Ah kumamake huyu mzee muongo nilikuwa sijawahi kumfuatiliaga ila kwenye kipindi chake cha kipyenge katk kujadili matukio tata ya michezo yote ya ngao ndo nimegundua kuwa huyu mzee ni muongo na kama sio kuendeshwa na hisia basi mpira hajui, 😂😂😂😂😂😂
Othman kazi huko sawa ktk hio Redcar ya ngoma unaongopa balaa kisha hutoi hukumu unahadithia wakati sote tumeona...mnaleta fitna kubwa baada ya game.tafuta la kufanya baba.
Kabla ya kuanza kutuambia uchambuzi hakikisheni mna uhakika wa matukio yote kuliko kutuambia hamukuwezi kuona vizuri. Mara angle haionekani vizuri boresheni hizo angle muzione na kutuonesha nasi tuzione ili utata ujulikane
Moja ya vipindi vilivyopoteza mvuto Azam tv ni kipenga cha mwisho. Kazi hawezi kuisemea Yanga vizuri ndio maana aliwahi kuchezea kichapo kwa wachezaji. Mnapoteza muda kumfuatilia
Halafu VAR ISHAFIKA NA IPO YA MOBILE VAN KWA NINI HAMKUWEKA KWENYE NGAO NA IMELETWA KWA LIGI NA NGAO NI UFUNGUZI WA LIGI NDO MAANA MCHEZAJI AKIPATA RED CARD KWENYE NGAO ITATUMIKA, MPAKA KWENYE LIGI.
Othman Kazi na mwenzio hamkitendei hski hiki kipindi Mnafanya uchambuzi kwa ushqbiki. Chenille hizo,bora VAR zifanye mbski uzandiki went hamna maana kbs
Kazi ww ni Simba ni Chemalone umejua ni penalt ila ukasema ni indirect freekick kwa vile hakukuwa na body contact wakati Chemalone alikusudia hasa kufanya faulo lkn Boka ambae hakukusudia kufanya faulo bali kagongana na Kijili kwa bahati mbaya umesema penalt sasa alikusudia kufanya faulo unasema indirect lkn ambae hakukusudia eti ni penalt duh! Kweli Kazi.
Othman Boka alikua kanyanyua mguu kupiga mpira...kaukosa mpira Kijiri ndio kaingia kwenye paja la Boko na kujifanya kuzuiwa...upo very bias Othman na hichi kipindi itakua unaangalia ww na Wana simba siku zijazo😂
Hilo tukio la Diara kurudishiwa halina uhalali maana kapombe alikua off side na hamtaki kujadili hiyo offside kwa sababu za kishabiki....Othman acha ushabiki utapoteza credibility...tunakuamini
Wamuzi wa mechi ya yanga walipewa magizo yanga ifungwe kina karia na tff yake sema wameikuta yanga ipo vizuri alafu yanga kubwa kuliko wao. Kazi ni shabiki mkubwa wa simba hapo anaongea unazi tu
@@khamisihussein8777 Mchezaji mkubwa anayejitsmbua hawezi kushika na kung'ang'ania kishamba alafu ndani ya 18, lazima dube angeanguka unless ange win mpira
Huyu OSMAN KAZI Azam wameleta VAR Tunashukuru ila waendeshaji wa VAR huyu mtu OSMAN HAFAI KUWA KTK CHUMBA CHA VAR MAANA ITAKUA YALE YALE REFA ATAIUA YANGA AU HUYU ATAIUA YANGA HAFAI KABISAAAAAAA HATA KULUMAGIA
Huyo Kazi ni shabiki wa Simba na uchambuzi wake Young-Africans anakosea kilasiku na mechi alizochezesha alipokuwa mwamuzi kama ni mechi za Yanga basi itakuwa ngumu ikiwezekana anapoteza kabisa anajulikana Jangwani huyo
Huyu nikibaraka wa Simba pia mwanachama lazima aisemee timu yake yanga acha kuhangaika naye huyu ni adui namba Moja wa yanga Bora hata mangungu kuliko huyu
kayoko siku zote anajiona colina akitoa macho yake makubwa anaona yupo sahihi, refa wa hovyo sana, game nyingi anawahi kufanya maamuzi ya hovyo haraka mno. virefa km hivi ni hapa hapa tu
Mi ntakua siwaamin Tena ninyi kipenga ch mwisho sa mbona hamuoneshi kipindi dube anapasiwa mpira hamkuonesha mpira ukiwa umetoka Bali mmeinesha mpira ungali miguuni mwa alietoa pass Sasa mnachambua nn ninyi waongo watupu cntowafuatilia Tena waongo sn ninyi kumbe
Osmani kazi umezingua tukio la azizi ki ww ulita azizi asiruke avunjwe mguu ile ni penait alali kabisa
Tukio la Aziz Ki lilikuwa penati tusipepese.
Hapo kwa macho yangu hakuguswa
Ah kumamake huyu mzee muongo nilikuwa sijawahi kumfuatiliaga ila kwenye kipindi chake cha kipyenge katk kujadili matukio tata ya michezo yote ya ngao ndo nimegundua kuwa huyu mzee ni muongo na kama sio kuendeshwa na hisia basi mpira hajui, 😂😂😂😂😂😂
We unataka kusemaje
@@Rukaka_jr ...yeye na wewe nani asiyejua mpira..??..yeye fifa wanamjua wewe tfff hawakujua😂😂..na kuonyesha kwamba hujui mpira hujaelewaw chochote alicho,ungumza 🤣🤣🤣
Hii ya mwisho haiwezi kua penat coz uyo kijili kaingia kwenye njia ya boka sio boka kuingia kwenye njia ya kijili
Huyu Kazi mnafiki kweli.
Nawakubali sana ile inaonesha leo hamkujiandaa vizuri
Uchambuzi nzuri sana !!!
Yaani wew othuman sijawahi kukukubali toka ukuwa mwamzi maana ujinga anaofanywa na elisasi na jonesia wew ushawafa yia zaidi yanga
@@AlfredRutaguza ..utakuwa unaendeshwa na ushabiki zaidi...,😂😂😂...hata mwisho wa siku utasema VAR inawaonea Yanga
Aziza hakuguswa kabisa na che
Othman kazi huko sawa ktk hio Redcar ya ngoma unaongopa balaa kisha hutoi hukumu unahadithia wakati sote tumeona...mnaleta fitna kubwa baada ya game.tafuta la kufanya baba.
Clear redcard wacha uongo
Kweli nimekubali kama kaze Simba Lia lia kuanzia sasa kutoka SOUTH AFRICA siangalii tena
Yanga huwa mnalalamika sana hata kwenye vitu vinavyohitaji wataalamu
Yanga huwa mnalalamika sana hata kwenye vitu vinavyohitaji wataalamu
Ingewezekana mashabiki tuachane na hiki kipindi wanafki
Asumani kazi ww nimnafiki sana kumbuka hujaanzia leo kawaidayako utetee simba sijawahi kuona ukiongea kasoro za simba
kabisa
Osman kaz we ni simba tuna kujua mzee wa maokoto
ndii kolo haswa
Kabla ya kuanza kutuambia uchambuzi hakikisheni mna uhakika wa matukio yote kuliko kutuambia hamukuwezi kuona vizuri. Mara angle haionekani vizuri boresheni hizo angle muzione na kutuonesha nasi tuzione ili utata ujulikane
Asumani kaze hawezi hata siku Moja aseme yanga imeonewa ila Simba sehemu nyingi utasikia Simba walikuwa sahihi wameonewa
Ukweli unauma utooo wanabebwa Sana na marefa
Asumani kazi nd nani tena
huyu nikolo kama kolo wengine
😂😂..wacha upimbi...Fifa wanamjua Kazi je wewe??..wewe ni shabiki maandazi tu
❤
Unaniudhi sana othuman kaz
Na sisi tunajua Sheria na macho tunayo kaze na ushabiki Kwa Simba na Azam
Sometimes mnaegemea upande mmoja sikuizi sio kama zamani
Yanga Moja(1)-(0)Simba kazi iendelee ,Ila VAR akikabidhiwa huyo itakua shida
❤❤
😅😅😅ya max kumrudishia diara ipo sawa ya azizi ki kufunga na kukataliwa ni yakawaida mnoooo😅😅😅
Kijili ajawin mpira buti alienda kwenye njia ya boka
Wewe mzee uchambuzi wa kpyenga umekushinda ingia kwenye I ada uache unafki kabombe achana na huyo mzee mnafki sana hajielewi Ana mapenzi na simba
Aina shid 2 young 1simba
Kipindi nikizuri ila kinatuumiza na akina msaada kwa tim iliyopoteza omben ata kiwe kitengo maalum kwenye kila mech ili iwe var
Kaze hujaona mguu wa kulia wa azizi kuguswa au uzee unanakusumbua
nikolo uyu mambo ya yanga aonagi wanaonewa ila Azam na Simba ndo wanaoonewa
Moja ya vipindi vilivyopoteza mvuto Azam tv ni kipenga cha mwisho. Kazi hawezi kuisemea Yanga vizuri ndio maana aliwahi kuchezea kichapo kwa wachezaji. Mnapoteza muda kumfuatilia
yanga uongo uongo mwingi huwezi tetea uongo man
Fact
Kipyenga Cha mwisho ndio sehemu pekee ambayo waamuzi Huwa wanaumbuka
MECHI YA FAINAL YA YANGA VS USM ALGER MSODA ILIKUWAJE
Halafu VAR ISHAFIKA NA IPO YA MOBILE VAN KWA NINI HAMKUWEKA KWENYE NGAO NA IMELETWA KWA LIGI NA NGAO NI UFUNGUZI WA LIGI NDO MAANA MCHEZAJI AKIPATA RED CARD KWENYE NGAO ITATUMIKA, MPAKA KWENYE LIGI.
Sio bahati mbaya koyoko anafanya kwa kujua asenge cheka baada ya goli
Wew mnakitu Oman kaz
Othman Kazi na mwenzio hamkitendei hski hiki kipindi
Mnafanya uchambuzi kwa ushqbiki. Chenille hizo,bora VAR zifanye mbski uzandiki went hamna maana kbs
Huyu chizi
Sasa refa apige filimbi faulo ndani ya boxi alafu isiwe penalti kweli
Huyu kweli kazi
Hiyi Natowa Chaleng Ni Ni Penant Ya Aziza...Othman Kazi Ondosha Uprnzi
Indirect free cick ndani ya box inaitwaje?
var ulaya wanaangalia mkono usitupange boss
Kazi ww ni Simba ni Chemalone umejua ni penalt ila ukasema ni indirect freekick kwa vile hakukuwa na body contact wakati Chemalone alikusudia hasa kufanya faulo lkn Boka ambae hakukusudia kufanya faulo bali kagongana na Kijili kwa bahati mbaya umesema penalt sasa alikusudia kufanya faulo unasema indirect lkn ambae hakukusudia eti ni penalt duh! Kweli Kazi.
Prince Dube hakusukumwa, ila alivutwa akashindwa kukimbilia mpira.
Nyie yanga mnapenda kulialia sana Sasa mmepumzika kumtukana kalia kisa mnashinda tff mmepotea na mwaka mtararamika sana
Othman kazi sijawahi kumuelewa kabisa,yeye anateteaga makolo tu,kwake ni mara chache sana sheria kusimama upande wa Yanga
yanga uongo uongo mwingi huwezi tetea uongo man
Huyu mzee simba wa kufugwa 😢😢😢😢
Ingependeza iwapo na marefa husika mngekuwa mnawapa nafasi na wao ya kujitetea kuliko kuwakosoa tu
hamjui kuchambua match kama vile hamjasoma
Othman Boka alikua kanyanyua mguu kupiga mpira...kaukosa mpira Kijiri ndio kaingia kwenye paja la Boko na kujifanya kuzuiwa...upo very bias Othman na hichi kipindi itakua unaangalia ww na Wana simba siku zijazo😂
Hilo tukio la Diara kurudishiwa halina uhalali maana kapombe alikua off side na hamtaki kujadili hiyo offside kwa sababu za kishabiki....Othman acha ushabiki utapoteza credibility...tunakuamini
nimwwasikiliza #KipengaChaMwisho game ya Yanga v Simba ni 2-1 .....
Hamna mtu hapa kipenga Cha mwisho
Wamuzi wa mechi ya yanga walipewa magizo yanga ifungwe kina karia na tff yake sema wameikuta yanga ipo vizuri alafu yanga kubwa kuliko wao. Kazi ni shabiki mkubwa wa simba hapo anaongea unazi tu
Hakuna kitu hapa
Kaze ukiacha unafiki kwa baadhi ya timu utafanya vizuri ila raaa sivyo utakua unafanya vizuri
Mnamsema sana osman kazi lkn huyo mtangazaji mnajua kuwa na yeye ni yanga?
ii aliochezew kijil n clear penalty ila n ile aliofnyiw Aziz ki n penalty
Kwa hali hii VAR ataiongoza nani,maana kazi ndo hivo unavurunda
Hiyo indirect free-kick ya Aziz Ki kuchezewa faulo unayosema mchambuzi mpira utawekwa wapi? Na Wachezaji Simba wangesimama wapi?
Kazi anaichukia YANGA
Huy Mzee fala sn hakuna kitu hapo
Dube kavutwa na kuachiwa sio kusukumwa msiyumbishe ukweli wa matukio.
hawajielwi nao hawa dube alikuwa ana win ule mpira na kashivutwa ila kipenga eti akushikwa shem on
@@khamisihussein8777
Mchezaji mkubwa anayejitsmbua hawezi kushika na kung'ang'ania kishamba alafu ndani ya 18, lazima dube angeanguka unless ange win mpira
Huyu OSMAN KAZI Azam wameleta VAR Tunashukuru ila waendeshaji wa VAR huyu mtu OSMAN HAFAI KUWA KTK CHUMBA CHA VAR MAANA ITAKUA YALE YALE REFA ATAIUA YANGA AU HUYU ATAIUA YANGA HAFAI KABISAAAAAAA HATA KULUMAGIA
tena hafai
Wew asuman kazi ni simba damu, ila ile aliofanyiw Aziz ki n clear penaltly apo umechemka
Rudini mkaangalie tukio la mzinze kipindi cha pili dakika kama ya tano hivi ile ni clear penalty kafanyiwa ndani ya penalty area
Huyo Kazi ni shabiki wa Simba na uchambuzi wake Young-Africans anakosea kilasiku na mechi alizochezesha alipokuwa mwamuzi kama ni mechi za Yanga basi itakuwa ngumu ikiwezekana anapoteza kabisa anajulikana Jangwani huyo
hapo kapombe anapiga v=pass na wakati kipa ameacha uwazi mengine anatuletea mjadala kipa kaacha goli mukwala yupo hapo funga linatoa pass
Mashabiki wa Simba furaha yao ni kutafuta offside kwenye magoli ya Yanga. Na kwa staili hii mtapata tabu sana.
Usilazimishe,acheni mazoea.
kuna watu wanakuminya kiunoni pasipo kukusukuma mlijue na hilo
Huyu nikibaraka wa Simba pia mwanachama lazima aisemee timu yake yanga acha kuhangaika naye huyu ni adui namba Moja wa yanga Bora hata mangungu kuliko huyu
Ila kumbe huyu jamaa ni mnafiki kweli kweli, dube kasukumwa kabisa, afu mnasema hakusukumwa au macho yenu mabovu
Simba damu hao
ACHA kupenda
Wacheni hadith mnaharibu kipindi
VAR haina mtumiaji
Kuna clip dube anasukumwa
Staki kuangalia tena kipindi hiki hakisemi ukweli
Kijili ndiye alimfanyia madhambi Boka sababu Boka alikuwa mbele na kijili amekuta tukio limefanyika sasa alitakiwa kumkwepa.
Kikubwa kolo alifungwa
Kwanza kabla ya hili koblani alimpanda baka
Hiyo penati amesukumwa
kayoko siku zote anajiona colina akitoa macho yake makubwa anaona yupo sahihi, refa wa hovyo sana, game nyingi anawahi kufanya maamuzi ya hovyo haraka mno. virefa km hivi ni hapa hapa tu
Faul ipo kwa Fred karuka huku anamwekea mikono defender asiruke
Hili zeee ni simba mbona
Kijili hajauwin mpira ni 50 kwa 50
Wachambuzi mmekosea ni penalty hiyo. Nani alikuwa krb na mpira kt ya Mutale na mlinzi wa Coastal?
Ngoja nitoke wanasimba na Azam hao hawana lolote.
Mbona Mwamnyeto alivyoangushwa amjazungumzia???
Kabombe apo ujielewi ssispia tunamacho tumeona acha uyanga bro
Asum kazi huna uchambuz wowot
Hovyo
Paschal unakosea mwache mtaalamu aongee siyo wewe kuwa sehemu ya mtaalamu
Uyu jamaa ni shabiki mkubwa wa simba awezi kusema kweli
washabiki wa yanga mbona unatukana sana kwani ni lamia uangalie si uache
Khaaaaa! Fred kamzuia baca asiende juu kuucheza mpira alafu wewe unaongea utumbo et ya azii k sio ya kijili penart akili huna naziona chuki tuu
Kumbe!!
😂😂😂😂
Mbona comments makasiriko mengi
Acheni wataalam waongelee mpira. Sisi shabiki tunatumia mihemuko zaidi
Uko sahihi😅😅😅
Dube hapo kasukumwa makusudi.
Wasenge kweli hamna lolote mbwa nyinyi azizi kii mguu wa kulia umeguswa alafu mnakataa tafuteni vya kufanya ujinga mtupu
Acheni porojo, nendeni kwenye kutafsiri sheria moja Kwa moja
Mi ntakua siwaamin Tena ninyi kipenga ch mwisho sa mbona hamuoneshi kipindi dube anapasiwa mpira hamkuonesha mpira ukiwa umetoka Bali mmeinesha mpira ungali miguuni mwa alietoa pass Sasa mnachambua nn ninyi waongo watupu cntowafuatilia Tena waongo sn ninyi kumbe
Offside inaanza kuangaliwa kwa mpigaji pass ya mwisho mpira ukiwa mguun kwake ukiwa unaanza kutoka
Et si penalty ni directly frick ki du hatarii