tena ninyi kipenga ch mwisho sa mbona hamuoneshi kipindi dube anapasiwa mpira hamkuonesha mpira ukiwa umetoka Bali mmeinesha mpira ungali miguuni mwa alietoa pass Sasa mnachambua nn ninyi waongo watupu cntowafuatilia Tena waongo sn ninyi kumbe

    • @hassanissa5293
      @hassanissa5293 2 หลายเดือนก่อน

      Offside inaanza kuangaliwa kwa mpigaji pass ya mwisho mpira ukiwa mguun kwake ukiwa unaanza kutoka

    • @EmanuelRyoba
      @EmanuelRyoba หลายเดือนก่อน

      Et si penalty ni directly frick ki du hatarii